PCK na Elly anayedai kuwalipa Mbosso na Ray Vanny Toronto na kupoteza show wararuana mtandaoni

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 163

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya687314 күн бұрын

    Kikubwa kuelewana wanetu tusukume gurudum la mziki wetu sote tunapambania kombe la mafanikio ❤

  • @mahmoudmihanjamu669
    @mahmoudmihanjamu66914 күн бұрын

    Waswahili nongwa mpaka ugenini😂😂😂

  • @user-vq2cb7fn8f
    @user-vq2cb7fn8f14 күн бұрын

    Mbona naskia we mwenyewe tapeli wa kimataifa jamani hee dunia si mama

  • @user-en6kf2db6f
    @user-en6kf2db6f14 күн бұрын

    SNS sindio wanayakuza mbwa Hawa nahuyo kijana wa TikTok

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf14 күн бұрын

    the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk14 күн бұрын

    Mziiiki wetu una safari ndefu sana kama mapromota tu wanagombana

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal201914 күн бұрын

    Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly

  • @caesar7745
    @caesar774514 күн бұрын

    Mkataba uko wapi unaonyesha ulilipa pesa

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    14 күн бұрын

    Kwa watu wanaoshirikiana biashara hiyo sio hoja labda kama biashara ya kitapeli sawa,

  • @officialaftab8760
    @officialaftab87608 күн бұрын

    Eeh Bwana Noma Bro .Izzatkhan Canada

  • @zitongwang6278
    @zitongwang627814 күн бұрын

    Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿

  • @MS.independent8934
    @MS.independent893414 күн бұрын

    Mchukulie hatuwa uyo jambanzi Koko ana wachafua watu bure Kwa ujinga wake na njaa zake

  • @kwisa4899
    @kwisa489914 күн бұрын

    kwani kasema yeye ndio kalipa mbona akusema yeye kalipa wewe nawe mwongo mwongo tu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness118114 күн бұрын

    Wabongo as always, they need to be serious ofcause

  • @gypsummzuri_tz
    @gypsummzuri_tz14 күн бұрын

    SASA KWANINI UMLIPE PCK NA SIYO MENEJA WA MBOSSO AU RAYVANNY???

  • @Vivannykizzy

    @Vivannykizzy

    14 күн бұрын

    Yy ndo amewaita kule na anaewalipia kila kitu so lazma alipwe yy

  • @SadaDamas-jh2gt

    @SadaDamas-jh2gt

    14 күн бұрын

    Mueleweshe vixr maana haelewi kinachozungumzwa na wahusika

  • @SadaDamas-jh2gt

    @SadaDamas-jh2gt

    14 күн бұрын

    kiukweli hapo PCK ni tapeli

  • @Gody360

    @Gody360

    14 күн бұрын

    Kazi ipo apo waongo waotee

  • @user-eb3hf1lm9e

    @user-eb3hf1lm9e

    7 күн бұрын

    Yeye ndo alikuwa amewapeleka huko hivyo Elly alipaswa kumlipa

  • @paulhema5713
    @paulhema571314 күн бұрын

    Sasa wewe Elly si ungeongea na hao psk na sio kuwachafua wasanii wa Tanzania...

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    14 күн бұрын

    Yeye anahaki ya kulalamika biashara ni kushirikiana anaeshirikiana nae ndie aliyetengeneza mazingira magumu kwa mwenzie

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo909112 күн бұрын

    Ismail niyonkuru njo umuskie pck Tena kapiga mtuu😂😂😂😂

  • @mrfashion1687
    @mrfashion168714 күн бұрын

    Elly David yupo sahihi, ila watu wachahce wamemtapeli

  • @jumamuhamed8636

    @jumamuhamed8636

    14 күн бұрын

    Yupo sahihi na nn unatetea ujinga uyo Elly ni tapeli mkubwa

  • @__B.O.B
    @__B.O.B14 күн бұрын

    Le Professori Elly David Katalama

  • @jumamuhamed8636

    @jumamuhamed8636

    14 күн бұрын

    Tapel tu uyo mbwa

  • @Gamba81
    @Gamba8114 күн бұрын

    Wote ndiyo walewale 🇿🇦

  • @HalimaKassim-yz3we

    @HalimaKassim-yz3we

    14 күн бұрын

    Umeonae mbona hata yy anaongeaga bongo

  • @homeandaway2811
    @homeandaway281114 күн бұрын

    ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga. Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine. Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.

