Idris Sultan afunguka alivyopoteza TZS Bil 1.5 mwaka 2020, 2022 kuwa staa anayeingiza mkwanja mrefu

Ойын-сауық

Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti

Пікірлер: 85

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar Жыл бұрын

    Proud 👏 movie nzuri Sana. Idris is very street smart nimejifunza sana kwenye hii interview

  • @beautifulafrika
    @beautifulafrika Жыл бұрын

    Idriss he’s such a Genius 🔥

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Жыл бұрын

    super star idriss sultanga mbote mbote my handsome brother

  • @pizzaz4333
    @pizzaz4333 Жыл бұрын

    Movie poa sana tumpe Idris support ya kutosha

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Жыл бұрын

    SKY anajua ku_interview sana

  • @adamkisombe6563
    @adamkisombe6563 Жыл бұрын

    Huyu jamaa Yuko na vibe nzuri balaa Kwa interview which is incredibly awesome asee 🤜🤛

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Жыл бұрын

    Idriss Sultan Big Brain japo anafosi sana kuchekesha

  • @JumaMkama
    @JumaMkama2 ай бұрын

    You guy I really love cause your are the man of vibe all the time 😊😊😊😊

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Жыл бұрын

    Ila Idris 😅😅😅🙌🙌🙌 nampenda kiukwel Allah amuweke 😍🤲

  • @ramamtanga3482
    @ramamtanga3482 Жыл бұрын

    Big up indrisa

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Жыл бұрын

    Amazing Tanzanian interview 2023 I just love it. Where's part2 cz niko sure bado unaendelea

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Жыл бұрын

    Nampenda sana idris. He is so handsome mashaallah

  • @alphaigogo787
    @alphaigogo787 Жыл бұрын

    Nimetazama movie na mwanangu. Ni nzuri sana sema imeishia pale ambapo utamu unaanza kunoga. Yani zile scenes ambazo ameziweka mwisho wa movie tukatamani angeziingiza. Au labda anampango wa kuleta part 2. But in general it's good. Well done.

  • @KirangaHouston

    @KirangaHouston

    Жыл бұрын

    Inaitwaj . Mi nimeitafuta.. sijaipata

  • @alphaigogo787

    @alphaigogo787

    Жыл бұрын

    @@KirangaHouston inaitwa Married to work

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Жыл бұрын

    Napenda sana ntavu ya idrisa😊❤

  • @josephgatunzi1670
    @josephgatunzi1670 Жыл бұрын

    Nawapenda sana ndugu zangu❤🎉

  • @parachichiFM
    @parachichiFM Жыл бұрын

    Idris ni moja ya watu ninawaangalia sana #RoleModel✊🏽

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 Жыл бұрын

    Nimependa sana yaani hongera sana ni me enjoy sana appreciate ❤🤗

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Жыл бұрын

    Nimeiangalia jana hio filamu kwa kweli niliifungua kwa sababu ya idriss tu.hongera film nzuri.

  • @advocatekarama4917

    @advocatekarama4917

    Жыл бұрын

    Ni nzuri?

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 Жыл бұрын

    Proud sana Idris ❤❤

  • @user-uv1dy7ib5l
    @user-uv1dy7ib5l3 ай бұрын

    Huyu jamaa noma sana,pia siyo mtu wa kukata tamaa

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Hongera sana 😍😍💪

  • @prudenciaorridge3990
    @prudenciaorridge3990 Жыл бұрын

    Great interview bro. I just downloaded the movie from Netflix. I can’t wait to watch it over the weekend. I’ll be blogging about it in work next week x

  • @saidabdulkadirmjahid8255
    @saidabdulkadirmjahid8255 Жыл бұрын

    4:00 huyu Ni Mimi kabisa 😂😂😂

  • @daudiissa9256
    @daudiissa9256 Жыл бұрын

    Iyo kusov problem kabla ya kutokea nimeipenda sana bonge la ideal nmeichukua iyo

  • @abduladinane
    @abduladinane Жыл бұрын

    From mozambique

  • @limbrussamson591
    @limbrussamson591 Жыл бұрын

    Idris! Idris! Idris! Nimekuita mala 3 unakitu utafika mbali

  • @mchagashop1342
    @mchagashop1342 Жыл бұрын

    Idrissa ⚒️♨️

  • @musason1680
    @musason1680 Жыл бұрын

    Huyu jamaa huwa nacomment kabla sijamsikiliza akili mingi sana 💪

  • @johnnyjoshua5049
    @johnnyjoshua5049 Жыл бұрын

    Nimefurahi sana

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Watu wangu wote niwapendao

  • @silverman6930
    @silverman6930 Жыл бұрын

    Another one 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧💙💙💙👌👌👌

  • @waziribakari6067
    @waziribakari6067 Жыл бұрын

    Mogul📌

  • @TujuzeTv
    @TujuzeTv Жыл бұрын

    🙌🙌🙌🙌

  • @saumhamisi7320
    @saumhamisi7320 Жыл бұрын

    Nimepata kitu leo

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Жыл бұрын

    Idlis unafeli wapi wateja wakiwa wengi ndio fursa iyo chansi angepata mchaga ndio ungejua unafunga eti wateja wengi

  • @nembrislukumay2367

    @nembrislukumay2367

    Жыл бұрын

    Hapa kwenye hii point katudanganya, kwa nini asirekebishe time ya kuanza kusaply chakula eti unafunga business sababu wateja wamekuwa wengi big NO

