CHID BENZ ALIVYOWASHANGAZA MASHABIKI ZAKE/ DJ CHOKA ASHIKWA NA BUTWAA -
Ойын-сауық
#HiviNiKweli #MotownSanya #ChidBenz #NemboYaMtaa
HIVI NI KWELI NI KILA JUMANNE SAA 03:00 USIKU
MARUDIO JUMATANO SAA 08:00 MCHANA
IJUMAA. SAA 04:00 JIONI
JUMAPILI. SAA 08:00 MCHANA
Пікірлер: 1 300
Anae mkubali chidy gonga like kama zote❤❤❤one love brooh
Wasafi please mu saidiyeni Benzino kutoa iyo ngoma itakuwa kali sana ambao wame kubali iyo ngoma na wana penda itoke tujuwane kwa ma like apa
@festoaidan9648
4 жыл бұрын
Jmaa anajua sana
@adamniwonde9175
3 жыл бұрын
Kabis bonge la ngoma il sio p
@adamniwonde9175
3 жыл бұрын
L
@adamniwonde9175
3 жыл бұрын
Toaa ilo ngom brooh
@hisanmwakijungu10
3 жыл бұрын
WAKUSAIDIE KWANZA WEWE UJUE KUANDIKA VIZURI, NDO WAJE KWA BENZINO
ONCE A CHIDI BEENZ ALWAYS A CHIZI BEENZ, NAKUBALI SANA HUYU MWAMBA
@aliabmugh2362
4 жыл бұрын
Mimi ni nani nisidondoshe komenti love wkb
@themagadir
3 жыл бұрын
Once Chidi Benz always Chidi Benz
This man has extraordinary skills very genius and well talented.. you can see he suddenly changed with vocal synchronised..✴
Bonge la kionjo alie lielewa kama mm like hapo
@thechaiboytv9666
4 жыл бұрын
Benz number moko
@aminathaabubakarmasoud565
4 жыл бұрын
Lah family ilala🔥🔥🔥piga keleleeeeeee👏👏👊👊👊👍
Chid bro mm ni bro wako, kutoka lamu kenya wallahi naskia Raha kukuona big love bro
Chid benz is my favourite rapper since day one.
Ili Jamaa Jitu Kweli sijui alirogwa na Nani kumamake chidi benzi chumaa 💥
@johnsengo1183
4 жыл бұрын
Mwana acha tu mamae
@jumahaji2938
2 жыл бұрын
Maisha na mambo yake 😀🙂😃
@abdullatifmustafa430
7 күн бұрын
2024 hapa
Kipindi Kizuri Sn Ila Muwe Na Security Nzuri Maana Ipo Siku Kuna Msanii Anaweza Akapaniki Kutokana Na Mawazo Ya Mashabiki
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Kabisa kama kwa yule jamaa wa rasta kidogo amuwakie
@kisesalusambo9452
4 жыл бұрын
Mb a kipindi wameiga Cha ETV kabisa
@dairyhairy6269
4 жыл бұрын
Acha weye hichi kipindi kimeanza kitambo saana
@dairyhairy6269
4 жыл бұрын
Wasafi wabunifu saana sema etv ifanye iige
@okeyokarolipaul4893
4 жыл бұрын
@@kisesalusambo9452 tunaoga na tunafanya kuwaliko, habari ya mjini 😂, penye diamond yuko hakuanguki
Anae kubaliana na Mimi chiddy benzi ni genius gonga like
@hamidmakamejuma3518
4 жыл бұрын
Chizi uyu ila media tu ndo zonimfanya aonekane anaongea point , hamna kitu
@ismailyusuph740
4 жыл бұрын
Genius gani Sasa....hahahaaa.....wabongo bwana...!
@gooddeeds162
4 жыл бұрын
Ismail Yusuph waBongo tunaongoza kwa story za vijiweni 😁, Genius sijajua watu wanauelewa gani kuhusu u Genius .
