Kikubwa kuelewana wanetu tusukume gurudum la mziki wetu sote tunapambania kombe la mafanikio ❤
@mahmoudmihanjamu66914 күн бұрын
Waswahili nongwa mpaka ugenini😂😂😂
@user-vq2cb7fn8f14 күн бұрын
Mbona naskia we mwenyewe tapeli wa kimataifa jamani hee dunia si mama
@user-en6kf2db6f14 күн бұрын
SNS sindio wanayakuza mbwa Hawa nahuyo kijana wa TikTok
@vt-kn6qf14 күн бұрын
the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸
@FredrickMatiku-xf2uk14 күн бұрын
Mziiiki wetu una safari ndefu sana kama mapromota tu wanagombana
@verbalverbal201914 күн бұрын
Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly
@caesar774514 күн бұрын
Mkataba uko wapi unaonyesha ulilipa pesa
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Kwa watu wanaoshirikiana biashara hiyo sio hoja labda kama biashara ya kitapeli sawa,
@officialaftab87608 күн бұрын
Eeh Bwana Noma Bro .Izzatkhan Canada
@zitongwang627814 күн бұрын
Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿
@MS.independent893414 күн бұрын
Mchukulie hatuwa uyo jambanzi Koko ana wachafua watu bure Kwa ujinga wake na njaa zake
@kwisa489914 күн бұрын
kwani kasema yeye ndio kalipa mbona akusema yeye kalipa wewe nawe mwongo mwongo tu
@worldhappiness118114 күн бұрын
Wabongo as always, they need to be serious ofcause
@gypsummzuri_tz14 күн бұрын
SASA KWANINI UMLIPE PCK NA SIYO MENEJA WA MBOSSO AU RAYVANNY???
@Vivannykizzy
14 күн бұрын
Yy ndo amewaita kule na anaewalipia kila kitu so lazma alipwe yy
@SadaDamas-jh2gt
14 күн бұрын
Mueleweshe vixr maana haelewi kinachozungumzwa na wahusika
@SadaDamas-jh2gt
14 күн бұрын
kiukweli hapo PCK ni tapeli
@Gody360
14 күн бұрын
Kazi ipo apo waongo waotee
@user-eb3hf1lm9e
7 күн бұрын
Yeye ndo alikuwa amewapeleka huko hivyo Elly alipaswa kumlipa
@paulhema571314 күн бұрын
Sasa wewe Elly si ungeongea na hao psk na sio kuwachafua wasanii wa Tanzania...
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Yeye anahaki ya kulalamika biashara ni kushirikiana anaeshirikiana nae ndie aliyetengeneza mazingira magumu kwa mwenzie
@ndikumasabodiegovevo909112 күн бұрын
Ismail niyonkuru njo umuskie pck Tena kapiga mtuu😂😂😂😂
@mrfashion168714 күн бұрын
Elly David yupo sahihi, ila watu wachahce wamemtapeli
@jumamuhamed8636
14 күн бұрын
Yupo sahihi na nn unatetea ujinga uyo Elly ni tapeli mkubwa
@__B.O.B14 күн бұрын
Le Professori Elly David Katalama
@jumamuhamed8636
14 күн бұрын
Tapel tu uyo mbwa
@Gamba8114 күн бұрын
Wote ndiyo walewale 🇿🇦
@HalimaKassim-yz3we
14 күн бұрын
Umeonae mbona hata yy anaongeaga bongo
@homeandaway281114 күн бұрын
ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga. Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine. Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.
@AfroMedic22 сағат бұрын
Huu ni umaskini 😂😂 mnaleta uswahili nchi za Watu 😂Hii ni comedy 🎭 simulizi za sauti 😂
@user-ui5zo9re8b14 күн бұрын
Wasaniwako pole sana pisic
@youngtuso304812 күн бұрын
Huyu jamaa Elly anapoint ukimsikiliza Kwa umakini
@user-et8lc7tb3p14 күн бұрын
Is true
@user-lk9rh5xp4u14 күн бұрын
Wabongo bana kutwa vijembe tutakua lini jaman haaa
@missamirajiiddy707714 күн бұрын
Wewe muongo na una penda sifa sana
@danieldaudi1631
14 күн бұрын
Wewe ni koloboi kweli walio kuwepo wanatoa taalifa pipi wewe unakulupuka tu
@shukranikayange22757 күн бұрын
Nataka kwenda Toronto
@ZiyandaMhlana14 күн бұрын
Iknw you do nice
@asajilepaulmwikombe45814 күн бұрын
PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa
@dublea4118
13 күн бұрын
Ndio tumekubali but usisahau kwamba PCK ni tapeli na muongo
@Official83640
13 күн бұрын
SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN
@sonnyr189914 күн бұрын
Huyu si ndio ule yule alinanili na Wema kipindi kile hadi ikaleta tafran?
