ATAHADHARISHWA KUHUSU MAHUSIANO HAYA: “UTAKABILIANA NA MILIPUKO, WEKA MBALI SILAHA”-GDTV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!

Пікірлер: 730

  • @mr.sampaelias1885
    @mr.sampaelias18852 жыл бұрын

    Ukisikia mtumish anakua na Maneno mengi bila kutaja jina Yesu ujue hapo hakuna Mnapigwa peupe! Jina Mungu hatukupewa kutoa Pepo ila jina la Yesu tu!

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes86 ай бұрын

    It's interesting how God works in mysterious ways Geordavie is the PERFECT man of God... Quote "PERFECT" Man of God😊

  • @lamaifanuel9221
    @lamaifanuel92212 жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe,shaloom mtumishi ninaomba maombi yko yakawe ngao kwangu na familia yangu

  • @winnieombaire1918
    @winnieombaire19183 жыл бұрын

    Am happy that she finally accepted and challenged you with immediate hopes 😍😍

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54794 жыл бұрын

    Wakristo ,someni neno! Acheni kupenda miujiza na kuombewa! Mjifunze kusimama na kuomba! Ni kweli watumishi wana sehem yao lkn km huna neno kuyumbishwa,kudanganywa ni rahisi! Mungu anasema na kila mtu!hasa kwa njia ya ndoto! Anza kuomba kidogokidogo,jifunze mtegemee Yesu peke yake,usiweke matumaini kwa mwanadamu! Yaani Yesu/Mungu awe wako kwanza kabla ya Yesu/Mungu wa mtumishi ,au kanisa Fulani!

  • @chalesnguyaine9991

    @chalesnguyaine9991

    4 жыл бұрын

    Hahaha wakristo msikatazwe kukimbilia miujiza za Yesu kristo kwa maana kinachomtambusha uwepo wa kristo ni miujiza na alisema mtafanya zaidi ya haya nilioyafanya ikiwemo miujiza,na uzuri tunamsikiya huyu baba akimtaja Mungu na Yesu,na Yesu ndo Mungu na Mungu ndo yesu ndivyo sis tunavoamini sas mtu unakuwa na wivu kiasi hiki kisa umeshndwa kufanya.sikia hii ndo tofauti za kutenda kazi lkn Mungu ni yeye yule yule

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    4 жыл бұрын

    @@chalesnguyaine9991 miujiza ipo na wala haina ubaya! Wapi alipomtaja Yesu na Mungu ? Nisaidie tu hapo ndo nachotaka kufahamu!

  • @chalesnguyaine9991

    @chalesnguyaine9991

    4 жыл бұрын

    @@christinewomanoffaith5479 embu rudia kutizama hiyo video maana utamskia akimtaja Mungu na Yesu ukishaamaliza kuangalia embu andika neno Geordavie tv angalia video vyake utamskia tu sawa man

  • @chalesnguyaine9991

    @chalesnguyaine9991

    4 жыл бұрын

    Sisi kama wana wa nabii tunamtambua Yesu kristo kama Mungu yani Mungu ndo jina lake kwa kifupi nikwamba tukimtaja Mungu jua tumemaanisha Yesu na tukimtaja yesu jua tumemaansha ni Mungu kwa hyo usitake huduma Yenu ya TB joshua ifanane na ya nabii geordavie

  • @hamismasalu9359

    @hamismasalu9359

    4 жыл бұрын

    Umenena vyema sana kaka Mpaka nimependa Neno lako hilo chache tu, nakuluhusu uchukue namba yangu tuwe tunawasiliana kuelekezana na kufundishana juu ya neno la Mungu 0686608015

  • @baudouinecikwanine4690
    @baudouinecikwanine46904 жыл бұрын

    Babaaa Ubarikiwe uongezewe Na Mungu aliyekupa kazi ngumu iyi. Mimi ni baudouine mukongo naikala buja nakufata sana. Naitaji Na mimi kuombewa. Najuwa Mungu anauwezo ya kunigusa kupitiya wewe hata uko uko. Nisaidie naomba baba yangu

  • @shedrackdavid3876
    @shedrackdavid38762 жыл бұрын

    I believe in God I make a trust always and I request God to protect my best friend 🙏🙏🙏🙏

  • @emmanuelngiloriti981
    @emmanuelngiloriti9813 жыл бұрын

    Yaan mungu amekaa ndani yako nabii mkuu natamani kama ungenionekania na mimi jaman.

