KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Жүктеу.....
Пікірлер: 108
@aishaissa25128 ай бұрын
Napenda huyu jamaa huwa nimkweli sana🎉🎉🎉dudu baya❤❤
@nazirjorgedasilva8 ай бұрын
Dudu baia salute.mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@augustinhopastory11428 ай бұрын
NO BAD ENERGY, ALL THE WAY UP HOMEBOY @Dudubaya
@dassustephen7318 ай бұрын
Sikuwahi kudhani Dudubaya ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kujieleza.Hongera yake
@user-th9dr8uj3i8 ай бұрын
konki the dudu baya pole Sana kaka mwenyezimungu mkubwa atakulinda Amina ,Mimi wako master karongo king of lindi
@user-we2zc8sp7r8 ай бұрын
Hongera Sana konk kwa kusema ukweli
@MihayoMageta8 ай бұрын
Pole sana na Hongera sana wakunyumba, tuko pamoja!
@saidaal16798 ай бұрын
😂😂😂ila konki bwana.😂😂 machawa popote mlipo kula chuma hicho kutoka kwa konki master leo umenichekesha sana😂😂😂
@OmanOman-bx5du
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-vl2ux2wl2l8 ай бұрын
Konk master upooo ndugu yanguuu, G nice hapa mwanangu.
@kilogreekachananawatuwasio40548 ай бұрын
Kutoka Ugiriki pole sana baharia dudu baya tupo pamoja mzee wakutubuatumbu😂😂😂
@user-yn2lr9qh9y
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-we2zc8sp7r8 ай бұрын
Pole Sanaa ngoshaaa seba agopeje❤
@moodyzanzibar43363 ай бұрын
WEWE MTANGAZAJI YOU ARE SO GOOD / MASWALI YAKO NI YA MAANA SANA KWAKWELI KEEP IT UP MAN KONK MASTER I AM INSPERED WITH YOUR INTERVIEWS YOU ARE THE MASTER OF THE KONK-THE KONK MASTER
@thomaskiponda60798 ай бұрын
DUDU BAYA UNA KITU CHA KIMUNGU NDANI YAKO AMBACHO WATU WENGI HAWAKIONI NAKUPENDA SANA NAKUKUBALI SANA ❤❤❤❤
@serianjamal82548 ай бұрын
God bless you Dudubaya and may your mother live longer 🙏 ❤️ yaani maneno yako mengi yamenigusa bro😊
@williammkoba18958 ай бұрын
Brother conk nakukubari sana una imani sana ya Mungu barikiwa sana
@damianmwalyego78708 ай бұрын
Konki anaogopa majukumu, angependa alelewe watoto. Hata hao watoto anaosema ni wake yawezekana aliwaachia mamazao.
@SwaumuMussa-xp1zo8 ай бұрын
Konki namkubali sanaaa Gongaaa mezaa yani unapenda sana kucheka mda wote ww happy safiì sana bro Mungu atakupa nguvu utapona
@Pedeshee01
8 ай бұрын
Ila mwijaku ana matako mazuri 😍 😍
@aginsagins-jf4vz8 ай бұрын
Niliwamiss wote Zahir na konk master
@piucomuga33758 ай бұрын
Respect brooo
@patrickmukundichalamila30388 ай бұрын
Mwandishi uko poa kwa maswali,konki majibu muruaaaa 🔥🔥
@ASTONVILLA_2546 ай бұрын
Amen Oili chafu Kama Yesu yupo nasi tuko Konki mara 3
@sudiabdi44008 ай бұрын
Jamaa yupo vizuli
@khadijahussein52988 ай бұрын
Pole sana dudu baya😔
@kitutujuma96028 ай бұрын
Nakupa tano
@DansonMtambi-fq2ff3 ай бұрын
Konk konk konk master ❤❤
@OnlyRuky8 ай бұрын
Mmmmh hapo clouds amewasingizia tena Dahuu yupo very careful kwenye kipindi chao tena huwa ana mdhibiti kweli Mwijaku asije pitiliza kuropoka hata kwa bahati mbaya haijawahi tokea
@user-bs4oh4cf1n8 ай бұрын
Big up mamba👆
@williamuphilipo21208 ай бұрын
Hapo mwishoni umeongea maneno Konki sana.
