Kwajina la yesu nakomesha kila kinacho jiludia kwenye maisha yangu kwa jina la yesu
@user-wd2ou3gd3o26 күн бұрын
Ee Mungu ktk jina la yesu kila chanzo cha magonjwa kwenye tumbo langu nakifunga leo ktk ji na la yesu hkn maumivu tena kwenye tumbo langu wala vichomi nakataa ktk jina la yesu navifunga vyote kwa damu ya Yesu Amin
@ImakulathaMaliloКүн бұрын
Ee mungu katika jina la yesu kila chanzo nina kwenda kukomesha kwa jana la yesu
@ImakulathaMaliloКүн бұрын
Ee mungu niondolee ndoto zinazo jirudia kwangu na kunponya magonjwa mimi na watoto wangu
@eliamlay7384Ай бұрын
Ondoa cha uharibifu ndani yangu usiku wa leo kwa jina la Yesu na kwa damu ya Yesu nitakasike na moto wa Roho Mtakatifu unizingire Amina
@leonidamduge89198 күн бұрын
Nilijiungamanisha na kuweka maagano na waganga wa kienyeji ndio chanzo Cha maisha yangu kuharibika na kukwama katika Kila Eneo navunja na kuharibu Kwa dama ya Yesu
@eliamlay7384Ай бұрын
Nakataa roho ya mapooza katika maisha yangu kwa kujishughulisha na chanzo matatizo ya familia yangu kuzaa mapooza
@esthersissamo112015 күн бұрын
Kwa jina la Yesu nakomesha magonjwa yote Amina
@user-nd3hy7ot4wАй бұрын
Asante Kwa sehemu ya pili naamini vyanzo vyote vya matatizo yangu na familia yangu vimekoma tuko pamoja
@eliamlay7384Ай бұрын
Ee Mungu na kwa jina la Yesu kila chanzo cha matatizo ya familia napeka damu ya Yesu na moto wa Roho Mtakatifu kwenye malango la familia na ukoo ukakomeshe vita vya ufuksra, umasikini, uzinzi, ulevi, na ujinga naita damu ya Yesu ikapite kika lango la ukoo wamlayna mkusu na moshi kuharibu kila chanzo cha tatizo la familia yangu kutofanikiwa na matatstizo kujirudia rudia kila mara
@eliamlay7384Ай бұрын
Hakika leo miungu yote ya maeneo ya kazi, ktk ukoo wangu na familia yangu leo usiku huu wanaenda kuhukumiwa na familia yangu haitazaa mapooza tena na teso kwangu halitajirudia tena Amina
@eliamlay7384Ай бұрын
Nina imani huu mwaka 2024 Mungu ataenda kukomesha vita kwenye maisha yangu, ndoa yangu, kazi yangu,
@eliamlay7384Ай бұрын
Amina sana mwaka 2024 ukawe kwangu mwaka wa baraka kwa jina la Yesu
@sophiaAmhimedi2 ай бұрын
mtumishi nimeshiriki sehemu ya kwanza, nimeona mambo makubwa sana yakutisha, niombee
@AshuraSalumu-k7h25 күн бұрын
Eee mungu Kila kinacho niludisha juma na kujiludia ludia napaka dam ya yesu
@eliamlay7384Ай бұрын
Hakika lazima nibadilishe mfumo wangu wa maisha na pia namuomba Mungu anitenge na watu ambao wananisababishia haya mateso kujirudia
@user-pl9vu8fz8g4 ай бұрын
Amen 🙏🙏 ' nashukuru sana Mtumishi wamungu ubalikiwe sana umenijenga moyoni mwangu mana mimi nakutana namatatizo ambao hata nikieleza siwezi maliza nashindwa nianzie wapi nimalizie wapi ila naamini Mungu kuwa atanilahisishia yataisha kwauwezo wake Amen,🙏🙏❤
@AquileraKaria4 ай бұрын
Natembea katika ushindi amen
@eliamlay7384Ай бұрын
Leo chanzo cha ndoa yangu ninaenda kukikomesha kwa jina la Yesu
@CatheriniShillaАй бұрын
Ameen nimefunguliwa Kwa damu ya yesu
@eliamlay7384Ай бұрын
Amina leo hii kama kuna mtu anatuletea matatizo ofisini ili kuharibu file zetu ofisini leo mkono wa Mungu unaenda kumuondoa ktk hicho kiti kwa jina la Yesu
@user-ng6yt2od7l25 күн бұрын
Mungu kupitia mazibau hii nataka nipone kisukari kiwe Sawa na kisinirudie rudie rudie mara kiwe juu mara chini
@sudiadiane3 ай бұрын
Amen Amen Amen
@neemadaud53374 ай бұрын
Ubarikiwe Sana Mwalimu kwa neno hili❤
@marywaweru60892 ай бұрын
Amen amen Mungu aingilie
@RinnahKinyanana2 ай бұрын
Amen mtumish wa mungu
@esthersissamo112015 күн бұрын
Amina
@AshuraSalumu-k7h21 күн бұрын
Nakataa roho ya kukatariwa kwa jina la yesu
@FarhO-r7m3 күн бұрын
Amen Amen
@AshuraSalumu-k7h21 күн бұрын
Nakataaa kurudi nyuma kiuchiumi kwa jina la yesu
@nimfaassenga2 ай бұрын
Asante Mtumishi Kwa maombi mazuri.
