THE CLASSIC MIKE TEE 1: MASTER J ALINITIMUA STUDIO/MIAKA 26 KWENYE GAME/BEEF NA ADILI
Moja ya Rappers waliopata mafaniko makubwa Bongo ni Mike Tee ambae alikua na style ya kipekee kabisa,lakini nyuma ya mafanikio yake kuna hadithi za kusisimua,hii ni sehemu fupi ya maisha yake.
Пікірлер: 78
Yuko smart sana ...#Wanyalu tunavyoishi#🎶 P.Funk ni mwongozaji mzuri tangu mpk Sasa....Jamaa ana sound kama One the incredible
That's true you are legend who brought bongo flavour to limelight your number one fun from Kenya since 2000
Back in the Days Mikocheni kwa Nyerere 2003 or 2004 nilikua nakaa nae karibu Aisee nilikua nikimuona anatoka anatembea kwenda Dukani Nilikua namshangaa sanaaa 😂😂😂
@victaboy7273
4 ай бұрын
Ulikuwa mshamba wewe
Kamwene mnogage wewe❤❤❤❤🎉🎉🎉mnyaru
Mike Mwakatundu home boy🎉🎉🎉🎉🎉
Mike Mwakatundu classmate wangu wewe ni LEGEND katika Tasnia hii and I'm Proud of you. 🙏🙏🙏🙏
@benjaminolubuyi3353
2 ай бұрын
Wonderful broh
Albamu yangu ya kununua ilikuwa ya MiKe Tee, tukichanga hela tukiwa shule olevel na kwenda mtoto mmoja alikuwa wakichua sana kwenda kusikiliza.
Wana malenga wanalia machozi wakihofia Muda wa mabadiliko umewadia Mnyaru kutengana na nduguze kisa Mali Kujiona fahari Apitapo kila maali
Nakukubali sana Mike T #Since nimekujua mwamba kweli unajua Bonge la msanii
Mnyama sana MikeT
🔥🔥🔥 kubwa kuliko
Mike Tee, smart!
ni kweli mike tee alikua moto ssna enzi zile
Namkubali sana uyu jamaa
Mnyarooo
Unazingua bro weka interview nzima
Kumbe ni ya muda sana, JPM in there
Kuvi tuletee SOS -B aliyekua anawakilisha Mabaibo[MABIBO]😃😃😃
🇰🇪Nilipenda sana lyrics za Mike Tee. Asante kumleta. Naomba sana kumcheck pia D knob nilipenda different style yake ya flow
@francismboma6839
4 ай бұрын
D knob alikwsha okoka na hajiusishi na miziki
@VisualsByEnokaOti
4 ай бұрын
@@francismboma6839 Asante kwa taarifa hii
@SleepyBooks-oj3gu
4 ай бұрын
Ila sio zambi aje tu tumsikie d knob elim ya mtaaa
@joshuamuro9494
4 ай бұрын
@@SleepyBooks-oj3gutayari alishakuja itafute interview yake
💥💥💥
Mike ❤
❤
The Legendary mwenyewe mzee wa Manow Seminary
@kazikazini1042
4 ай бұрын
The legend
Mike T unaongea sana mzee subiria masuali bhana ah
Ane na p mawenge
Hata kama myalu nasikika kwenye tv
@benjaminolubuyi3353
2 ай бұрын
Hata kama naonekana kwenye TV
Hao ndoo walikua wasanii sasa
Noumaa sana
Hapo Hyati Magufuli sijajelewa ......interview inaonekana ya kitambo sanaaaa daaaah sio poa
@smarty1064
4 ай бұрын
ilkua kwenye album naona wameamua kuiacha
Anarap sana uyu jamaa
Master Jay Kawaida Yake Kudhalau Watu Kumbuka Hata Harmonizer Alimfanyia Hivi Hivi
Nimekaa NAYE kata moja......kamwenee be
mimi mwenyewe nilifika kwake master j kwenye studio yake pembeni kurikua na kontena masaki kwao mastar j arinipoteza ira mpaka leo naandika music master kuma sana
Kama 😂😂😂
Mlete juma nature bana 😢😢😢
Kama,,,tunaitaji video
Ukimuona Master J mwambie kamwene mnogage
Master jay anaziguaga sana hanaga subra c unaona ata kw Jeshi na saii Jeshi amekua mkubwa
#KUVI na #WASIKILIZAJI na #WATAZAMAJI kama Mimi ukisikiliza #WASANII wengi utagundua #PFUNK ni Mtu aliwasaidia na kuwatoa #WASANII wengi sana . ..
