Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 1

Ойын-сауық

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Thabit Shariff Ramadhan my guy, siku zote mkimya, yupo kama hayupo, anayeona lakini humkuti anaangalia na mwenye kuyabeba yanayobebeka na kuyaacha ambayo hayapaswi kuchukuliwa, huyo ndo yeye na leo ukimuona mpe tu heshima zake, pengina si kwasababu kakuzidi umri, ila kwasababu aliyechelewa lakini KAFIKA.
Tena, sikumbuki lini ilikua mara ya kwanza mi naye kukutana ila nakumbuka nilipomuona 2016 mwezi wa 12 kwenye mazoezi ya show ya usiku ya Tuzo za Muziki za EATV, alikua wa mootoh, ukiachana na watu waliokua ndani ya game, hakuna aliyejua alitokea wapi, ila boom!! Kwenye sikio na kila mdomo wa wana Afrika ya Mashariki dunia kwa ujumla, kiiila mtu alikua anaimba MUZIKI wa (ya) Darassa.
Hapa atatuambia kwamba alikua kwenye game muda mbona? Ila muda wake tu ulikua haujafika (pengine ushaisikia hiyo story) ila ni kweli, muda wako kama Mwenyezi Mungu hajasema ndo huu basi inakua hata ufanyeje haufiki mjini. Imagine kuwepo toka enzi za ECT, Dully wakati wamooto, wakati Complex bado yuhai na Q Chief ana nywele zake zote kichwani na rasta juu lakini 2016 ndo akapata break yake kubwa ya kwanza sio mchezo. Kwa hilo pekee tunafaa tumpe salute zake.
Muziki haikua single yake ya kwanza, haukua wimbo wake wa kwanza kurekodi, haikua video yake ya kwanza aidha, ila kwa baadhi ya watu Darassa alikua ‘msanii mpya’. Hapa, tuliongea juu ya maisha baada ya MUZIKI, na kabla. Baada ni kwasababu lilikua ndo swali la kila mtu, kipi kilikosewa, nini kilitokea? Hakua na uwezo wa kutengeneza hit tena? Ilikua bahati tu ile? Na kabla ya hapo alitokea wapi haswa? Ali struggle kabla ya kupata mwanya? Shuleni ni vipi? Changamoto za kazi? Ana mtoto? Mke? Mwenza? Nani ni rafiki yake kwenye muziki? Subira haswa anayo? Alijifunzia wapi?
Majibu yako humu, tafadhali enjoy.
Love,
Salama,
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 292

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem934 жыл бұрын

    Nani Kaelewa Hii Point....Siwezi Kujifunza Hesabu Kwenye Biashara Ni Bora Nifunge Nikajifunze Kisha Nafungua Nawaambia Njooni Niwauzie 🔥🔥🔥🔥🔥What The Amazing Quote 👍👍🙏👊👊

  • @dysamarcus8462

    @dysamarcus8462

    4 жыл бұрын

    nmeeleewa sana aseeee

  • @abousamirfakhii7757
    @abousamirfakhii77573 жыл бұрын

    hyu jamaa anaishi kweny Sanaa na mziki wake Hana skendo respect Sana huyu

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe80834 жыл бұрын

    Duh Nimerudia kama Mara tatu hii interview sikuridhika nikaona bora no download hii kitu ili mwanangu asome kiatu cha mama yako kinanitosha Darasa Asante kwa Darasa naomba Allah akupe kila la kheri class

  • @almasially6509
    @almasially65094 жыл бұрын

    "No complaints, Mungu ananpenda sana"

  • @leonardcharles3169
    @leonardcharles31694 жыл бұрын

    Wimbo wa darasa sikati tamaa ulinifariji sana katika safari ya maisha yangu,

  • @leonardcharles3169

    @leonardcharles3169

    4 жыл бұрын

    Nimekuja kusoma degree ya pili, na ninamwaka mmoja tu nimeoa na nina mtoto wa miezi mitano, mshahara ukasimamishwa kwamba ruhusa ya Mimi kwenda masomoni ilitolewa kimakosa. Ikanibidi nitoke nyumba niliyopanga kijitonyama na kupanga chumba mburahati, jirani na madoto bar, siku moja hali mbaya sana kifedha, wakati nashuka daradara tiptop ili nitembee mpaka mburahati, suruali ikachinika kwenye maungio, nikachomolea shati. Sasa nafika home, mtoto anaumwa sana, pesa sina alafu kwenye TV ndio sikati tamaa ya darasa inachezwa EATV,

