Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 2
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Thabit Shariff Ramadhan my guy, siku zote mkimya, yupo kama hayupo, anayeona lakini humkuti anaangalia na mwenye kuyabeba yanayobebeka na kuyaacha ambayo hayapaswi kuchukuliwa, huyo ndo yeye na leo ukimuona mpe tu heshima zake, pengina si kwasababu kakuzidi umri, ila kwasababu aliyechelewa lakini KAFIKA.
Tena, sikumbuki lini ilikua mara ya kwanza mi naye kukutana ila nakumbuka nilipomuona 2016 mwezi wa 12 kwenye mazoezi ya show ya usiku ya Tuzo za Muziki za EATV, alikua wa mootoh, ukiachana na watu waliokua ndani ya game, hakuna aliyejua alitokea wapi, ila boom!! Kwenye sikio na kila mdomo wa wana Afrika ya Mashariki dunia kwa ujumla, kiiila mtu alikua anaimba MUZIKI wa (ya) Darassa.
Hapa atatuambia kwamba alikua kwenye game muda mbona? Ila muda wake tu ulikua haujafika (pengine ushaisikia hiyo story) ila ni kweli, muda wako kama Mwenyezi Mungu hajasema ndo huu basi inakua hata ufanyeje haufiki mjini. Imagine kuwepo toka enzi za ECT, Dully wakati wamooto, wakati Complex bado yuhai na Q Chief ana nywele zake zote kichwani na rasta juu lakini 2016 ndo akapata break yake kubwa ya kwanza sio mchezo. Kwa hilo pekee tunafaa tumpe salute zake.
Muziki haikua single yake ya kwanza, haukua wimbo wake wa kwanza kurekodi, haikua video yake ya kwanza aidha, ila kwa baadhi ya watu Darassa alikua ‘msanii mpya’. Hapa, tuliongea juu ya maisha baada ya MUZIKI, na kabla. Baada ni kwasababu lilikua ndo swali la kila mtu, kipi kilikosewa, nini kilitokea? Hakua na uwezo wa kutengeneza hit tena? Ilikua bahati tu ile? Na kabla ya hapo alitokea wapi haswa? Ali struggle kabla ya kupata mwanya? Shuleni ni vipi? Changamoto za kazi? Ana mtoto? Mke? Mwenza? Nani ni rafiki yake kwenye muziki? Subira haswa anayo? Alijifunzia wapi?
Majibu yako humu, tafadhali enjoy.
Love,
Salama,
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 172
Darasa kichwa imetulia sana. Unachukulia kila kitu in a positive way. Mungu akuinue zaidi.
Nimemuelewa Pale Aliposema Sasa Niongee Nini Na Nyinyi Si Watu Wangu Ni Bora Niwasikilize Nyie 🔥🔥🔥🔥🔥
Leo siku yangu haijaenda bure hata nisipopata pesa nilichojifunza kinatosha......big up darasa ✌
Hakuna msanii yuko smart mentaly kama darasa tz hii..Darasa akiongea anakushawishi uendelee kumsikiliza..keep it up bro
Sisi tuliopitia katika malezi ya aina ya darasa tunayajua maimivu anayoyafeel darasa na huwezi kufeel hiyo pain kama hujapitia hii situation. interview ya darasa inaamsha mambo mengi yaliyo ndani ya mioyo yetu..Ndio maana sitokaa hata siku moja nimkatae mtoto wangu.Na ndio faraja pekee ya kukufariji kama umepitia haya maisha ni watoto wako kama umejaliwa kuwapata na sio kitu kingine chochote..I love my kids so much kilichotokea kwangu watoto wangu kiwaepuke.