@saidmajeba97918 ай бұрын
Jamaa huyu ni kichwa na haongei uongo
@serekachacha-zg2vp8 ай бұрын
Ndomaana huyo baba levo mashavu yamemshuka kama mbwa wa wema sepetu
@khadijahussein5298
8 ай бұрын
Ahahahha
@Mery-st4nu
8 ай бұрын
Mungu anakuona 😢
@DansonMtambi-fq2ff3 ай бұрын
Sasa dudu baya si ufungue kanisa❤❤
@AdamSaffi2118 ай бұрын
Haji Ana ugonjwa wa ADHD, ugonjwa wa akili huo! Msaidieni akatibiwe. Siyo binadamu wa kawaida au IGP amweke ndani 24/4
@MawazoMwamba-fz5hr8 ай бұрын
Pole sana Dudu baya 😢
@barikimakessy95428 ай бұрын
Pole sana ila tafuta mke uoe yeye ndiye angekusaidia mambo ya uani siyo mama yako
@emmanuellaurent-uw7ym8 ай бұрын
Angusha piano kali konk achana na ishu za ngumu
@bonefacejoseph48508 ай бұрын
Baba levo huna lolote kazi kuchunga wanaume wenzako
@mohameddabwa79238 ай бұрын
Mwamba ulitupiwa jini asee usiombe dhumuni wakupoteze mzee nimeshuhudia sana watu kadha walio pitia Hali km hy nanikweli dalili zake miguu kuwaka moto au kutoka jasho
@benjaminmartin45488 ай бұрын
Upo vizuri Ila tafuta mke u owe mama atafurahi zaidi. Uzee unakuja.
@chandeyusufu95708 ай бұрын
Pole sana dudu baya
@NR-ll4sr8 ай бұрын
Hata wanaume wanapaka bwana. Ndio maana mnakuwa na Ngozi mbaya
@stanastana31998 ай бұрын
Konki umeulizwa mbona huowi jibu inakua ndefu sana bro
@fridakakiko12178 ай бұрын
pole sana dudu
@NR-ll4sr8 ай бұрын
Anaongea vizuri, lakini ataleta story ndefu,,badala ya kujibu
@HemediAhmedi8 ай бұрын
Puttin babalaooo
@amedeuskimario88958 ай бұрын
Uwezo wakujisaidia ukiwa umecmama umekua ng'ombe konki
@christinainnocent31848 ай бұрын
Na huyu Manara big mouth.kazi yake kudsndia mambo 😂😂😂😂 akisikia Makonda basi basi nae kama ushuzi wa ngomani, akisikia Samia anapura na yeye huyo kadandia anaona kazimwa mdomo na FAT basi kupayuka payuka eee
@manarakassimmanara3132
8 ай бұрын
KULIKO mama Yako uchi wake ulivyo kuwa wazi🤫
@hashimmziray74168 ай бұрын
konki afya imerudi hongeraaaa !
@emmanuelmasanja60408 ай бұрын
Akili nyingi dudubaya
@saphinamshana50378 ай бұрын
Pole sana namimi naumwa kama wewe hospitali hawajaona naomba uniambie dawa
@kaundasutikaunda77698 ай бұрын
Pole sana Konki
@frankmganda24248 ай бұрын
Konki nakukubali broo
@ephraimmakaranga17958 ай бұрын
Lolekunda uko vzr unanikumbuka
@fahidashishi2558 ай бұрын
Dudu baya njoo uniowe❤
@MrNdanguza
8 ай бұрын
Hahahah
@user-rs4vz2vt9z8 ай бұрын
Your right konk,No one know about tomorrow.
@danielmarwa32998 ай бұрын
One love mamba
@mwarikimwariki26538 ай бұрын
Pole dudu
@Mr.jambotz8 ай бұрын
Mambaaaa
@user-xi1pk6ll3e8 ай бұрын
Mwijaku kumbe Huwa anapakwa mafuta?Alafu anageuza eti anapaka mwenyewe.
