Salama Na MAVOKO EP 49 | WINGMAN PART 1
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Kwa muda mrefu nimekua nikitaka kuongea na Mavoko ila ratiba zetu zilikua hazijawahi kuwa sawa na hivyo tukawa tunapishana tu. Kama mimi sina program naye basi yeye atakua free, na mimi nikiwa free basi yeye atakua na mipango ya kutoa kazi mpya ambayo itanifanya ningoje ili viende pamoja, au atakua kasafiri, au mimi nitakua nishaset watu wengine, ilikua kama tunacheza kidali po ila katikati ya mwezi wa kumi na mbili hatimaye yakatimia.
Hakuna doubt juu ya uwezo wake popote pale utakapoenda ingawa baada ya yeye kuamua kuondoka kwenye label ya WCB kulikua na mengi yalosemwa na kutendwa na baadhi ya mashabiki yalikua yanaweza kukuaminisha jambo na mpaka kufikia pengine ku doubt huo uwezo wake. Mambo mengi yalisemwa, ya kusikitisha, ndoa haikuvunjika vizuri ila ambacho nilikiona kwake ni ustaarabu wa hali ya juu, wa kuwaacha walimwengu waseme na kufanya watakayo huku yeye akiwa ame focus kwenye kipaji chake na kujipanga upya.
Moto wa Mama Richard anaujua mziki mwingi, ana uwezo mkubwa wa kuimba na kuandika na kucheza pia, ila kabla hajaingia kwenye label alikua anajulikana tu, ila kumfahamu vizuri na kuthamini kipaji chake kulikuja baada ya yeye kushirikiana na mmoja kama si msanii bora zaidi kuwahi kutokea na kuipeperusha zaidi bendera ya Tanzania ndani ya Diamond Platnumz. Ushirikiano wao ulitupa ‘anthem’ kadhaa ambazo mpaka leo ukiziskiliza hazichuji. Ilikua kama team ya wenye vipaji pekee, kama ni mfuatiliaji wa mpira wa kikapu hii tunaweza kuifananisha na ile zile team mbili za Mashariki na Magharibi ambazo zinakusanya wachezaji wenye uwezo wahali ya juu.
Saasa, ikawaje hasa mpaka akaona aachane na all star hiyo na kupeleka team yake uwanjani akiwa solo? Nini hasa kilifanya mpaka afikie maamuzi hayo? Kuna mtu au kitu kilimshinikiza? Je yalikua maamuzi sahihi? Pia kuna masuala binafsi ya kifamilia na suala la yeye kutomfahamu Baba yake takati anakua, elimu yeke, ndugu zake, Mama yake na muziki ulichomfanyia katika maisha yake.
Mavoko huyu ambaye mimi namfahamu nilikutana naye Kampala, Uganda kama maka saba iliyopita na mazungumzo yetu yalikua yanahusu kipaji chake na jinsi ambavyo nilikua naona ‘hapewi’ nafasi maana kama ngoma zake zilikua nzuri tu, video ndo usiseme ila hakuna na spotlight aliyokua anastahili, peleka mbele miaka mpaka 2021 ambapo alipata nafasi kwa miaka takriban miwili na nusu kufanya kazi na lebo bora zaidi ila baada ya muda akaamua kubwaga? Kwanini hasa? Sote tunajua kama nyasi za jirani huonekana zimestawi kweli kweli ila ukifika na kuziona kwa ukaribu utaelewa kwamba si kila kitu kina fanana na kionekanavyo. Ila mpaka kuamua kukusanya na mabegi na kuondoka kwenye ‘jumba kali’?