@eliamlay7384Ай бұрын
Mateso kwangu hayatajirudia tena kwa jina la Yesu
@siliviahmwakalobo57174 ай бұрын
Naomba maombi yako mtumishi
@FarhO-r7m3 күн бұрын
Amen
@NasterLeonadi-km6fw6 ай бұрын
Amen 🙏👏
@marywaweru60892 ай бұрын
Amen amen
@user-sb4ok6db8c2 ай бұрын
Allelujah Allelujah
@user-nc6cv9sc2h2 ай бұрын
Amina kubwa
@user-fk8vn8pi9l6 ай бұрын
Amen 🙏
@SusanAtavachi4 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@eliamlay7384Ай бұрын
Avikomesha vita hata mwisho wa dunia. Avunja uta., akata mkuki achoma moto magari.
@judithabuko60066 ай бұрын
Ameeen
@eliamlay7384Ай бұрын
Madhabahu ya miungu inayosababisha mauti na mateso nikiharibu kwa jina la Yesu na kwa damu ya mwanakondoo
@elishaathumanathuman165 ай бұрын
I receive I receive
@siliviahmwakalobo57174 ай бұрын
Naomba maombi yako
@sophiaAmhimedi2 ай бұрын
amen
@eliamlay7384Ай бұрын
Leo napeleka Damu ya Yesu ikanene mema dhidi ya haya matatizo yanayojirudia rudia kwangu kwa jina la Yesu na hakika mapooza si fungu langu kwa jina la Yesu
@eliamlay7384Ай бұрын
Nakataa marafiki wanaonisababishia matatizo yangu kujirudia kwa jina la Yesu
@user-sb4ok6db8c2 ай бұрын
Mtumishi are you brother to Mwalimu Isaac
@eliamlay7384Ай бұрын
Kwa damu ya mwanakondoo nasafisha file langu lilochafuliwa na mtesi na kwa maombi haya watesi wote ambao ndiyo chanzo cha matatizo kwangu leo wanaenda kusambaratishwa na matatizo kwangu hayatajirudia tena Amina
@eliamlay7384Ай бұрын
Kupitia sadaka hizi
@susangab58543 ай бұрын
Amen&Ameeen
@eliamlay7384Ай бұрын
Ee Mungu kafanye hukumu kwa viongozi katiia maeneo ya kazi wasiotenda hakika,, hakika chanzo cha matatizo yangu ni kukosekana kwa haki, na watu kupewa adhabu mara mbili na viongozi hao kutusababisha teso kujirudia rudia na watu kukosa haki zao mfano kupanda madaraja , vyeo , nishani n. K
@josephinenyunyu402Ай бұрын
Asante sana
@eliamlay7384Ай бұрын
Kwwnye kazi yangu napeleka damu ya Yesu mateso hayatajirudia tena na kazi yangu haitazaa mapoza kwa jina la Yesu kristo na kwa damu ya mwanakoo
@eliamlay7384Ай бұрын
Ee Mungu nionyeshe kwanza chanzo cha tatizo ili niweze kukomesha haya matatizo yanayojirudia mara kwa mara
@AshuraSalumu-k7h25 күн бұрын
Nakomesha Kila tatizo linalo jirudia ludia kwa jina la yesu
@eliamlay7384Ай бұрын
