EXCLUSIVE NA CHID BENZ AFUNGUKA "ROMA HAJANILIPA, NILIKUWA NA HELA NYINGI ZAIDI ALIYONIPA GEORDAVIE"
Жүктеу.....
Пікірлер: 286
@mbarakkhalid1176 ай бұрын
Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him
@mcnyota
6 ай бұрын
God*
@maufijose22946 ай бұрын
Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart
@Gabonfreeman6 ай бұрын
Chid Benz Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪
@fatumamfumia45076 ай бұрын
Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
@ngellamickyofficial6 ай бұрын
Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid
@whiteAfrican835 ай бұрын
Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu Respect bro
@dj_jmoon_tz6 ай бұрын
Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius
@thadeusmahendeka44666 ай бұрын
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
@modelka222
6 ай бұрын
yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida
@user-jc8el6je5e
6 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana
@muzafarsharif94656 ай бұрын
chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo
@venasalbert39306 ай бұрын
Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.
@user-wt9nd8bh2h
6 ай бұрын
President of Dar City
@Whoisthismantalking
6 ай бұрын
broken watch tells right time twice a day.
@user-qs8td6yt4x
6 ай бұрын
Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa
@jdanny497
6 ай бұрын
Well said
@uwezokinahi7870
6 ай бұрын
This dude is smart
@user-hb7mq8lg9e6 ай бұрын
Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..
@nabbeely52955 ай бұрын
Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute
@user-hj6yd6jb6x6 ай бұрын
Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa
@sydneympiluka79596 ай бұрын
Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤
@user-vo7zt3ph2g6 ай бұрын
This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma
@Pathro_Cavosia6 ай бұрын
Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.
@ZabourahIthnain-cz5vm5 ай бұрын
Chidi for life
@boscokikoti6 ай бұрын
Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani
@stephenmwanzake6 ай бұрын
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
@zerochanneltanzania37976 ай бұрын
STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”
@Mwenyekiti11186 ай бұрын
Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho
@alimatambwe34026 ай бұрын
He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔
@aishamohamedi3626 ай бұрын
Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen
@erickdioniz82776 ай бұрын
Chid safi hiyo nimeikubali sana
@MulababazOG6 ай бұрын
Chidi benz noma sanaa Bonge la genius
@levygasper74386 ай бұрын
M Ayo Tv Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏
@mikasiadventures67095 ай бұрын
Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊
@waelewaclassic18246 ай бұрын
Jamaa yuko Sawa Sana..! NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
@devidjav35836 ай бұрын
Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.
@agustinealberty6 ай бұрын
am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana
@officialchidibenz6 ай бұрын
Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.
@Sebastian-ul7wg6 ай бұрын
Legendary welcome back brother
@goldenjunior_tz6 ай бұрын
This guy ni genius
@fischerkashaija32146 ай бұрын
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
@richie_Jk6 ай бұрын
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
@koalaness8921
5 ай бұрын
Nipe top 2 yako walobakia
@richie_Jk
5 ай бұрын
Unju na Fidii
@catewahu68605 ай бұрын
Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅
@MichaelJames-tp6co6 ай бұрын
P1 sana chidi, big up sana mzee
@issasaad34036 ай бұрын
Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa
@Gabonfreeman6 ай бұрын
Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉
@damianjeremia38216 ай бұрын
Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉
@Daladalamedia6 ай бұрын
You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.
@walinaziontime73006 ай бұрын
Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela
@merrynancesimon15626 ай бұрын
Chidi benzi❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥❤️❤️
@linusjoseph84546 ай бұрын
Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua
@zenawahindi24256 ай бұрын
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
@kinotasontravel20936 ай бұрын
Chiz sio mbinafsi 100 💯
@alexwatae31656 ай бұрын
Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie
@ericmuthiani1676
6 ай бұрын
Wewe shoga Sana...dawa za mamako
@Whoisthismantalking
6 ай бұрын
I love this 😅
@mfalmekaitaba2425
6 ай бұрын
@@ericmuthiani1676we ndo shoga sasa
@hari_meshi6 ай бұрын
Drugs are a bad thing to human
@kalmaarufuofficial745 ай бұрын
Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥
@Immahjr6 ай бұрын
Chid Benz mtu poa sana
@minhokid6 ай бұрын
Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani
@irenematari62186 ай бұрын
Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤
@butondodavid2105
6 ай бұрын
Ubongo wako low IQ huwez muelewa
@user-qn1yq1pi7p5 ай бұрын
Nice chidbenze👍
@VicentMillanzi-tw9qe6 ай бұрын
Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?
