Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 2

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Thabit Shariff Ramadhan my guy, siku zote mkimya, yupo kama hayupo, anayeona lakini humkuti anaangalia na mwenye kuyabeba yanayobebeka na kuyaacha ambayo hayapaswi kuchukuliwa, huyo ndo yeye na leo ukimuona mpe tu heshima zake, pengina si kwasababu kakuzidi umri, ila kwasababu aliyechelewa lakini KAFIKA.
Tena, sikumbuki lini ilikua mara ya kwanza mi naye kukutana ila nakumbuka nilipomuona 2016 mwezi wa 12 kwenye mazoezi ya show ya usiku ya Tuzo za Muziki za EATV, alikua wa mootoh, ukiachana na watu waliokua ndani ya game, hakuna aliyejua alitokea wapi, ila boom!! Kwenye sikio na kila mdomo wa wana Afrika ya Mashariki dunia kwa ujumla, kiiila mtu alikua anaimba MUZIKI wa (ya) Darassa.
Hapa atatuambia kwamba alikua kwenye game muda mbona? Ila muda wake tu ulikua haujafika (pengine ushaisikia hiyo story) ila ni kweli, muda wako kama Mwenyezi Mungu hajasema ndo huu basi inakua hata ufanyeje haufiki mjini. Imagine kuwepo toka enzi za ECT, Dully wakati wamooto, wakati Complex bado yuhai na Q Chief ana nywele zake zote kichwani na rasta juu lakini 2016 ndo akapata break yake kubwa ya kwanza sio mchezo. Kwa hilo pekee tunafaa tumpe salute zake.
Muziki haikua single yake ya kwanza, haukua wimbo wake wa kwanza kurekodi, haikua video yake ya kwanza aidha, ila kwa baadhi ya watu Darassa alikua ‘msanii mpya’. Hapa, tuliongea juu ya maisha baada ya MUZIKI, na kabla. Baada ni kwasababu lilikua ndo swali la kila mtu, kipi kilikosewa, nini kilitokea? Hakua na uwezo wa kutengeneza hit tena? Ilikua bahati tu ile? Na kabla ya hapo alitokea wapi haswa? Ali struggle kabla ya kupata mwanya? Shuleni ni vipi? Changamoto za kazi? Ana mtoto? Mke? Mwenza? Nani ni rafiki yake kwenye muziki? Subira haswa anayo? Alijifunzia wapi?
Majibu yako humu, tafadhali enjoy.
Love,
Salama,
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 172

  • @mwamvitakituka2994
    @mwamvitakituka29943 жыл бұрын

    Darasa kichwa imetulia sana. Unachukulia kila kitu in a positive way. Mungu akuinue zaidi.

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem934 жыл бұрын

    Nimemuelewa Pale Aliposema Sasa Niongee Nini Na Nyinyi Si Watu Wangu Ni Bora Niwasikilize Nyie 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mangib52
    @mangib524 жыл бұрын

    Leo siku yangu haijaenda bure hata nisipopata pesa nilichojifunza kinatosha......big up darasa ✌

  • @gonta2553
    @gonta25534 жыл бұрын

    Hakuna msanii yuko smart mentaly kama darasa tz hii..Darasa akiongea anakushawishi uendelee kumsikiliza..keep it up bro

  • @khalifasaid1131
    @khalifasaid11314 жыл бұрын

    Sisi tuliopitia katika malezi ya aina ya darasa tunayajua maimivu anayoyafeel darasa na huwezi kufeel hiyo pain kama hujapitia hii situation. interview ya darasa inaamsha mambo mengi yaliyo ndani ya mioyo yetu..Ndio maana sitokaa hata siku moja nimkatae mtoto wangu.Na ndio faraja pekee ya kukufariji kama umepitia haya maisha ni watoto wako kama umejaliwa kuwapata na sio kitu kingine chochote..I love my kids so much kilichotokea kwangu watoto wangu kiwaepuke.

