CHIDI BENZ asimulia ALIKIBA alivyokuwa akiuza VITUMBUA ‘Ali K ni hustler, hakuna kama yeye - Part 2

Ойын-сауық

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 133

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63435 ай бұрын

    HIVI HUYU JAMAA ANA UBONGO WA KIASI GANI😮😮 DUHHHH ANA MEMORY SIJAWAHI PATA KUONA WALLAH, MASHA'ALLAH 😮😮

  • @kijokombao5345
    @kijokombao53455 ай бұрын

    Sema hiyo glass ya maji hapo bwana sky ungeipiga brand yetu tu (SNS) ungetisha sana asee

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed68725 ай бұрын

    CHIDI bro wangu kama wajua KUNA MUNGU jiandae na KESHO yakoo ,mrudi MUNGU.uanze KUFANYA IBADA kama aivyoamrisha MUNGU, MUNGU ni mkubwa WA KUSAMEHE

  • @user-my1gw7fi9v
    @user-my1gw7fi9v5 ай бұрын

    Kama umeelewa mafumbo alioongea chid✌️ weka like

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    4 ай бұрын

    😂😂😂

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo53145 ай бұрын

    Wanaungana ungana vp simba mara yanga dah naenjoy sn interview ya legend chid

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d5 ай бұрын

    Kama una amini chid ana akili sana like apa

  • @kobabaoyamerudi

    @kobabaoyamerudi

    5 ай бұрын

    Hana hakili chid benz wwwe

  • @nsusabudda2951

    @nsusabudda2951

    5 ай бұрын

    Ache unga sasa.. akili bila mahalifa sawa sawa..

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    5 ай бұрын

    Sasa chidi yote wayajua kua kuna MUNGU kwanini isitubie ukaanza kufanya IBADA kama alivyoamrisha MUNGU???

  • @annievibes8794
    @annievibes87945 ай бұрын

    Brother sky nakusifu kwa kumsikiliza chidi😂

  • @victoriakapele8682
    @victoriakapele86825 ай бұрын

    Piga kelelee kwa chidbenziii❤❤❤❤❤❤

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia4345 ай бұрын

    Kama isingekua tumekatazwa kua na Iman zakishirikina basi ningesema mwana Kuna wahuni wamemchezea,maaana ni mzima Sana zaid ya tunao waona wazima,akir nyingi

  • @fasterwalker1464

    @fasterwalker1464

    5 ай бұрын

    Acha tu mwamba ana IQ kubwa sana

  • @NgengeMkeni-uo5hq

    @NgengeMkeni-uo5hq

    5 ай бұрын

    Exactly! Chidy is a genius ndio maana watu hawamwelewi.. ni kama Kanye West vile ambavyo hatumwelew

  • @kaloymlambi3670

    @kaloymlambi3670

    4 ай бұрын

    Bro watu wanachezeana mambo ya nyota mzee so mchezo

  • @saidoozeson524
    @saidoozeson5245 ай бұрын

    Noma sana nakubali child benz chuma

  • @itsyourboy1407
    @itsyourboy14075 ай бұрын

    Two Legends meets together.....mwandishi n Legend na Chid naye wa kitambo interview inakaa poa sana

  • @cmaxfrans4654
    @cmaxfrans46544 ай бұрын

    I can I agree with Chid, Alikiba is the only guy I saw in Canada amejaza show na sehemu mbalimbali so far alafu atumii Nguvu.

  • @thewaukweli2183
    @thewaukweli21835 ай бұрын

    Lil Wayne and chid Benz sauti Sawa Sawa 🤣🤣🤣🤣

  • @khanafrica22
    @khanafrica225 ай бұрын

    Ila hapo kwa Ali alivyokuwa anauza vitumbua daah😅😅😅 CHID MIYEYUSHO SANA SOMETIMES😂😂😂

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba88035 ай бұрын

    nikiangalia macho yake inaonysha tu jamaa yuko vizur wala hana tatizo la madawa, sema alishajiwekea mfumo wake tu wakufany intervi, watu tuache kusema tusichokujua kbs, kisha hii ya matajiri kupenda toto ndogo , ndio kesi kwa sasa inawkabili viongozi na mastaa huko marekani

