Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 1
Ойын-сауық
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Thabit Shariff Ramadhan my guy, siku zote mkimya, yupo kama hayupo, anayeona lakini humkuti anaangalia na mwenye kuyabeba yanayobebeka na kuyaacha ambayo hayapaswi kuchukuliwa, huyo ndo yeye na leo ukimuona mpe tu heshima zake, pengina si kwasababu kakuzidi umri, ila kwasababu aliyechelewa lakini KAFIKA.
Tena, sikumbuki lini ilikua mara ya kwanza mi naye kukutana ila nakumbuka nilipomuona 2016 mwezi wa 12 kwenye mazoezi ya show ya usiku ya Tuzo za Muziki za EATV, alikua wa mootoh, ukiachana na watu waliokua ndani ya game, hakuna aliyejua alitokea wapi, ila boom!! Kwenye sikio na kila mdomo wa wana Afrika ya Mashariki dunia kwa ujumla, kiiila mtu alikua anaimba MUZIKI wa (ya) Darassa.
Hapa atatuambia kwamba alikua kwenye game muda mbona? Ila muda wake tu ulikua haujafika (pengine ushaisikia hiyo story) ila ni kweli, muda wako kama Mwenyezi Mungu hajasema ndo huu basi inakua hata ufanyeje haufiki mjini. Imagine kuwepo toka enzi za ECT, Dully wakati wamooto, wakati Complex bado yuhai na Q Chief ana nywele zake zote kichwani na rasta juu lakini 2016 ndo akapata break yake kubwa ya kwanza sio mchezo. Kwa hilo pekee tunafaa tumpe salute zake.
Muziki haikua single yake ya kwanza, haukua wimbo wake wa kwanza kurekodi, haikua video yake ya kwanza aidha, ila kwa baadhi ya watu Darassa alikua ‘msanii mpya’. Hapa, tuliongea juu ya maisha baada ya MUZIKI, na kabla. Baada ni kwasababu lilikua ndo swali la kila mtu, kipi kilikosewa, nini kilitokea? Hakua na uwezo wa kutengeneza hit tena? Ilikua bahati tu ile? Na kabla ya hapo alitokea wapi haswa? Ali struggle kabla ya kupata mwanya? Shuleni ni vipi? Changamoto za kazi? Ana mtoto? Mke? Mwenza? Nani ni rafiki yake kwenye muziki? Subira haswa anayo? Alijifunzia wapi?
Majibu yako humu, tafadhali enjoy.
Love,
Salama,
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 292
Nani Kaelewa Hii Point....Siwezi Kujifunza Hesabu Kwenye Biashara Ni Bora Nifunge Nikajifunze Kisha Nafungua Nawaambia Njooni Niwauzie 🔥🔥🔥🔥🔥What The Amazing Quote 👍👍🙏👊👊
@dysamarcus8462
4 жыл бұрын
nmeeleewa sana aseeee
hyu jamaa anaishi kweny Sanaa na mziki wake Hana skendo respect Sana huyu
Duh Nimerudia kama Mara tatu hii interview sikuridhika nikaona bora no download hii kitu ili mwanangu asome kiatu cha mama yako kinanitosha Darasa Asante kwa Darasa naomba Allah akupe kila la kheri class
"No complaints, Mungu ananpenda sana"
Wimbo wa darasa sikati tamaa ulinifariji sana katika safari ya maisha yangu,
@leonardcharles3169
4 жыл бұрын
Nimekuja kusoma degree ya pili, na ninamwaka mmoja tu nimeoa na nina mtoto wa miezi mitano, mshahara ukasimamishwa kwamba ruhusa ya Mimi kwenda masomoni ilitolewa kimakosa. Ikanibidi nitoke nyumba niliyopanga kijitonyama na kupanga chumba mburahati, jirani na madoto bar, siku moja hali mbaya sana kifedha, wakati nashuka daradara tiptop ili nitembee mpaka mburahati, suruali ikachinika kwenye maungio, nikachomolea shati. Sasa nafika home, mtoto anaumwa sana, pesa sina alafu kwenye TV ndio sikati tamaa ya darasa inachezwa EATV,
@shaphyvuai6805
4 жыл бұрын
Aiseeeeee Ngoma Kali sana ileeee
@CheupeEceJay
4 жыл бұрын
@@leonardcharles3169 Keep Going! ♥️
@jayratumaulid582
4 жыл бұрын
@@leonardcharles3169 big up sana
@kiernanforbes4590
4 жыл бұрын
Usikate tamaa bro
Hodari sana nimempenda sana Huyu kaka Ana akili kupita kiasi wow tunahitaji watu kama hawa kumbe Alisoma madrasa God bless you bro Darasa
Watu wa Hip Hop wengi wanajielewa
Ukisikiliza jingle ya Salama kabla kipindi utaelewa nn maana ya kipindi . Hizi ni interview tunataka kusikiliza na kuona kwa ajili ga kujifunza #Darasa👊
"I Know What I Want And I Know How To Get It.." - Darassa This Is Powerful, May God Bless You Bro...Am Your Number One Fan...
