MPAKA HOME: Cheki Anapoishi CHID BENZ, Afanya VITUKO, Amtaja DIAMOND!!

Ойын-сауық

MPAKA HOME: Cheki Anapoishi CHID BENZ, Afanya VITUKO, Amtaja DIAMOND!!
Katika kipindi cha Mpaka Home wiki hii tumemtembelea msanii wa muziki wa bongo fleva ambaye ana trend sana kwa sasa, Chidi Benz, ambaye alitamba sana na wimbo wake wa Dar Es Salaam Stand Up kipindi hiko.
Chidi Benz na mama yake mzazi wanaishi maeneo ya Chanika Masantula kupitia kipindi hiki cha Mpaka Home wamezungumzia mambo mbalimbali yanayowahusu ikiwemo maisha ya nyumbani kiujumla.
#MPAKAHOME
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 233

  • @msafiri85
    @msafiri855 жыл бұрын

    Heshima kwa akina mama wote, wanapitia majaribu makubwa. Kama umenielewa gonga like

  • @selekondo9832
    @selekondo98325 жыл бұрын

    gonga like kama umegundua mtangazaji anamuhoji chidi uku anaogopa

  • @jacksonchiwalanga4817
    @jacksonchiwalanga48175 жыл бұрын

    Kama unamkubali chuma naombeni like zenu

  • @ashreybanda

    @ashreybanda

    5 жыл бұрын

    Chidi napenda maisha yke si mtu wa sifa ila pia kwenye interview ni zaidi ya wasanii wote.Gonga like kama unasapoti comment yangu.

  • @jasmineshechambo3401

    @jasmineshechambo3401

    5 жыл бұрын

    Mwanaume unaomba like yann

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid52195 жыл бұрын

    Jamn mama ni mam tu hakun kam mam yaan anajua huyu kijan sasa ni mkubwa lkn lazim aweke chakul cha mtoto ake nakupenda xan mama ang hakun kama mam jamn tuwapend mam zetu mam ana roho ya hurum xan

  • @starvennja2480

    @starvennja2480

    4 жыл бұрын

    Salute msizwa

  • @sakshidayaly2220
    @sakshidayaly22205 жыл бұрын

    Daa kweli mtoto kwa mama hakui bora ukose yote jamani maisha bila mama magumu tizama karudi anamuomba mama yake chakula

  • @abdillahnuhu1118

    @abdillahnuhu1118

    4 жыл бұрын

    Kwaiyo sie tulie telekezwa mnatuweka kundi gan?😇😲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @DIweni
    @DIweni5 жыл бұрын

    Mama anavyomwangilia mwanae wote wanatia huruma lakin ni mapito,chidy chuma nakukubali saaaana bro

  • @mejubaraza9415
    @mejubaraza94155 жыл бұрын

    Kumbe chidi akona maisha yake mazuri hamani tusidarauliane kwa kuonana tyuu

  • @silabiboytz9569

    @silabiboytz9569

    5 жыл бұрын

    Kiswahili hujui ww et

  • @mejubaraza9415

    @mejubaraza9415

    5 жыл бұрын

    @@silabiboytz9569 cjui nifundishe

  • @zakiasuleiman3643

    @zakiasuleiman3643

    5 жыл бұрын

    @@silabiboytz9569 jamani kwan wew hujawahi kuchapia

  • @almassilvano5872

    @almassilvano5872

    5 жыл бұрын

    Mambo meju

  • @user-qy6li2to1k

    @user-qy6li2to1k

    5 жыл бұрын

    @@zakiasuleiman3643 adapata najeye

  • @Tripo7unLocked7000
    @Tripo7unLocked70005 жыл бұрын

    Kama unamkubali chid Benz gonga like

  • @profbagile5323
    @profbagile53235 жыл бұрын

    Keep it up chidbenzinooo Nakuaminia we ni tofaut kabisa na konk matako yule mjinga

  • @reymuddy9577
    @reymuddy95775 жыл бұрын

    Aiseeeh jaman chidi huyu kavaa suti alaf na chepe kichwani😂😂

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa42125 жыл бұрын

    Yani mama hana la kuongea yani anamwonea huruma tu mwanae

  • @kweliumesemailanaowangetul1933

    @kweliumesemailanaowangetul1933

    5 жыл бұрын

    Nyamaza haya mbo uyaone kwamwezako likikufika utaomba kiladuwa yulebibi sazingine anaenda kuliya pale tunae nasisi mtu kama huyu mtiyani kwakweli

