Nakomesha ugonjwa wangu usio Julikana unaojirudia rudia kupitia jina la yesu kristo Mnazareti aliye hai 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@retiekadarling9922 күн бұрын
Nakomesha ndoto za kuota nipo mazingira ya shule na kurudi nyuma kiuchumi kwa jina la YESU Kwa sababu mimi ni lango la baraka kwa familia Amen.
@merinamkocha381815 күн бұрын
Mungu ukakomeshe ajali za kujirudirudia za kuteleza na kuvunjika Kwa Damu ya Yesu iniponye. Ameen
@ElizabethFuraha-df2fiАй бұрын
Nakomesha ndoto baya zinanirudilita nakomesha pepo yakunirudisha nyuma kwa jina ya yesu christo
@user-wd2ou3gd3o7 күн бұрын
asant mungu kwa maombi aya nakomesha magonjwa yalioshikilia tumbo langu ktk jina la yesu magonjwa yasiotaka kupona ktk jina la yesu naamini nimepona kesi ya magonjwa amina
@eliamlay7384Ай бұрын
Amen
@sherryfuraha30762 ай бұрын
Nakomesha ndoto za kujirudiarudia hali ya kusumbuliwa na nguvu za Giza zishindwe,ndoto za kurudi shule zishindwe,Kuota kufanya mapenz viishe,roho ya umaskini itoke kwa Jina la yesu
@frankmathias777Күн бұрын
Nakomesha roho ya kuaribu mimba kila mara kwa jina la yesu
@user-ng6yt2od7l8 күн бұрын
Nakomesha ndoto za shuleni nakomesha zisirudi tena kwa jina la Yesu
@user-gt8dn6oq1d4 күн бұрын
Nakomesha ndoto ya kuota nimerudi shule ya msingi,nakomesha ndoto ya Kila siku Niko kwenye nyumba tuliokuwa tunaishu zamani na imeshavunjwa na bara bara imepita katika jina la yesu
@eliamlay7384Ай бұрын
Mungu ukawakomeshe watesi wangu ktk eneo langu la kazi naifunika kazi yangu kwa damu ya Yesu
@nafigasper28143 күн бұрын
Nakomesha ndoto zote chafu za kuota nipo shule na majin mahaba kwa jina la Yesu
@PriscaPagwili-bk4zo7 күн бұрын
Nakomesha magonjwa yanayijiludia kwangu Kichwa kuuma Sana na kizunguzungu Amina
@user-nd3hy7ot4w27 күн бұрын
Nakomesha ndoto zote za majini mahaba Kwa jina la Yesu
@AshuraSalumu-k7h6 күн бұрын
Nakomesha Hali ya kujiludia kwa jina la yesu kiuchumi
@eliamlay7384Ай бұрын
Kwa jina la Yesu teso la kuzuia ndoa yangu halitajirudia tena
@AshuraSalumu-k7h6 күн бұрын
Teso lililoondoka kwangu halito jirudia Tena kwa jina la yesu
@DemuyuMuyumba-ky5re19 күн бұрын
amén piya n'a miye iyi magojwa isinirundiliye tena n'a katala ka bisa mungu uniponye papa unisaidiye kwa île lego
@eliamlay7384Ай бұрын
Amina sitafukuzwa kazi wala kusimamishwa kazi kwa jina la Yesu
@Mwx-zd4ov14 күн бұрын
Mungu naomba ukatuondolee kila matatizo ya kujirudiarudia
@eliamlay7384Ай бұрын
❤Naifunika familia yangu kwa damu ya Yesu
@jacklinejuma-bo7zj18 күн бұрын
Ameen nakomesha Figo Inn utumbo kushindwa kupumua kwajina layesu😢
@ElizabethMakoye-zh9kqАй бұрын
Nakomesha ndoto zote zinazo jirudia rudia,naninakomesha adui wote wanaowinda familia yangu nauzao wangu
@eliamlay7384Ай бұрын
Nakataa roho za uharibifu katika meneo yetu ya kaz naituma damu ya Yesu kukomesha hizo pepo za uharibifu
@justinkirarahumu634Ай бұрын
Nashukuru tena sana kuwa pamoja nawe kwenye maombi. Mungu akubariki pia
@emilywambui99209 күн бұрын
Nimekua nikiota nafua imejirudia mara tatu, barikiwa sana pastor
@grecekalist62022 ай бұрын
Nakemea roho ya kurudi nyuma kimaendeleo roho ya kukataliwa na roho wa madeni na mkomesha kwajina la yesu
@sophiaAmhimediАй бұрын
ubarikiwe mtumish. Mungu amenionekania amen
@eliamlay7384Ай бұрын
Nakomesha vita ya kitesi juu yangu kesi ambayo haiishi miaka miwili sasa kupitia maombi haya nija imani kesi hiyo inaenda kuisha na kila mkono ulioinuka kuniharibia unaenda kuharibiwa kwa jina la Yesu
@HareneKipande27 күн бұрын
Ndoto zakuota nanguka nakemea kwajina la yesu
@user-pf4wf6it2hАй бұрын
Nakomesha magonjw yanayojirudia kwangu na mjuuu wangu mary
@CatheriniShillaАй бұрын
Nakomesha mandoto mabaya kwa jina la yesu
@DevinusBukwaya-bs9dlАй бұрын
napokea maombi kw jina la yesu
@nafigasper28143 күн бұрын
Asante Yesu
@MerrymwendaMerryMwendaАй бұрын
Naomba mjuuku wangu afunuliwe awwze kuongea mungu nakataa magonjwa ya kujiludialudia mungu nilinde biashala yangu isiludi nyuma tena nisonge mbele wanangu wafaulu kama walivyofaulu wengine mungu nisaidie
Toto wangu akona nach kesi kotini da kujirudia baada da miaka mingie hata wamemfunga nahiyo nishinda ya miaka mingi tuombee sana mtumishi
@johnmalale38602 ай бұрын
Kwa jina la yesu navunja nguvu za ibilisi!; zinazoharibu :; afya yangu;! Ufahamu wangu!; na UCHUMI WANGU;! Shida zote hizo kwa JINA LA YESU HAZITARUDI TENA;!
@JuliusLealmusia5 ай бұрын
Amen Nakomesha Magojwa katika familia yangu madungu sangu Na madada yangu kuotaa Ndoto mbaya Nafunja yote katika jina la yesu mungu wagu Niondolea hayo yote Nirundishie Maisha mypa Nyota yangu ingare katika maisha yangu yote Amina God bless you my man of God🙏🙏🙏🙏🙏
@BihusiMagogo-ci7vr5 ай бұрын
Ñataka nipone tatizo la ndoto za kujirudia kwenye maisha yangu na watoto wangu leo litoke kwa damu ya yesu ñataka CHEDI apewe jibu ashinde mtihan leo
@Jackine-gm9tnАй бұрын
Naomba mungu anilinde Mimi nauzao wangu
@IRENEIRENE871Ай бұрын
Nimeshangaa sana nnilipokuwa nasikiza haya maombi nilianza kujikuna mguu wa kulia nilijikuna ile mbaya kisha na mkono nimejikuna moto miwili wote. Nimejikuna sijawai ona hata nimeshangaa
@eliamlay7384Ай бұрын
Ufunuo huu ukawe kwangu nikawashinde watesi wangu kwa damu ya mwanakondoo
@victoryndugutse2964 күн бұрын
Amina amina ❤
@jerlinemagoda51092 ай бұрын
Nakomesha ndoto zakufanya mapenzi na wanawake wenzangu nakuona utupu wawanaume na kula nyama na kunywa maziwa ndotoni😢 nakurud kijijin kwa jina la yesu nakataaaaaa😢
@shukurusimba9866Күн бұрын
Nashukuru sana kwa maombi hayo
@GekoBueb21 күн бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@tfashy_hub91562 ай бұрын
Kwa jina la Yesu nakomesha roho za magonjwa juu ya familia yangu, hasa mwanangu na mama yangu. Magonjwa yaondoke na yasirudi Tena. Ni katika jina la Yesu Kristo Naomba. Amen 🙏
@MwanahamisiSuleimani
2 ай бұрын
Amin
@LilianLumatoАй бұрын
Kwa damu ya yesu mm nimeshapona, na ni mzima kabisa.