@pastorprospermlembasayunip5008 ай бұрын
Safi sana Dudu baya
@nunuuali53168 ай бұрын
Kuna kaka wa Ukimwi anaitwa Hepatite acha kabisa
@kwisa4899
8 ай бұрын
ni noma
@Ramadhaningamba8 ай бұрын
Jamaa afichi kitu
@charlesmpemba93878 ай бұрын
Mambaaaaaaa
@deusisindwa6168 ай бұрын
😂😂😂😂 ndomaana kesi hazikuishi
@eng.mallya95328 ай бұрын
Dudu baya ana akili kiwango kikubwa sana
@dismasjerome16588 ай бұрын
Dudu hapo hukusikiliza vizuri ilikuwa ni miguu siyo makalio
@user-we2zc8sp7r8 ай бұрын
Acheni ushamba kwani binadamu anakosaje mabadiliko kuwa mvi ni kawaidaa kwa binadamu musiwe wajinga kwani nyie hamtabadilika au kuzeeka
@user-gj7dn7vv5s
8 ай бұрын
mafala sana unachekaje uzee au ugonjwa,,..?
@abelmbijima4324
8 ай бұрын
Safisana binadamu kuugua au kupungua ndiyo kawaida kwanza hawa wanafikiri ukimwi lazima ukonde? Watu wameathirika na miili yao iko safi ugonjwa kwa mwenzako leo kesho wewe
@bernardmpakasi9729
8 ай бұрын
52:31 52:33
@controlTheoryChamps8 ай бұрын
The Dudu, nakukumbusha kwamba kuna mamba wanaishi baharini. Ila pole sana
@selemanshaban74968 ай бұрын
Mzee wa fact
@EvanceBujiku-dc9rh8 ай бұрын
Safi dudu baya konki
@mussakamando26788 ай бұрын
Waandishi stupid kabisa.😢 Hilo swali la kumuuliza kama alipokuwa anaumwa alikuwa na familia yake ama alikuwa peke yake ni swali la kipumbavu!!
@adambairu83627 ай бұрын
Makonda ana Nini? Nyote nyie ni Wauza Unga, Punguzeni hizo. Mnavyozidi kumuandama na maneno ya hovyo,ndivyo anazidi kupendwa na watu wengi. Mtaandika mpaka mkonde.
@subirajohn7288 ай бұрын
KONK KONK KONK MASTER ! POLE SANA
@eliamwankenja70878 ай бұрын
Waafrica kichwani hamna konki ujikomboe akili kwanza
@maryamtanzania97438 ай бұрын
Nimecheka wallah kupaka matako mafuta na huyu kumzalia mondi
Пікірлер: 108
Napenda huyu jamaa huwa nimkweli sana🎉🎉🎉dudu baya❤❤
Dudu baia salute.mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
NO BAD ENERGY, ALL THE WAY UP HOMEBOY @Dudubaya
Sikuwahi kudhani Dudubaya ana uwezo mkubwa wa kufikiri na kujieleza.Hongera yake
konki the dudu baya pole Sana kaka mwenyezimungu mkubwa atakulinda Amina ,Mimi wako master karongo king of lindi
Hongera Sana konk kwa kusema ukweli
Pole sana na Hongera sana wakunyumba, tuko pamoja!
😂😂😂ila konki bwana.😂😂 machawa popote mlipo kula chuma hicho kutoka kwa konki master leo umenichekesha sana😂😂😂
@OmanOman-bx5du
8 ай бұрын
😂😂😂😂
Konk master upooo ndugu yanguuu, G nice hapa mwanangu.
