CHIDI BENZ amtupia lawama DIAMOND, afunguka MAZITO, achukizwa na anavyomdekeza BABA LEVO - Part 1
Ойын-сауық
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 382
Our brother at this age still hajarealise kwamba the world doesn’t always give you what you want, nnamwelewa bt u can’t blame everyone you ever helped or worked with, coz not everyone remembers the gud deeds once they’re on the other side.
@mohamedothman5792
3 ай бұрын
Hujaelewa umeishia kusoma kichwa cha habari tu, sikiliza kinachozungumzwa
@accuratehallunaire8541
3 ай бұрын
@@mohamedothman5792 Mi nmesikiliza the whole interview bro.
Heti nilikuwa sili bagiya Kaka CHIDY intervier zako Unajua sanaaaa kwanza wew Ni mtu wa busara sanaaa
Hii inagusa sana,respect muhimu sana kwanza mazee
respect for ever ajalishi unapitia katika ugumu kiasi gani bado unamadini na uwezo mkubwa kikubwa madini yako yatoe yawepo sokoni na ayaishi maana mda wowote ata ukiamka usingizini yapo kichwani kwa time yeyote ile unaweza mwamba kwa kipaji madogo achana nao wana utomvu wa nizamu wamesahau walipotoka wameshiba kwa kupewa rifts.
Kumuelewa huyu jamaa kwny point chanya unatakiwa uwe na akili kubwa sana.. wengi hawamuelewi kwasababu ya miemko au ushabiki . Jamaa anachoongea kasaidia sana nyuma ya pazia lakini yeye anasaidiwa na makelele mengi hasa machawa wa wasanii wanamsema vibaya hali ya kua yeye alisaidia kimya na hakuweka dharau.
Namkubali Chidi Benz Since Day 1 🇰🇪 🇰🇪
Watoto wadogo hawawezi muelewa chidbenz it's so painful ana roho poa sana na amewatoa na amewasaidia wasanii wenzie bila kukunja ila wao hawampi respect
@kinthermedia6164
4 ай бұрын
We unahisi wasaniii aawajawai kumsaidia chidi jaribu wewe😂😂😂😂😂
@Fgldesigns
4 ай бұрын
@@kinthermedia6164kinachokuchekesha? Au unawashwa?
wazee tafuteni hela na mkipata hela kumbukeni kuekeza mana kula bata mpaka hela ya kodi sio mpango wazee, CHIDI ni mti smart sana na ukiacha mtihani aliopitia ila alichezea sana maisha kwa sababu wakati wake alipata hela nyingi sana na ziliishia kwenye bata na wanawake.. hili ni funzo tosha kwa wasanii wasasa kumbukeni kuekeza isije kufika wakati wa lawama kama za CHIDI BENZI 🙏
@patrickmukundichalamila3038
4 ай бұрын
Naskia walkua wakitoka Dar kwenda Arusha kula bata tuuu😊
@eveliynejoseph7944
4 ай бұрын
Sure Mungu hutoa nafasi mara moja tu,ukipewa nafasi tumia vzuri usije Anza kuwa lawama FC kwa kutaka msaada kwa lazima
@uwezokinahi7870
4 ай бұрын
Sure
@user-vp7ew6rf8l
4 ай бұрын
Pua na kandambili zake Anasemaje 😂😂😂
@Jackjuneart_tz
4 ай бұрын
Chidy analaumu wanavyo msema vibaya
Umaskini mbaya sana.. usipokuwa na Hela au maisha mazuri..unakuwa na hasira tuu..na kila mtu anakutendea mabaya.
@videozaaj1069
4 ай бұрын
Inabd ujue kuwa hela sio kila kitu,heshima ya mtu ni muhimu sana,mtu anatakiwa kuwa na hekima na kujali utu wake,usitezwe utu wako kisa hela kwa namna yyte ile
Chid n voice of the nation....huyu jamaa AKO na kipawa kikubwa xna...lakin watu hua hawamuelewi kama vile alivyo address hio issue...ya watu kuto muelewa.
