Ujumbe: Mtafuteni Bwana Andiko: Yohana 9:4 Pastor: Innocent Leonard Mashauri SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI: M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Жүктеу.....
Пікірлер: 75
@DelaneyWambui9 күн бұрын
Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen
@ChikondiMadaliso6 күн бұрын
Mungu tusaidie tusikie neno tutende neno tushike neno tuishi katika utii na utakatifu kwa reo somo nirangu mungu nisaidie
@user-ju2vf4wr7e8 күн бұрын
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
@truphenakhagori93872 күн бұрын
Amen napokea neema yangu mwezi huu katika jina la Yesu Kristo
@agnesspaul18667 күн бұрын
Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili
@furahamichael60478 күн бұрын
Asante mungu naomba ukutane na mimi katika maisha yangu🙏🙏
@rosemarymsekela17749 күн бұрын
Amina 👏👏wimbo jumla na neno lako vimenibariki sn Mtumishi wa Mungu...
@Judith-mw4ys8 күн бұрын
You're right the man of God 👏🙏mimi nikiwa ujauzito huwa siombi 😢nipe neema ya maombi baba yangu 🙏ulimwengu mna dhiki nipe nguvu ya kushinda😭🙏
@damarismuli83646 күн бұрын
Mungu wangu Asante sana kwa mafudicho Aya, the man of GOD GOD bless you 🙏
@judithnjunwa66689 күн бұрын
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU kwani hunijui sikujui ila kupitia neno la MUNGU nimehama kituo kiimani
@LuandaBushashire6 күн бұрын
Asante sana baba unanisaidiya sana mutumishi wu mungu
@user-ez5jf1un7g9 күн бұрын
my pastor mungu wako ni mungu ambaye anaona mambo yote yangu pia anadjuwa makosa yangu nania yangu
@sophiawetoto78739 күн бұрын
Nashukuru kwa mafundisho yako yame nitia moyo kwa sababu nilikuwa nimekata tamaa kazini
@judithnjunwa66689 күн бұрын
Ee MUNGU naomba unirehemu mimi na watoto wangu na mumewangu,,,,nirehemu Bwana
@FeliciteNiybitanga8 күн бұрын
MUNGU BABA nisameh mimi mtenda dhambi🙏🙏🙏
@SelinaRaphael-dr5lg9 күн бұрын
Mungu nirehemu sawa sawa na fadhili zako amen
@user-ez5jf1un7g9 күн бұрын
Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli
@judithnjunwa66689 күн бұрын
MUNGU nikumbuke mana natumika kanisan kwa nguvu zangu na sadaka
@agnesspaul18667 күн бұрын
Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉
@oman7983 күн бұрын
AMINA
@geitandelwa2993 күн бұрын
Ameni naomba MUNGU ANISAIDIE
@user-hf7vg1rs4f9 күн бұрын
Nashukuru sana Mchungaji, Mungu akubariki tena sana
@user-ld1uj2gz4z10 күн бұрын
Ubarikiwe saana Mtumishi wa Mungu
@Yesslarry9 күн бұрын
Nyimbo ilioanza anaeijua aniambie nitumie kusifu 🙏
@salomekilavi64218 күн бұрын
Amen and Amen
@judithnjunwa66689 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
@JoyceMlelwa9 күн бұрын
Mungu nipe neema yako
@agnethapaul60579 күн бұрын
Amen mtumishi wa MUNGU.
@ezekielmwau732010 күн бұрын
Mungu akubariki kw Neno nzuri Mtumishi unanitia moyo kila ukihubiri neno la uzima🙏
@user-ks3vd4cv8p10 күн бұрын
Mungu akuariki mtumishi neno zuri ❤❤
@victoriaaman66289 күн бұрын
Amen Mtumishi Asante sana Mtumishi 🙏
@mukamutsinzimarygorette51089 күн бұрын
Ubarikiwe sana Pastor👏
@DorothyChilembo9 күн бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
@qeenimringo41369 күн бұрын
Amen MUNGU atukumbuke
@user-ys6gi1bt6j9 күн бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi.
@kaisammy584810 күн бұрын
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
@DelianNyambu-pu3gc10 күн бұрын
Amen
@judithnjunwa66689 күн бұрын
Amen amen
@mukamutsinzimarygorette51089 күн бұрын
Aksante Mungu kwa rehema na neema yako kwa uzima wetu🙌🙌🙌 Zab1 03:3 🙏
@roselynerose10 күн бұрын
Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja
@herinitiative47897 күн бұрын
Barikiwa Mtumishi
@AnnachristopherRobert9 күн бұрын
🙇🙇Tunashukuru sna kwa ajili ya neno la Mungu,Hakika linaniuwisha tena na kunifanya nipate nguvu ya kumtafuta Mungu zaidi🙏✍
@SailisMsuha9 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@lidyanapegwa81549 күн бұрын
Asante ntumishi kwa kutufundisha neno la kweli ambalo linatusaidia kutoka sehemu moja kwenda nyingine, Mungu akuoandishe viwango vya juu zaidi
@veronicajohn764510 күн бұрын
Amen. Barikiwa
@judithnjunwa66689 күн бұрын
Naomba neema yako ya uzao
@NeemaIvan9 күн бұрын
Napenda ivi vipindi vya mafundisho nifanyaje ili kila kipindi niwe nakipata Kwa wakati Kila unapo ingia
@user-nk3qw1cn2l10 күн бұрын
Natamani kabisa kuishi nawe bwana mungu wangu
@user-ez5jf1un7g9 күн бұрын
Bwana asante kwa yote
@user-nk3qw1cn2l10 күн бұрын
Bwana nikumbuke
@rosemarymsekela17749 күн бұрын
Aliyeimba huu wimbo ni nani,watumishi wa Mungu nisaidieni..