  • @harunayussuf6866

    @harunayussuf6866

    3 жыл бұрын

    True🙌🙌 true🙌🙌

  • @kijangapeter5135
    @kijangapeter51354 жыл бұрын

    Huyu mwamba noma sana aisee, sidhani km anabifu na boya yeyote,,a very humble guy aisee, Big up bro 👊👊

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    Tangu tukuwe mtamani hajawahi gombana namtu sisi mabinti mpaka vijana wenzie

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino674 жыл бұрын

    Kuna watu wana akili uku dunian 🙌🏽 one of them.......! Nilichojifunza ni kwamba unaweza ukawa na jina kubwa na pia ukawa na kazi zako nyingi uko mtaani but u get nothing 🙌🏽 so inataka akili kufanya hiyo i work out la sivyo unakuwa na jina kubwa then u have nothing 🙌🏽 darasa🙌🏽

  • @rufijionline3685

    @rufijionline3685

    4 жыл бұрын

    Hdf

  • @btylove1870
    @btylove18704 жыл бұрын

    Please wazazi waleeni watoto kwa pamoja na kwa mapenzi! Darassa ni mama's boy amekosa mapenzi ya baba yake kwa ajili ya ubinafsi wa wazee wake tu. Na mtoto wa kiume anae lelewa na mama tu, aah acha tu. Big up Darassa kwa kutupa music mzuri. Blessed Up🙏

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda60394 жыл бұрын

    Darasa.....hongera kwa kuthamini ulichosaidiwa na dada yako na wengine pia.....U real appreciate them ni wachache kama wewe wanaokumbuka fadhila#God bless U

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    2 жыл бұрын

    Yani kanifanya nimkumbuke alikuwa pisi sana mama Salumu namsiba wake. Ulijaza balaaa. Vizuri havidumu😢

  • @shomarywawa6227
    @shomarywawa62274 жыл бұрын

    DARASSA Champion BOY! Big Mentality Sasa Hii Ndio Elimu Mtaani Ya D Knob

  • @TheAlternativeVoice

    @TheAlternativeVoice

    4 жыл бұрын

    Isikize apa >>> kzread.info/dash/bejne/i2GdwblyitGvktI.html

  • @happymacha3235
    @happymacha32354 жыл бұрын

    Humble, smart and mkwelii Nmpenda napenda kaz zake

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda25264 жыл бұрын

    Leo ndo nimeelewa kwanini alijiita darasa. Nilikuwa class kwa dakika zote hizi na nimejifunza mengi sana kwa kukusikiliza. Thanks Salana na Darasa.

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe80834 жыл бұрын

    He learn more to the street than in the class big up kaka and you have big heart.

  • @TheAlesry

    @TheAlesry

    4 жыл бұрын

    Very true

  • @africanyoung5410

    @africanyoung5410

    4 жыл бұрын

    Salaama ongeza kipindi cha huyu mtu ni hatari Sana huyu mnyama noma saana hii interview.

  • @mossesjonathan5766
    @mossesjonathan57664 жыл бұрын

    Yaani hii interview imetulia uchoki hata kusikiliza na kuangalia big up sana aisee

  • @hancymarin7081
    @hancymarin70814 жыл бұрын

    Salama through this interview darasa na muadd among watu wangu nao wakubal coz jamaa anaupeo mkubwa sana kiukwel anazid kuniongezea vtu ambavyo nilkuwa sija experience appreciate u darasa allah azid kukuongezea upeo ukue zaid ya hpo

  • @pendondossy2158
    @pendondossy21584 жыл бұрын

    Yes dalasa yuko vzr asant kwa kila maswali na umenijuZa ving

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha37404 жыл бұрын

    Woohoo nimepanda sana interview yake very smart wish him the best and you my sister Salam love you more more Good job

  • @shabbyammacy9382
    @shabbyammacy93824 жыл бұрын

    Nmefurah the way anavyojiwa anajenga hoja positively with smile hatari. Safi sana. Najifunza sana haya maisha ni kuwa mtulivu na kujiamini na kukubali uwezo wako then nidhamu pia. Kila kitu mbele bila kusahau m/mungu.

