DUDU BAYA AMCHANA MANARA KUHUSU MAKONDA| PUNGUZENI DHARAU SASA MMEUMBUKA

Спорт

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 108

  • @aishaissa2512
    @aishaissa25128 ай бұрын

    Napenda huyu jamaa huwa nimkweli sana🎉🎉🎉dudu baya❤❤

  • @nazirjorgedasilva
    @nazirjorgedasilva8 ай бұрын

    Dudu baia salute.mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @augustinhopastory1142
    @augustinhopastory11428 ай бұрын

    NO BAD ENERGY, ALL THE WAY UP HOMEBOY @Dudubaya

  • @dassustephen731
    @dassustephen7318 ай бұрын

    Sikuwahi kudhani Dudubaya ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kujieleza.Hongera yake

  • @user-th9dr8uj3i
    @user-th9dr8uj3i8 ай бұрын

    konki the dudu baya pole Sana kaka mwenyezimungu mkubwa atakulinda Amina ,Mimi wako master karongo king of lindi

  • @user-we2zc8sp7r
    @user-we2zc8sp7r8 ай бұрын

    Hongera Sana konk kwa kusema ukweli

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta8 ай бұрын

    Pole sana na Hongera sana wakunyumba, tuko pamoja!

  • @saidaal1679
    @saidaal16798 ай бұрын

    😂😂😂ila konki bwana.😂😂 machawa popote mlipo kula chuma hicho kutoka kwa konki master leo umenichekesha sana😂😂😂

  • @OmanOman-bx5du

    @OmanOman-bx5du

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-vl2ux2wl2l
    @user-vl2ux2wl2l8 ай бұрын

    Konk master upooo ndugu yanguuu, G nice hapa mwanangu.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40548 ай бұрын

    Kutoka Ugiriki pole sana baharia dudu baya tupo pamoja mzee wakutubuatumbu😂😂😂

  • @user-yn2lr9qh9y

    @user-yn2lr9qh9y

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-we2zc8sp7r
    @user-we2zc8sp7r8 ай бұрын

    Pole Sanaa ngoshaaa seba agopeje❤

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar43363 ай бұрын

    WEWE MTANGAZAJI YOU ARE SO GOOD / MASWALI YAKO NI YA MAANA SANA KWAKWELI KEEP IT UP MAN KONK MASTER I AM INSPERED WITH YOUR INTERVIEWS YOU ARE THE MASTER OF THE KONK-THE KONK MASTER

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda60798 ай бұрын

    DUDU BAYA UNA KITU CHA KIMUNGU NDANI YAKO AMBACHO WATU WENGI HAWAKIONI NAKUPENDA SANA NAKUKUBALI SANA ❤❤❤❤

  • @serianjamal8254
    @serianjamal82548 ай бұрын

    God bless you Dudubaya and may your mother live longer 🙏 ❤️ yaani maneno yako mengi yamenigusa bro😊

  • @williammkoba1895
    @williammkoba18958 ай бұрын

    Brother conk nakukubari sana una imani sana ya Mungu barikiwa sana

  • @damianmwalyego7870
    @damianmwalyego78708 ай бұрын

    Konki anaogopa majukumu, angependa alelewe watoto. Hata hao watoto anaosema ni wake yawezekana aliwaachia mamazao.

  • @SwaumuMussa-xp1zo
    @SwaumuMussa-xp1zo8 ай бұрын

    Konki namkubali sanaaa Gongaaa mezaa yani unapenda sana kucheka mda wote ww happy safiì sana bro Mungu atakupa nguvu utapona

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    8 ай бұрын

    Ila mwijaku ana matako mazuri 😍 😍

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz8 ай бұрын

    Niliwamiss wote Zahir na konk master

  • @piucomuga3375
    @piucomuga33758 ай бұрын

    Respect brooo

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila30388 ай бұрын

    Mwandishi uko poa kwa maswali,konki majibu muruaaaa 🔥🔥

  • @ASTONVILLA_254
    @ASTONVILLA_2546 ай бұрын

    Amen Oili chafu Kama Yesu yupo nasi tuko Konki mara 3

  • @sudiabdi4400
    @sudiabdi44008 ай бұрын

    Jamaa yupo vizuli

  • @khadijahussein5298
    @khadijahussein52988 ай бұрын

    Pole sana dudu baya😔

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma96028 ай бұрын

    Nakupa tano

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff3 ай бұрын

    Konk konk konk master ❤❤

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky8 ай бұрын

    Mmmmh hapo clouds amewasingizia tena Dahuu yupo very careful kwenye kipindi chao tena huwa ana mdhibiti kweli Mwijaku asije pitiliza kuropoka hata kwa bahati mbaya haijawahi tokea

  • @user-bs4oh4cf1n
    @user-bs4oh4cf1n8 ай бұрын

    Big up mamba👆

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo21208 ай бұрын

    Hapo mwishoni umeongea maneno Konki sana.

