Idris Sultan asimulia alivyoishiwa kabisa 'msaidizi wangu alidhani ningejiua'

Ойын-сауық

Idris Sultan anasimulia jinsi ambavyo alitoka kuwa mmiliki wa zaidi ya shilingi milioni 500 hadi kuishiwa kiasi cha kushindwa kulipia bili ya umeme na gharama zingine na hadi kwenda kuomba hifadhi kwa mtu ili aishi kwa muda

Пікірлер: 46

  • @annmicheal2773
    @annmicheal27736 жыл бұрын

    dizzonline aitokuja kutokea interview nzur kama ya idris sultan we are realy enjoying tunataman isiishe aendelee tuuu yani amaizing 👏👏👏👏😍😍😍😍💯💯💯💯💯💯

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA6 жыл бұрын

    katika maisha haya ya leo kila mtu anahistoria yake aliyopitia wengi tunakuwa hatuifahamu na mimi pia nina story yangu na kwa kuielezea youtube nimewafungua macho watu wengi sana na pia wameweza kujifunza kupitia mimi sidhani kama ningekaa kimya watu wangejifunza watu wengi wanaogopa kusema ukweli halisi wa maisha yao kisha kuogopa jamiii ilnayowazungugka at the end of the day its ure life....nimefurahi umetupa mwangaza na sisi wengine...... big up Idris.......

  • @nickymeel986
    @nickymeel9866 жыл бұрын

    Napenda sana huyu kaka .mungu akupe maisha marefu

  • @princessdayanatv6540
    @princessdayanatv65406 жыл бұрын

    aiseeh maisha yanachangamoto nyingi sana ishi kwa kuingalia kesho ili usipoteze thamani ya kile ulichonacho. bigg up idriss

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo97646 жыл бұрын

    Hii interview Kali kinoma yaani Sky haichoshi kuiangalia Big up Sultan

  • @priscilahkasoha6168
    @priscilahkasoha61686 жыл бұрын

    Na utabarikiwa zaidi so cute idris

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe89416 жыл бұрын

    Hakika dunia ina changamoto. Hongera kwa kupambana na Mungu huwa amuachi anayetafuta. Barikiwa.

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 Жыл бұрын

    This interview was good.usifanyee kituu ambacho hujui.

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola10656 жыл бұрын

    This is one of the best interview.....inaleta raha lkn inatia moyo pia.

  • @chriskasemba2936
    @chriskasemba29366 жыл бұрын

    Jipe moyo #idris napenda msameh madam #wema ❤❤❤

  • @annmicheal2773
    @annmicheal27736 жыл бұрын

    kweli kila mtu anaistoria yake maishani aaah story yako ndo maisha yako

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon39876 жыл бұрын

    Moja ya interview Bora ya Idris Its funny ila ina Mambo serious yakujifunza Thanks Sky

  • @vivianmsafiri8692
    @vivianmsafiri86926 жыл бұрын

    thanks for sharing the under cover struggles. for sure, the struggle is real.

  • @raymondbernald7817

    @raymondbernald7817

    6 жыл бұрын

    Uko poah

  • @naynavitalis9253
    @naynavitalis92536 жыл бұрын

    Big up idriss aisee maisha haya jomoni

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan13656 жыл бұрын

    Leo umejua kunichekesha shemela, hahaha! haya maisha ayajatuachaga Salama aiseee,ila nakupa hongera sana, na nimeamini hakuna kama mama, Allah mrehem mamaangu👏😨😨😨

  • @festontandu1747
    @festontandu17476 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi kupitia mengi

  • @omariamiri9880
    @omariamiri98806 жыл бұрын

    my dreams natak niwe kama kaka hapo

  • @misschagga8042
    @misschagga80426 жыл бұрын

    Kwa kweli idriss umeongea ukweli na pia nimejifunza sana kupitia story yak.japo kila mtu ana yake ila zina tofautiana. mungu akupe uzima na fya tele.kilicho niuzi mimi tu kwako ni kuachana na wema.nilikua siamini ila leo ndio nimeamini kupitia mdomo wako na si kupitia kwa watu.