  • @mugadimon3563

    @mugadimon3563

    5 жыл бұрын

    Siku zote mtoto akiwa katika sitofahamu mzazi uhumia sana hasa mama mzaa chema

  • @delabossreizer9471
    @delabossreizer94715 жыл бұрын

    Jamaa limekula pamba kipedesheee zaid

  • @silviapumzikenikwaamanidam8436
    @silviapumzikenikwaamanidam84365 жыл бұрын

    Mtangazaji Sio kWa jicho Hilo kWenye hotpot!😃

  • @ifruitx2096

    @ifruitx2096

    5 жыл бұрын

    Silvia pumzikeni kwa amani Damson 🤣🤣

  • @shammoha5297

    @shammoha5297

    5 жыл бұрын

    @Silvia pumzikeni, ingekuwa wewe ungeangalia wapi?😉

  • @hansyabdy2732

    @hansyabdy2732

    4 жыл бұрын

    Hajakaribishwa

  • @mudriqhamidu6031
    @mudriqhamidu60313 жыл бұрын

    👆🤔🤔 hapo chidy alikuwa bdo hajakuwa sawa, 😪 Ila sout imemkaa fresh bt hilo shart kola hai0o sawa

  • @John_sadick1
    @John_sadick15 жыл бұрын

    Kama unamkubali chuma gonga like

  • @GodfreyByamungu
    @GodfreyByamungu4 жыл бұрын

    29:08 kumbe ulikuwa unaziesabu. Mi nilikuwa nakuonyesha tu😂😂😂😂😂

  • @iddyshanna932

    @iddyshanna932

    2 жыл бұрын

    Rudisha pale kwenye buku buku 😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY4 жыл бұрын

    Chid unamtesa sana Uyu bimkubwa wetu Ludi saw saw mzee Kama unatumia madaw Kwakujificha Ebu ACHA MZEE

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs86455 жыл бұрын

    Kam umependa suit na kapelo hebu like

  • @josephboniface6209
    @josephboniface62094 жыл бұрын

    Chid Go...Noma Sana#*

  • @centralboytz4240
    @centralboytz42405 жыл бұрын

    Chid co kila kitu anaweka waz anakuzuga tuu apo unazan haelew unachomuulza😊

  • @giannajoji7944
    @giannajoji79445 жыл бұрын

    Chid mi Nakupenda na nakukubali sana mchizi Wangu!Mungu akusaidie sana sana!

  • @abuumungomaulidi9272
    @abuumungomaulidi92725 жыл бұрын

    Chid ni 💯💯💯💯

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo46085 жыл бұрын

    😁 😁 😁 😁 Chidi Benz inaelekea yupo single sijui mmemuelewa? Mpaka pale watakapokaa sawa 👍👍👍 Ila Hakunaga Chid Benz mwengine

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67705 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu chidi anavituko san yaan inter view imeanza mpk inaisha hakuna jibu hata moja alil o ulizwa amejibu🤣🤣🤣🤣 zaidi ya kuzuga tu

  • @mudriqhamidu6031

    @mudriqhamidu6031

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣👆 hyo leo syo interview bt presenter ameenda kupewa stry to na Benzino, cz jamaa tokea imeanza hii interview hakuna maswali ya msingi , cz anaogopa😝😝😝😝

  • @awilly7527
    @awilly75274 жыл бұрын

    🤣🤣chid anahoji mtangazaji.leo kakamatika Hadi anawish hangefika kwakina chid

  • @zimbatv891
    @zimbatv8915 жыл бұрын

    Nani amemuona chid kasizii😆😆

  • @masala8099
    @masala80995 жыл бұрын

    Hahaha interview juu ya interview muulizaji naye anaulizwa

  • @mourinemarava418

    @mourinemarava418

    5 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁

  • @kweliumesemailanaowangetul1933

    @kweliumesemailanaowangetul1933

    5 жыл бұрын

    Umeona eee uyo ndochuma koki afiki apo

  • @binthassancollection.6308

    @binthassancollection.6308

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @witineskikiwa1906

    @witineskikiwa1906

    4 жыл бұрын

    Senior maten 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu umevunja jama

  • @mariyaal5366

    @mariyaal5366

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭

  • @nobertmulesi3387
    @nobertmulesi33875 жыл бұрын

    Global Tv naomba mnifikishie ujumbe kwa chidi Benz mwana mziki bora wa hiphop kwamba mimi ni shabiki wake mkubwa na ningependa chidi benz wafanye collabo na khaligraph jones .trust me the song will be a blazing gun

  • @mwanadamtz1298

    @mwanadamtz1298

    5 жыл бұрын

    Nobert Mulesi yess

  • @stevewanga957
    @stevewanga9575 жыл бұрын

    Hapa bila shaka ashamaliza kuvuta vitu zake....