@dan-konjembe5913
4 жыл бұрын
🎶🎶🎶🎶🎶🎶🙌🙌🙌🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾👍
@arinatsynkush7325
4 жыл бұрын
Explain the meaning of the word Genius.
Oyooooooo Wasafi hatareeee. With love from Embakasi, Nairobi. Chidi Chuma....... Wacha maneno weka muziki
Dah! Mazee Chiddi ni mnyama sana, kama unakubali Chiddi kafanya unyama studio gonga like twende sawa
@AhmedSaleh-rc1yj
3 жыл бұрын
Fundi lumola from DIT product
@mayaramateso3581
3 жыл бұрын
nakubali MZEE
@habibabintjuma9352
3 жыл бұрын
Lumola wa MUST habiba nakusalimia
@fadhilmtunha4070
3 жыл бұрын
Fundi fundi tu
@LumolaSteven
Жыл бұрын
@@habibabintjuma9352 Ahsante Habiba namba yako niliyonayo haipatikani
Daaaah yani hapa nimelia yani daah chid so chid go chid talented more than fire
mo town sanya ... wana tulikumis kinouma coz ua the best in street shows..
@jemsicosmasi6678
4 жыл бұрын
Chiɗi ɓenziiiiiiino noma mzeeiya
Naombeni like za producer wadau
Like Chidi ever since.....cheki chidi alivyojibu Kibusara na kistarabu... Best ever Rapper East Africa.
nimependaa sanaa mnavyo mpaa uhuru msanii love this
Ukiaachana na chid, uyo alieedit hii kitu n muuaji wa namna ya flyover.......Daah em ngoja niangalie tna
Chidi bana nilipomkubali zaidi kwenye hii video, pale alipotoa sigara akampa jamaa, papo hapo akapiga darasa la madhara ya sigara. NOMA SANA!!!
@ismailyusuph740
4 жыл бұрын
Hahaaa’ wabwia unga Ndo walivyo....!...Akianza kukuelezea madhara ya unga huku anakusihi usijiingize na ww’ unaweza kujiuliza Kwa nini Sasa yy ANAUBWIA...? ....hahahahaaa...!
@saidabdallah3193
4 жыл бұрын
Ismail Yusuph sio wabwia unga, watu wote wenye akili walijikuta kwenye ubwiaji wa unga, uvutaji wa sigara ama pombe watakushauri usijaribu hizo vitu kwa sababu ukishaingia hata kama hupendi na unataka kuacha kazi yake sio ndogo. Na hiyo ni kwa sababu hivyo vitu vina addiction strong hatari once you are in you are fucked up!
@ismailyusuph740
4 жыл бұрын
#SaidAbdallah ....Ah.!...wabwia unga wako tofauti sana juu ya kuasa ‘ hawalingani na hao wanywa pombe au wavuta sigara ‘...!
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Kweli kampokonya kabadili adi rahaaaaa
@azizayassin3623
3 жыл бұрын
Watu wa sigara tupooo
Kama unajua unajua tu, CHID BENZ anajua sanaaaaa MUNGU amuwezeshe atoke alipo ila anapishana na hela nyingi sana huyu jamaa
Mimi binafsi CHID BENZ namshabikia toka longtime lakin toka aingie kwenye madawa ikasemekana ameacha simuelewi kunaonekana Kama anatakiwa afanyiwe Counselling arudi Kama zamani kwani hata akifanya interview unaona anatatizo fulan Kama usiriasi haupo.Unakua hicho kipindi nikizuri Sana kinapromo Kali Sana so ndio hivyo
@fatemaligalawa4151
4 жыл бұрын
Uyu kuacha madawa ndoto
@mussamsella5801
4 жыл бұрын
Ukitaka kumuelewa chidbeenz anachoongea kwanza yafute akirini mwako mapito yake aliyopitia halafu tumia akiri ya kawaida tuu utamuelewa.