  • @AfroMedic
    @AfroMedic22 сағат бұрын

    Huu ni umaskini 😂😂 mnaleta uswahili nchi za Watu 😂Hii ni comedy 🎭 simulizi za sauti 😂

  • @user-ui5zo9re8b
    @user-ui5zo9re8b14 күн бұрын

    Wasaniwako pole sana pisic

  • @youngtuso3048
    @youngtuso304812 күн бұрын

    Huyu jamaa Elly anapoint ukimsikiliza Kwa umakini

  • @user-et8lc7tb3p
    @user-et8lc7tb3p14 күн бұрын

    Is true

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u14 күн бұрын

    Wabongo bana kutwa vijembe tutakua lini jaman haaa

  • @missamirajiiddy7077
    @missamirajiiddy707714 күн бұрын

    Wewe muongo na una penda sifa sana

  • @danieldaudi1631

    @danieldaudi1631

    14 күн бұрын

    Wewe ni koloboi kweli walio kuwepo wanatoa taalifa pipi wewe unakulupuka tu

  • @shukranikayange2275
    @shukranikayange22757 күн бұрын

    Nataka kwenda Toronto

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana14 күн бұрын

    Iknw you do nice

  • @asajilepaulmwikombe458
    @asajilepaulmwikombe45814 күн бұрын

    PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa

  • @dublea4118

    @dublea4118

    13 күн бұрын

    Ndio tumekubali but usisahau kwamba PCK ni tapeli na muongo

  • @Official83640

    @Official83640

    13 күн бұрын

    SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN

  • @sonnyr1899
    @sonnyr189914 күн бұрын

    Huyu si ndio ule yule alinanili na Wema kipindi kile hadi ikaleta tafran?

  • @mylasadick5189

    @mylasadick5189

    14 күн бұрын

    Nani PCK au ?

  • @TTT80533

    @TTT80533

    14 күн бұрын

    Uyo uyo Mwizi devil 😈 PCK

  • @gilbertmwakalebela2862
    @gilbertmwakalebela286214 күн бұрын

    Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu

  • @Gody360
    @Gody36014 күн бұрын

    Ni vitaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @darlenedada651
    @darlenedada65114 күн бұрын

    Bora wewe umesemaPCK

  • @dennisevarist
    @dennisevarist4 күн бұрын

    Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.

  • @KhadijaDija-ir2hq
    @KhadijaDija-ir2hq14 күн бұрын

    Kwani uyu pck si ndo yule wa wema😂😂😂

  • @homeandaway2811
    @homeandaway281114 күн бұрын

    Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu. Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    13 күн бұрын

    Kapumbavu haka kajamaa ndiyo mana hatutaki kukaamini

  • @Markhomestz

    @Markhomestz

    12 күн бұрын

    Sure kabisa

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem907114 күн бұрын

    Duuuhhh, mnaleta Uswahil mpaka Canada 🤔😢😢👎🏽👎🏽👎🏽 shame on you guys! 🤷🏽

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka947014 күн бұрын

    Wee elly umekaa miaka mingapi Canada adiulete mtu toronto

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    14 күн бұрын

    Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi

  • @jumamuhamed8636

    @jumamuhamed8636

    14 күн бұрын

    ​@@hashimuuhehwa4252hoja gan uyo Elly tapel tu uyo ww unamjua vizur uyo??

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq12 күн бұрын

    Nmecheka kama Mazuri...pck 😂😂😂Elly Mswahili asaaaa bando za 500 khaaaa

  • @tradamus4158
    @tradamus415811 күн бұрын

    Hata huyo jamaa anaongea uongo saabu mbosso mimi ndio nimemleta huku Canada 🇨🇦 😂

  • @Gamba81
    @Gamba8114 күн бұрын

    Eti mabando yetu ya mia tano unamaliza na zarau au sio wakati wewe umeambiwa hauna ela umekasilika acha zarau wewe

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly56865 күн бұрын

    Wanaume wanacambana😂😂 okay 👍

  • @salma_6j975
    @salma_6j97513 күн бұрын

    Yule mtoto tapeli sana...mpk ticktock ndio kazi yake kuchafua watu na kutapeli...muongo muongo sana yule ellydevid

  • @josephdionizy2868
    @josephdionizy286814 күн бұрын

    Yaaan huyu jamaaa akili anazo ila anajitoa ufahamu tu sasa hapo mboss anahusikaje we mdai uliemlipa

  • @thomsanga7956
    @thomsanga795614 күн бұрын

    Daah!! Promota maskini wanashida sana aisee!!