  • @shaphyvuai6805

    @shaphyvuai6805

    4 жыл бұрын

    Aiseeeeee Ngoma Kali sana ileeee

  • @CheupeEceJay

    @CheupeEceJay

    4 жыл бұрын

    @@leonardcharles3169 Keep Going! ♥️

  • @jayratumaulid582

    @jayratumaulid582

    4 жыл бұрын

    @@leonardcharles3169 big up sana

  • @kiernanforbes4590

    @kiernanforbes4590

    4 жыл бұрын

    Usikate tamaa bro

  • @salmaluhombero9809
    @salmaluhombero98094 жыл бұрын

    Hodari sana nimempenda sana Huyu kaka Ana akili kupita kiasi wow tunahitaji watu kama hawa kumbe Alisoma madrasa God bless you bro Darasa

  • @nicholascharles5547
    @nicholascharles55474 жыл бұрын

    Watu wa Hip Hop wengi wanajielewa

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi95304 жыл бұрын

    Ukisikiliza jingle ya Salama kabla kipindi utaelewa nn maana ya kipindi . Hizi ni interview tunataka kusikiliza na kuona kwa ajili ga kujifunza #Darasa👊

  • @davinagodfrey6240
    @davinagodfrey62404 жыл бұрын

    "I Know What I Want And I Know How To Get It.." - Darassa This Is Powerful, May God Bless You Bro...Am Your Number One Fan...

  • @lucasmagesa940

    @lucasmagesa940

    4 жыл бұрын

    Yeah 🔥🔥

  • @TheAlternativeVoice

    @TheAlternativeVoice

    4 жыл бұрын

    so deep

  • @salomecomedyofficial

    @salomecomedyofficial

    3 жыл бұрын

    Huyu jamaa ako na akili sana,, karne hii ya ishirini na moja

  • @stoppersan

    @stoppersan

    Жыл бұрын

    Jichukue!! Ndugu!🧠🔬

  • @josephapolinary5269
    @josephapolinary52694 жыл бұрын

    The guy has brain #respect

  • @josephshirima6985
    @josephshirima69854 жыл бұрын

    The best interview ever tokea kwenye hii show! Jamaa anajua sana kuongea

  • @eliudmapula

    @eliudmapula

    4 жыл бұрын

    Cheki ya Fid

  • @oscarmponzi1597
    @oscarmponzi15972 жыл бұрын

    he is my exceptional rapa in this country-----he is the best since day one--kila nikisikilizaga nyimbo zake sijawahi kutana na mstari mbovu----keep it up darassa

  • @mimikazani8511
    @mimikazani85114 жыл бұрын

    +254 tunaipenda darassa yuko real sana ...epic

  • @therealmsopa
    @therealmsopa4 жыл бұрын

    Darasa taught me something as a young artist! Nakubali sana

  • @jumarajabu1479
    @jumarajabu14792 жыл бұрын

    Mafunzo,ujasili,kujitambua na kupambana usikatetamaa ndani ya hii interview CMG ✊✊✊ PAMOJAA nakubali

  • @hassanjuma01
    @hassanjuma015 ай бұрын

    What i live about him is that he doesn’t talk ill about his father ✊🏾

  • @kevinhussein5229
    @kevinhussein52293 жыл бұрын

    Darasa anakuaga mgumu sana kufunguka nashangaa leo anafunguka kiasi hiki Big up salama

  • @dottokuhanga
    @dottokuhanga4 жыл бұрын

    Napata darasa kutoka kwa darassa ...Thanks Salama ...!!

  • @pendondossy2158

    @pendondossy2158

    4 жыл бұрын

    Dotto Kuhanga nice

  • @allyndevi6271

    @allyndevi6271

    4 жыл бұрын

    Pamoja jamaa anajielewa sana

  • @daprince7545
    @daprince75454 жыл бұрын

    Alafu mzee baba darasa umeiva kishenz naona jicho damu . Alafu salama Hana time ya maswali magumu kwako 😄😄😄. I can see salama the way she is rolling her eyes, mouth , white teeths , and beautiful face. Salama your so good fantastic interview more love Allah bless you 🙏🙏🙏