@chundabadimtanzania9046
4 жыл бұрын
@@fatemaligalawa4151 kwann asiweze
@isackhassan6551
3 жыл бұрын
Kwani unga mnaona km nini nyie mbona watu wengi tu wanaacha kwanini Chidi
Hii ngomaa itokee jamn nzur sn ❤️❤️
Chidi Benz is one of a kind. The Best Rapper of All Times REAL OG. he is hilarious and serious at the same time Big Up Mo Town Sanya. One Love from +254
Uwa sipendagi kucoment ila kwa huyu mwamba ni nyokooooooooo Nakubalii Xana punch zake
Jamani hawa wasafi ni wabunifu sana binafsi kuna muda fulani nilikuwa sijawaelewa ila sasa wako juu kwa ubunifu....chidy katisha jamani huyu jamaa ana akili sema basi tu
@mubussnestv5057
4 жыл бұрын
Tatizonmchezo mwingi
@vennvictor5784
4 жыл бұрын
Sanaaaa
@vennvictor5784
4 жыл бұрын
Daaaaaaaa nomaa aanaaaaaaaaaaaa
@ibrahimtekelo304
4 жыл бұрын
Hiki kipindi sio wanebuni bali wamejiongeza mara ya kwanza naona ubunifu kama huu ilikuwa kwa 50 cent hivyo safi kiasi ila hawajabuni ila wamecopy
@fadhiliromwald
4 жыл бұрын
Ibrahim Tekelo wamekopi wap
Nakubali Kazi alll the way China .... MO TOWN SANYA🔥🔥🔥
huyu mwambaa ni hatari kapandaa na bit hapo hapo mistar hapo hapo eeh bwaanaa respect xna chid benzz♡♡
Hakuna mkali wa hip hop kama MNYAMA CHID BENZ KAMA UNAMKUBALI gonga like kama zote timu #CHIDBENZ ALL THE BEST BRO
RESPECT THE OG CHIDI BENZ ....GREATEST OF ALL TIME ...SALUTE MWAMBA CHUMA
@edsonhilary7492
4 жыл бұрын
💪💪💪💪
@graphixmaster6146
4 жыл бұрын
One of the best but not GOAT
Chidi benzini hatari huyu mwambaa anatisha 🔥🔥🔥🔥 ngoma kali sana
Wakenya oyeeee 🤣🤣🤣🤣 wapi likes za chidi
@aishaasumany561
3 жыл бұрын
Tuupo hatupitwai
Hii ingekua na Session mbili safi sana. Bugalee na Chidi wangekua na Hiibsession pia ingekua Vema Zaidi
Bonge moja la pind.. Big up Wasafi media for the creativity 🔥#MO TWN SANYA 👊
Kusema ukweli chidy anafaa sana kua motivational speaker, anaongea vitu kuntu sana #1♥️
Hiyo ngoma ya chid mahabuba aliyotoa ghafla kwa Buga bora aitoe imetulia sana
Mm namkubali chid benz sana 🔥🔥🙏🙏🙏🌹🌹🌹🙅♂️
Nakubali season poa Sana 🔥🔥💥💥
Big up nice programme
Kama umeielewa hii ngoma kama mimi like hapa
Mugalee yuko vizuri 🤣🤣nimependa alicho kifanya .kumbe ukijikubali unafanikiwa .gonga like Kama nawe umekubali Kama mmi
Dah naenjoy mpk Bora kusikiliza wasaf kuliko kusikiliza madem viswaswad wnatia nuksi
Uko kwenye kuimba ngoma ya Darasa aisee Dah😂😂😂😂
@lameckkimariolameckkimario6087
3 жыл бұрын
Pg
Chid kapewa pit nzuri San wanao kubalia na Mimi gonga like
Duuuh Chidy Nomaa Huwaga sina mzuka na comment Ila kwa Chidy nimecomment
@erycamichael2113
4 жыл бұрын
ata mimi sipendagi ku coment
SANYA PINDI LA LEO NIMELIPENDA SANA
@leoniabeda2711
4 жыл бұрын
Chid bora umerudi mzee baba
@ismailijuma9943
3 жыл бұрын
Chidi noma
Sasa Uyu jamaa w T-shet nyeusi na Nyeupe yenye mistari so Funny 😬😬🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Kama hawajamaaa wanaifatisha ngoma ya darasa wamekuvunja mbav jua tuko pamoja apa..... 😂😂😂😂😂
