MAOMBI YA KUKOMESHA MATATIZO YANAYO JIRUDIA | PART 02 | | MWL EZEKIEL MALANDO

Nahumu 1:9
Mwl. Ezekiel Malando
+255 769 305 016
+255 657 889 217

Пікірлер: 96

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h21 күн бұрын

    Kwajina la yesu nakomesha kila kinacho jiludia kwenye maisha yangu kwa jina la yesu

  • @user-wd2ou3gd3o
    @user-wd2ou3gd3o26 күн бұрын

    Ee Mungu ktk jina la yesu kila chanzo cha magonjwa kwenye tumbo langu nakifunga leo ktk ji na la yesu hkn maumivu tena kwenye tumbo langu wala vichomi nakataa ktk jina la yesu navifunga vyote kwa damu ya Yesu Amin

  • @ImakulathaMalilo
    @ImakulathaMaliloКүн бұрын

    Ee mungu katika jina la yesu kila chanzo nina kwenda kukomesha kwa jana la yesu

  • @ImakulathaMalilo
    @ImakulathaMaliloКүн бұрын

    Ee mungu niondolee ndoto zinazo jirudia kwangu na kunponya magonjwa mimi na watoto wangu

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Ondoa cha uharibifu ndani yangu usiku wa leo kwa jina la Yesu na kwa damu ya Yesu nitakasike na moto wa Roho Mtakatifu unizingire Amina

  • @leonidamduge8919
    @leonidamduge89198 күн бұрын

    Nilijiungamanisha na kuweka maagano na waganga wa kienyeji ndio chanzo Cha maisha yangu kuharibika na kukwama katika Kila Eneo navunja na kuharibu Kwa dama ya Yesu

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Nakataa roho ya mapooza katika maisha yangu kwa kujishughulisha na chanzo matatizo ya familia yangu kuzaa mapooza

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo112015 күн бұрын

    Kwa jina la Yesu nakomesha magonjwa yote Amina

  • @user-nd3hy7ot4w
    @user-nd3hy7ot4wАй бұрын

    Asante Kwa sehemu ya pili naamini vyanzo vyote vya matatizo yangu na familia yangu vimekoma tuko pamoja

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Ee Mungu na kwa jina la Yesu kila chanzo cha matatizo ya familia napeka damu ya Yesu na moto wa Roho Mtakatifu kwenye malango la familia na ukoo ukakomeshe vita vya ufuksra, umasikini, uzinzi, ulevi, na ujinga naita damu ya Yesu ikapite kika lango la ukoo wamlayna mkusu na moshi kuharibu kila chanzo cha tatizo la familia yangu kutofanikiwa na matatstizo kujirudia rudia kila mara

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Hakika leo miungu yote ya maeneo ya kazi, ktk ukoo wangu na familia yangu leo usiku huu wanaenda kuhukumiwa na familia yangu haitazaa mapooza tena na teso kwangu halitajirudia tena Amina

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Nina imani huu mwaka 2024 Mungu ataenda kukomesha vita kwenye maisha yangu, ndoa yangu, kazi yangu,

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Amina sana mwaka 2024 ukawe kwangu mwaka wa baraka kwa jina la Yesu

  • @sophiaAmhimedi
    @sophiaAmhimedi2 ай бұрын

    mtumishi nimeshiriki sehemu ya kwanza, nimeona mambo makubwa sana yakutisha, niombee

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h25 күн бұрын

    Eee mungu Kila kinacho niludisha juma na kujiludia ludia napaka dam ya yesu

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Hakika lazima nibadilishe mfumo wangu wa maisha na pia namuomba Mungu anitenge na watu ambao wananisababishia haya mateso kujirudia

  • @user-pl9vu8fz8g
    @user-pl9vu8fz8g4 ай бұрын

    Amen 🙏🙏 ' nashukuru sana Mtumishi wamungu ubalikiwe sana umenijenga moyoni mwangu mana mimi nakutana namatatizo ambao hata nikieleza siwezi maliza nashindwa nianzie wapi nimalizie wapi ila naamini Mungu kuwa atanilahisishia yataisha kwauwezo wake Amen,🙏🙏❤

  • @AquileraKaria
    @AquileraKaria4 ай бұрын

    Natembea katika ushindi amen

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Leo chanzo cha ndoa yangu ninaenda kukikomesha kwa jina la Yesu

