MAOMBI YA UPONYAJI -PASTOR MYAMBA
#HOUSEOFVICTORYCHURCH #PASTORMYAMBA #LIVEHVCSERVICE
This is the Official KZread Channel for Pastor Emmanuel Myamba. Is a Pastor of the HOUSE OF VICTORY CHURCH , This church is Headquartered in Kigamboni-Mbutu (Dar es salaam) Tanzania
-----------------------
For Offerings / Tithe and Seeds please send through Western Union / Money Gram / RIA and M-PESA: NETWORK: Vodacom, NUMBER: +255 744 982 517, NAME: Emmanuel Myamba, COUNTRY: Tanzania
-----------------------
Follow Us:
Instagram: / pastormyamba
Facebook: / pastor-myamba-12973112...
KZread: / pastormyamba
Call: +255 744 982 517,+255 713 842 123,+255 686 953 030
Пікірлер: 160
Nipo nchini Kenya napenda nitoe sadaka yangu kwa ajili ya mke wangu,anaumwa umwa hovyo.
Nalikua mgonjwa wa tumbo na kujawa na hofu lakini Mungu kaniponya kupitia maombi haya amen! Amen amen
@user-zj8hz5rv3q
3 ай бұрын
Baba mwanangu rehema abasi amepigwa kiuchumi apati mume muombee afunguliwe
Amen Mtumishi Mungu Naomba uendelee kimponya mtoto wangu
Mungu nipone mwili wangu kupitia maombi haya
Asante yesu nimepokea uponyaji katika jina la yesu
Bwana yesu uniponye na magnjwa ya baridi miguuni ,mishipa ya damu nyama na mifupa Baba uskie maombi yangu Amina
Mungu uniponye niweke huru na magonjwa rejesha afya yangu
Asante yesu kwa uponyaji, huu nalikuwa mgonjwa sasa ni mzima
Namshukuru mungu kwa uponyaji kichwa na shingo vilikuwa vinauma sana na masikio yalikuwa yanapiga kelele baada ya kusikiliza maombi nmepata utofauti mkubwa sana mungu azidi kukubariki mtumishi wa Mungu
Asante kwa uponyaji wa migiu magiti ya muda mrefu .Mungu nijalie kutembea vizuri sasa.kwa neema yako.😢❤
Amen 🙏
Mungu niponye Allerge kwa jina la yesu
Nimepona katika jina la yesu❤
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu nilikosa amani na kuona uzito ndan ya moyo sasa ni mzm nina aman kupitia maombi yako🙏🙏
Napokea uponyaji Kwa jina la yesu mungu akubariki sana pastor myamba
Asante mungu wangu kwamtoa baba angu katika operation Asante mungu wangu 🔥🔥🔥🔥🙏🙏✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
Nashukuru Kwa maombi haya mama alikua anakohoa sana usiku huu nimeshika kifua changu badala yake ameacha kukohoa na amepata usingizi shetani ameshindwa Kwa jina la yesu Asante yesu
Kichwa changu kilikua chaniuma shetan ameshidwa katika jina layesu Amen
Napokea uponyaji kwa jina la Yesu
Ameen Pastor
Mungu niguse katika afya yangu na kazi yangu na biashara yangu na mahusiano yangu na dalia zumba
Amen. Maombi yamemponya jicho mwanangu. Asante Mungu
Mungu aniponye amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢😢
Bwanayesu asifuliwe nashukuru mngu nilikua naumwa na mgongo nshku saii nskia vzri amen
Ameen Mama angu LOY MGELLA na dada angu ELINAMI AKYOO wapokee uponyaji sasa iv wakawe Huru na wapokee Nuru Ameen
asante mungu nimepona Kwa jina la yesu
Asante yesu nilikuwa naumwa. A tumbo sasa iv limepo poa Asante yesuekwa uponyajk
Naamini. Nimepokea. Uponyaji. Kwa. Jina. La. Yes. Ameen
Naomba yesu uniponye magonywa tote kwenye mwili wangu naomba namwanangu utuponye leo
Ameeeeen asante Yesu nimepona Ameeen mtumishi ubarikiwe sana asante kwamaombi haya
Nataka nipone jino Lina uvimbe in name Jesus
Mungu niponye maradhi yangu yote ktk jina YESU clisto
Ameni🙏🙏🙏
Nimepokea. Uponyaji. Wa. Vichomi. Kwenye. Mbavu. Asante. Yes. Kwa. Kuniponya. Ameen
Nimepona moyo wangu Mungu akubariki uponyaji wangu udum
Amina naomba mungu aniponye mifupa yangu iliyovunjika mara tatu iunge kwa jina la yesu
Mungu niondolee enia umeme urudi nipate pesa kwa njia rahisi nilipwe madeni yangu judico anipende
Ameeeeeeeeeen 🔥🔥🔥🙏🙏✨✨
Asante Yesu KWA uponyaji, watataharika, hawataweza.Wamekuja KWA njia 1, watatawanyika ktk njia 7.