  • @husseinmohammedshee774

    @husseinmohammedshee774

    5 ай бұрын

    Unaongea sense sana👏

  • @user-zk7sc7fg1s
    @user-zk7sc7fg1s5 ай бұрын

    Daaah naona kama brother Sky alipata shida sana kwenye iyi intervew

  • @brucerashfordke5102

    @brucerashfordke5102

    5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-ui2cc4bk6m
    @user-ui2cc4bk6m5 ай бұрын

    Daa hujama kuna mdaa haipo sawa

  • @BarakaAmosi-gb4ve
    @BarakaAmosi-gb4ve5 ай бұрын

    Nikiona chid anaongea nafurah sana😂😂😂😂😂

  • @user-qo5it1uc9m
    @user-qo5it1uc9m5 ай бұрын

    Nimekubali

  • @Kidabitangassa
    @Kidabitangassa5 ай бұрын

    Dah mahikaji anaongea point

  • @AMwamzola
    @AMwamzola3 ай бұрын

    Brother kwa ali kiba atamimi nakubal yupo vizur sana

  • @stimupodcast-ps3tj
    @stimupodcast-ps3tj5 ай бұрын

    Best interview

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma45435 ай бұрын

    Love you Chi B no mara waa❤❤❤❤❤

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga70205 ай бұрын

    Jamaa anahitaji msaada

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed70905 ай бұрын

    That's true Alikiba mzee wa kusex anga

  • @user-rg5xp2rj8s
    @user-rg5xp2rj8s4 ай бұрын

    Big up broo

  • @athumanindyema2302
    @athumanindyema23025 ай бұрын

    Inamana lady jide kaliwa kwa sisi tulio soma ulusi tushaelewa

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d5 ай бұрын

    Iyo yakula nyama za watu ni kweli kabisa mwaka Jana ime lushwa clip means dada wa congo Ali kamatwa na watoto walio chinjwa na nyama ya watoto ilio andaliwa na alikua na mgahawa

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar50675 ай бұрын

    Alikiba Congo 🇨🇩 tunampenda

  • @Barakanenealldays
    @Barakanenealldays5 ай бұрын

    Sky unamskiliza Kweli

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse18425 ай бұрын

    Nimependa chid benz saivi anapata hata raha ya kucheka ,, God is good 🙏🙏🙏 Ila chid bana yani Anatembea na ndala Tena Kagera Magomeni bila hata Bodi gadi 😅😅😅

  • @sophiasophia9713

    @sophiasophia9713

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂 nani atamgusa😂😂

  • @sadatdunia9590
    @sadatdunia95905 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 fry Alikiba

  • @lucksonrugah
    @lucksonrugah5 ай бұрын

    Dah Sky we ni mvumilivu sana kaka 🤣✊🏾

  • @mopaybeatz
    @mopaybeatz5 ай бұрын

    Pamoja na Yote Chid ana uwezo mkubwa sana wa kukumbuka kila kitu mpaka small details

  • @matulanga5269
    @matulanga52695 ай бұрын

    Kama unaamini wanawake ni wachache wa shukrani gonga like apa.

  • @khamismgunya4519

    @khamismgunya4519

    5 ай бұрын

    Ww unamuona huyo ako mzima

  • @fatimahants1526
    @fatimahants15265 ай бұрын

    Huyu brother anakipaji kikubwa sana ila kuna sintofaham nyuma ya maisha yake, allah atunusuru arejee kwa level yak

  • @user-gt5yd4no7c

    @user-gt5yd4no7c

    5 ай бұрын

    Aaache madawa

  • @Makikokasongo

    @Makikokasongo

    4 ай бұрын

    Yanii we mahala umuombee dua arejee kwa Allah we unatabaki alikuwa muombee nusra ndugu yetu katika iiman

  • @gabbysaimoni4115
    @gabbysaimoni41155 ай бұрын

    🔥🔥

  • @user-kf1xu8pp1m
    @user-kf1xu8pp1m5 ай бұрын

    Mwamba huyu hapa

  • @user-jy6gz8jp2u
    @user-jy6gz8jp2u4 ай бұрын

    Katoka mtu Malini mno Ni chid Benz Ni mtu anaeigiza kua hajielewi Ila Ni mtu Makin mnoo chid benzi

  • @husseinhamis1428
    @husseinhamis14285 ай бұрын

    hatuna budi kukubali kua tushampoza mwamba for this time kweny swala zima la utimamu

  • @jacksonmseli9195
    @jacksonmseli91955 ай бұрын

    Hahaha brother Sky anavyo mwangalia Chid kwa huruma.

