Kidonda cha Chid Benz kinatisha, kinamliza, adai Wasafi walimtelekeza, amtetea Harmonize - Part 4
Ойын-сауық
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 219
Fedrick bundala you’re one of the best
@Visitmoshinow
5 ай бұрын
Hapa bongo kabaki bundala tuu he is the best
😅 Chidi is hilarious! Achoshii kumsikiliza !! Sky handled the interview kistaarabu sana
@uwezokinahi7870
5 ай бұрын
Fredrick Bundala Ni legend.. Kuna yule Jamaa anajiita King of Interviews 😂😂Ila Sky Walker ni Level nyingine kabisa
@aziziabeid6052
5 ай бұрын
Father of ethics, journalism ethics hasa kwa investigation stories
@hadijagere
5 ай бұрын
Kabisa sky ni level zingine❤
1.Chidi needs to accept his in serious trouble, 2. He needs rehabilitation, because its affecting his health. 3. About that infection his leg, most drug addicts ends up with wounds due to injecting drugs into the veins in the particular area on the body for along period of time. This a big problem here in the 🇺🇸.
Unga ni kitu kibaya sana ndio maana China na Asia wanaua wauazaji wa madawa ya kulevya. Very sorry. Hicho kidonda kisipotibiwa muda mrefu kinaweza kuwa Cancer au kama kidonda hakiponi apimwe sukari.
@HajiDotto
5 ай бұрын
Shukran Kaka umeelewa ubinadam tumuoombee tu
Watching from kenya...chidi benz we love you🇰🇪
Mungu waponye watoto wetu na hii roho ya uharibifu, na he is a star lakini maisha yanHaribika kwa kila kitu,it's painful
Stop blaming people' bro,Ur on top of your own problems.Nenda kwenye kioo angalia utakayemuona huyo ndio tatizo.ACCEPT
Nadhani kinachomsumbua Chidy now ni ile illusion ya kudhani bado ni the same CHIDY BENZ wa zamani...but truth be told huyu mwamba needs help like yesterday...hii kusema "I don't need yo money"... halaf kutwa kucha lawama kwa Diamond na WCB tunajua kabisa ni njaa tu na hali ya kimaisha....washkaji zake wanatakiwa wawe real at some point.
@Hauleshabby
5 ай бұрын
It's true kaka upo sahihi kabisa
@rixone612
5 ай бұрын
unaelewa nn kuhusu mzk ww,chid ana njaa gan
@kamole3
5 ай бұрын
He needs help but he will never be the same, due to brain damage. IMO though 😏
@omarzinga7046
5 ай бұрын
Mbona kidonda akipoi kama hana njaa@@rixone612
@ritchiexanti9587
5 ай бұрын
@@kamole3 unspoken fact
Hallo Sky Chidi ni Rapper mzuri savanna,ila kama kweli anatumia unga basi kidonda kupona itakua ngumu.Hapo njia ni rehab.
Sky isn't listening to this guy,he is just studying him to understand his personality! He is just trying to make sure he gets help? He needs to go for rehab!
Chidi Benz ni one of the exceptional musicians that God has blessed our country with. Binafsi, nimeanza kumsikia chidi tangia anatoka anajiita chidi benzino na mangoma kama hoi ft black rhyno, Kuna Ile wakati ndiyo huu ft marehemu Ngweair, natubu bonge la ngoma Halafu hii natubu ni kama alikuja kuirudia kwenye ngoma take fulani inaitwa nipokee ft Ben pol. Ila Chidi amewasaidia wasanii wengi sana na hiyo ndiyo inayomuuma kwamba zile fadhila zake hajizalipwa!! Lakini ndivyo walivyo wanadamu
Mwenyezi mungu atusitiri sisi na vizazi vyetu Ameen Ameen Ameen kwa. Ila wanaoleta madawa ya kulevya akikamatwa wapigwe risasiiiii hatharari ili iwe fundisho kwa wengine .
😂😂😂Utamlindaje Mtoto Na Baba yuko tungi😅😅
Unachotakiwa kujua kwamba mtu yeyote anaetumia madawa ya kulevya hua hasikii maumivu, ila mwisho wa yote chidi hayupo sawa anahitaji kusaidiwa
@nathanaeltweve8304
5 ай бұрын
Kusaidiwa nini?
@ruu6592
5 ай бұрын
Yupo sawa kwa wenye akili tu
@Visitmoshinow
5 ай бұрын
Uliwahi kutumia?
@mancholotrasco8350
5 ай бұрын
@@ruu6592seems like wewe huna akili coz huwez kuona asiosawa kuwa yupo sawa alafu unasema unaakili .... My question is ulianza kumjua child lini na ktk hali gani ..!??