Kutoka Ugiriki pole sana baharia dudu baya tupo pamoja mzee wakutubuatumbu😂😂😂
@user-yn2lr9qh9y
8 ай бұрын
😂😂😂😂
Pole Sanaa ngoshaaa seba agopeje❤
WEWE MTANGAZAJI YOU ARE SO GOOD / MASWALI YAKO NI YA MAANA SANA KWAKWELI KEEP IT UP MAN KONK MASTER I AM INSPERED WITH YOUR INTERVIEWS YOU ARE THE MASTER OF THE KONK-THE KONK MASTER
DUDU BAYA UNA KITU CHA KIMUNGU NDANI YAKO AMBACHO WATU WENGI HAWAKIONI NAKUPENDA SANA NAKUKUBALI SANA ❤❤❤❤
God bless you Dudubaya and may your mother live longer 🙏 ❤️ yaani maneno yako mengi yamenigusa bro😊
Brother conk nakukubari sana una imani sana ya Mungu barikiwa sana
Konki anaogopa majukumu, angependa alelewe watoto. Hata hao watoto anaosema ni wake yawezekana aliwaachia mamazao.
Konki namkubali sanaaa Gongaaa mezaa yani unapenda sana kucheka mda wote ww happy safiì sana bro Mungu atakupa nguvu utapona
@Pedeshee01
8 ай бұрын
Ila mwijaku ana matako mazuri 😍 😍
Niliwamiss wote Zahir na konk master
Respect brooo
Mwandishi uko poa kwa maswali,konki majibu muruaaaa 🔥🔥
Amen Oili chafu Kama Yesu yupo nasi tuko Konki mara 3
Jamaa yupo vizuli
Pole sana dudu baya😔
Nakupa tano
Konk konk konk master ❤❤
Mmmmh hapo clouds amewasingizia tena Dahuu yupo very careful kwenye kipindi chao tena huwa ana mdhibiti kweli Mwijaku asije pitiliza kuropoka hata kwa bahati mbaya haijawahi tokea
Big up mamba👆
Hapo mwishoni umeongea maneno Konki sana.
Jamaa huyu ni kichwa na haongei uongo
Ndomaana huyo baba levo mashavu yamemshuka kama mbwa wa wema sepetu
@khadijahussein5298
8 ай бұрын
Ahahahha
@Mery-st4nu
8 ай бұрын
Mungu anakuona 😢
Sasa dudu baya si ufungue kanisa❤❤
Haji Ana ugonjwa wa ADHD, ugonjwa wa akili huo! Msaidieni akatibiwe. Siyo binadamu wa kawaida au IGP amweke ndani 24/4
Pole sana Dudu baya 😢
Pole sana ila tafuta mke uoe yeye ndiye angekusaidia mambo ya uani siyo mama yako
Angusha piano kali konk achana na ishu za ngumu
Baba levo huna lolote kazi kuchunga wanaume wenzako
Mwamba ulitupiwa jini asee usiombe dhumuni wakupoteze mzee nimeshuhudia sana watu kadha walio pitia Hali km hy nanikweli dalili zake miguu kuwaka moto au kutoka jasho
Upo vizuri Ila tafuta mke u owe mama atafurahi zaidi. Uzee unakuja.
Pole sana dudu baya
Hata wanaume wanapaka bwana. Ndio maana mnakuwa na Ngozi mbaya
Konki umeulizwa mbona huowi jibu inakua ndefu sana bro
pole sana dudu
Anaongea vizuri, lakini ataleta story ndefu,,badala ya kujibu
Puttin babalaooo
Uwezo wakujisaidia ukiwa umecmama umekua ng'ombe konki
Na huyu Manara big mouth.kazi yake kudsndia mambo 😂😂😂😂 akisikia Makonda basi basi nae kama ushuzi wa ngomani, akisikia Samia anapura na yeye huyo kadandia anaona kazimwa mdomo na FAT basi kupayuka payuka eee
@manarakassimmanara3132
8 ай бұрын
KULIKO mama Yako uchi wake ulivyo kuwa wazi🤫
konki afya imerudi hongeraaaa !
Akili nyingi dudubaya
Pole sana namimi naumwa kama wewe hospitali hawajaona naomba uniambie dawa
Pole sana Konki
Konki nakukubali broo
Lolekunda uko vzr unanikumbuka
Dudu baya njoo uniowe❤
@MrNdanguza
8 ай бұрын
Hahahah
Your right konk,No one know about tomorrow.
