WASILIANA NASI:-
Whatsapp: bit.ly/3HJseKD
Facebook: bit.ly/48YgxvP
Instagram: bit.ly/490U7Kd
Contact: +255 758 708 804
UNAWEZA KUTOA SADAKA YAKO KWA NJIA ZIFUATAZO:-
AIRTEL MONEY +255 684 988 722 INNOCENT MASHAURI
M-PESA +255 758 708 804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер
Nimejifunza kitu😢, natakiwa kumtegemea Mungu kwa kila kitu na kila hatua. Roho mtakatifu naomba nisaidie mim🙏🙏
Mungu naomba unipandishe kiroho na unipenguvu ya maombi
🙏
Naomba amani ee Bwana
Ameen mm napenda kujiungamanisha na MAZABAHU YA SIRI ZA BIBLIA naomba Mungu anisaidie na Mimi nipate kazi
Mungu nisaindie mimi
Eee mwenyezi MUNGU naomba uniondolee moyo wakuji hukumu niumbie moyo wakujisameha bila wewe siwezi bwana nakataa kukumbuka mapito yangu niuchungu sana MUNGU wangu, Naomba nianze na wewe bwana kwanzia sahii kaa nami bwana Amen 🙏🙏
AMEEEEN
Ee Mwenyezi Mungu naomba unisamehe pale nilioo kukosea kwa mawazo,vitendo au kwa kuto timiza Makenzie yako naomba unifanye kuwa mpya kupitia damu ya mwanao Yesu kristo utabaki kuwa mlinzi n mboni ya jicho langu Naomba unifanyie wepesi katika njia zangu pamoja na Familia yangu wabariki na kuwatakasa wangu wakutumaini wewe tu muumba Naam8 I katika wewe
Amen, asantee mtumish kwa mafunisho. Nikwer tabiya ya kushindwa kujisamehe ya naua sana roho za wat😢 kusema ukwer m mwenyew nlikua mtu mmoja ambaye nlikua nashikilia sana watu nlioniumiza, nlikua nakosa sana anami pale tu napowakumbuka moyo ulikua ukiuma sana adi nikawa nashundwa kufanya vitu ikiwemo maomb nlikua nashundwa kabisa kusali mda wote nlikua mtu wakutaman kulipa kisasi. Nashukuru Mungu kwa tangia nianze kupata mafindisho ya hapa Siri za bibilia moyo wang umekua na aman na nimeshifuza nijisameje pia na kuwasameh wote walionikosea .kisas ni jua yake bwana sio kaz yangu tena kilipa kisasa kwamtu. Hat mtu akinikosea kias gan namwambia Mungu ingilia katiunisadia katika hii vita iliyoinuka juu yangu. Nimaomb yangu kwa Mungu awasaudie wote ambawo wameshindwa kuashilia watu ambao walishawakosea wamwambie mungu aingilie kati . Ubarikiwe mtumish wa mungu
Ñahitaji mtu wakuniombea . Nipo kwenye nyakati ngumu sana muda mrefu kiasi kwamba sioni umuhimu wa kuendelea kuishi hapa duniani.
Naomba unisaidie kuomba nipo wakati mgumu wa madeni yasiyousha
Ee Bwana Yesu naomba unisamehe kwa kadri ya fadhili zako sawa sawa na wingi wa rehema zako unirehemu Ee Mungu wangu, ni kweli nimekosa sana naomba unipe moyo wa kujisamehe mimi pia🙏🙏🙏🙏🙏
😢😢😢😢 Mungu nisaidie
Yesu sipo sawa kwenye kazi yang family yangu anaangaika baba naomba msaada wako maana kwa akili yang mawazo everything sipo sawa naomba msaada wako yesu please help me natumia sana ndani ya moyo
Kwa kweli tunalia sana lakini Mungu hawezi choka kutubebea shida zetu, asante sana pastor kwa haya mafundisho nimerudia sababu niligunzwa sana sana
nisaidiye bwana tupate kujuwa jisameye
kwako bwana kumetoka vyote tunaomba utusameye kwazile hali ambazo tumeshindwa elewa
Asante sana mtumishi wamungu kwamashauri😢
Eeh BWANA naomba ahadi zako na neema zako ziende na mimi kila mahali ,katika kukujua zaidi katika eneo la mahusiano na katika kuukuza uchumi wangu. Ninapindua vilivyopinduliwa na kurejesha vilivyopotea,wokovu wa Bwana unasambaa katika kila eneo la maisha yangu nami nashangilia maana Neno jipya linatendeka.
