SOMA MISTARI HII YA BIBLIA,UANZE SIKU YAKO KWA USHINDI
Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 113
Bwana hii week nianze na wewe baba yangu kama ulimaliza vizur na Mimi 🙏
Amina
Anza na Mimi bwana unitanguli uniongoze katika juma hili lote na siku zote za Mwezi huu wa sita bila wewe sitaweza baba 🙌🙌🙏
Bwana mm nakuitaji kila siku kila saa ni tawale uniogoze amen amen 🙏🏿 🙌🏻 ☺️
Amen amen naomba MUNGU wangu wiki hii nianze na wewe nimalize na wewe peke yangu siwezi
Mungu nituze siku hii leo pamoja na week yangu, Napokea ushindi juu ya week yangu katika jina la yesu kristo amen and Amen 🙏🏻🙌👏🏿❤
Ameen ameen 🙏🙏🙏
Amen asante sana mtumishi
Amen.Asante Mungu kwa sababu naamini nimeanza wiki mpya kwa kuutafta uso wako na naamini Bwana mkono wako utanigusa na utazidi kunisaidia katika juma la wiki mpya hii.Amen🙏🙏
Amen Amen Asante Yesu
Ameen and Ameen napokea kwa jina la Yesu
Amen, ubarikiwe sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
Amen Amen
Mungu naomba nianze hii wiki nikiongozwa na wewe kwa jina la Yesu
Naamini mungu utatenda emungu nitiee nguvu 🙏
Amina mtumishi mungu aza na mimi
Naomba Mungu niushinde ulimwengu kwa kujua sana Mungu kwa kusoma Neno lake.
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kutusaindia kwakujuwa mistari ya biblia
Naomba Mungu wangu wiki hii ikawe ya Neema na baraka kwangu na watoto wangu pia
Amen asante pastor kwa hizi mistari barikiwa sana 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana Mungu wetu kwa ahadi tamu katka maisha yetu sifa zote ni zako amina.asante mchugaji Mungu akubariki 🙏🙏🙏
AMEEEEN Asante Mtumishi wa MUNGU
Anza na mm ee Bwana
Ameeen mung tusaidie tuanze nawew tumalize nawew
Ubarikiwe Sana Mtumishi Kwa Taratiibu Kuna Jinsi Unanitoa Utando Machoni na Najifunza Biblia Kupitia Wewe"
Mungu naomba kunipambanie nipate kupona na afute chozi kwangu nikapate ajira mwaka huuu voeti yangu vilivyotupwa shimo LA kaburi navikomboa kwa Jina LA Yesu aliye hai
Amina naomba nianze na mungu wikihii
Sylvia ameeen ameeeen Asante yesu nashukuru neno lako la kunivusha kwa kweli mungu aniona ndo akatuma hili neno Asante yesu🙌🙌🙌❤️ ubarikiwe mtumishi na mungu azidi kukutumia🙏🙌♥️
Naomba mungu anitangukir mbere yawiki hii Yakima tatu aende nami ameen 🙏🙏
Amen!ànaomba uwepo wa Mungu uende nasi wiki hii!!
Ameen ameen 🙏🙏🙏. Mutumishi wamungu mungu azidi kukuongezea maguta ,
Mwenyezi Mungu Naomba hii wiki niianze nawe na niimalize nawe bila wewe siwezi
Mungu ibariki wiki hii ikawe wiki njema yenye mafanikio na amani ya moyo wangu hata katika magonjwa yanayoniandama
Naomba nianze na Mungu wiki hii ya jumatatu kwa uwezo wa Mungu
eeee mungu nisaidie kila wiki iweya baraka kwangu na uzidi kunipa kibalii mbele za watu na maelfu ya watu na unijalie ajira serikalini kirahisi ee yesu😭😭
Amen
@tatubanadi4710
21 күн бұрын
Amen.anza nasi Bwana ktk huduma hii.anza na Kanisa lako Mfalme.HALELUYA.
Mungu naomba unione napoianza wiki hii🙏
Aminaaaa
Asante yesu Asante yesu Asante yesu kwa kuwa umesimama mwenyewe katika vita hivi ama kwa maroho na madhabahu ambayo yameinuka juu yangu mungu najuwa hutoniacha niaibike kamwe🙌🙌🙏❤️
@agnesspaul1866
20 күн бұрын
Amina
Ameen
Amen ubarikiwe mtumish
Amen Amen 🙏
Aminaa
Amen amen
Ameen❤❤❤❤
Ameeeen 🙏🏻🙏🏻
Amen amen amen nisaidie mungu jumatatu ya Leo niione nguvu yako kwa kupitia neno lako
Ameeeen 🙏🙏🙏🙏
Emeeen
Amen 🙌🙏
Amen 💯🙏🏻🤲
Amen 👏 🙏🏽
Amen 😊
Nakushukuru sana MUNGU kwa kuniweka hai. Niinue baba kiuchumi ili nonapofanya biashara ya kiwanja nilipe deni na kubakiza kitendea kazi.
Asante mungukwa kunipa siku ya Leo nashukuru mungu sikwa uwezo wangu nikwawezo wsmungu
Amen❤
🎉amen
Amen balikiwa sana ...
Mungu akubariki sana
Amen Ameeen
Aksante saana, nabarikiwa
Ameeeen stay blessed
Amen, Amen,Mbarikiwe sana👏
AMEN AMEN x 7 times 🙏🙏✝️✝️📖
Amen 🙏🏿 🙏🏿 🙏🏿
@user-ck1qx2td1z
20 күн бұрын
Wanaloga gest yangu b watashindwa
MUNGU Naomba nianze na Wewe ndan Ya hii week
Pasta nashukuru kwa mafundisho mazuri
Mungu nitie nguvu
Anza na mm mungu nipate afyanjema mmnafamiliya yangu
ameen naomba MUNGU wiki hii tuanze na wewe tumalize na wewe peke yetu hatuwezi
Asante mngu
Amen AHSANTE SANA mungu wangu 🙏🙏🙏naikambizi jumatatu hii mikononi mwako n week hii mungu pita mbele yangu 🙏🙏🙏
I love this 🙏
Amen mtumishi
Naomba nianze na Mungu week hii ikawe yenye kishindo na yanye baraka tele🙏🙏
Naombawe ndanamim kati kamaomby
Halleluyah Amen Amen and Amen
Naomba nianze na ww mungu katika wiki hii uniongoze kwa kila jambo🙏
Amen. Amen amen
🙏🙏🙏🙏
Ee mwenyezi Mungu nope hiwiki ikawe ya baraka na mafanikio
Amen Amen Amen Amen Amen Mungu niongoze katika week hii iwe ya baraka na amani katika maisha yangu
Naomba nianze na Mungu wiki hii ili anijalie kuyashinda mabaya yote aliyoyaandaa adui kwangu
Nitangulize mngu kila hatua ukaweze kniwezesha usiniebishe yesu ukawenamu kwakila njia nahitaji muongozowako katikajina la yesu
My god help me
Nikumbuke Yesu usiniache katika wiki hii nisikate tamaa maana majaribu nimengi
Tushike mkono EE BWANA utusaidie usitupite
Amina
Amen Amen
Ameen
Amen Amen 🙏
Amen amen
Amen 🙏
Amen
Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Hallelujah 🙌 Asante mtumishi wa Mungu 🙌
Amen 🙏
Amen 🙏
Amen 🙏
Amen
Amen