Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Turudi nyuma mwaka 1999 wakati nilipomaliza kidato cha nne kwahiyo nilikua sina mitkasi mingi zaidi ya kumkimbia Mama inapofika mchana ili niende kucheza zangu basketball pale Msasani kiwanja cha Pazi. Nlikua natokea zangu Mbagala Charambe nachukua zangu basi mappa Mbagala Rangi tatu then muunganisho unaendelea mpaka nafika zangu mazoezini, nilifanya urafiki na makonda na madereva weeengi kiasi kwamba nilikua ‘staff’ kwenye daladala nyingi, na huwezi kuamini nyingi pia nilikua nikiingia basi radio nlikua namiliki MIMI. Station gani tunaskiliza au tape gani tunaweka ili safari inoge na muziki. Nakumbuka jinsi ambavyo Sugu alikua anaikosha, anakosha nafsi yangu na ya abiria wote ambao walikua wanasafiri nasi basi moja. Chini ya miaka 18 ilikua inaongea na mimi haswam inanifanya nisitake kuwa yule binti ambale Sugu alikua namuongelea ASILAN! Mikononi mwa Polisi… Album kali kama Nje ya Bongo, Millenium, Muziki na Maisha zilifuata na wakati hizi nyengine zinatoka nami tayari nilishaacha kumtia wasiwasi Mama yangu wa kurudi nyumbani usiku na kuwa DJ wa muda ndani ya Daladala za Mbagala Posta au Mbagala Kariakoo na kuweza kupata kazi yangu ya kwanza pale Times FM kabla sijajiunga na EA Radio na TV.
Mapenzi yangu kwa Sugu na muziki wake yako wazi na naamini na yeye anajua maana huwa namuambia kila tunapokutana, pia napenda kuwa around na yeye maana confidence yake ni kitu cha kujifunza. Haogopi, anajiamini na uthubutu wake katika mambo yake mengi ni jambo ambalo wengi wetu tunajifunza sana kutoka kwake. Kuanzia jinsi alivyokua anajibeba, mapinduzi ya uandishi na muziki ambayo amefanya na anaendelea kufanya mpaka leo hii ni kitu ambacho kama utakua unamfuatilia kwa karibu basi utakua huna la kufanya zaidi ya kupenda jinsi anavyofanya mambo yake.
Siku zote nimekua nikitaka saaana kufanya nae interview lakini kama tujuavyo, Mungu ndo mpangaji wa yote na round hii ilikua ndo wakati muafaka. Nilimcheki naye akakiambia kwamba Mimi ni mtu pekee ambaye angependa aongee naye so mengine yakawa historia tu.
Brother alikuja Dar es Salaam malum kabisa kwaajili ya kuongea na sisi na kwa hilo tunamshkuru sana. Mambo ya kisiasa yalikua sio focus yetu hata kidogo na badala yake tulitaka kumfahamu yeye zaidi na pengine mmoja anaweza kujifunza kwa kufuatilia tu nyenendo zake kwenye mitandao.
Kaka alishawahi kwenda jela, amempoteza Mama yake kipenzi pia muda si mrefu baada ya yeye kutoka. Sisi tuliongea naye kuhusu mapenzi yake na Mama yake kipenzi Desderia ambaye hata jina la hoteli yake ameipa jina la Mama yake. Nilitaka kujua ukaribu wao huo ulitokana na nini, jinsi ambavyo Mama alimpa support kipindi hicho ambacho muziki ulikua unaonekana kama uhuni tu. Maoni yake kwenye masuala mbali mbali na kuhusu urafiki na mafanikio. Pia nilitaka kujua historia yake ya muziki na njia alizowahi kupita. Mambo mengine ni kuhusu suala la yeye kuwa Baba na mapenzi kwa ujumla.
Yangu matumaini una enjoy maongezi haya na Kaka mkubwa na pia confidence yake kwenye masala mbalimbali itakufanya pia ujibebe kuelekea mbele!
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 307

  • @jameskinuthiamunene6356
    @jameskinuthiamunene63563 жыл бұрын

    Pioneer East African hip hop star huyu,nakumbuka nikimskia mara ya kwanza huku Kenya mwaka wa 2000/1 na ngoma ya 'Ana Miaka kumi na nane'

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230313 жыл бұрын

    sugu papa sasha faiza ali ex love you from congo you are respectful men

  • @lotinyumba1573
    @lotinyumba15733 жыл бұрын

    Namuomba MUNGU mafanikio yangu au machungu yangu yasiwe sababu ya mimi kuwahumiza watu wengine

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @henrypaschal3948
    @henrypaschal39483 жыл бұрын

    Tumepoteza watu muhimu sana bungeni

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @nicholausmtamba327

    @nicholausmtamba327

    3 жыл бұрын

    Nakukubali sana mr Sugu.

