#LIVE

Ujumbe: Mtafuteni Bwana
Andiko: Yohana 9:4
Pastor: Innocent Leonard Mashauri
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Пікірлер: 75

  • @DelaneyWambui
    @DelaneyWambui9 күн бұрын

    Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen

  • @ChikondiMadaliso
    @ChikondiMadaliso6 күн бұрын

    Mungu tusaidie tusikie neno tutende neno tushike neno tuishi katika utii na utakatifu kwa reo somo nirangu mungu nisaidie

  • @user-ju2vf4wr7e
    @user-ju2vf4wr7e8 күн бұрын

    Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie

  • @truphenakhagori9387
    @truphenakhagori93872 күн бұрын

    Amen napokea neema yangu mwezi huu katika jina la Yesu Kristo

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul18667 күн бұрын

    Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili

  • @furahamichael6047
    @furahamichael60478 күн бұрын

    Asante mungu naomba ukutane na mimi katika maisha yangu🙏🙏

  • @rosemarymsekela1774
    @rosemarymsekela17749 күн бұрын

    Amina 👏👏wimbo jumla na neno lako vimenibariki sn Mtumishi wa Mungu...

  • @Judith-mw4ys
    @Judith-mw4ys8 күн бұрын

    You're right the man of God 👏🙏mimi nikiwa ujauzito huwa siombi 😢nipe neema ya maombi baba yangu 🙏ulimwengu mna dhiki nipe nguvu ya kushinda😭🙏

  • @damarismuli8364
    @damarismuli83646 күн бұрын

    Mungu wangu Asante sana kwa mafudicho Aya, the man of GOD GOD bless you 🙏

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU kwani hunijui sikujui ila kupitia neno la MUNGU nimehama kituo kiimani

  • @LuandaBushashire
    @LuandaBushashire6 күн бұрын

    Asante sana baba unanisaidiya sana mutumishi wu mungu

  • @user-ez5jf1un7g
    @user-ez5jf1un7g9 күн бұрын

    my pastor mungu wako ni mungu ambaye anaona mambo yote yangu pia anadjuwa makosa yangu nania yangu

  • @sophiawetoto7873
    @sophiawetoto78739 күн бұрын

    Nashukuru kwa mafundisho yako yame nitia moyo kwa sababu nilikuwa nimekata tamaa kazini

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    Ee MUNGU naomba unirehemu mimi na watoto wangu na mumewangu,,,,nirehemu Bwana

  • @FeliciteNiybitanga
    @FeliciteNiybitanga8 күн бұрын

    MUNGU BABA nisameh mimi mtenda dhambi🙏🙏🙏

  • @SelinaRaphael-dr5lg
    @SelinaRaphael-dr5lg9 күн бұрын

    Mungu nirehemu sawa sawa na fadhili zako amen

  • @user-ez5jf1un7g
    @user-ez5jf1un7g9 күн бұрын

    Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    MUNGU nikumbuke mana natumika kanisan kwa nguvu zangu na sadaka

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul18667 күн бұрын

    Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉

  • @oman798
    @oman7983 күн бұрын

    AMINA

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa2993 күн бұрын

    Ameni naomba MUNGU ANISAIDIE

  • @user-hf7vg1rs4f
    @user-hf7vg1rs4f9 күн бұрын

    Nashukuru sana Mchungaji, Mungu akubariki tena sana

  • @user-ld1uj2gz4z
    @user-ld1uj2gz4z10 күн бұрын

    Ubarikiwe saana Mtumishi wa Mungu

  • @Yesslarry
    @Yesslarry9 күн бұрын

    Nyimbo ilioanza anaeijua aniambie nitumie kusifu 🙏

  • @salomekilavi6421
    @salomekilavi64218 күн бұрын

    Amen and Amen

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

  • @JoyceMlelwa
    @JoyceMlelwa9 күн бұрын

    Mungu nipe neema yako

  • @agnethapaul6057
    @agnethapaul60579 күн бұрын

    Amen mtumishi wa MUNGU.

  • @ezekielmwau7320
    @ezekielmwau732010 күн бұрын

    Mungu akubariki kw Neno nzuri Mtumishi unanitia moyo kila ukihubiri neno la uzima🙏

  • @user-ks3vd4cv8p
    @user-ks3vd4cv8p10 күн бұрын

    Mungu akuariki mtumishi neno zuri ❤❤

  • @victoriaaman6628
    @victoriaaman66289 күн бұрын

    Amen Mtumishi Asante sana Mtumishi 🙏

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette51089 күн бұрын

    Ubarikiwe sana Pastor👏

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo9 күн бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏

  • @qeenimringo4136
    @qeenimringo41369 күн бұрын

    Amen MUNGU atukumbuke

  • @user-ys6gi1bt6j
    @user-ys6gi1bt6j9 күн бұрын

    Ubarikiwe Sana mtumishi.