@Kujason12
5 ай бұрын
Vipi na wale wanao m ft wao hawamuon kama hayupo sawa
Sky much respect 👍🏽👍🏽 unaweza kweri 👍🏽
God bless u Chid....Ila haya yote unayopitia siwez kukujudge bro wewe ndo unapitia na ndo unajua UKWELI ila MUNGU ATAKULIPIA na kwenye MSIBA wako WANAFIK watakuja wengi sanaaaaa na mpaka KUONGEA wataongea
Sky Fred Bundala 💥💥💥 Gwiji kabisa,shout out kwa Rasheed Makwiro Chid Benz ✊🏿
Chalii mjanjamjanja sana huyu mtu. Remember his a last song about wapinzani wa chama cha" like mzee wetu......!!!
Kumu oji chid kazi kweli😂😂😂😂
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
5 ай бұрын
Yani nimechaka mpaka 😂😂😂 yani sio kazi mdogo
Sky ulikua mvumilivu na understanding ,,, kuhost Chidy sio rahisi
Chidy you can stand on your feet and manage your self, stop blaming others for your situation no one can help you but your self
Chid Itabidi akubali kuwa yupo vitani na Komandoo ni yeye peke yake hili ndo naloliona mimi
@user-ir5mc7vk8b
4 ай бұрын
Upo sahihi
Asallam maalequ Allahadulilah Allah hjelp you Ishaala Ishaala Allahadulilah ❤❤❤
Mpaka umuelewe Chid benz inahitaji uwe makini mimi namuelewa sana
Chid Benz ebu kua specific upate msaada brother acha usela sana man game inakuitaji acha madawa mzee utaishia kulaumu watu
Asipoangalia atakuja akatwe huo mguu alafu wapumbavu wenye kuona anaakili timamu au anapngea sense ndio watakuja kustaajabu ... Hata huku SA tunao watu wa ainahiyo wanaovuta madawa na kipata majeraha then wana end up Kwa kukatwa baadhi ya viungo vyao ... Imagine huku kuna matibabu na ma professional doctor's but watu wanakatwa viungo vyao je eweje huko kwenye kilakitu pesa when comes to health care
Sky anavumilia 😂😂
Hicho chanzo ila chid kwa alivyo now kinamuondoa uhai hicho kidonda.asipo jirekebisha mwenyewe maana watu wamemshindwa chid
Huyu jamaa watu wanampenda sana...yaani watu wako na mapenzi kwa dhati kwake ...Ingekua zile ngoma zake zimpatia maokoto angekua mbali sana...ingekua alalamiki sana
Yaani yoote aliyo ongea Chidi ni kweli kabisa, mtu poa sana Benz
Yes chidi tunakuelewa sana awo watu tuwaite malimbuken wa hela
Diamond nawatu wake wanaroho mbaya na madharau hamna chann walann watakao nitukana watukane ila chidy Benz kashasema ukweli
@joshuamakota6714
5 ай бұрын
Acha kuamua mambo kwa kuskia maoni ya upande mmoja nenda kawahoji na wao uskie wanasemaje, chidi ana tatizo la kisaikolojia, ksho pia atasema sky mbaya hanicheki tangu kanihoji haulizi chochote.
Subhannallah, mtihani kwakweli. 😢
Shida brother anapata watu wa kumsaidia ila hakawii kuchange
Kinachomtesa chidi benzi ni memories good memories alizozipitia sasaiv hayupo sawa Kwa anayoyapitia kuhusu kushuka kiuchumi Sasa wanamfanya azidi kudata..ila pole chidi
@alvinsamir2013
5 ай бұрын
na hakuna kitu kina muumiza kama KUONA YEYE ALIKUWA NA ROHO NZURI MNO NA SASA HIVI haoni huo #UPENDO yeye aliwapa watu
From France huyu jamaa hawezi kuwachwa ulevi wake hana dawa kumwachilia vile yuko.....🇨🇵🇨🇵🇨🇵🇨🇵👍
Pole sana.
Sky sio kazi rahisi kufanya interview na CHIDI bro
bill Nas big up
Best interview
Kufanya Interview na huu mwamba inaomba akili,big up sky
Wengi mnaongea tu ila kwa sisi tulio bahatika kukaa Ilala na karibu nae huyo jamaa kawabeba wana wengi sana hata pale magorofani ilikua hakukauki Wana kuanzia asubuhi Hadi jion kuanzia kula kuwavalisha kuvuta na mambo mengi wasanii wa kubwa wengi jamaa kawasaidia huyooo akiwemo Daimond alikua hatoki ilala kipindi anajitafuta😊
My kaka tunaomba upige kampeni huyu jamaa asaidiwe kwenda hospital na iwe Seriously kwani huyo jamaa sawa zinamtesa tusubiri mtu aondoke tuanze michango ya chakula😢 na kuvaa tishet ya picha yake 🙏 huyu jamaa apelekwe hospital
@aziziabeid6052
5 ай бұрын
Huyu shida sio watu kumsaidia ila huwa akipata nafuu anachange, mkali na anatoroka huku akiamini kuwa hana tatizo
Msaidie...Haji PENDE..ni LEGEND HUYO.