Inasikitisha sana kiukweli jamaa kasaidia wengi.ila watanzania tukumbuke tuliko toka.kwan amekuja na mchango mkubwa ktk wasaniii wange mvumilia mapungufu yake na kumrekebisha kidogo kidogo Kwan mchango wake ni mkubwa kwenu.hamlioni hilo? Muogopeni mungu msimtenge chidi Benz daimondi wewe ni mtu ulie saidia watu wengi na ulisamehe watu wengi.unahekma sana na busara istoshe kimziki kimaendeleo yaa kimaisha uko mbali sana msamehe alipo kosea bro wako huyo.hao wengine wamekukuta daimondi usiwasikilize angalia ulipo Toka na chid.na mungu atakusaidia insha Allah
I get your point chidi benz, lakini watu hawana imaani km yako, wanakulipa km mfanya kazi na ww unataka wakutreat km ndugu yao mkubwa😢😢😢😢😢😢😢😢😢 pole 🇬🇧 🇬🇧 🇬🇧 🇬🇧 🇬🇧 🇬🇧 🇬🇧 🇬🇧 🇬🇧
The real man namukubali ❤ chid the GENIUS
Brother Sky please make sure unafanya interview na Bilionea Mulokozi.
Asee chid kaka yangu jitahidi uwache ayo madawaa aseee plss chid Niko chini ya miguu yako nakupenda sana acha madawa mi nishabiki yako kitamboo roho inaniumaa aiseee jombaaa
@mwanaishaabubakar5013
4 ай бұрын
Bangi na gongo na njaa vimekuharibu sauti, sura, ngozi na uyuni wako wote umepotea. Sauti kama una makohozi yamekuganda. Afya yako mbaya acha mapimbe tengeneza afya yako.
@frankmfuse6990
4 ай бұрын
Broo humuelewi coz kicwachako kidogo sana
Imebidi niende kuiangalia upya nyimbo ya mashallah
Hamdekezi ile nikazi yakimakubaliano si kudeka sema jishushe upate riziki maisha hayana mfumo kamili
@hkmeme5437
4 ай бұрын
Hakuna 😂
@MTOTOWAvitoto
4 ай бұрын
Kujishusha kwa kumuabudu binaadamu ni dhambi kwa allah
Qm namsiqia hananja ndani ya chidi jmn 😂😂😂au masqio yangu
Woww bro much respect to you kbsa
THE WAY HES SAYS 'SIONGEI KWAMBA NADAI, WAKATI IN REALITY NDIO ANADAI' ITS KINDA FUNNY 🤣🤣😂😂
@agreymbwilo5874
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Real talk-show Respect a vous deux 🙌🏾💯
Chidi unaweza popote pale anacover ata interview like anafro. Heshima kwake kikubwa apewe sapport.
IQ kubwa sna uy mwamba
Much love to Chid Benz ❤
Yateme chidi unahaki yakumzungumza yoyote anae kuzungumzia
Inauma sana acha jamaa ajisikie vibaya dah mungu akusaidie insha Allah
Small mind will never understood chid benz
@MTOTOWAvitoto
4 ай бұрын
For really
Really OG......!!!
Ni vyema Serikali kupitia Wizara inayohusika na masuala haya kuangalia ni kwa namna gani inaweza kulinda haki za wasanii, hasa hawa ambao wakati wapo Juu mifumo haikua sawa.
Chid 👍😁❤akili nyingi
Huyu jamaaa mpka ubwage makini sana ndio utamuelewa 😂
@jimmyhabarugira4232
4 ай бұрын
@stevewanga aache kuvuta unga afanye kazi ataeleweka
Nimecheka kinoma chidy nomaa😊😊
Chid ni noma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Chid ukiendelea kuishi kwa kulaumu watu maisha yako utaishi kwa depression na stress we Shukuru Allah endelea na maisha yako mengne mzee
@zackchriss9455
4 ай бұрын
Umemsikiliza au umeona clip umekuja ku comment (the point is yeye alisaidia bila masharti)
@ramsojimmykelly3379
4 ай бұрын
@@zackchriss9455sasa nani kampa masharti
madawa ya kulevya yameharibu sana nguvu kazi aisee tuyapinge kwa nguvu zote
@salomewandya7257
4 ай бұрын
😭😭😭😭
Much respect broo,,,,, ❤❤❤🎉🎉
and first session nadhani Skywalker kachanganyikiwa kwa mastories ya Chiddy..
Ukitaka kuendelea jifunze kwa aliye pitia changamoto chid upo vema sana
Man of people chid binz🔥
Uwache bangi
❤❤❤❤❤❤ chidi benz 🇬🇧🇬🇧
Benzino ni zawadi kwenye mziki wa Bongo Flavor, na sky ni zawadi pia kwa content Creator's.
Respect 4 chid BENZ
Ukimshirikisha chidbenz,,usubiri lawama
@jafarisaidi4988
4 ай бұрын
Mbona hajamlaumu Roma
@alibachirofficial3939
4 ай бұрын
Juma anataka kutreatiwa vizuri Kwamfano mr blue wamefayakasi mzuri
@nelsonneeson620
4 ай бұрын
@@jafarisaidi4988 part 4 kamlaumu😅😅😅
@jafarisaidi4988
4 ай бұрын
@nelsonneeson620 duh!Chid Benz Noma 😂😂
Sky after this interview maskio iliendeyea kutumika?
