MIKE TEE ALINIZINGUA /BORA PEKE YANGU/SIKUPENDA ANTI VIRUS ILIVOGEUKA KUWA SIASA /NILIMTISHIA DMX
Adili Chapakazi ni moja ya wanahiphop wa siku nyingi ambae pia alikua ni muongozaji wa videos aliefanya zaidi ya videos 300 za muziki ,Hii ni sehemu ya maisha yake ya kisanaa akionge na Jabir Saleh 'kuvichaka'
Пікірлер: 46
After almost 20 years eti ndo najua kua Bodea ndo anasema “Lonely me”🔥🔥🔥🔥
@samwelmasssawe1767
Жыл бұрын
Dahh ebhana kumbe.. Na mimi nimejua leo baada ya kukuta umeandika hapa
The RBG wristband Revolutionary✊🏿
Tunaomba huu uwe utaratibu endelevu maana kina kipindi ulianza kuweka kwente channel ya youtube ya Etv baadae ukaacha hapa sasa kk uendelee kuweka kila kipindi👏
Adili …. I never new how legendary you are to the Bongo Music industry….. big up bro..
Adilli is so real
Wasnaii haw walikuwa na elim mbya,yana wamesoma mnooooo 🇹🇿🔥🔥
Adili Chapakazi...🇹🇿🎤🎵🎶🎥🎬📺💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥
Hiindo history isiyofutika itabaki kizazi Hadi kizazi ✊👮
Dah bro Adili yupo smart Sana
Hii channel ndiyo yenyewe sasa 🙌🏿🙌🏿✊🏿🖤
Hisabati The Great, Mbunifu ka' Fundi Feki..Big Up to brother Adili
@magesawambura3041
Жыл бұрын
Unalijua dude hilo mzee 🙌
@asueddy1465
Жыл бұрын
@@magesawambura3041 eeeh bro linaitwa Jawabu
Nini DMX? rip Early Simons Yonkers Legend.
Mkongwe Adili hisabati big up bonge la interview
Big up Kwa mike t
Dope interview
Asante sanaa kaka umekata kiu uangu ya haya mahojiano asante sanaaaa
Chapakazi 🙌
Nice interview na madini mengine kuhusu mziki wa Bongo fleva.
Respect brother @Adilichapakazi
Adili kind like dizasta vina
Safi jabir
Huu Wimbo sio HII NYIMBO Tunapeana maarifa kidogo
Classic
Daah aisee
Eti mng'ao bila mgao ni kifo Cha adhuhur😀😀😀😀
Hisabati🔥🔥🔥🔥🔥
Asante kuvi
💯💯
Adili is a regend
💯💯💯💯💯
Majani alikuwa anatumia BMW ambayo ilikuwa na muziki hatari. Nafarijika kuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuusikiliza huu wimbo.
Jamaa anaongea kirembo sana, HipHop gani hii sasa
You have album bro !
Mlete Salu T Jabir
@aidanaiken8147
Жыл бұрын
RIP Salu T, the request didn't work 😢
Interview nzuri sana bwana mdogo @Adili ameshusha madini. @Jabir una conduct interview vizuri napenda unavyo uliza swali alafu unamuacha jamaa anaelezea story hata kama una follow up question sijaona ukimkatiza, I think na wengine wajifunze jinsi ya kufanya interview kama hivi. Kuna dada mmoja yupo radio moja hivi huwa akifanya interview anaruka ruka alafu maswali yake ya hovyo sana, Natamani kumtaja hapa, ila basi acha tu.
Mbeya Home of the Hip Hop vichwa vipi vikali vili set standard zao Green City
@user-rm3qx8jw5b
4 ай бұрын
Aisee kweli, halafu wote ni real na genius sana. Sitoki Mbeya ila nawakubali sana watu wa Mbeya ❤
Ant virus movement itengenezewe Movie.
Brother jabir naomba tupostie Ile interview yako na buff g 🙏🏼... upload hata kwa account hii
Eti mng'ao bila mgao ni kifo Cha adhuhur😀😀😀😀
@yassinmdoe3884
Жыл бұрын
Bro adiri ludi tena bana