@harunayussuf6866
3 жыл бұрын
True🙌🙌 true🙌🙌
Huyu mwamba noma sana aisee, sidhani km anabifu na boya yeyote,,a very humble guy aisee, Big up bro 👊👊
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Tangu tukuwe mtamani hajawahi gombana namtu sisi mabinti mpaka vijana wenzie
Kuna watu wana akili uku dunian 🙌🏽 one of them.......! Nilichojifunza ni kwamba unaweza ukawa na jina kubwa na pia ukawa na kazi zako nyingi uko mtaani but u get nothing 🙌🏽 so inataka akili kufanya hiyo i work out la sivyo unakuwa na jina kubwa then u have nothing 🙌🏽 darasa🙌🏽
@rufijionline3685
4 жыл бұрын
Hdf
Please wazazi waleeni watoto kwa pamoja na kwa mapenzi! Darassa ni mama's boy amekosa mapenzi ya baba yake kwa ajili ya ubinafsi wa wazee wake tu. Na mtoto wa kiume anae lelewa na mama tu, aah acha tu. Big up Darassa kwa kutupa music mzuri. Blessed Up🙏
Darasa.....hongera kwa kuthamini ulichosaidiwa na dada yako na wengine pia.....U real appreciate them ni wachache kama wewe wanaokumbuka fadhila#God bless U
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
Yani kanifanya nimkumbuke alikuwa pisi sana mama Salumu namsiba wake. Ulijaza balaaa. Vizuri havidumu😢
DARASSA Champion BOY! Big Mentality Sasa Hii Ndio Elimu Mtaani Ya D Knob
@TheAlternativeVoice
4 жыл бұрын
Isikize apa >>> kzread.info/dash/bejne/i2GdwblyitGvktI.html
Humble, smart and mkwelii Nmpenda napenda kaz zake
Leo ndo nimeelewa kwanini alijiita darasa. Nilikuwa class kwa dakika zote hizi na nimejifunza mengi sana kwa kukusikiliza. Thanks Salana na Darasa.
He learn more to the street than in the class big up kaka and you have big heart.
@TheAlesry
4 жыл бұрын
Very true
@africanyoung5410
4 жыл бұрын
Salaama ongeza kipindi cha huyu mtu ni hatari Sana huyu mnyama noma saana hii interview.
Yaani hii interview imetulia uchoki hata kusikiliza na kuangalia big up sana aisee
Salama through this interview darasa na muadd among watu wangu nao wakubal coz jamaa anaupeo mkubwa sana kiukwel anazid kuniongezea vtu ambavyo nilkuwa sija experience appreciate u darasa allah azid kukuongezea upeo ukue zaid ya hpo
Yes dalasa yuko vzr asant kwa kila maswali na umenijuZa ving
Woohoo nimepanda sana interview yake very smart wish him the best and you my sister Salam love you more more Good job
Nmefurah the way anavyojiwa anajenga hoja positively with smile hatari. Safi sana. Najifunza sana haya maisha ni kuwa mtulivu na kujiamini na kukubali uwezo wako then nidhamu pia. Kila kitu mbele bila kusahau m/mungu.
Hiiii interview nimeipnd sana watu wko na smle za ktshaaaa salaaaaama n darasa
The best interview inaanza ya mwana fa inafuata hii ya darassa "vice versa is true"
natamani ningekuwa na akili kama za darassa jaman daah jah bless man ur gentleman realman wallah mkeo ajivunie
Saa nyingine unaacha mjinga ajione mshindi #Fact @darassacmg
Mwana yupo humble,real and smart..the last time we me was kitambo sana Moro kwenye mishe za harusi kifamilia flani,still humble and smart..imetulia!
@TamuzaKale
4 жыл бұрын
Umekuja hadi huku? Umetajiwa Kiwalani yenu tena akili inakuruka! Hataaaaaaaaaaaa!
@juliusngowi952
4 жыл бұрын
Hahahaha Kiw@side ndio home babu!😀
@TamuzaKale
4 жыл бұрын
@@juliusngowi952 Tisha sana!
Ahsante sana da salama kwa kipindi chako una tufundisaha sana mungu akupe maisha marefu 🤞
Man what an interview kila salama na you will learn something shukran kwa salama jaabir
... success its a road always under construction ... ur show its like "University of Success" big up to ol ya
Ngoma zake zina sema kuwa uyu jamaa ana akili nyingi na nidhamu pia
Sijawahi kujua hy Jamaa Yuko Powa hv
Dah jamaa ana hekima sana.
Darassa!!nakukubali sana..one of a great artist big up urself bro
Darasa Ana aibu anaonekana eee! Nice salama you're real 🤗
the best interview of all .. CMG🤗🤗🤗
BEST #SalamaNa interview of all till this point Madini ya Darasa ni hatar
Hakikaa mkl unawapaa watu weng matumain ujuiii tuuu mr usiekataa tamaa daimaaaa Nmependa amesemaa Mungu yuko rip sista yetuuu
I just love how smart he is😘
Hii interview ilikuwa inanidai sasa nimemalizana nayo,🙏
kwakweli nimeipenda interview,imenijenga ki akili sana.mtu akikupa nafasi ya kutengeneza maisha yako usijifanye kile kitu anacho ni chako.kuwa mtulivu fanya maisha yako mpaka utakapo jitegemeya wewe mwenyewe.
