IMANI HII ITAKUPA USHINDI MPINGA KRISTO AKIINUKA- PR. DAVID MMBAGA
JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@HopeforAfricaTv?...
Жүктеу.....
Пікірлер: 108
@nakundwamallya22958 ай бұрын
Nashukuru pastor naendelea kujifunza barikiwa
@user-ps7fy2oj7i7 ай бұрын
Amen.nimebalikiwa na sino hili limenipa faraja Kuwait Mungu ananipenda Sana yooo Mungu nimwema Sana .ubalikiwe Sana mchungaji
@user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын
Amen nimebalikiwa sana kwa somo hili.mchungaji Mungu akubariki
@hf03768 ай бұрын
Muchugaji nabarikiwa sana na mahubiri yako naomba Mugu akupe maisha marelfu
@user-vs3gv9ok3t8 ай бұрын
Mchungaji naomba umwombee mama agu anaungonjwa wa ajabu umesababisha mkono ujikuje kabisa kwa imani naamini ukiungana na mimi kwa maombi Mungu atajib
@limbrussamson591
8 ай бұрын
Kwa kuamini tu MUNGU amekwisha mtendea utakavyo.
@raelsarange638
8 ай бұрын
God meet the desires of your heart
@user-qt2pb6tr5t
8 ай бұрын
Shukuru Kwa uponyaji wa mama amepona
@kabalizasekanabomarko6063
8 ай бұрын
Muchungaji naomba maombi kwa mtoto wa dada yangu amekufa na kumwacha mtoto muchanga sana wa wiki mbili. Ila leo hii mama yangu muzazi ameendeleya kumuleya uyo mtoto paka leo ana mwaka sasa umoja. Ila amepewa sumu na mtu asiye julikana. Pia mama yangu naye ndiye alibaki na hao watoto wote 5 na uyo umoja mudogo wa wiki ndo wote ni watoto 6. Mama pia mikono na miguu inamusumbua sana anakuwa mukushindwa kusimama mahali anaikala. Na mikono inamutetemeka sana. Ni mama wa myaka 58ans. Naomba mnikumbuke kwa maombi pia, nina imani ya kwamba wote watapona. Kwa jina la Yesu.
@stanleymhozi7590
8 ай бұрын
Pole
@Joycependopendo-dv2tb8 ай бұрын
Amen Pastor nambarikiwa na mafundisho yko mungu akuinuee kiwango Cha juu sana
@DinahBishibura-ji3dv8 ай бұрын
Pr nakupenda barikiwa sana umenifungua ability kuhu lmani ya Yesu
@zainamathieu62162 ай бұрын
Asante sana mchu fajo kwa neno nzuri yaku tuimiza Katika safari ya kwenda mbinguni
@user-rv6xv7yf8n8 ай бұрын
Mchungaji mungu akubariki kwa mafundisho yako mazuri
Pastor nashukuru Kwa SoMo nzuri, nomba umuombee Helman ameathirika na bangi ni kijana wangu
@asooraaasooraa48168 ай бұрын
Amina Amina
@jenestermabati44098 ай бұрын
Pr Niombee,nimekuwa mjane miaka 3 ya ndoa yangu.nimepita changamoto za kulea peke yangu bila msaada wa kifamilia bali nimeishi kwa manyanyaso kifamilia.kwa saaa kijana amekua ana miaka 20 sasa. Ombi langu tuna uhitaji wa mtaji ili kupata pesa ta kujenga nyumba ya kuishi mimi na mwanangu.Naamini Mungu atatenda maana amenuvusha pakubwa mno
@user-gs1ld5vd6e8 ай бұрын
Ameen, pastor nabarikiwa
@zirhumanafiston1168 ай бұрын
Amina 🇨🇩
@shukranjulius95268 ай бұрын
Amina barikiwa zaidi pastor hakika nimebarikiwa sana 🙏
@lucaspengo3108 ай бұрын
Amina sana pasta
@vincentmalima10958 ай бұрын
Ubarikiwe pr
@PendoOscar8 ай бұрын
Mchungaji mungu akupe afya njema
@user-hp7eo8px2d8 ай бұрын
Amina sana mchungaji
@leahmose18088 ай бұрын
Mungu akulinde mchungaji uzdi kutufundisha❤
@user-rp4db3pl7z8 ай бұрын
Mungu tunusuru zaidi tupe imani thabiti hata ule mwisho (27/10/2023)status ya rafiki ilionyesha Picha ya papa akitangaza kuwaomba watu wote wafunge na kuomba kwaajili ya amani
@pascalngaya40508 ай бұрын
Ilikua iringa kilolo nn barikiwa sana.
@metrinenyongesa77578 ай бұрын
Mungu azidi kukupa hekima.maarifa , nguvu na ufahamu zaidi kutoka Kwake,,, keep on moving good gospel am blessed 🥰🥰🥰🥰
@rodahadhiambo36378 ай бұрын
Amina mchungaji
@dismasamani3838 ай бұрын
Ukweli kabisa, Mzee David. Vita vimeendelea saana, sehemu ya Mashariki ya DRC, tunalia
@dorcasrhobi82116 ай бұрын
Amen
@jailomhengilolo28988 ай бұрын
Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa neno hili,Bwana azidi kukutumia ahsante.