Master-j kavu kwl yaaani😂😂😂😂😂😂😂😂
Kipindi hiko kingereza kukikuta kwenye lyrics ya kibongo ni kama imegency tu......bado CIO issue hata makocho sio wengi kama SAA hii.
KuviFacts naomba ttuleetee na FEROOZ-KIZEE
@KuviFacts
4 ай бұрын
Pitia interview za nyuma Ndio ya kwanza Kbs kwenye hii channel
Tafadhali mlete pigi black
Wanamalenga Wanalia Machozi ya Kuhofia Wakidai Mda wao WA Mabadiriko umewadia Mnyalu kutengana Na Nduguze kisa Mali kujiona Tahari apitapo kila Mahari Baba mama maswali mpenzi naye Maswali😂😂😂😂😂Ilikuwa Pambe Sana Kamwene Mnyaluu
namkumbuka mike tee cbe..mtu poa sana...alikua na demu wake eva..alikua anajisikia balaa eva ss hv mlevi mbwa morogoro😢
@fahadfaraj6474
4 ай бұрын
Hahaaa uyo eva karingia watu kashindwa kuiringia pombe😂😂😂
@arlonmwaka8077
4 ай бұрын
😂😂
@abubakarkassanura3515
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
kaka unatunyima haki za msingi interview siku hizi zinakuwa nusu nusu tunaomba tuangalie kwa jicho la tatu
Mike Tee Mnyalu, kitambo sana
Mike T mnyalu
Jabil apa amebaki D Knob
@MrishoMohamed-ey5zf
4 ай бұрын
Bado wengi kaka suma g vituko uswahilini
Kuishi na wanyalu inahitaji moyo mugumu moyo paka kama huwezi unaweza kunywa sumu,
@stevenmbosa99
4 ай бұрын
Kwanini unasema hivo?
@frankkinyaiya.8217
3 ай бұрын
Huo n moja wa mstari uliopo kweny nyimbo yake ya HALI HALISI aliomshirikisha mkongwe mwanadada LADY JAY DEE
Interview ya mwaka gani hii Mike anataka kukutana na Rais JPM?😮
@haidarykufakunoga8869
4 ай бұрын
Nadhani hii INTERVIEW ni ya Kitambo saana ila haikuwa Aired kwa sababu Mbalimbali. But all in all bado ujumbe umefika AU? 🙏🙏🙏
Interview za wasanii wa zamani ziko poa, hawa wa sahvi vichwa vibovu
Hii interview ya lini Jabir naona anatajwa Hayati Magufuli
@SebastianDaniel-es4rf
4 ай бұрын
Sikiliza madin achan n usinich huo hata ukiambiwa y leo itakusaidia nn
@amoskagika8884
4 ай бұрын
@@SebastianDaniel-es4rf duuuh ndugu yangu mbona makasiriko
Kuvi big up show yako ni fascinating ila hakikisha unauliza na sasa msanii yuko wapi na anafanya nini
@KuviFacts
4 ай бұрын
Nadhani muwe mnawafautilia tu hawa wasanii Kama mnawapenda sababu Mike ni kiongozi wa juu wa Chama cha muziki wa kizazi kipya (TUMA) na tunashare mengi so kwa hapo nkimuulzia yuko wapi nadhani haikawi sawa sababu watu wake wananjua anachofanya kwa sasa ndugu
@shabanponera2895
4 ай бұрын
Daaah! We presenter unazingua sasa, Sasa tutawafatilia wapi kama sio kwenye vipindi kama hivi?
@fahadfaraj6474
4 ай бұрын
@@KuviFacts no bro mi ni die hard fan wa vipindi vyako sizungumzi Mike t anejulikana yuko wapi vipi kina pig black na wengine wengi ulowahoji ambao hatujui wanafanya nini sasa nasema hivyo coz iyo ni observation yangu hao watu tumekua tangu wadogo tukiwapenda so bado tunataka hata kujua recently nini wanafanya apart from music ambao pretty much Hawako tena kwenye spot light.
@Isy9146
4 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 hayo ni maisha binafsi brother so wengine hawapendi izo mambo
@fahadfaraj6474
4 ай бұрын
@@Isy9146 kumuuliza mtu sasa unajishughulisha na nini na akajibu nalima au nafuga kuku nayo ni shida?