THE CLASSIC MIKE TEE 1: MASTER J ALINITIMUA STUDIO/MIAKA 26 KWENYE GAME/BEEF NA ADILI

Moja ya Rappers waliopata mafaniko makubwa Bongo ni Mike Tee ambae alikua na style ya kipekee kabisa,lakini nyuma ya mafanikio yake kuna hadithi za kusisimua,hii ni sehemu fupi ya maisha yake.

Пікірлер: 78

  • @tonyi6807
    @tonyi68074 ай бұрын

    Yuko smart sana ...#Wanyalu tunavyoishi#🎶 P.Funk ni mwongozaji mzuri tangu mpk Sasa....Jamaa ana sound kama One the incredible

  • @benjaminolubuyi3353
    @benjaminolubuyi33532 ай бұрын

    That's true you are legend who brought bongo flavour to limelight your number one fun from Kenya since 2000

  • @ericktona3638
    @ericktona36384 ай бұрын

    Back in the Days Mikocheni kwa Nyerere 2003 or 2004 nilikua nakaa nae karibu Aisee nilikua nikimuona anatoka anatembea kwenda Dukani Nilikua namshangaa sanaaa 😂😂😂

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    4 ай бұрын

    Ulikuwa mshamba wewe

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga4 ай бұрын

    Kamwene mnogage wewe❤❤❤❤🎉🎉🎉mnyaru

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39154 ай бұрын

    Mike Mwakatundu home boy🎉🎉🎉🎉🎉

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga88694 ай бұрын

    Mike Mwakatundu classmate wangu wewe ni LEGEND katika Tasnia hii and I'm Proud of you. 🙏🙏🙏🙏

  • @benjaminolubuyi3353

    @benjaminolubuyi3353

    2 ай бұрын

    Wonderful broh

  • @johnmwaisunga2339
    @johnmwaisunga23394 ай бұрын

    Albamu yangu ya kununua ilikuwa ya MiKe Tee, tukichanga hela tukiwa shule olevel na kwenda mtoto mmoja alikuwa wakichua sana kwenda kusikiliza.

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock35304 ай бұрын

    Wana malenga wanalia machozi wakihofia Muda wa mabadiliko umewadia Mnyaru kutengana na nduguze kisa Mali Kujiona fahari Apitapo kila maali

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha7754 ай бұрын

    Nakukubali sana Mike T #Since nimekujua mwamba kweli unajua Bonge la msanii

  • @daniellewiskubojakuboja7427
    @daniellewiskubojakuboja74274 ай бұрын

    Mnyama sana MikeT

  • @echagwhy4442
    @echagwhy44424 ай бұрын

    🔥🔥🔥 kubwa kuliko

  • @emmakiwaya4607
    @emmakiwaya46074 ай бұрын

    Mike Tee, smart!

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa76014 ай бұрын

    ni kweli mike tee alikua moto ssna enzi zile

  • @kamuogo
    @kamuogo3 ай бұрын

    Namkubali sana uyu jamaa

  • @albartdastani3412
    @albartdastani34124 ай бұрын

    Mnyarooo

  • @user-oq6hp4rd1f
    @user-oq6hp4rd1f4 ай бұрын

    Unazingua bro weka interview nzima

  • @abushiridachie6865
    @abushiridachie68654 ай бұрын

    Kumbe ni ya muda sana, JPM in there

  • @Chemba67
    @Chemba674 ай бұрын

    Kuvi tuletee SOS -B aliyekua anawakilisha Mabaibo[MABIBO]😃😃😃

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti4 ай бұрын

    🇰🇪Nilipenda sana lyrics za Mike Tee. Asante kumleta. Naomba sana kumcheck pia D knob nilipenda different style yake ya flow