@newforcejv97216 ай бұрын
Kabla ujamponda huyu bwana kasikilize vyote sizani kama hakuna kitu utofunguka lipo la kushika katka 10 anayo yatamka
@Chrisblaze-beats6 ай бұрын
Bro we Roll❤❤
@roberttaigo92166 ай бұрын
jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana
@saidilome-ue2df6 ай бұрын
Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.
@demask34236 ай бұрын
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
@noelkibere82086 ай бұрын
Ushakuwa wenge BCBG aisee
@RabiaIddi-ci2uz6 ай бұрын
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
@JonathanNsweve6 ай бұрын
Chini ni noma
@michaelvincentmhagama3375 ай бұрын
Upholding humanity
@amrozwhite10736 ай бұрын
CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA
@nyamweririchard59456 ай бұрын
Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo
@user-rg5dm9mr4u6 ай бұрын
Kama unaamini chid madawa yamemzid nguvu gonga like😢
@dullahzebuffa6 ай бұрын
Safi sana aiseh
@kinotasontravel20936 ай бұрын
Chiz Benz big up bro
@emmanueljackson54456 ай бұрын
Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji
@ezekiambise25956 ай бұрын
Mungu amsaidie.
@Heal-with-Dodo6 ай бұрын
Nyie chid hayupo sawa😕
@d-manb-free34786 ай бұрын
Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂
@ibrahimaziz71586 ай бұрын
Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda
@user-kx1ou3ez7q6 ай бұрын
Jomba ni noma sana Benz
@hclever77316 ай бұрын
Et pipa na mfuniko😂😂😂 Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand
@frankmichael19686 ай бұрын
Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu
@salimaziz98586 ай бұрын
Kuna kipande kimekatwa 16:58
@user-fc3og1eo3x6 ай бұрын
Salute bro
@ramadhanomar83466 ай бұрын
It is about love
@williamkeita15196 ай бұрын
Chid you so bright but ni mtundu na mwenye dharau upo kama player balloteli,unajiona star sana kuliko mond kuliko kiba kuliko roma😂
@DanielMarwa-ep8qr6 ай бұрын
King kong❤
@chiefkissensi6 ай бұрын
Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa. ChidKing🇹🇿
@bedastusmichael78116 ай бұрын
Chidy unasumbua sana broo.tishaaa
@bittersweet16836 ай бұрын
I like this
@MakalaSimulizi6 ай бұрын
😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa
@MalickMazikublood-gq2fs6 ай бұрын
Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤
@williamdungumaro66686 ай бұрын
Uyu jamaa ana kitu bado kweny gem
@Yb_the_killer6 ай бұрын
Chid Benz king Kong chumaa...He come back in town 💥🔥🔥
@malikzafarani1726 ай бұрын
Jamaa yuko really sn 🇶🇦
@mackhanssa24846 ай бұрын
Anakula KWA hasira sana😂😂😂
@nelsonkilasi9796 ай бұрын
Chidi anaelewa anachofanya usimfananishe na Rapper yeyote huwa nasema jamaa ukiondoa mizaha hakuna anaeifunika hip hop yake ht siku moja
@user-wu4eq1tv4h6 ай бұрын
Chid me shabik Yako kitambo na bdo cjakuchoka ..ila kuusu Ile video ya kuomba pesa Ile nitakwel bhana
@AmaniMcharo-wn3ul6 ай бұрын
REspeCt chid benz 😂😂😂
@mengipeter95986 ай бұрын
Mwamba karudi
@smilereigner6 ай бұрын
Pipe na Mfuniko😅😅😅
@isalohsk47626 ай бұрын
Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact
@pajokakasasa6 ай бұрын
Chidy akili nyingi sana
@mrsinia30646 ай бұрын
Chid benz mtu hatari sana....Dsm bila chuma is not true 👊👊 #muda #chidbenz
@onesmolwambano93496 ай бұрын
Fact
@WaziriRamadhan-ML6 ай бұрын
Ni kosa sana kusema pesa uliyopewa ni ndogo sn kumbuka hela ya kupewa bila jasho sikuzote ni kubwa sn ht ikiwa elufu 7 tu!
@Josephkp629
6 ай бұрын
Amna hela bila jasho unazan kaenda kwa mguu arusha
@filberth_Mchilo
6 ай бұрын
Huyu Jamaa kuvimba haachagi hata awe kapuku Namna gani 😅😅
@WaziriRamadhan-ML
6 ай бұрын
@@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu
@FadyFs
6 ай бұрын
@@WaziriRamadhan-ML kwani ni milion10 ile?
