Huu ndio uwekezaji MBOSSO ameamua kuufanya! Ni balaa, pesa anayo ila hataki kujionesha - Part 4

Ойын-сауық

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 81

  • @niyonkurufadhoulillah4916
    @niyonkurufadhoulillah49165 ай бұрын

    Unajua kwa wa sani wa bongo wenye adabu na eshima mbosso ni number 1 love from south africa 🇿🇦

  • @user-ji6fu9lo2g
    @user-ji6fu9lo2g5 ай бұрын

    Mboso Mr Selemani Huna baya nipeni like za kutosha .

  • @khamisshee803
    @khamisshee8035 ай бұрын

    MashaAllah Allah akujalia kila la kheri mdogo wangu Mbosso Bro sky salam zangu plz naomba unifikishiye salam zangu Mbosso AKA BACHUCHU Mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma51805 ай бұрын

    Mbosso nakuelewa sana kipaji kikubwa mno uelewa mzuri halafu nimefatilia mazungumzo yote nimegundua Diamond ndio master mind wa mafanikio ki mziki yani anajua ukitoa ngoma aina hii next inafaa uje vipi ndio watu wakuelewe.

  • @leaderchrisofficiel1876
    @leaderchrisofficiel18765 ай бұрын

    Ingelikuwa harmo pale angeliaza kigereza kiiingi 🤣🤣 Mbosso respect 💪

  • @sarotz

    @sarotz

    5 ай бұрын

    Angekuwa anajua angepiga tatizo hajui

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54815 ай бұрын

    Apo nimeamini kwer mboso anakipaji Sana Cha mziki na wasafi ni chuo Cha mziki na Sanaa,,nandomana Daimond anampenda Sana mboso kumbe..kwamana anakipaji Saaaana..

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54815 ай бұрын

    Nanilichogundua mbosso anahofu ya mungu,,,anataka akiacha mziki afanye ibada ndo mim nilivyomuelewa

  • @sarotz

    @sarotz

    5 ай бұрын

    Mwenye hofu ya Mungu anavaa hereni?

  • @Kuzarmusic

    @Kuzarmusic

    5 ай бұрын

    💯

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54815 ай бұрын

    Ila mbosso anastori Sana Sana na nimempenda bure mboso..mboso kumbe

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma77645 ай бұрын

    Discipline ambayo Hawa wasanii wa WCB wanafunzwa ni ya Hali ya juu zaidi

  • @ahmadyahya390

    @ahmadyahya390

    5 ай бұрын

    Lakin konde kalikosa ilo

  • @erickabel6201

    @erickabel6201

    5 ай бұрын

    🎉🎉🎉

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila30385 ай бұрын

    Nime enjoy sana kwenye hii interview hongera SNS hongera Mbosso hongera Wasafi🎉

  • @romakoko2292
    @romakoko22925 ай бұрын

    Dakika ya Tisa imenifurahisha sana ...una watoto wangapi😂😂anacheka badala kujibu

  • @erickabel6201
    @erickabel62015 ай бұрын

    Nakubari sana Khan unaongea vizuri sana 😍😍😍

  • @MrKimond-ip2zp
    @MrKimond-ip2zp5 ай бұрын

    Selemani unatisha San boss

  • @user-np5ry2bf5q
    @user-np5ry2bf5q5 ай бұрын

    WCB hela ipo💲.....sio makondeni njaa 😭😭😭

  • @meryamreally2768
    @meryamreally27685 ай бұрын

    Wow ok sawa mbosso ❤️❤️❤️❤️

  • @meryamreally2768
    @meryamreally27685 ай бұрын

    Amen sawa sana mbosso ucjnli 👏👏👏🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bramzymedia4553
    @bramzymedia45535 ай бұрын

    Big appreciation for mbosso khaaaan interview kali sana hiii

  • @NuruJara
    @NuruJara5 ай бұрын

    Mm naenda sana nyinbo za mboso unajuwa nakupenda sana from Kenya amu tamu coast

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi50045 ай бұрын

    Mashaallah ❤

  • @dayana5513story
    @dayana5513story5 ай бұрын

    Interview 🔥🔥🔥🔥

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle66135 ай бұрын

    Huyu kijana sio tu muimbaji lakini anakitu cha kusaidia vijana wengi kiushauri.