  • @kaisammy5848
    @kaisammy584810 күн бұрын

    Amen amen 🙏🙏🙏🙏

  • @DelianNyambu-pu3gc
    @DelianNyambu-pu3gc10 күн бұрын

    Amen

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    Amen amen

  • @mukamutsinzimarygorette5108
    @mukamutsinzimarygorette51089 күн бұрын

    Aksante Mungu kwa rehema na neema yako kwa uzima wetu🙌🙌🙌 Zab1 03:3 🙏

  • @roselynerose
    @roselynerose10 күн бұрын

    Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja

  • @herinitiative4789
    @herinitiative47897 күн бұрын

    Barikiwa Mtumishi

  • @AnnachristopherRobert
    @AnnachristopherRobert9 күн бұрын

    🙇🙇Tunashukuru sna kwa ajili ya neno la Mungu,Hakika linaniuwisha tena na kunifanya nipate nguvu ya kumtafuta Mungu zaidi🙏✍

  • @SailisMsuha
    @SailisMsuha9 күн бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa81549 күн бұрын

    Asante ntumishi kwa kutufundisha neno la kweli ambalo linatusaidia kutoka sehemu moja kwenda nyingine, Mungu akuoandishe viwango vya juu zaidi

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn764510 күн бұрын

    Amen. Barikiwa

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    Naomba neema yako ya uzao

  • @NeemaIvan
    @NeemaIvan9 күн бұрын

    Napenda ivi vipindi vya mafundisho nifanyaje ili kila kipindi niwe nakipata Kwa wakati Kila unapo ingia

  • @user-nk3qw1cn2l
    @user-nk3qw1cn2l10 күн бұрын

    Natamani kabisa kuishi nawe bwana mungu wangu

  • @user-ez5jf1un7g
    @user-ez5jf1un7g9 күн бұрын

    Bwana asante kwa yote

  • @user-nk3qw1cn2l
    @user-nk3qw1cn2l10 күн бұрын

    Bwana nikumbuke

  • @rosemarymsekela1774
    @rosemarymsekela17749 күн бұрын

    Aliyeimba huu wimbo ni nani,watumishi wa Mungu nisaidieni..

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa81549 күн бұрын

    Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana

  • @tunuhaji
    @tunuhaji10 күн бұрын

    Asante mtumishi wa mungu unanifundisha ukweli uliopo nakuelewaa sanaa na kila uombapo unanigusa mimi

  • @user-ks3vd4cv8p
    @user-ks3vd4cv8p10 күн бұрын

    Hakika tunatakiwa kutubu na kusimama Tena amen

  • @user-ez5jf1un7g
    @user-ez5jf1un7g9 күн бұрын

    Ndiyo baba sio huongo kabisa

  • @user-ez5jf1un7g
    @user-ez5jf1un7g9 күн бұрын

    Bwana mungu naomba toba kutoka kwako pia siwezi tena kupinga na sauti yako wala kupuzia maelekezo yako yoyote bwana nisamehe

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo9 күн бұрын

    Uongee ukweli mtumishi Kwa sababu IPO siku tutasimama mbele za Mungu na kutuonyesha ukweli unaotufundisha🙏🙏🙏

  • @MercyWanjala-ki5nn
    @MercyWanjala-ki5nn9 күн бұрын

    Nashukuru mtumishi Kwa maubiri,you make me move closer to God

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa9 күн бұрын

    Hakika umenirudisha kwenye mstari ubarikiwe sana mtumishi

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    Leo MUNGU mkali kupitia mtumishi wake,,,,naomba unisamehe MUNGU wangu,,,naacha wizi

  • @franciscakija1702
    @franciscakija17029 күн бұрын

    😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo9 күн бұрын

    Nikumbuke Mungu wangu naomba usiniache 😭😭😭

  • @RenathaKatambala
    @RenathaKatambala10 күн бұрын

    Naomba roho mtakatfu aingie ndani yamoyo wangu

  • @NeemaKomba-vn6sh
    @NeemaKomba-vn6sh9 күн бұрын

    Mmmm sina nilillolifanya ili nikumbukwe na Mungu yaani nahitaji neema ya kuanza naye sasa

  • @carolinekigembe4426
    @carolinekigembe442610 күн бұрын

    Ahsante Bwana Yesu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa66689 күн бұрын

    Jamani jamani jamani MUNGU kanionya leo

  • @ChikondiMadaliso
    @ChikondiMadaliso6 күн бұрын

    Kwa neno hiri kama hujabadiirika mmmm

  • @Ursain.IKE.jesuis9365
    @Ursain.IKE.jesuis936510 күн бұрын

    AMEN AMEN 🙏🙏🙏

  • @AaAa-ue5di
    @AaAa-ue5di10 күн бұрын

    Ameer

  • @KagoyireSarah-xw4xx
    @KagoyireSarah-xw4xx10 күн бұрын

    Ubarikiwe

  • @user-ju2vf4wr7e
    @user-ju2vf4wr7e8 күн бұрын

    Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie

  • @laurentndowa2304
    @laurentndowa23045 күн бұрын

    Sahihi kabisa, MUNGU atusaidie 🙏

  • @lusilusi8687
    @lusilusi86879 күн бұрын

    Amen

  • @Evansserede-uw4tb
    @Evansserede-uw4tb9 күн бұрын

    Amen

  • @user-nk3qw1cn2l
    @user-nk3qw1cn2l10 күн бұрын

    Amen