NABII MKUU AJA KIVINGINE ( UPAKO SHOW ) - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 102
Amina Mungu akupe upako wakutosha
Oh my God, give your people spiritual eyes to see what is happening in the spiritual realm😢😢😢😢
namm nafunguli katika jina la yesu amen
God have mercy upon us. Watuwangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.huyo sio mungu wa mbinguni. Labda Mungu wa Geo davie
@nicolasaugustino8449
4 ай бұрын
Hata Yesu alikutana na maneno kama hayo yakwako,
@mwana3887
4 ай бұрын
Ww mwenye maarifa huna hata mfano wa ulichokifanya usimjudge mtu ambaye humjui
Amin nimebarikiwa sana
HUYU NDIYO NABII MKUU SASA.BARIKIWA!NAKUBALI SANA HIZI OPERATION.
@officialmubytz1076
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂fungus macho shetani yupo kazini- shetani anatoa upako pia
@MCNgakungaJunior
4 ай бұрын
@@officialmubytz1076 HAYO MAMBO ANAYOYAFANYA UKIWA KARIBU NA ROHO MTAKATIFU NAFANYIKA KWA WEPESI.ILA WEWE UKIONA SHETANI ENDELEA KUMPA SIFA SHETANI.
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
4 ай бұрын
YESU nipe kunyamaza
Mimi nauliza swali inamaana Kati ya Yesu na Geodev nani nabii Mkuu
napokea karma vipawa kuanzia Sasa amen
Kuwa na nguvu za Mungu ni pale unapo kuwa na Ushindi Wa Dhambi Hilo ndilo la msingi. Ili Mtu asiende Jehanamu kuwa na karama SI utakatifu Yesu aliwaambia ondokeni kwangu ninyi Nyote mtendao Uonvu Wapo wakasema Tukitoka unabi Kwa jina lako, tulitenda miyjiza Kwa jina lako tulipinya wagonjwa Kwa jina lako Yesu aliwaambia Ondokeni kwangu ninyi nyote. Walienda Jehanamu Tubu Dhambi na kuziacha
Ameen Dady I received 🙏❤️
I receive it in the name of Jesus. Thanks 👍
Hatari sana huu moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 si wa kitoto 7stars💥💥💥💥💥💥💥
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen nimepokea kwa jina la yesu
Amen Great God All mighty. Blessing mighty prophet of God!
Amina gd
Yes
So powerful. I receive karama na vipawa na kufunguka in Jesus Might Name. AMEN
Amen Amen Amen 🙏 napokea in Yesus Christ name
Amen...napokea karama na vipawa vikuu
NAMI napokea kwa jina la Yesu
Amen...i receive it in Jesus christ name.
Ahsant baba mungu azidi kukutumia
Hii kuja kivingine sio sawa, alivyoanza huduma yake miaka ya 2005 hapo.kisongo ndo alikuwa na upako zaidi ya huu, sio kivingine alikuwa na upako na hata sasa anao.
Wow!!Mwenye kazi yuko kazini ❤🙏
Asante mungu wa nabii mkuu
I receive it in Jesus might Name Amen Amen
No comment about him, if he do this miracle in real Christ power it's better if not time will tell
@mwana3887
4 ай бұрын
The guy is there since 1999
Ameni napokea
Yes kaja kivingine
Piga kazi papa nakukubali sana
Na mm napokea ktk jina la yesu
Asante Baba
Amina ys❤❤❤
Amina amina❤❤❤
So powerful
Amina sanaa
❤❤
ENDELEA KUPIGA OPARATION ZA KIBABE KAMA HIZO MY ROLE MODEL.
I receive in Jesus name
Amen Amen
💖🙌💖prijs jezus
Ameeen
And name Jesus
NaBii MKUU kupitia shida niko nayo niko tayari kukutafuta MUNGU alikuchaguwa nasisi utusaidie sio watanzania tu inje ya inchi tunaangaika
NaBii MKUU NIKO NASHIDA ILISHA SHINDA MANABII WENGI SANA LAKINI NAONA KAMA WEWE UNAWEZA KUPIGANA VITA NILIVYO NAVYO NAUKASHINDA.UNISAIDIE NIKO UGANDA NAPEDA KUFUNGULIWA NAWEWE
@MtumishiMajaliwa-mm7gh
4 ай бұрын
Acha kujiunga na mambo yasio stahili ......ukujiwa kweli kweli utakuweka huru .........unaweza ukazani umefanyiwa miujiza kumbe umeunganishwa na 666
Amina❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amina
du najivunia sana kuwa msabato MUNGU endelea kunifanya kuwa msabato
@esterlaurent9395
4 ай бұрын
Hakika hiyo ndo din ya kwel barikiwa Sana pamoja sana
@AyoubBenson-yy3so
4 ай бұрын
Mpaka zama hizi watu mnajivunia dini badala kujivunia kuwa na Yesu duuh
@isayafrancis6030
4 ай бұрын
Endelea tu kuwa msabato Kuna mambo kama hukufunuliwa utamwona Kila asiye msabato niwashetani
@fidonifidel
4 ай бұрын
Pole sana na wewe huna tofauti na hawa!!!