  • @aggreydominickmagombana9388
    @aggreydominickmagombana93884 жыл бұрын

    Hahaha mama nae kaigiza vizuri seen ya kumuita chid atakapo ingia baada ya dk moja kuanza kwa kipindi

  • @aishakidotigakii6157
    @aishakidotigakii61575 жыл бұрын

    Mashallah kamsifia mamake so good 👍❤

  • @ringotv4918
    @ringotv49185 жыл бұрын

    yaani interview ya leo chid kjitahid coz hapo alipokuwa anahojiwa ameeleewa ile mbaya na bangi juu ni kawaida yake kila akitoka studio kuandika mistari la lazima anywe kidogo na avute bangi lkn siku nyingne anakuwa poa

  • @user-br3si2jf4t
    @user-br3si2jf4t10 ай бұрын

    Chid. Wewe. Unananifrahisha. Sana. Broo. Kumbe. Unakua. Mpole. Ivo

  • @salmaothman153
    @salmaothman1535 жыл бұрын

    Kaava nn pale shingoni manati 😀😀😀😀😀😀

  • @africa7479

    @africa7479

    5 жыл бұрын

    hahaha

  • @queenmalikia4172

    @queenmalikia4172

    5 жыл бұрын

    Mbona ananong'ona pekeyake

  • @nasraomary1814

    @nasraomary1814

    5 жыл бұрын

    Salma Othman Ha ha ha ha Mbavu ZANGU JMN mie mwnyw nlkua najiuliza nn kavaa shingon

  • @aclesaclemence8784

    @aclesaclemence8784

    5 жыл бұрын

    Hahahahahahaaa, nikiwaga na stress naangaliaga tu interview za chidi na kusoma comment za watu

  • @godfreymofire6956

    @godfreymofire6956

    4 жыл бұрын

    Hahahaha nimecheka kwa sauti kubwa sana mkali kwamba ametia na manati kama kingariaho eti

  • @adamchamoma5227
    @adamchamoma52274 жыл бұрын

    Chidi kawa mpole sana kwa hii interview

  • @africa7479
    @africa74795 жыл бұрын

    hahahahaha,naona leo mtangazaji umepatikana

  • @OmanOman-mc8uq
    @OmanOman-mc8uq5 жыл бұрын

    Yani chid uko brait sana unakili.mingiiiii

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele5215 жыл бұрын

    Ilalaaaaaaaaaaa King nkoooooon Buster rhymes wa bongo

  • @nassortwahir139
    @nassortwahir1395 жыл бұрын

    Mtangazaj anamuhoj mtu huku anamuogopa Yan sura imemjaa hofu, maswal tunayotarajia amuhoj mhuska hahoji anahoji uxenge tu

  • @ismailabdillah771

    @ismailabdillah771

    4 жыл бұрын

    Hapo umesema aona kama atapigwa

  • @akbaringena9420
    @akbaringena94204 жыл бұрын

    presenter unapataje ujasiri Wa kuingia na viatu kweny hizo malu malu.......

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi18573 жыл бұрын

    Mm chidi anavyonifurahisha anaulizwa swali lingine anajib lingine kabisa ambalo halipo kabisa yaan

  • @jasmineshechambo3401
    @jasmineshechambo34015 жыл бұрын

    Mashaallah Bora ww kuliko Huyo dudu baya kaz umbea tu nakuzalilisha wenzake

  • @dismaskamanzi2365
    @dismaskamanzi23655 жыл бұрын

    ChiD atAbAkiii juuu chiD chUmAaa yA dSm#💪🏻

  • @GodfreyByamungu
    @GodfreyByamungu4 жыл бұрын

    17:52😂😂😂😂 jamaa kageuka mjibu maswali lol chezea chid wewe😂😂😂 Kuulihuliza private life usioiona sio poa😂😂😂😂 uliza kile ukionacho.

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo81284 жыл бұрын

    😆😆😆 mtangazaji kakutana na chuma anahoji uku anaogopa ogopa

  • @nagmynamahin2463
    @nagmynamahin24635 жыл бұрын

    Interview haijapata mtangazaji mjanja coz mtu alie nae n mjanja sana

  • @waziriboi8795
    @waziriboi87955 жыл бұрын

    Achen kutufanya wapumbavu Yan umemkuta Kwa mama yake umejuaje kama yupo kule na sio magomen Kwa shemej...chid sasa ivii kataa interview blaza Sisi mafans wako tunakuelwa achia vitu vyetu BNA iziii tv za uchochoron achana nazo wanakufanya kituko bro

  • @isackhassan6551
    @isackhassan65514 жыл бұрын

    Mwanzo chid amezingua kweli 😂😂😂

  • @jescamassawe7824
    @jescamassawe78245 жыл бұрын

    Chidy chuma much respect bro

  • @mwanakombodzayadzaya9579
    @mwanakombodzayadzaya95795 жыл бұрын

    Uko juu kaka

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi5425 жыл бұрын

    😁😂😂😂chuma ni shida daaa, kumuoji ujipange

  • @mariyaal5366

    @mariyaal5366

    4 жыл бұрын

    Unaenda kumuoji anakuoji yeye😂😂😂😂

  • @mickeykibabu6999
    @mickeykibabu69994 жыл бұрын

    Duuh menu kwenye hotpot wee noma😁😁😁

  • @GodfreyByamungu
    @GodfreyByamungu4 жыл бұрын

    20:19 hhhhhhh😂😂😂😂😂😂😂 nimemuonea mtangazaji wa watu huruma.

  • @boblion262
    @boblion2625 жыл бұрын

    No chidi you still good bra 🔥 🔥🔥

  • @luganohenry6141
    @luganohenry61415 жыл бұрын

    hii interview nimeipenda😂😂😂😂

  • @vailetivai8359
    @vailetivai83595 жыл бұрын

    Kafanana na Bimkubwa sana

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru97314 жыл бұрын

    Nyumba nzuri

  • @tatuta6529
    @tatuta65293 жыл бұрын

    Kaka chidi apa ulikuwa umekonda sana mtangazaji leo umepatikana sana

  • @nassstewart181
    @nassstewart1815 жыл бұрын

    Genius chid

  • @shammoha5297
    @shammoha52975 жыл бұрын

    Kkkkkkkk! Huyo mtangazaji haoni Chidi anamkwepa, hataki kujibu swala la shemeji wetu nani sashvi?😜

  • @iddyshanna932
    @iddyshanna9322 жыл бұрын

    "Rudisha pale kwenye buku buku" 😂😂😂

  • @mariyaal5366
    @mariyaal53664 жыл бұрын

    Chidi unakula mwenyewe ata karibu ya uwongo kwa mgen hamna tena unalia mlemle kwenye hotpoti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdillahnuhu1118

    @abdillahnuhu1118

    4 жыл бұрын

    😂🤣😘

  • @abcdefgger
    @abcdefgger5 жыл бұрын

    Hahahahaha iyi nimwisho sasa

  • @kiki-ko8vi
    @kiki-ko8vi5 жыл бұрын

    Mue mnapeleka watangazaji walio kula jaman😹😹

  • @shameemrashid5219

    @shameemrashid5219

    5 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁kwli jamn anaonekn hajala huyu

  • @mahmoudsongoro2687
    @mahmoudsongoro26875 жыл бұрын

    🤣🤣 et mtu mzma God

  • @poschasbae9511
    @poschasbae95115 жыл бұрын

    Chid we mkali dudu ata asujudu matako akufikii

  • @albertpike6208
    @albertpike62082 жыл бұрын

    Kiufupi Chid naona kama hafagilii issue za kinyumba tizama kila akiulizwa kuhusu mchuma anakwepa

