Salama Na MAVOKO EP 49 | WINGMAN PART 1

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Kwa muda mrefu nimekua nikitaka kuongea na Mavoko ila ratiba zetu zilikua hazijawahi kuwa sawa na hivyo tukawa tunapishana tu. Kama mimi sina program naye basi yeye atakua free, na mimi nikiwa free basi yeye atakua na mipango ya kutoa kazi mpya ambayo itanifanya ningoje ili viende pamoja, au atakua kasafiri, au mimi nitakua nishaset watu wengine, ilikua kama tunacheza kidali po ila katikati ya mwezi wa kumi na mbili hatimaye yakatimia.
Hakuna doubt juu ya uwezo wake popote pale utakapoenda ingawa baada ya yeye kuamua kuondoka kwenye label ya WCB kulikua na mengi yalosemwa na kutendwa na baadhi ya mashabiki yalikua yanaweza kukuaminisha jambo na mpaka kufikia pengine ku doubt huo uwezo wake. Mambo mengi yalisemwa, ya kusikitisha, ndoa haikuvunjika vizuri ila ambacho nilikiona kwake ni ustaarabu wa hali ya juu, wa kuwaacha walimwengu waseme na kufanya watakayo huku yeye akiwa ame focus kwenye kipaji chake na kujipanga upya.
Moto wa Mama Richard anaujua mziki mwingi, ana uwezo mkubwa wa kuimba na kuandika na kucheza pia, ila kabla hajaingia kwenye label alikua anajulikana tu, ila kumfahamu vizuri na kuthamini kipaji chake kulikuja baada ya yeye kushirikiana na mmoja kama si msanii bora zaidi kuwahi kutokea na kuipeperusha zaidi bendera ya Tanzania ndani ya Diamond Platnumz. Ushirikiano wao ulitupa ‘anthem’ kadhaa ambazo mpaka leo ukiziskiliza hazichuji. Ilikua kama team ya wenye vipaji pekee, kama ni mfuatiliaji wa mpira wa kikapu hii tunaweza kuifananisha na ile zile team mbili za Mashariki na Magharibi ambazo zinakusanya wachezaji wenye uwezo wahali ya juu.
Saasa, ikawaje hasa mpaka akaona aachane na all star hiyo na kupeleka team yake uwanjani akiwa solo? Nini hasa kilifanya mpaka afikie maamuzi hayo? Kuna mtu au kitu kilimshinikiza? Je yalikua maamuzi sahihi? Pia kuna masuala binafsi ya kifamilia na suala la yeye kutomfahamu Baba yake takati anakua, elimu yeke, ndugu zake, Mama yake na muziki ulichomfanyia katika maisha yake.
Mavoko huyu ambaye mimi namfahamu nilikutana naye Kampala, Uganda kama maka saba iliyopita na mazungumzo yetu yalikua yanahusu kipaji chake na jinsi ambavyo nilikua naona ‘hapewi’ nafasi maana kama ngoma zake zilikua nzuri tu, video ndo usiseme ila hakuna na spotlight aliyokua anastahili, peleka mbele miaka mpaka 2021 ambapo alipata nafasi kwa miaka takriban miwili na nusu kufanya kazi na lebo bora zaidi ila baada ya muda akaamua kubwaga? Kwanini hasa? Sote tunajua kama nyasi za jirani huonekana zimestawi kweli kweli ila ukifika na kuziona kwa ukaribu utaelewa kwamba si kila kitu kina fanana na kionekanavyo. Ila mpaka kuamua kukusanya na mabegi na kuondoka kwenye ‘jumba kali’?
Majubu yake yalikua ya moja kwa moja tu na nafsi yake ilikua tayari kuhamia nyumba nyengine mwenzangu. Natumai kwa kiasi flani utasoma jambo, ingawa kwangu mimi natamani ningepata zaidi na zaidi ila inaonekana bado hakua tayari kutufungukia mazima. Binafsi namshkuru kwa kuja mezani kwetu na pengine tutaweza kukutana tena mbeleni In Shaa Allah. Yangu matumaini bado utaokota mawili matatu.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 235

