#LIVE

Ujumbe: Maombi ya kipindi kigumu kwako
Andiko: Zaburi 13:1-6
Pastor: Innocent Mashauri
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Пікірлер: 33

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Asante YESU nasubir naamni unaenda kufanya kwangu asante sana YESU Imani yangu nikubwa mno akina kinacho shindikana kwako kwangu Aminaaa

  • @SaraMpozi-nf1yk
    @SaraMpozi-nf1yk8 күн бұрын

    Amen

  • @user-bs4jl5ou2y
    @user-bs4jl5ou2y8 күн бұрын

    Amen 🙏 🙏

  • @user-vo9ck2vv2w
    @user-vo9ck2vv2w8 күн бұрын

    MUNGU nawakabidhi abel DEVOTHA DEBORAH MARTIN, MOURINE, LEE,NORLEE, IVA, NANGENOVIVI. NA WANA WA NDUGU ZANGU NAOMBA UWAPONYE NYAKATI NGUMU ZA DUNIA DAMU YA YESU IKAWE KILA KITU KWAO.

  • @RahabkRuth
    @RahabkRuth8 күн бұрын

    Bwana Yesu nahitaji msaada wa uponyaji Kwa tumbo langu

  • @dorahalfayo355
    @dorahalfayo3558 күн бұрын

    Amen, Asante kutufungua akili zetu, mtumishi wa Mungu.huwa tunapitia mambo magumu sana, Mungu nifunike na damu yako takatifu.

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Asante YESU ASANTE YESU

  • @oman5875
    @oman58758 күн бұрын

    Ee Mungu unisaidie sawasawa na mapenzi yako kwenye maisha yangu 🙏🏿

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Amina Amina Amina aminaaaaa

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Naomba toba na REHEMA YESU ❤

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Amina

  • @NeliaAmbele
    @NeliaAmbele8 күн бұрын

    Eee mwenyez mungu wajua ninacho pitia mda na wakat huu na majila haya. Baba nakukumbusha usiniacheee mim pamoja n familia yanguuu mungu nikumbuke na mimi

  • @MariaMlenda-mv1yh
    @MariaMlenda-mv1yh8 күн бұрын

    Asante yesu❤

  • @JosepherHerman
    @JosepherHerman8 күн бұрын

    Mungu wangu nione

  • @HeriethJoseph-cd8vk
    @HeriethJoseph-cd8vk8 күн бұрын

    Mkono wako usinipite Jehovah 🙏

  • @safialuhizo4979
    @safialuhizo49795 күн бұрын

    Hakika kupitia madhabahu hii nimekuona bwana pia ahsante Kwa kumtumia mtumishi wako innocent mashauri amefanyika chombo juu ya yote tunayopitia usituache bwana bariki watoto zangu na uzao wangu wote na mama yangu pia

  • @collethageorge512
    @collethageorge5128 күн бұрын

    Baba nisaidie nijue kusudi langu kwako 🙏🙏🙏🙏

  • @SamsonHezron-cx8nt
    @SamsonHezron-cx8nt8 күн бұрын

    Ee mungu naomba uiokoe familia yangu

  • @JosephineOkaya
    @JosephineOkaya8 күн бұрын

    AMEN AND AMEN 🙌🙏🙏

  • @JavanTresiah
    @JavanTresiah8 күн бұрын

    Ameen 🙏🙏🙏

  • @SYDEYLINET
    @SYDEYLINET8 күн бұрын

    HALLELUJAH BWANA usinipite kupitia NENO la Leo dhihirika kwangu,kwa huduma maitaji,watoto,mahusiano kwa kila jambo TENDA BABA asante mtumishi wa MUNGU kwa kutufungua macho AMEN 🙏

  • @DelaneyWambui
    @DelaneyWambui8 күн бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @florasylivand152

    @florasylivand152

    8 күн бұрын

    Mungu nipe macho ya rohoni,naomba usimame katika familia yangu Wadogo zangu nawaweka mikononi mwako❤

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Aminaaa ❤

  • @fatumakyese290
    @fatumakyese2908 күн бұрын

    Roho ya hekima na Roho ya ufunuo

  • @user-vo9ck2vv2w
    @user-vo9ck2vv2w8 күн бұрын

    Amina amina washika na mtumishi unae tuongoza MUNGU hatakuacha.

  • @user-xn3vq1gq3p
    @user-xn3vq1gq3p7 күн бұрын

    Ewe Baba nope majibu kuhusu kuondoka ktk maisha haya ambaho naenda nayo yasiyo na mafanikio, nijulishe kipi nifanye nikafanikiwe mm na familia yangu na uzao wangu Kwa baba na mama Amina, kwanini u Baba.

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa8 күн бұрын

    Mungu na kugabizi maisha yangu na family yangu utuhongoze utakavyo

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Tamalaki mwenyewe YESU katika ndoa yangu YESU naomba msaada wako kwangu akuna kinacho kushhinda YESU NAIMAN SITOAIBIA HUU MWEZ NTAKUSHUUDIA YESU ALLELUYA

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Najua MUNGU UJANIACHA UPO NA MM KILA WAKAT NA UNASABBU NA MIMI

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina8 күн бұрын

    Amina

  • @AgnessWema
    @AgnessWema8 күн бұрын

    Amen

  • @EdnahNazi
    @EdnahNazi8 күн бұрын

    Amen