Majubu yake yalikua ya moja kwa moja tu na nafsi yake ilikua tayari kuhamia nyumba nyengine mwenzangu. Natumai kwa kiasi flani utasoma jambo, ingawa kwangu mimi natamani ningepata zaidi na zaidi ila inaonekana bado hakua tayari kutufungukia mazima. Binafsi namshkuru kwa kuja mezani kwetu na pengine tutaweza kukutana tena mbeleni In Shaa Allah. Yangu matumaini bado utaokota mawili matatu.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 235
Kuna kitu nimeki #note yaani wazazi weengi wa kiume kuanzia miaka ya 95 kurudi nyuma walikuwa na ulimbukeni flani hivi wa maisha maana walipenda kuishi maisha ya usela kuliko kuangalia family zao na hii imechangi wazazi wengi wa #Kike wamelea watoto wao kwenye mazingira magumu huku wao wakiendekeza nyumba ndogo kuliko family zao. Ukiwatafuta vijana wengi waliozaliwa 95 kurudi nyuma wanastory za maisha yanayofanana kuhusu msoto wa kimaisha. Ila wakiwa na umaarufu wazazi wa kiume wanajitokeza na kujifanya wao ni ma Baba mzazi halisi wa huyo mtu,maarufu ila chanzo ni ukwepaji wa majukumu tu. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 #Pongezi nyiiingi sana kwa #WanawakeJasiri waliovumilia shida zote na kupambana na family zao bila msaada kutoka kwa #MABABA wakwepa majukumu.
@luciuskomba8824
3 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe 100% wahanga tupo wengi ya hawa wazee waliokuwa wanaendekeza USELA, So Sad but MUNGU atabaki kuwa MUNGU
Rich tumekumiss rasta utakwenda mbelle zaidi njia Yako njema rich✌️
Nimekuja hapa baada ya kumsikia Middle Simba. Kama wewe ni kama mimi, gonga like!!
@kottaflavour4908
3 жыл бұрын
2po mzee🤣🤣🤣
Salama wew namba1 kwa kazihioo yani upetuliya zaidi kwa kuuliza swalli unatukubalisha Sista ✌️
Uko vizuri rich utafika mbali uko muimbaji mzuri saana Never give up
Rich mavoco wewe ni mtu na nusu, mm ni miongon mws watu wanakukubari kinoma noma. Nimependa sana msimamo wako.
Umenifunza mengi mavoko nakukubali Sana Kaka pambania talent yako iko sawa.ni masai mmoja kutoka +254 kajiado massive
Yani nimegundua mavoko ni mtu mwenye hekima zake God bless you brow
@mossejackson3607
10 ай бұрын
Naungana nawe ana busara kinyama nyama ❤
Tunamtaka kwahamu sana mama dangote
kwa mbali MAVOKO utasema MKALI WENU!!!
@vickychialo7938
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@annamduma4029
3 жыл бұрын
Nikweliii
@luciuskomba8824
3 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄
Sijui Unanielewa 😂😂😂
Pacha wangu ndio wimbo bora kwangu kutoka kwa mavoko
Salama swali zuri Sana Hilo awe ametoa kwa funzo kwa wengine
Salama we dada mkubwa uko poa sana love from stone town michenzani apa brookline.
Daaahh mavoko mkwel Sana
Salama kwenye kutengeneza question ni nyoko....! Mavoko afunguke tu. Big up samala; level za kina zuhura yunus kabisa.
J'aime beaucoup cette émission je suis en RDC 🇨🇩
Richard your so Humble. Endelea Kumtumainia Mungu hatakuacha🙏
@markmukundi3419
3 жыл бұрын
Vipi Chris's
Salama kweli kabisa unalosema Wanawake hupenda kuwficha watoto kuwakomoa wenzi wao na kuwadanganya hata watoto wenyewe
Baada ya Omary Nyembo Ommy Dimpozi na Marioo Huyu ndiyo baba yao sasa anaweza kuongea Sana na uwezo wa kujielezea which is good
I really love this guy Soo much wallah....much love from Nairobi Kenya
BADO MIMI NASUBIRIA SALAMA NA ISHA MASHAUZI INSHAALLAH . ITAPENDEZA ZAIDI
Watangazaj chipukizi wanafaa kulearn somthng from ecee... Maswal yenye ufasaha.. Sio maswal ya kipumba tu... Salama upo vzr dada mkubwa, big up!!