@eliamlay7384Ай бұрын
Nafungua milango ya kiuchumi iliyofungwa naifungua kwa damu ya Yesu
@deborahlushinge870113 күн бұрын
Amina
@ZawadiKasekwa-mm4vu2 ай бұрын
Nakomesha nguvu za giza namapepo yanayoangusha uchumi wangu
@noellapaul-eo5rp2 ай бұрын
Nakomesha kufeli kwa mme wangu kwenye mitihani yake
@eliamlay7384Ай бұрын
Moto kwa damu ya Yesu
@noellapaul-eo5rp2 ай бұрын
Nakomesha Pid nakomesha kila roho ya kukataliwa mme wangu kazini nakomesha kuzaa mapooza
@eliamlay7384Ай бұрын
Mtumishi naomba uniombee ktk eneo langu la uchumi nimalize nyumba yangu finishing
@PerusePheles2 ай бұрын
Kwadam ya yesu akomeshe pepo layuliki ugojwa wamifupa
@somboi4226 ай бұрын
Bwana Yesu nakushukuru kwa kukomesha vyote vilivyo kuwa vinanitesa.Nakurudishia utukufu mateso hayatanirudia tena. Nah 1:9 ktk JINA LA YESU KRISTO AMEN AMEN AMEN
@SantaKatana-te9db3 күн бұрын
Amen so Asante dede 🧎🧎🙏🙏
@eliamlay7384Ай бұрын
Damu ya Yesu mara saba
@user-pj3xd4kb8c2 ай бұрын
Ubarikiw sana papa
@beatulumbicharles6327Күн бұрын
Nakomesha ugonjwa wa kujirudia rudia wa macho na mafua kwa mwangu jerry
@user-ee8fo8zl3k2 ай бұрын
Niombee mchungaji ndoa yangu haujakaa sawa
@eliamlay7384Ай бұрын
Nakataa roho ya hasara kwa jina la Yesu
@ShukuruManu
Ай бұрын
Mungu akulinde nimepokeya uponyaji
@noellapaul-eo5rp2 ай бұрын
nayeyusha pid kwa Damu ya Yesu
@AderinaKachenesa-tg9qj5 ай бұрын
Amina baba nasikia kufunguliwa katk jina la yesu
@lilian46242 ай бұрын
Kwa damu ya yesu nakomesha roho ya maumivu mwilini mwangu
@user-yl2gp2eh1n6 ай бұрын
Hee mungu kilahahina zote zamatatizo zishindwe kwa damu ya yesu
@Caroline-iz1se20 күн бұрын
Asante mungu Kwa maombi ila nakomesha magonjwa yanayojirudia Kwa watoto watu yakome kabisa kuanzia leo in Jesus name 🙏🙏🙏🙏🙏
@agneskakwene565525 күн бұрын
Nakomesha ugomvi wa manenomaneno kwenye ndoa yangu
@noellapaul-eo5rp2 ай бұрын
nakomesha kufeli kwa mwangu lightness akawe kichwa
@MerrymwendaMerryMwendaАй бұрын
Nakomesha maneno mabaya yanenao kwangu mabaya ondoa tatizo la ungojwa
@user-ql4ur9mx8y2 ай бұрын
Amen ubarikiwe bwana pasta 🍝
@AshuraSalumu-k7h6 күн бұрын
Ameen
@sudiadiane2 ай бұрын
Amen Amen
@evethabarnaba77Ай бұрын
Amina nakomesha hali ya presha na mateso katika uzaz wangu Mungu akatende miujiza yake safari hii niweze kupata mtoto salama kwa jina la Yesu🙏
@husnaMakolo-os5tx2 ай бұрын
Amena 🙏🙏
@JackylineKweyu15 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@ruthmaina19962 ай бұрын
Thanks for prayers man of God.
@jacklinejuma-bo7zj18 күн бұрын
Narudsha kila nilichopoteza kiuchumi kwajina layesu
@claireantonie95744 ай бұрын
I receive I receive I receive 🤲
@LucyIwsy2 ай бұрын
Unjwa wa mguu
@marywaweru60892 ай бұрын
Amen amen
@marywaweru60896 ай бұрын
Hili teso halitarudi tena katika Jina LA Yesu amen
Niombie mtumishi wa mungu umasikini madeni kudharauliwa magojwa ndio vimetutawala naomba Amani na uzima
@user-js3dj8vh8eАй бұрын
Mungu tusaidie na musaidie mutumishi wako kwa kutuombea watoto wako tusaidie Bwana tupate kupona bariki na uchumi wangu
@Alna20242 ай бұрын
Amène
@user-ut1ls8fi8f4 ай бұрын
Ee yesu naomba uniponge na mateso na vita katika maisha yangu kwenye huduma yangu ya uwimbaji kwenye ndoa na kwenye uchumi ee Yesu nitoe kwenye dhoruba hii ya kujirudia nimechoka naenda lakini narudishwa nyuma nakataa Kwa JINA LAYESU KRISTO Nitetee mfalme wa amani
@matildamati92222 ай бұрын
Kwa jina la Yesu nakomesha kiungulia na mgongo maumivu yanayojirudia, Mungu alishamiponya sitaki kurudi kwenye mateso ya nyuma, bwana Yesu nionekanie
@rehemamatano31645 ай бұрын
Navunja madhibahu ya kuzimu na umasikini madeni kudharauliwa tufunguliwe kimapato nyota ingae mpaka majirani wanaotupiga vita washangae tuondolee chuki Kwa majirani magojwa in the name of Jesus Christ AMEN
@Beth-te3gb2 ай бұрын
amen amen
@user-rp1pj4nu7r3 ай бұрын
Jehova naomba ukomeshe nagonjwa yanayo jirudia kwa watoto wangu na pia roho ta kukosa pesa kwa familia yangu..yaaninaomba kazi permanent kw mume wangu ili tusiteseke tena kwa jina la yesu
@AlexTwalaАй бұрын
Amen!