  • @francismboma6839

    @francismboma6839

    4 ай бұрын

    D knob alikwsha okoka na hajiusishi na miziki

  • @VisualsByEnokaOti

    @VisualsByEnokaOti

    4 ай бұрын

    @@francismboma6839 Asante kwa taarifa hii

  • @SleepyBooks-oj3gu

    @SleepyBooks-oj3gu

    4 ай бұрын

    Ila sio zambi aje tu tumsikie d knob elim ya mtaaa

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    4 ай бұрын

    ​@@SleepyBooks-oj3gutayari alishakuja itafute interview yake

  • @ahmedsa3374
    @ahmedsa33744 ай бұрын

    💥💥💥

  • @guelordmuyenga8365
    @guelordmuyenga83652 ай бұрын

    Mike ❤

  • @user-up1li4hl9u
    @user-up1li4hl9u4 ай бұрын

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo14674 ай бұрын

    The Legendary mwenyewe mzee wa Manow Seminary

  • @kazikazini1042

    @kazikazini1042

    4 ай бұрын

    The legend

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia17154 ай бұрын

    Mike T unaongea sana mzee subiria masuali bhana ah

  • @alfavahaye4102
    @alfavahaye41024 ай бұрын

    Ane na p mawenge

  • @kelvinkurgat7005
    @kelvinkurgat70052 ай бұрын

    Hata kama myalu nasikika kwenye tv

  • @benjaminolubuyi3353

    @benjaminolubuyi3353

    2 ай бұрын

    Hata kama naonekana kwenye TV

  • @wazirihamdu6106
    @wazirihamdu61064 ай бұрын

    Hao ndoo walikua wasanii sasa

  • @managergoa6798
    @managergoa67984 ай бұрын

    Noumaa sana

  • @anoldnicholaus5271
    @anoldnicholaus52714 ай бұрын

    Hapo Hyati Magufuli sijajelewa ......interview inaonekana ya kitambo sanaaaa daaaah sio poa

  • @smarty1064

    @smarty1064

    4 ай бұрын

    ilkua kwenye album naona wameamua kuiacha

  • @chire4574
    @chire45744 ай бұрын

    Anarap sana uyu jamaa

  • @johnsilomba902
    @johnsilomba9024 ай бұрын

    Master Jay Kawaida Yake Kudhalau Watu Kumbuka Hata Harmonizer Alimfanyia Hivi Hivi

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto80174 ай бұрын

    Nimekaa NAYE kata moja......kamwenee be

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55594 ай бұрын

    mimi mwenyewe nilifika kwake master j kwenye studio yake pembeni kurikua na kontena masaki kwao mastar j arinipoteza ira mpaka leo naandika music master kuma sana

  • @agustinopaulo8416
    @agustinopaulo84164 ай бұрын

    Kama 😂😂😂

  • @newbillionaire701
    @newbillionaire7014 ай бұрын

    Mlete juma nature bana 😢😢😢

  • @hasanoshohilali10
    @hasanoshohilali103 ай бұрын

    Kama,,,tunaitaji video

  • @zachariafrancis
    @zachariafrancis4 ай бұрын

    Ukimuona Master J mwambie kamwene mnogage

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa81804 ай бұрын

    Master jay anaziguaga sana hanaga subra c unaona ata kw Jeshi na saii Jeshi amekua mkubwa

  • @alvinsamir2013
    @alvinsamir20134 ай бұрын

    #KUVI na #WASIKILIZAJI na #WATAZAMAJI kama Mimi ukisikiliza #WASANII wengi utagundua #PFUNK ni Mtu aliwasaidia na kuwatoa #WASANII wengi sana . ..

  • @MackameHassani
    @MackameHassani2 ай бұрын

    Master-j kavu kwl yaaani😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @loner_wolf
    @loner_wolf4 ай бұрын

    Kipindi hiko kingereza kukikuta kwenye lyrics ya kibongo ni kama imegency tu......bado CIO issue hata makocho sio wengi kama SAA hii.

  • @user-tt3nz7yv5f
    @user-tt3nz7yv5f4 ай бұрын

    KuviFacts naomba ttuleetee na FEROOZ-KIZEE

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    4 ай бұрын

    Pitia interview za nyuma Ndio ya kwanza Kbs kwenye hii channel

  • @user-ti7nf4jc8g
    @user-ti7nf4jc8g3 ай бұрын

    Tafadhali mlete pigi black

  • @user-zp7ky7lj1m
    @user-zp7ky7lj1m4 ай бұрын

    Wanamalenga Wanalia Machozi ya Kuhofia Wakidai Mda wao WA Mabadiriko umewadia Mnyalu kutengana Na Nduguze kisa Mali kujiona Tahari apitapo kila Mahari Baba mama maswali mpenzi naye Maswali😂😂😂😂😂Ilikuwa Pambe Sana Kamwene Mnyaluu

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa76014 ай бұрын

    namkumbuka mike tee cbe..mtu poa sana...alikua na demu wake eva..alikua anajisikia balaa eva ss hv mlevi mbwa morogoro😢