@lidyanapegwa81549 күн бұрын
Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana
@tunuhaji10 күн бұрын
Asante mtumishi wa mungu unanifundisha ukweli uliopo nakuelewaa sanaa na kila uombapo unanigusa mimi
@user-ks3vd4cv8p10 күн бұрын
Hakika tunatakiwa kutubu na kusimama Tena amen
@user-ez5jf1un7g9 күн бұрын
Ndiyo baba sio huongo kabisa
@user-ez5jf1un7g9 күн бұрын
Bwana mungu naomba toba kutoka kwako pia siwezi tena kupinga na sauti yako wala kupuzia maelekezo yako yoyote bwana nisamehe
@DorothyChilembo9 күн бұрын
Uongee ukweli mtumishi Kwa sababu IPO siku tutasimama mbele za Mungu na kutuonyesha ukweli unaotufundisha🙏🙏🙏
@MercyWanjala-ki5nn9 күн бұрын
Nashukuru mtumishi Kwa maubiri,you make me move closer to God
@EuphrasiaNtawatawa9 күн бұрын
Hakika umenirudisha kwenye mstari ubarikiwe sana mtumishi
@judithnjunwa66689 күн бұрын
Leo MUNGU mkali kupitia mtumishi wake,,,,naomba unisamehe MUNGU wangu,,,naacha wizi
@franciscakija17029 күн бұрын
😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
@DorothyChilembo9 күн бұрын
Nikumbuke Mungu wangu naomba usiniache 😭😭😭
@RenathaKatambala10 күн бұрын
Naomba roho mtakatfu aingie ndani yamoyo wangu
@NeemaKomba-vn6sh9 күн бұрын
Mmmm sina nilillolifanya ili nikumbukwe na Mungu yaani nahitaji neema ya kuanza naye sasa
@carolinekigembe442610 күн бұрын
Ahsante Bwana Yesu
@judithnjunwa66689 күн бұрын
Jamani jamani jamani MUNGU kanionya leo
@ChikondiMadaliso6 күн бұрын
Kwa neno hiri kama hujabadiirika mmmm
@Ursain.IKE.jesuis936510 күн бұрын
AMEN AMEN 🙏🙏🙏
@AaAa-ue5di10 күн бұрын
Ameer
@KagoyireSarah-xw4xx10 күн бұрын
Ubarikiwe
@user-ju2vf4wr7e8 күн бұрын
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Пікірлер: 75
Amen pastor hili neno ni langu na ninaamini litanibadilisha nitaacha kumkopa MUNGU , MUNGU nisaidie mwizi mimi😢 sitaiba Tena ninaahidi mbele ya hii madhabahu ROHO MTAKATIFU tafadhali nikumbushage kuitimiza hii ahadi amen
Mungu tusaidie tusikie neno tutende neno tushike neno tuishi katika utii na utakatifu kwa reo somo nirangu mungu nisaidie
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Amen napokea neema yangu mwezi huu katika jina la Yesu Kristo
Mtumishi Muñgu akubariki Nimekuelewa sana niombee na Müñgu anisamehe Kuna vingi Sana umenifuraisha hujaongea Sana umetufundisha Sana Muñgu awe nawe ❤❤❤❤ ubarikiwe mno wewe na familia yako umeponya nafusi za wengi kupitia Neno hili
Asante mungu naomba ukutane na mimi katika maisha yangu🙏🙏
Amina 👏👏wimbo jumla na neno lako vimenibariki sn Mtumishi wa Mungu...