@mylasadick5189
14 күн бұрын
Nani PCK au ?
@TTT80533
14 күн бұрын
Uyo uyo Mwizi devil 😈 PCK
@gilbertmwakalebela286214 күн бұрын
Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu
@Gody36014 күн бұрын
Ni vitaaaa😂😂😂😂😂😂
@darlenedada65114 күн бұрын
Bora wewe umesemaPCK
@dennisevarist4 күн бұрын
Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.
@KhadijaDija-ir2hq14 күн бұрын
Kwani uyu pck si ndo yule wa wema😂😂😂
@homeandaway281114 күн бұрын
Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu. Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.
@rosemahenge9071
13 күн бұрын
Kapumbavu haka kajamaa ndiyo mana hatutaki kukaamini
@Markhomestz
12 күн бұрын
Sure kabisa
@sophiekindem907114 күн бұрын
Duuuhhh, mnaleta Uswahil mpaka Canada 🤔😢😢👎🏽👎🏽👎🏽 shame on you guys! 🤷🏽
@elijahbaraka947014 күн бұрын
Wee elly umekaa miaka mingapi Canada adiulete mtu toronto
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi
@jumamuhamed8636
14 күн бұрын
@@hashimuuhehwa4252hoja gan uyo Elly tapel tu uyo ww unamjua vizur uyo??
@JulianaJackson-lz6vq12 күн бұрын
Nmecheka kama Mazuri...pck 😂😂😂Elly Mswahili asaaaa bando za 500 khaaaa
@tradamus415811 күн бұрын
Hata huyo jamaa anaongea uongo saabu mbosso mimi ndio nimemleta huku Canada 🇨🇦 😂
@Gamba8114 күн бұрын
Eti mabando yetu ya mia tano unamaliza na zarau au sio wakati wewe umeambiwa hauna ela umekasilika acha zarau wewe
@khurlainashly56865 күн бұрын
Wanaume wanacambana😂😂 okay 👍
@salma_6j97513 күн бұрын
Yule mtoto tapeli sana...mpk ticktock ndio kazi yake kuchafua watu na kutapeli...muongo muongo sana yule ellydevid
@josephdionizy286814 күн бұрын
Yaaan huyu jamaaa akili anazo ila anajitoa ufahamu tu sasa hapo mboss anahusikaje we mdai uliemlipa
@thomsanga795614 күн бұрын
Daah!! Promota maskini wanashida sana aisee!!
@saidmanjuti744111 күн бұрын
mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional
@kwisa489914 күн бұрын
Hawa awaeleweki mbona nawewe udai pesa za kina mbosso na Ray kama ulililipa mkataba upo wapi?
@SurprisedBakedCustard-vp8oi14 күн бұрын
Kaazi kweli kweli lol 😅
@KennethMgona-jy4vc14 күн бұрын
Muongo kweli
@johnmichaellukindo2114 күн бұрын
Pck kachukua pesa dola 4000 ya appearance lakini mbosso x Ray hawajui!
@mohdmohd8428
14 күн бұрын
Fact
@kshayofurniture2941
14 күн бұрын
Huyo pck ni promoter sio kiongozi wa mbosso au meneja rayvany
@Khairath12 күн бұрын
Mbosso hataki ajulikane kama alienda club kwenye uongoz atapigwa fain 😢😢😢
@HassanMussa-vk3tj14 күн бұрын
Pck mwizi kawaibia wasani
@hasani56514 күн бұрын
Wote ma promota uchwara tu hawana lolote.Njaa tupu...una mana Gani vikiki vya bongo wakati si ndio wewe ulijilipua kama wewe choko
@user-gc5wi8qq5l14 күн бұрын
Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua
@josephdionizy2868
14 күн бұрын
Yaaan kumbe amemaanisha pyino mnyama
@dicksonbrown862
11 күн бұрын
😂
@wisemaliva537612 күн бұрын
Huyu anaitwa pc kari?😂😂😂au nimesikia vibaya!