  • @cleveronlinemedia820
    @cleveronlinemedia8205 ай бұрын

    Interview ya moto hii

  • @meryamreally2768
    @meryamreally27685 ай бұрын

    Nakubali mbosso sawa ❤️❤️❤️👏👏😂😂😂😂👏👏

  • @RazaroKomoro
    @RazaroKomoro3 ай бұрын

    Nakubari brother mbosso

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba24255 ай бұрын

    Huyu lazima awe na hela nyingi maana ni mpambanaji sana na ana nidhamu sana kwa kila kitu.

  • @user-ix8qr4bn9z
    @user-ix8qr4bn9z4 ай бұрын

    Nyimbo zako nazipenda sana

  • @shabanJuma-fe6wf
    @shabanJuma-fe6wf5 ай бұрын

    Sky mtafute na daimond broo ,Mimi shabiki yako mkubwa toka , Radio free , Kuna kipindi ulikuwa unafanya na mtoto wa mama sabuni ,Pia sitasahau ❤❤

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda5 ай бұрын

    Safi sana mwama wa Kirungi

  • @user-uz4gi5vl6s
    @user-uz4gi5vl6s5 ай бұрын

    Big up brazza tuko pmj

  • @shekhamohd4891
    @shekhamohd48915 ай бұрын

    In sha Allah yaarabb utaacha usimame na Allah ili mama kesho akajivunie ulezi alolea ila sasa hv wapo kwenye wakati mgumu wazee

  • @ikumayojoy5904
    @ikumayojoy59044 ай бұрын

    Noma sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani63005 ай бұрын

    Mungu akujalie kheri uje ufanye na kheri za kesho yako

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen72995 ай бұрын

    Ninakukubali sana Mbosso

  • @zedekiasamara1783
    @zedekiasamara17835 ай бұрын

    Brother Sky, tulitamani sana tusikie kuhusu show yake ya Yamaha. Hopefully next time tunaweza fahamu how it came by.

  • @user-vickytembo
    @user-vickytemboАй бұрын

    Am ur big fun from Zambia ♥️

  • @omikiss1868
    @omikiss18685 ай бұрын

    Tanga Raha, welcome muhindi wakusini!!

  • @aliyumuhammed6054
    @aliyumuhammed60545 ай бұрын

    Mbosso anajua kujieleza

  • @zayumar2955
    @zayumar29555 ай бұрын

    Mboso anaimba bana tumpe mauwa yake Kwakweli 🌹 🌹 🌹 🥰 🎉🎉🎉🎉

  • @saidibrahim2375
    @saidibrahim23755 ай бұрын

    Safi sana

  • @user-rd1hx4dc4p
    @user-rd1hx4dc4p5 ай бұрын

    Salute man khan

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54815 ай бұрын

    Jamani tokea mlipomsikia mbosso je mmejifunza nini? Naomba mniambie

  • @issamohammed3493

    @issamohammed3493

    5 ай бұрын

    His humble and down to earth with fear of Allah

  • @emmanuelmalima5939

    @emmanuelmalima5939

    5 ай бұрын

    Kuna siku InshAllah,, atakuja kuacha Mambo ya muziki ya kidunia.

  • @Udindigwa
    @Udindigwa5 ай бұрын

    🎉🎉🎉Heshima Yako Mboso

  • @Iamfaraj
    @Iamfaraj5 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @channyanjen9047
    @channyanjen90475 ай бұрын

    Mumualike na zuchu apo

  • @Joelookoffial
    @Joelookoffial5 ай бұрын

    🔥🔥🫡

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu28385 ай бұрын

    Tanga kwa ukarimu masha Allah

  • @channyanjen9047
    @channyanjen90475 ай бұрын

    Na Diamond mumualike apo

  • @LucyKulaya-bj5ow

    @LucyKulaya-bj5ow

    5 ай бұрын

    Mi natamani san

  • @Tonyo-lp5ww
    @Tonyo-lp5ww2 ай бұрын

  • @giressentumwa6906
    @giressentumwa69065 ай бұрын

    Mwanamziki ambae namkubali saaana.

