SIRI ZA BIBLIA

SIRI ZA BIBLIA

WASILIANA NASI:-
Whatsapp: bit.ly/3HJseKD
Facebook: bit.ly/48YgxvP
Instagram: bit.ly/490U7Kd
Contact: +255 758 708 804

UNAWEZA KUTOA SADAKA YAKO KWA NJIA ZIFUATAZO:-
AIRTEL MONEY +255 684 988 722 INNOCENT MASHAURI
M-PESA +255 758 708 804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI


KUHUSU UKRISTO NA WOKOVU

KUHUSU UKRISTO NA WOKOVU

SADAKA YA KUKUVUSHA ULIPO

SADAKA YA KUKUVUSHA ULIPO

Пікірлер

  • @janethpeter
    @janethpeter4 минут бұрын

    Nimejifunza kitu😢, natakiwa kumtegemea Mungu kwa kila kitu na kila hatua. Roho mtakatifu naomba nisaidie mim🙏🙏

  • @user-wd1ey8vy5u
    @user-wd1ey8vy5u2 сағат бұрын

    Mungu naomba unipandishe kiroho na unipenguvu ya maombi

  • @NeemaWillson-nu2bo
    @NeemaWillson-nu2bo2 сағат бұрын

    🙏

  • @SekelaCholela
    @SekelaCholela2 сағат бұрын

    Naomba amani ee Bwana

  • @user-wd1ey8vy5u
    @user-wd1ey8vy5u2 сағат бұрын

    Ameen mm napenda kujiungamanisha na MAZABAHU YA SIRI ZA BIBLIA naomba Mungu anisaidie na Mimi nipate kazi

  • @SaraMpozi-nf1yk
    @SaraMpozi-nf1yk3 сағат бұрын

    Mungu nisaindie mimi

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa14964 сағат бұрын

    Eee mwenyezi MUNGU naomba uniondolee moyo wakuji hukumu niumbie moyo wakujisameha bila wewe siwezi bwana nakataa kukumbuka mapito yangu niuchungu sana MUNGU wangu, Naomba nianze na wewe bwana kwanzia sahii kaa nami bwana Amen 🙏🙏

  • @truphenakhagori9387
    @truphenakhagori93874 сағат бұрын

    AMEEEEN

  • @DianaDaudi-kw4jd
    @DianaDaudi-kw4jd4 сағат бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu naomba unisamehe pale nilioo kukosea kwa mawazo,vitendo au kwa kuto timiza Makenzie yako naomba unifanye kuwa mpya kupitia damu ya mwanao Yesu kristo utabaki kuwa mlinzi n mboni ya jicho langu Naomba unifanyie wepesi katika njia zangu pamoja na Familia yangu wabariki na kuwatakasa wangu wakutumaini wewe tu muumba Naam8 I katika wewe

  • @user-ij6jj6hl9r
    @user-ij6jj6hl9r4 сағат бұрын

    Amen, asantee mtumish kwa mafunisho. Nikwer tabiya ya kushindwa kujisamehe ya naua sana roho za wat😢 kusema ukwer m mwenyew nlikua mtu mmoja ambaye nlikua nashikilia sana watu nlioniumiza, nlikua nakosa sana anami pale tu napowakumbuka moyo ulikua ukiuma sana adi nikawa nashundwa kufanya vitu ikiwemo maomb nlikua nashundwa kabisa kusali mda wote nlikua mtu wakutaman kulipa kisasi. Nashukuru Mungu kwa tangia nianze kupata mafindisho ya hapa Siri za bibilia moyo wang umekua na aman na nimeshifuza nijisameje pia na kuwasameh wote walionikosea .kisas ni jua yake bwana sio kaz yangu tena kilipa kisasa kwamtu. Hat mtu akinikosea kias gan namwambia Mungu ingilia katiunisadia katika hii vita iliyoinuka juu yangu. Nimaomb yangu kwa Mungu awasaudie wote ambawo wameshindwa kuashilia watu ambao walishawakosea wamwambie mungu aingilie kati . Ubarikiwe mtumish wa mungu

  • @SARAHMLELWA
    @SARAHMLELWA5 сағат бұрын

    Ñahitaji mtu wakuniombea . Nipo kwenye nyakati ngumu sana muda mrefu kiasi kwamba sioni umuhimu wa kuendelea kuishi hapa duniani.

