Huu ndio uwekezaji MBOSSO ameamua kuufanya! Ni balaa, pesa anayo ila hataki kujionesha - Part 4
Ойын-сауық
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 81
Unajua kwa wa sani wa bongo wenye adabu na eshima mbosso ni number 1 love from south africa 🇿🇦
Mboso Mr Selemani Huna baya nipeni like za kutosha .
MashaAllah Allah akujalia kila la kheri mdogo wangu Mbosso Bro sky salam zangu plz naomba unifikishiye salam zangu Mbosso AKA BACHUCHU Mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mbosso nakuelewa sana kipaji kikubwa mno uelewa mzuri halafu nimefatilia mazungumzo yote nimegundua Diamond ndio master mind wa mafanikio ki mziki yani anajua ukitoa ngoma aina hii next inafaa uje vipi ndio watu wakuelewe.
Ingelikuwa harmo pale angeliaza kigereza kiiingi 🤣🤣 Mbosso respect 💪
@sarotz
5 ай бұрын
Angekuwa anajua angepiga tatizo hajui
Apo nimeamini kwer mboso anakipaji Sana Cha mziki na wasafi ni chuo Cha mziki na Sanaa,,nandomana Daimond anampenda Sana mboso kumbe..kwamana anakipaji Saaaana..
Nanilichogundua mbosso anahofu ya mungu,,,anataka akiacha mziki afanye ibada ndo mim nilivyomuelewa
@sarotz
5 ай бұрын
Mwenye hofu ya Mungu anavaa hereni?
@Kuzarmusic
5 ай бұрын
💯
Ila mbosso anastori Sana Sana na nimempenda bure mboso..mboso kumbe
Discipline ambayo Hawa wasanii wa WCB wanafunzwa ni ya Hali ya juu zaidi
@ahmadyahya390
5 ай бұрын
Lakin konde kalikosa ilo
@erickabel6201
5 ай бұрын
🎉🎉🎉
Nime enjoy sana kwenye hii interview hongera SNS hongera Mbosso hongera Wasafi🎉
Dakika ya Tisa imenifurahisha sana ...una watoto wangapi😂😂anacheka badala kujibu
Nakubari sana Khan unaongea vizuri sana 😍😍😍
Selemani unatisha San boss
WCB hela ipo💲.....sio makondeni njaa 😭😭😭
Wow ok sawa mbosso ❤️❤️❤️❤️
Amen sawa sana mbosso ucjnli 👏👏👏🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉🎉
Big appreciation for mbosso khaaaan interview kali sana hiii
Mm naenda sana nyinbo za mboso unajuwa nakupenda sana from Kenya amu tamu coast
Mashaallah ❤
Interview 🔥🔥🔥🔥
Huyu kijana sio tu muimbaji lakini anakitu cha kusaidia vijana wengi kiushauri.
Interview ya moto hii
Nakubali mbosso sawa ❤️❤️❤️👏👏😂😂😂😂👏👏
Nakubari brother mbosso
Huyu lazima awe na hela nyingi maana ni mpambanaji sana na ana nidhamu sana kwa kila kitu.
Nyimbo zako nazipenda sana
Sky mtafute na daimond broo ,Mimi shabiki yako mkubwa toka , Radio free , Kuna kipindi ulikuwa unafanya na mtoto wa mama sabuni ,Pia sitasahau ❤❤
Safi sana mwama wa Kirungi
Big up brazza tuko pmj
In sha Allah yaarabb utaacha usimame na Allah ili mama kesho akajivunie ulezi alolea ila sasa hv wapo kwenye wakati mgumu wazee
Noma sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu akujalie kheri uje ufanye na kheri za kesho yako
Ninakukubali sana Mbosso
Brother Sky, tulitamani sana tusikie kuhusu show yake ya Yamaha. Hopefully next time tunaweza fahamu how it came by.
Am ur big fun from Zambia ♥️
Tanga Raha, welcome muhindi wakusini!!
Mbosso anajua kujieleza
Mboso anaimba bana tumpe mauwa yake Kwakweli 🌹 🌹 🌹 🥰 🎉🎉🎉🎉
Safi sana
Salute man khan
Jamani tokea mlipomsikia mbosso je mmejifunza nini? Naomba mniambie
@issamohammed3493
5 ай бұрын
His humble and down to earth with fear of Allah
@emmanuelmalima5939
5 ай бұрын
Kuna siku InshAllah,, atakuja kuacha Mambo ya muziki ya kidunia.
🎉🎉🎉Heshima Yako Mboso
❤❤❤
Mumualike na zuchu apo
🔥🔥🫡
Tanga kwa ukarimu masha Allah
Na Diamond mumualike apo
@LucyKulaya-bj5ow
5 ай бұрын
Mi natamani san
❤
Mwanamziki ambae namkubali saaana.
❤❤❤❤
Anaongeya kistarabu,Hana uswahili
Mbosso watt wa nje ya ndoa sio mtt wako.usiseme mwanao
🔥🔥
Nilipenda wimbo ila sehemu zingine mboso katukosesha wanawake
King Khan mwandishi bora
Ulikuwa wapi aliharibu mwisho. Ingekwenda vile vile kimahaba hadi mwisho
Mbosso yeye wapekeee kwa wasanii wa wasafi 😮
Mboso ninoma kuliko. Mond iko waZ
Punguzeni mashairi yanayoashiria matusi
🥰😘😘
Mbosso is very humble
Mboso mapua yako yamefanana na ya lili omy
Ufugaji unatoka wap ila huyu mbosso ni msukuma ban asitutanie et muhindi wa kusini😂😂😂
Mbosso akil nyng sn
Sky jaman mbna simba amumuoji jaman na wish san mumuoji
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
True STORY NINJA MBOSSO MSHEDEDE" ata mimi pia WAKATI naanza kusikia na kuona VIDEO ya AMEPOTEA! ulinichanganya kidogo NINJA" mimi nipo huku SOUTH AFRICA and Still nipo SOUTH AFRICA" SO baada ya kuona Ile VIDEO ya AMEPOTEA nilistuka sanaaa na pia MSG ilinigusa Couse KIPINDI hiko pia na mimi natafutwa na FAMILY yangu" kwenye CM sipatikani na ukizingatia na MAISHA yetu ya huku SOUTH AFRICA kila SIKU MATATIZO" SO WIMBO ulivyo kuwa unaendelea nakuja kuona VITU TOFAUTI kabisaaa! Hila HOME BOY wangu unajuwa sanaaa mpaka UNAKELAAA😂😂😂
Mwenyezi amekataza mziki eti wewe unamshukuru kwa kitu Allah alichokikataza
@rahimkarim2306
5 ай бұрын
Muombee kwa ALLAH aweze kuwa kwenye haki au usahihi wa wewe ukionyesha,mana tuna mengi tunayoyafanya ambayo ALLAH hapendi.
@bramzymedia4553
5 ай бұрын
@@rahimkarim2306una uwezo mkubwa sana wakufikiri sikuwaza na sikufikiria jibu hili kubwa ambalo umelitoa ni IQ kubwa sana umetumia
@alexmalyango1405
5 ай бұрын
Wewe mbona kafili mkubwa na mungu bdo unàmtaja
@gifraymantz4195
5 ай бұрын
Mbna unazimi na Mungu ka kataza