@snaidertv1857
6 ай бұрын
Chid alienda kumuona mfiwa then mfiwa anampatia pesa ndio maana hakuifurahia alifeel bad
Пікірлер: 286
Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him
@mcnyota
6 ай бұрын
God*
Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart
Chid Benz Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪
Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid
Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu Respect bro
Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
@modelka222
6 ай бұрын
yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida
@user-jc8el6je5e
6 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana
chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo
Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.
@user-wt9nd8bh2h
6 ай бұрын
President of Dar City
@Whoisthismantalking
6 ай бұрын
broken watch tells right time twice a day.
@user-qs8td6yt4x
6 ай бұрын
Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa
@jdanny497
6 ай бұрын
Well said
@uwezokinahi7870
6 ай бұрын
This dude is smart
Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..
Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute
Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa
Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤
This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma
Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.
Chidi for life
Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”
Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho
He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔
Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen
Chid safi hiyo nimeikubali sana
Chidi benz noma sanaa Bonge la genius
M Ayo Tv Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏
Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊
Jamaa yuko Sawa Sana..! NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.
am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana
Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.
Legendary welcome back brother
This guy ni genius
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
@koalaness8921
5 ай бұрын
Nipe top 2 yako walobakia
@richie_Jk
5 ай бұрын
Unju na Fidii
Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅
P1 sana chidi, big up sana mzee
Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa
Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉
Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉
You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.
Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela
Chidi benzi❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥❤️❤️
Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
Chiz sio mbinafsi 100 💯
Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie
@ericmuthiani1676
6 ай бұрын
Wewe shoga Sana...dawa za mamako
@Whoisthismantalking
6 ай бұрын
I love this 😅
@mfalmekaitaba2425
6 ай бұрын
@@ericmuthiani1676we ndo shoga sasa
Drugs are a bad thing to human
Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥
Chid Benz mtu poa sana
Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani
Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤
@butondodavid2105
6 ай бұрын
Ubongo wako low IQ huwez muelewa
Nice chidbenze👍
Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?
Kabla ujamponda huyu bwana kasikilize vyote sizani kama hakuna kitu utofunguka lipo la kushika katka 10 anayo yatamka
Bro we Roll❤❤
jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana
Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
Ushakuwa wenge BCBG aisee
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
Chini ni noma
Upholding humanity
CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA
Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo
Kama unaamini chid madawa yamemzid nguvu gonga like😢
Safi sana aiseh
Chiz Benz big up bro
Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji
Mungu amsaidie.
Nyie chid hayupo sawa😕
Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂
Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda
Jomba ni noma sana Benz
Et pipa na mfuniko😂😂😂 Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand
Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu
Kuna kipande kimekatwa 16:58
Salute bro
It is about love
Chid you so bright but ni mtundu na mwenye dharau upo kama player balloteli,unajiona star sana kuliko mond kuliko kiba kuliko roma😂
King kong❤
Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa. ChidKing🇹🇿
Chidy unasumbua sana broo.tishaaa
I like this
😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa
Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤
Uyu jamaa ana kitu bado kweny gem
Chid Benz king Kong chumaa...He come back in town 💥🔥🔥
Jamaa yuko really sn 🇶🇦
Anakula KWA hasira sana😂😂😂
Chidi anaelewa anachofanya usimfananishe na Rapper yeyote huwa nasema jamaa ukiondoa mizaha hakuna anaeifunika hip hop yake ht siku moja
Chid me shabik Yako kitambo na bdo cjakuchoka ..ila kuusu Ile video ya kuomba pesa Ile nitakwel bhana
REspeCt chid benz 😂😂😂
Mwamba karudi
Pipe na Mfuniko😅😅😅
Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact
Chidy akili nyingi sana
Chid benz mtu hatari sana....Dsm bila chuma is not true 👊👊 #muda #chidbenz
Fact
Ni kosa sana kusema pesa uliyopewa ni ndogo sn kumbuka hela ya kupewa bila jasho sikuzote ni kubwa sn ht ikiwa elufu 7 tu!
@Josephkp629
6 ай бұрын
Amna hela bila jasho unazan kaenda kwa mguu arusha
@filberth_Mchilo
6 ай бұрын
Huyu Jamaa kuvimba haachagi hata awe kapuku Namna gani 😅😅
@WaziriRamadhan-ML
6 ай бұрын
@@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu
@FadyFs
6 ай бұрын
@@WaziriRamadhan-ML kwani ni milion10 ile?
@snaidertv1857
6 ай бұрын
Chid alienda kumuona mfiwa then mfiwa anampatia pesa ndio maana hakuifurahia alifeel bad