@user-ph2xx4xv4e3 ай бұрын
Bwana yesu shusha damu yako ikomeshe matatizo ya watoto wangu na familia yangu katika jina la yesu,....
@eliamlay7384Ай бұрын
Usiku huu naomba nikapokee muujiza wa kifedha nikamalizie nyumba yangu kwa jina la Yesu imekuwa
@vallerymkawandu8664Ай бұрын
Ameeen
@elishaathumanathuman164 ай бұрын
I receive I receive
@agnes76755 ай бұрын
AMEN
@siwemachilongola5 ай бұрын
Navunja madhabahu zote za kuzimu zilizonenwa kwa ajili ya maisha yangu na familia yangu, changamoto zinazonikabili zishindwe kwa jina la YESU
Пікірлер: 291
Nakomesha ugonjwa wangu usio Julikana unaojirudia rudia kupitia jina la yesu kristo Mnazareti aliye hai 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nakomesha ndoto za kuota nipo mazingira ya shule na kurudi nyuma kiuchumi kwa jina la YESU Kwa sababu mimi ni lango la baraka kwa familia Amen.
Mungu ukakomeshe ajali za kujirudirudia za kuteleza na kuvunjika Kwa Damu ya Yesu iniponye. Ameen
Nakomesha ndoto baya zinanirudilita nakomesha pepo yakunirudisha nyuma kwa jina ya yesu christo
asant mungu kwa maombi aya nakomesha magonjwa yalioshikilia tumbo langu ktk jina la yesu magonjwa yasiotaka kupona ktk jina la yesu naamini nimepona kesi ya magonjwa amina
Amen
Nakomesha ndoto za kujirudiarudia hali ya kusumbuliwa na nguvu za Giza zishindwe,ndoto za kurudi shule zishindwe,Kuota kufanya mapenz viishe,roho ya umaskini itoke kwa Jina la yesu
Nakomesha roho ya kuaribu mimba kila mara kwa jina la yesu
Nakomesha ndoto za shuleni nakomesha zisirudi tena kwa jina la Yesu
Nakomesha ndoto ya kuota nimerudi shule ya msingi,nakomesha ndoto ya Kila siku Niko kwenye nyumba tuliokuwa tunaishu zamani na imeshavunjwa na bara bara imepita katika jina la yesu
Mungu ukawakomeshe watesi wangu ktk eneo langu la kazi naifunika kazi yangu kwa damu ya Yesu
Nakomesha ndoto zote chafu za kuota nipo shule na majin mahaba kwa jina la Yesu
Nakomesha magonjwa yanayijiludia kwangu Kichwa kuuma Sana na kizunguzungu Amina
Nakomesha ndoto zote za majini mahaba Kwa jina la Yesu
Nakomesha Hali ya kujiludia kwa jina la yesu kiuchumi
Kwa jina la Yesu teso la kuzuia ndoa yangu halitajirudia tena
Teso lililoondoka kwangu halito jirudia Tena kwa jina la yesu
amén piya n'a miye iyi magojwa isinirundiliye tena n'a katala ka bisa mungu uniponye papa unisaidiye kwa île lego
Amina sitafukuzwa kazi wala kusimamishwa kazi kwa jina la Yesu
Mungu naomba ukatuondolee kila matatizo ya kujirudiarudia
❤Naifunika familia yangu kwa damu ya Yesu
Ameen nakomesha Figo Inn utumbo kushindwa kupumua kwajina layesu😢
Nakomesha ndoto zote zinazo jirudia rudia,naninakomesha adui wote wanaowinda familia yangu nauzao wangu
