GeorDavie TV

GeorDavie TV

GeorDavie TV channel inafichua siri na chanzo cha matatizo, mapito na mitihani unayokabiliana nayo katika maisha yako ya kila siku ikiwemo mikosi, balaa, nuksi, nyota yako kuibiwa kupitia biashara, kazi au mahusiano uliyowahi kujihusisha nayo. Mtumishi wa Mungu Nabii Mkuu Dr. GeorDavie, anakupa nafasi ya kufunguliwa unapoangalia video hizi! Sambamba na ufungulivu wa maisha yako utapata nafasi ya kumsikiliza akifundisha mafundisho mazuri na muhimu ya kiroho yatakayokufaa sana maishani mwako. Tafadhali anza kwa ku-Subscribe ili usipitwe na baraka hizi kila tunapozileta kwako. Karibu!
The World's Renowned Author of: "KEEPING UP WITH GOD's KINGDOM GOVERNMENT STANDARDS!!!"

Пікірлер

  • @VictoriaNasari
    @VictoriaNasari21 минут бұрын

    Amina Baba

  • @Marombe32
    @Marombe3245 минут бұрын

    Ila musabu kama vitabu vya dini vina sema kama :matayo 24:1:30 kwajili yasiku za mwisho, pana sehemu pameandikwa kwamba mutakapo ona chukizo lahuaribifu maahali patakayifu mujuwe kama mimi nipomulangoni. Kiukweli harmonize ameimba wimbo wake. Lakini machukizo nikwamba mutumishi tena nabii mkuu aipembe mpaka kwenye mazabau kweli ?? Mbona niku mu keraa mumbaji wa MBINGUNI na inchi. Akuna atakidogo mausiyano kati ya giza na Naru.

  • @bakariphilip3859
    @bakariphilip38594 сағат бұрын

    Pole

  • @user-ic2ci1zf5k
    @user-ic2ci1zf5k4 сағат бұрын

    Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch5 сағат бұрын

    Wow Nabii mkuu umefanya vema❤❤❤❤❤❤❤

  • @PeterMgani-v7c
    @PeterMgani-v7c7 сағат бұрын

    Izo pesa anazitoa wapi?.

  • @PeterMgani-v7c
    @PeterMgani-v7c8 сағат бұрын

    Utamtambua vipi kwamba ninabii wa uwongo au wa kweli.. Ulimwengu ushakwisha shetani ndio anavuta watu kwa nguvu ya pesa duu!! Wanadamu tuaangamia kwa kukosa elimu na maarifa ..ee Baba muumba wa mbingu aridhi ..tunaomba uturehemu bila wewe sisi hatuwezi kamwe

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md10 сағат бұрын

    Amina

  • @frankbutati8343
    @frankbutati834317 сағат бұрын

    Yuko MUNGU mbinguni, kila chenye mwili kina mwisho

  • @niyiesther6571
    @niyiesther6571Күн бұрын

    Ameeen

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3oКүн бұрын

    Nakusalimu sana kutoka Mozambique Mimi nakitaga, Prophete -voyant !!!!!! Siku moja ntakuja kukusalimia !!!!!

  • @AMINIELIHAALI-xv1rd
    @AMINIELIHAALI-xv1rdКүн бұрын

    ETY MTUMISHI????????????????? MTUMISHI?????????????????????

  • @BarakahVilliard
    @BarakahVilliardКүн бұрын

    Aminaaa baba

  • @AMINIELIHAALI-xv1rd
    @AMINIELIHAALI-xv1rdКүн бұрын

    Na watu wanashangilia , ,duuuh EE MUNGU TUSAMEHE TULIOPOTEA, , , WEW NABII USHINDWE KWA JINA LA YESUU

  • @user-qo8eu1br6f
    @user-qo8eu1br6fКүн бұрын

    Hongera sn Baba Geodave God bless you ❤❤❤🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 💯

  • @kiota_the_nest
    @kiota_the_nestКүн бұрын

    Shalom! Nimeuona mkono wa MUNGU kupitia mtumishi wake huyu NABII MKUU 🙏🏾

  • @annambembela6661
    @annambembela6661Күн бұрын

    Jaman tutapataje kupona tuspo jali wokovuuu

  • @IMODESIGNER-ej6gj
    @IMODESIGNER-ej6gjКүн бұрын

    Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao

  • @HopefulFlower-sn4kg
    @HopefulFlower-sn4kgКүн бұрын

    Asante BABA yangu wa kiroho umenifutia maneno mabaya niliyotamkiwa. Niko huru.

