Part1: Fid Q amefunguka jinsi Beef lake na Rado lilivoanza, kuingia MJ, Baucha mpaka Bongo Records.
Ойын-сауық
Hii ndiyo List ya Ngoma 5 alizochagua Fid Q kwenye THE PLAYLIST 100.5 Times FM March 04, 2017
5. Raha tu rmx - AY ft Complex
4. Asanteni kwa Kuja - Mwana FA
3. Salio la verse - Juma Nature
2. Zamu Yangu - Shaa ft Fid Q
1. Mabundi - Big Jah Man ft Fid Q
THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 Times FM kuchagua ngoma 5 kali wanazozikubali na kupiga mastori kibao kuhusu Music, Fashion & LifeStyle, Gadgets & all that.
Show inaruka kwa hewa kila Jumamosi, Saa 6 - 8 Mchana kupitia frequency ya 100.5 Times FM chini ya Presenter Mkali, the Baddest boi, Omary Tambwe aka Lil Ommy.
Subscribe, Watch, Share.
Niguse kwenye social networks:
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc.
Пікірлер: 115
Fid q all best kama unamkubali gonga like hapa Tisabway
The Badest omary tambwe Mtu awezi kuchoka kutazama intervew yako mala zote upo tofauti katika uulizaji wa maswali na kipindi chako kipo mbio sana namaanisha kimechangamka sana
nakubali hii interview kwangu this is the best with the best hip hop artist and radio presenter lilommy salute
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
james chanja 👊👊👊
@youngxhadah7951
5 жыл бұрын
h mbizo
@kelvinlaurent2844
4 жыл бұрын
Yes
@hinikasteve176
5 ай бұрын
Interview 🔥🔥🔥 mzee ni knowledge tosha
True Hip Hop Legend ndani ya TZ....
@nicholascharles5547
4 жыл бұрын
The best hip hop lyricist in the world
Salute ma man Tambwe ..You inspire me BIG time bro..
Mashairi ya gosha hayafananish na yangu mwingineJamaa anaumiza kichwa sana hivo namkubali toka FD q Mapaka sasa mean that toka mwazo alivo azagemu tl now. He is true hip hop 🎤🎤. 👏👏
the real fid q the man who is craetitivy ....hip hop is realness of reality.... much respect big up omarry tambwe
@sanaanimaisha4072
7 жыл бұрын
Ngosha is always some steps ahead
@rashidyrashidy3923
7 жыл бұрын
Mayila Shega true dat
One ov the best interview kwa mwaka huu.... Every day lazima niichek
Lil ommy fanya iZo ngoma anazochagua msanii usiweke kwenye caption vizuri tumsikie mwenyewe iwe suprise
great interview, well done man, I real enjoyed it
m.v.p big up kazi yako unaotendea haki coz interviews nyingi nimeziona zimetulia
Two artists (Fid-Q and Rado) with high IQ cannot be friends for a while due to overthinking approach and advanced awareness of the principles of nature. Life is a special race, the one who runs faster while considering time wins it. Love from Congo🇨🇩
@malaremurilo8046
2 жыл бұрын
rado is not
Host with passion + emce with good altitude with passion
One of my best interview of all time 2019
@rubenkelly4707
2 жыл бұрын
Together,
Fid Q real Hip Hop King watu ni awa true men Yap
Ikiwa interview kama hii mtu umeshindwa kufoward cdhan kama kuna nymb hata moja yakufoward kwny hy album mpya ya Fareed. He is the best Ever ....
Fid Q pia ni Triple konki 😂😂😂🙏🏾 Blessed up to yourself Partner #fidq konki konki Konki Master 😀
Legendary lyricist ✊🏾💥
Salute to you lilommy..for sure u are the best presenter and the interview is very hot..keep it up bro.
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Karim Dusabe 👊
Best Interview of all time
good xna lilommy nice interview #bestrepresenterintown
@ LilOmmy mlete professor jay kwenye show la kibabe. safi sana fid q
Jamaa anajua sana kufanya interview pia amekutana mtu wa hip hop
Duuuuu lil omy shikamooo baba kw kuafatilia mambo ww n xhida akuna ucchojua abut bongo music ww
The genius of raper
the legendary of HipHop Ngosha
Naheshimu, nakuheshimu ni hatari wa kila ufanyalo ktk hip hop💪
Big brain....aminia kwa Fid_q..He is a real king...Evans chapa ilale toka kenya nimesema
legendary!
Aiseee Ni nomaaaaa
salute lilommy nakuelewa sana. heeeee
Mlete majani basi nice
majani ndo mm 💪🤝🤝🤝
Nakubali umetisha fid q
bro uko vizuri mno maashaa allah ... u knw wat u r doin u knw wat ppl want.. big up saana buh pls dont upload videos in a part form.. jus like u did on dis... upload full bwanaaaaa unakatisha utamu... den big up kw fidq he iz so damn smart man.. namkubal n hii interview mmeuwa
@LilOmmyTV
7 жыл бұрын
Taghlib Ramadhan oi Show nzima ina Saa 1 na Dakika 10 hivi so huezi eka yote ivo thats y kuna part 1 na part 2.
