SUMAYE AJIBU KUHUSU UMILIKI MASHAMBA/ AKATAA VING'ORA/ ALIVYOMGOMEA MKAPA

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Sumaye #Dar24Media

Пікірлер: 53

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Жыл бұрын

    Mh Sumaye kwa sasa ametulia baada ya mama Samia kuingia jengo plot No.1. Hicho Kitambi mzee itakupeleka pabaya

  • @bongo39
    @bongo39 Жыл бұрын

    Huyu mzee mungu anamsubiria kwa hamu kubwa amedhulumu mashamba ya watu wengi sijui hizo ardhi zote alizozizulumu atayafanyia nini wakati hiyohiyo ardhi aliowqdhulumu masikini ndio kesho itayokwenda kumbana tena haoni hata aibu mzee mungu anakusubiria kwa hamu

  • @faridsalehmohamed1230

    @faridsalehmohamed1230

    Жыл бұрын

    Huyu alifukuza watu oysterbay pale alipoamua kujenga nyumba yake mbele mbinafsi sana

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    Жыл бұрын

    @@faridsalehmohamed1230 ni nyumba serikali...

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 Жыл бұрын

    Dar 24 siku hizi mmejipanga sana

  • @maphandeahmed7732
    @maphandeahmed7732 Жыл бұрын

    Hawa ni wezi hawakuwatendea haki taia wa tanzania sio watu wazuri

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Жыл бұрын

    Ulijitahidi Sana Kazi haikuwa rahisi Sana,Nafasi ya Waziri Mkuu Sio ya kitoto.

  • @maphandeahmed7732
    @maphandeahmed7732 Жыл бұрын

    Hao wazee sio waaminifu wala rushwa hawan udilifu walafi wezi wa mali za kodi za wananchi mwenyezi mungu hatawaukumu kesho kwa kuwanyanyasa wtanzania

  • @georgerichard6706
    @georgerichard6706 Жыл бұрын

    Kudos kwako waziri mkuu mstaafu 🇹🇿

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Жыл бұрын

    Ni ubabaishaji tu.. Ulihama Sumaye na ukarejea ulikotoka.. uelewekeje huko !! Kanda ya Chadema ilipokutoa nje ukarudi ccm

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Жыл бұрын

    Hawa viongozi wanaotokeaga mikoani wamelelewa na kabila Moja tu bila upeo wa makabila mengine, wanakuja mjini bila muongozo mizuri ya kuongoza nchi yenye mchanganyiko wa makabila na tabia na ustaarabu, wanafanya maamuzi yasiyonufaisha wote

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    Жыл бұрын

    Upo sahihi sana

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Жыл бұрын

    Yaani mwizi ashauli namuna ya kuongoza nchi?😂😂😂😂😂

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Жыл бұрын

    Uliaminiwa ukawa unafanya yako!😂😂😂

  • @daddyarfaksadi
    @daddyarfaksadi Жыл бұрын

    YAaaaaaaaahhh #frederick wajina wangu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Жыл бұрын

    Haikuwa sawa kumbishia Mkuu wako wa kazi lakini

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Sema uyu mzee nae kaiba sana, na kazulumu mashamba ya watu, all in all mungu atawahukumu, awa viongozi wa Tz wengi wezi co waadilifu

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Жыл бұрын

    I don't trust dis guy called sumaye

  • @kakakuona57
    @kakakuona57 Жыл бұрын

    Huyu Mzee ni miyeyusho,kabisa,amini kwamba

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Жыл бұрын

    Nimepata jibu leo,kumbe hata Richmond ilikua ni ya jakaya akapewa msaraba lowasa

  • @didimhutila8985

    @didimhutila8985

    Жыл бұрын

    Wote ndio wale wale!

  • @hamisikamungu2625
    @hamisikamungu2625 Жыл бұрын

    Da anasababu zake mwenyewe sili yake na mungu wake

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 Жыл бұрын

    Ahaa

  • @hamisharuna3382

    @hamisharuna3382

    Жыл бұрын

    Qq0v1 😅

  • @maomacatta9770
    @maomacatta9770 Жыл бұрын

    Hajawai kuwa waziri kamili wa kilimo fuatilia vizuri

  • @maphandeahmed7732
    @maphandeahmed7732 Жыл бұрын

    Alidhurumu mashamba yawatu kibaha atuja sahau

  • @mosesmashili4969
    @mosesmashili4969 Жыл бұрын

    Kaka Mwendelezo please.