  • @NgengeMkeni-uo5hq

    @NgengeMkeni-uo5hq

    5 ай бұрын

    He is paying attention

  • @saidulaya7308
    @saidulaya73085 ай бұрын

    MBAMIII ANATOTOAAAA🤣🤣

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya4 ай бұрын

    The Alikiba part 😅 🔥 Ali ni mnoma

  • @user-te1gh1oo2e
    @user-te1gh1oo2eАй бұрын

    Chidy anajua uwepo wa MUNGU na anajua mpaka hapo alipo ni MUNGU sasa kwanini msimuelewe mpaka mseme bangi

  • @MasanjaThomas-on1mv
    @MasanjaThomas-on1mv5 ай бұрын

    mhhh

  • @husseinhamis1428
    @husseinhamis14285 ай бұрын

    Brother sky unauvumilivu sana aisee maana daah mwamb anaungruma2 mar anasinzia duuh sali liko hvi majib vile

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    5 ай бұрын

    😂😂😂

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya99245 ай бұрын

    😂😂😂😂nikikumbuka iyo kama alien😅

  • @user-qm6lq7ud9p
    @user-qm6lq7ud9p5 ай бұрын

    mwanangu chidi amepiga vitu kabla kuja interview naona ako vizuri

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud2565 ай бұрын

    Ila akivua miwani mbn km macho yke km kashakula vitu ivu mbn macho ypo ivo

  • @cdeleo9336
    @cdeleo93364 ай бұрын

    Duuh kweli sky una uvumilivu. Mimi nisingeweza kumsikiliza kabisa

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz157322 күн бұрын

    𝐂𝐡𝐞𝐝𝐲 𝐧𝐚𝐦𝐩𝐚𝐭𝐚𝐠𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚𝐧𝐢...

  • @kaloymlambi3670
    @kaloymlambi36704 ай бұрын

    Ila haya maisha nyieee daaah

  • @jmm1840
    @jmm18404 ай бұрын

    Chidi anaakili sana na anapenda kwenda na akili ya mtu alivyo Akimuona kichwa anaongea pointi Kama anayemfanyia intavyuu hujitambui utacheka na majibu yake

  • @user-rh3rm5pv2y
    @user-rh3rm5pv2y4 ай бұрын

    Kweli matajir wanapenda watot

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal7784 ай бұрын

    Alikiba noum

  • @isayaashangai1081
    @isayaashangai10814 ай бұрын

    😅😅😅 Dah

  • @user-pz7ke7ry3m
    @user-pz7ke7ry3m5 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ 😅😅😅

  • @videozaaj1069
    @videozaaj10695 ай бұрын

    Kwenye suala la nyama za watoto wadogo kuliwa,nakubaliana na rashid,hiyo ni kweli kabisa hii dunia ni so wicked,kuna vitu ukiambiwa vinaendelea kwenye hii dunia HUTAAMINI HATA KIDOGO

  • @kavisheonline2418
    @kavisheonline24185 ай бұрын

    Raha ya kumfanyia chid interview wew mpe swali moja alafu yeye anatiririka interview yote 😅

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam8605 ай бұрын

    God #benzino

  • @PatsonIkula

    @PatsonIkula

    4 ай бұрын

    Hii muhimu sana. God!

  • @Mutubure
    @Mutubure5 ай бұрын

    Sikay mpaka anachoka kumsikia Chd😂

  • @pickfordjustin3432
    @pickfordjustin34325 ай бұрын

    Jaama ni genius

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa9945 ай бұрын

    Kama Watu Wa Sayari ya Mars

  • @johnmike6059
    @johnmike60595 ай бұрын

    Ushafeli mzee chid kuwasema madogo ovyo ovyo ni makasiliko

  • @kulindwazakaria9741
    @kulindwazakaria97415 ай бұрын

    Hii issue ya nyama za watoto nimemsikia Mfalme Chidy Benz zaidi mara sita. Naanza kuamini Itakuwa na ukweli ndani yake

  • @lugendodaudi5510
    @lugendodaudi55105 ай бұрын

    Fatilia hao matajiri bro kuhusu kula watoto

  • @salumuseif3324
    @salumuseif33245 ай бұрын

    Dada ile mbami😂😂😂

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya4 ай бұрын

    This guy be looking high 24/7 haha 😂, can’t even tell if he’s high or not 😂.