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes86 ай бұрын

    Geordavie ana amini kikweli kweli Hana kuigiza I love the Man of God for Life. God is Real, God. Is Great,God is RICH, God is Everything..He Displays his Grace through his Servant.: GEORDAVIE

  • @chrisedson2531
    @chrisedson25312 жыл бұрын

    Mtumishi ombea familia yangu pia avunje mazabahu mbaya zinazonifatilia mimi na mzazi mwenzangu Maana naishi kwa shida kubwa mungu anihulumie

  • @fredturrukei2390
    @fredturrukei23903 жыл бұрын

    My God protect you mtumishi wa mungu🙏

  • @annwanjiku5923
    @annwanjiku59232 жыл бұрын

    Ooh God this man is so powerful,profesy for me also

  • @marthasimon1004
    @marthasimon10042 жыл бұрын

    Mh! Baba mungu akubariki sana! Kuna mambo mtu unaweza pitia ukadhan ni pito kumbe mpango wa shetan. Nawish cku1 kukuona maana me pia maisha yangu cjawah kuelewa yanavyo enda

  • @marymchomvu134
    @marymchomvu1342 жыл бұрын

    Shalom babaa,na mm naomba nifunguliwe na niponywe kwa jina la yesu

  • @JeanElisha
    @JeanElisha Жыл бұрын

    Jamani nduguzangu tazania nawaomba sana kwahimani Mungu aliipendeleya tanzania Ninayo imani juu nabii Mukuu dunia Yote itapona napia RDC uvira nikonamengi yakusema naomba Léo Ninaona mihujiza y'a hajabu naomba Siku moja nabii Mungu amutume Apa kwetu RDC,congo,sikuzote naomba Mungu amupe uzima kila Siku amupe nusu y'a Siku za Mungu unilindiye GDavi Wangu ,moyo

  • @moureenmokeira2205
    @moureenmokeira22053 жыл бұрын

    Amen🙏🙏... I wish ningekuona hata uniwekee mkono kichwa tu..

  • @kelvinjoseph9773
    @kelvinjoseph97734 жыл бұрын

    Amen mchungaj mungu akubalik uendle kufny bwan

  • @magdalenamatiko9995
    @magdalenamatiko99954 жыл бұрын

    Alieona wazinzi wanabarikiwa waendelee na uzinzi wao mnipe big up

  • @elizabethkizota3474
    @elizabethkizota34744 жыл бұрын

    mungu nifundishe kunyamaza

  • @cossanwambura1065

    @cossanwambura1065

    4 жыл бұрын

    Ukinyamanza mawe yatasema kweli

  • @saidseleman6004

    @saidseleman6004

    4 жыл бұрын

    Elizabeth nambie hata kisirisiri

  • @jujuwaida5443

    @jujuwaida5443

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @mohdsaid7189

    @mohdsaid7189

    3 жыл бұрын

    So vizuri ivo said

  • @hildajoshua2906

    @hildajoshua2906

    3 жыл бұрын

    Kabisa Elizabeth kizota

  • @snayzzermusictz775
    @snayzzermusictz7754 жыл бұрын

    Nabarikiwa naww jmn nabii nipo dar

  • @niceibrahimlukumay5247
    @niceibrahimlukumay52472 жыл бұрын

    Ameni i received anointing

  • @kaijagepaulmungunisaidie2598
    @kaijagepaulmungunisaidie25982 жыл бұрын

    Baba tunabalikiwa Mungu akujalie uendelee kuepo

  • @meryjohn7120
    @meryjohn71204 жыл бұрын

    Yeye mungu unatakiwa kimwamini mugu sio mwanadamu

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes86 ай бұрын

    Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai

  • @malota2138
    @malota21383 жыл бұрын

    ipo siku mungu atawazalilisha awa wanaodanganya watu inaonesha wazi hapo hao wanajuana na wamepanga

  • @bensonmgaya5693

    @bensonmgaya5693

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @emmanuelmanyonyi1005
    @emmanuelmanyonyi10053 жыл бұрын