  • @gabrielmoses6860

    @gabrielmoses6860

    3 жыл бұрын

    Sio kivile sheikh wangu...huwezi ukakawa bungeni muda wote...

  • @TheMastertz
    @TheMastertz3 жыл бұрын

    Legend wa Kweli Wa Tasnia Hii!! Sugu ndiye msanii ALIYENYOOSHA mistari ya Bongoflava. Asikuambie mtu. Story Teller. Hadithi zilizonyooka, makini, kweli kuhusu maisha na jamii. Sauti ya watu. Mh anastahili kutambulika kama kinara mahiri wa Bongoflava!! Najisikia fahari kuwa muhusika katika hatua na harakati zake kimaisha na kimuziki!! ✌️

  • @catalanink174
    @catalanink1743 жыл бұрын

    Moja ya interview bora kabisa toka hiki kipindi kimeanza, asante Sugu, nimejifunza mengi kupitia hii interview, Mungu akubariki

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28963 жыл бұрын

    Sugu naomba afanye rmx ya Hayo hayakuwa mapenzi

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis33033 жыл бұрын

    Sugu mungu anakuona mana sio kwa vibes ilo na Salama mumetisha🔥🔥🔥🔥🔥na Faiza Ally apo anacheka tuu mpk bac akikuona kipenzi chake Baba Sasha😀😀😀😀

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba42083 жыл бұрын

    Kukata rufaa upo form3 bro i respect

  • @abdulmfaume7927
    @abdulmfaume79273 жыл бұрын

    Daaa brother katika history ya mama yako hapa umenigusa Sana !! Pole sana ,

  • @davidheche839
    @davidheche8393 жыл бұрын

    Mr 2 sugu..... im very proud of you niga.... unao uwezo mkubwa sana wa utambuzi wa maswala ya maisha kiujumla

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88743 жыл бұрын

    Kama umemsikia SUGU kasema ALHAMDULILLAHI gonga like tuendelee.

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @r.kassimtoutautre3432

    @r.kassimtoutautre3432

    3 жыл бұрын

    Iko bomba sana 🇧🇮Who 🇹🇷

  • @manchalijob9600

    @manchalijob9600

    3 жыл бұрын

    Ndo mnareta udin wapumbavu nyinyi

  • @freduallughano2301

    @freduallughano2301

    3 жыл бұрын

    Kwani alhamdulilah si ni lugha ya kiarabu tu waislam mbn upeo wenu mdogo?

  • @wazirituppa6739
    @wazirituppa67393 жыл бұрын

    Huyu ndio nilinifanya nipende mziki nimenunua Albamu zake sana

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto35143 жыл бұрын

    Hongera brother sugu naququbali kaka hasa kwenye suala LA siasa we are together

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija66723 жыл бұрын

    Sugu kweli ni mwamba ni mtu wa pekee anawajibu kwa jamii anajiheshimu na kuwaheshiku wengine na hichi kipindi kinatufunza mambo mengi hasa ya kuheshimiana na kujali wengine watanzania tunakosa kiunganishi!!!

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @mariagwaje8976
    @mariagwaje89763 жыл бұрын

    I like the statement ndoto ni bure it cost you nothing kuwa na ndoto.....Mimi nasema huitaji pesa nyingi kuwa na mafanikio unahitaji ndoto/maono kuwa na mafanikio 😜

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @belak999

    @belak999

    3 жыл бұрын

    @@shakilajuma4558 acha kusumbua

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda73473 жыл бұрын

    If your talking abt legend in music sugu iz the legend

  • @EBMSCHOLARS
    @EBMSCHOLARS3 жыл бұрын

    Hii interview nzuri sana, mafunzo makubwa sana na great memories

  • @abdallahsamuhando3997
    @abdallahsamuhando39973 жыл бұрын

    Like kwa jongwee mr II sugu mbeya moja green city

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @ahmedndossa2966
    @ahmedndossa29663 жыл бұрын

    I refuse to loose - I like this line. #Powerful

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa71562 жыл бұрын

    Taita Kama Taita,Taita mtata,Taita mfupi lakini fulu matata #EndeleaKutupaHasiraYakupambana #Sugu#mfanowakuigwa

  • @panjumitindo1135
    @panjumitindo11353 жыл бұрын

    Interview Bora Kwa Mwaka 2021 Appreciate #HipHop4rever

  • @omarimadiva5352
    @omarimadiva53523 жыл бұрын

    Ninakukubali Dada ,unanifanya nijifunze kuthubutu katik maisha yangu kwa sbabu ya wageni unaowahoji.

