Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 2
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Kusema ukweli kabisa mimi na mgeni wetu wa wiki hii hatuna urafiki wala mazoea kabisa, ila tunafamiana kwa mbali na pengine (naamini) kila mmoja anamheshimu mwenzake kutokana na kazi ambazo kila mmoja wetu ameshafanya, na hiyo ndo ambayo imeleta heshima kati yetu. Pia tukumbuke heshima hainunuliwi wala haihongwi, huja yenyewe na kutuwama pale inapoona inafaa.
Kwa kipaji na jina lake kuwa kule na huku nami ndo nilimfahamu Baba Levo. Utani wake kwa wasanii wengine (hasa siku za hivi karibuni) watanzania wamekua wakiuona sana. Ila kwa mujibu wa historia chache juu yake ambayo nilikua naifahamu Baba Levo siku zote amekua mtu wa utani mwingi, na kwa uelewa wangu pia amekua akitumia utani huo pia kufikisha ujumbe wake kwa alomdhamiria, na kwa aliyetumiwa ujumbe pia ataupata pengine huku akiwa anacheka. Nani atasahau matani yake kwa Peter Msechu juu ya uzito wake uliopitiliza ambao pengine unahatarisha maisha yake. Baba Levo amekua mstari wa mbele kumbukusha Peter hilo.
Pia kuna ishu za yeye kuwa ‘Chawa’ wa baadhi ya wasanii na viongozi. Lakini pia yeye ni KIONGOZI ambaye wananchi wamemchagua, na chama cha ACT kiliridhia yeye kuwakilisha Chama, hilo si jambo ya mzaha na bila ya shaka anahitaji heshima kuliko ile ambayo tunamuonyesha ingawa pengine jinsi yeye binafsi navyojijeba ndo kunatufanya tumchukulie hivyo, lakini haiondoi heshima na uaminifu ambao Chama chake kilimpa pamoja na uaminifu kwa kuwatumikia wananchi wa Kigoma kule, kama diwani wao walompa dhamana. Baba Levo pia ashawahi kuingia matatani kwa ugomvi wake na dola baada ya kuvunja sheria za barabarani, kisa ambacho kilimfanya akae jela kwa takriban miezi mitano.
Mengi sana yalikua yanahitaji uchambuzi na ufafanuzi, na kujuana pia kati yangu na yeye. Maongezi yetu yalikua kati ya muuliza maswali na mtoa majibu ambae alikua ana maelezo yake mengi sana na kwa hilo namkubali sana. Tumeongea kuhusu Siasa, muziki, familia, uongozi na marafiki. Yangu matumaini una enjoy kama ambavyo nami nili enjoy na kujifunza kutokana na maongezi haya. Nakutakia kheri na tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 546
Walee wanaomba baba levo arudi kwa interview mara tano tena nipe like
@matatambura3548
3 жыл бұрын
8
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Anakwambia atamstajabisha salama kwa kula 😂😂😂
@Agnes-qq4np
3 жыл бұрын
We aca ata mara10 nikiwaga na stress intarview yake haishagi kabla sijaceka
Am from kenya nampenda sana babalevo nipen likes
@estellemwai5402
4 жыл бұрын
Team+254 woyoooo
@juxjemc5768
4 жыл бұрын
Unampenda kwa lipi na shoga huyo wa shilole Sofia
@zuleyvendor6577
4 жыл бұрын
Wakenya amtulii kwenu
@kombemizinga4158
4 жыл бұрын
Team 254 napenda baba levo xana
@yoctanchandaromediarevolve9483
4 жыл бұрын
@@kombemizinga4158 sawa
Baba levo kwa nje utaona kama poyoyo fulan hiv Ila anadhahabu ndan yake. Nampenda kila nkiona mahojiano yake nainjoi Sana. Big up baba lestisia msalimie shost yangu letisia wa mapera na machungwa
@mwanaikaomar8628
4 жыл бұрын
Yani huyu kaka anavoniacha hoi.we acha tu .anichekesha mno.napenda sana kumfuatilia.
I am Kenyan, and I loved this interview. This guy is so funny and real.
Nimependa Sana hii interview. Yaani naona kabisa mpaka salama mweyewe unafurahi tu why me!! Huyu levo acha tu.
Hahahahaaaaa baba levo mama yako acngekuzaa tungekosa vichekesho daaaa hatareeee
Naisubiria siku salama na chid Benz 😀😀😀😀 siku hio salama uniambie mapema nijitayarishe kucheka.
sijawahi kuangalia interview ya baba levo af nikanuna, daima huwa nafurahia sana tu, big up kwake and i like the way mnataniana na msechu
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Na mimi
Sema baba level .hauchoshi unajitambua Sana 🤙 🤙 home to home ..muha musomi ..kg comedy #kigoma#kasulu tunajivunia kuwa na baba level.🌈🌈🌈☔☔
Baba Levo, mtu very confident! I like the show!