  • @killarmancity7599
    @killarmancity75993 жыл бұрын

    Kuna kitu nimeki #note yaani wazazi weengi wa kiume kuanzia miaka ya 95 kurudi nyuma walikuwa na ulimbukeni flani hivi wa maisha maana walipenda kuishi maisha ya usela kuliko kuangalia family zao na hii imechangi wazazi wengi wa #Kike wamelea watoto wao kwenye mazingira magumu huku wao wakiendekeza nyumba ndogo kuliko family zao. Ukiwatafuta vijana wengi waliozaliwa 95 kurudi nyuma wanastory za maisha yanayofanana kuhusu msoto wa kimaisha. Ila wakiwa na umaarufu wazazi wa kiume wanajitokeza na kujifanya wao ni ma Baba mzazi halisi wa huyo mtu,maarufu ila chanzo ni ukwepaji wa majukumu tu. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 #Pongezi nyiiingi sana kwa #WanawakeJasiri waliovumilia shida zote na kupambana na family zao bila msaada kutoka kwa #MABABA wakwepa majukumu.

  • @luciuskomba8824

    @luciuskomba8824

    3 жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe 100% wahanga tupo wengi ya hawa wazee waliokuwa wanaendekeza USELA, So Sad but MUNGU atabaki kuwa MUNGU

  • @thierynduwimana8871
    @thierynduwimana88712 жыл бұрын

    Rich tumekumiss rasta utakwenda mbelle zaidi njia Yako njema rich✌️

  • @strong8534
    @strong85343 жыл бұрын

    Nimekuja hapa baada ya kumsikia Middle Simba. Kama wewe ni kama mimi, gonga like!!

  • @kottaflavour4908

    @kottaflavour4908

    3 жыл бұрын

    2po mzee🤣🤣🤣

  • @thierynduwimana8871
    @thierynduwimana88712 жыл бұрын

    Salama wew namba1 kwa kazihioo yani upetuliya zaidi kwa kuuliza swalli unatukubalisha Sista ✌️

  • @glorianikiza6033
    @glorianikiza60333 жыл бұрын

    Uko vizuri rich utafika mbali uko muimbaji mzuri saana Never give up

  • @yohanakangaro5724
    @yohanakangaro57243 жыл бұрын

    Rich mavoco wewe ni mtu na nusu, mm ni miongon mws watu wanakukubari kinoma noma. Nimependa sana msimamo wako.

  • @africatreandmusic2437
    @africatreandmusic24373 жыл бұрын

    Umenifunza mengi mavoko nakukubali Sana Kaka pambania talent yako iko sawa.ni masai mmoja kutoka +254 kajiado massive

  • @sarahkitindi3420
    @sarahkitindi34203 жыл бұрын

    Yani nimegundua mavoko ni mtu mwenye hekima zake God bless you brow

  • @mossejackson3607

    @mossejackson3607

    10 ай бұрын

    Naungana nawe ana busara kinyama nyama ❤

  • @milkalexalex3531
    @milkalexalex35313 жыл бұрын

    Tunamtaka kwahamu sana mama dangote

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya35283 жыл бұрын

    kwa mbali MAVOKO utasema MKALI WENU!!!

  • @vickychialo7938

    @vickychialo7938

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @annamduma4029

    @annamduma4029

    3 жыл бұрын

    Nikweliii

  • @luciuskomba8824

    @luciuskomba8824

    3 жыл бұрын

    🙄🙄🙄🙄

  • @benjaminsemwenda3152
    @benjaminsemwenda31523 жыл бұрын

    Sijui Unanielewa 😂😂😂

  • @kachalemielias3683
    @kachalemielias36833 жыл бұрын

    Pacha wangu ndio wimbo bora kwangu kutoka kwa mavoko

  • @festokimario4064
    @festokimario40643 жыл бұрын

    Salama swali zuri Sana Hilo awe ametoa kwa funzo kwa wengine

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz47173 жыл бұрын

    Salama we dada mkubwa uko poa sana love from stone town michenzani apa brookline.