Kaka sky mbona utaisoma tu Leo...mada kuhusu kidonda lakin chidi kashapeleka mada tofauti Yan....Yan chidi kashadata Yani hayupo sawa kabisa...uteja unazidi kumaliza chidi benzi..😱😂🥲inanibidi nicheke tu..kwachidi japokuwa inasikitisha..
Diamond mungu anakuona tu
Bundala huwa najua wewwe ni mkali wa interview, lkn leo umepanda viwango vingine😅😂😂😂. Una uvumilivu wa hali ya juu sana, wengi hapo wangechemka😂😂😂
For Real man 🙌🏾🔥💯
Sky usinge mfanyia interview juu amekula vitu vyake tayari
Huyu mwamba tuache ni brother wangu najikuta natoka na chozi ila sijui inakuwaje inaumiza sana
Kneel down confess to your god he is bigger than any thing must show you the Real way instead of blaming every body
Benz jamaa clean sana kimuziki from Kenya still we love you but weh wacha sukari aisee
Yani kaja kwenye interview kashakula dawa
@BarbaraPatience-qt9cc
5 ай бұрын
True
Uyo Jamaa Jinsi Anavyo ongeya Anaonekana Amekujanatumiya Madawa ya Kulevya;...Sana Sana Bange Mingi Sana!.
Chid the great Artist ever but Stop DRUG MEN 😢
Mziki wa bongo fitina na choyo
Hata la mlevi linamaana..anaongea..ukweli
Depression is real...hataki kuongelea wale wanaosababish kuhofia kuwaharibia rzik kwa roho yake ya utu Ila he knows everything and y...
mm nlich gundua ata akil ashaanz kupoteza chid
❤❤❤❤❤
How can WE Help chidi .WE should standup and Help him before IS Not late pls . Watching from München
@ilovejesus9303
5 ай бұрын
How, yeye mwenyewe yupo kwenye denial, hataki
Kama kuna shabiki ya chid anayeishi bara Amerika amchukue akaishi huko kwa kipindi ili akajitazamie kwa muda
Achaneni na Hilo teja, Mungu alimpa zawadi ya kipaji lkn hakithamini sasa wa nini huyu
❤❤
Confidence is good but over confidence is harmful
Daah I wish atokee mtu atakaemconvince huyu mtu aweze kusaidika. Kuna mda tunaweza mlaumu mtu kumbe kakwama kabisa ,kashindwa kutoka lkn bado anajiona yupo pow. Kaka Sns anajaribu kutaka utayari kwake ili km kuna mtu basi aweze mpa au kunsaidia chochote ila yeye ndy kama hivyo sisemi hataki ila nafsi yake anajiona yupo sawa. Tusihukumu ndugu ila kuna mengi ktk dunia anapaswa apewe ukaribu na kusaidiwa.
@ruu6592
5 ай бұрын
He is very ok
@user-ih9xy5vd5d
5 ай бұрын
Mtu wa kumkonvince chidi ni chidi mwenyewe, he needs to take responsibility for his own actions, analaumu kila mtu aisee, it’s wrong in every way, ndo maana watu hawataki kufanya naye kazi kwasababu in the end utalaumiwa
@neponova8988
5 ай бұрын
He is very clever,talented,blessed and loved..once he puts entitlements aside he has a great opportunity to do wonders
He really need help, First step is to accept he has a problem Second step is to accept help
Tunaomba ziwekwe sheria za nguvu kumsaidia mtu amabaye hatak kusaidiwa. Kwani inawezekana hili pia ni tatizo la akili. Kama mtu una umwa halaf hutaki kusaidiwa, hii ina naana una tatizo la akili. Serikali tunaomba msaada wa hili. Na kwa watu wenye matatizo kama ya chidi.
Ongera sana kaka sky
@kuruthumhamza5161
5 ай бұрын
Mnooooo yani
😊😂😂😂😂uko mwishoni
Mungu amponye maana huyu jamaa kaongea ukweli watu wanapitia mengi na magumu
Yupo live 😮
Stop to blame people, This is your health man, let people to help you 💔
Kila siku anaelalamika akati maisha ameyakosea mwenyewe.....