  • @SARAHMLELWA
    @SARAHMLELWA4 сағат бұрын

    Naomba unisaidie kuomba nipo wakati mgumu wa madeni yasiyousha

  • @melithasospeterrubanza9682
    @melithasospeterrubanza96825 сағат бұрын

    Ee Bwana Yesu naomba unisamehe kwa kadri ya fadhili zako sawa sawa na wingi wa rehema zako unirehemu Ee Mungu wangu, ni kweli nimekosa sana naomba unipe moyo wa kujisamehe mimi pia🙏🙏🙏🙏🙏

  • @victoriaaman6628
    @victoriaaman66285 сағат бұрын

    😢😢😢😢 Mungu nisaidie

  • @ZainabuDotto
    @ZainabuDotto6 сағат бұрын

    Yesu sipo sawa kwenye kazi yang family yangu anaangaika baba naomba msaada wako maana kwa akili yang mawazo everything sipo sawa naomba msaada wako yesu please help me natumia sana ndani ya moyo

  • @user-rf3zz1lb6l
    @user-rf3zz1lb6l6 сағат бұрын

    Kwa kweli tunalia sana lakini Mungu hawezi choka kutubebea shida zetu, asante sana pastor kwa haya mafundisho nimerudia sababu niligunzwa sana sana

  • @MutambalaSelemani
    @MutambalaSelemani7 сағат бұрын

    nisaidiye bwana tupate kujuwa jisameye

  • @MutambalaSelemani
    @MutambalaSelemani7 сағат бұрын

    kwako bwana kumetoka vyote tunaomba utusameye kwazile hali ambazo tumeshindwa elewa

  • @user-gt9tg2ir3k
    @user-gt9tg2ir3k7 сағат бұрын

    Asante sana mtumishi wamungu kwamashauri😢

  • @florasylivand152
    @florasylivand1527 сағат бұрын

    Eeh BWANA naomba ahadi zako na neema zako ziende na mimi kila mahali ,katika kukujua zaidi katika eneo la mahusiano na katika kuukuza uchumi wangu. Ninapindua vilivyopinduliwa na kurejesha vilivyopotea,wokovu wa Bwana unasambaa katika kila eneo la maisha yangu nami nashangilia maana Neno jipya linatendeka.

  • @user-li2ze2ws4l
    @user-li2ze2ws4l7 сағат бұрын

    Mungu nisamehe nimechelewa kupata Haya maombi nibaliki Na Mimi niji samehe Na nisamehe wote walio nikosea asante Mungu maana wewe nimwema kwangu

  • @JosphineMuli-sr8ns
    @JosphineMuli-sr8ns7 сағат бұрын

    Mimi ni mchungaji mama nime guzwa nahiyo neno hiyo ndiyo shinda yangu pamoja na washirika na wengi

  • @MweshMwesh-dr5lp
    @MweshMwesh-dr5lp7 сағат бұрын

    Sante roho Mtakatifu,,, neno la leo nimekua fundisho nzuri eeh bwana Yesu tusamehe makosa yetu 🙏barikiwa mtumishi wa mungu

  • @user-xy6wb5vw1f
    @user-xy6wb5vw1f8 сағат бұрын

    Bwana Yesu kristo najitakasa kwa damu yako iliyo takatifu. Nasimama kudai haki yangu iyoibiwa irudi sasa.Wapige adui zangu walioshikilia haki yangu eeeh Yesu Kristo. AMINA.

  • @JescaTheodory-ff3fc
    @JescaTheodory-ff3fc8 сағат бұрын

    Mungu akubariki sana🙏🙏

  • @Linda-hv9ll
    @Linda-hv9ll8 сағат бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @HappyBlini-zd8ej
    @HappyBlini-zd8ej9 сағат бұрын

    Ombi. Langu. nimjue Mungu nijue kusudi langu kwake Amina amina

  • @user-gt9tg2ir3k
    @user-gt9tg2ir3k9 сағат бұрын

    Iyo NIKWELI KABISA ✍️

  • @Ms_unii
    @Ms_unii10 сағат бұрын

    Nikumbuke Mungu kwenye biashara yangu, niondelee roho ya kurudi nyuma na roho ya udumavu kwenye maisha yangu. Ninajietenga na kila laana za ukoo

  • @rehemabyamasu3203
    @rehemabyamasu320310 сағат бұрын

    Amen God bless you

  • @dammyduro1643
    @dammyduro164310 сағат бұрын

    Amina Amina mtumishi wa bwana hakika neno lako ni kweli ❤

  • @marthakimati8913
    @marthakimati891311 сағат бұрын

    Naomba Mungu nisaidiekulinda Familia yangu wakapate kipato kikubwa wakifanyia kazi yoyote ndogo Wapandishe Cheo kwenye kazi zao serikalini wasipate vipingamizi nawatesi.