@lucasmagesa940
4 жыл бұрын
Yeah 🔥🔥
@TheAlternativeVoice
4 жыл бұрын
so deep
@salomecomedyofficial
3 жыл бұрын
Huyu jamaa ako na akili sana,, karne hii ya ishirini na moja
@stoppersan
Жыл бұрын
Jichukue!! Ndugu!🧠🔬
The guy has brain #respect
The best interview ever tokea kwenye hii show! Jamaa anajua sana kuongea
@eliudmapula
4 жыл бұрын
Cheki ya Fid
he is my exceptional rapa in this country-----he is the best since day one--kila nikisikilizaga nyimbo zake sijawahi kutana na mstari mbovu----keep it up darassa
+254 tunaipenda darassa yuko real sana ...epic
Darasa taught me something as a young artist! Nakubali sana
Mafunzo,ujasili,kujitambua na kupambana usikatetamaa ndani ya hii interview CMG ✊✊✊ PAMOJAA nakubali
What i live about him is that he doesn’t talk ill about his father ✊🏾
Darasa anakuaga mgumu sana kufunguka nashangaa leo anafunguka kiasi hiki Big up salama
Napata darasa kutoka kwa darassa ...Thanks Salama ...!!
@pendondossy2158
4 жыл бұрын
Dotto Kuhanga nice
@allyndevi6271
4 жыл бұрын
Pamoja jamaa anajielewa sana
Alafu mzee baba darasa umeiva kishenz naona jicho damu . Alafu salama Hana time ya maswali magumu kwako 😄😄😄. I can see salama the way she is rolling her eyes, mouth , white teeths , and beautiful face. Salama your so good fantastic interview more love Allah bless you 🙏🙏🙏
He is so talented, he doesn't know. I hope he gets better publicist especially for Kenyan market, his music is easily accepted
Hii interview bado sijafika mwisho kiangalia lkn imebidi niweke comment kwanza sijawah kufikilia darasa yupo hivi kumbe ni mtu ambae anaweza kufikilia khs kubadilisha mtoto permpers duh big up kwake
salama leo umenifuhisa san kumleta darasaa bado king 👑
I always appreciate all Darassa's interviews u guy is very tallented...u never let me down...
Salama miehuku Oman sijajitunika Bana joto lililoko zaid ya hiyo kitu ya kujifunika, ila ni hivi Asante sana Salama nafurahia mno vipindi vyako hukuwai kuniangushia tokea mkasi mpaka saiz sijui nisemeje sijui hili ni panga ama jembe kama Jina la mkuu wa nchi neno moja likutoshe nakupenda sana mdogo wangu nakukaribisha Oman sikumoja njoo ututembelee jaman😭😭😭
Nimeipenda sana hii iterview Darasa anaonekeana ni mtu honest sana... Salama mie nakukubali swaga zako mama na tabasam lako...pia unavohoji ni kiprofesional🤗
Big up Salama! huwa najifunza mengi kupitia hiki kipindi chako na maisha ya hawa celebrities Wetu. Umetusaidia kuwajua hawa celebrities wetu ni watu wa aina gani kwa jinsi wanavyojibu maswali. Ila huyu darasa nimempenda zaidi na kujifunza vitu vingi Sana. It's the best interview so far!
Mwanangu darassa since day one kwenye sikati tamaaa nakuelewaaa mpka wa leooo
darasa natamani ma superstar wetu wawe hivi hata kama umeongea uongoo ila man uko calm saaana aiseee, salama hikik ipindi ningekua na pesa ningedhamini kwa chochote ila one of the best shows........big up
@mariamaico8132
4 жыл бұрын
Tunaomba umlete soudy brown nae tumsikilize
@EMMA-oe9yt
Жыл бұрын
Ndo huna pesa sasa
This guy is genius.....ahsante kwa darasa shareef🙏🙌😘😘😘
Jamaaa anaakili sanaa!afu Hizi interview zinanipa pcha wasani wengi wamelelewa namama zao
Darasa thank you for sharing your life with us. You are such a humble man and thank you Salama J for sharing his story with us. 🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇺🇸🇺🇸🇺🇸
MLETE 20% KWENYE SALAMA NA.......
Sikuwahi kuwaza this guy is this much brave. Am inspired. Nimekuwa fan wako mpya...
huyu kijana ana akili nyingi sana bless up Salama, bless up Darassa
Ila hiyo beats kwenye background ni nyoso🙏🏽♥️
the best interview huchoki kumsikiliza 😍😍
Maisha yako Ni sawa na yangu tofauti Ni umaarufu tu
What a humble en smart man! GOD bless u Darasa!🙏
Thank you Ant , Darassa is very smart One.... Other Rappers /Artists, Need to watch and learn from him... from this interview.
Smart business man,Mungu akujalie ufike mbali zaidi na zaidi,to me ya always the Best in East Africa
Watoto wakalale kuna lugha za kikubwa humu,,, Hio title ni noma,, ,,Dopest introduction lines I have ever seen!!
@lasalocomedian
3 жыл бұрын
hahahahahaa
Akili kubwa sana aisee, yani hujamlaumu mshuwa kwakusepa and everything,,big up bro 👊👊
Yes the best interview love you salama
Daaah one of the best interview
Amen yaan mim penda sana darasa Nakupenda sana yaan I believe Na wewe akili sana Hata mim sipendi kumlaumu mtu
Darassa you are so smart, nahisi mziki wako haukutesi wala kukupa stress ktk akili. Congrats
Realest words from the realest KING 🤴
This interview 🙌 💯🔥
Wow! Wonderful daddy, Rare kind of father:-)
Bonge ya intervw big up darasa...umeongea point kinomaa
Baba bora mungu akubariki na uendelee kutupa burudani
Salama uko vizur mnooo interview zangu bora moja ni ya lil ommy ya pili ni hiii wote mko na smile la elfu kmi
Juzi nimewai nyumbani kuangalia kipindi si adampta ya kingamuzi imeungua aise roho iliniuma sanaa
Salama is The best entertainment Interviewer in East Africa 🙌🏾🥳
Wanahiphop wako na IQ kubwaaa sanaaa..Fatilia utakubali.
My best artist ever.
Big love from kenya....ur the bongo hip hop kaka sungura.
Nice Salama Mlete Juma Nature Wanamambo Sana..Aunty Umefanya poa Kumatukia Mr Burudan🎶❤️👐🏻💖🇰🇪
I like this guy... Viewing from Kenya..
can't wait
DARASSA YOU ARE UNDERRATED
what a man big up daaa unamuongelea with a big smile whats love gonna do
uyu jmaa anajilew respect
I real love this interview....
Huyo ndiyo baba bora hongela darasa
This man is wise ...salute bro
Kind of emotional speech from de best rapper
Great interview
The big rap tz nzima sijaona mkali kwako maana unajua sana kucheza na maneno bila hata kupepesa kitu darasa wewe ni noma sana waga nakupenda bule my brother big up
Ongeza bando inaendeleaa😂😂😂
Cjawahi kuwa Na shaka Na darassa
Akili kubwa Darasa 🙌🏻
Nasubiri kukuona goodluck gozbert Sasa
My favourite
Respect bro napenda interview zako unajua kujieleza na kujibu maswali
wacha niongeze comment ingine , Darassa ni three people in one person
Tunahitaji part 3 na 4
Huyu dada mbn nguo zake huwa n zle zle jamn???
Nampenda sana kaka darasa yupo vizur
Darasa kando na mziki umejaaliwa na akili nyingi sana ,,
So genius
Dalassa we n noumaaaa kinoma Nouma hongera kwa kunifundisha
Darasa handsame and very humble i like him
Mkali waoo jibaba LA maneno ya vina
Salama alikua anatabasamu sana wakti darassa anaongea yaani tabasamu balaaa it is like this nigga is killing it
@amiriramadhan7753
4 жыл бұрын
Darassa cmg is something else bro
@hilalifabian7445
3 жыл бұрын
I see
Salama Na...ni show ya kipekee sana.. Darassa ametishaa..
Mbona wanaune wengi hawako na walozaa nao tatizo nn wanaume au wanawake
My role model CMG broo class💣
Salama inawezekana 80% ya unaowahoji wanafanya BABA aonekane wakawaida sana au hawajali au wahovyo.
DARASA NI MFANO WA KUIGWA NA NI MUELEWA. MUNGU AMUONGOZE.
Tanzania interview za kusikiliza sana ni za watu wa hip hop wana point sana
Very smart man 📍
CMG noma sana
Real talk he's smart #mr burudani #
Salute to the king OG wa tz
Darassa's parental situation is the same a mine.
Intarview zamana nikama izi za dada Salama zinajenga na kufariji
Nzuri sana
Moja safi
Darasa wewe unajua sana very brilliant