SUMAYE AJIBU KUHUSU UMILIKI MASHAMBA/ AKATAA VING'ORA/ ALIVYOMGOMEA MKAPA
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Sumaye #Dar24Media
Пікірлер: 53
Mh Sumaye kwa sasa ametulia baada ya mama Samia kuingia jengo plot No.1. Hicho Kitambi mzee itakupeleka pabaya
Huyu mzee mungu anamsubiria kwa hamu kubwa amedhulumu mashamba ya watu wengi sijui hizo ardhi zote alizozizulumu atayafanyia nini wakati hiyohiyo ardhi aliowqdhulumu masikini ndio kesho itayokwenda kumbana tena haoni hata aibu mzee mungu anakusubiria kwa hamu
@faridsalehmohamed1230
Жыл бұрын
Huyu alifukuza watu oysterbay pale alipoamua kujenga nyumba yake mbele mbinafsi sana
@josephlorri431
Жыл бұрын
@@faridsalehmohamed1230 ni nyumba serikali...
Dar 24 siku hizi mmejipanga sana
Hawa ni wezi hawakuwatendea haki taia wa tanzania sio watu wazuri
Ulijitahidi Sana Kazi haikuwa rahisi Sana,Nafasi ya Waziri Mkuu Sio ya kitoto.
Hao wazee sio waaminifu wala rushwa hawan udilifu walafi wezi wa mali za kodi za wananchi mwenyezi mungu hatawaukumu kesho kwa kuwanyanyasa wtanzania
Kudos kwako waziri mkuu mstaafu 🇹🇿
Ni ubabaishaji tu.. Ulihama Sumaye na ukarejea ulikotoka.. uelewekeje huko !! Kanda ya Chadema ilipokutoa nje ukarudi ccm
Hawa viongozi wanaotokeaga mikoani wamelelewa na kabila Moja tu bila upeo wa makabila mengine, wanakuja mjini bila muongozo mizuri ya kuongoza nchi yenye mchanganyiko wa makabila na tabia na ustaarabu, wanafanya maamuzi yasiyonufaisha wote
@saidsuleiman1753
Жыл бұрын
Upo sahihi sana
Yaani mwizi ashauli namuna ya kuongoza nchi?😂😂😂😂😂
Uliaminiwa ukawa unafanya yako!😂😂😂
YAaaaaaaaahhh #frederick wajina wangu
Haikuwa sawa kumbishia Mkuu wako wa kazi lakini
Sema uyu mzee nae kaiba sana, na kazulumu mashamba ya watu, all in all mungu atawahukumu, awa viongozi wa Tz wengi wezi co waadilifu
I don't trust dis guy called sumaye
Huyu Mzee ni miyeyusho,kabisa,amini kwamba
Nimepata jibu leo,kumbe hata Richmond ilikua ni ya jakaya akapewa msaraba lowasa
@didimhutila8985
Жыл бұрын
Wote ndio wale wale!
Da anasababu zake mwenyewe sili yake na mungu wake
Ahaa
@hamisharuna3382
Жыл бұрын
Qq0v1 😅
Hajawai kuwa waziri kamili wa kilimo fuatilia vizuri
Alidhurumu mashamba yawatu kibaha atuja sahau
Kaka Mwendelezo please.
Excuse me ulihamia chadema kuwapush? How? Walikuomba? Je ilivyoamia ulipush nini? then mbona uliondoka tena?
Hilo tumbo vp?..mbona dingi,alikuwa miyeyusho?
Acha wewe Mzee,kwani SI ungeweza kupelekwa hata vyweo vingine vya kimataifa?
Sasa huyu mheshimiwa anasema Angekua mshauri ktk uongozi Maana yake ushauri wake Unge base uongozi wa serikali Ya CCM AMBAYO wananchi Walio wengi hawaridhiki nayo
Hapo ndo napata picha Kwa nn lowasa alijiuzulu.
WANAKUWAGA NA MENGI,,HAWAYASEMAGI TU.
NIKWELI TULIWAHI KUNYWA NA WEWE MNADA WA ENDASAKI
Mzee sasa pumzika tu umetumikia nchi vya kutosha
Mzee kitambo tumekumisi
Ulikua mtu imara.maana upinzani ulikua ndio unaanza ilikua mbinde
Kwa nini ulikataa mambo ya zanzibar,wakati zanzibar ni Tanzania?
@hajihassan5433
Жыл бұрын
Sikusudii kumjibia lakini Waziri Mkuu ni Rais wa Tanzania Bara ikiwa Zanzibar kuna Rais wake na ndio maana Waziri Mkuu hana kazi yoyote Zanzibar.
😂😂😂😂
Shida ulijilimbikizia mali
Kipindi kizur
Sumaye hasemi ukweli. Tunapotazama midomo yake Sumaye niwazi anatuongoea. Sumaye ultaka ukuu wa.nchi jambo ambalo lilikushinda. Kwanini hukugombea ukatibu kata wa Chadema? Sumaye acha kutuongopea katulie ule pensheni yako ambayo sio ndogo. Hatudanganyiki sasa Watanzania tumeshajanjaruka. Kaa na wajukuu wako wape story hizo za kujimwambafai.
TBC ama UTEUZI unakuhusu mda ujao
@manilabonalumanula9210
Жыл бұрын
Wakichelewa BBC watamchukua faster
Amenyanyasa sana waislam huyu
@kuchimillionaire6683
Жыл бұрын
Kivipi? Nyinyi mnapenda kulalamika kwa nini?
@fadhilindunguru7946
Жыл бұрын
Sasa uislamu unaingiaje hapo
Sahv huna heshima tena kama mwanzo.kwenda chadema nakurudi,umepoteza sana heshima yako,unaonekana huna msimamo,na huna uzalendo na nchi yako.
@abiboseleman1649
Жыл бұрын
Hii ndio mana ya serikal ndugu yangu mnashindwa tuu kujielewa hawa wapo kwajili yakuvunja upinzan nawatakuja wengine najinsi upinzan mlivyo akili ndogo mnawapaga nafas za juu na kuu vyama vyenu achanen na siasa tafuten pesa
@muhammadalibhaz1390
Жыл бұрын
alipohamia chadema alikuwa kibaruani
Hapo ndo napata picha Kwa nn lowasa alijiuzulu.
Ulikua mtu imara.maana upinzani ulikua ndio unaanza ilikua mbinde