    Man of GOD 🙏, you are doing great job am also having a problem in my life, from Kenya

  • @deokessy6288
    @deokessy62883 жыл бұрын

    Sijasikia Neno Yesu Kristo

  • @naomijonas9173
    @naomijonas91733 жыл бұрын

    Nabii naomba uniombee mm na familia yangu, na mtoto wangu anayesumbuliwa na tatizo la kukojoa kitandani, na afaulu mtihani wake wa kidato cha nne muombee jmniii nipo dar, anaitwa jesca

  • @thonasmihiga7911

    @thonasmihiga7911

    3 жыл бұрын

    Mpigishe doso ataacha kukojoa

  • @greesgrees856
    @greesgrees8564 жыл бұрын

    Amina napokea

  • @christinamkalalile874
    @christinamkalalile8742 жыл бұрын

    Mungu akubaliki sana nabii wa mungu

  • @sofiaallykizand7319
    @sofiaallykizand73193 жыл бұрын

    Thanks God

  • @boniventuremarrirey6930
    @boniventuremarrirey69304 жыл бұрын

    Amen baba nabii mkuu

  • @getrudekway3293
    @getrudekway32934 жыл бұрын

    Mungu anajibu kwakweli natamani sana nkutane nae mtu wa mungu

  • @dinalodam3017
    @dinalodam30172 жыл бұрын

    Amen najiungamanisha na Mimi na mume wangu tufunguliwe na mama angu

  • @minaelijohn1782
    @minaelijohn17822 жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe baba naitwa mshungaji minaeli Niko nyumba ya mungu baba natamani sana unitamkie neno pia naomba sapoti ya usafiri

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi56613 жыл бұрын

    SubhanaALLAH,SubhanaALLAH, mwenyezi mungu ataenda kutuchoma kwasababu ya matendo yetu, ya kumsingia, na kumshilikisha na viumbe wake

  • @heliethdulla2139

    @heliethdulla2139

    3 жыл бұрын

    Subuana Nini na wewe Kama vipi si upige kimya tu

  • @balihappy5628
    @balihappy56282 жыл бұрын

    Am blessed man of God...be blessed more

  • @divinahgesare814

    @divinahgesare814

    Жыл бұрын

    Naitaji maombi natoka kenya naitaji mtoto

  • @elibarikieliatunawapatavzr7872
    @elibarikieliatunawapatavzr78724 жыл бұрын

    Duhhhhh kuna vituko duniani. Tatizo watu tunapenda miujiza kuliko Mungu

  • @goldvilysamweli3716

    @goldvilysamweli3716

    4 жыл бұрын

    kama huna cha kuongea ni bora ukaa kimy kuliko kumkosea mung

  • @goldvilysamweli3716

    @goldvilysamweli3716

    4 жыл бұрын

    kwan huw nani anayetoa muujiza km cy huyo mungu mnayemsem

  • @mwana3887

    @mwana3887

    4 жыл бұрын

    @Elibariki Elia tunawapata vzr Acha ujinga mdogo mdogo miujiza (miracles) ndio sign ya uwepo wa Mungu

  • @antoinea.katembo5326

    @antoinea.katembo5326

    4 жыл бұрын

    mwana kabisa ukweli ndo kwani hiyo miujiza ilifanyika mbinguni au hapa duniani?

  • @bulugubujashi6378

    @bulugubujashi6378

    4 жыл бұрын

    Nikweli

  • @RAPHAEL-kj3qs
    @RAPHAEL-kj3qs Жыл бұрын

    Nabii naguswa sana na maombi yako nataka kujua Arusha sehemu gan nahitaji kufika hapo nyumba ya mungu

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai18612 жыл бұрын

    Very powerful man of God

  • @amoskilekwa7780

    @amoskilekwa7780

    Жыл бұрын

    Dieu et bon

  • @niletrierweiler1607
    @niletrierweiler16074 жыл бұрын

    Amen, Baba unabii wako umeonekana, nafurahia saana kuyaona uponyaji kama haya,naomba nasisi utuombee familia yangu,mimi ni mkenya

  • @mmasymery391

    @mmasymery391

    4 жыл бұрын

    Karibu sana Tanzania

  • @samuelkimaro5138

    @samuelkimaro5138

    4 жыл бұрын

    Brother unafeli

  • @stevek8318
    @stevek83183 жыл бұрын

    Too much pride on this dude

  • @hakizimfurajustin4737
    @hakizimfurajustin47372 жыл бұрын

    Mungu akubariki

  • @evimanmmbogo5332
    @evimanmmbogo53324 жыл бұрын

    Nakupenda sana nabii mkuu nafurahishwa na utendaji wa kazi kubwa ya Mungu namwamini Mungu siku moja nitakanyaga happy kupokea nguvu mpya ya Mungu ubarikiwe baba!!!

  • @mrs.belindastephenmagula9858
    @mrs.belindastephenmagula98582 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana baba

  • @janetkaingu7038
    @janetkaingu70382 жыл бұрын

    Eeemen haleluia ninetakasika katika jina la Yesu

  • @emmanuelmitao131
    @emmanuelmitao1314 жыл бұрын

    Duh we soildier u must be strong

  • @kelvinmalowa1423
    @kelvinmalowa14234 жыл бұрын

    I have always known that the Man will change my life for better. Amen

  • @mariakisinda7235

    @mariakisinda7235

    Жыл бұрын

    Nabii hata Mimi naomba maombi yako kwani hata mm nasumbuliwa na nguvu za giza

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m5 ай бұрын

    Mkienda makanisani mnadanganywa mungu ni mmoja allah mcheni allah dini moja uislam

  • @kassianmassawe9436
    @kassianmassawe94364 жыл бұрын

    Ameen Daddy i also napokea mahusiano sahihi kutoka kwako

  • @reginamtitu5592
    @reginamtitu5592 Жыл бұрын

    Nibalikii Nami baba

  • @elifurahajosia1628
    @elifurahajosia16284 жыл бұрын

    asante nabii kwa maombi, naomba nasisi tuombee, utuunganishe kimaombi mm na familia yetu

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    4 жыл бұрын

    Eti mbona hayo maombi hayalitaji jina LA Yesu? Inakuaje? Naomba nisaidie

  • @wycliffebisera3697
    @wycliffebisera36972 жыл бұрын

    U r just blezing to me man of GOD

  • @nicelucas9495
    @nicelucas94952 жыл бұрын

    Amen napokea

  • @happysalva24
    @happysalva244 жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @esterlilungulu7615
    @esterlilungulu76154 жыл бұрын

    Amina baba

  • @liyangaboy368
    @liyangaboy368 Жыл бұрын

    Mtumishi kwa jina naitwa liyanga natokea jijini Arusha naitaji mungu Anitendee miyuu jisaa

  • @mekeyamaho3695
    @mekeyamaho36953 жыл бұрын

    Good work

  • @veronicangila7415
    @veronicangila74153 жыл бұрын

    Asifiwe yesu naitwa veronicah nahitaji maombi sana pamoja na familia yangu naomba msaada wa maombi nipo Saudi Arabia

  • @latiphakiwelu8394
    @latiphakiwelu83942 жыл бұрын

    Asante yesu kwakunifungua

  • @sadocksimon9573
    @sadocksimon95733 жыл бұрын

    Mungu nimwema

  • @puritychogoro
    @puritychogoro4 жыл бұрын

    Amen & amen

  • @dainessukosi
    @dainessukosi Жыл бұрын

    Amina 🙏

  • @laurentemmanuel6037
    @laurentemmanuel60373 жыл бұрын

    Bwana yesu atukuzwe nabii was bwana Mimi Niko maswa shida yangu mimi Kuna watu wawili wamekimbia na pesa baada ya kuwanunulia mzigo was biashara na kuhama kusikojulikana naomba unisaidie

  • @kibikihotfilm0621
    @kibikihotfilm06212 жыл бұрын

    MUNGU NI MWEMA MNO🙏🙏

  • @mwaminikudra2552
    @mwaminikudra25524 жыл бұрын

    Jamani haya mambo yauna bii ni ivo tuh, watu walishaga penda unabii kushinda mungu, jiombee mwenye, omba toba na mungu ataku hurumia, hakika yeye ndie mwenye huruma, Ndio mzehe hapa ni nabii ila sasa unatu shauriaje mbele ya mungu wewe mwenyewe unaweka mguu ju ya mwengine mguu ukiwa una hubiri, sisi tuta jiwekaje mbele ya mungu, njomana sisi wa islam atuna unabii, najivunia sana dini yangu

  • @honnetemaghetse9486
    @honnetemaghetse94863 жыл бұрын

    Jambo mtumishi wa Mungu hâta mimi nahitaji msaada ya maombi yako Niko kongo

  • @fredseverino8906
    @fredseverino89063 жыл бұрын

    Mungu awe nanye wote

  • @abdallahally8033
    @abdallahally80332 жыл бұрын

    Mimi naitwa Abdallah Ally mrefu naishi dar es salaam mtume nakukubari Sana na ninashida Sana na ndoa yangu na nishida Sana kwenyekazi zanfu yani hata hata sijui nitafikaje hapo

  • @paulinemathenge514
    @paulinemathenge5144 жыл бұрын

    Lord Jesus please remember me, IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.

  • @boniventuremarrirey6930
    @boniventuremarrirey69304 жыл бұрын

    I love this

  • @aminatabakari2741
    @aminatabakari27414 жыл бұрын

    Heri mtu yule amchaye Bwana🙏

  • @pamelanyongesa9817

    @pamelanyongesa9817

    3 жыл бұрын

    hi pst mimi kilamara ninapolala naota kama nafalishwa bete sijui maama yake nini

  • @gracemwasonya1445
    @gracemwasonya14453 жыл бұрын

    Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa!!!!

  • @jorammasila7627
    @jorammasila7627 Жыл бұрын

    Jesus Christ be merciful to us please na upee watu wako macho ya kiroho kuona kinachoendelea.😢😢😢😢

  • @ziyadabasca4840
    @ziyadabasca48402 жыл бұрын

    Nguvu yamungu inafanya kazi kabisa mimi ni 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @gamelahg4613
    @gamelahg46134 жыл бұрын

    Amina

  • @neemaneema4740
    @neemaneema47404 жыл бұрын

    Amina.baba

  • @zanuramaulid5741
    @zanuramaulid57412 жыл бұрын

    Mnaeditty sanaa Nabii hiyo siku hakuvaa suti nyeupe

  • @twodads5141
    @twodads51413 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @marymuthoni1551
    @marymuthoni15514 жыл бұрын

    Amina na Amina

  • @avilajacobo203
    @avilajacobo203 Жыл бұрын

    Amina🙏🙏🙏

  • @petergideon3449
    @petergideon34494 жыл бұрын

    I receive anointing

  • @carenamimo4897

    @carenamimo4897

    4 жыл бұрын

    Peter pole kwa kupotea

  • @saldakltl7611
    @saldakltl76114 жыл бұрын

    Amen

  • @gracemusa8462
    @gracemusa84624 жыл бұрын

    Ameen

  • @jacklinwilson2098
    @jacklinwilson20983 жыл бұрын

    Aminaaa

  • @maryamalhajri5886
    @maryamalhajri58864 жыл бұрын

    Na mie ntakuja tz ntafika kwako baba na matatizo ya ulimwengu wa roho miaka mingi sana mume nilimpoteza ata kazi pia💔

  • @johngyuzi437

    @johngyuzi437

    4 жыл бұрын

    Maryam Alhajri h

  • @bestonmfikwa8510

    @bestonmfikwa8510

    4 жыл бұрын

    Uko wapi

  • @remedymoody

    @remedymoody

    4 жыл бұрын

    Acha kutumia jina la bosi wako na picha za kukopi. Mwenyewe akikundua anaweza kukushitaki. Kwani unaona aibu kutumia jina lako la ukweli.