@hadijagere
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
mimi apa wakwnz❤❤❤
Respect legendary chid Benz
Mnao msema chidy mnkosea sana mkumbuke huyu bro ana akili sana anajaribu kusema ukweli ili kuwakumbusha wadogo zake namna ya kuishi kibinaadam,na sio kama alichezea pesa ukumbukwe kipindikile KZread haikuwepo kivire sana hakuwahi kumiliki billion1 yakusema atawekeza kitu kikaonekana hivyooo,so mimi namkubali sana broo na nahisi kuna namna chidy hayupo sawa wangejaribu tiba asili huenda ata kuwa sawa.#chidybenz
@sulleymernmannarah7930
4 ай бұрын
Tiba asili 😂😂😂
Yaani huyu chidi cjui ana kitu gni anakitaka kwa diamond,kusaidiwa anasaidiwa labda anaitaka roho yke tena maana hafahamiki nini anachokitaka ila mungu atamsaidia maana kila akihojiwa lazima amtaje diamond,huu mtihani
@japhetlust5050
4 ай бұрын
ANAULIZWA CYO ANAMTAJA
Weh😂😂😂😂😂😂😂😂Bro sky anacheka tu ameshindwa haelewi huyu mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂 I don’t Know what is wrong with him chidi sio mzima 😂😂😂😂😂
Respect chid benz
Mimi nipo southa Africa nimesikuya uching mweziye na baba lev ana itwae gaz
AISEEH HUYU MWAMBA MKWELI SAANA SAFI 🇶🇦
TUMUOMBEENI CHIDI BENZ HAYUKO SAWA KWAKWELI 😢😢
Chid Benz yuko sawa hana makosa anamuongelea diamond akiulizwa kuhusu diamond so yuko fine Big up sana ma Big bro chid Benz one love bro
Ndio maana akafeli katika maisha leo ndio nimeelewa 😊
Inahitaji ukae ktk engo ya ulisia ndio utamueleza chidi.ukikaa ktk engo za hisia mihemko na chuki huwezi kumuelewa.hakika mapito yake ni chuo na elmu tosha.kunakipindi alikosea mwenyewe na Kuna kipindi alizilimiwa na figisu figisu kibao na kufanyiwa kampeni za kila aina ili apotee ktk tasnia ya mziki.nakila siku tunajifunza kitu.
Kaka bundala pole sana,yaani hadi nimecheka maana jamaa ameanza tu ukajizuia kucheka 😂😂😂
Kweli leo sky interview unayo
Chid benz kama Mange Kimambi ana file la kila mtu😂😂😂
Kila Lijendi anaamini Mondi ndio tiketi yake ya kurudi mjini
chidi maisha halisha yakosea kwaiyo Kila mtu anamuona m,baya
Chidi toa ngoma na harmonizi itakuwa kali sana
Chid ni genius sana akili ndogo hawawezi muelewa
Chid Benz anaboa kinoma
@NgengeMkeni-uo5hq
4 ай бұрын
Humwelewi. Akili ndogo wewe
Mr lawama ,,
Bro FREDRICK andaa posho za MCHIDI siku zako zinakuja na wewe 🤣 hutajua hujui.#lawama kipasel
Machizi wote makondeni lawama ni Diamond...huu chizi nae eti kidonda chake ni kwasababu ya Diamond 😂😂
Child shida yake lawama nyingi mpaka tumemchoka ahache bangi n mbaya
@ruu6592
4 ай бұрын
They have to stop talking about him point blank piriod
I dont think kma watu wanamuelewa Chid msimtetee Mond yeye ndo anajua alipotoka just kwa sababu unaingiza mamilion leo basi usimdharau aliekupa elfu wakati unajitafuta Respect broe 🎉
@Aboodjan4-
4 ай бұрын
Haya mtetee kiba na harmonize
Iyo Meza na chidi benzi yani ana gonga sana 😅 na wivu utamuua uyu muangalieni vizuri
Una wivu pamoja na umaskini jeuri wako
Hapa ndio naamini ule msemo unasemaga SAA MBOVU KUNA MUDA HUSEMA UKWELI... hakuna mwanamke anaempenda chawa 😂😂😂😂
Kaka leo utavunjwa meza 😂😂😂
Sky nahic unacheqa sanaa moyoni
NATANGAZA EP YANGU bin simba sultan MY PIANO 🎹 EP 1. My piano 2. Nanenepa 3. Maumivu 4. Shime 5. Solemba 6. Nyang'a Nyang'a BONGO FLEVA LET'S GO 🚀
Dah chidi balaaa!!