  • @johnmduda7841
    @johnmduda78413 жыл бұрын

    Daaahh mavoko mkwel Sana

  • @abubakarismail2812
    @abubakarismail28123 жыл бұрын

    Salama kwenye kutengeneza question ni nyoko....! Mavoko afunguke tu. Big up samala; level za kina zuhura yunus kabisa.

  • @sadikiissa4910
    @sadikiissa49103 жыл бұрын

    J'aime beaucoup cette émission je suis en RDC 🇨🇩

  • @christinembeye5489
    @christinembeye54893 жыл бұрын

    Richard your so Humble. Endelea Kumtumainia Mungu hatakuacha🙏

  • @markmukundi3419

    @markmukundi3419

    3 жыл бұрын

    Vipi Chris's

  • @arkadiesgroup6083
    @arkadiesgroup60833 жыл бұрын

    Salama kweli kabisa unalosema Wanawake hupenda kuwficha watoto kuwakomoa wenzi wao na kuwadanganya hata watoto wenyewe

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma27603 жыл бұрын

    Baada ya Omary Nyembo Ommy Dimpozi na Marioo Huyu ndiyo baba yao sasa anaweza kuongea Sana na uwezo wa kujielezea which is good

  • @alikibwana9417
    @alikibwana94173 жыл бұрын

    I really love this guy Soo much wallah....much love from Nairobi Kenya

  • @newscuttv4422
    @newscuttv44223 жыл бұрын

    BADO MIMI NASUBIRIA SALAMA NA ISHA MASHAUZI INSHAALLAH . ITAPENDEZA ZAIDI

  • @princeommy5793
    @princeommy57933 жыл бұрын

    Watangazaj chipukizi wanafaa kulearn somthng from ecee... Maswal yenye ufasaha.. Sio maswal ya kipumba tu... Salama upo vzr dada mkubwa, big up!!

  • @nurukhalifa9413

    @nurukhalifa9413

    3 жыл бұрын

    Chipukiz wanauliza maswali bila kujipanga salama na zamaradi mketema huwa wana maswali kwenye notebook hawatoi kichwan ka machizi. Wale kinachokuja ndo wanauliza

  • @marthamshana6942

    @marthamshana6942

    3 жыл бұрын

    @@nurukhalifa9413 eti machizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yani machizi kweli

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory53313 жыл бұрын

    Salama you know wha?? U re incredible genius## appreciate that

  • @allyamiry1421
    @allyamiry14213 жыл бұрын

    Unaweza Sana rich mungu awe nawe

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi66713 жыл бұрын

    Hilo jina la kinywaji 😂😂🤣🤣🤣

  • @abdallahomari9860
    @abdallahomari98603 жыл бұрын

    Salama Zalhata Jabeer Tunamtaka Young Killer Next Epsodee

  • @kingsteven7358
    @kingsteven73583 жыл бұрын

    Oyooo kinywaji bikira😀😀kinapatikana wapi nimekitamani🤪

  • @jonathanicrisatijonathanic6708
    @jonathanicrisatijonathanic67083 жыл бұрын

    Jamani naombeni like zenu

  • @khalidsalum1740
    @khalidsalum17403 жыл бұрын

    Mambo yalivyo kwa sisi waafrika wengii tunashindwa kutofautisha tofauti zetu na matunda yetu"mfn.mume na mke hawasiti kukosana mbele ya watoto zao kitu ambacho ni tofauti na wenzetu wanzungu moja mbili wenzetu hawanaga vitabia vya kufekii vituu wao huishi kiukwelii zaidiiiii

  • @zildatwahid6526
    @zildatwahid65263 жыл бұрын

    My love for salama jaber ♥️♥️♥️

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    We ❤ you kwaajili ya Allah tumefurahi kukuona dont give up unaweza Richie inshallah utanyanyuka na utawapita 🤲🙏,asante Salama kwa interview hii 👌🏿❤🇹🇿🇨🇭

