KUMPENDA MUNGU PEKEE HAITOSHI // JIONGEZE
Ujumbe: Ongeza bidii ya kumtafuta Mungu
Andiko: Yer 29:13-14
Pastor: Innocent Mashauri
Yer 29:13-14
Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Nami nitaonekana kwenu, asema BWANA, nami nitawarudisha watu wenu waliofungwa, nami nitawakusanya ninyi, nikiwatoa katika mataifa yote, na katika mahali pote, nilikowafukuza, asema BWANA; nami nitawaleta tena, hata mahali ambapo kutoka hapo naliwafanya mchukuliwe mateka.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 74
Amen
Hakika Roho mtakatifu atuletee zaidi mafunzo mazuri❤❤, wakati washida ni mbaya sana hata moyo hulegea nguvu ya maombi Huwa inatoka Asante sana Mtumishi wa MUNGU Amen 🙏 Bibilia inasema tumtafute MUNGU Kwanza ❤
Amina
Mungu naomba unipandishe kiroho na unipenguvu ya maombi
Amina amina amina amina amina amina amina🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amina 🙏
Amen,sasa ni wakati wa kufanya vitu pasipo mazoea,Nakuomba Mungu upokee maombi yangu na unitendee mwana wako kadiri ya mapenzi yako, Amen...
Amen and Amen 🙏 🙌 👏
Akubaliki MUNGU kwa yooooooooote ufanyalo
Ameni Asante roho mtakatifu kwa muda na wakati kama huu ni kwa neema yako tu
Sylvia amen amen amen asante bwana🙌🙏❤️
AMEN AMEN🙏🙏✝️
Tuokoe ee mungu 😢
Asant sana
Emeeen
Amen 1🙏🙏
Amen🙏🏿
Amen Amen asanti Mungu
Sitaki kuwa wa kawaida kwa jina la YESU
Asante sana MUNGU wangu Kwa kunipa nisikiye haya malifa yako GUPITIA SIRI ZA BIBLIA Mungu aguutunze sana my pasta INNOCENT MASHAURI EEH MUNGU BABA YANGU , nipe vugu ya kugutafuta wakati wote.... Nakatara roho ya uvivu kwa jina la Yesu kristo 🇧🇮🇸🇦
@neemariziki4731
11 күн бұрын
Weuh umejaribu
Asante mungu kwa rehema zako na huruma zako nyingi,naomba unisaidie na uniwezeshe kukutafuta uso wako
Amen naomba Mungu uniongoze natamani kufuata njia zako😭😭😭😭🙏🙏
Amen 🙏 asante roho Mtakatifu 🙏
Mungu nikumbuke Niko hapa
Mungu anisaidie
MUNGU wangu nisaidie kuwa na nguvu za kuomba na kusoma neno lako
Ameen asant mtumishi dah nimepata kujifinza leo
Mungu nikumbuke nipo hapa amen
Mungu wangu naomba unisaidie nipate kukua kiroho😭😭😭
Amen Amen 😢😢😢
asante mungu wangu
Ashate mungu 🎉
MUNGU wangu ninakushukuru kwa ulinzi wako na ninakuomba uniimarishe kiroho na kimwili sherani asipate nafasi tena ndani yangu.Simamimia familia yangu baba ipige hatua ktk kukuona.
Asante pastor kwa neno la Leo na Mungu azidi kukubariki zaidi na zaidi🙏🏿
Amee 👏👏👏
Amen 🙏
@kingsleymwatati5350
14 күн бұрын
Amen.nahitaji maombi ya kunitowa kwa madhabau ya kifamilia.napata magonjwa mara kwa mara. Kingsley mwakitele
Yani pastor ni kama unaniambiaga mm barikiwa sana Mungu aendelee kukuza
Eee mungu naomba usiniache mwenyewe simama nami
True mtu wa Mungu
Ee Mungu nsaidie kukujua saidi
Mungu nisaidiee mimi nimechoka
Eeee mwenyez mungu nisaidieee mimi
Ee mungu wangu ni fanye kukuwa kiroho
Nisaidie Yes wangu nisipite 😭😭😭
🙏🙏
Eeeeh mungu nipe nguvu🥺
Amen Mungu akubariki mtumishi kwa mafudisho mazuri
@GodfreySadiki
14 күн бұрын
Amen
❤❤❤❤
Jaman mm huyu YESU NISAIDIE
Habali mtumishi mungu akutie nguvu naomba niunganishe mimi ni mgeni humu
@neemariziki4731
11 күн бұрын
Wewe ni habari
Mungu asante kwa kibari cha siku mpya onekana kwenye maisha yangu ,nipe nguvu ya roho mtakatifu kwenye maisha yangu aniongize kwa kila jambo katika ulimwengu wa roho nizishinde. Mipango ya. adui
Thanks load for this opportunity
Mbon Jana skufanikiwa😢 kuona
Amen ee mwenyezi Mungu naomba unisaidie juu ya maisha yangu ili niweze kukujua wewe zaidi🙏🏿🧎
❤😂
MUNGU WANGU naogopa
MUNGU NAOMBA nisiwe WA kawaida
Amina
Amen
❤😂
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen