ATAHADHARISHWA KUHUSU MAHUSIANO HAYA: “UTAKABILIANA NA MILIPUKO, WEKA MBALI SILAHA”-GDTV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Пікірлер: 730
Ukisikia mtumish anakua na Maneno mengi bila kutaja jina Yesu ujue hapo hakuna Mnapigwa peupe! Jina Mungu hatukupewa kutoa Pepo ila jina la Yesu tu!
It's interesting how God works in mysterious ways Geordavie is the PERFECT man of God... Quote "PERFECT" Man of God😊
Bwana yesu asifiwe,shaloom mtumishi ninaomba maombi yko yakawe ngao kwangu na familia yangu
Am happy that she finally accepted and challenged you with immediate hopes 😍😍
Wakristo ,someni neno! Acheni kupenda miujiza na kuombewa! Mjifunze kusimama na kuomba! Ni kweli watumishi wana sehem yao lkn km huna neno kuyumbishwa,kudanganywa ni rahisi! Mungu anasema na kila mtu!hasa kwa njia ya ndoto! Anza kuomba kidogokidogo,jifunze mtegemee Yesu peke yake,usiweke matumaini kwa mwanadamu! Yaani Yesu/Mungu awe wako kwanza kabla ya Yesu/Mungu wa mtumishi ,au kanisa Fulani!
@chalesnguyaine9991
4 жыл бұрын
Hahaha wakristo msikatazwe kukimbilia miujiza za Yesu kristo kwa maana kinachomtambusha uwepo wa kristo ni miujiza na alisema mtafanya zaidi ya haya nilioyafanya ikiwemo miujiza,na uzuri tunamsikiya huyu baba akimtaja Mungu na Yesu,na Yesu ndo Mungu na Mungu ndo yesu ndivyo sis tunavoamini sas mtu unakuwa na wivu kiasi hiki kisa umeshndwa kufanya.sikia hii ndo tofauti za kutenda kazi lkn Mungu ni yeye yule yule
@christinewomanoffaith5479
4 жыл бұрын
@@chalesnguyaine9991 miujiza ipo na wala haina ubaya! Wapi alipomtaja Yesu na Mungu ? Nisaidie tu hapo ndo nachotaka kufahamu!
@chalesnguyaine9991
4 жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 embu rudia kutizama hiyo video maana utamskia akimtaja Mungu na Yesu ukishaamaliza kuangalia embu andika neno Geordavie tv angalia video vyake utamskia tu sawa man
@chalesnguyaine9991
4 жыл бұрын
Sisi kama wana wa nabii tunamtambua Yesu kristo kama Mungu yani Mungu ndo jina lake kwa kifupi nikwamba tukimtaja Mungu jua tumemaanisha Yesu na tukimtaja yesu jua tumemaansha ni Mungu kwa hyo usitake huduma Yenu ya TB joshua ifanane na ya nabii geordavie
@hamismasalu9359
4 жыл бұрын
Umenena vyema sana kaka Mpaka nimependa Neno lako hilo chache tu, nakuluhusu uchukue namba yangu tuwe tunawasiliana kuelekezana na kufundishana juu ya neno la Mungu 0686608015
Babaaa Ubarikiwe uongezewe Na Mungu aliyekupa kazi ngumu iyi. Mimi ni baudouine mukongo naikala buja nakufata sana. Naitaji Na mimi kuombewa. Najuwa Mungu anauwezo ya kunigusa kupitiya wewe hata uko uko. Nisaidie naomba baba yangu
I believe in God I make a trust always and I request God to protect my best friend 🙏🙏🙏🙏
Yaan mungu amekaa ndani yako nabii mkuu natamani kama ungenionekania na mimi jaman.
Geordavie ana amini kikweli kweli Hana kuigiza I love the Man of God for Life. God is Real, God. Is Great,God is RICH, God is Everything..He Displays his Grace through his Servant.: GEORDAVIE
Mtumishi ombea familia yangu pia avunje mazabahu mbaya zinazonifatilia mimi na mzazi mwenzangu Maana naishi kwa shida kubwa mungu anihulumie
My God protect you mtumishi wa mungu🙏
Ooh God this man is so powerful,profesy for me also
Mh! Baba mungu akubariki sana! Kuna mambo mtu unaweza pitia ukadhan ni pito kumbe mpango wa shetan. Nawish cku1 kukuona maana me pia maisha yangu cjawah kuelewa yanavyo enda
Shalom babaa,na mm naomba nifunguliwe na niponywe kwa jina la yesu
Jamani nduguzangu tazania nawaomba sana kwahimani Mungu aliipendeleya tanzania Ninayo imani juu nabii Mukuu dunia Yote itapona napia RDC uvira nikonamengi yakusema naomba Léo Ninaona mihujiza y'a hajabu naomba Siku moja nabii Mungu amutume Apa kwetu RDC,congo,sikuzote naomba Mungu amupe uzima kila Siku amupe nusu y'a Siku za Mungu unilindiye GDavi Wangu ,moyo
Amen🙏🙏... I wish ningekuona hata uniwekee mkono kichwa tu..
Amen mchungaj mungu akubalik uendle kufny bwan
Alieona wazinzi wanabarikiwa waendelee na uzinzi wao mnipe big up
mungu nifundishe kunyamaza
@cossanwambura1065
4 жыл бұрын
Ukinyamanza mawe yatasema kweli
@saidseleman6004
4 жыл бұрын
Elizabeth nambie hata kisirisiri
@jujuwaida5443
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mohdsaid7189
3 жыл бұрын
So vizuri ivo said
@hildajoshua2906
3 жыл бұрын
Kabisa Elizabeth kizota
Nabarikiwa naww jmn nabii nipo dar
Ameni i received anointing
Baba tunabalikiwa Mungu akujalie uendelee kuepo
Yeye mungu unatakiwa kimwamini mugu sio mwanadamu
Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai
ipo siku mungu atawazalilisha awa wanaodanganya watu inaonesha wazi hapo hao wanajuana na wamepanga
@bensonmgaya5693
3 жыл бұрын
😂😂😂
Man of GOD 🙏, you are doing great job am also having a problem in my life, from Kenya
Sijasikia Neno Yesu Kristo
Nabii naomba uniombee mm na familia yangu, na mtoto wangu anayesumbuliwa na tatizo la kukojoa kitandani, na afaulu mtihani wake wa kidato cha nne muombee jmniii nipo dar, anaitwa jesca
@thonasmihiga7911
3 жыл бұрын
Mpigishe doso ataacha kukojoa
Amina napokea
Mungu akubaliki sana nabii wa mungu
Thanks God
Amen baba nabii mkuu
Mungu anajibu kwakweli natamani sana nkutane nae mtu wa mungu
Amen najiungamanisha na Mimi na mume wangu tufunguliwe na mama angu
Bwana yesu asifiwe baba naitwa mshungaji minaeli Niko nyumba ya mungu baba natamani sana unitamkie neno pia naomba sapoti ya usafiri
SubhanaALLAH,SubhanaALLAH, mwenyezi mungu ataenda kutuchoma kwasababu ya matendo yetu, ya kumsingia, na kumshilikisha na viumbe wake
@heliethdulla2139
3 жыл бұрын
Subuana Nini na wewe Kama vipi si upige kimya tu
Am blessed man of God...be blessed more
@divinahgesare814
Жыл бұрын
Naitaji maombi natoka kenya naitaji mtoto
Duhhhhh kuna vituko duniani. Tatizo watu tunapenda miujiza kuliko Mungu
@goldvilysamweli3716
4 жыл бұрын
kama huna cha kuongea ni bora ukaa kimy kuliko kumkosea mung
@goldvilysamweli3716
4 жыл бұрын
kwan huw nani anayetoa muujiza km cy huyo mungu mnayemsem
@mwana3887
4 жыл бұрын
@Elibariki Elia tunawapata vzr Acha ujinga mdogo mdogo miujiza (miracles) ndio sign ya uwepo wa Mungu
@antoinea.katembo5326
4 жыл бұрын
mwana kabisa ukweli ndo kwani hiyo miujiza ilifanyika mbinguni au hapa duniani?
