HUYU ndio YOMBO MSUKUMA! Anawavunja MBAVU watu kwa sauti na COMEDY zake alivyoanza UTASHANGAA!
Ойын-сауық
SUBSCRIBE CHANNEL YA YOMBO MSUKUMA
www.youtube.com/@YomboMsukuma...
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 224
😅😅😅namkubali sana yombo kwasababu yombo hata uki like kazi zake ana jibu
@naomitheobald125
4 ай бұрын
Hana baya mwanangu wa nguvu
@user-pz4xy5sd4w
6 күн бұрын
kazi yake mzur lkn apunguze video zamatusi
Jama sio pow mm nilijuw yuko na wenziw kumb one man army salute yombo msukuma😂😂😂😂
@albertkatuga2434
4 ай бұрын
Ata mimi wallah nilikuwa yeye sauti yake ni ile ya yombo tu, daaaaaa huyu yombo katisha hii ndio inaitwa don't care
Huyu jamaa nomaa saana anakipaji kwakwelii anaweza 💪🏽💪🏽namufuata tukoka Burundi Bujumbura
Yombo nakukubali Sana na unakipaji Sana Yan huyu jamaa yombo anatiririka Sana yani anakipaji
Uyu bro namu agaliya sana apa UK 🇬🇧. Niki toka kazi. Nahaza kupika shakula. namu, watch every day nikiwa home! Nikiwa napika shakula home ata na watoto zangu wana sheka sana vituko va bro! Nakubali sana bro! Well done bro! Una weza kazi yaku shekesha!🇧🇮🇹🇿🇷🇼🇨🇩🇿🇦🫵🏿👊🏿 MUNGU Ibariki Africa.
@user-jb3uq6jg5f
4 ай бұрын
Hi naomba mawasiliano na wewe if you don't mind i need to ask you something zena🇹🇿
Jamaa yuko safi kabisa👏👌
Bhana ee.. me mwenyewe ninavipaji vingi na sijui navikuzaje.. now nipo na simu natengeneza film na beats... Umenipa nguvu yombo high five to you 💙
Namkubali sana yombo anakipaji sana uyu bro ❤❤🎉
Yombo nakukubali jama yangu we ninoma sana salut😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤
Salute kwa yombo msukuma nilidhani ni watu wengi kumbe ni mmoja mungu atamfikisha mbali anatuburudisha
Yaani hongera Sana bro sky bwana mimi nakukubali yaani unawaibuaga watu uchagui ubagui
Nakupenda sana yombo nanikubari sana kazi zake❤❤
Kazi yako ni njema kaka, Mungu akubariki Sana,keep on
Sky walker we ni noma noma noma, one day tutakutana I keep grinding
Dah aisee yombo uko juu sana one man army 😅😅😅
Nampendaga kaijage😂😂😂😂❤❤❤
Walah nimesheka san yombo anajuw kwakweli kila sauti anawez
Big up yombo
Eeee Munguweee Asante kuniwonesha yombo kweli nimeflahi asante mutangazaji❤❤❤
Yombo kanishinda tabia wallahi mm nilijua mpo wengi sasa ndo umezidi kunishinda tabia na mwanamke tena umeweza sana🎉🎉🎉
Kwa hiyo yombo ni wewe unatumiaga majina ya chausiku na alex❤❤❤❤ much love from Uganda
Hiyo sauti yakike umetisha sana 🌹🌹🌹🌹
Hongera sana Yombo
Jamaa namkubali sana huyu 😂😂😂😂talented kubwa sana Yombo you are my comedian ever
@albertkatuga2434
4 ай бұрын
Huyu kweli shida, kama vyote kajifunza na kaweza nampa salout
@zahrababygarl1568
4 ай бұрын
@@albertkatuga2434 sana alafu kupitia KZread vyote
Yombo na kupenda sana 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Next TX dullah Mnyama🤣🤣🤣
Yombo hongera sana
Yombo msukuma ww jamaa ww duh😂😂😂
Daaaaah huyu mwambaaa Ni hatariii sanaaaaa
Dah me nilidhan Kuna watu wanamsaidia yupo vizuri nampenda sana
Sura yake ninayo kabisa kwenye simu yangu
😂😂😂😂😂😂. Hahahahaha. Huyu Yombo mbona hatariiiiii. Sana
Jamani avuwe icho kidude tumuone😂😂❤❤❤
Mashaallah zidisha bidii
Huyu jama ninoma sana bro nakubali sana kumbe kajake ndie yeye na yombo ndie yeye daa jama nimnoma sana
@albertkatuga2434
4 ай бұрын
Leo katu surprise mashabiki wake, huyu ndio msanii sasa
Yombo msukuma anapenda kuwatrash madem 😂😂😂😂😂😂😂😂
FREDRICK BUNDALA A.K.A SKY WORKER NAKUPENDA SANA BROO❤❤❤
Jamaal anakipaji ,Yuko vizuri sana
Huaga nacheka sana nikiona video zakee 🤣🤣🤣🤣
Aisee, yaani hongera sana Yombo, mimi nilikuwa nadhani mko mundi, nampenda sana Msukuma anakiburi 😅 na muhaya naapampasi take 😂. Mama yangu alikuwa Msukuma alituacha Jan 2022, mamayangu angekupenda sana sana. Angecheka sana. Hongera sana Yombo. Niliipenda clip ya majeneza 🤣
Ukitumia mtandao vizuri, unaweza kukuongezea ujuzi kwenye maisha. Kama mimi nimejifunza kuendesha gari kwa mara ya kwanza kupitia KZread 💪
@roselynealima3618
5 ай бұрын
Mimi nimejifunza kusuka kupitia KZread 😊
@zarafisaidi5942
5 ай бұрын
Mzee kama mim tu ujue s
@benancejohn1198
5 ай бұрын
@@roselynealima3618 nakubali. Bando lako halijakwenda bure 💪😊
@benancejohn1198
5 ай бұрын
@@zarafisaidi5942 Upo sawa ndugu ✔️ . Nakubali 🙌💪
Kinehe mzehe!! Gothoraga majob hareee wakwetu!!nene nerehooo oboko tegeta vava!!