  • @mariammwiso
    @mariammwiso4 жыл бұрын

    He is so talented, he doesn't know. I hope he gets better publicist especially for Kenyan market, his music is easily accepted

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff4 жыл бұрын

    Hii interview bado sijafika mwisho kiangalia lkn imebidi niweke comment kwanza sijawah kufikilia darasa yupo hivi kumbe ni mtu ambae anaweza kufikilia khs kubadilisha mtoto permpers duh big up kwake

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo3074 жыл бұрын

    salama leo umenifuhisa san kumleta darasaa bado king 👑

  • @kassimkinonono1466
    @kassimkinonono14664 жыл бұрын

    I always appreciate all Darassa's interviews u guy is very tallented...u never let me down...

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe80834 жыл бұрын

    Salama miehuku Oman sijajitunika Bana joto lililoko zaid ya hiyo kitu ya kujifunika, ila ni hivi Asante sana Salama nafurahia mno vipindi vyako hukuwai kuniangushia tokea mkasi mpaka saiz sijui nisemeje sijui hili ni panga ama jembe kama Jina la mkuu wa nchi neno moja likutoshe nakupenda sana mdogo wangu nakukaribisha Oman sikumoja njoo ututembelee jaman😭😭😭

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul1034 жыл бұрын

    Nimeipenda sana hii iterview Darasa anaonekeana ni mtu honest sana... Salama mie nakukubali swaga zako mama na tabasam lako...pia unavohoji ni kiprofesional🤗

  • @all_things_lifestyle
    @all_things_lifestyle4 жыл бұрын

    Big up Salama! huwa najifunza mengi kupitia hiki kipindi chako na maisha ya hawa celebrities Wetu. Umetusaidia kuwajua hawa celebrities wetu ni watu wa aina gani kwa jinsi wanavyojibu maswali. Ila huyu darasa nimempenda zaidi na kujifunza vitu vingi Sana. It's the best interview so far!

  • @isamiloprezdent6807
    @isamiloprezdent68074 жыл бұрын

    Mwanangu darassa since day one kwenye sikati tamaaa nakuelewaaa mpka wa leooo

  • @robertandrea9257
    @robertandrea92574 жыл бұрын

    darasa natamani ma superstar wetu wawe hivi hata kama umeongea uongoo ila man uko calm saaana aiseee, salama hikik ipindi ningekua na pesa ningedhamini kwa chochote ila one of the best shows........big up

  • @mariamaico8132

    @mariamaico8132

    4 жыл бұрын

    Tunaomba umlete soudy brown nae tumsikilize

  • @EMMA-oe9yt

    @EMMA-oe9yt

    Жыл бұрын

    Ndo huna pesa sasa

  • @bomarobota152
    @bomarobota1524 жыл бұрын

    This guy is genius.....ahsante kwa darasa shareef🙏🙌😘😘😘

  • @imasigaro2968
    @imasigaro29684 жыл бұрын

    Jamaaa anaakili sanaa!afu Hizi interview zinanipa pcha wasani wengi wamelelewa namama zao

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93034 жыл бұрын

    Darasa thank you for sharing your life with us. You are such a humble man and thank you Salama J for sharing his story with us. 🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @babakokushuby1707
    @babakokushuby17074 жыл бұрын

    MLETE 20% KWENYE SALAMA NA.......

  • @bahatimwankemwa7736
    @bahatimwankemwa77364 жыл бұрын

    Sikuwahi kuwaza this guy is this much brave. Am inspired. Nimekuwa fan wako mpya...

  • @kakag5940
    @kakag59404 жыл бұрын

    huyu kijana ana akili nyingi sana bless up Salama, bless up Darassa

  • @mubarakkanyika7820
    @mubarakkanyika78204 жыл бұрын

    Ila hiyo beats kwenye background ni nyoso🙏🏽♥️

  • @joycembata2238
    @joycembata22384 жыл бұрын

    the best interview huchoki kumsikiliza 😍😍

  • @malakimisana8956
    @malakimisana89564 жыл бұрын

    Maisha yako Ni sawa na yangu tofauti Ni umaarufu tu

  • @beatriceben8611
    @beatriceben86114 жыл бұрын

    What a humble en smart man! GOD bless u Darasa!🙏

  • @TheAm21st
    @TheAm21st4 жыл бұрын

    Thank you Ant , Darassa is very smart One.... Other Rappers /Artists, Need to watch and learn from him... from this interview.