@weezydar994
4 жыл бұрын
Hawa jamaa balaa😂😂😂😂
@mariyammaria3366
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Kumuhoji chidi kazi sanaa
@KMLotin
4 жыл бұрын
😂😂😂coz anamuhoji muandishi kuliko anavyohojiwa yeye😂😂😂
@tusajigwemathias3758
4 жыл бұрын
Yaani kwanza hana uvumilivu wa kutulia kwenye gari anatoka.. Maswali baada ya kujibu ndio anahojii hahahaaaaa chidi hatareee
Duuuuuh wasafi tv nyie ni balaaaaaaa chid wew mwisho
Kama unaamini chidbenz anaongea na ugolo mdomoni gonga like hapa!!
@Noah-zt5zf
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Thanks for the good job love from 254
Chid kanifurahisha sana
Ile beat studio na vocals next level Audio itamaliziwa?
Kama una kubali chid katoa azanaa nipe like kama zote
Wasafi Mungu anawaona 😂😂😂 hizo head phone ni fire huyo jamaa wa black kauwa
@greklauryn6277
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka hadi basi
@sherrysalim50
3 жыл бұрын
Wauwah kajua kunichekesha 🤣🤣😂😂😂
@shardalove1159
3 жыл бұрын
Heheheee
Kama umecheka hao jamaa wanaoimba nyimbo ya darasa gonga like😂😂😂😂
@revinasimba9523
3 жыл бұрын
😂 😂
Very nice wasafi wabunifu Sana kwa vipindi nakupiqien mkofi👏👏👏👏👏👏👏👏
UPANUE WIGO kuna baadhi ya marafiki huwa tunawachukulia kawaida kwenye maisha lakini ni watu wa muhimu sana.
Ukweli jamani me huwa nakuja hapa kila baada ya muda kwajili ya kipande icho Cha nyimbo alieimba chidi kwa kweli ni bonge la song
such a very talented brother.. Chid Go Chid soo...
Nkbl xana kaka ckupingi yani umet0a mpk kwaju hap0 hap0 kwl balaa gonga like hap0👍
Daaaaaah sauti ya gharama hakuna kama Chid Chid kubaliii sanaaa ❤💝💥💥KINGKONN
Darasa uko wapi, walevi wanaimba wimbo wako vibaya 😂😂😂😂😂
Dah! Uyo nd Bughalee yan n producer mkali na n ktk maprodiuza ambao nawakubal sn ila ata kumjuwa cmjuw nd nmemuona leo naona yupo very simple, sema now upepo upo kw S2KIZZY na T Touch nd mana kapotea msela..
@jesusezray5569
4 жыл бұрын
Motoooooo
@mustafamase3727
4 жыл бұрын
Iyo nikweli bron uyu jama bugali nitishiyo kabisa a najuwa kipita kiasi
Chidi Benz chuma d town stend up👊👊👊
NO COMMENT.... Wasafi On Top. Worldwide 🔥
Hawa wanaoimba hatari sana🤣🤣🤣
@tinaansi8638
3 жыл бұрын
Hatarii 😂😂😂
Craetivity 120%🔥
Kumekucha na chid benz gonga like🤣🤣 twende sawa 27 August 2020
Mkongwe salute mwanzo misho piga kazi one day utarudi na utakaa sawa utasimama mikazo tu
😂😂😂😂😂 Huyo mseng mwenye tishet nyeus muongo huyo 😂😂😂😂😂😂😂
@naimanuran2663
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂✊
@kulwaajaba9159
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
11:09 jamaa katoa macho 😂😂😂😂😂😂bt this is funniest shit ever😂😂
@yirgayemyirgah7820
4 жыл бұрын
6 underground
Kuna chidy benzi m1 tu duniani
Acheni masiala WASAFI fanyeni juu chini iyo Ngoma itoke ya Chidi ni kali kinomaa🔥🔥🔥 My love My Hubaa......