Usiku wa leo kama yupo ndugu au mtu ambaye anasababisho vifo vya kumwaga damu ili aweze kupsta utajiri isivyo halalo leo usiku huu akaangamie kama farao na jeshi lake kwa jina la Yesu
@lightnessgamasa60396 ай бұрын
🙌🙏👏👏👏👏👏
@rosenanjirawesonga20306 ай бұрын
Ameeen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa
@eliamlay7384Ай бұрын
Ndiyo nimeshasikiliza sehemu ya kwanza
@eliamlay7384Ай бұрын
Najifunika kwa damu yaYesu na kwa damu ya mwanakondoo
@rosemarymapango37476 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@neemadaudisospeter82116 ай бұрын
Ubarikiweeeee saaaana babangu
@user-ng6yt2od7l25 күн бұрын
Kila chanzo cha magonjwa kwenye mwili wangu kiondoke niwe mzima wa afya
@eliamlay7384Ай бұрын
2wafalme 2:19-21
@eliamlay7384Ай бұрын
2wafalme6:6-7
@zainatoji19656 ай бұрын
Mtumishi naomba muombee mwanangu saidi apone tatizo la dam limekuwa linajirudiarudia
@allthingdranabeauty
3 ай бұрын
Sara hii kwa mgonjwa save msikilizishe kzread.info/dash/bejne/hWWBqpiIZbWYgpc.htmlsi=nC2k9_kDwXoL0gkr
@eliamlay7384Ай бұрын
Hakika hawa watesi ninaowaona leo hapa ofisini sitawaona tena
@eliamlay7384Ай бұрын
Usiku wa leo kila kesi ambazo haziushi kazini kwangu leo naenda kuwakomesha hao mafarao walio ktk hayo maofisi na kuwazamisha kabisa kwenye bahari ya shamu kwa jina la Yesu kristo wa Nazsreti aliye hai
@eliamlay7384Ай бұрын
Zaburi 46:9
@eliamlay7384Ай бұрын
Mimi nimejaribu kuacha pombe ila nashindwa , naacha ila nashangaa hili tatizo linajirudia tena, nina imani hii sehemu ya pili itakomesha hili teso linalojirudua mara ya pili
@eliamlay7384Ай бұрын
2waflme 2:19
@eliamlay7384Ай бұрын
Leo chanzo cha tatizo langu kinaensa kuelea kama kile chuma
@eliamlay7384Ай бұрын
Kutoka 14:13-14
@eliamlay7384Ай бұрын
Kutoka 12:12
@eliamlay7384Ай бұрын
Usiku wa leo kupitia maombi haya nitaenda kukomesha chanzo cha tatizo
@user-kh7lw3dg4g5 ай бұрын
😢Mimi naomba uniombee ninachangamoto ya wachawi na kwenye biashara
@allthingdranabeauty
3 ай бұрын
Ukiwa kwenye biashara penda fungulia maombi anza kusali kzread.info/dash/bejne/pI2OpJOtm5isepM.htmlsi=ERFVDps85vODPjFP
@LEMPURISMOISAN6 ай бұрын
Naomba Uniopeye PESA Yangu Ahikai mufukoni
@eliamlay7384Ай бұрын
Kutoka 14:13
@eliamlay7384Ай бұрын
Ninachangamoto kubwa sikai na mwanamke kila mwanamke ninaeishi nae tunaachana
@user-wx8jc9re8f3 ай бұрын
Mutumisi naomba uniombee nauta wafu na accident.
