MBOSSO amjibu ALIYEMSHUTUMU kuchukua $4k TORONTO na kutotokea 'Simjui, namuonea huruma ameibiwa'

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 95

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru807912 күн бұрын

    Hapa Canada utapeli kwenye show iko mingi mno!

  • @paulhema5713
    @paulhema571313 күн бұрын

    Mbossso anaongea ukwel ...nothing hidden there....sijui nimepatia icho kiswainglish😂😂😂.....uyo jamaa anaonekana amekurupuka

  • @pendo8082

    @pendo8082

    13 күн бұрын

    Elly hajui lolote 😂😂

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    13 күн бұрын

    Hapa mnashindwaje kumuelewa Elly mbona hoja yake inaeleweka kabisa!

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    13 күн бұрын

    ​@@pendo8082 Acha uongo Elly kaeleweka vizuri sanaa, labda nikuulize umeelewa nini

  • @Official83640

    @Official83640

    12 күн бұрын

    ​@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo

  • @pendo8082

    @pendo8082

    12 күн бұрын

    @@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu

  • @AbdulGermany210
    @AbdulGermany21013 күн бұрын

    Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    12 күн бұрын

    Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.

  • @imanimhagama4647

    @imanimhagama4647

    5 күн бұрын

    Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo489612 күн бұрын

    Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed34513 күн бұрын

    Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian

  • @latifahali8228
    @latifahali822813 күн бұрын

    Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana975912 күн бұрын

    Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark ❤❤❤❤❤

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo286412 күн бұрын

    Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure

  • @Zenny89
    @Zenny8913 күн бұрын

    Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote

  • @homeandaway2811
    @homeandaway281113 күн бұрын

    Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    13 күн бұрын

    Umesema kweli jamaa anapayuka

  • @davidshaban7375

    @davidshaban7375

    13 күн бұрын

    @@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊

  • @homeandaway2811

    @homeandaway2811

    13 күн бұрын

    ​​@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii

  • @LeonardmpembaMsemakweli-q8s
    @LeonardmpembaMsemakweli-q8s13 күн бұрын

    AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA

  • @mylasadick5189

    @mylasadick5189

    13 күн бұрын

    Muha ya uyo

  • @pendo8082

    @pendo8082

    13 күн бұрын

    Haeleweki😂😂

  • @Khalidwandhera

    @Khalidwandhera

    13 күн бұрын

    Unaona mbari jamaa ni kipusa

  • @sadikilumumba1370
    @sadikilumumba137013 күн бұрын

    Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115413 күн бұрын

    Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu

  • @antonimwamahonje
    @antonimwamahonje13 күн бұрын

    Who going to bring back your money? Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    13 күн бұрын

    We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo

  • @strong8534
    @strong853413 күн бұрын

    Sky, u dont sleep😮😮😮😮

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    12 күн бұрын

    Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.

  • @isunga1964
    @isunga196413 күн бұрын

    Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢

  • @imanimhagama4647

    @imanimhagama4647

    5 күн бұрын

    We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili

  • @pendonoor8869
    @pendonoor886913 күн бұрын

    Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!

  • @jumamuhamed8636
    @jumamuhamed863613 күн бұрын

    Tapel katapeliwa anapiga kelele tuliza futa ilo boya ww Elly jambazi

  • @MS.independent8934
    @MS.independent893413 күн бұрын

    Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna630913 күн бұрын

    Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂

  • @kizdady2544

    @kizdady2544

    12 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-fx2fn2qs3t
    @user-fx2fn2qs3t13 күн бұрын

    Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_13 күн бұрын

    Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake

  • @kingbyaro6016
    @kingbyaro601611 күн бұрын

    Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo489612 күн бұрын

    Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂

  • @t.y.g.a_
    @t.y.g.a_12 күн бұрын

    Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻

  • @t.y.g.a_
    @t.y.g.a_12 күн бұрын

    Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo347813 күн бұрын

    Itakuwa promota kamzunguka uyo elly

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania13 күн бұрын

    Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah

  • @davidshaban7375

    @davidshaban7375

    13 күн бұрын

    dahh yule jamaa simuelewagii kabisaa

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina234213 күн бұрын

    yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola369713 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina234213 күн бұрын

    HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen106512 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy159010 күн бұрын

    Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews13 күн бұрын

    Waambie ukweli

  • @alisalum2023
    @alisalum202312 күн бұрын

    Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna

  • @mdachiog5211
    @mdachiog521113 күн бұрын

    😂😂anaijua wasafi

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka947012 күн бұрын

    Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂

  • @SadaDamas-jh2gt
    @SadaDamas-jh2gt13 күн бұрын

    PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka

  • @imanimhagama4647

    @imanimhagama4647

    5 күн бұрын

    Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu211613 күн бұрын

    Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin

  • @menlandmutashobya8377

    @menlandmutashobya8377

    7 күн бұрын

    Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi

  • @hamisisalim8076
    @hamisisalim807612 күн бұрын

    Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo

  • @chrisjack4278
    @chrisjack427812 күн бұрын

    If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure

  • @richkaja3317
    @richkaja331713 күн бұрын

    Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip426013 күн бұрын

    Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea .... Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂

  • @MasterVoltron-f9w
    @MasterVoltron-f9w13 күн бұрын

    😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂 Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py12 күн бұрын

    Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa

  • @itNeza
    @itNeza13 күн бұрын

    Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud81388 күн бұрын

    kwahiyo huyo jamaa mwwndawazimu ?? REJESHA HELA ZAWATU WEE KENGEEE

  • @imanimhagama4647

    @imanimhagama4647

    5 күн бұрын

    Matako ww acha makasiriko shoga ww

  • @noellahgervas90
    @noellahgervas9012 күн бұрын

    Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj13 күн бұрын

    Mbosso unajua jimsogani uyujamaa alivoibiwa wewe umo

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x13 күн бұрын

    Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo

  • @jeanpierrekwizera6400
    @jeanpierrekwizera640013 күн бұрын

    Huyo jamaa anatafuta kiki tu , aache kuchafua majina ya watu

  • @omarzinga7046
    @omarzinga704612 күн бұрын

    Huyu tapeli😂😂😂

  • @HansChuma
    @HansChuma13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho

  • @jimmyhabarugira4232

    @jimmyhabarugira4232

    13 күн бұрын

    @HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame

  • @sonnyr1899
    @sonnyr189913 күн бұрын

    😂

  • @pendo8082
    @pendo808213 күн бұрын

    Elly atulie hajui lolote😂😂😂😂😂

  • @omarzinga7046
    @omarzinga704612 күн бұрын

    Onyosha mikataba

  • @Bama959
    @Bama95912 күн бұрын

    Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa

  • @imanimhagama4647

    @imanimhagama4647

    5 күн бұрын

    Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni

  • @Bama959

    @Bama959

    5 күн бұрын

    @@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.

  • @djafro8729
    @djafro872913 күн бұрын

    Mboso alifanya vibaya kutusi vifara . Mimi kipara nilihisi mbaya sana

  • @cocotz1892

    @cocotz1892

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana

  • @aftapat5365

    @aftapat5365

    13 күн бұрын

    😂😂 pole kaka

  • @awaynaaaa3490
    @awaynaaaa349013 күн бұрын

    Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi13 күн бұрын

    Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo909113 күн бұрын

    Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck

  • @imanimhagama4647

    @imanimhagama4647

    5 күн бұрын

    Amuulize wema sepetu😂😂😂

Келесі