NJIA ILETAYO MAJUTO KWAKO // CHUNGUZA

Ujumbe: Mungu auchunguze moyo wako
Andiko: Zaburi 139:23-24
Pastor: Innocent Mashauri
Zaburi 139:23-24
Unichunguze, ee Mungu, unijue moyo wangu, unipime, uyajue mawazo yangu. Uangalie kama mwenendo wangu ni mbaya, uniongoze katika njia ya milele.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Пікірлер: 36

  • @marymaria6544
    @marymaria654423 күн бұрын

    Amen asante roho mtakatifu,ndio bwana naomba uchunguze Moyo wangu ,mawazo pia uchunguze njia zangu baba🙌,baba naomba unitengeze Tena bwana natamani kukuwa kiroho yesu nisaidie🙌🙌🙏❤️

  • @ElikaMsenga
    @ElikaMsenga19 күн бұрын

    Ameni, Mungu unichunguze uujue moyo wangu

  • @SaraMpozi-nf1yk
    @SaraMpozi-nf1yk19 күн бұрын

    Ee mungu chunguza moyo wangu maana mimi nimwenyeye dhambi

  • @NaomiBahat-bz6ri
    @NaomiBahat-bz6ri23 күн бұрын

    Mungu nisamehe mimi ni mwenye dhambi

  • @user-qe6ie8jv5b
    @user-qe6ie8jv5b23 күн бұрын

    Eeh,Mungu wangu uchunguze nafsi yangu

  • @NaomiBahat-bz6ri
    @NaomiBahat-bz6ri23 күн бұрын

    Eeee Mungu chungu za moyo wangu

  • @joyceshirima207
    @joyceshirima20723 күн бұрын

    Amina

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa23 күн бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako akika Yana nitiya moyo sana

  • @user-tc9vc3po1q
    @user-tc9vc3po1q20 күн бұрын

    Mungu Akubariki mutumishi wa mungu.tunabarikiwa.nakuponymwa rohoni

  • @JoyceMlelwa
    @JoyceMlelwa23 күн бұрын

    Peleleza moyo wangu

  • @EliasLumbeth
    @EliasLumbeth13 күн бұрын

    Amina san mutumshi kwakipind kizuli sana

  • @kaisammy5848
    @kaisammy584823 күн бұрын

    Ameen

  • @leahisack7164
    @leahisack716423 күн бұрын

    Asante roho mtakatifu.asante mtumishi wa Mungu hakika nimepokea

  • @StyveKitchele
    @StyveKitchele19 күн бұрын

    Amen

  • @aminajuma1156
    @aminajuma115623 күн бұрын

    Ameeen

  • @ShamsaMramba
    @ShamsaMramba23 күн бұрын

    Ameen 🙏

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo23 күн бұрын

    EEE Mungu naomba unisaidie mwanao 😭😭

  • @sarahsela8137
    @sarahsela813723 күн бұрын

    AMEN

  • @user-ut9xt6mo2u
    @user-ut9xt6mo2u23 күн бұрын

    Asante mchungaji naanza kuyapata mafundisho.mema

  • @janehabakuki4564
    @janehabakuki456423 күн бұрын

    Mungu wa mbinguni akutunze mm nilijikuta najiunga tu naamini ni Mungu aliniwezesha niwe kwenye mikono sslama

  • @bhavinjani4415
    @bhavinjani441523 күн бұрын

    MUNGU Akubariki sana pastor yaani mm sijui niseme ila MUNGU aikumbuke kazi yako si Bure nakuombea sana

  • @belinakabunduguru
    @belinakabunduguru23 күн бұрын

    Kiukweli kimsikia Mungu live inaleta hamasa sana ya kukua kiroho kwanza huchoki hata kuomba Asantee sanaa Pastor Inno

  • @perisriziki1592
    @perisriziki159223 күн бұрын

    Ameeeen and Ameeeen

  • @joankalegi
    @joankalegi23 күн бұрын

    Zaburi 139:23-24,,,EH MUNGU PELELEZA MOYO WANGU 🤲🤲😢😢

  • @brotherdeblo1132
    @brotherdeblo113223 күн бұрын

    Ubarikiwe Pastor maana unaniimilisha sana na kunifunza mengi kuhusu Safari niliyo nayo.🎉

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka376223 күн бұрын

    Emeeen

  • @zamoyonandrew7239
    @zamoyonandrew723923 күн бұрын

    Ee MUNGU uchunguze Moyo wangu AMEN❤️🙏❤️🙏🙏

  • @TehsHdhdh-lm3ow
    @TehsHdhdh-lm3ow23 күн бұрын

    Amen be blessed pastor

  • @JaneNkata-tq5oi
    @JaneNkata-tq5oi23 күн бұрын

    Ameen

  • @setds-ey2qs
    @setds-ey2qs23 күн бұрын

    Amen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter170923 күн бұрын

    Ameen

  • @user-gc7xt5sf7q
    @user-gc7xt5sf7q23 күн бұрын

    Amen

  • @lydiacyrus-pl9mw
    @lydiacyrus-pl9mw23 күн бұрын

    Amen

  • @CatherineDavid-bl1jc
    @CatherineDavid-bl1jc23 күн бұрын

    Amen

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi743823 күн бұрын

    Amen

  • @user-gc7xt5sf7q

    @user-gc7xt5sf7q

    23 күн бұрын

    Nikumbuke yesu wangu mahali nipo sai