  • @allynguba9896
    @allynguba98965 жыл бұрын

    Mtangzji unauliza swali unaulizwa swali

  • @pascalkuol9613
    @pascalkuol96135 жыл бұрын

    Chid benz✊✊✊

  • @Communication863
    @Communication8635 жыл бұрын

    Hahahahahahaaaa chid sijui kasizi??????😂😂😂😂

  • @allyshaibu2190
    @allyshaibu21904 жыл бұрын

    Ww noma unaruhusiwa katika kipind

  • @cleverlandmusicbyshakur423
    @cleverlandmusicbyshakur4234 жыл бұрын

    Asee huyu jamaa bwana dah yaan mpaka roho inauma

  • @japharysety6890
    @japharysety68904 жыл бұрын

    Unyamwez wote lakini akifika kwa maza anatulia

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe42034 жыл бұрын

    kweri unga sio chai duuuuh chid kaisha

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe42034 жыл бұрын

    yuko tungi kinoma chidi

  • @billylovebilly9418
    @billylovebilly94184 жыл бұрын

    Nice kwao pazur mno mashaallah

  • @annamichael1433
    @annamichael14333 жыл бұрын

    Ahhhhhhhhhaaaa love king Kong

  • @afhd7079
    @afhd70795 жыл бұрын

    Duuuuhhhh jamani

  • @OmanOman-mc8uq
    @OmanOman-mc8uq5 жыл бұрын

    Madaftari yngu yote enzi.nko.xcul.nilikua najita.king kong💋💋💋💋💋💋

  • @nizahnyembe7866
    @nizahnyembe78665 жыл бұрын

    Chichichii benzi

  • @12322879
    @123228794 жыл бұрын

    Bado anajiiba.

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi5425 жыл бұрын

    Diiimooonde😂😂😂😂😂

  • @kevomshalebora4148
    @kevomshalebora41484 жыл бұрын

    Leo cjamuelewa chidi hta kdogo

  • @amedeusfredrick1614
    @amedeusfredrick16144 жыл бұрын

    Ana ubao 😁

  • @hakimkhamis6461
    @hakimkhamis64615 жыл бұрын

    Mbona hi kama movie

  • @alonsodachi3564
    @alonsodachi35645 жыл бұрын

    Yan mtangazaji kz yko kuangalia hot pot

  • @itikeelius5805
    @itikeelius58054 жыл бұрын

    Chumaaa

  • @starridge3615
    @starridge36154 жыл бұрын

    Chidi Benz tulia umpe mama faraja mama anahisi unamtia aibu sio fresh, mama anakupenda na ukisema unampenda mama utakua muongo MTU anaye mpenda mamae ni yule anamumtumikia Mola na kuketa faraja kwa wazazi

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer5 жыл бұрын

    Haaaa haaa mbona chid yuko mbali kama wanauziana magendo

  • @petermwambito2339
    @petermwambito23395 жыл бұрын

    Who says hip-hop doesn't pay

  • @ismailmtoro150
    @ismailmtoro1505 жыл бұрын

    Kama unamsikia cameraman like ananong'onaaa

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 kashindwa kujizuia

  • @kuzimaster3399
    @kuzimaster33992 жыл бұрын

    😂🤣😂🤣😂🤣😂 chid makwiro ndio uyoo

  • @chafumirro5617
    @chafumirro56175 жыл бұрын

    Chuuumaaaaaaaaa

  • @sulejiTv
    @sulejiTv5 жыл бұрын

    Sasa hilo shati vp na ww?

  • @thomasmatle8545
    @thomasmatle85455 жыл бұрын

    Sauti vp Mbn ivo

  • @aminiraper6264
    @aminiraper62645 жыл бұрын

    Unajua chidi Benz anaakili sana unajua hawa waandish wa habar kazi yao kumuhoji tu lkn hakun faida yoyot anayo pata ndio mana sometimes kama anawakataa mana wao ndio wanaopat viewers kibao na faida za pesa kweny Chanel zao

  • @naimasaid7763
    @naimasaid77635 жыл бұрын

    Mh mahojiano wala hayako poa, chidi hayuko vzr kwa kuhojiwa, pole mtangazaji, ila jamani chidi kapungua mno yani hakua hivi duh, ila nampenda hana sifa ya kujiona kama wasanii wengine

  • @bmbuti6205
    @bmbuti62054 жыл бұрын

    Nmemuangalia chid mpk nalia yan amekuwa tofaut san

  • @allynguba9896
    @allynguba98965 жыл бұрын

    Shemeji jamn yup wap hahaaaaaa

  • @bensonpeter9517
    @bensonpeter95174 жыл бұрын

    Dah mtangazaji kapatikana leo kajuta yan mamaee

Келесі