UKOSEFU WA NGUVU ZA MAOMBI // HATUA ZA KUCHUKUA HARAKA...
Ujumbe: Umuhimu wa Imani katika maombi yako
Andiko: Marko 5:34
Pastor: Innocent Leonard Mashauri
Marko 5:34
Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako.”
Mara nyingi sana tumekuwa ni watu wa kuwekeza nguvu nyingi kwenye eneo la maombi pekee, na matokeo tunayoyapata yamekuwa sio ya kuridhisha kabisa.
Hali hii imewafanya wengi wetu kukata tamaa na kuona kwamba maombi hayasaidii, Kitu pekee ambacho walikosa kukizingatia katika maombi yako ni IMANI.
Somo hili lina muendelezo wake, zingatia kufuatilia kwa ukaribu sana na hautadharau wala kuchukulia kawaida maombi yako.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Пікірлер: 125
Ee MUNGU naomba unipe neema ya kuomba katika roho na kweli 🙏 AMEN
Amina
Eeeh mung nitie nguvu na Imani na hekima na upendo amen 🙏🙏
Naomba kujazwa na nguvu za Roho mtakatifu nijue kuomba
Amen pasta yote unayo yasema unanigusa mimi pastor
Mungu nisaidie niwe mwonbaji Roho mtakatifu wewe ndiwe msaidizi wangu
Mungu atusaidie,,,
Naomba kupitiya huruma na rehema zako Mungu, uni jaliye Neema zako na zaidi unipe nguvu n'a muda wa maombi, tuma roho mtakatifu ani fundishe Ku omba.
Amen
Ameen tuombee tuwe na nguvu ya maombi mutumish
Amen.Naomba Mungu atakase fikra zangu niache kuwaza mabaya
Nwezeshe NAMI roho mtakatifu nakuhitaji yesu 🙌🙏♥️
Ee Mungu niwezeshe kuomba na umpangilio wa maneno vizr na Roho wako Mtakatifu unijaze
Ee Bwana Yesu naomba unipe neema ya nguvu za kuomba,amin
Asante mungu Kwa kupitia mtumishi wako nimejifunza kitu
Mungu nipe nguvu za kuomba Amina
Amen. Mungu. Aniponye. Magojwa. Niliyonayo. Pamoja. Na. Ndoa. Yangu
Ameen Mungu nisaidie niwe muombaji zaidi na zaidi
AMEN,, MUNGU NAOMBA UNIPE NEEMA YA NGUVU ZA KUOMBA 🤲🤲
@berthabuseleke598
Ай бұрын
Mtumishi wa Mungu mie ni mmoja wa watu unaongea kwa sasa hivi. Nimekata tamaa sana Mungu wangu nishike mkono nimechoka
Mungu nipe nguvu zakuomba
BWANA YESU NAKUOMBA UNIPE NGUVU YA KUOMBa🙏🙏🙏🙏🙏
Amen mtumish unanifundisha zaid
Asante Mungu
Ee baba mungu naomba unipe moyo wakufanya maombi
Mungu naomba nipe nguvu ya kuomba
YESU nijaze shauku ya kuomba
Naomba Roho mtakatiifu uniwezeshe nikujue zaidi jinsi ya kuomba🙏🙏🙏
Amini
Eeeh mungu nipe uwezo wakujua kuomba 🙏
HALLELUJAH eeh BWANA uu niinue kwa imani nisimame,maombi yangu yafike kwako BABA 🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙏🙏🙏 tutetee MUNGU
Eee MUNGU niwashie taa nipo gizani sioni mbele Amen 🙏
Mungu nisaidie niwe na na mzigo wakuomba
Mungu nisaidie kujua kuomba
Amen mungu npenguvu ya kuomba nkukumbuke ww yesu siku zote usiniache pekeyangu nakuhitaji ww siku zote zamaisha yangu
Amen Mungu naomba uniongoze katika hii siku yako takatifu pia na watoto wngu neema yko ikawe juu yetu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen Amen 🙏
Holy spirit coming to me now and staying with me forever and ever in jesus might name amen and Amen 🙏🏻🙌👏🏿👏🏿❤❤
Eee mungu Wa Neema kubwa naomba Neema yako baba niweze kushinda majaribu🙏
Mungu anisaidi niwe mombaji nijawakati mungumu
Mungu wa mbinguni ninaomba nione mkono wako, roho wako akae pamoja nami, mwanga wa mbinguni uangaze maisha yangu, nijalie niwe mtu wa maombi, nikuone Bwana kupitia maombi 🙏 barikiwa mtumishi Kwa mafundisho Bora🙏
Amen Mtumishi 🙏
MY GOD never leave me alone
Yesu nipo hapa 😭🙌🙌
Amen and amen mungu niongezee imani
Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa kutufunulia Siri hii juu ya faida ya kuomba, Mungu akubariki katika Jina la Yesu
Mungu wangu niongezee nguvu ya kuomba zaid na zaid
Amen 🙏 Asante Mtumishi wa MUNGU,❤
Ameni Mungu wa Mbinguni akubaliki Sana mtumishi Mungu atupe nguvu za kushinda Yote na tuwe na imani iliyo thabiti mbele za kiti cha enzi
MUNGU naomba nifundishe kuomba vzr 🙏
Mungu naomba unizidishie nguvu ya maombi pia naomba univushe kwenye jarbu langu 😢
Sylvia amen Asante roho mtakatifu ,eee mungu wangu naomba neema ya nguvu za maombi ,pia roho mtakatifu aniongoze niingiapo maombi natamani sana kuwa mtu wa maombi zaidi🙏🙏
Ameen mtumishi 🙏🙏
Bwana nisaidie kutoamini kwangu.barikiwa mtumishi wa Mungu
Amen. Mungu baba naomba niongoze katika ibada yangu
Asante kwa mafundisho mazuri naomba Mungu anisaidie nijifunze kuomba kwa lmani amina
Ubarikiwe mtumoshi
Amen,naomba kujazwa na roho mtakatifu
Mungu nifundishe kuomba
Amen Amen Mungu akubaliki sana Pastor
Ameni ubarikiwe
Asante mungu Kwa kunikumbusha
Mungu nisaidie nijue kuomba..