@nurukhalifa9413
3 жыл бұрын
Chipukiz wanauliza maswali bila kujipanga salama na zamaradi mketema huwa wana maswali kwenye notebook hawatoi kichwan ka machizi. Wale kinachokuja ndo wanauliza
@marthamshana6942
3 жыл бұрын
@@nurukhalifa9413 eti machizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yani machizi kweli
Salama you know wha?? U re incredible genius## appreciate that
Unaweza Sana rich mungu awe nawe
Hilo jina la kinywaji 😂😂🤣🤣🤣
Salama Zalhata Jabeer Tunamtaka Young Killer Next Epsodee
Oyooo kinywaji bikira😀😀kinapatikana wapi nimekitamani🤪
Jamani naombeni like zenu
Mambo yalivyo kwa sisi waafrika wengii tunashindwa kutofautisha tofauti zetu na matunda yetu"mfn.mume na mke hawasiti kukosana mbele ya watoto zao kitu ambacho ni tofauti na wenzetu wanzungu moja mbili wenzetu hawanaga vitabia vya kufekii vituu wao huishi kiukwelii zaidiiiii
My love for salama jaber ♥️♥️♥️
We ❤ you kwaajili ya Allah tumefurahi kukuona dont give up unaweza Richie inshallah utanyanyuka na utawapita 🤲🙏,asante Salama kwa interview hii 👌🏿❤🇹🇿🇨🇭
@freelancer6368
3 жыл бұрын
Kuwapita NO! ajipite kwanza mavoko wa 2016-17
You duin great salama
Appreciate bro
Big up Rich 🤑
Thank you salama me ni miongoni mwa waliotaka kujua what exactly happened at WCB...
Pushoke na pr Jay 😂😂😂
Richie ndio amenileta hapa na nafurahia interview jamaa Yuko vzr Sana mungu atakuinua kaka ufike pale unapopataka
Uko sawa madam
Daaa rich mavoko ludiii mwananguuu
Nice sana
Salama na billionea kid mavokooooo
Salamaa na Richie Richie
Waooooo, Safi sn Salama kwa kutuletea my Classmate!
mtuletee mama dangote to clear the air 😉
@husseinhajjihussein6898
3 жыл бұрын
😆😆Unataka aje Achambweee
Nimependa style ya nywele ya salama
Daah fany hii k2 iendelee maana namufatiya sna fund wang mavoko
Bonge la interview,heshima kwako
Nakielewa sana hiki kipindi cha salama maswali yko yko sawa sawa
Ni moja ya show qalii kwangu mimi
Salama na harmonize tunasubili kwa hamu😂🔥🔥
Shikamoo. Salama'
Kwahivyo Richie.. Hakutaka kucontroliwa..mzee lebo lazima upangiwe bro...Duniani nzima ni lazima hiyo
@omarseif3235
3 жыл бұрын
Young money nan anatawala 😂😂
Nipo kusikiliza kwanza
Next show diamond platnumz please . Love you lady salama kipindi chako ni salama maana najifunza mengi
Muite na nikki mbishi basi sister au bado umemkumjia jamaa anajua sana fanya kumuita
Iviee salama majina ya vinywaji. Unayotowaga wp jmn😂😂😂
@safiaimran7339
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Namkubali sana
Mother ake Rich amenifundisha primary school "Mwl. Martin" - Ilala-Kasulu Primary School"
@hamzajunior6642
3 жыл бұрын
So?
@hamzajunior6642
3 жыл бұрын
Tufanye je?
@albertmujuni2042
3 жыл бұрын
@@hamzajunior6642 mwambie mama ako akufundishe upate adabu kwanza.
