HUYU ndio YOMBO MSUKUMA! Anawavunja MBAVU watu kwa sauti na COMEDY zake alivyoanza UTASHANGAA!

Ойын-сауық

SUBSCRIBE CHANNEL YA YOMBO MSUKUMA
www.youtube.com/@YomboMsukuma...
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 224

  • @naomitheobald125
    @naomitheobald1254 ай бұрын

    😅😅😅namkubali sana yombo kwasababu yombo hata uki like kazi zake ana jibu

  • @naomitheobald125

    @naomitheobald125

    4 ай бұрын

    Hana baya mwanangu wa nguvu

  • @user-pz4xy5sd4w

    @user-pz4xy5sd4w

    6 күн бұрын

    kazi yake mzur lkn apunguze video zamatusi

  • @user-oq5xl6by7s
    @user-oq5xl6by7s5 ай бұрын

    Jama sio pow mm nilijuw yuko na wenziw kumb one man army salute yombo msukuma😂😂😂😂

  • @albertkatuga2434

    @albertkatuga2434

    4 ай бұрын

    Ata mimi wallah nilikuwa yeye sauti yake ni ile ya yombo tu, daaaaaa huyu yombo katisha hii ndio inaitwa don't care

  • @GaheshiFunny-zw2nj
    @GaheshiFunny-zw2nj3 ай бұрын

    Huyu jamaa nomaa saana anakipaji kwakwelii anaweza 💪🏽💪🏽namufuata tukoka Burundi Bujumbura

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54815 ай бұрын

    Yombo nakukubali Sana na unakipaji Sana Yan huyu jamaa yombo anatiririka Sana yani anakipaji

  • @KuwakuMalumba6895
    @KuwakuMalumba68955 ай бұрын

    Uyu bro namu agaliya sana apa UK 🇬🇧. Niki toka kazi. Nahaza kupika shakula. namu, watch every day nikiwa home! Nikiwa napika shakula home ata na watoto zangu wana sheka sana vituko va bro! Nakubali sana bro! Well done bro! Una weza kazi yaku shekesha!🇧🇮🇹🇿🇷🇼🇨🇩🇿🇦🫵🏿👊🏿 MUNGU Ibariki Africa.

  • @user-jb3uq6jg5f

    @user-jb3uq6jg5f

    4 ай бұрын

    Hi naomba mawasiliano na wewe if you don't mind i need to ask you something zena🇹🇿

  • @meez001
    @meez0015 ай бұрын

    Jamaa yuko safi kabisa👏👌

  • @backgroundmusic6138
    @backgroundmusic61383 ай бұрын

    Bhana ee.. me mwenyewe ninavipaji vingi na sijui navikuzaje.. now nipo na simu natengeneza film na beats... Umenipa nguvu yombo high five to you 💙

  • @RakaPk
    @RakaPk4 ай бұрын

    Namkubali sana yombo anakipaji sana uyu bro ❤❤🎉

  • @user-wc2lo8yc5r
    @user-wc2lo8yc5r4 ай бұрын

    Yombo nakukubali jama yangu we ninoma sana salut😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani19484 ай бұрын

    Salute kwa yombo msukuma nilidhani ni watu wengi kumbe ni mmoja mungu atamfikisha mbali anatuburudisha

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid24885 ай бұрын

    Yaani hongera Sana bro sky bwana mimi nakukubali yaani unawaibuaga watu uchagui ubagui

  • @user-my8nj3cc6n
    @user-my8nj3cc6n3 ай бұрын

    Nakupenda sana yombo nanikubari sana kazi zake❤❤

  • @Barakapiano
    @Barakapiano4 ай бұрын

    Kazi yako ni njema kaka, Mungu akubariki Sana,keep on

  • @cbegram6161
    @cbegram61614 ай бұрын

    Sky walker we ni noma noma noma, one day tutakutana I keep grinding

  • @kondeabdallah6987
    @kondeabdallah69874 ай бұрын

    Dah aisee yombo uko juu sana one man army 😅😅😅

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar56955 ай бұрын

    Nampendaga kaijage😂😂😂😂❤❤❤

  • @shebemama7784
    @shebemama77845 ай бұрын

    Walah nimesheka san yombo anajuw kwakweli kila sauti anawez

  • @adrianomduda5293
    @adrianomduda52935 ай бұрын

    Big up yombo

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana975912 күн бұрын

    Eeee Munguweee Asante kuniwonesha yombo kweli nimeflahi asante mutangazaji❤❤❤

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c4 ай бұрын

    Yombo kanishinda tabia wallahi mm nilijua mpo wengi sasa ndo umezidi kunishinda tabia na mwanamke tena umeweza sana🎉🎉🎉