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Жыл бұрын

    Excuse me ulihamia chadema kuwapush? How? Walikuomba? Je ilivyoamia ulipush nini? then mbona uliondoka tena?

  • @kakakuona57
    @kakakuona57 Жыл бұрын

    Hilo tumbo vp?..mbona dingi,alikuwa miyeyusho?

  • @kakakuona57
    @kakakuona57 Жыл бұрын

    Acha wewe Mzee,kwani SI ungeweza kupelekwa hata vyweo vingine vya kimataifa?

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 Жыл бұрын

    Sasa huyu mheshimiwa anasema Angekua mshauri ktk uongozi Maana yake ushauri wake Unge base uongozi wa serikali Ya CCM AMBAYO wananchi Walio wengi hawaridhiki nayo

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Жыл бұрын

    Hapo ndo napata picha Kwa nn lowasa alijiuzulu.

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Жыл бұрын

    WANAKUWAGA NA MENGI,,HAWAYASEMAGI TU.

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 Жыл бұрын

    NIKWELI TULIWAHI KUNYWA NA WEWE MNADA WA ENDASAKI

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Жыл бұрын

    Mzee sasa pumzika tu umetumikia nchi vya kutosha

  • @ahazimalave8160
    @ahazimalave8160 Жыл бұрын

    Mzee kitambo tumekumisi

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Жыл бұрын

    Ulikua mtu imara.maana upinzani ulikua ndio unaanza ilikua mbinde

  • @kakakuona57
    @kakakuona57 Жыл бұрын

    Kwa nini ulikataa mambo ya zanzibar,wakati zanzibar ni Tanzania?

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    Жыл бұрын

    Sikusudii kumjibia lakini Waziri Mkuu ni Rais wa Tanzania Bara ikiwa Zanzibar kuna Rais wake na ndio maana Waziri Mkuu hana kazi yoyote Zanzibar.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Жыл бұрын

    Shida ulijilimbikizia mali

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 Жыл бұрын

    Kipindi kizur

  • @solomonnanguni2688
    @solomonnanguni2688 Жыл бұрын

    Sumaye hasemi ukweli. Tunapotazama midomo yake Sumaye niwazi anatuongoea. Sumaye ultaka ukuu wa.nchi jambo ambalo lilikushinda. Kwanini hukugombea ukatibu kata wa Chadema? Sumaye acha kutuongopea katulie ule pensheni yako ambayo sio ndogo. Hatudanganyiki sasa Watanzania tumeshajanjaruka. Kaa na wajukuu wako wape story hizo za kujimwambafai.

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 Жыл бұрын

    TBC ama UTEUZI unakuhusu mda ujao

  • @manilabonalumanula9210

    @manilabonalumanula9210

    Жыл бұрын

    Wakichelewa BBC watamchukua faster

  • @abdallahkikungulu9141
    @abdallahkikungulu9141 Жыл бұрын

    Amenyanyasa sana waislam huyu

  • @kuchimillionaire6683

    @kuchimillionaire6683

    Жыл бұрын

    Kivipi? Nyinyi mnapenda kulalamika kwa nini?

  • @fadhilindunguru7946

    @fadhilindunguru7946

    Жыл бұрын

    Sasa uislamu unaingiaje hapo

  • @emmanueltamnaay5781
    @emmanueltamnaay5781 Жыл бұрын

    Sahv huna heshima tena kama mwanzo.kwenda chadema nakurudi,umepoteza sana heshima yako,unaonekana huna msimamo,na huna uzalendo na nchi yako.

  • @abiboseleman1649

    @abiboseleman1649

    Жыл бұрын

    Hii ndio mana ya serikal ndugu yangu mnashindwa tuu kujielewa hawa wapo kwajili yakuvunja upinzan nawatakuja wengine najinsi upinzan mlivyo akili ndogo mnawapaga nafas za juu na kuu vyama vyenu achanen na siasa tafuten pesa

  • @muhammadalibhaz1390

    @muhammadalibhaz1390

    Жыл бұрын

    alipohamia chadema alikuwa kibaruani

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Жыл бұрын

    Hapo ndo napata picha Kwa nn lowasa alijiuzulu.

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Жыл бұрын

    Ulikua mtu imara.maana upinzani ulikua ndio unaanza ilikua mbinde

Келесі