Wale mliokua mkisema education is better than money habari za huko Havvard. Mr Burudani anasema ana cha kujutia
@TheAlesry
4 жыл бұрын
CMG akili sana
@amiriramadhan7753
4 жыл бұрын
The guy is humble ,he know how he do, very very Mentality man
Etiiii mbona hamn sauti ipo njiani mam inakuja ww kuwa mpole 😂soon Darasa anakuja
Salama galbi, na hii naicheki, adverts naichezesha in full hata za 5 minutes. Nafarijika kukuona na kukuskia mpenzi wangu, ustadi wako unani~khalas shununa. Love u today, tomorrow and forever more 💞😘😍😘💝
Ila salama maswali yako mm nakupendaga tu darassa upo vzur bro
Nasubiri ya adam mchomvu na ya bdozen
Salama tabasamu kwa darrasa
hii part ya pili ni darasa tosha kuna mbwiga hawaelewi
Keep smart Keep smiling Keep silence ##Lock nene
Salam love you siz napenda kipindi chako sn
Hii ndo interview bora sana kwangu mimi big up sana drarasa akili mingi
Darasa kichwa sana Jamani duh
Msanii mmojawapo mwenye akili pana
The Biggest Interview
Ntaskiliza sana kuliko kuongea thanks darasa
MUCH RESPECT TO YOU DARASA.
Darasa ni Genius sanaa
Salama tupe Siri ya tabasamu hilo mama🤗
Congratulations darasa
Smart and Humble Dudeee 👌👌👌
Amna kama darasa unajihesim sana big up bro
Akili nyingi mtu wangu
Kweli hamna the best kama darasa your the best
Darasa u made ma day smart sana
mda huongezwe wa kipindi ... seems he still had alot 😔😔
Salama this one looks short, may be its not ila tulitaka iendelee. Have him again in future
Darasaa kama Sharif wel done Salama
Bless darasa and bless salama
Nimempenda sana darasa
Pole na Msibawa dada yako awwww jamani
Darasa ni msani wa kipaji chake yupo sahihi anajuwa anacho kifanya
Realest words
the best is darasa it's true""that's a fact""
What a best interview.....
Akili kubwa darasa big up bro ktk interviw zte hii salama amenjoy sana nawish ingekua na part3
Hii interview NIMEJIFUNZA SANA 🙏
Brilliant wow
Tumia mda wako kunskilza kua kimya kua mskilizaji tu
Brother Darassa umenifanya nibadili maamuzi nilokuwa nayo kichwani "family is everything "
Kizazi sana
Mwana fa mungu akubariki unaroho yake
Mbona hakuna sauti
Kuna watu wangesoma hii bongo ingekuwa na wagunduzi wengi xana wa mambo makubwa.
Interview bora sana!
Saf Sana darasa uko poa sana
He is so smart
Darasa✌
Gud interview
Nazidi kujifunza salama kipindi kizur sana najua mengi
💪 mwamba wa miamba Mr skati tamaa himself
Akili kubwa
Mtyu makini sana DARASA✊
CMG 🌟🌟🌟🌟🌟 🏆🏆🏆🏆🏆
255 champion boy
Lovely one
Namkubal sana classic
Yan mm mwenyw naqqbar
smart man. So real
Good
Abachonimejofunlza ni kusikiliza na ndiomana unamdomo 1 na masikio mawili simandishiyangu ni maneno ya dad@salama
Mind smart
Darasa 👏
Hizi ndio interview sasa unajifunza sio kina gigy money
@janethmaanga1130
4 жыл бұрын
Kwan kwa giggy hukujifunza 🥺 remember there is a lesson in everything
@blandinamnyinga8318
4 жыл бұрын
@@janethmaanga1130 forget even him learning"" hoja ni kwamba Kama hakujifunza Kuna watu walijifunza.hiyo peke yake inatosha.
Darassa CMG is out now!!