  • @freelancer6368

    @freelancer6368

    3 жыл бұрын

    Kuwapita NO! ajipite kwanza mavoko wa 2016-17

  • @swaumunassor3379
    @swaumunassor33793 жыл бұрын

    You duin great salama

  • @balegadaffi4472
    @balegadaffi44723 жыл бұрын

    Appreciate bro

  • @chiefmusic12
    @chiefmusic123 жыл бұрын

    Big up Rich 🤑

  • @saidbaro6062
    @saidbaro60623 жыл бұрын

    Thank you salama me ni miongoni mwa waliotaka kujua what exactly happened at WCB...

  • @kottaflavour4908
    @kottaflavour49083 жыл бұрын

    Pushoke na pr Jay 😂😂😂

  • @jokhaali9187
    @jokhaali91873 жыл бұрын

    Richie ndio amenileta hapa na nafurahia interview jamaa Yuko vzr Sana mungu atakuinua kaka ufike pale unapopataka

  • @kurwagama1845
    @kurwagama18452 жыл бұрын

    Uko sawa madam

  • @lilsavagex4883
    @lilsavagex48833 жыл бұрын

    Daaa rich mavoko ludiii mwananguuu

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie74433 жыл бұрын

    Nice sana

  • @salumjumah5648
    @salumjumah56483 жыл бұрын

    Salama na billionea kid mavokooooo

  • @omarsayid6059
    @omarsayid60593 жыл бұрын

    Salamaa na Richie Richie

  • @kisimbopenina3963
    @kisimbopenina39633 жыл бұрын

    Waooooo, Safi sn Salama kwa kutuletea my Classmate!

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita3 жыл бұрын

    mtuletee mama dangote to clear the air 😉

  • @husseinhajjihussein6898

    @husseinhajjihussein6898

    3 жыл бұрын

    😆😆Unataka aje Achambweee

  • @agnessherman2926
    @agnessherman29263 жыл бұрын

    Nimependa style ya nywele ya salama

  • @frankmtewele1054
    @frankmtewele10543 жыл бұрын

    Daah fany hii k2 iendelee maana namufatiya sna fund wang mavoko

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto82313 жыл бұрын

    Bonge la interview,heshima kwako

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan77693 жыл бұрын

    Nakielewa sana hiki kipindi cha salama maswali yko yko sawa sawa

  • @shebybruce4718
    @shebybruce47183 жыл бұрын

    Ni moja ya show qalii kwangu mimi

  • @samuerypaulo5711
    @samuerypaulo57113 жыл бұрын

    Salama na harmonize tunasubili kwa hamu😂🔥🔥

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72793 жыл бұрын

    Shikamoo. Salama'

  • @kimshadyg4563
    @kimshadyg45633 жыл бұрын

    Kwahivyo Richie.. Hakutaka kucontroliwa..mzee lebo lazima upangiwe bro...Duniani nzima ni lazima hiyo

  • @omarseif3235

    @omarseif3235

    3 жыл бұрын

    Young money nan anatawala 😂😂

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    Nipo kusikiliza kwanza

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara84713 жыл бұрын

    Next show diamond platnumz please . Love you lady salama kipindi chako ni salama maana najifunza mengi

  • @steveneryoba1234
    @steveneryoba12343 жыл бұрын

    Muite na nikki mbishi basi sister au bado umemkumjia jamaa anajua sana fanya kumuita

  • @mariamkaaya939
    @mariamkaaya9393 жыл бұрын

    Iviee salama majina ya vinywaji. Unayotowaga wp jmn😂😂😂

  • @safiaimran7339

    @safiaimran7339

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @estherjohn4375
    @estherjohn43753 жыл бұрын

    Namkubali sana

  • @albertmujuni2042
    @albertmujuni20423 жыл бұрын

    Mother ake Rich amenifundisha primary school "Mwl. Martin" - Ilala-Kasulu Primary School"

  • @hamzajunior6642

    @hamzajunior6642

    3 жыл бұрын

    So?