  • @kingkili8838
    @kingkili88384 жыл бұрын

    Smart business man,Mungu akujalie ufike mbali zaidi na zaidi,to me ya always the Best in East Africa

  • @salomecomedyofficial
    @salomecomedyofficial3 жыл бұрын

    Watoto wakalale kuna lugha za kikubwa humu,,, Hio title ni noma,, ,,Dopest introduction lines I have ever seen!!

  • @lasalocomedian

    @lasalocomedian

    3 жыл бұрын

    hahahahahaa

  • @kijangapeter5135
    @kijangapeter51354 жыл бұрын

    Akili kubwa sana aisee, yani hujamlaumu mshuwa kwakusepa and everything,,big up bro 👊👊

  • @mariabahati1264
    @mariabahati12644 жыл бұрын

    Yes the best interview love you salama

  • @sameeribnephraim1862
    @sameeribnephraim18624 жыл бұрын

    Daaah one of the best interview

  • @balozibalozi5257
    @balozibalozi52574 жыл бұрын

    Amen yaan mim penda sana darasa Nakupenda sana yaan I believe Na wewe akili sana Hata mim sipendi kumlaumu mtu

  • @lydiabuyungu5117
    @lydiabuyungu51174 жыл бұрын

    Darassa you are so smart, nahisi mziki wako haukutesi wala kukupa stress ktk akili. Congrats

  • @amouramour1256
    @amouramour12564 жыл бұрын

    Realest words from the realest KING 🤴

  • @neywen5451
    @neywen54514 жыл бұрын

    This interview 🙌 💯🔥

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto72124 жыл бұрын

    Wow! Wonderful daddy, Rare kind of father:-)

  • @abdulrahimahmed4545
    @abdulrahimahmed45454 жыл бұрын

    Bonge ya intervw big up darasa...umeongea point kinomaa

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail76834 жыл бұрын

    Baba bora mungu akubariki na uendelee kutupa burudani

  • @othumanomary4032
    @othumanomary40324 жыл бұрын

    Salama uko vizur mnooo interview zangu bora moja ni ya lil ommy ya pili ni hiii wote mko na smile la elfu kmi

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama40004 жыл бұрын

    Juzi nimewai nyumbani kuangalia kipindi si adampta ya kingamuzi imeungua aise roho iliniuma sanaa

  • @rojaa_mwadime
    @rojaa_mwadime2 жыл бұрын

    Salama is The best entertainment Interviewer in East Africa 🙌🏾🥳

  • @homajojomatemu2385
    @homajojomatemu23854 жыл бұрын

    Wanahiphop wako na IQ kubwaaa sanaaa..Fatilia utakubali.

  • @erastolukonde2112
    @erastolukonde21124 жыл бұрын

    My best artist ever.

  • @khisaerima4143
    @khisaerima41432 жыл бұрын

    Big love from kenya....ur the bongo hip hop kaka sungura.

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao4 жыл бұрын

    Nice Salama Mlete Juma Nature Wanamambo Sana..Aunty Umefanya poa Kumatukia Mr Burudan🎶❤️👐🏻💖🇰🇪

  • @smwatsuma
    @smwatsuma3 жыл бұрын

    I like this guy... Viewing from Kenya..

  • @TheAlesry
    @TheAlesry4 жыл бұрын

    can't wait

  • @dysamarcus8462
    @dysamarcus84624 жыл бұрын

    DARASSA YOU ARE UNDERRATED

  • @bellahyuzzomylife4428
    @bellahyuzzomylife44284 жыл бұрын

    what a man big up daaa unamuongelea with a big smile whats love gonna do

  • @emmanuelernest2354
    @emmanuelernest23544 жыл бұрын

    uyu jmaa anajilew respect

  • @kachekamakoko8538
    @kachekamakoko85382 жыл бұрын

    I real love this interview....

