NABII MKUU AJA KIVINGINE ( UPAKO SHOW ) - GeorDavie TV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 102

  • @chimuwilliam143
    @chimuwilliam1434 ай бұрын

    Amina Mungu akupe upako wakutosha

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu87184 ай бұрын

    Oh my God, give your people spiritual eyes to see what is happening in the spiritual realm😢😢😢😢

  • @RajabuMnzava
    @RajabuMnzava2 ай бұрын

    namm nafunguli katika jina la yesu amen

  • @bonintajiri3958
    @bonintajiri39584 ай бұрын

    God have mercy upon us. Watuwangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.huyo sio mungu wa mbinguni. Labda Mungu wa Geo davie

  • @nicolasaugustino8449

    @nicolasaugustino8449

    4 ай бұрын

    Hata Yesu alikutana na maneno kama hayo yakwako,

  • @mwana3887

    @mwana3887

    4 ай бұрын

    Ww mwenye maarifa huna hata mfano wa ulichokifanya usimjudge mtu ambaye humjui

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md2 ай бұрын

    Amin nimebarikiwa sana

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior4 ай бұрын

    HUYU NDIYO NABII MKUU SASA.BARIKIWA!NAKUBALI SANA HIZI OPERATION.

  • @officialmubytz1076

    @officialmubytz1076

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂fungus macho shetani yupo kazini- shetani anatoa upako pia

  • @MCNgakungaJunior

    @MCNgakungaJunior

    4 ай бұрын

    @@officialmubytz1076 HAYO MAMBO ANAYOYAFANYA UKIWA KARIBU NA ROHO MTAKATIFU NAFANYIKA KWA WEPESI.ILA WEWE UKIONA SHETANI ENDELEA KUMPA SIFA SHETANI.

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf

    @OnesmoEmmanuel-xr2rf

    4 ай бұрын

    YESU nipe kunyamaza

  • @mhandoonthebeats8581
    @mhandoonthebeats85812 ай бұрын

    Mimi nauliza swali inamaana Kati ya Yesu na Geodev nani nabii Mkuu

  • @maliakishaushi9089
    @maliakishaushi90894 ай бұрын

    napokea karma vipawa kuanzia Sasa amen

  • @heripaulo6484
    @heripaulo64844 ай бұрын

    Kuwa na nguvu za Mungu ni pale unapo kuwa na Ushindi Wa Dhambi Hilo ndilo la msingi. Ili Mtu asiende Jehanamu kuwa na karama SI utakatifu Yesu aliwaambia ondokeni kwangu ninyi Nyote mtendao Uonvu Wapo wakasema Tukitoka unabi Kwa jina lako, tulitenda miyjiza Kwa jina lako tulipinya wagonjwa Kwa jina lako Yesu aliwaambia Ondokeni kwangu ninyi nyote. Walienda Jehanamu Tubu Dhambi na kuziacha

  • @MkaliWenuOriginal
    @MkaliWenuOriginal4 ай бұрын

    Ameen Dady I received 🙏❤️

  • @sajienswebe5557
    @sajienswebe55574 ай бұрын

    I receive it in the name of Jesus. Thanks 👍

  • @kendramartin3707
    @kendramartin37074 ай бұрын

    Hatari sana huu moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 si wa kitoto 7stars💥💥💥💥💥💥💥

  • @alizakayo3963
    @alizakayo39634 ай бұрын

    Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen nimepokea kwa jina la yesu

  • @cultivateurelationwithgod
    @cultivateurelationwithgod4 ай бұрын

    Amen Great God All mighty. Blessing mighty prophet of God!

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    Amina gd

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md2 ай бұрын

    Yes

  • @thomaskabisha3041
    @thomaskabisha30414 ай бұрын

    So powerful. I receive karama na vipawa na kufunguka in Jesus Might Name. AMEN

  • @candidadilemile5882
    @candidadilemile58824 ай бұрын

    Amen Amen Amen 🙏 napokea in Yesus Christ name

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es4 ай бұрын

    Amen...napokea karama na vipawa vikuu

  • @mahalawanamahalawana4019
    @mahalawanamahalawana40194 ай бұрын

    NAMI napokea kwa jina la Yesu

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es4 ай бұрын

    Amen...i receive it in Jesus christ name.

  • @JacklineMichael-qr1gi
    @JacklineMichael-qr1gi4 ай бұрын

    Ahsant baba mungu azidi kukutumia

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11704 ай бұрын

    Hii kuja kivingine sio sawa, alivyoanza huduma yake miaka ya 2005 hapo.kisongo ndo alikuwa na upako zaidi ya huu, sio kivingine alikuwa na upako na hata sasa anao.