  • @hamzajunior6642

    @hamzajunior6642

    3 жыл бұрын

    Tufanye je?

  • @albertmujuni2042

    @albertmujuni2042

    3 жыл бұрын

    @@hamzajunior6642 mwambie mama ako akufundishe upate adabu kwanza.

  • @hamzajunior6642

    @hamzajunior6642

    3 жыл бұрын

    Akish baadae?

  • @flavianchuwa4370
    @flavianchuwa43703 жыл бұрын

    Dahhhhh salama kipindi hiki najifunza mengi Sana

  • @adidjaadidja2578
    @adidjaadidja25783 жыл бұрын

    Wew nimwanaume

  • @allyswaleh3379
    @allyswaleh33793 жыл бұрын

    Nimependa

  • @issaomar1768
    @issaomar17683 жыл бұрын

    Nakubal

  • @osmandemebele3335
    @osmandemebele33353 жыл бұрын

    Daaah jmaa kaongea pointy

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu1813 жыл бұрын

    MAVOKO wala sio MAVAKO mpenzi wangu Salama. Missed u so much, how's the going love? Hope you are keeping well ay'yuuuni. Love you darling 🥰💋🥰💋🥰💋

  • @kingwilliam1807

    @kingwilliam1807

    3 жыл бұрын

    Mwambie arekebishe hapo

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mavoko, wamekupoteza mackini.

  • @ibrahimthabit2795
    @ibrahimthabit27953 жыл бұрын

    Duh WCB.... Harmonize yaweza kuwa chanzo cha mavoko kutoka WCB

  • @abdallahramadhanimohamed2002

    @abdallahramadhanimohamed2002

    3 жыл бұрын

    Ndio

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93033 жыл бұрын

    Richie is such a gentleman, humble guy

  • @asiyapeggy9473

    @asiyapeggy9473

    3 жыл бұрын

    Daa rich pole Sana imeniuma xana

  • @gabrielomondi4630
    @gabrielomondi46303 жыл бұрын

    MAVAKO HUYU KWELI...HEHEHEHE

  • @mariomashaka9395
    @mariomashaka93953 жыл бұрын

    Rich mavoko nakukubali

  • @mbwanadavid4371
    @mbwanadavid43713 жыл бұрын

    Salama Ali Choki anayo mengi ya kutueleza na kutufunza hasa kwa sisi vijana

  • @royrussel8722
    @royrussel87223 жыл бұрын

    Uyu mdada anajua kweli

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11803 жыл бұрын

    Leo Salama umechangamka Mashaa'Allah

  • @aishajafa4139
    @aishajafa41393 жыл бұрын

    salama tuletee sanura a.k.a Sandra. Mama dangote

  • @maishacenter-eastafricatv3976

    @maishacenter-eastafricatv3976

    3 жыл бұрын

    😂

  • @zillawakitaa7140

    @zillawakitaa7140

    3 жыл бұрын

    Kama nani

  • @danadventures2786
    @danadventures27863 жыл бұрын

    Richii humble

  • @anitakamene5073
    @anitakamene50733 жыл бұрын

    Nice

  • @kulwakasike5093
    @kulwakasike50933 жыл бұрын

    Salama tunamtaka harmony studio

  • @dayocha1855
    @dayocha18553 жыл бұрын

    Dada salama tunamtaka Jessica wetu bhana

  • @murumbitvnews2493
    @murumbitvnews24933 жыл бұрын

    Lusinga ni jina ya ki Congo Kabila ya wa Tabwa, Taranaki Moba kandokando ya Ziwa la Tanganyika mpakani na Tanzania.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.653 жыл бұрын

    Salama tuletee Omary mkali wa chuchu sound hatujamsikia kitambo sana

  • @pendomasawe5477
    @pendomasawe54773 жыл бұрын

    Aiseeeee

  • @atrapstv8660
    @atrapstv86603 жыл бұрын

    Mambo ya wcb yanaanza dk ya 19

  • @mashuboi4217

    @mashuboi4217

    3 жыл бұрын

    Umetisha kamanda...