  • @saidmajeba9791
    @saidmajeba97918 ай бұрын

    Jamaa huyu ni kichwa na haongei uongo

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp8 ай бұрын

    Ndomaana huyo baba levo mashavu yamemshuka kama mbwa wa wema sepetu

  • @khadijahussein5298

    @khadijahussein5298

    8 ай бұрын

    Ahahahha

  • @Mery-st4nu

    @Mery-st4nu

    8 ай бұрын

    Mungu anakuona 😢

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff3 ай бұрын

    Sasa dudu baya si ufungue kanisa❤❤

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi2118 ай бұрын

    Haji Ana ugonjwa wa ADHD, ugonjwa wa akili huo! Msaidieni akatibiwe. Siyo binadamu wa kawaida au IGP amweke ndani 24/4

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr8 ай бұрын

    Pole sana Dudu baya 😢

  • @barikimakessy9542
    @barikimakessy95428 ай бұрын

    Pole sana ila tafuta mke uoe yeye ndiye angekusaidia mambo ya uani siyo mama yako

  • @emmanuellaurent-uw7ym
    @emmanuellaurent-uw7ym8 ай бұрын

    Angusha piano kali konk achana na ishu za ngumu

  • @bonefacejoseph4850
    @bonefacejoseph48508 ай бұрын

    Baba levo huna lolote kazi kuchunga wanaume wenzako

  • @mohameddabwa7923
    @mohameddabwa79238 ай бұрын

    Mwamba ulitupiwa jini asee usiombe dhumuni wakupoteze mzee nimeshuhudia sana watu kadha walio pitia Hali km hy nanikweli dalili zake miguu kuwaka moto au kutoka jasho

  • @benjaminmartin4548
    @benjaminmartin45488 ай бұрын

    Upo vizuri Ila tafuta mke u owe mama atafurahi zaidi. Uzee unakuja.

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu95708 ай бұрын

    Pole sana dudu baya

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr8 ай бұрын

    Hata wanaume wanapaka bwana. Ndio maana mnakuwa na Ngozi mbaya

  • @stanastana3199
    @stanastana31998 ай бұрын

    Konki umeulizwa mbona huowi jibu inakua ndefu sana bro

  • @fridakakiko1217
    @fridakakiko12178 ай бұрын

    pole sana dudu

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr8 ай бұрын

    Anaongea vizuri, lakini ataleta story ndefu,,badala ya kujibu

  • @HemediAhmedi
    @HemediAhmedi8 ай бұрын

    Puttin babalaooo

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario88958 ай бұрын

    Uwezo wakujisaidia ukiwa umecmama umekua ng'ombe konki

  • @christinainnocent3184
    @christinainnocent31848 ай бұрын

    Na huyu Manara big mouth.kazi yake kudsndia mambo 😂😂😂😂 akisikia Makonda basi basi nae kama ushuzi wa ngomani, akisikia Samia anapura na yeye huyo kadandia anaona kazimwa mdomo na FAT basi kupayuka payuka eee

  • @manarakassimmanara3132

    @manarakassimmanara3132

    8 ай бұрын

    KULIKO mama Yako uchi wake ulivyo kuwa wazi🤫

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray74168 ай бұрын

    konki afya imerudi hongeraaaa !

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja60408 ай бұрын

    Akili nyingi dudubaya

  • @saphinamshana5037
    @saphinamshana50378 ай бұрын

    Pole sana namimi naumwa kama wewe hospitali hawajaona naomba uniambie dawa

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77698 ай бұрын

    Pole sana Konki

  • @frankmganda2424
    @frankmganda24248 ай бұрын

    Konki nakukubali broo

  • @ephraimmakaranga1795
    @ephraimmakaranga17958 ай бұрын

    Lolekunda uko vzr unanikumbuka

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi2558 ай бұрын

    Dudu baya njoo uniowe❤

  • @MrNdanguza

    @MrNdanguza

    8 ай бұрын

    Hahahah

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z8 ай бұрын

    Your right konk,No one know about tomorrow.

  • @danielmarwa3299
    @danielmarwa32998 ай бұрын

    One love mamba

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki26538 ай бұрын

    Pole dudu

  • @Mr.jambotz
    @Mr.jambotz8 ай бұрын

    Mambaaaa

  • @user-xi1pk6ll3e
    @user-xi1pk6ll3e8 ай бұрын

    Mwijaku kumbe Huwa anapakwa mafuta?Alafu anageuza eti anapaka mwenyewe.

  • @pastorprospermlembasayunip500
    @pastorprospermlembasayunip5008 ай бұрын

    Safi sana Dudu baya

  • @nunuuali5316
    @nunuuali53168 ай бұрын

    Kuna kaka wa Ukimwi anaitwa Hepatite acha kabisa

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    8 ай бұрын

    ni noma

  • @Ramadhaningamba
    @Ramadhaningamba8 ай бұрын

    Jamaa afichi kitu

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba93878 ай бұрын

    Mambaaaaaaa

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa6168 ай бұрын

    😂😂😂😂 ndomaana kesi hazikuishi

  • @eng.mallya9532
    @eng.mallya95328 ай бұрын

    Dudu baya ana akili kiwango kikubwa sana

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome16588 ай бұрын

    Dudu hapo hukusikiliza vizuri ilikuwa ni miguu siyo makalio

  • @user-we2zc8sp7r
    @user-we2zc8sp7r8 ай бұрын

    Acheni ushamba kwani binadamu anakosaje mabadiliko kuwa mvi ni kawaidaa kwa binadamu musiwe wajinga kwani nyie hamtabadilika au kuzeeka

  • @user-gj7dn7vv5s

    @user-gj7dn7vv5s

    8 ай бұрын

    mafala sana unachekaje uzee au ugonjwa,,..?

  • @abelmbijima4324

    @abelmbijima4324

    8 ай бұрын

    Safisana binadamu kuugua au kupungua ndiyo kawaida kwanza hawa wanafikiri ukimwi lazima ukonde? Watu wameathirika na miili yao iko safi ugonjwa kwa mwenzako leo kesho wewe

  • @bernardmpakasi9729

    @bernardmpakasi9729

    8 ай бұрын

    52:31 52:33

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps8 ай бұрын

    The Dudu, nakukumbusha kwamba kuna mamba wanaishi baharini. Ila pole sana

  • @selemanshaban7496
    @selemanshaban74968 ай бұрын

    Mzee wa fact

  • @EvanceBujiku-dc9rh
    @EvanceBujiku-dc9rh8 ай бұрын

    Safi dudu baya konki

  • @mussakamando2678
    @mussakamando26788 ай бұрын

    Waandishi stupid kabisa.😢 Hilo swali la kumuuliza kama alipokuwa anaumwa alikuwa na familia yake ama alikuwa peke yake ni swali la kipumbavu!!

  • @adambairu8362
    @adambairu83627 ай бұрын

    Makonda ana Nini? Nyote nyie ni Wauza Unga, Punguzeni hizo. Mnavyozidi kumuandama na maneno ya hovyo,ndivyo anazidi kupendwa na watu wengi. Mtaandika mpaka mkonde.

  • @subirajohn728
    @subirajohn7288 ай бұрын

    KONK KONK KONK MASTER ! POLE SANA

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja70878 ай бұрын

    Waafrica kichwani hamna konki ujikomboe akili kwanza

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97438 ай бұрын

    Nimecheka wallah kupaka matako mafuta na huyu kumzalia mondi

  • @abdulbora812
    @abdulbora8128 ай бұрын

    😅😅

  • @user-xz5xe1ye2s
    @user-xz5xe1ye2s8 ай бұрын

    Dudu baya amekua ssaiv

  • @eddymwaifunga8361
    @eddymwaifunga83618 ай бұрын

    Una Baya konki

  • @JuniorMasanyiwa
    @JuniorMasanyiwa20 сағат бұрын

    Dudu ni jembe tena hembe la mambo ziwa Victoria

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @rajabunyambi541
    @rajabunyambi5418 ай бұрын

    konk msemakweli

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr8 ай бұрын

    Acha pombe

  • @husseinkonz5192

    @husseinkonz5192

    8 ай бұрын

    Kwel ngoja afeli figo

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda50058 ай бұрын

    Dah! Pombe noma jamaa kachakaa vibaya 😂😂😂😂

  • @NGULYATI
    @NGULYATI8 ай бұрын

    Putini

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu8 ай бұрын

    Kaka zahiri mwambie huyo kaka minataka anioe

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    8 ай бұрын

    Njoo nikuoe mimi ila una tako?

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    8 ай бұрын

    Uwe na matako mazuri kama ya mwijaku

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    8 ай бұрын

    Haraka nakuletea posa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55598 ай бұрын

    konk master kadata mgonjwa wa pumu manara yupo imara kuriko huyo bashite

  • @tatotato506

    @tatotato506

    8 ай бұрын

    18:26 18:31 18:47

  • @tatotato506

    @tatotato506

    8 ай бұрын

    WENAE AKILI HUNA ET MANARA NAMAKONDA MANARA IMALA NDOA TUU ZINAMSHINDA KILA MWAKA ANAOWA NAKUACHA

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan83588 ай бұрын

    Yani umri huo huna mke wala mtt duuuh

  • @gabrielmoses6860

    @gabrielmoses6860

    8 ай бұрын

    Watoto anao Aisha!!! Kuna Mariam Binti mkubwa Sana na kijana mmoja wa kiume mkubwa umri wa kuoa,,, kwa hao ndio ninao wajua

  • @zulekhasaud483

    @zulekhasaud483

    8 ай бұрын

    Aisharamadan8358 hebu jaribu kumaliza interview ndio unakomenti sio wacomment wakati kajieleza watt alio kuwa nao wote acha kudandia gari mbele 😂😂😂😂😂

  • @timothymikola2317

    @timothymikola2317

    8 ай бұрын

    Sio mtoto tu anawajukuu

  • @tatotato506

    @tatotato506

    8 ай бұрын

    ​@@zulekhasaud483 KUNA WATU WANALOPOKA TUU BILA KUSIKILIZA

Келесі