Amen nioombacho kwa mungu kitendeke maana nimeomba bila kuchoka lmani yangu kwayesu yatendeke nipe matokeo mema Kilicho moyoni mwangu kitendeke uzima wangu familia yangu na mamangu apone magonjwa mwilini mwake namimi nikiwemo kazi yangu ifunguliwe nipokee muujiza wako bwana yesu nimepokea baraka zako amen
amina mtumishi mungu akubarik
Amen kabisa 😢
Mungu achilia neema ya mtu sahihi wakunishika mkono 😢
Mungu npeguvu zkuoba
Emeeeen
Amen 🙏🙏🙏
Mungu naomba nisaidie niwe na imani ya kutosha na kiu ya kuomba na kusom neno Amen🙏🙏🙏
Mungu nakuomba nipe moyo wa nyama na niwe na amani kwenye moyo wng wale wanaoniandama Kwa kunipitisha kwenye majaribu mungu shuhulika nao mungu
kaka mashauri nitakutafuta kwa ajili ya maombezi katika madhabau yako
@sirizabiblia5276
Ай бұрын
Karibu sana
Amen Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Bwana YESU naomba unisaidie nitoke kwenye haya mapando ya mwovu kupitia jina lako takatifu
Mungu naomba unijaze roho mtakatifu niko APA mungu 🙏🙏🙏
Amennnn
AMEN🙏
Amen Amen 🙏🙏🙏
Amen nabalikiwa sana mungu akutunze baba mafundisho yako yanajenga kwakweli
Asante mtumishi naomba MUNGU anipe roho mtakatifu nijue kuomba
Nitie nguvu katika kuomba
It's always a matter of time, God hear prayers of all people but he answers in his own time,he answers others immediately and others delay, even there are other people who doesn't pray but vitu zinawaendea tu vizuri because mungu ni wa neema hakuna ati watu wanajua kuomba na wengine hawajui that's why prayers are not answered
Aki nimejaribu kutuma sadaka imeshindikana nimejaribu sana
@sirizabiblia5276
Ай бұрын
tuwasiliane, +255 758 708804
Mara. Nyingi. Na. Hatuja. Faidika mungu. Atusaidie
Amen.
Mungu,akubariki,na,kujaze,roho,wake,uzidi,kukuza,watu,wake,wazidi,
Mungu wangu nipe nguvu za kuomba nimekata tamaa na cjui ni kwa nini nisaidie Mungu wangu
EE Mungu nisamehe zambi zangu zote'unikumbuke kwa mayitaji Yangu .uniwongeze siku za kuyishi kama ezekiel unipe na mwisho neno
Sijui. Kuomba
Ameni ameni
amen
Mungu tusaidie ktk magumu yetu. Roho mtakatifu tu fugue ktk kuomba kwetu.
elizasimba mungu nisaidie nikujue wewe
Mngu wngu nifuze kuomba baba nijaze roho yako mtakatifu ebenezah
Mungu wangu naomba unijaze nguvu ya roho mtakatifu niwe muombaji zaid na zaid kupita kawaida plz nakuomba
Lord 🙏 help me known how to pray More and more
Pastor naomba umuombee mume wangu arudishwe north mara kikazi pastor naomba unisaidie
Roho mtakatifu nisadie
Mtumishi wamungu niombee mandeni yamenifunga kabisa kabisa please
Bwana asifiwe Mtumishi mimi ni mmojawapo ambaye napenda kuomba LAKINI nikianza kuomba maneno yanapotea na mistari ya biblia inapitea please help me nipo kimara temboni Tanzania