  • @othumanomary4032
    @othumanomary40324 жыл бұрын

    Hiiii interview nimeipnd sana watu wko na smle za ktshaaaa salaaaaama n darasa

  • @hendricksaugustine6967
    @hendricksaugustine69674 жыл бұрын

    The best interview inaanza ya mwana fa inafuata hii ya darassa "vice versa is true"

  • @dysamarcus8462
    @dysamarcus84624 жыл бұрын

    natamani ningekuwa na akili kama za darassa jaman daah jah bless man ur gentleman realman wallah mkeo ajivunie

  • @ngomanagwa9940
    @ngomanagwa99404 жыл бұрын

    Saa nyingine unaacha mjinga ajione mshindi #Fact @darassacmg

  • @juliusngowi952
    @juliusngowi9524 жыл бұрын

    Mwana yupo humble,real and smart..the last time we me was kitambo sana Moro kwenye mishe za harusi kifamilia flani,still humble and smart..imetulia!

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    4 жыл бұрын

    Umekuja hadi huku? Umetajiwa Kiwalani yenu tena akili inakuruka! Hataaaaaaaaaaaa!

  • @juliusngowi952

    @juliusngowi952

    4 жыл бұрын

    Hahahaha Kiw@side ndio home babu!😀

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    4 жыл бұрын

    @@juliusngowi952 Tisha sana!

  • @daniellepari4525
    @daniellepari45254 жыл бұрын

    Ahsante sana da salama kwa kipindi chako una tufundisaha sana mungu akupe maisha marefu 🤞

  • @hamiskamba557
    @hamiskamba5574 жыл бұрын

    Man what an interview kila salama na you will learn something shukran kwa salama jaabir

  • @Wachuoni
    @Wachuoni4 жыл бұрын

    ... success its a road always under construction ... ur show its like "University of Success" big up to ol ya

  • @hassansunday9864
    @hassansunday98644 жыл бұрын

    Ngoma zake zina sema kuwa uyu jamaa ana akili nyingi na nidhamu pia

  • @emmyramadhan2675
    @emmyramadhan26754 жыл бұрын

    Sijawahi kujua hy Jamaa Yuko Powa hv

  • @lyidiaamani5807
    @lyidiaamani58074 жыл бұрын

    Dah jamaa ana hekima sana.

  • @sirajshelali6209
    @sirajshelali62094 жыл бұрын

    Darassa!!nakukubali sana..one of a great artist big up urself bro

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul1034 жыл бұрын

    Darasa Ana aibu anaonekana eee! Nice salama you're real 🤗

  • @joycembata2238
    @joycembata22384 жыл бұрын

    the best interview of all .. CMG🤗🤗🤗

  • @willysamuel3655
    @willysamuel36554 жыл бұрын

    BEST #SalamaNa interview of all till this point Madini ya Darasa ni hatar

  • @ludaclaude9577
    @ludaclaude95774 жыл бұрын

    Hakikaa mkl unawapaa watu weng matumain ujuiii tuuu mr usiekataa tamaa daimaaaa Nmependa amesemaa Mungu yuko rip sista yetuuu

  • @claramaimu5385
    @claramaimu53854 жыл бұрын

    I just love how smart he is😘

  • @ibrahimuramadhan526
    @ibrahimuramadhan5264 жыл бұрын

    Hii interview ilikuwa inanidai sasa nimemalizana nayo,🙏

  • @mercijoganitrate8607
    @mercijoganitrate86074 жыл бұрын

    kwakweli nimeipenda interview,imenijenga ki akili sana.mtu akikupa nafasi ya kutengeneza maisha yako usijifanye kile kitu anacho ni chako.kuwa mtulivu fanya maisha yako mpaka utakapo jitegemeya wewe mwenyewe.