  • @kokohammboy4898
    @kokohammboy48986 жыл бұрын

    Ahahahahahah idriss banaaa daaaah rorel model wangu nakubali sanaaa

  • @mushjosephat
    @mushjosephat6 жыл бұрын

    NIMEKUELEWA SANA IDRISS

  • @phideaadam9353
    @phideaadam93536 жыл бұрын

    Idriss bwana

  • @andrewndambuki2207
    @andrewndambuki22076 жыл бұрын

    Learning alot from this story

  • @patriciamuendi9490

    @patriciamuendi9490

    6 жыл бұрын

    Andrew Ndambuki yap ofcorse its a big lesson bro from idriss

  • @rocktravel9851
    @rocktravel98516 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 ety poleni sana Maana hamna hata maswali ya kuuliza

  • @amosshaban4150
    @amosshaban41506 жыл бұрын

    kweli maisha hayana mwenye nayo

  • @asiaseif394
    @asiaseif3946 жыл бұрын

    Maisha jmn ila usiwe muaz saana

  • @fettyabdul1342
    @fettyabdul13425 жыл бұрын

    Hahahahahha nampenda uyu kaka kwekwel

  • @fredrickvituskebero5071
    @fredrickvituskebero50716 жыл бұрын

    idriss buana ha ha ha

  • @sakarimomoi7040
    @sakarimomoi70406 жыл бұрын

    Ali enda kupanga?? Kwani ile gorofa aliyo post sio yake?

  • @fawziatext9289

    @fawziatext9289

    6 жыл бұрын

    evance anasel 😂😂😂

  • @patriciamassawe6496
    @patriciamassawe64966 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂jamani usinichekeshe mie

  • @belindawilson4243
    @belindawilson42436 жыл бұрын

    This is not an interview, hii ni story!! Dizzim u need to be professional, hamuuliz maswali mnacheka tu, eish!! Huyo dada hapo hata simuelew anafanya nn, anazunguka tu kweny kit 🙄

  • @fredrickbundala3759

    @fredrickbundala3759

    6 жыл бұрын

    Belinda Wilson You are very right Belinda, this isn't an interview, this is a conversation. Hii ndio format ya show, hatuhoji bali tunafanya mazungumzo.. Imagine pale unapopewa story na rafiki yako then ukipata jibu basi hiyo ndo style ya show hii

  • @aminamassare888
    @aminamassare8886 жыл бұрын

    mbavu zang

  • @abiressaalmoqbalip3837
    @abiressaalmoqbalip38376 жыл бұрын

    Hongera

  • @hanspopmaduhu8276

    @hanspopmaduhu8276

    6 жыл бұрын

    Hongera xana

  • @Superman--un9xz

    @Superman--un9xz

    6 жыл бұрын

    hongera

  • @ambrosejulius9695
    @ambrosejulius96956 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @charlesmakunga7946
    @charlesmakunga79466 жыл бұрын

    Story ya uongo tupu io,

  • @mfalmegideon3987

    @mfalmegideon3987

    6 жыл бұрын

    Ukweli Unaujua Wewe Haya Useme Sasa

  • @charlesmakunga7946

    @charlesmakunga7946

    6 жыл бұрын

    King Gideon faaala wewe

  • @rechokabodo4893

    @rechokabodo4893

    6 жыл бұрын

    yako ya ukweli iko wapi??

  • @charlesmakunga7946

    @charlesmakunga7946

    6 жыл бұрын

    Recho Kabodo huyo ni muigizaji na mchekeshaji, ko kukusumbua akili kwake ni kazi ndogo sana

  • @eddyeddy6071
    @eddyeddy60716 жыл бұрын

    Hahahaaaa

  • @halfanimuruwa3826
    @halfanimuruwa38266 жыл бұрын

    mbona mnacheka tu kama wasenge wasenge

Келесі