  • @judithnagabona342
    @judithnagabona3423 жыл бұрын

    amina baba

  • @mzalendoorg9009
    @mzalendoorg90092 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @richardoblasio
    @richardoblasio3 жыл бұрын

    Amen baba

  • @comedytz3487
    @comedytz34874 жыл бұрын

    Jamaa anabahati mwanamke mzuri kweli😂😂

  • @babyjsalum940

    @babyjsalum940

    4 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @shukylugome3581

    @shukylugome3581

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @shukylugome3581

    @shukylugome3581

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @carenamimo4897

    @carenamimo4897

    4 жыл бұрын

    Nyinyi ni Tim Mafisi kweli

  • @anitharoby6210

    @anitharoby6210

    3 жыл бұрын

    Ok

  • @charitynjambihigu7186
    @charitynjambihigu71863 жыл бұрын

    God good

  • @saldakltl7611
    @saldakltl76114 жыл бұрын

    🙏🙏🙏👏👏👏

  • @furahinikisapi9987
    @furahinikisapi99874 жыл бұрын

    Eeeh mungu nifundishe kunyamaza

  • @zeldamlay4276
    @zeldamlay42764 жыл бұрын

    Unamfungua kwa jina lako au la Yesu! Acha maigizo mzee mwenye upara

  • @RoroRoserororo

    @RoroRoserororo

    4 жыл бұрын

    Swala nzuri hilo

  • @evajohn7001

    @evajohn7001

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaaaaaa

  • @mwana3887

    @mwana3887

    4 жыл бұрын

    @Zelda Mlay kasome Wafalme wa pili📖 4;2 -14 akamwambia nikufanyie nini?!? Haisemi nikuombee nini au Mungu Hakufanyie nini Luka 9;1 "Akawaita wale Thenashara ,akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi'' .Yesu aliwapa mamlaka na uwezo wa kuponya maradhi hapo sijaona ikiandikwa ponyeni wagonjwa kwa jina langu Elewa lugha za manabii

  • @musokedios8162

    @musokedios8162

    4 жыл бұрын

    Hapa naona maigizo mwanzo mwisho sioni jina la Yesu likitajwa anawafungua watu kwa mamlaka ipi???ulimwengu wa roho up I??

  • @silyadamian5708

    @silyadamian5708

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @jessecharlse3622
    @jessecharlse36222 жыл бұрын

    Shallom. Mt

  • @lizyh4594
    @lizyh45943 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi

  • @solacerozales2133
    @solacerozales21333 жыл бұрын

    How can i get this man of God i have problems

  • @richardIyanga
    @richardIyanga4 жыл бұрын

    Amen Daddy

  • @thonasmihiga7911

    @thonasmihiga7911

    3 жыл бұрын

    Msomi alafu ujaelimika mzee baba iyo si sinema kabisa

  • @sabinasegelu2848

    @sabinasegelu2848

    Жыл бұрын

    Mungu akutangulie

  • @miriamjohn796
    @miriamjohn7964 жыл бұрын

    Amen nabii km utaon comment hii naomb uniombee nina matatz meng cjui kwa kukupat ata namb tu ya cm cjui

  • @geofreypaul4760

    @geofreypaul4760

    4 жыл бұрын

    Unamatatizo gani dada 0679957644, utapona

  • @yuzarsifbulushy5451
    @yuzarsifbulushy54514 жыл бұрын

    Acha utapeli Wewe Muogope mumgu.. Halafu unaenda unajichubua ili uwe mweupe uonekane ni Nabiii.. Acha Unafika wee mzee Ogopa mungu wako.

  • @moseshaule586

    @moseshaule586

    4 жыл бұрын

    Una uhakika gani Kama anajichubua

  • @ashamganga6636

    @ashamganga6636

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @mwana3887

    @mwana3887

    4 жыл бұрын

    @Yusuf Al Bulushy Kujichubua haikuhusu na sio dhambi na pia hiyo ni wishes binafsi na utambue ni binadamu na ana hisia zote kama za mwanadamu no sawa uende kanisa lenu kwenu uko umkute mtumishi ana kitambi alafu unaanza kublame kuhusu jinsi mwili wake ulivyo kama umeshindwa kupokea kile anachokufundisha ujue kuna roho ya shetani ndani yako na unahitaji ufungulivu wa maombi

  • @mmasymery391

    @mmasymery391

    4 жыл бұрын

    Saw kwani ww unatakaje?

  • @mwana3887

    @mwana3887

    4 жыл бұрын

    @Mmasy Mery I want nothing from but I was tell you to remove negative impression toward others because even yourself you have you weakness no one is perfect as you thoughts in your mind