  • @Bakr_salim
    @Bakr_salim4 ай бұрын

    Kwa hiyo yombo ni wewe unatumiaga majina ya chausiku na alex❤❤❤❤ much love from Uganda

  • @Stanislauskolady
    @Stanislauskolady4 ай бұрын

    Hiyo sauti yakike umetisha sana 🌹🌹🌹🌹

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations5 ай бұрын

    Hongera sana Yombo

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl15685 ай бұрын

    Jamaa namkubali sana huyu 😂😂😂😂talented kubwa sana Yombo you are my comedian ever

  • @albertkatuga2434

    @albertkatuga2434

    4 ай бұрын

    Huyu kweli shida, kama vyote kajifunza na kaweza nampa salout

  • @zahrababygarl1568

    @zahrababygarl1568

    4 ай бұрын

    @@albertkatuga2434 sana alafu kupitia KZread vyote

  • @bellaniyo6527
    @bellaniyo65275 ай бұрын

    Yombo na kupenda sana 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂

  • @alinotilucamoris6189
    @alinotilucamoris61895 ай бұрын

    Next TX dullah Mnyama🤣🤣🤣

  • @AsiahItungi
    @AsiahItungi4 ай бұрын

    Yombo hongera sana

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad78874 ай бұрын

    Yombo msukuma ww jamaa ww duh😂😂😂

  • @user-pg9dv9vo8p
    @user-pg9dv9vo8p4 ай бұрын

    Daaaaah huyu mwambaaa Ni hatariii sanaaaaa

  • @veronicasamwel-ij1zq
    @veronicasamwel-ij1zq3 ай бұрын

    Dah me nilidhan Kuna watu wanamsaidia yupo vizuri nampenda sana

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala38794 ай бұрын

    Sura yake ninayo kabisa kwenye simu yangu

  • @user-mw3nm6tb9h
    @user-mw3nm6tb9h5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂. Hahahahaha. Huyu Yombo mbona hatariiiiii. Sana

  • @FlorenceWabiwa
    @FlorenceWabiwa3 ай бұрын

    Jamani avuwe icho kidude tumuone😂😂❤❤❤

  • @welcome2019-vl5yy
    @welcome2019-vl5yy3 ай бұрын

    Mashaallah zidisha bidii

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi5 ай бұрын

    Huyu jama ninoma sana bro nakubali sana kumbe kajake ndie yeye na yombo ndie yeye daa jama nimnoma sana

  • @albertkatuga2434

    @albertkatuga2434

    4 ай бұрын

    Leo katu surprise mashabiki wake, huyu ndio msanii sasa

  • @dicksonassery5083
    @dicksonassery50835 ай бұрын

    Yombo msukuma anapenda kuwatrash madem 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle3 ай бұрын

    FREDRICK BUNDALA A.K.A SKY WORKER NAKUPENDA SANA BROO❤❤❤

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o5 ай бұрын

    Jamaal anakipaji ,Yuko vizuri sana

  • @aishabakari8040
    @aishabakari80405 ай бұрын

    Huaga nacheka sana nikiona video zakee 🤣🤣🤣🤣

  • @ritawtolliver3897
    @ritawtolliver38973 ай бұрын

    Aisee, yaani hongera sana Yombo, mimi nilikuwa nadhani mko mundi, nampenda sana Msukuma anakiburi 😅 na muhaya naapampasi take 😂. Mama yangu alikuwa Msukuma alituacha Jan 2022, mamayangu angekupenda sana sana. Angecheka sana. Hongera sana Yombo. Niliipenda clip ya majeneza 🤣

  • @benancejohn1198
    @benancejohn11985 ай бұрын

    Ukitumia mtandao vizuri, unaweza kukuongezea ujuzi kwenye maisha. Kama mimi nimejifunza kuendesha gari kwa mara ya kwanza kupitia KZread 💪

  • @roselynealima3618

    @roselynealima3618

    5 ай бұрын

    Mimi nimejifunza kusuka kupitia KZread 😊

  • @zarafisaidi5942

    @zarafisaidi5942

    5 ай бұрын

    Mzee kama mim tu ujue s

  • @benancejohn1198

    @benancejohn1198

    5 ай бұрын

    @@roselynealima3618 nakubali. Bando lako halijakwenda bure 💪😊

  • @benancejohn1198

    @benancejohn1198

    5 ай бұрын

    @@zarafisaidi5942 Upo sawa ndugu ✔️ . Nakubali 🙌💪

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia70744 ай бұрын

    Kinehe mzehe!! Gothoraga majob hareee wakwetu!!nene nerehooo oboko tegeta vava!!