Respect 🙌🏽
yeah umekamilika sn fid q
oya mzee baba liommy fanya mpngo mdondoshe rado namuelewa sana
Fid Q balaaa sana
Legend
kweli hili show la kijanja zaidi nimekubali
Bless
Hajui msingi ya hip-hop mbele anapigwa shaba
I real appreciate dis man, lkn msanii wangu WA Hip Hop WA muda wote ni prof Jay wamituringa
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Professor mwenyewe
safi fid
👏👏👏👏
Huwa najiuliza. Fid Q kapatawapi ujasili wakuongea point kila interviews why
04/12/2022 PAMOJA SANA
👏👏👏👏👏
hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza ni mziki tu sio kina wale drama tu na mademu plus bifu za kiboya ili wapush mziki wao wa wenye promo gunia uwezo kijiko
Fd ni mtu poa Sana coz Hawa watu hip hop ni wachache Sana lovely hip hop
Wise talk fid
Salut ommy kwa show ya kijanja halaaaaa
fid ni big brother
Fid Q wewe ni nani, ebu tuweke wazi unajua nini.....una zaidi ya raper alafu nimefatilia kazi nyingi ya wanamuziki wa bongo wana makosa mengi ya lugha lkn kiswahili chako kimenyoka
"Tucitokee dirishani "by prof. Fareed qubanda.
kizazi Sana
FID Q JOMAKiNi MUrisho mpoto Tanzania afirika tumependerewa tumetunikiwa bgp
fid ni rapa bora kwangu kwene hii dunia
hiphop king
Toa movie story yako fid q
huyu Lilomy yuko wap jaman,anahoji hiv jaman,dah saafi kabisa kumsikiliza jaman
Kumbe huyu king of Hiphop Muongeaji hivi
@johnsirima5067
7 жыл бұрын
King /Suka sana
Hata ujifanye field marshar vitani utabainika tu siku yako iko njiani😅
Sawa qfid napenda mistari yake maana nasumbukaga kuijua
Bwna misosi ft hard mad nitoke vipi
Nakukubal big
Hahaha nmeinjoi
Fid Q ni hip hop bana
Usikose diwani ya maalim
King of HipHop/Mtaa_ologia
Leo nimejua rado yuko sahihi ww fid una shida mm mtu mzima najua
Najutia kusomea kitengo cha afya ya binaadamu maana ninapo fuatilia interviews zako tambwe naona mimi ningekua mtangazaji mkubwa tu maana napenda unachofanya nipo BURUNDI
Wayback Lil Ommy you were much really
Fid q
Fid hapo uliyumba Ulimkunjia Rado Kama alichelewa ulipaswa kupigia cm,
Ngosha Nikiboko wa maraper
fid
Nimetoka chuga napenda chuga hip hop lakini ujamaa ni shida
mi naimba lakini nataka nianze kuchana nikimaliza masomo yangu tu...lazima niingie studio,...nakukubali sana Fid q..
we cio mtu bali ni nusu mashine
Fid He Is No rado
king fid q
Now Nash mc
He is no where better than Nas, Juelz Santana...ooh wait even J.Cole? really? hapo mmempa sifa asizostahili aisee..japo yuko vizuri kwa level yake na especially kwa wasanii wetu wa hipop bongo and maybe Africa with exception of Cassper, Sarkodie, Major League...kila la heri
@saidiramadhani1820
6 жыл бұрын
Zenith Lazarus fdq
Fid q ni janga na balaa usimfananishe na vitu vya kijinga
Bongo acheni kudanganyana😂
@nurdinimndeme2912
5 жыл бұрын
kma hta kpaji hiki si kitu we unaona BASI wewe ni mtu tofauti sana UNAISHI kwa ulimwengu wako mwenyewe Mkuu
@tisabway2518
5 жыл бұрын
Huelew kitu kchwa pumbu
@gambajunior2275
5 жыл бұрын
Fid copy ya the late Guru 😎😎
@erickzakaria7615
4 жыл бұрын
Wewe Uwez elewa
joh makini he is much better than Fid q, I do love fid q but majani he was exaggerating but he cannot be better than Nas jones that is not fair ......Majani hapa kazingua
@abelymakingi2981
7 жыл бұрын
Dickson Magabe joh makini hawez kuingia kwa FD acha ushabiki huyu jamaa another level
@clarkyoyo9590
7 жыл бұрын
Mnh wa wap ww ...!!!
@kipsjr3664
7 жыл бұрын
Dickson Magabe majority ndo wameamua fid ndo mkali sio mbaya tumeona mawazo yako ila kama utaweza kubishana na majority good luck
@barikiarastus8770
6 жыл бұрын
Ushabiki maandazi hujui hip hop kaa kimya, joh makini ni rapa na lyrics zake nyepesi
@jimmythefounder1291
6 жыл бұрын
Everyone is entitled to his/her own opion he said that.usilazimishe kweli yako iwe ya kila mmoja.
👏👏👏👏