  • @balysonemmanuel4527

    @balysonemmanuel4527

    3 жыл бұрын

    ✌🏾✌🏾✌🏾

  • @ngangamtheboss9242

    @ngangamtheboss9242

    3 жыл бұрын

    Naqubhaliiiiiiii

  • @tagykibira6283

    @tagykibira6283

    3 жыл бұрын

    😎😎

  • @djgthehotstepper

    @djgthehotstepper

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 asante sana

  • @lore4837
    @lore48373 жыл бұрын

    Mkaribishe Zamaradi umhoji plz

  • @allynjenje
    @allynjenje3 жыл бұрын

    Noma sanaaa

  • @jojojose2996
    @jojojose29963 жыл бұрын

    Mbona kipindi hakiruki Tena ni miez sasa

  • @hassanhassan3021
    @hassanhassan30213 жыл бұрын

    next time ni zamu yangu salama no matter what

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa86953 жыл бұрын

    aweeeh

  • @ajaxjunior4151
    @ajaxjunior41513 жыл бұрын

    Eeeeeenhe hapo hapo Salama ninaomba au tunaomba sana umlete na Konde Boy

  • @nginirasaire5876
    @nginirasaire58763 жыл бұрын

    Sikuwahi kupenda swala la Richi kuwa signed under someone else's label!! Nilikuwa naamini alikuwa anatosha kuanzisha his own label na kufanya poa sana, time at Wasafi ilikuwa ni pause.. Bado kuna nafasi ya kuanzia pale

  • @elitwazambwambo2222
    @elitwazambwambo22223 жыл бұрын

    RICH KAMA RICH

  • @fareedatrash665
    @fareedatrash6653 жыл бұрын

    wasabi wa bongo kwa kujifanya mama madem kusuka sijui hereni noma

  • @mohamedkachapa4433
    @mohamedkachapa44333 жыл бұрын

    Salama kama hauna mume nataka nikuoe 🤓🤓

  • @ommyakili552

    @ommyakili552

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kamanda Salama atakulamba makofi

  • @catherinemoshi4347
    @catherinemoshi43473 жыл бұрын

    Nimependa interview

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert94893 жыл бұрын

    Ulifanya vyema kuondoka mbongo akishaanza ahadi nyingi kwenye kazi ndio wanakumaliza kabisa, hutokaa utoke.

  • @ananiahaule2175
    @ananiahaule21753 жыл бұрын

    kazi yako bora ni pacha wangu huwez kuimba nyimbo kama ile tena broo but still u,re the best arts

  • @augustinojonas2643

    @augustinojonas2643

    3 жыл бұрын

    So kweli

  • @joharindaro3075

    @joharindaro3075

    3 жыл бұрын

    Jamaa ana nyimbo nyingi nzur sana na ni mtunzi mzur

  • @khalfansoud2188
    @khalfansoud21883 жыл бұрын

    Kondeboy mnafikiii

  • @asueddy1465
    @asueddy14653 жыл бұрын

    Oya turudishie dada Jesca wetu

  • @lickymaker5857

    @lickymaker5857

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂ata me naona

  • @aishajafa4139

    @aishajafa4139

    3 жыл бұрын

    jesca mwenye shep lake

  • @wilbertchaula5441
    @wilbertchaula54413 жыл бұрын

    ✌️

  • @amandaseleman5444
    @amandaseleman54443 жыл бұрын

    Eti kwann Mike zunafunikwa hapa🤔

  • @stevesanke8767
    @stevesanke87673 жыл бұрын

    Tunamtaka Jessica😂

  • @fulgence34

    @fulgence34

    3 жыл бұрын

    Jessica mashalaaaaahhhh

Келесі