MAOMBI YA USIKU - Pastor Myamba
Фильм және анимация
#HOUSEOFVICTORYCHURCH #PASTORMYAMBA #LIVEHVCSERVICE
This is the Official KZread Channel for Pastor Emmanuel Myamba. Is a Pastor of the HOUSE OF VICTORY CHURCH , This church is Headquartered in Kigamboni-Mbutu (Dar es salaam) Tanzania
-----------------------
For Offerings / Tithe and Seeds please send through Western Union / Money Gram / RIA and M-PESA: NETWORK: Vodacom, NUMBER: +255 744 982 517, NAME: Emmanuel Myamba, COUNTRY: Tanzania
-----------------------
Follow Us:
Instagram: / pastormyamba
Facebook: / pastor-myamba-12973112...
KZread: / pastormyamba
Call: +255 744 982 517,+255 713 842 123,+255 686 953 030
Пікірлер: 311
Nafunguliwa na roho za madeni achia maisha yangu kwa jina la Yesu kristo
Asante sana mchungaji kwamaombi haya nasikilizaga maombi Yako kilasiku na Maisha yangu kwasasa mungu amenifungulia baraka amen
Maombi haya ni Kama Mungu kakufunulia kuhusu maisha yangu yote
Usiku huu nawaunganisha watoto wangu keira and bernice mungu akawafungue
Leo ni mara yangu ya kwanza kuomba pamoja nawe uck huu pastor , namshukuru mungu Kwa dada aliyeniekekeza kuomba pamoja nawe ,nateswa na roho za majini mahaba ,Kwa imani napokea uponyaji katika Kila eneo
Namuungamanisha mtoto wangu Dorothea katika maombi haya nguvu za kichawi ziweze kumwachia mtoto huyu kwa jina la Yesu kristo Mungu aliye hai
Namukabidhi rafiki yangu Emily Nyaboke ambaye ni mgonjwa kure Iraq apokee uponyaji katika jina la Yesu kristu wa Nazareth aliye hai Amen
@stellajohn5647
Жыл бұрын
Amen
Ameeen nimepokea katika JINA LA YESU 🙏
Kuanzia Leo hofu na woga vimenitoka avina nafasi tena katika jina LA yesu amen
Namuunganisha mwanangu zai katika mambo haya mwenyezi mungu akamponye kila aina ya mambo mabaya
Naamini nimepona katika jina la Yesu
Asante ubarikiwe mtumishi wa mungu❤❤
Kupitia maombi haya mungu ananitnda jsmho langu barikiwa sana
Asante mungu amen amen amen amen amen amen
Mchungaji nimefunguliwa kupitia maombi haya mungu akubariki sana
Asante nabarikiwa sana na haya maombi asante Yesu kwa kutupatia huyu mtumishi
Asante mtumishi wa bwana nimeuona mono wa bwana niripokuwa katka maombi mm nirikuwa ngonjwa sana kira Kona ya mwiri nirikuwa naumwa baada yakusikia maombi haya nikahisi kumwa sana kichwa sasa mm ni mzima Mungu akutunze mtumishi
Amin
Napokea maombi haya kwa jina la yesu
Amina
Ameni mtumishi wa Mungu
Asante yesu kwa kiniekq huru
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe mtumishi Tokeya nihanze skiya haya Mahombi sinaga tena stress nyingi Niko Salama kabisa nimeshapokeya Amani kabisa ubarikiwe Mcungaji
Asante Yesu, asante Yesu
Amen amen amen
Napokea uponyaji naamini Mungu wangu anatenda kwanzia Sasa nilikuwa na maumivu ya tumbo na nimeota ndoto mbaya lakini Kupitia maombi haya nimefunguliwa 🙏🙏
Amen
Be Blessed Man Of God, I never knew that you're a Pastor in Really life, I thought you only Acted that in the Bongo Movies. Though through acting I suspected you must be one of the Godly Men.
@mariammariamjuma9233
Жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
naomba niombee mchungaji roho ya uzinzi inanisumbua sana
Eeh mungu wa majeshi ni we unae nijua
Amen 🙏🙏 may God bless you
Amen amen pastor myamba,,aki nlikua sikujua lakini kuna dada fulani amenipostia haya maombi kwakweli naamini yatanisaidia,,bariki wa xna
Ubarikiwe pastor myamba uko wapi
AMINA Bwana yesu asifiwe kabisa
Amen 🙏 🙏 🙏
Asante mungu maombi yameonyesha miujiza mda huu nilikua nakabwa nilikosa amani kabisa
@winiemau4154
Жыл бұрын
AmenAmen
Amen mch🙏🙏🙏
Nakataa ndoto mbaya usiku huu ktk jina la yesuuuh
Mtumishi mungu akubariki mm nilikuwa naumwa na nyonga nimekusikiliza nimepona mm naitwa Mariam naishi Europ nimepona Kwa jina la yesu Kristo WA Nazareth nikweli nimepona
naomba niombee napitia mambo mangu sana baba niombee baba
Amen 🙏 lord bless you and your family
Amen 🙏
Napokea uponyajikwa jana last yesu
hallelujah nahisi nko huru kwa jina LA yesu 🙌
Amina napokea
Asante Yesu
Ameeeeeeeen asante
Amen Amen ubarikiwe ❤❤❤❤❤❤❤
mungu ni mwema naamini na kwa wote wamuaminio mimi ni muislam ila nashangaa natetemeka na kutoa machozi
AMEEEN MUNGU akubariki sana
Aman thx ☺️ asant San
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen napokea
Amen 🙏🙏
Amen.