One love mamba
Pole dudu
Mambaaaa
Mwijaku kumbe Huwa anapakwa mafuta?Alafu anageuza eti anapaka mwenyewe.
Safi sana Dudu baya
Kuna kaka wa Ukimwi anaitwa Hepatite acha kabisa
@kwisa4899
8 ай бұрын
ni noma
Jamaa afichi kitu
Mambaaaaaaa
😂😂😂😂 ndomaana kesi hazikuishi
Dudu baya ana akili kiwango kikubwa sana
Dudu hapo hukusikiliza vizuri ilikuwa ni miguu siyo makalio
Acheni ushamba kwani binadamu anakosaje mabadiliko kuwa mvi ni kawaidaa kwa binadamu musiwe wajinga kwani nyie hamtabadilika au kuzeeka
@user-gj7dn7vv5s
8 ай бұрын
mafala sana unachekaje uzee au ugonjwa,,..?
@abelmbijima4324
8 ай бұрын
Safisana binadamu kuugua au kupungua ndiyo kawaida kwanza hawa wanafikiri ukimwi lazima ukonde? Watu wameathirika na miili yao iko safi ugonjwa kwa mwenzako leo kesho wewe
@bernardmpakasi9729
8 ай бұрын
52:31 52:33
The Dudu, nakukumbusha kwamba kuna mamba wanaishi baharini. Ila pole sana
Mzee wa fact
Safi dudu baya konki
Waandishi stupid kabisa.😢 Hilo swali la kumuuliza kama alipokuwa anaumwa alikuwa na familia yake ama alikuwa peke yake ni swali la kipumbavu!!
Makonda ana Nini? Nyote nyie ni Wauza Unga, Punguzeni hizo. Mnavyozidi kumuandama na maneno ya hovyo,ndivyo anazidi kupendwa na watu wengi. Mtaandika mpaka mkonde.
KONK KONK KONK MASTER ! POLE SANA
Waafrica kichwani hamna konki ujikomboe akili kwanza
Nimecheka wallah kupaka matako mafuta na huyu kumzalia mondi
😅😅
Dudu baya amekua ssaiv
Una Baya konki
Dudu ni jembe tena hembe la mambo ziwa Victoria
😂😂😂
konk msemakweli
Acha pombe
@husseinkonz5192
8 ай бұрын
Kwel ngoja afeli figo
Dah! Pombe noma jamaa kachakaa vibaya 😂😂😂😂
Putini
Kaka zahiri mwambie huyo kaka minataka anioe
@Pedeshee01
8 ай бұрын
Njoo nikuoe mimi ila una tako?
@Pedeshee01
8 ай бұрын
Uwe na matako mazuri kama ya mwijaku
@Pedeshee01
8 ай бұрын
Haraka nakuletea posa
konk master kadata mgonjwa wa pumu manara yupo imara kuriko huyo bashite
@tatotato506
8 ай бұрын
18:26 18:31 18:47
@tatotato506
8 ай бұрын
WENAE AKILI HUNA ET MANARA NAMAKONDA MANARA IMALA NDOA TUU ZINAMSHINDA KILA MWAKA ANAOWA NAKUACHA
Yani umri huo huna mke wala mtt duuuh
@gabrielmoses6860
8 ай бұрын
Watoto anao Aisha!!! Kuna Mariam Binti mkubwa Sana na kijana mmoja wa kiume mkubwa umri wa kuoa,,, kwa hao ndio ninao wajua
@zulekhasaud483
8 ай бұрын
Aisharamadan8358 hebu jaribu kumaliza interview ndio unakomenti sio wacomment wakati kajieleza watt alio kuwa nao wote acha kudandia gari mbele 😂😂😂😂😂
@timothymikola2317
8 ай бұрын
Sio mtoto tu anawajukuu
@tatotato506
8 ай бұрын
@@zulekhasaud483 KUNA WATU WANALOPOKA TUU BILA KUSIKILIZA