  • @marthakimati8913
    @marthakimati891311 сағат бұрын

    Mungu naomba univushe niweze kutembea mwenyewe bila kusaidiwa na mtu.Ponya ugonjwa wa Nyonga Mgongo na ganzi usinipite Mungu wangu niguse utakaponiguza nitaamka na kukimbia katika jina la Yesu.

  • @marthakimati8913
    @marthakimati891311 сағат бұрын

    MUNGU naamini unasikia msombi yangu usiku huu Ponya Mangojwa yote ndani ya mwili wangu YARUDISHE KWA WABAYA WANGU YAWARUDIE WAO WENYEWE

  • @marthakimati8913
    @marthakimati891311 сағат бұрын

    Tuko pamoja nasmini maombi haya yataniponya.katika jina la Yesu

  • @NatashaCharles-gv3qb
    @NatashaCharles-gv3qb11 сағат бұрын

    Namuomba MUNGU aniondolee hii roho ya kutelekezwa na watoto. Eee Mungu naomba unitoe kifungoni nitafutwe na kuhudumiwa na huyu mwanaume nikumbuke Eee Mungu wangu.

  • @user-kc6hg1se7b
    @user-kc6hg1se7b11 сағат бұрын

    Barikiwa Mtumishi WA Mungu

  • @RahabkRuth
    @RahabkRuth12 сағат бұрын

    Eee Bwana Yesu, naomba msamaha Kwa Kila kosa nimewahi litenda, usikie kilio changu unisaidie Kwa rehema zako unikomboe kutoka Kwa vifungo na visuhizi unifuze Kwa mikono wako wa ushindi

  • @AngeFuraha-t6w
    @AngeFuraha-t6w12 сағат бұрын

    Mungu afungule mlango uliyo funga juu yangu nafamiliya yangu

  • @salomekilavi6421
    @salomekilavi642112 сағат бұрын

    Amen

  • @user-os6pi2fd2c
    @user-os6pi2fd2c12 сағат бұрын

    Yesu mim nimechoka kufanya kazi bila mishahara, uciku wa leo nikumbuke yesu, kaifungue milango yangu 😭 😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AngeFuraha-t6w
    @AngeFuraha-t6w12 сағат бұрын

    Ni kufata kutoka congo ville beni

  • @MariaKomba-oz1ko
    @MariaKomba-oz1ko12 сағат бұрын

    Ee Mungu unipe biashara nzuri Nakuomba

  • @ezekielmwau7320
    @ezekielmwau732012 сағат бұрын

    Ibada ya leo imekuwa ya Baraka sana Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @ezekielmwau7320
    @ezekielmwau732012 сағат бұрын

    Amen Mungu akubariki sana Pastor kwa neno

  • @JaneNkata-tq5oi
    @JaneNkata-tq5oi12 сағат бұрын

    Ameen

  • @glorialuena7041
    @glorialuena704113 сағат бұрын

    Bwana Yesu nahitaji uponyaji wa mwili na roho za familiar yangu(mimi Watton na wajukuu zangu

  • @JohariAlifonsi
    @JohariAlifonsi14 сағат бұрын

    Ameni ubarikiwe pastor

  • @hellenobwogi472
    @hellenobwogi47214 сағат бұрын

    Mungu waisrael nifundishe kuomba

  • @benedictosospeter2836
    @benedictosospeter283614 сағат бұрын

    Mtumishi naomba uniombee kupitia madhabahu takatifu niweze kupona maradhi yaliyonisumbua kwamda mrefu mguu na bega langu pia familia yang ili Mungu azid kuipa ulinzi,amina🙏🙏

  • @bonifasilubuye4560
    @bonifasilubuye456015 сағат бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.