Mungu ni mwaminifu siku zote hakika wema wake nimeuona Ahsante sana Yesu kristo kwa uponyaji wako juu yangu 🙏
@elizabethmichael6682
Жыл бұрын
Asante pastor si mara moja nimesikilza maombi yako napokea uponyaji Mungu akubariki.🙏🕊️.
amen
Amen 😮
nmefunguliwa nimepokea🙏🙏🙏 ubarikiwe sana baba mchungaji
Nmepata Amani usiku huu nmefunguliwa na vifungo vya shetani kwa jina la YESU KRISTO WANAZARETI MUNGU ALIYE HAI na ninapokea kufunguliwa kwa jina la YESU KRISTO AMEN
Thank you Jesus 🙏 God bless you pastor
Asante pastear
Toka nianze kusikiliza maombi Aya yausiku nimepokea uponyaji waali yajuu biashara yangu imepona mwili wangu nimepona ahsante yesu
@user-im2ki6qz1i
5 ай бұрын
Napokea. Kwa jina layesu amen
Amee nime funguliwa
Ameni mtumishi napokea uponyaji kupitia maombi haya mungu wangu biashara walionizunguka Hili wafanye wao mungu kaangalie wewe mungu napokea biashara mpya mungu nasehem mpya mungu wangu
Asante xna mtumishi wa mngu kwa maombi wcha mngu atende xwa na mapenzi yke barkiwa xna
Napokea🙏
Poster asanti Mimi. Ninaona ndoto nikijaribu kuangalia naona hiko na maana za kutisha lakini ni kama umejua kila kitu changu ningependa tuwe tukiomba pamoja
Amen barikiwa sana
niombee baba biashara yangu inakufakufa
Nafurahi kupata video hii ❤
Assnteee saana pastor kwa maombi haya Mungu azidi kukuinu ktk huduma yako🙏🙏 kwaimani napokea uponyaji
Today, 1yr ago. I receive blessings, Favour and healing through these prayers. I rebook the bad dreams and destructions in Jesus's Name 🙏
@floramtinangi6396
2 жыл бұрын
Nnnmjiiqiqiququqw7w71quu18
@simplegirl3032
2 жыл бұрын
Thex poster coz mtoto wa boss wangu hua ana toa demu Kwa mapua aki lala
@shilipacelestin7868
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@sophiamalimi
Жыл бұрын
Amina nimefunguliwa na kupona kabisa kichomi
@justaalphonce9183
Жыл бұрын
Amen be blessed
Niyye yesu kristo
Naiwe kwangu kwajina yesu
Ameeeeeeeeeen
Ameen
Ameeeen
Asante sana Muchungaji tangu nianze maombi kila usiku na asubuhi kusikiliza maombi yako na lala maumivu mwilini na pona na usiku na lala usingizi Asante yesu
God bless you paster,, nilikuwa nauoga but hii maombi nimskia nikiwa uhuru in Jesus name Amen🙏🙏
Amen mchungaji nirikua nimelala nikaota naumwa na mujus nilikua Sina Aman kabisa sass Aman imerudi kwa maombi yako ubalikiwe Sana🙏🙏
Amee
Nika kosa amani nimesikiliza maombi ss hofu imeondoka na shukuru mungu
Pastor thank you so much God bless you
Nilikua naota pumzi zimeziba na naota mwanangu anakula taa zikazma nikaomba anpige njia ya msaraba kwenye paji la uso na akafanya ndipo nikamka na kutafuta maombi yako ahsante 🙏🙏 mchungaji pua zimefunguka amina
shikamoo baba
Nimeparikiwa
Amina! Naamini Mungu ametenda kupitia maombi haya
Amen napokea kwa jina la yesu kristo amen
Jaman naomba mnielekez kanisa lake likowapi naomba sana
Ameen 🙏🙏🙏 Napokea Maombi Haya Kwa Jina La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazareth Aliye Hai 🙏🙏🙏
Nmepokea kwa jina la yesu KRISTO amen
Mungu wangu napokea baraka ktk maisha yangu mungu wangu ulie hai mungu napokea uponyaji katki familia yangu mungu
@eunicev4244
2 жыл бұрын
Amen be blessed
Amen 🙏 barikiwa San mtumishii Nina amanii juu moyo wangu.
Asante Sana mtumishi nitakupata je mm nimu Tanzania naishi ulaya naomba no zako mtumishi WA mungu
Naomba nipone magoti uterezi imeisha, pingiri tatu zimepishana, na mguu nimefanyiwa upasuaji mara tano nina vyuma mguuni nakataa kufanyiwa upasuaji tena uniombee nipone kabisa nufunguluwe katika Jina la Yesu.
Nishindiye vita ihi Jehovah 😭❤️🧎♀️🙏
Amen napokeya uponyaji wakifuwa kwajina layesu christo.asante yesu
It’s never too late to be set free in Jesus Christ our Lord and Savior amen