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214Күн бұрын

    Ameen

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214Күн бұрын

    Ameeen

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214Күн бұрын

    Najiunganisha ktk jina la Yesu

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523Күн бұрын

    Mungu akubariki pastor Geodavi🙏

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tzКүн бұрын

    Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz2 күн бұрын

    Kweli mtumishi wa Bwana

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz2 күн бұрын

    Amina Nabii zMungu akubariki

  • @maxlyana8708
    @maxlyana87082 күн бұрын

    Kwamtu asie pitia kwenye ushilikina hawezi kujuwa nguvu yako lakini sisi tulio ishi kwenye mateso ya uchawi tunajuwa nguvu yako wewe na nguvu zamungu kweli endelea kukombowa wengine

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md2 күн бұрын

    Amina

  • @GadlordKiwango
    @GadlordKiwango2 күн бұрын

    AMINA , imekuwa kwangu In Jesus mighty name 👏🙏

  • @ONYOLAMWISHOKWAULIMWENGU.
    @ONYOLAMWISHOKWAULIMWENGU.2 күн бұрын

    unabi unatimia yesu anasema manabi wengi wauongo watatokea hawanao nimiongini mwao mtawatambua kwamatundayao

  • @isaacsimwana6294
    @isaacsimwana62942 күн бұрын

    Sifa kwa mungu baba

  • @isaacsimwana6294
    @isaacsimwana62942 күн бұрын

    Sida kwa mungu baba

  • @Don_teo
    @Don_teo2 күн бұрын

    Namkubal sana Baba Nabii mkuu

  • @dicksonsinyinza4168
    @dicksonsinyinza41682 күн бұрын

    Napokea

  • @dicksonsinyinza4168
    @dicksonsinyinza41682 күн бұрын

    Amen

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md2 күн бұрын

    Amina

  • @salmampinga4995
    @salmampinga49952 күн бұрын

    Shukrani Baba yangu kwa kunifutia nyaraka mbaya na maneno mabaya yote niliyotamkiwa na watu na niliyojitamkia, NABII MKUU akiinua mikono inamaanisha "YATOSHA "Sasa niko Huru 🙏🙏

  • @ZimaniGervas
    @ZimaniGervas2 күн бұрын

    Amen Baba 🙏

  • @MarleenClymans
    @MarleenClymans2 күн бұрын

    💕🙌💕ik prijs u jezus van uit belgie ❤❤halleluja❤amen

  • @FarajaApolo
    @FarajaApolo2 күн бұрын

    Amen

  • @charlesmarco248
    @charlesmarco2482 күн бұрын

    Amina Sanaa baba na ninapokea

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md2 күн бұрын

    Amina nimepokeya

  • @MichaelMlimbo
    @MichaelMlimbo2 күн бұрын

    ❤ Asante Baba kwaNeno lako Nyumba yangu itaisha sasa

  • @JosephMwankota
    @JosephMwankota3 күн бұрын

    Baba nimeona kazi yako mungu alokupa unaitendea haki baba mungu azidi kukupa huai maradufu nawe unanibarki sana❤❤

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y3 күн бұрын

    Kwahyo kumbe wameenda kutafuta mitaji😂😂😂 hawatak hata kuokoka

  • @user-bz6ru7sk7u
    @user-bz6ru7sk7u4 күн бұрын

    Amina

  • @EsuphatRobert
    @EsuphatRobert4 күн бұрын

    Nimepokea imekuwa kwangu nasimama imara kuliko mwanzoo naanza upya Leo

  • @JoshuaMuyanjizi
    @JoshuaMuyanjizi4 күн бұрын

    Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona

  • @user-oi6rn6gp3e
    @user-oi6rn6gp3e4 күн бұрын

    هاذا رب كاذب