Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 1
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNaIdris #Trooper #Idris
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
TROOPER
Mimi kama watanzania wengi sikuwa namfahamu Idris, mara yangu ya kwanza kumuona ilikua kwenye TV akiwa mmoja wa wawakilishi wa Taifa hili kwenye kipindi cha Big Brother mwaka 2014. Nilivyouandika hapa huo mwaka ndo imenigusa akilini kwamba ni miaka sita tu imepita toka Idris Sultan amekua kwenye macho na midomo yetu. Na pengine ataendelea kuwepo kwenye midomo na macho yetu kwa miaka mingi zaidi, kuna sehemu nilikua naangalia interview yake moja na alisema yeye umaarufu ndo kitu ambacho anakipenda zaidi, pengine na ndo maana alienda kwenye shindano la Big Brother Africa na toka ametoka mule kama mshindi sidhani kama kuna wa kumsimamisha au cha kumsimamisha yeye kuweza kutimiza ndoto yake hiyo.
Kama kijana mwengine yoyote toka tumfahamu Idris amefanya mambo mengi ya kutuonyesha kipaji chake, kuanzia vipindi vya radio na tv, ku mc shughuli mbali mbali, kufanya comedy na sasa kaamua kujikita kwenye uigizaji na hakuna swali juu ya kipaji chake cha uigizaji kama kimepamba moto ivi na pia inaonekana amenza kijielewa na sidhani kama kuna wa kumsimamisha.
Idris aliweza kushinda zile pesa za Big Brother ambazo zilikua ndo habari ya mjini, inawezekana pia zile pesa zilikua na Tanzania nzima maana nakumbuka hasa mahesabu yalokua anapigiwa baada ya ile hela ‘kuyeyuka’ katika mazingira ya kutatanisha kitu ambacho kilimfanya awe kama kichekesho cha nchi. Inachukua moyo wa ziada kuweza kupambana na mawe ambayo kijana huyu alikua anarushiwa kutoka kila kona ya kuhoji na kudhihaki maisha yake na baadhi ya maamuzi ambayo aliyafanya kwenye maisha yake. Na nadhani mpaka hapa tulipo? Idris 10 sisi 0! Nakumbuka kama miaka mitatu iliyopita nilikua na kikao nae sehemu akaniambia anashkuru sana haya sote yametokea kabla hajafikisha miaka 25, kwa yeye kuweza kufanya mistake kama alofanya nyuma haiwezi kutokea tena. Anaamini amejifunza mengi na kuyaona mengi baada tu ya kupitia mtihani ule.
Kwenye maongezi yetu haya tulikua hatuwezi kuacha kuzizungumzia pesa hizo ‘za taifa’ na kutaka kujua haswa kinaga ubaga juu ya nini haswa kilitokea. Pia kuhusu mahusiano ya kimapenzi yalowahi kutokea maishani mwake, vipi aliweza kupambana na mawe yaliyokua yanarushwa upande wake, humu pia tumezungumzia biashara michongo ya mjini, kipaji chake na mipango yeke endelevu pia. Here’s to our Trooper, tafadhali enjoy!
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 471
Tuliorudia hii interview 2023 gonga like hapa tujuane
Kwa mara ya 10 naangalia hii Interview, my best interview of all the time
@johnedward8760
3 жыл бұрын
Duh!
@JeffAgriculturefarm_4949
Жыл бұрын
Nikajua Ni mm tuu nailudia kilaa sikuu🤣🤣🤣
@Jose_Junior7
11 ай бұрын
Nmechelewa kuifuatiliaaa 😂
Kumbe Ruge kaplay part kwenye maisha ya watu wengi eeh day RIP bro you where really an icon na motivator na minua watu
Historia ya idriss yafaa kuwa kitabu, ni Zaid ya motivational note, inaumiza Kuna muda unatoa chozi, mwisho wa siku Mungu wa wote Mungu ni wa Second chance... fantastic interview
Daaah! Usiamini mtu yoyote kwenye haya maisha 🙌🏽🙌🏽 ila kuanguka ndo kufanikiwa
This is moree than Interview,,, sijui kwa nini mnataka motivational speakers kutoka nje ambao wanaaoongea tu hawajapitia chochote kilee. Yaani Idris kwa changamoto ulizopitia na hapo ulipo fikaa unasahili Tuzo na pongezi nyingi saana .Hongeraaa kwa kwa hi exclusive .. #Yahstonetown #SisSlamaa nice Job
@florakilasi8027
4 жыл бұрын
Upo sawa sana,nimejifunza sana na nimependa mno...tuna kila sababu ya kujali tulivyonavyo...na kuvipa nafasi!
@jameselias5277
4 жыл бұрын
@@florakilasi8027 kwel
@eliabeliud490
3 жыл бұрын
Nime download naitajiiii kuisikiliza Mara kwa Mara koz imenifundisha sanaaaaa sanaaaaa daaa
We need interviews like this one, Idris r the MEN....
wangapi wanatazama hiii interview mwaka huuu mimi ni mrundi kusema kweli napenda sana kufuatilia kipindi hiki na niko inspired na salama kwa sababu na mimi ni mtangazaji kutoka Burundi
Wallahi mwanadamu akiwa hana madeni ni raha ajabu....mungu atusahalishie sote
@apollojohn5698
3 жыл бұрын
Kama nakujua vile
@husnastylist5134
3 жыл бұрын
@@apollojohn5698 mimi pia haaaahaaa
@apollojohn5698
3 жыл бұрын
Nitumie namba yako please
Nimejifunza mengi kutoka kwa Iddris among of my role model
Story nzuri pamo mafundisho mengi nakupenda salama 😍😍😍
There is so much strength in you Idris.. its not easy to talk about personal struggles.. I admire you for that. You are an inspiration 🤗
Afu utakuta mtu anataka inspiration speaker from outside the country dah.
Bless you Ma'am for what you are doing...this is so priceless. And kwa bro Idris, thank you for the honesty and the life lessons....I am taking notes Sir.
One thing i learned in this Life, is that WHATEVER YOU GO THROUGH, IS MENT TO SHAPE YOU BETTER LATER! Speaking from His Experince and Mine Which kinda relate! And as they say, ITS NOT HOW YOU FALL, its HOW YOU GET UP!!!! Much Love Iddy
@simp1eone
3 жыл бұрын
Sir can you please teach me Swahili? Maybe via whatsapp voicenotes
@Richard_Range
3 жыл бұрын
@@simp1eone welcome! I will be glad to
@shemahlupiga4580
Жыл бұрын
This interview can made me more perfect in advice on the fact of life struggling
Among of the best interview I have watched!! Imenifundisha, imenioniumiza na imenichekesha. Lesson learned!! Thank you Salama!! And thanks Idris for being open. Umetufunza wengi.
This is one of the most inspirational interview..i hope we viewers learned a thing or two.
Kuna Mzee mmoja alikua akishika nafasi kubwa Sana serikalini ila siku amelala hospital alisema saidia Na usahau maana hakukua Na mtu yoyote toka familia yake, ni Mimi Na baba yangu tu ambae zamani hiyo hawakua Na ukaribu ila ukaribu ulitokana Na wazazi wao. Ni Leo hii tena nasikia neno hili saidia Na usahau.
Wow, umefanya vema Idris, umeni inspire kiukweli, namimi napitia the same thing japo tofauti kiasi.Ila nimejifunza kitu.
@Souza_G_94
3 жыл бұрын
Poleeeee pia my dear trust on the process you will walk through t out...
Idriss hii nizaidi ya shule kwauliyopitia naukainuka wewe ndio wale watu wakisema getromen ndio wewe sasa ml 600 inapotea yani ile vuup alafu unapata tena nguvu yakuinuka aiiiiseee hakuna mfano wake wengi wetu tungekimbia nchi kabisa au kujikatisha uhai unaweza kusema kama uchawi hivi IDRIS RESPECT BRO MUNGU AKUBARIKI SANA KING
Ubora wa Mtangazaji Na KIPINDI unafanya muhojiwaji afunguke vingi
@tausak4568
4 жыл бұрын
True❣️
@missdija4959
4 жыл бұрын
Fact.
Love the session ,Salama Na I.Sultan . Learnt alot from it
He's a very strong person and underrated congrats Idris
Thank you so much Salama. Yani you are the best ... ever since Idris alipo toka BBA, alikwepa sana kuongelea iyo issue ya money but you made it happen, so I’m so thankful for that because I have been looking forward to hear this story for a very long time
Aisee ktk hii dunia jiamini mwenyew na Mungu tu
Big up Ecejay!Heshima kwako bro Idris,you’re the man. Daammn this LIFE 🙌🏿
@florarose1626
4 жыл бұрын
Ben fr man he the man
" once you have realized you have losted ,you will look back and come for new" that is profoundly liberating = granted
@strong8534
Жыл бұрын
Losted doesn't exist ma brother
Amazing sana kwa kweli. Nimesoma kitu kikubwa kutoka kwa Idrisa. Thanks Salama J.
Jaman what happened hadi nikamiss this interview...one of the best interview ever...lesson learnt🙏🏼🙏🏼🙌🏽🙌🏽
I m so much inspired by this.. a lot of life lessons and experiences
Wow Idris...great man and very positive.🤴🤴. Kweli nimeamini never put too much trust on friends..they will betray you more quickly for they will be easily aroused to envy...yani nakuelewa so well. Salama that's not stupidity ni kwamba watu hawana Aibu wala utu. watu ni wabinafsi na matapeli in short uyo rafiki yake alimtapeli sana mpaka akasababisha his downfall.....cause listening to the interview the guy was generous and thoughtful as he thought about uplifting his friends who helped him in his journey. Tatizo hao marafiki ni feki yani wabayasana. Yani na nimeshukuru kwamba ameweza kujikusanya nakurudi katika umaridadi wake....mungu atakusaidia siku zote endapi nia yako taangia mwanzo haikua mbaya. Sasa Idris ameweza kuja Juu naamepata mafanikio ninaamini atafika mbali na endapo ataweza kujifunza na kukumbuka kutokana na uzoefu ya mambo aliyofanya na lupita apo nyuma ataweza kuimarika ni kwamba usimuamini mtu yeyote..and salama thankyou for this interview it was very interesting na nimependa set up ya interview room yenu..it doesn't look like an interrogation centre or a cave...😁
sure l was taking this man for granted but today l learned a lesson ,And it is the best interview.
@lovelife99999
4 жыл бұрын
Mi nilinamchulia poa kukuliko, dah respect!
@jacksonchami9959
3 жыл бұрын
You should know they make up some of those stories to make it interesting....am sure it didn't happen as he narrates it.
Aise hii interview imenipa shule kubwa ambayo kwenye maisha yangu sijawahi kupata shule kama hii, mungu akubariki sana salama j
Nilichojifunza biashara inakutaka wewe kuliko mtu yeyote yule...kama huwez kuisimamia biashara yako funga biashara hiyo👐👐🔥
@sadadullah3830
4 жыл бұрын
Nice and real
@zaylaizer6542
Жыл бұрын
Kweli
@paskaldominic5725
Жыл бұрын
Hujawahi shika hela...so tulia kwanza uzipate zipotee then ujue namna ya kukusanya taratibu...you will never start from the crush but you will start in experience
Salama u'r the best presenter and ths interview ni lesson for many ppl ukianguka inuka start afresh
Ndio maana nasemaga hii ni my favorite show....alipo salama mambo yapo vizur sanaa ❤🥰
Wooow, Aiseee hii ni bonge moja la interview🙌, Nimejifunzaa so many things.
Salama is so lovely for sure... Eti shushia na cheers.. I really liked that comfort
Nimesikitika,nikacheka,na nikajifunza ,shukran sana salama kwa kutuletea idhris
Am new here and am loving your show Salama......unique kind of interview👊🏿👊🏿
Great interview. Alafu production iko top sana! Big up to the crew!