  • @saidmanjuti7441
    @saidmanjuti744111 күн бұрын

    mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional

  • @kwisa4899
    @kwisa489914 күн бұрын

    Hawa awaeleweki mbona nawewe udai pesa za kina mbosso na Ray kama ulililipa mkataba upo wapi?

  • @SurprisedBakedCustard-vp8oi
    @SurprisedBakedCustard-vp8oi14 күн бұрын

    Kaazi kweli kweli lol 😅

  • @KennethMgona-jy4vc
    @KennethMgona-jy4vc14 күн бұрын

    Muongo kweli

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo2114 күн бұрын

    Pck kachukua pesa dola 4000 ya appearance lakini mbosso x Ray hawajui!

  • @mohdmohd8428

    @mohdmohd8428

    14 күн бұрын

    Fact

  • @kshayofurniture2941

    @kshayofurniture2941

    14 күн бұрын

    Huyo pck ni promoter sio kiongozi wa mbosso au meneja rayvany

  • @Khairath
    @Khairath12 күн бұрын

    Mbosso hataki ajulikane kama alienda club kwenye uongoz atapigwa fain 😢😢😢

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj14 күн бұрын

    Pck mwizi kawaibia wasani

  • @hasani565
    @hasani56514 күн бұрын

    Wote ma promota uchwara tu hawana lolote.Njaa tupu...una mana Gani vikiki vya bongo wakati si ndio wewe ulijilipua kama wewe choko

  • @user-gc5wi8qq5l
    @user-gc5wi8qq5l14 күн бұрын

    Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua

  • @josephdionizy2868

    @josephdionizy2868

    14 күн бұрын

    Yaaan kumbe amemaanisha pyino mnyama

  • @dicksonbrown862

    @dicksonbrown862

    11 күн бұрын

    😂

  • @wisemaliva5376
    @wisemaliva537612 күн бұрын

    Huyu anaitwa pc kari?😂😂😂au nimesikia vibaya!

  • @omarzinga7046
    @omarzinga704614 күн бұрын

    Elly go with fact ukitaka wasanii wachukue mwenyewe kutoka bongo kimikataba usidandie mishe za watu Elly David 😂😂😂

  • @afronur1354
    @afronur135412 күн бұрын

    Hivi kwanini mnawapa airtime haya marundi ‘ waacheni wakapewe kwenye vi nchi vyao huko

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka947014 күн бұрын

    Elly wee leo unajitetea kuitwa maskini wakati wee kila mara una dharau maskini. Na unavyo nyonga mdomo sasa

  • @riosingingandmore8224

    @riosingingandmore8224

    14 күн бұрын

    Elly anadharau sana watu kuingilia ya sio muhusu

  • @dinocastico8495
    @dinocastico849510 күн бұрын

    Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike

  • @sarastephano3409
    @sarastephano34098 күн бұрын

    Huyo pck anahistoria ya utapeli na wizi kitambo mkumbuke alivyomtapeli wema

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen433113 күн бұрын

    Pole Elly

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture294114 күн бұрын

    Ila wabongo bana dah 😂 wanakiwasha popote 👐

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau339714 күн бұрын

    Pck ni mwizi Tu wakawaida.

  • @abdimutesi1393
    @abdimutesi13938 күн бұрын

    Pck Nimwizi na mimi kaniibiya dollars Zangu eti atanisafirisha nawenzangu wengi mwizi uyo

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias545513 күн бұрын

    pck ni promoter mkumbwa wew tangia zamani😂😂😂

  • @esterpaul5856
    @esterpaul585611 күн бұрын

    Kumbuken PCK ni bonge la Tapel ..naanza kuamin kwa huyu kaka katapeliwa pesa..

  • @billskeez92
    @billskeez9213 күн бұрын

    Mahakama imehamia huku mitandaoni jameniiiiiii😂😂😂 mlipane mitandaoni aise

  • @user-mw1fw2jt2n
    @user-mw1fw2jt2n11 күн бұрын

    Hapa kuna vita yakibiashara ndo nlchogundua

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w14 күн бұрын

    Mtukuze mungu wewe Elly mamiziko ya kodunia ya nini ? Wewe mtafute mungu mbona inajichelewesha

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    14 күн бұрын

    Toka wewe uanze kumtafuta umemuona!? Sababu wewe mtumwa basi unataka wote wewe watumwa hee!!