You're right the man of God 👏🙏mimi nikiwa ujauzito huwa siombi 😢nipe neema ya maombi baba yangu 🙏ulimwengu mna dhiki nipe nguvu ya kushinda😭🙏
Mungu wangu Asante sana kwa mafudicho Aya, the man of GOD GOD bless you 🙏
Nakupenda sana mtumishi wa MUNGU kwani hunijui sikujui ila kupitia neno la MUNGU nimehama kituo kiimani
Asante sana baba unanisaidiya sana mutumishi wu mungu
my pastor mungu wako ni mungu ambaye anaona mambo yote yangu pia anadjuwa makosa yangu nania yangu
Nashukuru kwa mafundisho yako yame nitia moyo kwa sababu nilikuwa nimekata tamaa kazini
Ee MUNGU naomba unirehemu mimi na watoto wangu na mumewangu,,,,nirehemu Bwana
MUNGU BABA nisameh mimi mtenda dhambi🙏🙏🙏
Mungu nirehemu sawa sawa na fadhili zako amen
Mungu wa mbunguni Leo uliingia kwenye chumba changu ukaona kila kitu Leo kwa sababu mchungaji ameongea neno kubwa kabisa tena sana mungu wewe ni mungu wa kweli
MUNGU nikumbuke mana natumika kanisan kwa nguvu zangu na sadaka
Asante Muñgu Baba wa mbingu ninaomba Rehema kwaajili yangu na familia yangu nawengineo wote kwa kuwa Muñgu najua utatuwazia mema mubariki mtimishi wako Asante Yesu❤❤❤❤🎉🎉
AMINA
Ameni naomba MUNGU ANISAIDIE
Nashukuru sana Mchungaji, Mungu akubariki tena sana
Ubarikiwe saana Mtumishi wa Mungu
Nyimbo ilioanza anaeijua aniambie nitumie kusifu 🙏
Amen and Amen
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Mungu nipe neema yako
Amen mtumishi wa MUNGU.
Mungu akubariki kw Neno nzuri Mtumishi unanitia moyo kila ukihubiri neno la uzima🙏
Mungu akuariki mtumishi neno zuri ❤❤
Amen Mtumishi Asante sana Mtumishi 🙏
Ubarikiwe sana Pastor👏
Ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏
Amen MUNGU atukumbuke
Ubarikiwe Sana mtumishi.
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Amen
Amen amen
Aksante Mungu kwa rehema na neema yako kwa uzima wetu🙌🙌🙌 Zab1 03:3 🙏
Ninapo sikiliza haya mahubiri huwa yananitia nguvu hata mara nyingine😢😢naona kama nafika mwisho lakini najuwa cku moja mungu ataniinua kulingana vile nakufatilia😢😢najuwa mungu atanifuta majozi cku moja
Barikiwa Mtumishi
🙇🙇Tunashukuru sna kwa ajili ya neno la Mungu,Hakika linaniuwisha tena na kunifanya nipate nguvu ya kumtafuta Mungu zaidi🙏✍
Amen 🙏🙏🙏🙏
Asante ntumishi kwa kutufundisha neno la kweli ambalo linatusaidia kutoka sehemu moja kwenda nyingine, Mungu akuoandishe viwango vya juu zaidi
Amen. Barikiwa
Naomba neema yako ya uzao
Napenda ivi vipindi vya mafundisho nifanyaje ili kila kipindi niwe nakipata Kwa wakati Kila unapo ingia
Natamani kabisa kuishi nawe bwana mungu wangu
Bwana asante kwa yote
Bwana nikumbuke
Aliyeimba huu wimbo ni nani,watumishi wa Mungu nisaidieni..
Asante ntumishi kwa kutuelekeza namna ya kuenda kwa Mungu, namna ya kuomba rehema kwa Mungu,namna ya kumtolea sadaka na zaka, namna ya kuwa mwaminifu kwa Mungu, namna ya kutengeneza na Mungu, Mungu akubariki sana
Asante mtumishi wa mungu unanifundisha ukweli uliopo nakuelewaa sanaa na kila uombapo unanigusa mimi
Hakika tunatakiwa kutubu na kusimama Tena amen
Ndiyo baba sio huongo kabisa
Bwana mungu naomba toba kutoka kwako pia siwezi tena kupinga na sauti yako wala kupuzia maelekezo yako yoyote bwana nisamehe
Uongee ukweli mtumishi Kwa sababu IPO siku tutasimama mbele za Mungu na kutuonyesha ukweli unaotufundisha🙏🙏🙏
Nashukuru mtumishi Kwa maubiri,you make me move closer to God
Hakika umenirudisha kwenye mstari ubarikiwe sana mtumishi
Leo MUNGU mkali kupitia mtumishi wake,,,,naomba unisamehe MUNGU wangu,,,naacha wizi
😂😂😂😂 usisubiri kukabwa usiku. Wapendwa tumrudie Mungu maisha ya duniani ni mengi ila tusikubali kushusha mahusiano yetu na Mungu. Mtumishi ubarikiwe sana endelea kutupa Neno 🙏🙏🙏🙏🙏
Nikumbuke Mungu wangu naomba usiniache 😭😭😭
Naomba roho mtakatfu aingie ndani yamoyo wangu
Mmmm sina nilillolifanya ili nikumbukwe na Mungu yaani nahitaji neema ya kuanza naye sasa
Ahsante Bwana Yesu
Jamani jamani jamani MUNGU kanionya leo
Kwa neno hiri kama hujabadiirika mmmm
AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Ameer
Ubarikiwe
Mungu naomba unirehemu Mimi na wanangu tuondolee nguvu za giza zinazotufuatilia kwenye kazi na biashara mungu nisaidie
Sahihi kabisa, MUNGU atusaidie 🙏
Amen
Amen
Amen