MPAKA HOME: Cheki Anapoishi CHID BENZ, Afanya VITUKO, Amtaja DIAMOND!!
Ойын-сауық
MPAKA HOME: Cheki Anapoishi CHID BENZ, Afanya VITUKO, Amtaja DIAMOND!!
Katika kipindi cha Mpaka Home wiki hii tumemtembelea msanii wa muziki wa bongo fleva ambaye ana trend sana kwa sasa, Chidi Benz, ambaye alitamba sana na wimbo wake wa Dar Es Salaam Stand Up kipindi hiko.
Chidi Benz na mama yake mzazi wanaishi maeneo ya Chanika Masantula kupitia kipindi hiki cha Mpaka Home wamezungumzia mambo mbalimbali yanayowahusu ikiwemo maisha ya nyumbani kiujumla.
#MPAKAHOME
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 233
Heshima kwa akina mama wote, wanapitia majaribu makubwa. Kama umenielewa gonga like
gonga like kama umegundua mtangazaji anamuhoji chidi uku anaogopa
Kama unamkubali chuma naombeni like zenu
@ashreybanda
5 жыл бұрын
Chidi napenda maisha yke si mtu wa sifa ila pia kwenye interview ni zaidi ya wasanii wote.Gonga like kama unasapoti comment yangu.
@jasmineshechambo3401
5 жыл бұрын
Mwanaume unaomba like yann
Jamn mama ni mam tu hakun kam mam yaan anajua huyu kijan sasa ni mkubwa lkn lazim aweke chakul cha mtoto ake nakupenda xan mama ang hakun kama mam jamn tuwapend mam zetu mam ana roho ya hurum xan
@starvennja2480
4 жыл бұрын
Salute msizwa
Daa kweli mtoto kwa mama hakui bora ukose yote jamani maisha bila mama magumu tizama karudi anamuomba mama yake chakula
@abdillahnuhu1118
4 жыл бұрын
Kwaiyo sie tulie telekezwa mnatuweka kundi gan?😇😲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mama anavyomwangilia mwanae wote wanatia huruma lakin ni mapito,chidy chuma nakukubali saaaana bro
Kumbe chidi akona maisha yake mazuri hamani tusidarauliane kwa kuonana tyuu
@silabiboytz9569
5 жыл бұрын
Kiswahili hujui ww et
@mejubaraza9415
5 жыл бұрын
@@silabiboytz9569 cjui nifundishe
@zakiasuleiman3643
5 жыл бұрын
@@silabiboytz9569 jamani kwan wew hujawahi kuchapia
@almassilvano5872
5 жыл бұрын
Mambo meju
@user-qy6li2to1k
5 жыл бұрын
@@zakiasuleiman3643 adapata najeye
Kama unamkubali chid Benz gonga like
Keep it up chidbenzinooo Nakuaminia we ni tofaut kabisa na konk matako yule mjinga
Aiseeeh jaman chidi huyu kavaa suti alaf na chepe kichwani😂😂
Yani mama hana la kuongea yani anamwonea huruma tu mwanae
@kweliumesemailanaowangetul1933
5 жыл бұрын
Nyamaza haya mbo uyaone kwamwezako likikufika utaomba kiladuwa yulebibi sazingine anaenda kuliya pale tunae nasisi mtu kama huyu mtiyani kwakweli
@mugadimon3563
5 жыл бұрын
Siku zote mtoto akiwa katika sitofahamu mzazi uhumia sana hasa mama mzaa chema
Jamaa limekula pamba kipedesheee zaid
Mtangazaji Sio kWa jicho Hilo kWenye hotpot!😃
@ifruitx2096
5 жыл бұрын
Silvia pumzikeni kwa amani Damson 🤣🤣
@shammoha5297
5 жыл бұрын
@Silvia pumzikeni, ingekuwa wewe ungeangalia wapi?😉
@hansyabdy2732
4 жыл бұрын
Hajakaribishwa
👆🤔🤔 hapo chidy alikuwa bdo hajakuwa sawa, 😪 Ila sout imemkaa fresh bt hilo shart kola hai0o sawa
Kama unamkubali chuma gonga like
29:08 kumbe ulikuwa unaziesabu. Mi nilikuwa nakuonyesha tu😂😂😂😂😂
@iddyshanna932
2 жыл бұрын
Rudisha pale kwenye buku buku 😂
Chid unamtesa sana Uyu bimkubwa wetu Ludi saw saw mzee Kama unatumia madaw Kwakujificha Ebu ACHA MZEE
Kam umependa suit na kapelo hebu like
Chid Go...Noma Sana#*
Chid co kila kitu anaweka waz anakuzuga tuu apo unazan haelew unachomuulza😊
Chid mi Nakupenda na nakukubali sana mchizi Wangu!Mungu akusaidie sana sana!
