Idris Sultan afunguka alivyopoteza TZS Bil 1.5 mwaka 2020, 2022 kuwa staa anayeingiza mkwanja mrefu
Ойын-сауық
Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti
Пікірлер: 85
Proud 👏 movie nzuri Sana. Idris is very street smart nimejifunza sana kwenye hii interview
Idriss he’s such a Genius 🔥
super star idriss sultanga mbote mbote my handsome brother
Movie poa sana tumpe Idris support ya kutosha
SKY anajua ku_interview sana
Huyu jamaa Yuko na vibe nzuri balaa Kwa interview which is incredibly awesome asee 🤜🤛
Idriss Sultan Big Brain japo anafosi sana kuchekesha
You guy I really love cause your are the man of vibe all the time 😊😊😊😊
Ila Idris 😅😅😅🙌🙌🙌 nampenda kiukwel Allah amuweke 😍🤲
Big up indrisa
Amazing Tanzanian interview 2023 I just love it. Where's part2 cz niko sure bado unaendelea
Nampenda sana idris. He is so handsome mashaallah
Nimetazama movie na mwanangu. Ni nzuri sana sema imeishia pale ambapo utamu unaanza kunoga. Yani zile scenes ambazo ameziweka mwisho wa movie tukatamani angeziingiza. Au labda anampango wa kuleta part 2. But in general it's good. Well done.
@KirangaHouston
Жыл бұрын
Inaitwaj . Mi nimeitafuta.. sijaipata
@alphaigogo787
Жыл бұрын
@@KirangaHouston inaitwa Married to work
Napenda sana ntavu ya idrisa😊❤
Nawapenda sana ndugu zangu❤🎉
Idris ni moja ya watu ninawaangalia sana #RoleModel✊🏽
Nimependa sana yaani hongera sana ni me enjoy sana appreciate ❤🤗
Nimeiangalia jana hio filamu kwa kweli niliifungua kwa sababu ya idriss tu.hongera film nzuri.
@advocatekarama4917
Жыл бұрын
Ni nzuri?
Proud sana Idris ❤❤
Huyu jamaa noma sana,pia siyo mtu wa kukata tamaa
Hongera sana 😍😍💪
Great interview bro. I just downloaded the movie from Netflix. I can’t wait to watch it over the weekend. I’ll be blogging about it in work next week x
4:00 huyu Ni Mimi kabisa 😂😂😂
Iyo kusov problem kabla ya kutokea nimeipenda sana bonge la ideal nmeichukua iyo
From mozambique
Idris! Idris! Idris! Nimekuita mala 3 unakitu utafika mbali
Idrissa ⚒️♨️
Huyu jamaa huwa nacomment kabla sijamsikiliza akili mingi sana 💪
Nimefurahi sana
Watu wangu wote niwapendao
Another one 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧💙💙💙👌👌👌
Mogul📌
🙌🙌🙌🙌
Nimepata kitu leo
Idlis unafeli wapi wateja wakiwa wengi ndio fursa iyo chansi angepata mchaga ndio ungejua unafunga eti wateja wengi
@nembrislukumay2367
Жыл бұрын
Hapa kwenye hii point katudanganya, kwa nini asirekebishe time ya kuanza kusaply chakula eti unafunga business sababu wateja wamekuwa wengi big NO
🎉
Akili kubwaa
Genius
@rugaziabaisi6199
Жыл бұрын
Hi mr
@rugaziabaisi6199
Жыл бұрын
Hi mr
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Huyu mwamba amesha toboa
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases
Wacha niingie Netflix Germany 🇩🇪 kama nitaipata nami niione
@machintangachibwena5922
Жыл бұрын
Chupa kali hapo Aly Sayda Hotel namuona Morien akiwa Reception Dah kitambo sana
No noo unatudanganya in case ya wateja kukuzidia hadi kufunga biashara also idadi inakua sabb ya kukufelisha
Idres kind anaongea kama Adam Mchomvu au Mchomvu anaongea kama yeye.
@mjukuumoraa8491
Жыл бұрын
Cyo Mzee kikwete
@mamapelyekelye9799
Жыл бұрын
Kiswahili cha watu wa Arusha hiko
Safi mwandishi
Akili n kubwa sana kwenye utani wake😂✌️
Kweri ni kusengeza
Kwa ulichoongea kuhusu biashara Idris haupo sahihi , inabidi ujifunze zaidi kuhusu biashara, unge manage kwenye quality na si quantity. Kina kanye west wakilaunch viatu wanauza vyote kwa sekunde kwasababu ya idadi ya watu. Hawakufunga biashara
@neemasamweli5221
Жыл бұрын
Kweli kabisa. hapa katudanganya Sana tu
@shahamtindo
Жыл бұрын
Ila mwisho kaweka wazi kuwa shida ni anashindwa kumanage, maana yake ni POOR MANAGEMENT.. Na unapokuwa na wateja wengi halafu huna perfect management lazima utafelisha tu
@allymoshi2053
Жыл бұрын
Kwelii demand SKU zote lazima iendane na supply kama unawateja wengi lazma uongeze human resource iwe kubwa kulingana na capacity ya wateja wako na ndio maana ya kwenda shule unaweza ukapanga kila 1 delivery person akawa na customers wake 20 kwa SKU wa kudeliver
@mjukuumoraa8491
Жыл бұрын
@@allymoshi2053 jamaa unaakili big up
@gq7777
Жыл бұрын
He had good problem ya kuwa na customers wengi…. Ila naongea kitu that doesn’t make sense… he is proud of anticipating problem kabla hazijatokea, yet business failed sababu ya extreamly good problem ya more customers… both sentence can’t be true. He is smart guy overall and humble guy. Business failures are great tools to learn
I loved this 13:12 🔥🔥🔥
🤍🤍🤍💙💙💙
Iike my comment I'm coming
Huyu jamaa ni Mimi mtupu Ila nimemzidi ukimya
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases 😂😂😊
wakinga tuna nini😂😂
Jamaa idris ni ana akili sana wengi hatuja fika level yake ya ku jielewa
@medardnkilijiwa1976
Жыл бұрын
Wewe ndo hujafika🤣
@lareineminah1353
Жыл бұрын
Kweli
+974
Sema mtoto iddi anasound kama jakaya kikwete hivi
@mjukuumoraa8491
Жыл бұрын
👊
@angelamshama1288
Жыл бұрын
Mmhh cdhan
@valvederraymond6125
Жыл бұрын
Hata mm nimehisii hvyo
Uyu nae muongo tu
@shahamtindo
Жыл бұрын
We ni rasta au mfuga nywele?
@philemonambilikile
Жыл бұрын
Syuuuu kalale
@agnesapple3567
Жыл бұрын
@@shahamtindo 🤣🤣🤣🤣🤣
Mpya mjini kzread.info/dash/bejne/f212p8V8YrKoYqg.html
Nakubali sana kzread.info/dash/bejne/pYdpyKeJh8TUnM4.html
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases
Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases