MSANII CHID BENZ KWA NABII MKUU - GeorDavie TV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 78

  • @salmampinga4995
    @salmampinga49956 ай бұрын

    Tumpate wapi Tena mtu kama Nabii Mkuu ambaye Mungu anakaa ndani yake, Asante sana Baba kwa kutujali🙏🙏

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch10 күн бұрын

    Wow Nabii mkuu umefanya vema❤❤❤❤❤❤❤

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior6 ай бұрын

    NABII MKUU BALOZI WA MU NGU DUNIANI.BARIKIWA SANA.NIMEFURAHI KUMUONA CHID KWA NABII MKUU.

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga54476 ай бұрын

    waislamu km humpendi Nabii mkuu usiangalie pita na yako sio lazima kuangalia na kuanza kuponda imani za watu, fanyeni yenu

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r6 ай бұрын

    Uyu nabii nimtu safisana ❤

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky10885 ай бұрын

    Asante baba Mungu Akubariki Kwa utumishi wa Kazi zake Aliyekuumba

  • @metroplanetstudios
    @metroplanetstudios6 ай бұрын

    Hivi Nisher amekuwa ni mtu wa kuzungumziwa hivi kweli? 😢aisee mimi jina ilo lina nipa huzuni nisikiapotu 😭 aisee Nisher kweli ume tuachia uzuni na majonzi kibao, mkombozi wa vijana wengi wa mitaa genius R.I.P bro💔😢

  • @user-eu1wq8bn9y
    @user-eu1wq8bn9y6 ай бұрын

    Nabiii is very good

  • @DAZIZUbeàutysalon
    @DAZIZUbeàutysalon6 ай бұрын

    namimi naungana na neno lako Baba

  • @Fredyjingu
    @Fredyjingu6 ай бұрын

    Mungu azidi kumtunza nabii mkuu

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam18656 ай бұрын

    Chid benz his super talented since dem days

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r6 ай бұрын

    Chid Benz nimtusafi sana

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde69006 ай бұрын

    Mtumishi wa Mungu analindwa na baunsa

  • @BraveMajaliwa-gf7ru

    @BraveMajaliwa-gf7ru

    6 ай бұрын

    Muuni baba yoko mjinga wewe

  • @gabrielkabato9909

    @gabrielkabato9909

    6 ай бұрын

    Huyo dokta sule tu anawalinzi

  • @abelmbata37

    @abelmbata37

    6 ай бұрын

    Hata Yesu alikuwa na mabaunsa tena 12

  • @zuwenaalamin8985

    @zuwenaalamin8985

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @hassanhussein-ow7qh

    @hassanhussein-ow7qh

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @LionizeBillionaire
    @LionizeBillionaire6 ай бұрын

    Respect Mchungaji🙏

  • @ZabibuMadelelya
    @ZabibuMadelelya4 ай бұрын

    Amen

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk6 ай бұрын

    Huyu mchungaji au mganga wa kienyeji

  • @hassanhussein-ow7qh
    @hassanhussein-ow7qh6 ай бұрын

    Innalillah wainna ilaihi rajiun, Ndugu zangu waislam huu ni msiba, tukamateni dini yetu, tusichupe mipaka ya Allah tukaangukia kwenye ushirikina, tutaulizwa na Allah, Maisha mafupi yakupita haya ndg zangu

  • @danimtenga6962

    @danimtenga6962

    6 ай бұрын

    Huna akili

  • @activestudios.

    @activestudios.

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 wote wasenge sio nyinyi wala hao wa bwana asifiwe

  • @hassanhussein-ow7qh

    @hassanhussein-ow7qh

    6 ай бұрын

    @@activestudios. rainbow 🌈 utawajua tu, tabia za choko choko

  • @YohanaYared
    @YohanaYared6 ай бұрын

    Vijan fanyen Kaz msipende kupewa 1:57

  • @richardIyanga
    @richardIyanga4 ай бұрын

    Powerful

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de6 ай бұрын

    Asa huyo bod gad Hana Iman n mtu kumpa mkono mtumish jmn😂😂 au chidy bad kichwa haiko vzr

  • @iwishtv7907
    @iwishtv79076 ай бұрын

    Huyu hayupo sawa kiakili. Huyu sio Nabii.

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah22996 ай бұрын

    Umaskini mbaya sana

  • @oliverkiwinga7032
    @oliverkiwinga70326 ай бұрын

    Bouncer kiburi anamuangalia Chidi juu chini,dharau

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga70206 ай бұрын

    Duh

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid96376 ай бұрын

    Chid ww muislam unaenda fanya nn kanisani dah njaa noma sana

  • @bakarikayugwa3295

    @bakarikayugwa3295

    6 ай бұрын

    Je na mchungaji hananje aliende mskitini huulizi

  • @laurnyandwi-sb1gu

    @laurnyandwi-sb1gu

    6 ай бұрын

    Mmeanza kuleta udini sasa mbwa nyinyi🚮

  • @benomdaile7081

    @benomdaile7081

    6 ай бұрын

    ​@@laurnyandwi-sb1gu😂😂😂😂

  • @dfixmoblab

    @dfixmoblab

    6 ай бұрын

    ​@@bakarikayugwa3295waambie na ww 😂😂😂😂

  • @laurnyandwi-sb1gu

    @laurnyandwi-sb1gu

    6 ай бұрын

    @@benomdaile7081 yan wabongo sijuw tulilogwa wapi.,Kwan mungu s mmoja shida ip wap.

