CHIDI BENZ asimulia ALIKIBA alivyokuwa akiuza VITUMBUA ‘Ali K ni hustler, hakuna kama yeye - Part 2
Ойын-сауық
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 133
HIVI HUYU JAMAA ANA UBONGO WA KIASI GANI😮😮 DUHHHH ANA MEMORY SIJAWAHI PATA KUONA WALLAH, MASHA'ALLAH 😮😮
Sema hiyo glass ya maji hapo bwana sky ungeipiga brand yetu tu (SNS) ungetisha sana asee
CHIDI bro wangu kama wajua KUNA MUNGU jiandae na KESHO yakoo ,mrudi MUNGU.uanze KUFANYA IBADA kama aivyoamrisha MUNGU, MUNGU ni mkubwa WA KUSAMEHE
Kama umeelewa mafumbo alioongea chid✌️ weka like
@shanimbaruku2071
4 ай бұрын
😂😂😂
Wanaungana ungana vp simba mara yanga dah naenjoy sn interview ya legend chid
Kama una amini chid ana akili sana like apa
@kobabaoyamerudi
5 ай бұрын
Hana hakili chid benz wwwe
@nsusabudda2951
5 ай бұрын
Ache unga sasa.. akili bila mahalifa sawa sawa..
@sarahmuhammed6872
5 ай бұрын
Sasa chidi yote wayajua kua kuna MUNGU kwanini isitubie ukaanza kufanya IBADA kama alivyoamrisha MUNGU???
Brother sky nakusifu kwa kumsikiliza chidi😂
Piga kelelee kwa chidbenziii❤❤❤❤❤❤
Kama isingekua tumekatazwa kua na Iman zakishirikina basi ningesema mwana Kuna wahuni wamemchezea,maaana ni mzima Sana zaid ya tunao waona wazima,akir nyingi
@fasterwalker1464
5 ай бұрын
Acha tu mwamba ana IQ kubwa sana
@NgengeMkeni-uo5hq
5 ай бұрын
Exactly! Chidy is a genius ndio maana watu hawamwelewi.. ni kama Kanye West vile ambavyo hatumwelew
@kaloymlambi3670
4 ай бұрын
Bro watu wanachezeana mambo ya nyota mzee so mchezo
Noma sana nakubali child benz chuma
Two Legends meets together.....mwandishi n Legend na Chid naye wa kitambo interview inakaa poa sana
I can I agree with Chid, Alikiba is the only guy I saw in Canada amejaza show na sehemu mbalimbali so far alafu atumii Nguvu.
Lil Wayne and chid Benz sauti Sawa Sawa 🤣🤣🤣🤣
Ila hapo kwa Ali alivyokuwa anauza vitumbua daah😅😅😅 CHID MIYEYUSHO SANA SOMETIMES😂😂😂
nikiangalia macho yake inaonysha tu jamaa yuko vizur wala hana tatizo la madawa, sema alishajiwekea mfumo wake tu wakufany intervi, watu tuache kusema tusichokujua kbs, kisha hii ya matajiri kupenda toto ndogo , ndio kesi kwa sasa inawkabili viongozi na mastaa huko marekani
@husseinmohammedshee774
5 ай бұрын
Unaongea sense sana👏
Daaah naona kama brother Sky alipata shida sana kwenye iyi intervew
@brucerashfordke5102
5 ай бұрын
😂😂😂
Daa hujama kuna mdaa haipo sawa
Nikiona chid anaongea nafurah sana😂😂😂😂😂
Nimekubali
Dah mahikaji anaongea point
Brother kwa ali kiba atamimi nakubal yupo vizur sana
Best interview
Love you Chi B no mara waa❤❤❤❤❤
Jamaa anahitaji msaada
That's true Alikiba mzee wa kusex anga
Big up broo
Inamana lady jide kaliwa kwa sisi tulio soma ulusi tushaelewa
Iyo yakula nyama za watu ni kweli kabisa mwaka Jana ime lushwa clip means dada wa congo Ali kamatwa na watoto walio chinjwa na nyama ya watoto ilio andaliwa na alikua na mgahawa
Alikiba Congo 🇨🇩 tunampenda
Sky unamskiliza Kweli
Nimependa chid benz saivi anapata hata raha ya kucheka ,, God is good 🙏🙏🙏 Ila chid bana yani Anatembea na ndala Tena Kagera Magomeni bila hata Bodi gadi 😅😅😅
@sophiasophia9713
5 ай бұрын
😂😂😂😂 nani atamgusa😂😂
😂😂😂😂😂😂 fry Alikiba
Dah Sky we ni mvumilivu sana kaka 🤣✊🏾
Pamoja na Yote Chid ana uwezo mkubwa sana wa kukumbuka kila kitu mpaka small details
Kama unaamini wanawake ni wachache wa shukrani gonga like apa.