  • @blackschooltv
    @blackschooltv13 күн бұрын

    Kwahiyo Mna mgombania MBOSSO

  • @sund2553
    @sund255313 күн бұрын

    Future husband wa wemasepetu😂 anyway hawa wa tz wameenda kuendeleza roho mbaya hadi nchi za watu

  • @SuzanneMbotcha
    @SuzanneMbotcha14 күн бұрын

    Pumbavu ww

  • @lusekelosolomon313
    @lusekelosolomon31314 күн бұрын

    Hiyo ni Toronto ya njombe?

  • @chilubafedrick5740
    @chilubafedrick574014 күн бұрын

    hyu kaenda viral kuwalaum akna rayvany na mboso alaf pesa kampa mtu mwingne, how come PCK ndio meneja wao?? we mvae uliempa pesa mzeee

  • @bildivaivess3379
    @bildivaivess337914 күн бұрын

    Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷‍♂️🤷‍♂️

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed354111 күн бұрын

    Hii ni maajabu😂

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy181210 күн бұрын

    😂😂😂Mbav zang mie

  • @surusuru1994
    @surusuru199413 күн бұрын

    Huyo burudi sinyole alombia wema pesa nakubuka 😂😂

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi2747 күн бұрын

    Gari ulishachukua kwa Wema sepetu Au ulimwachia

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya927714 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official13 күн бұрын

    Wasanii wako tena jamani

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge907113 күн бұрын

    Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu

  • @meddy6090
    @meddy609014 күн бұрын

    Asa apo tumwelewe nani jamani

  • @mam_salum
    @mam_salum5 күн бұрын

    Huyu sindie alie kuwa bwana wa wema sepetu

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa425214 күн бұрын

    Picha ya Mboso ilikuwaje ukiwekwa hapo hapo ndio tatizo lilipoanzia, Eti hana uwezo wa Dolla mia mbili mmm

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini388714 күн бұрын

    Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue

  • @aishaabdallah7769

    @aishaabdallah7769

    14 күн бұрын

    Pck kanitapeli na mimi 12.000$

  • @malkavoice2570
    @malkavoice257013 күн бұрын

    Hao ndio promotas wetu hawataki kuwekeza kwao wanakimbilia nchi za watu na hawana kitu kila kitu ni janja janja tu!

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd842814 күн бұрын

    Vdeo ya kwanza kasema mbosso kabeba hela, levo za mbosso na vanny boy kuja club tu 4k imeisha😂

  • @hashimuuhehwa4252

    @hashimuuhehwa4252

    14 күн бұрын

    Kuelewa jambo kumbe ni kazi! Sasa hujamuelewa nini hapo mbona kaeleweka vizuri sanaa!!

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha89413 күн бұрын

    Piganeni muuwane😂😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky14 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @brownmoses9543
    @brownmoses954314 күн бұрын

    Hii ndo changamoto ya mtu mweusi😅

  • @Official83640
    @Official8364013 күн бұрын

    Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂

  • @hasani565
    @hasani56514 күн бұрын

    Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu

  • @TravoAnandi-qz7fo
    @TravoAnandi-qz7fo14 күн бұрын

    Wameyakanyaga kwa digala..pick ila elly kwel baharia msumbuf

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548114 күн бұрын

    Inavyoonyesha apo mmezungukana ila sio poa...kwann mnataka kutumiana kupitia wasanii ..mnawaharibia wasanii ...ila apo wamezungukana ila sio poa

  • @AbdulatifuRamadhani
    @AbdulatifuRamadhani11 күн бұрын

    Mh

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf442914 күн бұрын

    Mshapigwa nawa nijeria uko

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free347814 күн бұрын

    Hutu si and Yule future husband 😂😂😂

  • @blackschooltv
    @blackschooltv13 күн бұрын

    Kumbe vita sio ya Wasanii ni Mapromota ... alafu wewe Elly Maswala ya kiume na Mademu unaweka hazani wewe sio Mwana ... ni Mwanahawa

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo347814 күн бұрын

    Uyo pck tapeli nasikia kitambo ata bongo nasikia alitapeli akakimbia

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    14 күн бұрын

    Litapeli likubwa hili

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    13 күн бұрын

    Aliwatapelini nyinyi

Келесі