@omarzinga704614 күн бұрын
Elly go with fact ukitaka wasanii wachukue mwenyewe kutoka bongo kimikataba usidandie mishe za watu Elly David 😂😂😂
@afronur135412 күн бұрын
Hivi kwanini mnawapa airtime haya marundi ‘ waacheni wakapewe kwenye vi nchi vyao huko
@elijahbaraka947014 күн бұрын
Elly wee leo unajitetea kuitwa maskini wakati wee kila mara una dharau maskini. Na unavyo nyonga mdomo sasa
@riosingingandmore8224
14 күн бұрын
Elly anadharau sana watu kuingilia ya sio muhusu
@dinocastico849510 күн бұрын
Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike
@sarastephano34098 күн бұрын
Huyo pck anahistoria ya utapeli na wizi kitambo mkumbuke alivyomtapeli wema
@priscillachristiansen433113 күн бұрын
Pole Elly
@kshayofurniture294114 күн бұрын
Ila wabongo bana dah 😂 wanakiwasha popote 👐
@jacktonmakau339714 күн бұрын
Pck ni mwizi Tu wakawaida.
@abdimutesi13938 күн бұрын
Pck Nimwizi na mimi kaniibiya dollars Zangu eti atanisafirisha nawenzangu wengi mwizi uyo
@bizomenyimanaelias545513 күн бұрын
pck ni promoter mkumbwa wew tangia zamani😂😂😂
@esterpaul585611 күн бұрын
Kumbuken PCK ni bonge la Tapel ..naanza kuamin kwa huyu kaka katapeliwa pesa..
@billskeez9213 күн бұрын
Mahakama imehamia huku mitandaoni jameniiiiiii😂😂😂 mlipane mitandaoni aise
@user-mw1fw2jt2n11 күн бұрын
Hapa kuna vita yakibiashara ndo nlchogundua
@GraceWilliam-d1w14 күн бұрын
Mtukuze mungu wewe Elly mamiziko ya kodunia ya nini ? Wewe mtafute mungu mbona inajichelewesha
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Toka wewe uanze kumtafuta umemuona!? Sababu wewe mtumwa basi unataka wote wewe watumwa hee!!
@blackschooltv13 күн бұрын
Kwahiyo Mna mgombania MBOSSO
@sund255313 күн бұрын
Future husband wa wemasepetu😂 anyway hawa wa tz wameenda kuendeleza roho mbaya hadi nchi za watu
@SuzanneMbotcha14 күн бұрын
Pumbavu ww
@lusekelosolomon31314 күн бұрын
Hiyo ni Toronto ya njombe?
@chilubafedrick574014 күн бұрын
hyu kaenda viral kuwalaum akna rayvany na mboso alaf pesa kampa mtu mwingne, how come PCK ndio meneja wao?? we mvae uliempa pesa mzeee
@bildivaivess337914 күн бұрын
Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷♂️🤷♂️
@hamismohamed354111 күн бұрын
Hii ni maajabu😂
@ghhhhy181210 күн бұрын
😂😂😂Mbav zang mie
@surusuru199413 күн бұрын
Huyo burudi sinyole alombia wema pesa nakubuka 😂😂
@godwinmwakibibi2747 күн бұрын
Gari ulishachukua kwa Wema sepetu Au ulimwachia
@imanuelnguya927714 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@Jassmin-media-official13 күн бұрын
Wasanii wako tena jamani
@rosemahenge907113 күн бұрын
Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu
@meddy609014 күн бұрын
Asa apo tumwelewe nani jamani
@mam_salum5 күн бұрын
Huyu sindie alie kuwa bwana wa wema sepetu
@hashimuuhehwa425214 күн бұрын
Picha ya Mboso ilikuwaje ukiwekwa hapo hapo ndio tatizo lilipoanzia, Eti hana uwezo wa Dolla mia mbili mmm
@caashamacalini388714 күн бұрын
Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue
@aishaabdallah7769
14 күн бұрын
Pck kanitapeli na mimi 12.000$
@malkavoice257013 күн бұрын
Hao ndio promotas wetu hawataki kuwekeza kwao wanakimbilia nchi za watu na hawana kitu kila kitu ni janja janja tu!