NAPENDA SANA NCHI YANGU
Ndio hiyo talk of the Town
Uyu amevaa nyeusi jamani mtatuuwa bora ukaye kimyatu🤣😂😁😁😁😁🙏
Daaah so funny hiyo ngoma ya darasa, huyo mwenye black
Kaka hikii kipindiii nilikimisi na nilikitafuta na kukitetea sana nailinivunjaa moyoo kilipokuwa hakipoo bora kimerudi
@juniorcx0114
4 жыл бұрын
Jaman 👌🔥 🔥 Chafu yaooo NEMBO 🇹🇿💪🏿 YA TAIFA DIAMOND Platinum nimesikia Jina lake mpe talfa yake
@elshaarawymuhabesh316
4 жыл бұрын
Nami nimefurahia kurudi
You are talented you are something else. Just to let you know even lily Wayne cant do that ..bro you are genius talented Tanzanian artist which African never witnessed yet ..believe me ..sit down and think twice .what you really want in life ..YOU ARE STAR BRO MUCH MUCH RESPECT BRO
benz amalizie iyo ngoma kwa uyo producer tafadhali. It could be a breakthrough kwa uyo producer
Oyaa ioo ngoma aitoeee ..producer n nomaaa
Chid Benz ni Comedian
@emakazalah1366
4 жыл бұрын
Yuko vzr brow etu
🤣sanya wallai uendi mbinguni love you sanya
Hapo sasa!!!! Unapomzungumzia mwenyewe alafu yupo kwa pembeniiiiiiiii mhmhmhmhmhmhmhh
Nampenda sana huyukaka jamani benzina 💋💋💋
@hamisunited4489
4 жыл бұрын
Umemfahamisha kakufaham jaman
Daaah!!! CHID BENZ ni BONGE la mtu jamani, yaani CHID ni BONGE la Rapa East & coast Africa...nimependa jinsi alivyoichafua hiyo Beat hapo Studio.... sijawahi kumchukia Wala kumchoka Chi, Chi, Chi ,Chi, CHID Beeeeenz
Leo nimecheka sana mpaka nimesahau stress nilizonazo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna Jini hakuna shetani big up chidi 🇰🇪🇰🇪💯💯
Chidy hiyo nyimbo imalizie usiiwache bonge la ngoma wewe kweli ni noma ndugu
@josephndonde9247
4 жыл бұрын
IPO pouwa inaitwa Komando
There will be no rapper like Chid Benz in Africa
born talented tayar mwanangu chidi..hata uamshwe ucngzn unao uwezo wakutoa ki2..mwngne aige kama hvo bila kutengeneza ujanja flan kama atatoboa hvo
Buggarlee...ntakutafuta baba nichek uwezekano tufanye kitu kaka@@@💥💥💥💥💥💥
CHID BENZI ninoma sana
Amalizie ngoma iyo tunaisubili ni 🔥🔥🔥🔥
Chuma kama chuma Nakukubali sana chid Benz ❤️
kipande cha studio nmekirudia zaid ya mara100 mwanangu chid..repect on u
Wasafi hamuwez kushushwa bali mtashusha media nyingi bongo mbovu
Nmepnda hiki kpnd kwa muda mwngi lkn leo ni motoooooooooooooooooooooooooooooooo☆●●●●●●●●#wasafi
Huyu dj mkali... sanaa Big hilo Jiwe nimelielewa