MSANII CHID BENZ KWA NABII MKUU - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 78
Tumpate wapi Tena mtu kama Nabii Mkuu ambaye Mungu anakaa ndani yake, Asante sana Baba kwa kutujali🙏🙏
Wow Nabii mkuu umefanya vema❤❤❤❤❤❤❤
NABII MKUU BALOZI WA MU NGU DUNIANI.BARIKIWA SANA.NIMEFURAHI KUMUONA CHID KWA NABII MKUU.
waislamu km humpendi Nabii mkuu usiangalie pita na yako sio lazima kuangalia na kuanza kuponda imani za watu, fanyeni yenu
Uyu nabii nimtu safisana ❤
Asante baba Mungu Akubariki Kwa utumishi wa Kazi zake Aliyekuumba
Hivi Nisher amekuwa ni mtu wa kuzungumziwa hivi kweli? 😢aisee mimi jina ilo lina nipa huzuni nisikiapotu 😭 aisee Nisher kweli ume tuachia uzuni na majonzi kibao, mkombozi wa vijana wengi wa mitaa genius R.I.P bro💔😢
Nabiii is very good
namimi naungana na neno lako Baba
Mungu azidi kumtunza nabii mkuu
Chid benz his super talented since dem days
Chid Benz nimtusafi sana
Mtumishi wa Mungu analindwa na baunsa
@BraveMajaliwa-gf7ru
6 ай бұрын
Muuni baba yoko mjinga wewe
@gabrielkabato9909
6 ай бұрын
Huyo dokta sule tu anawalinzi
@abelmbata37
6 ай бұрын
Hata Yesu alikuwa na mabaunsa tena 12
@zuwenaalamin8985
6 ай бұрын
😅😅😅😅
@hassanhussein-ow7qh
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Respect Mchungaji🙏
Amen
Huyu mchungaji au mganga wa kienyeji
Innalillah wainna ilaihi rajiun, Ndugu zangu waislam huu ni msiba, tukamateni dini yetu, tusichupe mipaka ya Allah tukaangukia kwenye ushirikina, tutaulizwa na Allah, Maisha mafupi yakupita haya ndg zangu
@danimtenga6962
6 ай бұрын
Huna akili
@activestudios.
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 wote wasenge sio nyinyi wala hao wa bwana asifiwe
@hassanhussein-ow7qh
6 ай бұрын
@@activestudios. rainbow 🌈 utawajua tu, tabia za choko choko
Vijan fanyen Kaz msipende kupewa 1:57
Powerful
Asa huyo bod gad Hana Iman n mtu kumpa mkono mtumish jmn😂😂 au chidy bad kichwa haiko vzr
Huyu hayupo sawa kiakili. Huyu sio Nabii.
Umaskini mbaya sana
Bouncer kiburi anamuangalia Chidi juu chini,dharau
Duh
Chid ww muislam unaenda fanya nn kanisani dah njaa noma sana
@bakarikayugwa3295
6 ай бұрын
Je na mchungaji hananje aliende mskitini huulizi
@laurnyandwi-sb1gu
6 ай бұрын
Mmeanza kuleta udini sasa mbwa nyinyi🚮
@benomdaile7081
6 ай бұрын
@@laurnyandwi-sb1gu😂😂😂😂
@dfixmoblab
6 ай бұрын
@@bakarikayugwa3295waambie na ww 😂😂😂😂
@laurnyandwi-sb1gu
6 ай бұрын
@@benomdaile7081 yan wabongo sijuw tulilogwa wapi.,Kwan mungu s mmoja shida ip wap.
Chini ako juu ya unga
Mungu azidi kukutunza mkombozi wa karne ya Sasa🤲🤲🤲
Huyu amekutakutafuta hela...!. Wala sio baraka. Nyimbo za kidunia, ni Mungu gani unamuomba akupe baraka?.
Jamaa kanipita Ngarenaro akiwa kwenye Pikipiki 😂
Amina baba
Haya ndio maabii fake live linaonekana tu kila kukicha wasanii kanisani pamekuwa maaonyesho au club?? Majitu yamefungwa macho hayaoni yanakwenda tu.
Matendo bado yaja!!
Ooooh😢
Mrongo washenzi njaa tupu umeungua mguu alafu wa vaa buti
Acheni ushamba na ubaguzi nyie waislm mbona mnatiaga wa kristo huo ni unafiki popote Mungu yupo
Tuombe mwisho mwema
Apewe gari
Chid alifata mpunga😅😅😅
Nabii nisaidie nina mgonjwa naomba bimab
@Eagles_tech
6 ай бұрын
Karibu ngurumo ya upako au search Geordavie google utaona namba za maombi utasaidiwa
Shalom naitaji kuelimishwa kwanini yanafanyika haya mtu anabarikiwa kumtumikia shetani
@PeterGabriel-vm5yy
6 ай бұрын
Shalom tafakari andiko hilo katika Roho. Barikiwa. Zaburi 92:5-7 Ee Bwana, jinsi yalivyo makuu matendo yako! Mawazo yako ni mafumbo makubwa. Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu. Wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakistawi. Ni kwa kusudi waangamizwe milele;
Yaliyoandikwa yanatimia sasa,,
🙏🙏👍🏾
Chidi yukojuu yaunga na nabii nimuzaunga siopoa
@deonatusdaud4640
6 ай бұрын
unaushaidi...?????
Duuu
Zingatia maokoto
huyo kajivurugia mwenywewe
Subirini Kwanza muone matokeo siyo mnaongea tu
Chid benz ume wekewa lahana ..
@bakarikayugwa3295
6 ай бұрын
Acha chuki je mchungaji hananje Ali alikwa bakwata ikoje hio
Naogopa ataongea utumbo😅😅😅😅😅😅
@cristaezekiel1036
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Is this the true representation of Jesus The Christ?
@mohsixtus7048
6 ай бұрын
No, satan
Sasa hao jamaa wanaomshusha mkono wanafkiri wanamuweza chidi😅😅
Kikubwa ahubiriwe wokovu wa roho yake aokoke na cyo kuangalia maslahi tu
avurugikiwe zena
Mbona mApolis tena heree