@mohdmohd842814 күн бұрын
Vdeo ya kwanza kasema mbosso kabeba hela, levo za mbosso na vanny boy kuja club tu 4k imeisha😂
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Kuelewa jambo kumbe ni kazi! Sasa hujamuelewa nini hapo mbona kaeleweka vizuri sanaa!!
@aishaarusha89413 күн бұрын
Piganeni muuwane😂😂😂😂
@OnlyRuky14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@brownmoses954314 күн бұрын
Hii ndo changamoto ya mtu mweusi😅
@Official8364013 күн бұрын
Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂
@hasani56514 күн бұрын
Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu
@TravoAnandi-qz7fo14 күн бұрын
Wameyakanyaga kwa digala..pick ila elly kwel baharia msumbuf
@jamilaathumani548114 күн бұрын
Inavyoonyesha apo mmezungukana ila sio poa...kwann mnataka kutumiana kupitia wasanii ..mnawaharibia wasanii ...ila apo wamezungukana ila sio poa
@AbdulatifuRamadhani11 күн бұрын
Mh
@thelonewolf442914 күн бұрын
Mshapigwa nawa nijeria uko
@d-manb-free347814 күн бұрын
Hutu si and Yule future husband 😂😂😂
@blackschooltv13 күн бұрын
Kumbe vita sio ya Wasanii ni Mapromota ... alafu wewe Elly Maswala ya kiume na Mademu unaweka hazani wewe sio Mwana ... ni Mwanahawa
@jacksonmsendo347814 күн бұрын
Uyo pck tapeli nasikia kitambo ata bongo nasikia alitapeli akakimbia
Пікірлер: 163
Kikubwa kuelewana wanetu tusukume gurudum la mziki wetu sote tunapambania kombe la mafanikio ❤
Waswahili nongwa mpaka ugenini😂😂😂
Mbona naskia we mwenyewe tapeli wa kimataifa jamani hee dunia si mama
SNS sindio wanayakuza mbwa Hawa nahuyo kijana wa TikTok
the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸
Mziiiki wetu una safari ndefu sana kama mapromota tu wanagombana
Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly
Mkataba uko wapi unaonyesha ulilipa pesa
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Kwa watu wanaoshirikiana biashara hiyo sio hoja labda kama biashara ya kitapeli sawa,
Eeh Bwana Noma Bro .Izzatkhan Canada
Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿
Mchukulie hatuwa uyo jambanzi Koko ana wachafua watu bure Kwa ujinga wake na njaa zake
kwani kasema yeye ndio kalipa mbona akusema yeye kalipa wewe nawe mwongo mwongo tu
Wabongo as always, they need to be serious ofcause
SASA KWANINI UMLIPE PCK NA SIYO MENEJA WA MBOSSO AU RAYVANNY???
@Vivannykizzy
14 күн бұрын
Yy ndo amewaita kule na anaewalipia kila kitu so lazma alipwe yy
@SadaDamas-jh2gt
14 күн бұрын
Mueleweshe vixr maana haelewi kinachozungumzwa na wahusika
@SadaDamas-jh2gt
14 күн бұрын
kiukweli hapo PCK ni tapeli
@Gody360
14 күн бұрын
Kazi ipo apo waongo waotee
@user-eb3hf1lm9e
7 күн бұрын
Yeye ndo alikuwa amewapeleka huko hivyo Elly alipaswa kumlipa
Sasa wewe Elly si ungeongea na hao psk na sio kuwachafua wasanii wa Tanzania...