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    4 ай бұрын

    Hahaaa uyo eva karingia watu kashindwa kuiringia pombe😂😂😂

  • @arlonmwaka8077

    @arlonmwaka8077

    4 ай бұрын

    😂😂

  • @abubakarkassanura3515

    @abubakarkassanura3515

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @dicksonabdon656
    @dicksonabdon6564 ай бұрын

    kaka unatunyima haki za msingi interview siku hizi zinakuwa nusu nusu tunaomba tuangalie kwa jicho la tatu

  • @John-ky4cx
    @John-ky4cx4 ай бұрын

    Mike Tee Mnyalu, kitambo sana

  • @salumjumah5648
    @salumjumah56484 ай бұрын

    Mike T mnyalu

  • @francismwakalile2310
    @francismwakalile23104 ай бұрын

    Jabil apa amebaki D Knob

  • @MrishoMohamed-ey5zf

    @MrishoMohamed-ey5zf

    4 ай бұрын

    Bado wengi kaka suma g vituko uswahilini

  • @user-cu4er9oy2q
    @user-cu4er9oy2q4 ай бұрын

    Kuishi na wanyalu inahitaji moyo mugumu moyo paka kama huwezi unaweza kunywa sumu,

  • @stevenmbosa99

    @stevenmbosa99

    4 ай бұрын

    Kwanini unasema hivo?

  • @frankkinyaiya.8217

    @frankkinyaiya.8217

    3 ай бұрын

    Huo n moja wa mstari uliopo kweny nyimbo yake ya HALI HALISI aliomshirikisha mkongwe mwanadada LADY JAY DEE

  • @josephk90
    @josephk904 ай бұрын

    Interview ya mwaka gani hii Mike anataka kukutana na Rais JPM?😮

  • @haidarykufakunoga8869

    @haidarykufakunoga8869

    4 ай бұрын

    Nadhani hii INTERVIEW ni ya Kitambo saana ila haikuwa Aired kwa sababu Mbalimbali. But all in all bado ujumbe umefika AU? 🙏🙏🙏

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin2754 ай бұрын

    Interview za wasanii wa zamani ziko poa, hawa wa sahvi vichwa vibovu

  • @amoskagika8884
    @amoskagika88844 ай бұрын

    Hii interview ya lini Jabir naona anatajwa Hayati Magufuli

  • @SebastianDaniel-es4rf

    @SebastianDaniel-es4rf

    4 ай бұрын

    Sikiliza madin achan n usinich huo hata ukiambiwa y leo itakusaidia nn

  • @amoskagika8884

    @amoskagika8884

    4 ай бұрын

    @@SebastianDaniel-es4rf duuuh ndugu yangu mbona makasiriko

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj64744 ай бұрын

    Kuvi big up show yako ni fascinating ila hakikisha unauliza na sasa msanii yuko wapi na anafanya nini

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    4 ай бұрын

    Nadhani muwe mnawafautilia tu hawa wasanii Kama mnawapenda sababu Mike ni kiongozi wa juu wa Chama cha muziki wa kizazi kipya (TUMA) na tunashare mengi so kwa hapo nkimuulzia yuko wapi nadhani haikawi sawa sababu watu wake wananjua anachofanya kwa sasa ndugu

  • @shabanponera2895

    @shabanponera2895

    4 ай бұрын

    Daaah! We presenter unazingua sasa, Sasa tutawafatilia wapi kama sio kwenye vipindi kama hivi?

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    4 ай бұрын

    @@KuviFacts no bro mi ni die hard fan wa vipindi vyako sizungumzi Mike t anejulikana yuko wapi vipi kina pig black na wengine wengi ulowahoji ambao hatujui wanafanya nini sasa nasema hivyo coz iyo ni observation yangu hao watu tumekua tangu wadogo tukiwapenda so bado tunataka hata kujua recently nini wanafanya apart from music ambao pretty much Hawako tena kwenye spot light.

  • @Isy9146

    @Isy9146

    4 ай бұрын

    ​@@fahadfaraj6474 hayo ni maisha binafsi brother so wengine hawapendi izo mambo

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    4 ай бұрын

    @@Isy9146 kumuuliza mtu sasa unajishughulisha na nini na akajibu nalima au nafuga kuku nayo ni shida?

Келесі