  • @CatheriniShilla
    @CatheriniShillaАй бұрын

    Ameen nimefunguliwa Kwa damu ya yesu

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Amina leo hii kama kuna mtu anatuletea matatizo ofisini ili kuharibu file zetu ofisini leo mkono wa Mungu unaenda kumuondoa ktk hicho kiti kwa jina la Yesu

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l25 күн бұрын

    Mungu kupitia mazibau hii nataka nipone kisukari kiwe Sawa na kisinirudie rudie rudie mara kiwe juu mara chini

  • @sudiadiane
    @sudiadiane3 ай бұрын

    Amen Amen Amen

  • @neemadaud5337
    @neemadaud53374 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana Mwalimu kwa neno hili❤

  • @marywaweru6089
    @marywaweru60892 ай бұрын

    Amen amen Mungu aingilie

  • @RinnahKinyanana
    @RinnahKinyanana2 ай бұрын

    Amen mtumish wa mungu

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo112015 күн бұрын

    Amina

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h21 күн бұрын

    Nakataa roho ya kukatariwa kwa jina la yesu

  • @FarhO-r7m
    @FarhO-r7m3 күн бұрын

    Amen Amen

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h21 күн бұрын

    Nakataaa kurudi nyuma kiuchiumi kwa jina la yesu

  • @nimfaassenga
    @nimfaassenga2 ай бұрын

    Asante Mtumishi Kwa maombi mazuri.

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Mateso kwangu hayatajirudia tena kwa jina la Yesu

  • @siliviahmwakalobo5717
    @siliviahmwakalobo57174 ай бұрын

    Naomba maombi yako mtumishi

  • @FarhO-r7m
    @FarhO-r7m3 күн бұрын

    Amen

  • @NasterLeonadi-km6fw
    @NasterLeonadi-km6fw6 ай бұрын

    Amen 🙏👏

  • @marywaweru6089
    @marywaweru60892 ай бұрын

    Amen amen

  • @user-sb4ok6db8c
    @user-sb4ok6db8c2 ай бұрын

    Allelujah Allelujah

  • @user-nc6cv9sc2h
    @user-nc6cv9sc2h2 ай бұрын

    Amina kubwa

  • @user-fk8vn8pi9l
    @user-fk8vn8pi9l6 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @SusanAtavachi
    @SusanAtavachi4 ай бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Avikomesha vita hata mwisho wa dunia. Avunja uta., akata mkuki achoma moto magari.

  • @judithabuko6006
    @judithabuko60066 ай бұрын

    Ameeen

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Madhabahu ya miungu inayosababisha mauti na mateso nikiharibu kwa jina la Yesu na kwa damu ya mwanakondoo

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman165 ай бұрын

    I receive I receive

  • @siliviahmwakalobo5717
    @siliviahmwakalobo57174 ай бұрын

    Naomba maombi yako

  • @sophiaAmhimedi
    @sophiaAmhimedi2 ай бұрын

    amen

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Leo napeleka Damu ya Yesu ikanene mema dhidi ya haya matatizo yanayojirudia rudia kwangu kwa jina la Yesu na hakika mapooza si fungu langu kwa jina la Yesu

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Nakataa marafiki wanaonisababishia matatizo yangu kujirudia kwa jina la Yesu

  • @user-sb4ok6db8c
    @user-sb4ok6db8c2 ай бұрын

    Mtumishi are you brother to Mwalimu Isaac

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Kwa damu ya mwanakondoo nasafisha file langu lilochafuliwa na mtesi na kwa maombi haya watesi wote ambao ndiyo chanzo cha matatizo kwangu leo wanaenda kusambaratishwa na matatizo kwangu hayatajirudia tena Amina

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Kupitia sadaka hizi

  • @susangab5854
    @susangab58543 ай бұрын

    Amen&Ameeen

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Ee Mungu kafanye hukumu kwa viongozi katiia maeneo ya kazi wasiotenda hakika,, hakika chanzo cha matatizo yangu ni kukosekana kwa haki, na watu kupewa adhabu mara mbili na viongozi hao kutusababisha teso kujirudia rudia na watu kukosa haki zao mfano kupanda madaraja , vyeo , nishani n. K

  • @josephinenyunyu402
    @josephinenyunyu402Ай бұрын

    Asante sana

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Kwwnye kazi yangu napeleka damu ya Yesu mateso hayatajirudia tena na kazi yangu haitazaa mapoza kwa jina la Yesu kristo na kwa damu ya mwanakoo

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Ee Mungu nionyeshe kwanza chanzo cha tatizo ili niweze kukomesha haya matatizo yanayojirudia mara kwa mara