Jamaa anafani tatu,moja musician,mbili politician and comedian.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Salama ungeweka part 3,yani huyu jamaa ni mkweli na muwazi kabisaa
Baba Levo ni free spirit....hawatofautiani na Shilole... great conversation, great wisdom and of course too funny 😂
@beckarluhanga8421
4 жыл бұрын
Ndio maana wanaelewana wote mbili kasorobo 😁😁😁😁😁
@asiaseif7229
4 жыл бұрын
Kabisa
@asiaseif7229
4 жыл бұрын
@Youth Insider Thank youu
Hizo DISLIKES ni za wale polisi.
@bintiali5515
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@christinalrene1132
4 жыл бұрын
😂😂😂😂umeona eeeh
@teonilamwalongo7156
4 жыл бұрын
Kwel kbc
@princekatunzi795
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 nimecheka genuine
@Chikonda_Accessories
4 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
Diamond platinum,hujakosea kumsaidia baba levo. He's a nice guy. Asante sana . Inaonekana kabisa hana kiburi
Baba levo na msechnu ni watani;halafu wanatuzingua
😅😅😅nilisubiri mno kuona hii interview big baba levo
Mungu akupe maisha marefu nikija fanikiwa unihoji pia❤️
Aki Nampenda babalevo😂😂😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Uyu jama anafuraisha sana kuusu msechu
Baba Levo kichwa chake kina chumvi🤣🤣🤣🤣
@khadijagundumu6210
4 жыл бұрын
Aahaa 🤣🤣
@gloriousn6425
4 жыл бұрын
Tena wa mawe 😫🤣🤣🤣🤣, lmbao
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Kweli👌
Anaemchukia baba levo mbingu ataiskia tu utajikaz usichek ila utachek tu 😂😂😂😂
Mzee wa all in all yaani full comedy we mzee unajua 😀😀
This IS THE FUNNIEST INTERVIEW here salama!!! for real this man is a real Life joke 😂😂😂😂😂 i laughed mwanzo mpaka mwisho! Even salama didn’t have to ask many questions
Nilichokiona huyu jamaa ni chizi lakin ni chiz frex kuna mambo nimejifunza ki2 kutoka kwake
Baba levo......... another brilliant interview
Listening to your story makes me appreciate the freedom we enjoy in Kenya. Just a simple altercation with men in Uniform can ruin your life in TZ. Pole sana Baba Levo.
All in all this guy is smart n funny. I see him far💪🏽
Nakupenda sana babalevo am from bahrain ...npee likes
Nimeangalia epsod zote madam Kama kunanyingine ya babalevo weka tucheke all in all
very interesting show. Baba level uliongea vizuri sana hii show. nimetamani kukusikiliza siku nzima
asiposema all in all basi atasema its not a big deal....😂
@rahabumshani8671
4 жыл бұрын
Umesahau na ka SO anakapendaaaaa🤣😂😂😂😂
@scholageorgekivamba676
4 жыл бұрын
@@rahabumshani8671 @Rahabu....aniii huyu baba n noma 😂
@ezekielevarest9215
4 жыл бұрын
Utasema anamaliza konklusion ya ese
@jasminyiddysulaiman9807
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@stevenmaketa8051
3 жыл бұрын
Daa uyu jamaa nishiidaa
Msema kweli baba levo yupo wazi namkubali. Kijana hana unafiki. Mu gu hupenda watu kama hao.
Had sasa Baba levo kaongoza kwa vyuaz ktk kipindi cha salama na . . .. Toka kimeanzishwa
@jaychagagaltv659
3 жыл бұрын
Wooow kwelieehq
Okoka bila dukuduku..😁😁😁😁🙌 🙌🙌ila wewe baba levo sijui km utaenda mbinguni
@jenipherruben7330
3 жыл бұрын
😂😂😂
Bonge moja la interview, though jamaa anafurahisha but he talks very sense, ofcuz jamaa ni mtani sana ila he has big leading idea ndani yake, yani shule tu ndio kamisi Ila akili yake ni zaidi ya shule
Salama fanya kipindi na Peter Msechu, nimefurahia sana haya mahojiano
Uyu jamaa cjawai kuchoka maneno yake yaani daaaaaah kumckiliza ni zaidi ya show ya Michael Jackson dadadeki
Nimecheka saana,he’s so funny
@Salama that's nice interview he's cazy but he keep💯 i learn and understand most of things through life we living #muchrespect
🤣🤣🤣🤣Baba Levo ile bangi aliyo vutaga zamni bado inatumika haya maneno sio ya kawaida
@salama2625
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Gonga like kama unataka behind the scene ya Salama na Baba Levo
Okoka bila dukuduku ila Leo salama kapatikana jamanii all n all
Naomba Juma Nature atupe simulizi kuhusu tmk na game ya bongo ya zamani
Kwa heshima yako Salama, naomba baba levo arudi at least one more time 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Okoka bila dukuduku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yani nimecheka uwezi amin😂😂😂😂
Baba Levo wewe ni 🔥
Baba Levo all in all😀😀😀 and it's not a big deal😀😀😀huy jamaa anafurahisha Sana interview zake
Jamani baba Levo arudi tena
@mamatee9756
4 жыл бұрын
kweli kabisaa
Amazing interview from kenya Baba levo💋💋
Asante salama kwa kuleta baba Levo hataa mimi Mecheka sana jaman
Baba manyumba,hujakoseaga mzee,,all the way up man!!😂😂😂😂😂
Hhhh yani huyu baba levo akili yake anaijuwa mwenyew
All in all Baba Levo we ni nomaa.... natural comedian hutumii nguvu....