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Yeye anahaki ya kulalamika biashara ni kushirikiana anaeshirikiana nae ndie aliyetengeneza mazingira magumu kwa mwenzie
Ismail niyonkuru njo umuskie pck Tena kapiga mtuu😂😂😂😂
Elly David yupo sahihi, ila watu wachahce wamemtapeli
@jumamuhamed8636
14 күн бұрын
Yupo sahihi na nn unatetea ujinga uyo Elly ni tapeli mkubwa
Le Professori Elly David Katalama
@jumamuhamed8636
14 күн бұрын
Tapel tu uyo mbwa
Wote ndiyo walewale 🇿🇦
@HalimaKassim-yz3we
14 күн бұрын
Umeonae mbona hata yy anaongeaga bongo
ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga. Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine. Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.
Huu ni umaskini 😂😂 mnaleta uswahili nchi za Watu 😂Hii ni comedy 🎭 simulizi za sauti 😂
Wasaniwako pole sana pisic
Huyu jamaa Elly anapoint ukimsikiliza Kwa umakini
Is true
Wabongo bana kutwa vijembe tutakua lini jaman haaa
Wewe muongo na una penda sifa sana
@danieldaudi1631
14 күн бұрын
Wewe ni koloboi kweli walio kuwepo wanatoa taalifa pipi wewe unakulupuka tu
Nataka kwenda Toronto
Iknw you do nice
PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa
@dublea4118
13 күн бұрын
Ndio tumekubali but usisahau kwamba PCK ni tapeli na muongo
@Official83640
13 күн бұрын
SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN
Huyu si ndio ule yule alinanili na Wema kipindi kile hadi ikaleta tafran?
@mylasadick5189
14 күн бұрын
Nani PCK au ?
@TTT80533
14 күн бұрын
Uyo uyo Mwizi devil 😈 PCK
Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu
Ni vitaaaa😂😂😂😂😂😂
Bora wewe umesemaPCK
Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.
Kwani uyu pck si ndo yule wa wema😂😂😂
Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu. Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.
@rosemahenge9071
13 күн бұрын
Kapumbavu haka kajamaa ndiyo mana hatutaki kukaamini
@Markhomestz
12 күн бұрын
Sure kabisa
Duuuhhh, mnaleta Uswahil mpaka Canada 🤔😢😢👎🏽👎🏽👎🏽 shame on you guys! 🤷🏽
Wee elly umekaa miaka mingapi Canada adiulete mtu toronto
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi
@jumamuhamed8636
14 күн бұрын
@@hashimuuhehwa4252hoja gan uyo Elly tapel tu uyo ww unamjua vizur uyo??
Nmecheka kama Mazuri...pck 😂😂😂Elly Mswahili asaaaa bando za 500 khaaaa
Hata huyo jamaa anaongea uongo saabu mbosso mimi ndio nimemleta huku Canada 🇨🇦 😂
Eti mabando yetu ya mia tano unamaliza na zarau au sio wakati wewe umeambiwa hauna ela umekasilika acha zarau wewe
Wanaume wanacambana😂😂 okay 👍
Yule mtoto tapeli sana...mpk ticktock ndio kazi yake kuchafua watu na kutapeli...muongo muongo sana yule ellydevid
Yaaan huyu jamaaa akili anazo ila anajitoa ufahamu tu sasa hapo mboss anahusikaje we mdai uliemlipa
Daah!! Promota maskini wanashida sana aisee!!
mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional
Hawa awaeleweki mbona nawewe udai pesa za kina mbosso na Ray kama ulililipa mkataba upo wapi?
Kaazi kweli kweli lol 😅
Muongo kweli
Pck kachukua pesa dola 4000 ya appearance lakini mbosso x Ray hawajui!
@mohdmohd8428
14 күн бұрын
Fact
@kshayofurniture2941
14 күн бұрын
Huyo pck ni promoter sio kiongozi wa mbosso au meneja rayvany
Mbosso hataki ajulikane kama alienda club kwenye uongoz atapigwa fain 😢😢😢
Pck mwizi kawaibia wasani
Wote ma promota uchwara tu hawana lolote.Njaa tupu...una mana Gani vikiki vya bongo wakati si ndio wewe ulijilipua kama wewe choko
Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua
@josephdionizy2868
14 күн бұрын
Yaaan kumbe amemaanisha pyino mnyama
@dicksonbrown862
11 күн бұрын
😂
Huyu anaitwa pc kari?😂😂😂au nimesikia vibaya!