Chid ni 💯💯💯💯
😁 😁 😁 😁 Chidi Benz inaelekea yupo single sijui mmemuelewa? Mpaka pale watakapokaa sawa 👍👍👍 Ila Hakunaga Chid Benz mwengine
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu chidi anavituko san yaan inter view imeanza mpk inaisha hakuna jibu hata moja alil o ulizwa amejibu🤣🤣🤣🤣 zaidi ya kuzuga tu
@mudriqhamidu6031
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣👆 hyo leo syo interview bt presenter ameenda kupewa stry to na Benzino, cz jamaa tokea imeanza hii interview hakuna maswali ya msingi , cz anaogopa😝😝😝😝
🤣🤣chid anahoji mtangazaji.leo kakamatika Hadi anawish hangefika kwakina chid
Nani amemuona chid kasizii😆😆
Hahaha interview juu ya interview muulizaji naye anaulizwa
@mourinemarava418
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@kweliumesemailanaowangetul1933
5 жыл бұрын
Umeona eee uyo ndochuma koki afiki apo
@binthassancollection.6308
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@witineskikiwa1906
4 жыл бұрын
Senior maten 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu umevunja jama
@mariyaal5366
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭
Global Tv naomba mnifikishie ujumbe kwa chidi Benz mwana mziki bora wa hiphop kwamba mimi ni shabiki wake mkubwa na ningependa chidi benz wafanye collabo na khaligraph jones .trust me the song will be a blazing gun
@mwanadamtz1298
5 жыл бұрын
Nobert Mulesi yess
Hapa bila shaka ashamaliza kuvuta vitu zake....
Hahaha mama nae kaigiza vizuri seen ya kumuita chid atakapo ingia baada ya dk moja kuanza kwa kipindi
Mashallah kamsifia mamake so good 👍❤
yaani interview ya leo chid kjitahid coz hapo alipokuwa anahojiwa ameeleewa ile mbaya na bangi juu ni kawaida yake kila akitoka studio kuandika mistari la lazima anywe kidogo na avute bangi lkn siku nyingne anakuwa poa
Chid. Wewe. Unananifrahisha. Sana. Broo. Kumbe. Unakua. Mpole. Ivo
Kaava nn pale shingoni manati 😀😀😀😀😀😀
@africa7479
5 жыл бұрын
hahaha
@queenmalikia4172
5 жыл бұрын
Mbona ananong'ona pekeyake
@nasraomary1814
5 жыл бұрын
Salma Othman Ha ha ha ha Mbavu ZANGU JMN mie mwnyw nlkua najiuliza nn kavaa shingon
@aclesaclemence8784
5 жыл бұрын
Hahahahahahaaa, nikiwaga na stress naangaliaga tu interview za chidi na kusoma comment za watu
@godfreymofire6956
4 жыл бұрын
Hahahaha nimecheka kwa sauti kubwa sana mkali kwamba ametia na manati kama kingariaho eti
Chidi kawa mpole sana kwa hii interview
hahahahaha,naona leo mtangazaji umepatikana
Yani chid uko brait sana unakili.mingiiiii
Ilalaaaaaaaaaaa King nkoooooon Buster rhymes wa bongo
Mtangazaj anamuhoj mtu huku anamuogopa Yan sura imemjaa hofu, maswal tunayotarajia amuhoj mhuska hahoji anahoji uxenge tu
@ismailabdillah771
4 жыл бұрын
Hapo umesema aona kama atapigwa
presenter unapataje ujasiri Wa kuingia na viatu kweny hizo malu malu.......
Mm chidi anavyonifurahisha anaulizwa swali lingine anajib lingine kabisa ambalo halipo kabisa yaan
Mashaallah Bora ww kuliko Huyo dudu baya kaz umbea tu nakuzalilisha wenzake
ChiD atAbAkiii juuu chiD chUmAaa yA dSm#💪🏻
17:52😂😂😂😂 jamaa kageuka mjibu maswali lol chezea chid wewe😂😂😂 Kuulihuliza private life usioiona sio poa😂😂😂😂 uliza kile ukionacho.