  • @salmampinga4995
    @salmampinga49954 ай бұрын

    Wow!!Mwenye kazi yuko kazini ❤🙏

  • @PacJunior-hd8ig
    @PacJunior-hd8ig4 ай бұрын

    Asante mungu wa nabii mkuu

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa64404 ай бұрын

    I receive it in Jesus might Name Amen Amen

  • @methodmatemele6790
    @methodmatemele67904 ай бұрын

    No comment about him, if he do this miracle in real Christ power it's better if not time will tell

  • @mwana3887

    @mwana3887

    4 ай бұрын

    The guy is there since 1999

  • @ManenoSimkoko-df9yj
    @ManenoSimkoko-df9yj4 ай бұрын

    Ameni napokea

  • @rashidhassan8156
    @rashidhassan81564 ай бұрын

    Yes kaja kivingine

  • @lameckwilliam8311
    @lameckwilliam83114 ай бұрын

    Piga kazi papa nakukubali sana

  • @user-bz6ru7sk7u
    @user-bz6ru7sk7u4 ай бұрын

    Na mm napokea ktk jina la yesu

  • @mathsmeme-tv6576
    @mathsmeme-tv65764 ай бұрын

    Asante Baba

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    Amina ys❤❤❤

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    Amina amina❤❤❤

  • @bambuguyasamuel3107
    @bambuguyasamuel31074 ай бұрын

    So powerful

  • @charlesmarco248
    @charlesmarco2484 ай бұрын

    Amina sanaa

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    ❤❤

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior4 ай бұрын

    ENDELEA KUPIGA OPARATION ZA KIBABE KAMA HIZO MY ROLE MODEL.

  • @user-kb5xu5yr3q
    @user-kb5xu5yr3q4 ай бұрын

    I receive in Jesus name

  • @getrudengani8376
    @getrudengani83764 ай бұрын

    Amen Amen

  • @MarleenClymans
    @MarleenClymans4 ай бұрын

    💖🙌💖prijs jezus

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule4 ай бұрын

    Ameeen

  • @ConradMbokosi
    @ConradMbokosi4 ай бұрын

    And name Jesus

  • @TuelewaneSemahoro
    @TuelewaneSemahoro4 ай бұрын

    NaBii MKUU kupitia shida niko nayo niko tayari kukutafuta MUNGU alikuchaguwa nasisi utusaidie sio watanzania tu inje ya inchi tunaangaika

  • @TuelewaneSemahoro
    @TuelewaneSemahoro4 ай бұрын

    NaBii MKUU NIKO NASHIDA ILISHA SHINDA MANABII WENGI SANA LAKINI NAONA KAMA WEWE UNAWEZA KUPIGANA VITA NILIVYO NAVYO NAUKASHINDA.UNISAIDIE NIKO UGANDA NAPEDA KUFUNGULIWA NAWEWE

  • @MtumishiMajaliwa-mm7gh

    @MtumishiMajaliwa-mm7gh

    4 ай бұрын

    Acha kujiunga na mambo yasio stahili ......ukujiwa kweli kweli utakuweka huru .........unaweza ukazani umefanyiwa miujiza kumbe umeunganishwa na 666

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    Amina❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    Amina

  • @askofumjema5344
    @askofumjema53444 ай бұрын

    du najivunia sana kuwa msabato MUNGU endelea kunifanya kuwa msabato

  • @esterlaurent9395

    @esterlaurent9395

    4 ай бұрын

    Hakika hiyo ndo din ya kwel barikiwa Sana pamoja sana

  • @AyoubBenson-yy3so

    @AyoubBenson-yy3so

    4 ай бұрын

    Mpaka zama hizi watu mnajivunia dini badala kujivunia kuwa na Yesu duuh

  • @isayafrancis6030

    @isayafrancis6030

    4 ай бұрын

    Endelea tu kuwa msabato Kuna mambo kama hukufunuliwa utamwona Kila asiye msabato niwashetani

  • @fidonifidel

    @fidonifidel

    4 ай бұрын

    Pole sana na wewe huna tofauti na hawa!!!

  • @valeriamtenga3384

    @valeriamtenga3384

    4 ай бұрын

    Yesu hakuja kwa ajili ya dini flani Alikuja kwa wote watakaomwamini

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o4 ай бұрын

    Tumepokea hatakama tupo Mozambique.

  • @HappyLeonard-rx2ck
    @HappyLeonard-rx2ck4 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @MtumishiMajaliwa-mm7gh
    @MtumishiMajaliwa-mm7gh4 ай бұрын

    1 Timotheo 4:1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; Yohana17;17

  • @MarleenClymans
    @MarleenClymans4 ай бұрын

    💖🙌💖wauw prijs.jezus halleluja

  • @mimmipekurinen7989
    @mimmipekurinen79894 ай бұрын

    This is absolutely ridiculous! Why does he have these ”guards” with him? Does no one have discernment? Pure chaos and blashemy.