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita3 жыл бұрын

    Salama, I like how in these interviews you also open up about your personal life as well. Mbeya oyeeee nice interview.

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @sadiqmakunga1807
    @sadiqmakunga18073 жыл бұрын

    Maisha yanaendelea na naamini ipo siku utakua rahisi wa nchi hii!!na ni Mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye siasa

  • @aureliaissack8309
    @aureliaissack83093 жыл бұрын

    Sugu yo the best, we love you! Andika kitabu chako kilichoshiba vzuri, naomba kopy ya kwanza, niinunue japo Sina pesa ila ntanunua.

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @dapperadam4591
    @dapperadam45913 жыл бұрын

    Big up salama...I am falling in love with this channel 😍 ..🇰🇪

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa43673 жыл бұрын

    Japo siwez jua ya wawili na nini kilitokea,lakin Faiza Ally na sugu wote wako vizur kichwani..Mr sugu Asante kwa kushare exclusive 💪

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @shabanathman5836
    @shabanathman58363 жыл бұрын

    Salama napenda vile unafanya interview

  • @erickendrick3330
    @erickendrick33303 жыл бұрын

    Noma

  • @vitalischarles2714
    @vitalischarles27143 жыл бұрын

    Ata wewe salama ni legend down town kitambo....I salute you

  • @allymatilda7519
    @allymatilda75193 жыл бұрын

    Like za salama kwa interview kali 2021

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @emeldakazumba2487
    @emeldakazumba24873 жыл бұрын

    Interview Bora Sana

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan63433 жыл бұрын

    Huyu ni sugu tangu mdogo, kavunja mkataba wa hela akiwa chalii

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @mamoridan4675
    @mamoridan46753 жыл бұрын

    Salama dear you are the best kwenye interviewing 👏👏👏👏👏

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana28963 жыл бұрын

    Hip Hop kila mmoja anataka kuwa C.E.O yeah

  • @evaristomwilongo5567
    @evaristomwilongo55673 жыл бұрын

    Salama...Unatiiiiiiiiiiisha unagusa hisia za watu

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @patrickchegere1833
    @patrickchegere18333 жыл бұрын

    True inspiration from sugu

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @jumakapaya7169
    @jumakapaya71693 жыл бұрын

    Salama wewe ni mbunifu sana.hongera mungu akubariki.

  • @clarencemapunda4884
    @clarencemapunda48843 жыл бұрын

    MUCH RESPECT SALAMA KWA KUMLETA RAISI WA MBEYA,ANAJUA ANACHOKIFANYA

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @mathayojohn5440
    @mathayojohn54403 жыл бұрын

    Nakukubali Sana sugu niliumia uliposhindwa kwenye ubunge, Ila si mby ngoma zako ninazokibao Sana, Moto chini, hayakuwa mapenzi

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    3 жыл бұрын

    hakushindwa Ila wizi ulitawala hakuna nchi nzima kushinda chama 1 ata huku State vyama vyote 2 vimeshinda je Tz na maisha ayo na uchumi wap wa blue

  • @mathayojohn5440

    @mathayojohn5440

    3 жыл бұрын

    @@zuleikhakhamis3303 kweli bhn ipo siku kitaeleweka tu, pw bhn amani!!

  • @tulisanga2023
    @tulisanga20233 жыл бұрын

    Daaaah suguuuu kila nikikusikiliza kunakitu kinanijia kinaniambia nisikate tamaaa respect brother ntaish kwenye ndoto zako

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba89993 жыл бұрын

    Hii Episode nimeisubiria sana... SUGU is an inspiration

  • @elizabethsabilo1017

    @elizabethsabilo1017

    3 жыл бұрын

    hahaaa, was looking for your comment.