Mungu nisamehe nimechelewa kupata Haya maombi nibaliki Na Mimi niji samehe Na nisamehe wote walio nikosea asante Mungu maana wewe nimwema kwangu
Mimi ni mchungaji mama nime guzwa nahiyo neno hiyo ndiyo shinda yangu pamoja na washirika na wengi
Sante roho Mtakatifu,,, neno la leo nimekua fundisho nzuri eeh bwana Yesu tusamehe makosa yetu 🙏barikiwa mtumishi wa mungu
Bwana Yesu kristo najitakasa kwa damu yako iliyo takatifu. Nasimama kudai haki yangu iyoibiwa irudi sasa.Wapige adui zangu walioshikilia haki yangu eeeh Yesu Kristo. AMINA.
Mungu akubariki sana🙏🙏
Amen 🙏🙏
Ombi. Langu. nimjue Mungu nijue kusudi langu kwake Amina amina
Iyo NIKWELI KABISA ✍️
Nikumbuke Mungu kwenye biashara yangu, niondelee roho ya kurudi nyuma na roho ya udumavu kwenye maisha yangu. Ninajietenga na kila laana za ukoo
Amen God bless you
Amina Amina mtumishi wa bwana hakika neno lako ni kweli ❤
Naomba Mungu nisaidiekulinda Familia yangu wakapate kipato kikubwa wakifanyia kazi yoyote ndogo Wapandishe Cheo kwenye kazi zao serikalini wasipate vipingamizi nawatesi.
Mungu naomba univushe niweze kutembea mwenyewe bila kusaidiwa na mtu.Ponya ugonjwa wa Nyonga Mgongo na ganzi usinipite Mungu wangu niguse utakaponiguza nitaamka na kukimbia katika jina la Yesu.
MUNGU naamini unasikia msombi yangu usiku huu Ponya Mangojwa yote ndani ya mwili wangu YARUDISHE KWA WABAYA WANGU YAWARUDIE WAO WENYEWE
Tuko pamoja nasmini maombi haya yataniponya.katika jina la Yesu
Namuomba MUNGU aniondolee hii roho ya kutelekezwa na watoto. Eee Mungu naomba unitoe kifungoni nitafutwe na kuhudumiwa na huyu mwanaume nikumbuke Eee Mungu wangu.
Barikiwa Mtumishi WA Mungu
Eee Bwana Yesu, naomba msamaha Kwa Kila kosa nimewahi litenda, usikie kilio changu unisaidie Kwa rehema zako unikomboe kutoka Kwa vifungo na visuhizi unifuze Kwa mikono wako wa ushindi
Mungu afungule mlango uliyo funga juu yangu nafamiliya yangu
Amen
Yesu mim nimechoka kufanya kazi bila mishahara, uciku wa leo nikumbuke yesu, kaifungue milango yangu 😭 😭🙏🙏🙏🙏🙏
Ni kufata kutoka congo ville beni
Ee Mungu unipe biashara nzuri Nakuomba
Ibada ya leo imekuwa ya Baraka sana Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Amen Mungu akubariki sana Pastor kwa neno
Ameen
Bwana Yesu nahitaji uponyaji wa mwili na roho za familiar yangu(mimi Watton na wajukuu zangu
Ameni ubarikiwe pastor
Mungu waisrael nifundishe kuomba
Mtumishi naomba uniombee kupitia madhabahu takatifu niweze kupona maradhi yaliyonisumbua kwamda mrefu mguu na bega langu pia familia yang ili Mungu azid kuipa ulinzi,amina🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.