@bulugubujashi6378
4 жыл бұрын
Nikweli
Nabii naguswa sana na maombi yako nataka kujua Arusha sehemu gan nahitaji kufika hapo nyumba ya mungu
Very powerful man of God
@amoskilekwa7780
Жыл бұрын
Dieu et bon
Amen, Baba unabii wako umeonekana, nafurahia saana kuyaona uponyaji kama haya,naomba nasisi utuombee familia yangu,mimi ni mkenya
@mmasymery391
4 жыл бұрын
Karibu sana Tanzania
@samuelkimaro5138
4 жыл бұрын
Brother unafeli
Too much pride on this dude
Mungu akubariki
Nakupenda sana nabii mkuu nafurahishwa na utendaji wa kazi kubwa ya Mungu namwamini Mungu siku moja nitakanyaga happy kupokea nguvu mpya ya Mungu ubarikiwe baba!!!
Ubarikiwe Sana baba
Eeemen haleluia ninetakasika katika jina la Yesu
Duh we soildier u must be strong
I have always known that the Man will change my life for better. Amen
@mariakisinda7235
Жыл бұрын
Nabii hata Mimi naomba maombi yako kwani hata mm nasumbuliwa na nguvu za giza
Mkienda makanisani mnadanganywa mungu ni mmoja allah mcheni allah dini moja uislam
Ameen Daddy i also napokea mahusiano sahihi kutoka kwako
Nibalikii Nami baba
asante nabii kwa maombi, naomba nasisi tuombee, utuunganishe kimaombi mm na familia yetu
@christinewomanoffaith5479
4 жыл бұрын
Eti mbona hayo maombi hayalitaji jina LA Yesu? Inakuaje? Naomba nisaidie
U r just blezing to me man of GOD
Amen napokea
Amen 🙏
Amina baba
Mtumishi kwa jina naitwa liyanga natokea jijini Arusha naitaji mungu Anitendee miyuu jisaa
Good work
Asifiwe yesu naitwa veronicah nahitaji maombi sana pamoja na familia yangu naomba msaada wa maombi nipo Saudi Arabia
Asante yesu kwakunifungua
Mungu nimwema
Amen & amen
Amina 🙏
Bwana yesu atukuzwe nabii was bwana Mimi Niko maswa shida yangu mimi Kuna watu wawili wamekimbia na pesa baada ya kuwanunulia mzigo was biashara na kuhama kusikojulikana naomba unisaidie
MUNGU NI MWEMA MNO🙏🙏
Jamani haya mambo yauna bii ni ivo tuh, watu walishaga penda unabii kushinda mungu, jiombee mwenye, omba toba na mungu ataku hurumia, hakika yeye ndie mwenye huruma, Ndio mzehe hapa ni nabii ila sasa unatu shauriaje mbele ya mungu wewe mwenyewe unaweka mguu ju ya mwengine mguu ukiwa una hubiri, sisi tuta jiwekaje mbele ya mungu, njomana sisi wa islam atuna unabii, najivunia sana dini yangu
Jambo mtumishi wa Mungu hâta mimi nahitaji msaada ya maombi yako Niko kongo
Mungu awe nanye wote
Mimi naitwa Abdallah Ally mrefu naishi dar es salaam mtume nakukubari Sana na ninashida Sana na ndoa yangu na nishida Sana kwenyekazi zanfu yani hata hata sijui nitafikaje hapo
Lord Jesus please remember me, IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.
I love this
Heri mtu yule amchaye Bwana🙏
@pamelanyongesa9817
3 жыл бұрын
hi pst mimi kilamara ninapolala naota kama nafalishwa bete sijui maama yake nini
Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa!!!!