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @binarytanzania

    @binarytanzania

    3 жыл бұрын

    Mim pia nmetafta comment yako mze as nmeona previous interviews ulikua unaomba hii kitu

  • @rodrickmataba8999

    @rodrickmataba8999

    3 жыл бұрын

    Hahaha dah nimemsubiri sana ndugu yangu nimuone huku,

  • @magwajaonetz9984
    @magwajaonetz99843 жыл бұрын

    Sugu you real inspired me kaka

  • @alizuluman4739
    @alizuluman47393 жыл бұрын

    Datz true Legend Mr Sugu

  • @fadhilmnyamwezi5037
    @fadhilmnyamwezi50373 жыл бұрын

    Kama umemsikia sungu anasema hutakiwi kuwe kwenye mapenzi paka usijielewe goga like

  • @hidayagodfrey8837
    @hidayagodfrey88373 жыл бұрын

    Sugu nakukubari sana na mm Ni mmoja ya watu wanao jifunza kutoka kwako

  • @juliusjustice9170
    @juliusjustice91703 жыл бұрын

    Mr sugu en our lady salama Hallah

  • @asueddy1465
    @asueddy14653 жыл бұрын

    Mara navuta shuka nastuka, Naota Sugu ananiita,kwa mbali akilalamika, Nauliza vipi Sugu!? Anazidi kulalamika,anawaka, Music Bongo haulipi mwanangu me nang'atuka, Duuh natetemeka, nahisi Kama naanguka, KWA VILE BILA SUGU HAPA NILIPONISINGEFIKA

  • @ubaludomgulunde5827

    @ubaludomgulunde5827

    3 жыл бұрын

    Dunia mapito jama

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @danielluvunzu553

    @danielluvunzu553

    3 жыл бұрын

    Afande Sele kitambo sana aseee

  • @asueddy1465

    @asueddy1465

    3 жыл бұрын

    @@danielluvunzu553 saaaana

  • @johnmgohele2606
    @johnmgohele26063 жыл бұрын

    Nice, ina tia moyo sana ukisikiza ukaelewa.

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo6593 жыл бұрын

    We love Sugu so much

  • @adamsmashenenhe3364
    @adamsmashenenhe33642 жыл бұрын

    Daaah...............。。。。。。。。。。noma

  • @eddovanny2553
    @eddovanny25533 жыл бұрын

    Jongwe ✊

  • @rahimhamis672
    @rahimhamis6722 ай бұрын

    Broo more bless

  • @binbaya923
    @binbaya9233 жыл бұрын

    Respect Bro, Thanx Sister Salama kwa kumleta huyu Mzee. Mmoja ktk wapenzi wa Sugu frm Bs As- Arg 🎶🎶🎶Nimesimama akili inanituma kusema nasimama hasubuhi namapema, nafungua macho naona kitu nikama kiwingu polisi njoo na pingu masisha haya nibaya...🎤🎶🎶

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @daniellepari4525
    @daniellepari45253 жыл бұрын

    Ahsante sana da salama kwa kipindi chako wengi tutajifunza mengi kupitia kipindi chako ubarikiwe sana 🤞

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @gastordominic410
    @gastordominic4103 жыл бұрын

    Nice unemesahau kuwa ww ndio ulikuwa wa kwanza kuingia mjengon kama mbunge

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado ., kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @rashidiwaiti6686
    @rashidiwaiti66863 жыл бұрын

    Hongeraa Sana suguu nchii tu hii Sasa hatujuii Mambo yanaendaje mafuta ya kula Leo Lita moja duuu panador ndioooo mmmmmh

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @manko5627
    @manko56273 жыл бұрын

    Bunge laawamuhii hovyooooo

  • @atukyando6246
    @atukyando62463 жыл бұрын

    inauma sana kumpoteza mama kisa kutetea haki, siasa za bongo hatari sanaa

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe42033 жыл бұрын

    My role modal Mr sugu (Joseph mbilinyi)

  • @abelabba7809
    @abelabba78093 жыл бұрын

    Karibu tena

  • @nurumwangoka7424
    @nurumwangoka74243 жыл бұрын

    Nakubaliiii Suguuuuuu🙏🙏🙏🙏

  • @fakizotz1727
    @fakizotz17273 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @osbethdaniel7835
    @osbethdaniel78353 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @wilsonjublet4245
    @wilsonjublet4245 Жыл бұрын