  • @Ntametungirokoleta
    @Ntametungirokoleta5 ай бұрын

    Nakubali mwanangu yombo kinoma chukuwa like zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RubanzintwariJeanclaude
    @RubanzintwariJeanclaude4 ай бұрын

    Bro huyu Mwamba noma Yani yombo Sio hatakidogo

  • @fridakitemangu3446
    @fridakitemangu34464 ай бұрын

    Duh jaman kiukweli nimependa haya mahojiano sikujua kwamba yombo ntamwona nilijua ni katuni zile zinasetiwa duh yombo unakipaji mungu akuzidishie ujuzi wa Sanaa yako

  • @user-vv8jg2dy6c
    @user-vv8jg2dy6c5 ай бұрын

    Kazi nzuri sana,ushauri tu kamilisha kazi moja uingie kazi jengine,hata matamgazo usiunganishe apo kwa apo,ukisema ahsanteni ikimaliza unaianza tena hatupendi

  • @YuniShishi
    @YuniShishi8 күн бұрын

    duuu yani huyu yombo Mimi simchoki kumsikiliza ata kama una mawazo kidogo yanapotea mungu akuzidishe Sana kaka

  • @Starbrunodg
    @Starbrunodg5 ай бұрын

    Apokwa kaijage ndoameniuwa😂😂

  • @asiasalim9323
    @asiasalim93234 ай бұрын

    Khaaaaaah upo moto yombo 😂😂😂😂

  • @shabankashindye6240
    @shabankashindye62405 ай бұрын

    huyu ni mwamba sana, ni kipaji kikubwa sana. natamani serikali ingekua na incubation hub ya kuvikuza aina hii vipaji. na kugeuza hizi talanta kuwa biashara rasmi

  • @grecasayo1691
    @grecasayo16913 ай бұрын

    Nakukubali sana yombo kutoka kenya

  • @DominiqueLangat
    @DominiqueLangat8 күн бұрын

    Am from +254 ee bana wee unanipampa sana brother kazi njema

  • @user-zs9mf1gs5x
    @user-zs9mf1gs5x5 ай бұрын

    Naitwa nancy nampenda yombo yamaniiiiiii ❤❤❤❤❤

  • @NgomelejiSindiyo-yt5ib
    @NgomelejiSindiyo-yt5ib3 ай бұрын

    Yombo unatupa Raha sana,endeleaaa sana

  • @VannlyTembo
    @VannlyTembo5 ай бұрын

    Tuna kuku Bali saana uku Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 we ni noma

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    5 ай бұрын

    Kuku bali?

  • @VannlyTembo

    @VannlyTembo

    5 ай бұрын

    @@BigZhumbe ninge semaje kk

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    5 ай бұрын

    @@VannlyTembo Ni neno moja mkuu KUKUBALI ukiweka space linapoteza maana.

  • @erycah

    @erycah

    4 ай бұрын

    ​@@BigZhumbe hongera kwa kumfundisha mwengine angeishia kumkebehi tu

  • @user-gw3mt9dp2k
    @user-gw3mt9dp2k4 ай бұрын

    Hongera sana kaka nyombo

  • @Bakr_salim
    @Bakr_salim4 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ much love from Uganda 😂😂😂😂😂

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r4 ай бұрын

    Wow 👌 👏

  • @user-uw8nj9yp9z
    @user-uw8nj9yp9z4 ай бұрын

    Kati ya mtu mshenz ni huyu mwamba😅😅😅

  • @user-yi3fh8qt5k
    @user-yi3fh8qt5k4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wallah uyu kaka nampendag sn jmn😂😂😂😂😂😂

  • @naomitheobald125
    @naomitheobald1254 ай бұрын

    Huyu bro atafika mbali kama ataeendelea kuwa humble ila kuna wengine mazarau umaarufu kidgo tuu taabu

  • @user-in8uw8kf8m
    @user-in8uw8kf8m4 ай бұрын

    Character inayopendwa ni ya Kaijage na mzee komba

  • @user-le9hl4es2y
    @user-le9hl4es2y4 ай бұрын

    big up yombo

  • @AsiaJuma-mn7se
    @AsiaJuma-mn7se4 ай бұрын

    Yomboo yomboo❤❤❤❤

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery33783 ай бұрын

    Uko Safi sana

  • @HappyKavira-k2b
    @HappyKavira-k2b11 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉 yombo nakukubali sana jamani🎉🎉🎉