@khamismgunya4519
5 ай бұрын
Ww unamuona huyo ako mzima
Huyu brother anakipaji kikubwa sana ila kuna sintofaham nyuma ya maisha yake, allah atunusuru arejee kwa level yak
@user-gt5yd4no7c
5 ай бұрын
Aaache madawa
@Makikokasongo
4 ай бұрын
Yanii we mahala umuombee dua arejee kwa Allah we unatabaki alikuwa muombee nusra ndugu yetu katika iiman
🔥🔥
Mwamba huyu hapa
Katoka mtu Malini mno Ni chid Benz Ni mtu anaeigiza kua hajielewi Ila Ni mtu Makin mnoo chid benzi
hatuna budi kukubali kua tushampoza mwamba for this time kweny swala zima la utimamu
Hahaha brother Sky anavyo mwangalia Chid kwa huruma.
@NgengeMkeni-uo5hq
5 ай бұрын
He is paying attention
MBAMIII ANATOTOAAAA🤣🤣
The Alikiba part 😅 🔥 Ali ni mnoma
Chidy anajua uwepo wa MUNGU na anajua mpaka hapo alipo ni MUNGU sasa kwanini msimuelewe mpaka mseme bangi
mhhh
Brother sky unauvumilivu sana aisee maana daah mwamb anaungruma2 mar anasinzia duuh sali liko hvi majib vile
@sarahmuhammed6872
5 ай бұрын
😂😂😂
😂😂😂😂nikikumbuka iyo kama alien😅
mwanangu chidi amepiga vitu kabla kuja interview naona ako vizuri
Ila akivua miwani mbn km macho yke km kashakula vitu ivu mbn macho ypo ivo
Duuh kweli sky una uvumilivu. Mimi nisingeweza kumsikiliza kabisa
𝐂𝐡𝐞𝐝𝐲 𝐧𝐚𝐦𝐩𝐚𝐭𝐚𝐠𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐧𝐢...
Ila haya maisha nyieee daaah
Chidi anaakili sana na anapenda kwenda na akili ya mtu alivyo Akimuona kichwa anaongea pointi Kama anayemfanyia intavyuu hujitambui utacheka na majibu yake
Kweli matajir wanapenda watot
Alikiba noum
😅😅😅 Dah
❤❤❤❤❤ 😅😅😅
Kwenye suala la nyama za watoto wadogo kuliwa,nakubaliana na rashid,hiyo ni kweli kabisa hii dunia ni so wicked,kuna vitu ukiambiwa vinaendelea kwenye hii dunia HUTAAMINI HATA KIDOGO
Raha ya kumfanyia chid interview wew mpe swali moja alafu yeye anatiririka interview yote 😅
God #benzino
@PatsonIkula
4 ай бұрын
Hii muhimu sana. God!
Sikay mpaka anachoka kumsikia Chd😂
Jaama ni genius
Kama Watu Wa Sayari ya Mars
Ushafeli mzee chid kuwasema madogo ovyo ovyo ni makasiliko
Hii issue ya nyama za watoto nimemsikia Mfalme Chidy Benz zaidi mara sita. Naanza kuamini Itakuwa na ukweli ndani yake
Fatilia hao matajiri bro kuhusu kula watoto
Dada ile mbami😂😂😂
This guy be looking high 24/7 haha 😂, can’t even tell if he’s high or not 😂.
Chidi kichaaa 😂😂😂
Mimi hupenda mschizii wote wakutoka magetoni 😂😂😂😂 yani hua hawafake maisha yani wanakupa makavuu au sio
Wa kwanz leo
Chidi haongopagi Ukiona akitaja jua kweli
Bangi mby
Chidi anatakiwa kupata ucmamiz wa kazizake vizur atacmama vyema kabisa amini hvyo
Anaongea kama anatafuna karanga😂😂😂😂
Kwa mfano chidi anataka kuwa MSEJI wa timu hapa Tanzania anafaa kuajiliwa na Timu gani?
Ila bora huyuu! Kuliko d.I.d
Chumaaa chidbenz
@muuhclassic1342
4 ай бұрын
Chid ana machokumchuzi Wala sio bangi
Et we kidevu sio chin beez😂😂😂😂
gegius CHEEEEEEEDBENZ
@kdloon2030
5 ай бұрын
Gegius??????
Sauti 😂😂😂
😂😂😂😂Mbami
Chid ww umekuja umeshapa ugali
Ila bangi bado anavuta
Chumaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kwa hiyo chidi ni kama alimla Jide maana kafichaficha
Mbn anaongea kama Oni Sigala?? 😂😂
Huyu kashakula vitu huyu si bure kw hali hiyo 😳
Ngada
better chid than H baba
Media zinapromot bifu wadai
Kwenye bongo flevar Ali kibaNi flai k.😅😅
Chid kumbe katomba Jide
tangu namjua ajawah kukosea mtoto wa ilala
Apelekwe rihab huyu
Kwani amelewa now?
Bongo music industry inaonyesha kuna uc....fu xana
CHIDI AITAJI MSAADA FOR REAL HAEZI KUWA AMESAIDIA KILA MSANI WA BONGO THIS GUY IS USELESS
@smarty1064
5 ай бұрын
Kwa enzi zile, wengi sana walipita mikononi mwake na kiuchumi alikuwa yuko vizuri nadhani familia ilikua inambeba financially
Naona bwana sns umeogopa kumsikia matajir wanakula wototo
Brother Sky hapo umezingua😂.. Jay Dee hakumlenga Chidy bhana, acha kuchanganya madesa
@ms_teeonly
5 ай бұрын
Ni Kweli kabisa