  • @user-gt1so2ew9y
    @user-gt1so2ew9y5 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @johanjoha5262
    @johanjoha52625 ай бұрын

    Anaongeya kistarabu,Hana uswahili

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi96335 ай бұрын

    Mbosso watt wa nje ya ndoa sio mtt wako.usiseme mwanao

  • @derickdboy2207
    @derickdboy22075 ай бұрын

    🔥🔥

  • @lukandamizasimbi44
    @lukandamizasimbi445 ай бұрын

    Nilipenda wimbo ila sehemu zingine mboso katukosesha wanawake

  • @ChristianChuwa-cy1du
    @ChristianChuwa-cy1du5 ай бұрын

    King Khan mwandishi bora

  • @BoukheitAmanaBaj
    @BoukheitAmanaBaj3 ай бұрын

    Ulikuwa wapi aliharibu mwisho. Ingekwenda vile vile kimahaba hadi mwisho

  • @zahranzahran4066
    @zahranzahran40665 ай бұрын

    Mbosso yeye wapekeee kwa wasanii wa wasafi 😮

  • @willymzawa9183
    @willymzawa91835 ай бұрын

    Mboso ninoma kuliko. Mond iko waZ

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester1255 ай бұрын

    Punguzeni mashairi yanayoashiria matusi

  • @shaanaseeb9423
    @shaanaseeb94235 ай бұрын

    🥰😘😘

  • @serianjamal8254
    @serianjamal82545 ай бұрын

    Mbosso is very humble

  • @ZuenaRamadhani
    @ZuenaRamadhani5 ай бұрын

    Mboso mapua yako yamefanana na ya lili omy

  • @festomtilikwa5319
    @festomtilikwa53195 ай бұрын

    Ufugaji unatoka wap ila huyu mbosso ni msukuma ban asitutanie et muhindi wa kusini😂😂😂

  • @yasnshaban9827
    @yasnshaban98275 ай бұрын

    Mbosso akil nyng sn

  • @LucyKulaya-bj5ow
    @LucyKulaya-bj5ow5 ай бұрын

    Sky jaman mbna simba amumuoji jaman na wish san mumuoji

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma52095 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FerouzMandenga
    @FerouzMandenga3 ай бұрын

    True STORY NINJA MBOSSO MSHEDEDE" ata mimi pia WAKATI naanza kusikia na kuona VIDEO ya AMEPOTEA! ulinichanganya kidogo NINJA" mimi nipo huku SOUTH AFRICA and Still nipo SOUTH AFRICA" SO baada ya kuona Ile VIDEO ya AMEPOTEA nilistuka sanaaa na pia MSG ilinigusa Couse KIPINDI hiko pia na mimi natafutwa na FAMILY yangu" kwenye CM sipatikani na ukizingatia na MAISHA yetu ya huku SOUTH AFRICA kila SIKU MATATIZO" SO WIMBO ulivyo kuwa unaendelea nakuja kuona VITU TOFAUTI kabisaaa! Hila HOME BOY wangu unajuwa sanaaa mpaka UNAKELAAA😂😂😂

  • @helenkambi3918
    @helenkambi39185 ай бұрын

    Mwenyezi amekataza mziki eti wewe unamshukuru kwa kitu Allah alichokikataza

  • @rahimkarim2306

    @rahimkarim2306

    5 ай бұрын

    Muombee kwa ALLAH aweze kuwa kwenye haki au usahihi wa wewe ukionyesha,mana tuna mengi tunayoyafanya ambayo ALLAH hapendi.

  • @bramzymedia4553

    @bramzymedia4553

    5 ай бұрын

    ​@@rahimkarim2306una uwezo mkubwa sana wakufikiri sikuwaza na sikufikiria jibu hili kubwa ambalo umelitoa ni IQ kubwa sana umetumia

  • @alexmalyango1405

    @alexmalyango1405

    5 ай бұрын

    Wewe mbona kafili mkubwa na mungu bdo unàmtaja

  • @gifraymantz4195

    @gifraymantz4195

    5 ай бұрын

    Mbna unazimi na Mungu ka kataza

Келесі