@hamzajunior6642
3 жыл бұрын
Akish baadae?
Dahhhhh salama kipindi hiki najifunza mengi Sana
Wew nimwanaume
Nimependa
Nakubal
Daaah jmaa kaongea pointy
MAVOKO wala sio MAVAKO mpenzi wangu Salama. Missed u so much, how's the going love? Hope you are keeping well ay'yuuuni. Love you darling 🥰💋🥰💋🥰💋
@kingwilliam1807
3 жыл бұрын
Mwambie arekebishe hapo
Mavoko, wamekupoteza mackini.
Duh WCB.... Harmonize yaweza kuwa chanzo cha mavoko kutoka WCB
@abdallahramadhanimohamed2002
3 жыл бұрын
Ndio
Richie is such a gentleman, humble guy
@asiyapeggy9473
3 жыл бұрын
Daa rich pole Sana imeniuma xana
MAVAKO HUYU KWELI...HEHEHEHE
Rich mavoko nakukubali
Salama Ali Choki anayo mengi ya kutueleza na kutufunza hasa kwa sisi vijana
Uyu mdada anajua kweli
Leo Salama umechangamka Mashaa'Allah
salama tuletee sanura a.k.a Sandra. Mama dangote
@maishacenter-eastafricatv3976
3 жыл бұрын
😂
@zillawakitaa7140
3 жыл бұрын
Kama nani
Richii humble
Nice
Salama tunamtaka harmony studio
Dada salama tunamtaka Jessica wetu bhana
Lusinga ni jina ya ki Congo Kabila ya wa Tabwa, Taranaki Moba kandokando ya Ziwa la Tanganyika mpakani na Tanzania.
Salama tuletee Omary mkali wa chuchu sound hatujamsikia kitambo sana
Aiseeeee
Mambo ya wcb yanaanza dk ya 19
@mashuboi4217
3 жыл бұрын
Umetisha kamanda...
@balysonemmanuel4527
3 жыл бұрын
✌🏾✌🏾✌🏾
@ngangamtheboss9242
3 жыл бұрын
Naqubhaliiiiiiii
@tagykibira6283
3 жыл бұрын
😎😎
@djgthehotstepper
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 asante sana
Mkaribishe Zamaradi umhoji plz
Noma sanaaa
Mbona kipindi hakiruki Tena ni miez sasa
next time ni zamu yangu salama no matter what
aweeeh
Eeeeeenhe hapo hapo Salama ninaomba au tunaomba sana umlete na Konde Boy
Sikuwahi kupenda swala la Richi kuwa signed under someone else's label!! Nilikuwa naamini alikuwa anatosha kuanzisha his own label na kufanya poa sana, time at Wasafi ilikuwa ni pause.. Bado kuna nafasi ya kuanzia pale
RICH KAMA RICH
wasabi wa bongo kwa kujifanya mama madem kusuka sijui hereni noma
Salama kama hauna mume nataka nikuoe 🤓🤓
@ommyakili552
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kamanda Salama atakulamba makofi
Nimependa interview
Ulifanya vyema kuondoka mbongo akishaanza ahadi nyingi kwenye kazi ndio wanakumaliza kabisa, hutokaa utoke.
kazi yako bora ni pacha wangu huwez kuimba nyimbo kama ile tena broo but still u,re the best arts
@augustinojonas2643
3 жыл бұрын
So kweli
@joharindaro3075
3 жыл бұрын
Jamaa ana nyimbo nyingi nzur sana na ni mtunzi mzur
Kondeboy mnafikiii
Oya turudishie dada Jesca wetu
@lickymaker5857
3 жыл бұрын
😂😂😂😂ata me naona
@aishajafa4139
3 жыл бұрын
jesca mwenye shep lake
✌️
Eti kwann Mike zunafunikwa hapa🤔
Tunamtaka Jessica😂
@fulgence34
3 жыл бұрын
Jessica mashalaaaaahhhh