😆😆😆 mtangazaji kakutana na chuma anahoji uku anaogopa ogopa
Interview haijapata mtangazaji mjanja coz mtu alie nae n mjanja sana
Achen kutufanya wapumbavu Yan umemkuta Kwa mama yake umejuaje kama yupo kule na sio magomen Kwa shemej...chid sasa ivii kataa interview blaza Sisi mafans wako tunakuelwa achia vitu vyetu BNA iziii tv za uchochoron achana nazo wanakufanya kituko bro
Mwanzo chid amezingua kweli 😂😂😂
Chidy chuma much respect bro
Uko juu kaka
😁😂😂😂chuma ni shida daaa, kumuoji ujipange
@mariyaal5366
4 жыл бұрын
Unaenda kumuoji anakuoji yeye😂😂😂😂
Duuh menu kwenye hotpot wee noma😁😁😁
20:19 hhhhhhh😂😂😂😂😂😂😂 nimemuonea mtangazaji wa watu huruma.
No chidi you still good bra 🔥 🔥🔥
hii interview nimeipenda😂😂😂😂
Kafanana na Bimkubwa sana
Nyumba nzuri
Kaka chidi apa ulikuwa umekonda sana mtangazaji leo umepatikana sana
Genius chid
Kkkkkkkk! Huyo mtangazaji haoni Chidi anamkwepa, hataki kujibu swala la shemeji wetu nani sashvi?😜
"Rudisha pale kwenye buku buku" 😂😂😂
Chidi unakula mwenyewe ata karibu ya uwongo kwa mgen hamna tena unalia mlemle kwenye hotpoti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abdillahnuhu1118
4 жыл бұрын
😂🤣😘
Hahahahaha iyi nimwisho sasa
Mue mnapeleka watangazaji walio kula jaman😹😹
@shameemrashid5219
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁kwli jamn anaonekn hajala huyu
🤣🤣 et mtu mzma God
Chid we mkali dudu ata asujudu matako akufikii
Kiufupi Chid naona kama hafagilii issue za kinyumba tizama kila akiulizwa kuhusu mchuma anakwepa
Mtangzji unauliza swali unaulizwa swali
Chid benz✊✊✊
Hahahahahahaaaa chid sijui kasizi??????😂😂😂😂
Ww noma unaruhusiwa katika kipind
Asee huyu jamaa bwana dah yaan mpaka roho inauma
Unyamwez wote lakini akifika kwa maza anatulia
kweri unga sio chai duuuuh chid kaisha
yuko tungi kinoma chidi
Nice kwao pazur mno mashaallah
Ahhhhhhhhhaaaa love king Kong
Duuuuhhhh jamani
Madaftari yngu yote enzi.nko.xcul.nilikua najita.king kong💋💋💋💋💋💋
Chichichii benzi
Bado anajiiba.
Diiimooonde😂😂😂😂😂
Leo cjamuelewa chidi hta kdogo
Ana ubao 😁
Mbona hi kama movie
Yan mtangazaji kz yko kuangalia hot pot
Chumaaa
Chidi Benz tulia umpe mama faraja mama anahisi unamtia aibu sio fresh, mama anakupenda na ukisema unampenda mama utakua muongo MTU anaye mpenda mamae ni yule anamumtumikia Mola na kuketa faraja kwa wazazi
Haaaa haaa mbona chid yuko mbali kama wanauziana magendo
Who says hip-hop doesn't pay
Kama unamsikia cameraman like ananong'onaaa
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kashindwa kujizuia
😂🤣😂🤣😂🤣😂 chid makwiro ndio uyoo
Chuuumaaaaaaaaa
Sasa hilo shati vp na ww?
Sauti vp Mbn ivo
Unajua chidi Benz anaakili sana unajua hawa waandish wa habar kazi yao kumuhoji tu lkn hakun faida yoyot anayo pata ndio mana sometimes kama anawakataa mana wao ndio wanaopat viewers kibao na faida za pesa kweny Chanel zao
Mh mahojiano wala hayako poa, chidi hayuko vzr kwa kuhojiwa, pole mtangazaji, ila jamani chidi kapungua mno yani hakua hivi duh, ila nampenda hana sifa ya kujiona kama wasanii wengine
Nmemuangalia chid mpk nalia yan amekuwa tofaut san
Shemeji jamn yup wap hahaaaaaa
Dah mtangazaji kapatikana leo kajuta yan mamaee