  • @AshuraSalumu-k7h
    @AshuraSalumu-k7h25 күн бұрын

    Nakomesha Kila tatizo linalo jirudia ludia kwa jina la yesu

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Usiku wa leo kama yupo ndugu au mtu ambaye anasababisho vifo vya kumwaga damu ili aweze kupsta utajiri isivyo halalo leo usiku huu akaangamie kama farao na jeshi lake kwa jina la Yesu

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa60396 ай бұрын

    🙌🙏👏👏👏👏👏

  • @rosenanjirawesonga2030
    @rosenanjirawesonga20306 ай бұрын

    Ameeen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Ndiyo nimeshasikiliza sehemu ya kwanza

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Najifunika kwa damu yaYesu na kwa damu ya mwanakondoo

  • @rosemarymapango3747
    @rosemarymapango37476 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @neemadaudisospeter8211
    @neemadaudisospeter82116 ай бұрын

    Ubarikiweeeee saaaana babangu

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l25 күн бұрын

    Kila chanzo cha magonjwa kwenye mwili wangu kiondoke niwe mzima wa afya

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    2wafalme 2:19-21

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    2wafalme6:6-7

  • @zainatoji1965
    @zainatoji19656 ай бұрын

    Mtumishi naomba muombee mwanangu saidi apone tatizo la dam limekuwa linajirudiarudia

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    3 ай бұрын

    Sara hii kwa mgonjwa save msikilizishe kzread.info/dash/bejne/hWWBqpiIZbWYgpc.htmlsi=nC2k9_kDwXoL0gkr

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Hakika hawa watesi ninaowaona leo hapa ofisini sitawaona tena

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Usiku wa leo kila kesi ambazo haziushi kazini kwangu leo naenda kuwakomesha hao mafarao walio ktk hayo maofisi na kuwazamisha kabisa kwenye bahari ya shamu kwa jina la Yesu kristo wa Nazsreti aliye hai

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Zaburi 46:9

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Mimi nimejaribu kuacha pombe ila nashindwa , naacha ila nashangaa hili tatizo linajirudia tena, nina imani hii sehemu ya pili itakomesha hili teso linalojirudua mara ya pili

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    2waflme 2:19

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Leo chanzo cha tatizo langu kinaensa kuelea kama kile chuma

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Kutoka 14:13-14

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Kutoka 12:12

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Usiku wa leo kupitia maombi haya nitaenda kukomesha chanzo cha tatizo

  • @user-kh7lw3dg4g
    @user-kh7lw3dg4g5 ай бұрын

    😢Mimi naomba uniombee ninachangamoto ya wachawi na kwenye biashara

  • @allthingdranabeauty

    @allthingdranabeauty

    3 ай бұрын

    Ukiwa kwenye biashara penda fungulia maombi anza kusali kzread.info/dash/bejne/pI2OpJOtm5isepM.htmlsi=ERFVDps85vODPjFP

  • @LEMPURISMOISAN
    @LEMPURISMOISAN6 ай бұрын

    Naomba Uniopeye PESA Yangu Ahikai mufukoni

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Kutoka 14:13

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Ninachangamoto kubwa sikai na mwanamke kila mwanamke ninaeishi nae tunaachana

  • @user-wx8jc9re8f
    @user-wx8jc9re8f3 ай бұрын

    Mutumisi naomba uniombee nauta wafu na accident.

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud4833 ай бұрын

    Magonjwa yakujirudia kwanzia sasa nakupitia maombi haya namini hayata jirudia katika jina la YESU

  • @user-bm5gs7ek7n
    @user-bm5gs7ek7n5 ай бұрын

    Mtumishi wa mungu nataka uniombee kukomesha matatizo ya kujirudiarudia kwenye uchumi au pesa zangu ninapopata pesa ya mtaji ninakuwa na madeni mtaji wote nalipia madeni

  • @AnnNaidongoi-tb6lj
    @AnnNaidongoi-tb6lj5 ай бұрын

    N kma n kwq wazazi

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Amina

  • @marywaweru6089
    @marywaweru60894 ай бұрын

    Amen amen

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Amen

  • @remymukosa7928
    @remymukosa79284 ай бұрын

    Naomba maombi yako

  • @vivianrafael19
    @vivianrafael1915 күн бұрын

    Amina

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Amina

  • @eliamlay7384
    @eliamlay7384Ай бұрын

    Amina

  • @LilianElinest
    @LilianElinest6 ай бұрын

    Amen