Nakataa roho za uharibifu katika meneo yetu ya kaz naituma damu ya Yesu kukomesha hizo pepo za uharibifu
Nashukuru tena sana kuwa pamoja nawe kwenye maombi. Mungu akubariki pia
Nimekua nikiota nafua imejirudia mara tatu, barikiwa sana pastor
Nakemea roho ya kurudi nyuma kimaendeleo roho ya kukataliwa na roho wa madeni na mkomesha kwajina la yesu
ubarikiwe mtumish. Mungu amenionekania amen
Nakomesha vita ya kitesi juu yangu kesi ambayo haiishi miaka miwili sasa kupitia maombi haya nija imani kesi hiyo inaenda kuisha na kila mkono ulioinuka kuniharibia unaenda kuharibiwa kwa jina la Yesu
Ndoto zakuota nanguka nakemea kwajina la yesu
Nakomesha magonjw yanayojirudia kwangu na mjuuu wangu mary
Nakomesha mandoto mabaya kwa jina la yesu
napokea maombi kw jina la yesu
Asante Yesu
Naomba mjuuku wangu afunuliwe awwze kuongea mungu nakataa magonjwa ya kujiludialudia mungu nilinde biashala yangu isiludi nyuma tena nisonge mbele wanangu wafaulu kama walivyofaulu wengine mungu nisaidie
Pepo lililoshikilia tumbo langu mwili wangu liniachie
Toto wangu akona nach kesi kotini da kujirudia baada da miaka mingie hata wamemfunga nahiyo nishinda ya miaka mingi tuombee sana mtumishi
Kwa jina la yesu navunja nguvu za ibilisi!; zinazoharibu :; afya yangu;! Ufahamu wangu!; na UCHUMI WANGU;! Shida zote hizo kwa JINA LA YESU HAZITARUDI TENA;!
Amen Nakomesha Magojwa katika familia yangu madungu sangu Na madada yangu kuotaa Ndoto mbaya Nafunja yote katika jina la yesu mungu wagu Niondolea hayo yote Nirundishie Maisha mypa Nyota yangu ingare katika maisha yangu yote Amina God bless you my man of God🙏🙏🙏🙏🙏
Ñataka nipone tatizo la ndoto za kujirudia kwenye maisha yangu na watoto wangu leo litoke kwa damu ya yesu ñataka CHEDI apewe jibu ashinde mtihan leo
Naomba mungu anilinde Mimi nauzao wangu
Nimeshangaa sana nnilipokuwa nasikiza haya maombi nilianza kujikuna mguu wa kulia nilijikuna ile mbaya kisha na mkono nimejikuna moto miwili wote. Nimejikuna sijawai ona hata nimeshangaa
Ufunuo huu ukawe kwangu nikawashinde watesi wangu kwa damu ya mwanakondoo
Amina amina ❤
Nakomesha ndoto zakufanya mapenzi na wanawake wenzangu nakuona utupu wawanaume na kula nyama na kunywa maziwa ndotoni😢 nakurud kijijin kwa jina la yesu nakataaaaaa😢
Nashukuru sana kwa maombi hayo
Mungu akubariki sana pastor
Kwa jina la Yesu nakomesha roho za magonjwa juu ya familia yangu, hasa mwanangu na mama yangu. Magonjwa yaondoke na yasirudi Tena. Ni katika jina la Yesu Kristo Naomba. Amen 🙏
@MwanahamisiSuleimani
2 ай бұрын
Amin
Kwa damu ya yesu mm nimeshapona, na ni mzima kabisa.