  • @konceptualagency4837
    @konceptualagency48375 ай бұрын

    Chidi kichaaa 😂😂😂

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k5 ай бұрын

    Mimi hupenda mschizii wote wakutoka magetoni 😂😂😂😂 yani hua hawafake maisha yani wanakupa makavuu au sio

  • @abubakariali9848
    @abubakariali98485 ай бұрын

    Wa kwanz leo

  • @jmm1840
    @jmm18405 ай бұрын

    Chidi haongopagi Ukiona akitaja jua kweli

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal7784 ай бұрын

    Bangi mby

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28875 ай бұрын

    Chidi anatakiwa kupata ucmamiz wa kazizake vizur atacmama vyema kabisa amini hvyo

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata37103 ай бұрын

    Anaongea kama anatafuna karanga😂😂😂😂

  • @Lionboi600
    @Lionboi6003 ай бұрын

    Kwa mfano chidi anataka kuwa MSEJI wa timu hapa Tanzania anafaa kuajiliwa na Timu gani?

  • @allymtunge5530
    @allymtunge55305 ай бұрын

    Ila bora huyuu! Kuliko d.I.d

  • @manyizimusic4366
    @manyizimusic43665 ай бұрын

    Chumaaa chidbenz

  • @muuhclassic1342

    @muuhclassic1342

    4 ай бұрын

    Chid ana machokumchuzi Wala sio bangi

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16324 ай бұрын

    Et we kidevu sio chin beez😂😂😂😂

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk5 ай бұрын

    gegius CHEEEEEEEDBENZ

  • @kdloon2030

    @kdloon2030

    5 ай бұрын

    Gegius??????

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar50675 ай бұрын

    Sauti 😂😂😂

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline63335 ай бұрын

    😂😂😂😂Mbami

  • @ismailally2549
    @ismailally25495 ай бұрын

    Chid ww umekuja umeshapa ugali

  • @babalad983
    @babalad9834 ай бұрын

    Ila bangi bado anavuta

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures69334 ай бұрын

    Chumaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv5 ай бұрын

    Kwa hiyo chidi ni kama alimla Jide maana kafichaficha

  • @mattjr4206
    @mattjr42064 ай бұрын

    Mbn anaongea kama Oni Sigala?? 😂😂

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud2565 ай бұрын

    Huyu kashakula vitu huyu si bure kw hali hiyo 😳

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d5 ай бұрын

    Ngada

  • @rubazakennedy7441
    @rubazakennedy74415 ай бұрын

    better chid than H baba

  • @mwanawataifa4889
    @mwanawataifa48895 ай бұрын

    Media zinapromot bifu wadai

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo57375 ай бұрын

    Kwenye bongo flevar Ali kibaNi flai k.😅😅

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi82435 ай бұрын

    Chid kumbe katomba Jide

  • @user-ew4lu2bm4r
    @user-ew4lu2bm4r5 ай бұрын

    tangu namjua ajawah kukosea mtoto wa ilala

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d5 ай бұрын

    Apelekwe rihab huyu

  • @petersenteu7252
    @petersenteu72525 ай бұрын

    Kwani amelewa now?

  • @mustafamatata3795
    @mustafamatata37955 ай бұрын

    Bongo music industry inaonyesha kuna uc....fu xana

  • @kimwalove
    @kimwalove5 ай бұрын

    CHIDI AITAJI MSAADA FOR REAL HAEZI KUWA AMESAIDIA KILA MSANI WA BONGO THIS GUY IS USELESS

  • @smarty1064

    @smarty1064

    5 ай бұрын

    Kwa enzi zile, wengi sana walipita mikononi mwake na kiuchumi alikuwa yuko vizuri nadhani familia ilikua inambeba financially

  • @samolamsille3928
    @samolamsille39285 ай бұрын

    Naona bwana sns umeogopa kumsikia matajir wanakula wototo

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын

    Brother Sky hapo umezingua😂.. Jay Dee hakumlenga Chidy bhana, acha kuchanganya madesa

  • @ms_teeonly

    @ms_teeonly

    5 ай бұрын

    Ni Kweli kabisa

Келесі