@zulekhasaud4833 ай бұрын
Magonjwa yakujirudia kwanzia sasa nakupitia maombi haya namini hayata jirudia katika jina la YESU
@user-bm5gs7ek7n5 ай бұрын
Mtumishi wa mungu nataka uniombee kukomesha matatizo ya kujirudiarudia kwenye uchumi au pesa zangu ninapopata pesa ya mtaji ninakuwa na madeni mtaji wote nalipia madeni
Пікірлер: 96
Kwajina la yesu nakomesha kila kinacho jiludia kwenye maisha yangu kwa jina la yesu
Ee Mungu ktk jina la yesu kila chanzo cha magonjwa kwenye tumbo langu nakifunga leo ktk ji na la yesu hkn maumivu tena kwenye tumbo langu wala vichomi nakataa ktk jina la yesu navifunga vyote kwa damu ya Yesu Amin
Ee mungu katika jina la yesu kila chanzo nina kwenda kukomesha kwa jana la yesu
Ee mungu niondolee ndoto zinazo jirudia kwangu na kunponya magonjwa mimi na watoto wangu
Ondoa cha uharibifu ndani yangu usiku wa leo kwa jina la Yesu na kwa damu ya Yesu nitakasike na moto wa Roho Mtakatifu unizingire Amina
Nilijiungamanisha na kuweka maagano na waganga wa kienyeji ndio chanzo Cha maisha yangu kuharibika na kukwama katika Kila Eneo navunja na kuharibu Kwa dama ya Yesu
Nakataa roho ya mapooza katika maisha yangu kwa kujishughulisha na chanzo matatizo ya familia yangu kuzaa mapooza
Kwa jina la Yesu nakomesha magonjwa yote Amina
Asante Kwa sehemu ya pili naamini vyanzo vyote vya matatizo yangu na familia yangu vimekoma tuko pamoja
Ee Mungu na kwa jina la Yesu kila chanzo cha matatizo ya familia napeka damu ya Yesu na moto wa Roho Mtakatifu kwenye malango la familia na ukoo ukakomeshe vita vya ufuksra, umasikini, uzinzi, ulevi, na ujinga naita damu ya Yesu ikapite kika lango la ukoo wamlayna mkusu na moshi kuharibu kila chanzo cha tatizo la familia yangu kutofanikiwa na matatstizo kujirudia rudia kila mara
Hakika leo miungu yote ya maeneo ya kazi, ktk ukoo wangu na familia yangu leo usiku huu wanaenda kuhukumiwa na familia yangu haitazaa mapooza tena na teso kwangu halitajirudia tena Amina
Nina imani huu mwaka 2024 Mungu ataenda kukomesha vita kwenye maisha yangu, ndoa yangu, kazi yangu,
Amina sana mwaka 2024 ukawe kwangu mwaka wa baraka kwa jina la Yesu
mtumishi nimeshiriki sehemu ya kwanza, nimeona mambo makubwa sana yakutisha, niombee
Eee mungu Kila kinacho niludisha juma na kujiludia ludia napaka dam ya yesu
Hakika lazima nibadilishe mfumo wangu wa maisha na pia namuomba Mungu anitenge na watu ambao wananisababishia haya mateso kujirudia
Amen 🙏🙏 ' nashukuru sana Mtumishi wamungu ubalikiwe sana umenijenga moyoni mwangu mana mimi nakutana namatatizo ambao hata nikieleza siwezi maliza nashindwa nianzie wapi nimalizie wapi ila naamini Mungu kuwa atanilahisishia yataisha kwauwezo wake Amen,🙏🙏❤
Natembea katika ushindi amen
Leo chanzo cha ndoa yangu ninaenda kukikomesha kwa jina la Yesu
Ameen nimefunguliwa Kwa damu ya yesu
Amina leo hii kama kuna mtu anatuletea matatizo ofisini ili kuharibu file zetu ofisini leo mkono wa Mungu unaenda kumuondoa ktk hicho kiti kwa jina la Yesu
Mungu kupitia mazibau hii nataka nipone kisukari kiwe Sawa na kisinirudie rudie rudie mara kiwe juu mara chini
Amen Amen Amen
Ubarikiwe Sana Mwalimu kwa neno hili❤
Amen amen Mungu aingilie
Amen mtumish wa mungu
Amina
Nakataa roho ya kukatariwa kwa jina la yesu
Amen Amen
Nakataaa kurudi nyuma kiuchiumi kwa jina la yesu
Asante Mtumishi Kwa maombi mazuri.
Mateso kwangu hayatajirudia tena kwa jina la Yesu
Naomba maombi yako mtumishi
Amen
Amen 🙏👏
Amen amen
Allelujah Allelujah
Amina kubwa
Amen 🙏
Amen 🙏🙏
Avikomesha vita hata mwisho wa dunia. Avunja uta., akata mkuki achoma moto magari.