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Bwana Yesu mponye mamangu kipenzi anatungwa na mwiba chini ya mvavu ya left
Asante mungu wangu kwamyenyua Tena 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✨✨✨✨✨
Ameen 🙏🏻
Ameen bwana yesu asifiwe nshukur mngu nilikua naumwa na koo lkn saii nshukuru mngu amenfugua katk jinalayesu
Naamini nimepona katika jina la yesu kristo wa nazareth alie hai
Naomba mkumbuke kwenye maombi maana ndoa yangu inasumbua Sana mtumishi wa Mungu
Mungu ningome imalasana
Ameeeen nimepona kwa Jina Yesu
Ahsante Bwana YESU kwa uponyaji wako!!!
Mungu najuwa kwamaombi haya mimi nimzima kabisa Asante yesu kiristo
Nimetuma sadaka yangu , maombi Yako yanazidi kunisaidia
Mtoto eliza pokea uponyaji kwa Jina la Yesu🙏🏾
Amen 🙏🏽 nimepona katika jina la yesu kristo 🙏🏽barikiwa mtumishi
Mungu niponye UTI imekua sugu kwangu🙏🙏
Nashukuru mungu kwa kuniponya pamoja na familia yangu amen,
Amen🙏🙏
AMEN
Baba mungu 🙏 kupitia maombi haya baba angu akote operation akiwa hai🙏🙏🙏🙏😭😭😭
@ChuraGrace-fj2gy
11 ай бұрын
😊
Ameen
Amina mchungaj bawasili ilinibana sana kwasasa naendelea vizur
Amina mtumishi nitatoa sadaka yangu ya uponyagi
Mngu anifungulie njia nkaweze kujifungua salama nmeumwa mda mlefu na sjifungui mngu tenda juuu ya hili kwa neema yako njia ikafunguke
Nimepokea uponyaji katika jina la yesu
Ameni napokea upon yagi kwa jina la yesu
Nimepona Kwa jina la yesu me sio mngonjwa tena
Ameen 🙏🙏
@Baraka-jm4lx
3 ай бұрын
Asante Mungu baba kwa uponyaji
Asante sana pastor Kwa maombi Yako yameniponya high blood pressure sahii nko swa mungu akubariki
I received i received i received i received
Amen baba napokea uponyaji kuanzia sasa Niko course lakini nilipata maumivu ya miguu gafula kw a maombi haya nimepona
Napona katika jina la yesu
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana mtumishi, nashukuru kwa uponyaji
Ameen malika mgonjwa sasa ni mzima
healings apon me 😢😢 3weeks kichwa mfukulizo God
😇😇ameni tumepona kimwili na kiroho
Napokea kwa jina layesu 🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi kwa maombi ubarikiwe sana
Amen amen amen amen
Ameen nimepokea uponyaji
Ameen 🙏 🙏 🙏
nimepona amen
God please heal me
Ee mungu uniponyaij
Asante kwa maombi ya uponyaji
Napokea uponyaji kwajina layesu
Nimepona Kwa imani
Amen I received
Nlikua naumwa kichwa hakisikii dawa miguu kifua nmechoka kumeza dawa Kabisa miezi 2 sasa lkn Jina la yesu kristor alie hai hakuna jambo linalo mshinda Asante paster mungu azidi kukuinua
Nime pona kwa jina la Yesu na sadaka yangu ita kufikia ivi punde tu kaka I’m from Canada pia naitaji ku fanyiwa maombi sana kaka
Amen 🙏🙏🙏be blessed
Amen Amen
Ameen and Ameen
Napokea ameni
Napokea uponyaji
Asante yesu sofa kwako
Asante Yesu maumivu ya moyo yamepungua Sasa nahc usingizi maana nilishindwa kulala
@susangab5854
11 ай бұрын
Nimepona kwa Jina la Yesu Kristo
Naomba nipoke uponyaji
.Ee yesj asnte muniponya
Napokea afya
Nimepona tumbo Kwa imani