Big up kwa salama na crew yote na huyu chizi sijui belevo baba
Nampenda sana Baba levo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Salama asanteee .Ila bdo tunamtaka rommy galess msomalia wa bongo movie
baba levo bhana umejua kunifanya nicheke sana🤣🤣🤣🤣
I really appreciate content ni nzuri saaana sana huwa nafatiliaaaaaaa safi sana
🔥Uyu Kaka ako smart🤞🏾
BORA HUKUWA MJESHI MAANA TUNGEKUWA HATUPATI BURUDANI JMN ALL IN ALL NA ENJOY
Mimi ni did a from msa nimefurahi sana mahojiano ya baba levo nimecheka sana
From 🇺🇸 love the guy. He is funny, lol. He should coming there often
Interview hii ni best of all the interviews
@paulshirima4561
3 жыл бұрын
nice interview
Nimecheka sanaaaaa baba Levo we ni nomaaaaa
Yani baba levo nampenda sana yeye na msechu
All in all imekoma😂😂
@najumshamisi6505
4 жыл бұрын
Hahahaha ata usisiseme
@beckarluhanga8421
4 жыл бұрын
All in all nakutafuta kumbe upo busy unamuangalia baba levo.😁😁😁All in all ukirudi nyumbani ni makofi tu
@happymacha3235
4 жыл бұрын
Judy mpaka huku jaman 🤣😂🤣🤣🤣 all in all bando letu halijaisha bure
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
Shauri. Yakoo
@innocentmushi1550
4 жыл бұрын
😂😂
I wish to live like Balevo stress free
Namkubali san baba Levo👏👏👏🙌🙌
Dah namkubali sana Baba levo mkweli ATA km aibu yake haoni tabu kuisema wazi
Baba levo nimemjulia akiwa TMK kwa nature
Nilichogundua Dada Salama una Huruma sana,, naomba one day tupate lunch pamoja
Chukua kimodo nawewe ukakionee, konkolo,kokonko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwi mbavu zangu 🤣🤣🤣🤣🤣 mjinga sana wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤
@dafxclass
3 жыл бұрын
😄🤣kumbe ime kuchekesha😳
Tunamtaka Sir Jeff Dennis...
Okoka bila dukuduku 😂😂😂 baba levo wewe ni nomaaa sana
Huyu jamaa yuko vizuri sana manake ana jiamini sana
Baba Levo🤣🤣🤣🤣 love from Canada 🇨🇦🇨🇦
Hii interview ni sehemu ya unyanyasaji unaofanywa na polisi na mahakama. Kuna jambo la kujifunza hapa.
Ntakunyoosha salama
Yaani baba levo anachekesha'sana🤣🤣🤣🤣🤣
Umenikumbusha mbali sana baba levo OBD na GAZ BuTI
I enjoyed
Interview inahamasisha kuisikiliza, saf baba levo
Nimependa kipindi hiki,interview ipo vizuri. Muendesha kipindi na mgeni wapo huru. Sambamba na hayo,mic camera na location kwa ujumla na idea ya kipindi nimependa sana. I have a dream,bila shaka nitafuata nyendo hizi na baadhi ya mafunzo ili siku moja kiwepo kipindi kinaitwa RK....
@faustinsirili3480
4 жыл бұрын
Baba Levo wewe uko sawa
Mimi mwenyewe huwa nakunya hata kama maji hayapo, mengine mbele ya safarii
Basi all in all imejutraa👌👌👌😂😂
Kula nakujigalagaza .naipenda sana🤣🤣🤣
Asante sanaa baba levo
Aise Baba levo ni muwazi, i like this interview
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Uazi adi unakera 😂😂
all in all it's been a good show.
@linnetmbotto7212
3 жыл бұрын
All in all I enjoyed it
Bi levo ba mtalaam fundi majumba🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Nimelike kabla ata sijawatch 😂😂😂😂
Baba Levo jaman una nifurahisha sana mineno yako
Uko vizuri Baba levo
Nimeenjoy sana
The Best interview
@mariemkanya1478
4 жыл бұрын
ever
Respect san Baba revo,
Baba Levo u made my day👏👏
Nampenda sana babalevo
All in all😂😂
Just great