Elly go with fact ukitaka wasanii wachukue mwenyewe kutoka bongo kimikataba usidandie mishe za watu Elly David 😂😂😂
Hivi kwanini mnawapa airtime haya marundi ‘ waacheni wakapewe kwenye vi nchi vyao huko
Elly wee leo unajitetea kuitwa maskini wakati wee kila mara una dharau maskini. Na unavyo nyonga mdomo sasa
@riosingingandmore8224
14 күн бұрын
Elly anadharau sana watu kuingilia ya sio muhusu
Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike
Huyo pck anahistoria ya utapeli na wizi kitambo mkumbuke alivyomtapeli wema
Pole Elly
Ila wabongo bana dah 😂 wanakiwasha popote 👐
Pck ni mwizi Tu wakawaida.
Pck Nimwizi na mimi kaniibiya dollars Zangu eti atanisafirisha nawenzangu wengi mwizi uyo
pck ni promoter mkumbwa wew tangia zamani😂😂😂
Kumbuken PCK ni bonge la Tapel ..naanza kuamin kwa huyu kaka katapeliwa pesa..
Mahakama imehamia huku mitandaoni jameniiiiiii😂😂😂 mlipane mitandaoni aise
Hapa kuna vita yakibiashara ndo nlchogundua
Mtukuze mungu wewe Elly mamiziko ya kodunia ya nini ? Wewe mtafute mungu mbona inajichelewesha
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Toka wewe uanze kumtafuta umemuona!? Sababu wewe mtumwa basi unataka wote wewe watumwa hee!!
Kwahiyo Mna mgombania MBOSSO
Future husband wa wemasepetu😂 anyway hawa wa tz wameenda kuendeleza roho mbaya hadi nchi za watu
Pumbavu ww
Hiyo ni Toronto ya njombe?
hyu kaenda viral kuwalaum akna rayvany na mboso alaf pesa kampa mtu mwingne, how come PCK ndio meneja wao?? we mvae uliempa pesa mzeee
Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷♂️🤷♂️
Hii ni maajabu😂
😂😂😂Mbav zang mie
Huyo burudi sinyole alombia wema pesa nakubuka 😂😂
Gari ulishachukua kwa Wema sepetu Au ulimwachia
😂😂😂😂😂
Wasanii wako tena jamani
Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu
Asa apo tumwelewe nani jamani
Huyu sindie alie kuwa bwana wa wema sepetu
Picha ya Mboso ilikuwaje ukiwekwa hapo hapo ndio tatizo lilipoanzia, Eti hana uwezo wa Dolla mia mbili mmm
Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue
@aishaabdallah7769
14 күн бұрын
Pck kanitapeli na mimi 12.000$
Hao ndio promotas wetu hawataki kuwekeza kwao wanakimbilia nchi za watu na hawana kitu kila kitu ni janja janja tu!
Vdeo ya kwanza kasema mbosso kabeba hela, levo za mbosso na vanny boy kuja club tu 4k imeisha😂
@hashimuuhehwa4252
14 күн бұрын
Kuelewa jambo kumbe ni kazi! Sasa hujamuelewa nini hapo mbona kaeleweka vizuri sanaa!!
Piganeni muuwane😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii ndo changamoto ya mtu mweusi😅
Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂
Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu
Wameyakanyaga kwa digala..pick ila elly kwel baharia msumbuf
Inavyoonyesha apo mmezungukana ila sio poa...kwann mnataka kutumiana kupitia wasanii ..mnawaharibia wasanii ...ila apo wamezungukana ila sio poa
Mh
Mshapigwa nawa nijeria uko
Hutu si and Yule future husband 😂😂😂
Kumbe vita sio ya Wasanii ni Mapromota ... alafu wewe Elly Maswala ya kiume na Mademu unaweka hazani wewe sio Mwana ... ni Mwanahawa
Uyo pck tapeli nasikia kitambo ata bongo nasikia alitapeli akakimbia
@salomewandya7257
14 күн бұрын
Litapeli likubwa hili
@aishaarusha894
13 күн бұрын
Aliwatapelini nyinyi