Nafungua milango ya kiuchumi iliyofungwa naifungua kwa damu ya Yesu
Amina
Nakomesha nguvu za giza namapepo yanayoangusha uchumi wangu
Nakomesha kufeli kwa mme wangu kwenye mitihani yake
Moto kwa damu ya Yesu
Nakomesha Pid nakomesha kila roho ya kukataliwa mme wangu kazini nakomesha kuzaa mapooza
Mtumishi naomba uniombee ktk eneo langu la uchumi nimalize nyumba yangu finishing
Kwadam ya yesu akomeshe pepo layuliki ugojwa wamifupa
Bwana Yesu nakushukuru kwa kukomesha vyote vilivyo kuwa vinanitesa.Nakurudishia utukufu mateso hayatanirudia tena. Nah 1:9 ktk JINA LA YESU KRISTO AMEN AMEN AMEN
Amen so Asante dede 🧎🧎🙏🙏
Damu ya Yesu mara saba
Ubarikiw sana papa
Nakomesha ugonjwa wa kujirudia rudia wa macho na mafua kwa mwangu jerry
Niombee mchungaji ndoa yangu haujakaa sawa
Nakataa roho ya hasara kwa jina la Yesu
@ShukuruManu
Ай бұрын
Mungu akulinde nimepokeya uponyaji
nayeyusha pid kwa Damu ya Yesu
Amina baba nasikia kufunguliwa katk jina la yesu
Kwa damu ya yesu nakomesha roho ya maumivu mwilini mwangu
Hee mungu kilahahina zote zamatatizo zishindwe kwa damu ya yesu
Asante mungu Kwa maombi ila nakomesha magonjwa yanayojirudia Kwa watoto watu yakome kabisa kuanzia leo in Jesus name 🙏🙏🙏🙏🙏
Nakomesha ugomvi wa manenomaneno kwenye ndoa yangu
nakomesha kufeli kwa mwangu lightness akawe kichwa
Nakomesha maneno mabaya yanenao kwangu mabaya ondoa tatizo la ungojwa
Amen ubarikiwe bwana pasta 🍝
Ameen
Amen Amen
Amina nakomesha hali ya presha na mateso katika uzaz wangu Mungu akatende miujiza yake safari hii niweze kupata mtoto salama kwa jina la Yesu🙏
Amena 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Thanks for prayers man of God.
Narudsha kila nilichopoteza kiuchumi kwajina layesu
I receive I receive I receive 🤲
Unjwa wa mguu
Amen amen
Hili teso halitarudi tena katika Jina LA Yesu amen
@ruthtito4699
6 ай бұрын
Mimi tatizo lakuto fanikiwa kiuchumi haliishi linajirudia sifanikiwi
@ruthtito4699
6 ай бұрын
Niombee mtumishi
@rehemamatano3164
5 ай бұрын
Niombie mtumishi wa mungu umasikini madeni kudharauliwa magojwa ndio vimetutawala naomba Amani na uzima
Mungu tusaidie na musaidie mutumishi wako kwa kutuombea watoto wako tusaidie Bwana tupate kupona bariki na uchumi wangu
Amène
Ee yesu naomba uniponge na mateso na vita katika maisha yangu kwenye huduma yangu ya uwimbaji kwenye ndoa na kwenye uchumi ee Yesu nitoe kwenye dhoruba hii ya kujirudia nimechoka naenda lakini narudishwa nyuma nakataa Kwa JINA LAYESU KRISTO Nitetee mfalme wa amani
Kwa jina la Yesu nakomesha kiungulia na mgongo maumivu yanayojirudia, Mungu alishamiponya sitaki kurudi kwenye mateso ya nyuma, bwana Yesu nionekanie
Navunja madhibahu ya kuzimu na umasikini madeni kudharauliwa tufunguliwe kimapato nyota ingae mpaka majirani wanaotupiga vita washangae tuondolee chuki Kwa majirani magojwa in the name of Jesus Christ AMEN
amen amen
Jehova naomba ukomeshe nagonjwa yanayo jirudia kwa watoto wangu na pia roho ta kukosa pesa kwa familia yangu..yaaninaomba kazi permanent kw mume wangu ili tusiteseke tena kwa jina la yesu
Amen!
Bwana yesu shusha damu yako ikomeshe matatizo ya watoto wangu na familia yangu katika jina la yesu,....
Usiku huu naomba nikapokee muujiza wa kifedha nikamalizie nyumba yangu kwa jina la Yesu imekuwa
Ameeen
I receive I receive
AMEN
Navunja madhabahu zote za kuzimu zilizonenwa kwa ajili ya maisha yangu na familia yangu, changamoto zinazonikabili zishindwe kwa jina la YESU
Naomba nipone izi ndoto zinazokaa zinajirudia, naomba kuondolewa izi shida zinazokaa zinajirudia kwangu, naomba niondolewe changamoto zinazokaa zinajirudia namateso kwangu, amina🙏🙏
Naomba mumwombee mume wangu anatumiwa na maadui kutukana jirani pia kukosesha amani ya familia yakome yasijirudie tena kwa jina la yesu