    Rispect Sugu

  • @abdullahmunish3988
    @abdullahmunish39882 жыл бұрын

    The don... hustler...mbishi

  • @adamakyoo3003
    @adamakyoo30033 жыл бұрын

    G.O.T

  • @adamkamwakajulius6817
    @adamkamwakajulius68173 жыл бұрын

    Respect Mr II

  • @crizostomsamson3543
    @crizostomsamson354311 ай бұрын

    Sugu Master

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto35143 жыл бұрын

    Haifunguki salama

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @abdulazizam2929
    @abdulazizam29293 жыл бұрын

    Mx mmetisha Sana 🇸🇦🇸🇦🇹🇿🇹🇿

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @geeva99
    @geeva993 жыл бұрын

    Wadau wa mziki tunahitaji nyimbo za sugu ziwe online, ile legacy haitakiwi kupotea

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand67233 жыл бұрын

    Sugu Moto chini ✌️✌️✌️💪💪

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @mohamedkachapa4433
    @mohamedkachapa44333 жыл бұрын

    Salama katika watu wote uliowafanyia interview mr sugu kachangamka sana big up broh 💥💥💥

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph79313 жыл бұрын

    Ameacha mahusiano na Marry Juana ?

  • @anastaziamduda1803
    @anastaziamduda18033 жыл бұрын

    sanaaa wanyumbaniii

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @umakramzahor4836
    @umakramzahor48363 жыл бұрын

    Nakupenda sana Salama my Wifiii yangu

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @mollellominis2267
    @mollellominis22673 жыл бұрын

    sugu is a really , good man

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @MrSABYY
    @MrSABYY3 жыл бұрын

    Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa..... ------------------ Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 ☎️Whatsapp +255 653953900 📧 Email: charlessabikazi@gmail.com Instagram@mr_sabyy 🏢Company: Mofaz movers 📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏

  • @gastordominic410
    @gastordominic4103 жыл бұрын

    I like the way talk about mapenzi

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @djelly7621
    @djelly76213 жыл бұрын

    Namkubar

  • @joachimmashallo5800
    @joachimmashallo58003 жыл бұрын

    My favourite rapper ever

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @ahmedsalumomar5002
    @ahmedsalumomar50023 жыл бұрын

    I like humble me

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @herbertkamote2213
    @herbertkamote22133 жыл бұрын

    Sugu hilo jina amepewa na Ali choki twanga pepeta ampe credit zake

  • @kijokombao5345

    @kijokombao5345

    3 жыл бұрын

    Sio kweli choki alimtaja kipindi ambacho teyari anajulikana kama sugu

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai10813 жыл бұрын

    😂😃😄chuma kinae sifa

  • @sulleysidey2844
    @sulleysidey28443 жыл бұрын

    Nakuelewa mwamba

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @semsimbazisemsimbazi2866
    @semsimbazisemsimbazi28663 жыл бұрын

    Tuleteeni mstaafu mzee mwinyi..

  • @denischacha9104
    @denischacha91043 жыл бұрын

    Yahoo niga

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @hanifaally4694
    @hanifaally46943 жыл бұрын

    Bro jongwe 😍🙏❤

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @kudrachristopher5622
    @kudrachristopher56223 жыл бұрын

    Mbunge wa mbeya mjini😘

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @mamukassim4075
    @mamukassim40753 жыл бұрын

    Hahahaha. Allhamdullilah

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand67233 жыл бұрын

    Fido dido he's back

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @alphalidovick705
    @alphalidovick7053 жыл бұрын

    Dah sugu ni mtu atari sana alikata rufaa akiwa shule

  • @florianaskwer1452
    @florianaskwer14523 жыл бұрын

    Huyu jamaa hatare kweli eti haiwezekani uwe kwenye MAPENZI afu usijielewa

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @zarinatheboss243
    @zarinatheboss2433 жыл бұрын

    Uyu jamaa ni mwana harakati kamili aminia baba

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu44853 жыл бұрын

    Nakukubali

  • @shakilajuma4558

    @shakilajuma4558

    3 жыл бұрын

    Pia jua na hii kama ulikuwa bado , . , . kzread.info/dash/bejne/fJ2q29h7c5OXk5s.html

  • @rksimulizi9208
    @rksimulizi92083 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZpeCusqblM2ZcsY.html Wafahamu WAJITA, Hii ndio Historia ya Kabila la WAJITA

  • @oscarmills0819
    @oscarmills08193 жыл бұрын

    siaza za kibabe na za kdkteta ndio zilimtanguliza mama...af mama anauma balaa

  • @user-bk6ch1fb6r
    @user-bk6ch1fb6r Жыл бұрын

    😂😂😂 et saut mbaya

Келесі