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Жыл бұрын

    🎉

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Жыл бұрын

    Akili kubwaa

  • @drrugazia4632
    @drrugazia4632 Жыл бұрын

    Genius

  • @rugaziabaisi6199

    @rugaziabaisi6199

    Жыл бұрын

    Hi mr

  • @rugaziabaisi6199

    @rugaziabaisi6199

    Жыл бұрын

    Hi mr

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍

  • @hamishalidy5696
    @hamishalidy5696 Жыл бұрын

    Huyu mwamba amesha toboa

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c Жыл бұрын

    Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Жыл бұрын

    Wacha niingie Netflix Germany 🇩🇪 kama nitaipata nami niione

  • @machintangachibwena5922

    @machintangachibwena5922

    Жыл бұрын

    Chupa kali hapo Aly Sayda Hotel namuona Morien akiwa Reception Dah kitambo sana

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c Жыл бұрын

    No noo unatudanganya in case ya wateja kukuzidia hadi kufunga biashara also idadi inakua sabb ya kukufelisha

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy Жыл бұрын

    Idres kind anaongea kama Adam Mchomvu au Mchomvu anaongea kama yeye.

  • @mjukuumoraa8491

    @mjukuumoraa8491

    Жыл бұрын

    Cyo Mzee kikwete

  • @mamapelyekelye9799

    @mamapelyekelye9799

    Жыл бұрын

    Kiswahili cha watu wa Arusha hiko

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 Жыл бұрын

    Safi mwandishi

  • @silasmathew9728
    @silasmathew9728 Жыл бұрын

    Akili n kubwa sana kwenye utani wake😂✌️

  • @lionofjudahtv8796
    @lionofjudahtv8796 Жыл бұрын

    Kweri ni kusengeza

  • @asante2077
    @asante2077 Жыл бұрын

    Kwa ulichoongea kuhusu biashara Idris haupo sahihi , inabidi ujifunze zaidi kuhusu biashara, unge manage kwenye quality na si quantity. Kina kanye west wakilaunch viatu wanauza vyote kwa sekunde kwasababu ya idadi ya watu. Hawakufunga biashara

  • @neemasamweli5221

    @neemasamweli5221

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa. hapa katudanganya Sana tu

  • @shahamtindo

    @shahamtindo

    Жыл бұрын

    Ila mwisho kaweka wazi kuwa shida ni anashindwa kumanage, maana yake ni POOR MANAGEMENT.. Na unapokuwa na wateja wengi halafu huna perfect management lazima utafelisha tu

  • @allymoshi2053

    @allymoshi2053

    Жыл бұрын

    Kwelii demand SKU zote lazima iendane na supply kama unawateja wengi lazma uongeze human resource iwe kubwa kulingana na capacity ya wateja wako na ndio maana ya kwenda shule unaweza ukapanga kila 1 delivery person akawa na customers wake 20 kwa SKU wa kudeliver

  • @mjukuumoraa8491

    @mjukuumoraa8491

    Жыл бұрын

    @@allymoshi2053 jamaa unaakili big up

  • @gq7777

    @gq7777

    Жыл бұрын

    He had good problem ya kuwa na customers wengi…. Ila naongea kitu that doesn’t make sense… he is proud of anticipating problem kabla hazijatokea, yet business failed sababu ya extreamly good problem ya more customers… both sentence can’t be true. He is smart guy overall and humble guy. Business failures are great tools to learn

  • @rehemasaadan3450
    @rehemasaadan3450 Жыл бұрын

    I loved this 13:12 🔥🔥🔥

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW Жыл бұрын

    🤍🤍🤍💙💙💙

  • @princemosha4566
    @princemosha4566 Жыл бұрын

    Iike my comment I'm coming

  • @philemonambilikile
    @philemonambilikile Жыл бұрын

    Huyu jamaa ni Mimi mtupu Ila nimemzidi ukimya

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c Жыл бұрын

    Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases 😂😂😊

  • @fenkra
    @fenkra Жыл бұрын

    wakinga tuna nini😂😂

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Jamaa idris ni ana akili sana wengi hatuja fika level yake ya ku jielewa

  • @medardnkilijiwa1976

    @medardnkilijiwa1976

    Жыл бұрын

    Wewe ndo hujafika🤣

  • @lareineminah1353

    @lareineminah1353

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Жыл бұрын

    +974

  • @mymbaralitv2968
    @mymbaralitv2968 Жыл бұрын

    Sema mtoto iddi anasound kama jakaya kikwete hivi

  • @mjukuumoraa8491

    @mjukuumoraa8491

    Жыл бұрын

    👊

  • @angelamshama1288

    @angelamshama1288

    Жыл бұрын

    Mmhh cdhan

  • @valvederraymond6125

    @valvederraymond6125

    Жыл бұрын

    Hata mm nimehisii hvyo

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 Жыл бұрын

    Uyu nae muongo tu

  • @shahamtindo

    @shahamtindo

    Жыл бұрын

    We ni rasta au mfuga nywele?

  • @philemonambilikile

    @philemonambilikile

    Жыл бұрын

    Syuuuu kalale

  • @agnesapple3567

    @agnesapple3567

    Жыл бұрын

    @@shahamtindo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Heisgvoice
    @Heisgvoice Жыл бұрын

    Mpya mjini kzread.info/dash/bejne/f212p8V8YrKoYqg.html

  • @Matunzo_Classic
    @Matunzo_Classic Жыл бұрын

    Nakubali sana kzread.info/dash/bejne/pYdpyKeJh8TUnM4.html

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c Жыл бұрын

    Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c Жыл бұрын

    Sio sifa ya pesa na bado nafsi haijafikia hapo ktk money cases

Келесі