  • @princemujuni9803
    @princemujuni98034 жыл бұрын

    Wale mliokua mkisema education is better than money habari za huko Havvard. Mr Burudani anasema ana cha kujutia

  • @TheAlesry

    @TheAlesry

    4 жыл бұрын

    CMG akili sana

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    4 жыл бұрын

    The guy is humble ,he know how he do, very very Mentality man

  • @zennakailo8106
    @zennakailo81064 жыл бұрын

    Etiiii mbona hamn sauti ipo njiani mam inakuja ww kuwa mpole 😂soon Darasa anakuja

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu1814 жыл бұрын

    Salama galbi, na hii naicheki, adverts naichezesha in full hata za 5 minutes. Nafarijika kukuona na kukuskia mpenzi wangu, ustadi wako unani~khalas shununa. Love u today, tomorrow and forever more 💞😘😍😘💝

  • @rosejohn468
    @rosejohn4684 жыл бұрын

    Ila salama maswali yako mm nakupendaga tu darassa upo vzur bro

  • @mrfashion1687
    @mrfashion16874 жыл бұрын

    Nasubiri ya adam mchomvu na ya bdozen

  • @TheAlesry
    @TheAlesry4 жыл бұрын

    Salama tabasamu kwa darrasa

  • @nwntz
    @nwntz4 жыл бұрын

    hii part ya pili ni darasa tosha kuna mbwiga hawaelewi

  • @AhmedSaleh-rc1yj
    @AhmedSaleh-rc1yj4 жыл бұрын

    Keep smart Keep smiling Keep silence ##Lock nene

  • @ibnrashadmammytashi7167
    @ibnrashadmammytashi71674 жыл бұрын

    Salam love you siz napenda kipindi chako sn

  • @suleimanrashid9690
    @suleimanrashid96904 жыл бұрын

    Hii ndo interview bora sana kwangu mimi big up sana drarasa akili mingi

  • @balozibalozi5257
    @balozibalozi52574 жыл бұрын

    Darasa kichwa sana Jamani duh

  • @ley107
    @ley1074 жыл бұрын

    Msanii mmojawapo mwenye akili pana

  • @jjmwampambemwakaguo9370
    @jjmwampambemwakaguo93704 жыл бұрын

    The Biggest Interview

  • @chunanachu2529
    @chunanachu25294 жыл бұрын

    Ntaskiliza sana kuliko kuongea thanks darasa

  • @tumpemwanyasi2193
    @tumpemwanyasi21933 жыл бұрын

    MUCH RESPECT TO YOU DARASA.

  • @johnsonayo
    @johnsonayo4 жыл бұрын

    Darasa ni Genius sanaa

  • @mwanahella9650
    @mwanahella96504 жыл бұрын

    Salama tupe Siri ya tabasamu hilo mama🤗

  • @yusuphmussa6589
    @yusuphmussa65894 жыл бұрын

    Congratulations darasa

  • @fidesnsingi2458
    @fidesnsingi24584 жыл бұрын

    Smart and Humble Dudeee 👌👌👌

  • @sarahrichard837
    @sarahrichard8374 жыл бұрын

    Amna kama darasa unajihesim sana big up bro

  • @TheAlesry
    @TheAlesry4 жыл бұрын

    Akili nyingi mtu wangu

  • @salmaluhombero9809
    @salmaluhombero98094 жыл бұрын

    Kweli hamna the best kama darasa your the best

  • @didatratranee2531
    @didatratranee25314 жыл бұрын

    Darasa u made ma day smart sana

  • @joycembata2238
    @joycembata22384 жыл бұрын

    mda huongezwe wa kipindi ... seems he still had alot 😔😔

  • @nginirasaire5876
    @nginirasaire58762 жыл бұрын

    Salama this one looks short, may be its not ila tulitaka iendelee. Have him again in future

  • @mamusmama2882
    @mamusmama28824 жыл бұрын

    Darasaa kama Sharif wel done Salama

  • @gaganog7299
    @gaganog72994 жыл бұрын

    Bless darasa and bless salama

  • @chunanachu2529
    @chunanachu25294 жыл бұрын

    Nimempenda sana darasa

  • @salmaluhombero9809
    @salmaluhombero98094 жыл бұрын

    Pole na Msibawa dada yako awwww jamani

  • @antonybmwanyalo3576
    @antonybmwanyalo35764 жыл бұрын

    Darasa ni msani wa kipaji chake yupo sahihi anajuwa anacho kifanya

  • @amouramour1256
    @amouramour12564 жыл бұрын

    Realest words

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga83184 жыл бұрын

    the best is darasa it's true""that's a fact""

  • @michaelkasebele7168
    @michaelkasebele71684 жыл бұрын

    What a best interview.....

  • @saumungale970
    @saumungale9704 жыл бұрын

    Akili kubwa darasa big up bro ktk interviw zte hii salama amenjoy sana nawish ingekua na part3

  • @jamylahramadhani9862
    @jamylahramadhani98624 жыл бұрын

    Hii interview NIMEJIFUNZA SANA 🙏

  • @salmaluhombero9809
    @salmaluhombero98094 жыл бұрын

    Brilliant wow

  • @maryamsaidy9315
    @maryamsaidy93154 жыл бұрын

    Tumia mda wako kunskilza kua kimya kua mskilizaji tu

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo82624 жыл бұрын

    Brother Darassa umenifanya nibadili maamuzi nilokuwa nayo kichwani "family is everything "

  • @swalehemhando6921
    @swalehemhando69214 жыл бұрын

    Kizazi sana

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe26972 жыл бұрын

    Mwana fa mungu akubariki unaroho yake

  • @mohamedhamadi1056
    @mohamedhamadi10564 жыл бұрын

    Mbona hakuna sauti

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9c6 ай бұрын

    Kuna watu wangesoma hii bongo ingekuwa na wagunduzi wengi xana wa mambo makubwa.

  • @davidsafari615
    @davidsafari6154 жыл бұрын

    Interview bora sana!

  • @elipokeandosi6318
    @elipokeandosi63184 жыл бұрын

    Saf Sana darasa uko poa sana

  • @flooseikitchen2476
    @flooseikitchen24764 жыл бұрын

    He is so smart

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi95304 жыл бұрын

    Darasa✌

  • @shanykalenzi2568
    @shanykalenzi25684 жыл бұрын

    Gud interview

  • @ashasiaga3197
    @ashasiaga31974 жыл бұрын

    Nazidi kujifunza salama kipindi kizur sana najua mengi

  • @josedorothea7939
    @josedorothea79394 жыл бұрын

    💪 mwamba wa miamba Mr skati tamaa himself

  • @lilianhamidu8387
    @lilianhamidu83874 жыл бұрын

    Akili kubwa

  • @amanimushi1466
    @amanimushi14664 жыл бұрын

    Mtyu makini sana DARASA✊

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga35354 жыл бұрын

    CMG 🌟🌟🌟🌟🌟 🏆🏆🏆🏆🏆

  • @NiraSaire
    @NiraSaire3 жыл бұрын

    255 champion boy

  • @alexoklnda2353
    @alexoklnda23534 жыл бұрын

    Lovely one

  • @tafamo4723
    @tafamo47234 жыл бұрын

    Namkubal sana classic

  • @bwaxlady688
    @bwaxlady6884 жыл бұрын

    Yan mm mwenyw naqqbar

  • @vonmedia1024
    @vonmedia10244 жыл бұрын

    smart man. So real

  • @danielmlanda2546
    @danielmlanda25464 жыл бұрын

    Good

  • @mashalamusicempire1158
    @mashalamusicempire11584 жыл бұрын

    Abachonimejofunlza ni kusikiliza na ndiomana unamdomo 1 na masikio mawili simandishiyangu ni maneno ya dad@salama

  • @yumna128
    @yumna1284 жыл бұрын

    Mind smart

  • @tausijarufu
    @tausijarufu4 жыл бұрын

    Darasa 👏

  • @meshackmariki6173
    @meshackmariki61734 жыл бұрын

    Hizi ndio interview sasa unajifunza sio kina gigy money

  • @janethmaanga1130

    @janethmaanga1130

    4 жыл бұрын

    Kwan kwa giggy hukujifunza 🥺 remember there is a lesson in everything

  • @blandinamnyinga8318

    @blandinamnyinga8318

    4 жыл бұрын

    @@janethmaanga1130 forget even him learning"" hoja ni kwamba Kama hakujifunza Kuna watu walijifunza.hiyo peke yake inatosha.

  • @omaressau3299
    @omaressau32994 жыл бұрын

    Darassa CMG is out now!!

Келесі