Ameeen
Madhabahu ya miungu inayosababisha mauti na mateso nikiharibu kwa jina la Yesu na kwa damu ya mwanakondoo
I receive I receive
Naomba maombi yako
amen
Leo napeleka Damu ya Yesu ikanene mema dhidi ya haya matatizo yanayojirudia rudia kwangu kwa jina la Yesu na hakika mapooza si fungu langu kwa jina la Yesu
Nakataa marafiki wanaonisababishia matatizo yangu kujirudia kwa jina la Yesu
Mtumishi are you brother to Mwalimu Isaac
Kwa damu ya mwanakondoo nasafisha file langu lilochafuliwa na mtesi na kwa maombi haya watesi wote ambao ndiyo chanzo cha matatizo kwangu leo wanaenda kusambaratishwa na matatizo kwangu hayatajirudia tena Amina
Kupitia sadaka hizi
Amen&Ameeen
Ee Mungu kafanye hukumu kwa viongozi katiia maeneo ya kazi wasiotenda hakika,, hakika chanzo cha matatizo yangu ni kukosekana kwa haki, na watu kupewa adhabu mara mbili na viongozi hao kutusababisha teso kujirudia rudia na watu kukosa haki zao mfano kupanda madaraja , vyeo , nishani n. K
Asante sana
Kwwnye kazi yangu napeleka damu ya Yesu mateso hayatajirudia tena na kazi yangu haitazaa mapoza kwa jina la Yesu kristo na kwa damu ya mwanakoo
Ee Mungu nionyeshe kwanza chanzo cha tatizo ili niweze kukomesha haya matatizo yanayojirudia mara kwa mara
Nakomesha Kila tatizo linalo jirudia ludia kwa jina la yesu
Usiku wa leo kama yupo ndugu au mtu ambaye anasababisho vifo vya kumwaga damu ili aweze kupsta utajiri isivyo halalo leo usiku huu akaangamie kama farao na jeshi lake kwa jina la Yesu
🙌🙏👏👏👏👏👏
Ameeen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa
Ndiyo nimeshasikiliza sehemu ya kwanza
Najifunika kwa damu yaYesu na kwa damu ya mwanakondoo
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiweeeee saaaana babangu
Kila chanzo cha magonjwa kwenye mwili wangu kiondoke niwe mzima wa afya
2wafalme 2:19-21
2wafalme6:6-7
Mtumishi naomba muombee mwanangu saidi apone tatizo la dam limekuwa linajirudiarudia
@allthingdranabeauty
3 ай бұрын
Sara hii kwa mgonjwa save msikilizishe kzread.info/dash/bejne/hWWBqpiIZbWYgpc.htmlsi=nC2k9_kDwXoL0gkr
Hakika hawa watesi ninaowaona leo hapa ofisini sitawaona tena
Usiku wa leo kila kesi ambazo haziushi kazini kwangu leo naenda kuwakomesha hao mafarao walio ktk hayo maofisi na kuwazamisha kabisa kwenye bahari ya shamu kwa jina la Yesu kristo wa Nazsreti aliye hai
Zaburi 46:9
Mimi nimejaribu kuacha pombe ila nashindwa , naacha ila nashangaa hili tatizo linajirudia tena, nina imani hii sehemu ya pili itakomesha hili teso linalojirudua mara ya pili
2waflme 2:19
Leo chanzo cha tatizo langu kinaensa kuelea kama kile chuma
Kutoka 14:13-14
Kutoka 12:12
Usiku wa leo kupitia maombi haya nitaenda kukomesha chanzo cha tatizo
😢Mimi naomba uniombee ninachangamoto ya wachawi na kwenye biashara
@allthingdranabeauty
3 ай бұрын
Ukiwa kwenye biashara penda fungulia maombi anza kusali kzread.info/dash/bejne/pI2OpJOtm5isepM.htmlsi=ERFVDps85vODPjFP
Naomba Uniopeye PESA Yangu Ahikai mufukoni
Kutoka 14:13
Ninachangamoto kubwa sikai na mwanamke kila mwanamke ninaeishi nae tunaachana
Mutumisi naomba uniombee nauta wafu na accident.
Magonjwa yakujirudia kwanzia sasa nakupitia maombi haya namini hayata jirudia katika jina la YESU
Mtumishi wa mungu nataka uniombee kukomesha matatizo ya kujirudiarudia kwenye uchumi au pesa zangu ninapopata pesa ya mtaji ninakuwa na madeni mtaji wote nalipia madeni
N kma n kwq wazazi
Amina
Amen amen
Amen
Naomba maombi yako
Amina
Amina
Amina
Amen