Et pua Sijui revo😂😂😂
This is why you need to succeed in life , if you waiste time and apportunities you will end up bitter like chidbebz
Umeleweka bro😂😂😂😂😂
Chidi matata aisee
Chid Benz nimtu flani ukimsikiliza una enjoy Sana anavyo ongea😅😅😅
Kila msanii wa zamani anadai kamsaidia #Diamond sasa sijuhi walimsaidia #Diamond pekee au veep? Yaani kila Legend anadai kamsaidia Mond😮😮😮
@saidirakozi1809
4 ай бұрын
Tatizo dharau
Tatizo lako chini hutaki kukubali kama wakati wako umepita na maisha uliyoishi hayapo tena
@StarVox219
4 ай бұрын
Acha ujinga bila hawa usinge wajua hao we k nn
Uy kil sik lawam tuuuu ah!ukish kuwa hun hel bna ahhh
Ka wivu kana husika
Nyie sns hajui kma huyu zimefyuta acheni kumuhoji hoji jaman
@saidirakozi1809
4 ай бұрын
Naomba namba yako nikutongoze
@Rizikialiamechannel763
4 ай бұрын
@@saidirakozi1809 ww kma shababi cmalizia hapa hapa kidume naomba nmba ngoja uombwe
Real G Real Thing REAL MOTHERFUCKING G .......One of the best interview CHIDI MAKAVELI BENZ
Huyu hawez kupona
@NgengeMkeni-uo5hq
4 ай бұрын
Ya Mungu mengi, usiropoke
jamani chidi punguza kulaumu bro wewe ni rappa mkali wachia magoma
@yahayashuta9608
4 ай бұрын
Wewe tuliya jama yuko sahihi
@svt3
4 ай бұрын
@@yahayashuta9608anataka Diamond amuse share wasafi? Mziki unauzwa mitandaoni yaani muziki platforms yeye anajuwa saana aende studio aachie ma ngona aweke mitandaoni mashabiki zake wakinunuwa muziji wake jwa wingi hata ma promoter watampa ma show kuliko kulaumu Diamond Diamond inakuwakama Diamond ndie anaambia mashabiki wamsikilize nani wakati Diamond mwenyewe huko mitandaoni ndio anauza mziki wake
@josephmabula9658
4 ай бұрын
Kabisa,,jamaa ana lawama mnoo
@svt3
4 ай бұрын
@@yahayashuta9608 sahihi kwa lipi? Mitandao iko wazi na ndio mahali wasanii wote duniani wanaweka kaxi zao Chidi aingie studio atowe kazi awake mitandaoni mashabiki zake watanunuwa kazi zake huko sio kalaumu watu, mashabiki zake wanao sema chidi anajuwa saana wakinunuwa kazi zake mitandaoni hata ma promoter watampa shows, aache mibangi afanye kazi
@svt3
4 ай бұрын
@@yahayashuta9608sahihi kwa lipi? Soku hizi biashara ya mziki ni mitandaoni yeye aingie studio atowe kazi mashabiki zake wataenda music platforms na ma promoter watamupa kazi msaniiunachana vizuri aje kila mara kuaumu laumu watu anataka abebwe mgongoni? Kama yeye anajuwa saana kwa nini asitoe ngoma
😢😢😢😢 it's sad to see your favorite musician in this situation
Hyu hta mm simuelewi 😂😂 kaka Sky sema kwl hvi unamuelew hyu mwmba ...
Nimefuatilia hiii interview nimegundua child Benz asilimia70 ni mwehu
@danielbencolias6549
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
jamaa ako vizuri,ukimchukilia chizi pia anakupa za uchizi
@svt3
4 ай бұрын
@allandoro1051: ni chizi ndio sababu kipaji anaco jina anayo mashabiki anao, soko ya music iko wazi kila music platforms ila hatoe nyimbo ili wanao mkubali waende wanunuwe music wake sasa kipaji chake inakaxi gani? Kama sio uchizi
😂😂😂😂😂😂ety anashik pua😂😂😂😂
Utavunjiwa meza 😂😂😂
Jaman kwa yoyote anaeangalia hii interview please sana usiruke dkk ya 43:00 Mpk mwisho
Sema sky umejikaza kinoma aisee,,Cheed kufanya nao interview ni kisanga
huo nae kila siku diamond si atulie akafanye yake jamani
@Fgldesigns
4 ай бұрын
Huoni kuwa kaulizwa!
Shida lawama nyingi😪😴😴