THE CLASSIC GANGWE EP 2 PT 2 :BEEF LA INSPEKTA NA MWANA FA /KUVUNJIKA NA KURUDI KWA GANGWE MOBB
Sehemu ya pili ya maongezi ya Episode 2 ya Gangwe Mobb ndani ya The Classic na Jabir Saleh Kuvichaka
Жүктеу.....
Пікірлер: 15
@user-hp2ws7jr5e6 ай бұрын
Gangwe ndio walio Fanya nikaipenda bongo fleva
@user-se5vv9yx1n7 ай бұрын
😂😂miaka zaidi ya 20 nasikilizaga hiyo ngoma na necessary noise,ckujuaga inspector aliimba nini na bado nlikuwa napenda maneno yalivopangika,ila Leo ndo nmeelewa,, big up sana insp.huo ndo uandishi bora
@contempo_builders9 ай бұрын
Ilikuwa nzuri sana hi.
@cristiannyonda78999 ай бұрын
Nakubali sana wazee wa ngangari kinoma
@reymekay19 ай бұрын
Imenichoma sanaa hii interview esp sehem ya chorus ya necessary noise
@reymekay19 ай бұрын
Mtoto wa geti ni soo nambari one
@amriseleman93959 ай бұрын
Achana na mtoto wa geti kali kabisa. Hapo nikikuwa form one 2001
@mtambogeof56489 ай бұрын
Time ya dark master au g solo pia waletwe watupe story
@ramadhankassim72059 ай бұрын
Body language ya luteni kalama inaonekana hayuko sawa
@svt3
9 ай бұрын
@ramadhankassim7205: kwa kweli inaonekana kama iko na wasiwasi, anaumwa,na hajielewe kweli akili iko nazo hapo haziko timamu
@sharifukitori239
9 ай бұрын
Ukimshtua na swali juu ya kitu ulichotoka kuongelea muda huo huo anaweza akajibu kitu kingine tofauti na ulichosema.
@patrickjulius5951
7 ай бұрын
Kweli ayuko sawa mawazo
@reymekay19 ай бұрын
Ebana eeeh, wakongwe wenzangu
@superhemed75907 ай бұрын
Ruge alimfanya Inspekta astuck ila Angekuwa mbali sn ndg yetu huyu.
@innocentmathias86689 ай бұрын
Bro walete wale washkaji walikuwa wanaitwa "Wawili
Пікірлер: 15
Gangwe ndio walio Fanya nikaipenda bongo fleva
😂😂miaka zaidi ya 20 nasikilizaga hiyo ngoma na necessary noise,ckujuaga inspector aliimba nini na bado nlikuwa napenda maneno yalivopangika,ila Leo ndo nmeelewa,, big up sana insp.huo ndo uandishi bora
Ilikuwa nzuri sana hi.
Nakubali sana wazee wa ngangari kinoma
Imenichoma sanaa hii interview esp sehem ya chorus ya necessary noise
Mtoto wa geti ni soo nambari one
Achana na mtoto wa geti kali kabisa. Hapo nikikuwa form one 2001
Time ya dark master au g solo pia waletwe watupe story
Body language ya luteni kalama inaonekana hayuko sawa
@svt3
9 ай бұрын
@ramadhankassim7205: kwa kweli inaonekana kama iko na wasiwasi, anaumwa,na hajielewe kweli akili iko nazo hapo haziko timamu
@sharifukitori239
9 ай бұрын
Ukimshtua na swali juu ya kitu ulichotoka kuongelea muda huo huo anaweza akajibu kitu kingine tofauti na ulichosema.
@patrickjulius5951
7 ай бұрын
Kweli ayuko sawa mawazo
Ebana eeeh, wakongwe wenzangu
Ruge alimfanya Inspekta astuck ila Angekuwa mbali sn ndg yetu huyu.
Bro walete wale washkaji walikuwa wanaitwa "Wawili