Salama love u guineas but idris u make me cry but what u went through makes u a truly man big up bro
Big up bro.... never give in life koz God is always there 4 u.... big up idris
Doooooohh this man kapitia hard time but he stand strong, yo billionaire. Yo inspiration.... Salama yo best tv presenter
Dah! Mimi ningekufa kwa pressure, hongera sana Idriss kwakuvuka hayo mapito.
This is epic 🙌🏽so much to learn .
Best interview of the year Siichoki nairudia mara 3 sasa
😂😅😅😅 nihera tu this story is amazing 😉😍😍 Idriss we noma, and yeah fake friends still exist 😍
Welcome back our favourite show napenda mlivyo stick kwa muda wa kipindi
@malaikamalaika2368
4 жыл бұрын
Salama amependeza sana
This is more than a motivating story 🙌
@babyhamisi5331
4 жыл бұрын
Your right
@sylviakadeha3261
4 жыл бұрын
Sure
Huyu idris nilikuwa nikimuona boya lakini kweli wanadami hawafai kudhania idris bro hii story yako wallahy imeni touch nanisomo kwako na kwetu but am now number one shabiki wako brudah umeongea vitu tafauti na wewe tunavokuchukulia safari njema kwa maisha yako we learn through mistakes
This is more than interview..., Mwenye timamu kapata kitu apaaa..., Uyu jamaa hajawah kubore keep it up broo
@florarose1626
4 жыл бұрын
Vickie Magige nakwambia ambaye haja jifunza hapa sijuwi anawaza nini 😅😍
And This Is The Best Interview! Over! If one doesn’t get inspired here! I bet Nothing will
Da Salama nice interview,Idris umetupa moyo,katika maisha kuna kupanda na kushuka.
Exclusive interview big up Idris na Salama
Honey Salama hii ya Idris nimeiona leo ndo nimemaliza baada ya kula daku. Babe Dubai summer imeanza tuombeane sahali inshaaAllah. Love u right, left and centre 😘😍😘
Big up Salama,nimejifunza sana kwa bro Idris
Aiseee hongera sana sister Salaam Allah akubless saana pia hongera Idriis kufight hadi leo umekua somo kwa wengnine
Duh🙄Mwanaume na nusu,nimepoteza ml moja tu kwenye kilimo cha nyanya nahisi kunyemelewa na kisukari,Speaking of 600 ml hata kaburi langu lingekuwa limeshatitia.Mungu nijaalie moyo km wa Idris mimi🙏🏽
@FrankSteven_Tech_Eink
4 жыл бұрын
Hahahaa dah broh
@lovenessmwaipopo9168
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@esterdanford9683
4 жыл бұрын
Maisha yana mengi..
@esterdanford9683
4 жыл бұрын
Amen atakupa huyo moyo @kidada kidawa
@clementinamchau4741
3 жыл бұрын
kidada umenichekesha...😁
Pole sana Bro Idris kwa uliyopitia, ila hongera sana kwa ku fight na kufika hapo ulipo🙏
Mmetisha Sana...so much inspiration in one video
Nzuri... Inahamasisha kuto kukata tamaa... 🔥
Sauti ipo sooooo clear. Awesome!!!
Hao ndio marafiki ukiwaamini sana lazima wakutende na kukutenda kwao ni kukurudisha nyuma hawakumbuki wema wala fadhila ....... yamenikuta Hayo sitamani rafiki kwa sasa ndugu wananitosha Alhamdulillah
Hichi kipindi au hii program ninzur kina faaa sanakufuatilia salama my sister hongera sana brow pole sana kwa uliyo yapitia kwamana misukosuko kamahiyo mtu mwenye roho nyepesi angewza atakupatwa na magojwa sugu kwajir ya mawazo kamabinadam, ila histor yako ina azet flani kwenye maisha, ila nakubali apo kwenye fani ya sister suzi nae duh!
Nice Motivation. Suggestion Interview ya Diamond Plz.