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe26972 жыл бұрын

    Huyo ndiyo baba bora hongela darasa

  • @husseinkhamis2351
    @husseinkhamis23512 жыл бұрын

    This man is wise ...salute bro

  • @kachekamakoko8538
    @kachekamakoko85382 жыл бұрын

    Kind of emotional speech from de best rapper

  • @faizadulla8663
    @faizadulla86634 жыл бұрын

    Great interview

  • @hassanabdulhauf99
    @hassanabdulhauf994 жыл бұрын

    The big rap tz nzima sijaona mkali kwako maana unajua sana kucheza na maneno bila hata kupepesa kitu darasa wewe ni noma sana waga nakupenda bule my brother big up

  • @nasibukiangai4639
    @nasibukiangai46394 жыл бұрын

    Ongeza bando inaendeleaa😂😂😂

  • @kipajifilamu4718
    @kipajifilamu47184 жыл бұрын

    Cjawahi kuwa Na shaka Na darassa

  • @hubertanthony7846
    @hubertanthony78464 жыл бұрын

    Akili kubwa Darasa 🙌🏻

  • @priscillahlema7778
    @priscillahlema77784 жыл бұрын

    Nasubiri kukuona goodluck gozbert Sasa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79144 жыл бұрын

    My favourite

  • @feysalabdallah8746
    @feysalabdallah87464 жыл бұрын

    Respect bro napenda interview zako unajua kujieleza na kujibu maswali

  • @kakag5940
    @kakag59404 жыл бұрын

    wacha niongeze comment ingine , Darassa ni three people in one person

  • @samycool3822
    @samycool3822 Жыл бұрын

    Tunahitaji part 3 na 4

  • @aloycesimon2028
    @aloycesimon20283 жыл бұрын

    Huyu dada mbn nguo zake huwa n zle zle jamn???

  • @omaiim4014
    @omaiim40144 жыл бұрын

    Nampenda sana kaka darasa yupo vizur

  • @salomecomedyofficial
    @salomecomedyofficial3 жыл бұрын

    Darasa kando na mziki umejaaliwa na akili nyingi sana ,,

  • @mr.piellenoposzi3302
    @mr.piellenoposzi33024 жыл бұрын

    So genius

  • @pendondossy2158
    @pendondossy21584 жыл бұрын

    Dalassa we n noumaaaa kinoma Nouma hongera kwa kunifundisha

  • @johannahakim8470
    @johannahakim84702 жыл бұрын

    Darasa handsame and very humble i like him

  • @ibnrashadmammytashi7167
    @ibnrashadmammytashi71674 жыл бұрын

    Mkali waoo jibaba LA maneno ya vina

  • @deobandebe212
    @deobandebe2124 жыл бұрын

    Salama alikua anatabasamu sana wakti darassa anaongea yaani tabasamu balaaa it is like this nigga is killing it

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    4 жыл бұрын

    Darassa cmg is something else bro

  • @hilalifabian7445

    @hilalifabian7445

    3 жыл бұрын

    I see

  • @thomsonkamage3163
    @thomsonkamage31634 жыл бұрын

    Salama Na...ni show ya kipekee sana.. Darassa ametishaa..

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50834 жыл бұрын

    Mbona wanaune wengi hawako na walozaa nao tatizo nn wanaume au wanawake

  • @tenstar9261
    @tenstar92614 жыл бұрын

    My role model CMG broo class💣

  • @syproelvistru2610
    @syproelvistru26104 жыл бұрын

    Salama inawezekana 80% ya unaowahoji wanafanya BABA aonekane wakawaida sana au hawajali au wahovyo.

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr4 жыл бұрын

    DARASA NI MFANO WA KUIGWA NA NI MUELEWA. MUNGU AMUONGOZE.

  • @johnphilipoaugustino6100
    @johnphilipoaugustino61003 жыл бұрын

    Tanzania interview za kusikiliza sana ni za watu wa hip hop wana point sana

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows Жыл бұрын

    Very smart man 📍

  • @TheAlesry
    @TheAlesry4 жыл бұрын

    CMG noma sana

  • @quarantine325
    @quarantine3254 жыл бұрын

    Real talk he's smart #mr burudani #

  • @Godfreykaimenyi
    @Godfreykaimenyi9 ай бұрын

    Salute to the king OG wa tz

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic4 жыл бұрын

    Darassa's parental situation is the same a mine.

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np3 жыл бұрын

    Intarview zamana nikama izi za dada Salama zinajenga na kufariji

  • @swalehemhando6921
    @swalehemhando69214 жыл бұрын

    Nzuri sana

  • @twalibabubakar2815
    @twalibabubakar28154 жыл бұрын

    Moja safi

  • @salmaluhombero9809
    @salmaluhombero98094 жыл бұрын

    Darasa wewe unajua sana very brilliant

Келесі