@kassimmtepele5986
5 ай бұрын
Mwamba kila siku kulalamikia watu
Mama hamuoni huyu mtu na hatambui mchango wake katika jamii
Hayo ni maji kweli au ni maajii😮😮
Mhhhh walk of life😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Am always on chidy’s side lakini sasa ifike muda anatakiwa ata take a full responsibility of his own life na aache kulaumu watu…..mtu halazimishwi kujali…he’s a grown man …this is 💯 stupidity…Unataka huruma sana chidy Men don’t act like that man you have to do better….ili hizi dharau za watu ziishe fanya kitu kingine Kama mziki unakupa stress..achana na kujiona Kama mimi ni CHID BENZ kwamba huwezi fanya kazi zingine…fanya ishu zingine upate hela yako…kila mtu siku hizi anabeba msalaba wake
@ruu6592
5 ай бұрын
keep your opinion to yourself he don't need it.
@kinthermedia6164
5 ай бұрын
Anatakiwa kujuwa maisha yake ni wajibu wake
@jbwisechirume
5 ай бұрын
Kwa namna hii unaweza hata kushauri mtoto wako kweli.
@HatibuHatibu-cd7hs
5 ай бұрын
Real..
@rixone612
5 ай бұрын
kazi zingine ni kaz gan kwa msanii?unajua chd katoka wap na mzki
Nasubiri pod yako na dizasta vina.
Hata sky amepotea sababu anaongea vitu tofauti sana!!! Sky is lost!! Sky angelivuta unga angeli flow naye!!
@m___ck799
5 ай бұрын
😂
@Calabashimukeshi
5 ай бұрын
😅@@m___ck799
@nelsongodbless192
5 ай бұрын
😂😂😂
Labda aishi nje ya DAR lkn kama ni hapo mjini mmmmh hasaidiki
Saidieni uyu jamaa apone mguu na aache zile vitu zinampeleka pabaya kiukweli,,,,Kenya inampenda chidi...
Mwambie.
Tiba KUBWA ni yeye mwenyewe kukubali tatizo na kukubali kulijutia
Inaskitisha jamaa bado hayupo sawa mtaalam wa magonjwa ya akili namuelewa sana 24:30
Naomb kujua je msanii anafaidika vip na hizi interviews baada ya mm kutazama na kutengeneza number of views
@ilovejesus9303
5 ай бұрын
Mashabiki zake watajua kwa undani shida zake na kumsaidia
Sasa huyu chid anapaswa kupewa msaada gani mbona mtu mwenyew kama anabembelezwa anapohojiwa, ustar mwingi wakipuuz ndo unao waponza hao wasanii wetu
Mzao huu wa huyu dogo Chid ulinishanipaga wasiwasi walikuwa wanaitana kwa kusalimiana mambo Kichaa wangu kweli sasa nashuhudia ukichaa wenyewe huyu sio mzima anahitaji kupepewa.
Nyinyi munaomsema anakula Unga sijui ,unga mbaya ,mara unga sijui nini....Kama huezi saidia Muombe mwenzako ...sio kumuongelea binadamu mwenzako vibaya ...hujafaa hujaumbikaa
@ramsojimmykelly3379
5 ай бұрын
hizi unavyofikiri chid ajawahi saidiwa?
Oya ongea hpo kuhus kidonda mbona huelewek mzee unajimung'unya hpo
Hicho kidonda ata kukitibia ni ngumu sababu bado anakula madawa
@tgdeemoney1375
5 ай бұрын
Why you sounds so idiots
Huyu anavyo zulumika zulumia na hana wakumtetea wala kumsimamia kupata haki zake hakuna.nawanamchukulia teja sijui ndio mana hawampi pesa.najiuliza na hata hizo nyimbo zake zinazo tumiwa na watu zingawaingizia pesa halafu chid hapewi chochote.najiuliza hakuna wanasheria wakumsaidia huyu bingwa?haya mambo yanazidi kumchanganya msaidieni kupata haki zake.Bilashaka anaweza akabadikika.vitu vingi huyu mwamba vinampa strees dah mungu amsaidie nsha Allah
Chid namkubali sana lakin madawa yame mvuruga
Anaweza kuwa na kisukari
@m___ck799
5 ай бұрын
Nimefikiri hivyo pia..😢
WABONGO BWANA KAMA MTU HAJIONEI HURUMA MWENYEWE KWA NINI MKO CARE NAYE?
Ananguruma tu😅
ukipata kidonda ukiwa mtumiaji wa kokein huwa akiponiii mpaka mraibu aende sober akatibiwe kisha ndo kidonda kitibiwe..... kutopona kwa kidonda cha mraibu kuna uhusiano mkubwa na concetration ya drug katika damu... swali la msingi hapa ni je bado jamaa anapenga?
Labda nusra ya allah ila tunaeza tu muona ivi adi akafa akiwa na hali hii na apo watu wataongea meng but unga sio kitu kizury kbs
Chid Benz is hurting bado huyu jamaa anamaumivu na amekuwa disappointed kiasi hana imani kwa peers kwenye game tena
😂😂😂😂kaka sky kamuanzia mbaaaali anaogopa majibu ya chid
@ilovejesus9303
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