Jamanii from million mia 6 to zero kuna cha kujifunza hapa, kwamba Mungu akiamua kuchukua chake anachukua
@iamzillahx6901
4 жыл бұрын
Not 6mill it was 600mill
@ikupakyalaalimwenr8156
4 жыл бұрын
@@iamzillahx6901 yah nimeandika million mia 6😂😂😂
@krauseboss3240
4 жыл бұрын
Ikupakyala Alimwenr du pesa kama hizo unafaa kununua kwanza nyumba
@beatricekingsley5062
4 жыл бұрын
Duuh me roho ingeniuma million mia 6 zote
Salama nakupenda Sana ❤️ ila zaidi nakupendaga kwenye ile staili ya Kwanza yaani kunyoa viduku nakupendaga bureeeee 💪💪
Here in Belgium we are in quarantine but I came across this video by chance and I do not regret because I laughed so much! 😂😂 joke aside idriss u're a strong person!! Continu comme ça et tu ira loin 🦾
Nainjoy sana kumsikilizaga idriss
I am cutting onions, God bless you Idris.
Hii interview niliipenda sana.Bigup Salama
Pole sana Idris inasikitisha lakini ndio moja ya njia ya kufika M.mungu akubariki
I learned many things through this interview
salama jabir wewe ni creative saana,hongera ,hujawahi niboaaa
Nani mwingine ambae tunaicheck muda huu saa 8 usiku? ( Live now )
@jackimwati3864
4 жыл бұрын
Wapi
@mopaybeatz
4 жыл бұрын
@@jackimwati3864 Haha.. Hapa KZread
@dublea4118
4 жыл бұрын
Mii youtube
@evancenicholaus7739
4 жыл бұрын
yap yap!
I wanna marry Bint Jabir for real!
bonge LA kipindi salama umetisha sana idrisi.
Salama jabir@ecejay the best presenter😘😍
I love #idris#salama
Imenijenga sana katika kukua kiuchumi koz nimepoteza kwenye biashara Flani 850k niliisi nimeishiwa kila kitu kwenye maisha yangu
@volatilitysetups8505
4 жыл бұрын
Forex nn 😀😀
@angelakisamo3862
4 жыл бұрын
😭
@ngelejangeleja6584
4 жыл бұрын
Amna sio forex alafu siwez kujiunga na biashara Kama iyo ya kitot
🍁Tis man is Genius💥🔥 that's why I decided to repeat this interview. Unajua kutoka kuwa hauna kitu na ukafanikiwa and then ukafilisika na madeni juu, ukarudi kupambana na ukawa zaidi ya pale ulipokuwa ki mafanikio ni somo kubwa sana sana🍁
@praygodkweka3951
2 жыл бұрын
Sana
Naipenda hii interview kama navompenda Mwanangu,Roho yangu Lee
Hii Interview ndo salama ndio kasema masikini mara nyiiiiiiiiingi Zaid!!!!!! Hongereni sana 🤝 wote mmetisha
One of the favor interview
Kipindi ambacho hkn 👎dislike hy ndo SALAMA NA yule wa Mkasi Big Up cct kistuli
much love to you idris___respect 🤛
The best interview ever, sijui kwann nimechelewa kuiangalia
@nickalreadyknows
2 жыл бұрын
So mbayaa now you know
Daaaa pole sana idris maisha ndivyo yalivyo
Cnt wait
We need interview like this
Duh M enjoying the story from Idrisa but it has to teach us alot
I get you on trust. I have come to learn, don't even give a minute to your enemies. Keep your guard on friends, close friends
Kweli mwamba lazima uanguke kwanza ndo usimame imara, big up sana.
Lesson learned 🙏🏾
@florarose1626
4 жыл бұрын
Simply Uncle Ally yessssss
Akii nimecheka ,nimelia mejifunza something from Idris Akiii salama kipindi Kiko bomba kinafundisha maisha
Truthfully spoken
Very creative Salama your in my heart for real❤ ,this more than interview big up idriss
Impressing !
What an inspiration