Nakubali mwanangu yombo kinoma chukuwa like zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bro huyu Mwamba noma Yani yombo Sio hatakidogo
Duh jaman kiukweli nimependa haya mahojiano sikujua kwamba yombo ntamwona nilijua ni katuni zile zinasetiwa duh yombo unakipaji mungu akuzidishie ujuzi wa Sanaa yako
Kazi nzuri sana,ushauri tu kamilisha kazi moja uingie kazi jengine,hata matamgazo usiunganishe apo kwa apo,ukisema ahsanteni ikimaliza unaianza tena hatupendi
duuu yani huyu yombo Mimi simchoki kumsikiliza ata kama una mawazo kidogo yanapotea mungu akuzidishe Sana kaka
Apokwa kaijage ndoameniuwa😂😂
Khaaaaaah upo moto yombo 😂😂😂😂
huyu ni mwamba sana, ni kipaji kikubwa sana. natamani serikali ingekua na incubation hub ya kuvikuza aina hii vipaji. na kugeuza hizi talanta kuwa biashara rasmi
Nakukubali sana yombo kutoka kenya
Am from +254 ee bana wee unanipampa sana brother kazi njema
Naitwa nancy nampenda yombo yamaniiiiiii ❤❤❤❤❤
Yombo unatupa Raha sana,endeleaaa sana
Tuna kuku Bali saana uku Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 we ni noma
@BigZhumbe
5 ай бұрын
Kuku bali?
@VannlyTembo
5 ай бұрын
@@BigZhumbe ninge semaje kk
@BigZhumbe
5 ай бұрын
@@VannlyTembo Ni neno moja mkuu KUKUBALI ukiweka space linapoteza maana.
@erycah
4 ай бұрын
@@BigZhumbe hongera kwa kumfundisha mwengine angeishia kumkebehi tu
Hongera sana kaka nyombo
❤❤❤❤❤ much love from Uganda 😂😂😂😂😂
Wow 👌 👏
Kati ya mtu mshenz ni huyu mwamba😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wallah uyu kaka nampendag sn jmn😂😂😂😂😂😂
Huyu bro atafika mbali kama ataeendelea kuwa humble ila kuna wengine mazarau umaarufu kidgo tuu taabu
Character inayopendwa ni ya Kaijage na mzee komba
big up yombo
Yomboo yomboo❤❤❤❤
Uko Safi sana
🎉🎉🎉🎉 yombo nakukubali sana jamani🎉🎉🎉
Kiukweli huyu kijana angelikuwa inchi za kizungu kwahii kazi yake angekuwa tajiri
🤣🤣🤣🤣 duuh ngoja nkamfollow
❤❤❤❤❤ hakuna wakukufikia yombo
Jamaa namkubali sanaa mungu amfungulie milango yake ya Riziki
Sasa hapo nimekukumbuka ulvosema uliishi nyamanoro na ni fundi cm
😂😂😂😂😂 mbavu zangu
Kazi yako ni nzuri sana. Mungu akupe mafanikio
Akuna anaye kuzidi tz atakanumba ahoni ndani Niko usa
Yombo Niko natazama mahojiano Yako nahuyo mtangazaji
Pambana yombo
Yombo wangu😂😂😂😂
Ahhahhahaaha😂 big up broo
Ila wahaya mnatuonaje😂
🤣🤣🤣Ila yombo😂😂😂
Ataaar saaaan man yombo
Hongera bro
jaman nampenda komba jaman nachekaga mpk bc
Waoooh
Hili jini aisee😂😂😂
Hongera sana
Yombo yuko na creativity kali Niko fan wake zaidi
😂😂😂 he’s so talented 💪🏾💪🏾
Mm saaana nakukubali
Unatisha sana mzee wa SNS aka SYK WALKER!
😂😂😂😂iyo ndo sauti halisi
yombo pamoja sana
Good
😂😂😂 yani uyo jamaa ninoma nime fulahi sana kwavituko vyake natamani kilasiku awepo hapo ili niendelee kuinjoi poa ndogo nakutakia mafanikio mema
Namkubali Sana yumbo jupo juu
Noma
Jamaa walimukataaga cheka tu akalia but kipind hicho hajaanza kuvaa mask
Wewe kiboko sana 🎉🎉😂😂😂
Mwaija ni mnomaa😂😂😂😂😂😂❤
Ahaaaa😂