Ndiyo ndiyo ndiyo. Mimi sio msabato lakini huyu ndiye mchungaji sahihi ktk kipindi hiki cha mwisho huku tukimtarajia YESU KRISTO TU wakati wowote. Be blest paster D. Mbaga.
@evampuya-mp9vf3 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu naomba pia bint yangu umkumbuke ktk maombi hatembei kwa miaka 9
@kabembokijigo6454 Жыл бұрын
Hakika Mungu mwenyewe ndiyo Tabibu Mkuu Specialist wa aina yake, naam nami naamini na Hakika ataniponya maradhi yangu yote ajilia mbali madaktari wa ngap wa dunia hii wameshindwa kunitibu. Tumain langu ni kwa Mwokozi wa ulimwengu. Hongera Pasta usinisahu katika maombi yako.
@newiceubson2 күн бұрын
amina mtumishi kumbuka maisha yangu
@samwelmtonyi82035 ай бұрын
Amina naamini pia muombee mke wangu Eva apone kifua kinamsumbua kwa mda mrefu
@GabrielWarioba-co8qg Жыл бұрын
Naitwa Gabriel William ryoba naomba mniombee watu wa Mungu naumwa japo cjui naumwa nn naombeni mniombee Mungu awabariki sanaa watu wa Mungu
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Mungu akutendee
@kinsman-mx6qh2 күн бұрын
amina mtumishi wa MUNGU
@lydiamapenzi2152 Жыл бұрын
Amen namebarikiwa na somo zuri la asubuhi muchungaji ubrikiwe San tunakuombea MUNGU akupe Afya njema
@Officialkashein-Arika Жыл бұрын
Amina mtumishi Ubarikiwe sana🙏🙏
@Vanillah-lg3pn Жыл бұрын
Naomba Mungu amponye mamangu.... mwenye amekuwa mgonjwa zaidi ya mwaka naamini kuwa Mungu atamponya Amina
@everlyneiminza5722 Жыл бұрын
Naomba Mungu aniponye mgongo na miguu zinauma sana, na wanangu pia ugongwa wa macho kifua tupone katika jina la Yesu
@mariammwita8216 Жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na maneno ya uzima. Yesu atusaidie sana tubaki miguuni pake. Plaster Bwana azidi kukutumis
@joharissa20207 ай бұрын
Aminaaaa
@paulwambua4956 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana nikiwa Saudi Arabia.. Namshukuru Mungu kwa uponyaji..
@user-os3vo4sm2n7 ай бұрын
Amen
@ModesterShokolo-mr6km Жыл бұрын
Bwana ni mwema ,
@anisagervasjumanne116 Жыл бұрын
Aminaaaaa,Mungu atukuzwe. Ubarikiwe pia.
@GabrielWarioba-co8qg Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na vpindi vyenu
@pendomollel-oy7gm Жыл бұрын
Ubarikiwee sana pastor
@tinamwashilindi6807 Жыл бұрын
Ansante kwa somo
@Boreshandotoyako Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji
@mamalaozphilemonmtawali.8467 Жыл бұрын
ubarikiwe pastor.
@CYPRIANJOSEPHBOKE-je1rm Жыл бұрын
Bwana akubarikiii
@YohanaLazaro-rj7cp Жыл бұрын
❤
@fgdt6453 Жыл бұрын
Amina
@user-re8ep3fp4q11 ай бұрын
Nipeni vifungu plz
@editarwaetson4475 Жыл бұрын
🕊🕊🕊 mung akubalik sna
@annetmbwambo9369 Жыл бұрын
MUNGU amponya mama yangu cancer ya mapafu na nyoga
@happyperson3016 Жыл бұрын
Ninaweza kupata dawa za hizo miti za kuponya mgongo?
Пікірлер: 34
Ndiyo ndiyo ndiyo. Mimi sio msabato lakini huyu ndiye mchungaji sahihi ktk kipindi hiki cha mwisho huku tukimtarajia YESU KRISTO TU wakati wowote. Be blest paster D. Mbaga.
Amina mtumishi wa mungu naomba pia bint yangu umkumbuke ktk maombi hatembei kwa miaka 9
Hakika Mungu mwenyewe ndiyo Tabibu Mkuu Specialist wa aina yake, naam nami naamini na Hakika ataniponya maradhi yangu yote ajilia mbali madaktari wa ngap wa dunia hii wameshindwa kunitibu. Tumain langu ni kwa Mwokozi wa ulimwengu. Hongera Pasta usinisahu katika maombi yako.
amina mtumishi kumbuka maisha yangu
Amina naamini pia muombee mke wangu Eva apone kifua kinamsumbua kwa mda mrefu
Naitwa Gabriel William ryoba naomba mniombee watu wa Mungu naumwa japo cjui naumwa nn naombeni mniombee Mungu awabariki sanaa watu wa Mungu
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Mungu akutendee
amina mtumishi wa MUNGU
Amen namebarikiwa na somo zuri la asubuhi muchungaji ubrikiwe San tunakuombea MUNGU akupe Afya njema
Amina mtumishi Ubarikiwe sana🙏🙏
Naomba Mungu amponye mamangu.... mwenye amekuwa mgonjwa zaidi ya mwaka naamini kuwa Mungu atamponya Amina
Naomba Mungu aniponye mgongo na miguu zinauma sana, na wanangu pia ugongwa wa macho kifua tupone katika jina la Yesu
Ninabarikiwa sana na maneno ya uzima. Yesu atusaidie sana tubaki miguuni pake. Plaster Bwana azidi kukutumis
Aminaaaa
Nabarikiwa sana nikiwa Saudi Arabia.. Namshukuru Mungu kwa uponyaji..
Amen
Bwana ni mwema ,
Aminaaaaa,Mungu atukuzwe. Ubarikiwe pia.
Nabarikiwa sana na vpindi vyenu
Ubarikiwee sana pastor
Ansante kwa somo
Mungu akubariki sana Mchungaji
ubarikiwe pastor.
Bwana akubarikiii
❤
Amina
Nipeni vifungu plz
🕊🕊🕊 mung akubalik sna
MUNGU amponya mama yangu cancer ya mapafu na nyoga
Ninaweza kupata dawa za hizo miti za kuponya mgongo?
No nm
Amen
Amina
@christinafraha617
Жыл бұрын
Mungu akubari