CHID BENZ AFUNGUKA SIRI NZITO/ WALIVYOCHUKUA PESA ZAKE/ ETI MADAWA?/'WANANIONA CHIZI'/ KITAELEWEKA!

#Exclusive #ChidBenz
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 20

  • @kaimukhamis7898
    @kaimukhamis789811 ай бұрын

    Noma sana kaka Chid ume ua sana

  • @AhmedAli-oz3np
    @AhmedAli-oz3np10 ай бұрын

    Nimemskiliza kwa makiniiii Sanaa nimegunduwa kitu chidi kapata nafasi kashindwa kutumiya vizuriii waloitumiya vizuriii anaaaanza kuwapakaziyaaaaa eti hawamkumbukiiiii wakati kipindi kile alikuwa mkubwa kuliko hao alio wasaidiaaaa Mzee hilooo ni somo to sha kilaaa unopooo pitiya jaribu kujifunzaaa babaaaaa kupoteya njia ndio kujuwa njiaaa kazaa nafasi bado unayoooooo

  • @Kingsusi
    @Kingsusi Жыл бұрын

    Huyu jamaa hana akili ! Wakina AY na mwana Fa walipiga hela Tigo hivyo hivyo ! Nashangaa yeye amekaa🤦🏽‍♂️

  • @user-mc9yk4xs8b
    @user-mc9yk4xs8b7 ай бұрын

    Yawezekana kweli chid ni mlevi lakin anacholalamika ni haki yake kwakua wakati ule anafanya mziki hakua mlevi mbona kuna wasanii wamekufa na haiki zao zinaheshimiwa

  • @beatriceraphael6025
    @beatriceraphael6025 Жыл бұрын

    Chid kichwani zipo sana,namkubali

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Hahaha point lkn anasema

  • @dullodullodullo686
    @dullodullodullo686 Жыл бұрын

    Chidy mm namkubali sana wakimuhoji uyu jamaa nikichwa mno nauyu kweli wamemdhulumu

  • @barnabaschars1637
    @barnabaschars1637 Жыл бұрын

    Chid kuna wkt anaongea vtu vya mcng ila kuna saa anazngua,ila kkubwa alchosema n pesa ganiiiii(maisha hubadilika)

  • @AndrewMajingwa-ln7oi

    @AndrewMajingwa-ln7oi

    Жыл бұрын

    Huyu muda mwingine ni criaz na muda mwingine ni comedy elewaaa

  • @masoudwamba-wg4id
    @masoudwamba-wg4id11 ай бұрын

    😮 huyu jamaa kuna kitu kichwan anacho

  • @jaydanharrison5605
    @jaydanharrison5605 Жыл бұрын

    Kufanyaa kaz na huyu jamaa nikaz Sana Yan dah 😂😂

  • @dinosmack
    @dinosmack Жыл бұрын

    Chid benz amtafute kibatala mbobezi..kama ni kwel anachosema bas chid ni billionaire next to mh mwana FA na AY

  • @loveness6732
    @loveness6732 Жыл бұрын

    Mwishoni amesema swala very sensitive… which mtu ukisikiliza unaona something

  • @dullodullodullo686
    @dullodullodullo686 Жыл бұрын

    Nenda vyombo vya Shelia nenda basata mtfte mwana F A mana ushalalamika saana

  • @rashidngwele3935
    @rashidngwele3935 Жыл бұрын

    Kichwa uyu jamaa

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Жыл бұрын

    Mwana FA anatakiwa asikie hii 😓

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Жыл бұрын

    Nampendaga huyu hana unafki kanyooka

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 Жыл бұрын

    Tatizo lake haelewekii...aongee point nn tatizo yeye analopoka tuu Yan haelewekii

  • @nassjog990youtube6

    @nassjog990youtube6

    Жыл бұрын

    Wajuaji huwaga hamuishi🤬🤬🤬🤬

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Жыл бұрын

    Chuma

Келесі