GeorDavie TV channel inafichua siri na chanzo cha matatizo, mapito na mitihani unayokabiliana nayo katika maisha yako ya kila siku ikiwemo mikosi, balaa, nuksi, nyota yako kuibiwa kupitia biashara, kazi au mahusiano uliyowahi kujihusisha nayo. Mtumishi wa Mungu Nabii Mkuu Dr. GeorDavie, anakupa nafasi ya kufunguliwa unapoangalia video hizi! Sambamba na ufungulivu wa maisha yako utapata nafasi ya kumsikiliza akifundisha mafundisho mazuri na muhimu ya kiroho yatakayokufaa sana maishani mwako. Tafadhali anza kwa ku-Subscribe ili usipitwe na baraka hizi kila tunapozileta kwako. Karibu!
The World's Renowned Author of: "KEEPING UP WITH GOD's KINGDOM GOVERNMENT STANDARDS!!!"
Пікірлер
Amina Baba
Ila musabu kama vitabu vya dini vina sema kama :matayo 24:1:30 kwajili yasiku za mwisho, pana sehemu pameandikwa kwamba mutakapo ona chukizo lahuaribifu maahali patakayifu mujuwe kama mimi nipomulangoni. Kiukweli harmonize ameimba wimbo wake. Lakini machukizo nikwamba mutumishi tena nabii mkuu aipembe mpaka kwenye mazabau kweli ?? Mbona niku mu keraa mumbaji wa MBINGUNI na inchi. Akuna atakidogo mausiyano kati ya giza na Naru.
Pole
Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲
Wow Nabii mkuu umefanya vema❤❤❤❤❤❤❤
Izo pesa anazitoa wapi?.
Utamtambua vipi kwamba ninabii wa uwongo au wa kweli.. Ulimwengu ushakwisha shetani ndio anavuta watu kwa nguvu ya pesa duu!! Wanadamu tuaangamia kwa kukosa elimu na maarifa ..ee Baba muumba wa mbingu aridhi ..tunaomba uturehemu bila wewe sisi hatuwezi kamwe
Amina
Yuko MUNGU mbinguni, kila chenye mwili kina mwisho
Ameeen
Nakusalimu sana kutoka Mozambique Mimi nakitaga, Prophete -voyant !!!!!! Siku moja ntakuja kukusalimia !!!!!
ETY MTUMISHI????????????????? MTUMISHI?????????????????????
Aminaaa baba
Na watu wanashangilia , ,duuuh EE MUNGU TUSAMEHE TULIOPOTEA, , , WEW NABII USHINDWE KWA JINA LA YESUU
Hongera sn Baba Geodave God bless you ❤❤❤🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 💯
Shalom! Nimeuona mkono wa MUNGU kupitia mtumishi wake huyu NABII MKUU 🙏🏾
Jaman tutapataje kupona tuspo jali wokovuuu
Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao
Asante BABA yangu wa kiroho umenifutia maneno mabaya niliyotamkiwa. Niko huru.
Ameen
Ameeen
Najiunganisha ktk jina la Yesu
Mungu akubariki pastor Geodavi🙏
Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu
Kweli mtumishi wa Bwana
Amina Nabii zMungu akubariki
Kwamtu asie pitia kwenye ushilikina hawezi kujuwa nguvu yako lakini sisi tulio ishi kwenye mateso ya uchawi tunajuwa nguvu yako wewe na nguvu zamungu kweli endelea kukombowa wengine
Amina
AMINA , imekuwa kwangu In Jesus mighty name 👏🙏
unabi unatimia yesu anasema manabi wengi wauongo watatokea hawanao nimiongini mwao mtawatambua kwamatundayao
Sifa kwa mungu baba
Sida kwa mungu baba
Namkubal sana Baba Nabii mkuu
Napokea
Amen
Amina
Shukrani Baba yangu kwa kunifutia nyaraka mbaya na maneno mabaya yote niliyotamkiwa na watu na niliyojitamkia, NABII MKUU akiinua mikono inamaanisha "YATOSHA "Sasa niko Huru 🙏🙏
Amen Baba 🙏
💕🙌💕ik prijs u jezus van uit belgie ❤❤halleluja❤amen
Amen
Amina Sanaa baba na ninapokea
Amina nimepokeya
❤ Asante Baba kwaNeno lako Nyumba yangu itaisha sasa
Baba nimeona kazi yako mungu alokupa unaitendea haki baba mungu azidi kukupa huai maradufu nawe unanibarki sana❤❤
Kwahyo kumbe wameenda kutafuta mitaji😂😂😂 hawatak hata kuokoka
Amina
Nimepokea imekuwa kwangu nasimama imara kuliko mwanzoo naanza upya Leo
Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona
هاذا رب كاذب