  • @MoroDartz
    @MoroDartz4 ай бұрын

    Sasa Nchi nzima upako tu

  • @user-sb1qh6uq8t
    @user-sb1qh6uq8t4 ай бұрын

    Hahaha hahaha Tanzania🇹🇿😅

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m4 ай бұрын

    Ovyoo

  • @neemasovela5037
    @neemasovela50374 ай бұрын

    Walinzi saidien watu wanaoanguka

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v4 ай бұрын

    Sio mungu wa nabii mkuu sema mungu wa Ibrahim isack na yakobo we mungu wa huyo nabii unamjua?

  • @deborasimon2525

    @deborasimon2525

    4 ай бұрын

    Kwani wewe Mungu wa ibrahimu na Isaka unamjua? Acha utopolo.

  • @patrickmligo9335

    @patrickmligo9335

    4 ай бұрын

    Sisi tulishavuka huko kwahio huwezi kumkubali MUNGU wa sasa unaye muona kupitia Nabii wake :::: kujitafakali tena afu urudi

  • @mcjackpettydady9435

    @mcjackpettydady9435

    4 ай бұрын

    Unakalilishwa tu. Enzi za zamani. Kaa ukijua Mungu anaejifunua saiv ndio hiyohiyo WA ibrahim

  • @maliakishaushi9089

    @maliakishaushi9089

    4 ай бұрын

    isaka wewe unamjua usipomjua huyu hatatokea isaka agano lake limekwisha Kwa wakati wa kizazi chao.kila kizazi Kuna agano na nabii wa wakati huo hahahaha kuwa mjanja utabakia kukaa Sana na ukitaka kuprove kamuombee mtu kwa kupitia isaka au ibrahimu utakesha lakini ukiguza tu mungu was geordavie anashuka kama moto the past is gone

  • @maliakishaushi9089

    @maliakishaushi9089

    4 ай бұрын

    hi shoo ni Kali ma wewe jaribu kama robo unaweza moto hatari powerful like america jet

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k4 ай бұрын

    Ebu mjifunze kumtegemea Mungu acheni uzuzu

  • @samwelmollel602

    @samwelmollel602

    4 ай бұрын

    Kwani hapa wanamtegemeya mamako ukaolewe utuliye

  • @SamwelMollel-br9md

    @SamwelMollel-br9md

    2 ай бұрын

    Punguza umalaya wamdomo

  • @mbithivictor6294
    @mbithivictor62944 ай бұрын

    whats is purpose of this security team

  • @SephaniaKabika
    @SephaniaKabika4 ай бұрын

    Kafala ya mwanawe imeanza kufanya kazi

  • @zionembassytv5672

    @zionembassytv5672

    4 ай бұрын

    Yesu akusamehe ,haya fanya wewe usiyetoa kafara

  • @samwelmollel602

    @samwelmollel602

    4 ай бұрын

    Wewe unayeropoka ukiolewa utajitambuwa 3:17 3:21

  • @GRACEOFJESUSCHANNEL357

    @GRACEOFJESUSCHANNEL357

    4 ай бұрын

    Uakika uo unao?

  • @lupamwakabenga1716

    @lupamwakabenga1716

    4 ай бұрын

    Ushindwe kwa Jina la Yesu,,,Mungu yupo na huyu mtumishi.

  • @SamwelMollel-br9md

    @SamwelMollel-br9md

    2 ай бұрын

    Wewe unaitajika ukunwe tako uwe nakili timamu malaya wew hadi lini utaasha usenge waakili

  • @hasanipoy3976
    @hasanipoy39764 ай бұрын

    Iyo kitambaaa niatariiii

  • @Katembo_Official
    @Katembo_Official4 ай бұрын

    Mhhh🫢🫢

  • @mazulacelestine3038
    @mazulacelestine30384 ай бұрын

    Mbona jina la Yesu kristo halitaji? Wakati Yohana 14:14 anasema mkiniomba kwa jina langu nitatenda? Yesu anatajwa kwa mbali sana

  • @SamwelMollel-br9md

    @SamwelMollel-br9md

    2 ай бұрын

    Ukalitaje wewe ndiyo yesu hakutambui anayetambulika nayesu hana haja yakumtaja

  • @SamwelMollel-br9md

    @SamwelMollel-br9md

    2 ай бұрын

    Ukalitaje wew kama yeye hakutaja

  • @JacklineMichael-qr1gi
    @JacklineMichael-qr1gi4 ай бұрын

    Ahsant baba mungu azidi kukutumia

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    Amina tumepokeya

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    ❤❤

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6024 ай бұрын

    Amina gd

  • @maliakishaushi9089
    @maliakishaushi90894 ай бұрын

    napokea karma vipawa kuanzia Sasa amen

  • @8pistons194

    @8pistons194

    4 ай бұрын

    Karma unaijua au unaiskia😂