Jesus Christ be merciful to us please na upee watu wako macho ya kiroho kuona kinachoendelea.😢😢😢😢
Nguvu yamungu inafanya kazi kabisa mimi ni 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Amina
Amina.baba
Mnaeditty sanaa Nabii hiyo siku hakuvaa suti nyeupe
Amen Amen
Amina na Amina
Amina🙏🙏🙏
I receive anointing
@carenamimo4897
4 жыл бұрын
Peter pole kwa kupotea
Amen
Ameen
Aminaaa
Na mie ntakuja tz ntafika kwako baba na matatizo ya ulimwengu wa roho miaka mingi sana mume nilimpoteza ata kazi pia💔
@johngyuzi437
4 жыл бұрын
Maryam Alhajri h
@bestonmfikwa8510
4 жыл бұрын
Uko wapi
@remedymoody
4 жыл бұрын
Acha kutumia jina la bosi wako na picha za kukopi. Mwenyewe akikundua anaweza kukushitaki. Kwani unaona aibu kutumia jina lako la ukweli.
amina baba
Hongera sana
Amen baba
Jamaa anabahati mwanamke mzuri kweli😂😂
@babyjsalum940
4 жыл бұрын
😁😁😁
@shukylugome3581
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@shukylugome3581
4 жыл бұрын
Sana
@carenamimo4897
4 жыл бұрын
Nyinyi ni Tim Mafisi kweli
@anitharoby6210
3 жыл бұрын
Ok
God good
🙏🙏🙏👏👏👏
Eeeh mungu nifundishe kunyamaza
Unamfungua kwa jina lako au la Yesu! Acha maigizo mzee mwenye upara
@RoroRoserororo
4 жыл бұрын
Swala nzuri hilo
@evajohn7001
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa
@mwana3887
4 жыл бұрын
@Zelda Mlay kasome Wafalme wa pili📖 4;2 -14 akamwambia nikufanyie nini?!? Haisemi nikuombee nini au Mungu Hakufanyie nini Luka 9;1 "Akawaita wale Thenashara ,akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi'' .Yesu aliwapa mamlaka na uwezo wa kuponya maradhi hapo sijaona ikiandikwa ponyeni wagonjwa kwa jina langu Elewa lugha za manabii
@musokedios8162
4 жыл бұрын
Hapa naona maigizo mwanzo mwisho sioni jina la Yesu likitajwa anawafungua watu kwa mamlaka ipi???ulimwengu wa roho up I??
@silyadamian5708
4 жыл бұрын
😂😂😂
Shallom. Mt
Barikiwa mtumishi
How can i get this man of God i have problems
Amen Daddy
@thonasmihiga7911
3 жыл бұрын
Msomi alafu ujaelimika mzee baba iyo si sinema kabisa
@sabinasegelu2848
Жыл бұрын
Mungu akutangulie
Amen nabii km utaon comment hii naomb uniombee nina matatz meng cjui kwa kukupat ata namb tu ya cm cjui
@geofreypaul4760
4 жыл бұрын
Unamatatizo gani dada 0679957644, utapona
Acha utapeli Wewe Muogope mumgu.. Halafu unaenda unajichubua ili uwe mweupe uonekane ni Nabiii.. Acha Unafika wee mzee Ogopa mungu wako.
@moseshaule586
4 жыл бұрын
Una uhakika gani Kama anajichubua
@ashamganga6636
4 жыл бұрын
😂😂😂
@mwana3887
4 жыл бұрын
@Yusuf Al Bulushy Kujichubua haikuhusu na sio dhambi na pia hiyo ni wishes binafsi na utambue ni binadamu na ana hisia zote kama za mwanadamu no sawa uende kanisa lenu kwenu uko umkute mtumishi ana kitambi alafu unaanza kublame kuhusu jinsi mwili wake ulivyo kama umeshindwa kupokea kile anachokufundisha ujue kuna roho ya shetani ndani yako na unahitaji ufungulivu wa maombi
@mmasymery391
4 жыл бұрын
Saw kwani ww unatakaje?
@mwana3887
4 жыл бұрын
@Mmasy Mery I want nothing from but I was tell you to remove negative impression toward others because even yourself you have you weakness no one is perfect as you thoughts in your mind