  • @jobtoo2681
    @jobtoo26816 ай бұрын

    Chini ako juu ya unga

  • @neemamjema1067
    @neemamjema10676 ай бұрын

    Mungu azidi kukutunza mkombozi wa karne ya Sasa🤲🤲🤲

  • @SHULE_YA_KRISTO
    @SHULE_YA_KRISTO5 ай бұрын

    Huyu amekutakutafuta hela...!. Wala sio baraka. Nyimbo za kidunia, ni Mungu gani unamuomba akupe baraka?.

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz86 ай бұрын

    Jamaa kanipita Ngarenaro akiwa kwenye Pikipiki 😂

  • @user-ow5dv1ht6i
    @user-ow5dv1ht6i6 ай бұрын

    Amina baba

  • @eliamwakimage5389
    @eliamwakimage53896 ай бұрын

    Haya ndio maabii fake live linaonekana tu kila kukicha wasanii kanisani pamekuwa maaonyesho au club?? Majitu yamefungwa macho hayaoni yanakwenda tu.

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik6 ай бұрын

    Matendo bado yaja!!

  • @Godmaletz
    @Godmaletz6 ай бұрын

    Ooooh😢

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj6 ай бұрын

    Mrongo washenzi njaa tupu umeungua mguu alafu wa vaa buti

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv6 ай бұрын

    Acheni ushamba na ubaguzi nyie waislm mbona mnatiaga wa kristo huo ni unafiki popote Mungu yupo

  • @user-xw7il4jd8h
    @user-xw7il4jd8h6 ай бұрын

    Tuombe mwisho mwema

  • @heritier5119
    @heritier51196 ай бұрын

    Apewe gari

  • @kamandashupavu206
    @kamandashupavu2066 ай бұрын

    Chid alifata mpunga😅😅😅

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr6 ай бұрын

    Nabii nisaidie nina mgonjwa naomba bimab

  • @Eagles_tech

    @Eagles_tech

    6 ай бұрын

    Karibu ngurumo ya upako au search Geordavie google utaona namba za maombi utasaidiwa

  • @mariamndabila7916
    @mariamndabila79166 ай бұрын

    Shalom naitaji kuelimishwa kwanini yanafanyika haya mtu anabarikiwa kumtumikia shetani

  • @PeterGabriel-vm5yy

    @PeterGabriel-vm5yy

    6 ай бұрын

    Shalom tafakari andiko hilo katika Roho. Barikiwa. Zaburi 92:5-7 Ee Bwana, jinsi yalivyo makuu matendo yako! Mawazo yako ni mafumbo makubwa. Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu. Wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakistawi. Ni kwa kusudi waangamizwe milele;

  • @user-xv4xr1ez7z
    @user-xv4xr1ez7z6 ай бұрын

    Yaliyoandikwa yanatimia sasa,,

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose13346 ай бұрын

    🙏🙏👍🏾

  • @user-gw6zg5yx9e
    @user-gw6zg5yx9e6 ай бұрын

    Chidi yukojuu yaunga na nabii nimuzaunga siopoa

  • @deonatusdaud4640

    @deonatusdaud4640

    6 ай бұрын

    unaushaidi...?????

  • @user-tu3el4go4f
    @user-tu3el4go4f6 ай бұрын

    Duuu

  • @thebios2553
    @thebios25536 ай бұрын

    Zingatia maokoto

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi84386 ай бұрын

    huyo kajivurugia mwenywewe

  • @user-fv2vn4lg9e
    @user-fv2vn4lg9e6 ай бұрын

    Subirini Kwanza muone matokeo siyo mnaongea tu

  • @moseskulola6913
    @moseskulola69136 ай бұрын

    Chid benz ume wekewa lahana ..

  • @bakarikayugwa3295

    @bakarikayugwa3295

    6 ай бұрын

    Acha chuki je mchungaji hananje Ali alikwa bakwata ikoje hio

  • @jacqueli18
    @jacqueli186 ай бұрын

    Naogopa ataongea utumbo😅😅😅😅😅😅

  • @cristaezekiel1036

    @cristaezekiel1036

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp6 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @millyarapta6933
    @millyarapta69336 ай бұрын

    Is this the true representation of Jesus The Christ?

  • @mohsixtus7048

    @mohsixtus7048

    6 ай бұрын

    No, satan

  • @thehunter5920
    @thehunter59206 ай бұрын

    Sasa hao jamaa wanaomshusha mkono wanafkiri wanamuweza chidi😅😅

  • @maryandason1815
    @maryandason18156 ай бұрын

    Kikubwa ahubiriwe wokovu wa roho yake aokoke na cyo kuangalia maslahi tu

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger6 ай бұрын

    avurugikiwe zena

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange77586 ай бұрын

    Mbona mApolis tena heree

Келесі