  • @archbishop7548
    @archbishop75484 ай бұрын

    Kiukweli huyu kijana angelikuwa inchi za kizungu kwahii kazi yake angekuwa tajiri

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo17414 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣 duuh ngoja nkamfollow

  • @PhinaNassoro
    @PhinaNassoro4 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤ hakuna wakukufikia yombo

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani19484 ай бұрын

    Jamaa namkubali sanaa mungu amfungulie milango yake ya Riziki

  • @respiciousfrankly
    @respiciousfrankly4 ай бұрын

    Sasa hapo nimekukumbuka ulvosema uliishi nyamanoro na ni fundi cm

  • @michelinendikumana8979
    @michelinendikumana89794 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 mbavu zangu

  • @hozamussa89
    @hozamussa892 ай бұрын

    Kazi yako ni nzuri sana. Mungu akupe mafanikio

  • @ASUKULUNYASSA-hf6wk
    @ASUKULUNYASSA-hf6wk4 ай бұрын

    Akuna anaye kuzidi tz atakanumba ahoni ndani Niko usa

  • @MosesJulius-ki1cz
    @MosesJulius-ki1cz4 ай бұрын

    Yombo Niko natazama mahojiano Yako nahuyo mtangazaji

  • @dinnahdaffi4253
    @dinnahdaffi42534 ай бұрын

    Pambana yombo

  • @fora2009
    @fora20094 ай бұрын

    Yombo wangu😂😂😂😂

  • @JeniferMinja
    @JeniferMinjaАй бұрын

    Ahhahhahaaha😂 big up broo

  • @yasinhussen-2881
    @yasinhussen-28815 ай бұрын

    Ila wahaya mnatuonaje😂

  • @AllyMashaka-zk2zm
    @AllyMashaka-zk2zm5 ай бұрын

    🤣🤣🤣Ila yombo😂😂😂

  • @user-mv4os7sd8g
    @user-mv4os7sd8g4 ай бұрын

    Ataaar saaaan man yombo

  • @user-nu5qz8gi3p
    @user-nu5qz8gi3p4 ай бұрын

    Hongera bro

  • @user-tr2eq4gg6j
    @user-tr2eq4gg6j4 ай бұрын

    jaman nampenda komba jaman nachekaga mpk bc

  • @AminaMjema-vf5nt
    @AminaMjema-vf5nt4 ай бұрын

    Waoooh

  • @ramajuma5620
    @ramajuma56204 ай бұрын

    Hili jini aisee😂😂😂

  • @respiciousfrankly
    @respiciousfrankly4 ай бұрын

    Hongera sana

  • @mialanomanqobo6639
    @mialanomanqobo66395 ай бұрын

    Yombo yuko na creativity kali Niko fan wake zaidi

  • @johnkamira2236
    @johnkamira22362 ай бұрын

    😂😂😂 he’s so talented 💪🏾💪🏾

  • @charlesgwambegu9188
    @charlesgwambegu91885 ай бұрын

    Mm saaana nakukubali

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige10565 ай бұрын

    Unatisha sana mzee wa SNS aka SYK WALKER!

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e5 ай бұрын

    😂😂😂😂iyo ndo sauti halisi

  • @Nashonmajigwa
    @Nashonmajigwa3 ай бұрын

    yombo pamoja sana

  • @user-ej3ho5ps4n
    @user-ej3ho5ps4n5 ай бұрын

    Good

  • @mfaumemkoma-ey2jd
    @mfaumemkoma-ey2jd4 ай бұрын

    😂😂😂 yani uyo jamaa ninoma nime fulahi sana kwavituko vyake natamani kilasiku awepo hapo ili niendelee kuinjoi poa ndogo nakutakia mafanikio mema

  • @NelsonHaule-hr2rx
    @NelsonHaule-hr2rx4 ай бұрын

    Namkubali Sana yumbo jupo juu

  • @isayabalama-hq1fc
    @isayabalama-hq1fc4 ай бұрын

    Noma

  • @jihalethegreat8807
    @jihalethegreat88075 ай бұрын

    Jamaa walimukataaga cheka tu akalia but kipind hicho hajaanza kuvaa mask

  • @bahatiboaziamisi5119
    @bahatiboaziamisi51194 ай бұрын

    Wewe kiboko sana 🎉🎉😂😂😂

  • @hassansela1393
    @hassansela13935 ай бұрын

    Mwaija ni mnomaa😂😂😂😂😂😂❤

  • @hamisamadimpozi5923
    @hamisamadimpozi59234 ай бұрын

    Ahaaaa😂

Келесі