@valeriamtenga3384
4 ай бұрын
Yesu hakuja kwa ajili ya dini flani Alikuja kwa wote watakaomwamini
Tumepokea hatakama tupo Mozambique.
🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
1 Timotheo 4:1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; Yohana17;17
💖🙌💖wauw prijs.jezus halleluja
This is absolutely ridiculous! Why does he have these ”guards” with him? Does no one have discernment? Pure chaos and blashemy.
Sasa Nchi nzima upako tu
Hahaha hahaha Tanzania🇹🇿😅
Ovyoo
Walinzi saidien watu wanaoanguka
Sio mungu wa nabii mkuu sema mungu wa Ibrahim isack na yakobo we mungu wa huyo nabii unamjua?
@deborasimon2525
4 ай бұрын
Kwani wewe Mungu wa ibrahimu na Isaka unamjua? Acha utopolo.
@patrickmligo9335
4 ай бұрын
Sisi tulishavuka huko kwahio huwezi kumkubali MUNGU wa sasa unaye muona kupitia Nabii wake :::: kujitafakali tena afu urudi
@mcjackpettydady9435
4 ай бұрын
Unakalilishwa tu. Enzi za zamani. Kaa ukijua Mungu anaejifunua saiv ndio hiyohiyo WA ibrahim
@maliakishaushi9089
4 ай бұрын
isaka wewe unamjua usipomjua huyu hatatokea isaka agano lake limekwisha Kwa wakati wa kizazi chao.kila kizazi Kuna agano na nabii wa wakati huo hahahaha kuwa mjanja utabakia kukaa Sana na ukitaka kuprove kamuombee mtu kwa kupitia isaka au ibrahimu utakesha lakini ukiguza tu mungu was geordavie anashuka kama moto the past is gone
@maliakishaushi9089
4 ай бұрын
hi shoo ni Kali ma wewe jaribu kama robo unaweza moto hatari powerful like america jet
Ebu mjifunze kumtegemea Mungu acheni uzuzu
@samwelmollel602
4 ай бұрын
Kwani hapa wanamtegemeya mamako ukaolewe utuliye
@SamwelMollel-br9md
2 ай бұрын
Punguza umalaya wamdomo
whats is purpose of this security team
Kafala ya mwanawe imeanza kufanya kazi
@zionembassytv5672
4 ай бұрын
Yesu akusamehe ,haya fanya wewe usiyetoa kafara
@samwelmollel602
4 ай бұрын
Wewe unayeropoka ukiolewa utajitambuwa 3:17 3:21
@GRACEOFJESUSCHANNEL357
4 ай бұрын
Uakika uo unao?
@lupamwakabenga1716
4 ай бұрын
Ushindwe kwa Jina la Yesu,,,Mungu yupo na huyu mtumishi.
@SamwelMollel-br9md
2 ай бұрын
Wewe unaitajika ukunwe tako uwe nakili timamu malaya wew hadi lini utaasha usenge waakili
Iyo kitambaaa niatariiii
Mhhh🫢🫢
Mbona jina la Yesu kristo halitaji? Wakati Yohana 14:14 anasema mkiniomba kwa jina langu nitatenda? Yesu anatajwa kwa mbali sana
@SamwelMollel-br9md
2 ай бұрын
Ukalitaje wewe ndiyo yesu hakutambui anayetambulika nayesu hana haja yakumtaja
@SamwelMollel-br9md
2 ай бұрын
Ukalitaje wew kama yeye hakutaja
Ahsant baba mungu azidi kukutumia
Amina tumepokeya
❤❤
Amina gd
napokea karma vipawa kuanzia Sasa amen
@8pistons194
4 ай бұрын
Karma unaijua au unaiskia😂