@faustermtavangu82128 ай бұрын
Asante Mungu kwa kukutuma tunapona Roho na mwili . Barikiwa sana
@espererancesudi76008 ай бұрын
Amen 🙏
@Gladys-iw8en8 ай бұрын
Amen pasta
@user-he7cf3wp2p8 ай бұрын
Nimebarikiwa sana kwa somo lako paster mungu atukuzwe kwa ajili yako
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
@purity1348 ай бұрын
Asante sana pastor,hii iko wasi hata bibilia anasema Ole wao walio na mimba na wenye watoto wadogo
@Neema-wy4mh8 ай бұрын
Amen Amen Amen. Asnte bwana Yesu kwajili ya ujumbe huuu wakutufungua machoo. Sifa heshima ni zako turehemu tusaidie tusijetukashindwa kufata maelekezo yako. Pastor mungu akubariki.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Mungu atukuzwe saaana
@ttuphenarutto6538 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji Leo nimejifunzakua Sheria ya mungu ndio kio inayomlika udhaifu wetu,naomba maombi ya uponyaji kutoka kenya
@Shalom20188 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@laridistrict47108 ай бұрын
Bwana asifiwe ..somo hili limeguza hitanji kubwa mungu anifungue kwa magumu mbele yangu.YESU NIFICHE NDANI YAKO SINA RAFIKI MWINGINE ANINJUAYE NA KUNIPENDA KAMA WEWE.MAGUMU MBELE YANGU KWANZIA SASA NI YAKO .AHADI YA UPENDO KWANGU NAAMINI USHINDI WAKO....ROHO MTAKATIFU NA UKANJAE NDANI YANGU.........
@EasterEmanuel-wh9dz7 ай бұрын
Ameni
@emmanuelwambura22938 ай бұрын
❤Amina kwa somo hiri ilaa tunabarikwa hapa turipo mungumu seregeti mungu akubariki uturetee mibaraka
@EllenMbota8 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@calebmakori8 ай бұрын
The law demands sinners should be punished but when a sinner repents ,Jesus forgives him /her then the law rejoices and says that's what i what. Be blessed
@rosegaspar48528 ай бұрын
AmenMt
@brothomas27088 ай бұрын
Pastor Mungu akuhekimishe katika ubora wake.
@patricktsongo43698 ай бұрын
May God bless you pastor. Patrick from DRC.
@zipporahmoraa60718 ай бұрын
Amina pst barikiwa saana niko na imani mtoto wangu atapona kwa jina la yesu ,hata kama niko mbali naye naomba Mungu amutembelee huko penye amelaswa kitandani🙏General kisii town na atarudi vyema nyumbani ili na yy afanye mtihani wa darasa na nane🙏
@aidaa82538 ай бұрын
AMEN ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@faithgakii62788 ай бұрын
Asante kwa neno unifunza mengi kujua mungu zaidi mungu hazindi kukubariki siku zote
@maseaJoe86768 ай бұрын
Mjungaji barikiwa saaaaana Mungu akuneemeshe zaidi ili ututunzie imani zetu. Amen
@margaretwanjiru90968 ай бұрын
Wah.... ! kwa kweli hiii mafundisho ya leo umenifundisha mambo makuu mno hadi nakuta nimeshinda nikirundia imenibariki sana sana ...aki Pastor Mbaga Mungu azindi kukutumia kufundisha wengi kila saa na Ubarikiwe zaidi maana ingine ata zikua najua but kupitia kwako... Kabisa naendelea kukua kiimani tangu nikujue ...barikiwa sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@roselineombati6708 ай бұрын
Aki leo umenihubiri kabisa na kunitia moyo maana haijalishi wamesema nini ila inategemea Mungu amesema nini na yeye Ana uwezo na nguvu kuliko wao, nilikua na changamoto kazini hata nilifaa kuacha kazi lakini nimejifunza kuangalia na kumtumaini Mungu pia kutii sauti yake, amani imerejea moyoni baada ya kusikiza fundisho hili la leo, barikiwa mch.
@laurentruvugwa55148 ай бұрын
Mungu apewe sifa kwa kuwa tungari na watendaji kazi yake, ijapo kuwa changamoto za kisasa
@JoshuaPatrickManonga8 ай бұрын
Amina pr pasta ubarikiwe sana hakika nimesikia sauti ya MUNGU
@saumhamisi73208 ай бұрын
Ameeeeen
@pascal.kahwara7 ай бұрын
Mpinga kristo atainuka pale unyakuzi umesha timia. Its going to happen really first we don't have 50 years here on earth again.
@perisbosibori22498 ай бұрын
AMEN! We've been saved by GRACE. LORD, you've given us direction, help us to follow Your commandments. LORD, give me the strength to stand firm in FAITH until You come to take us home. GOD bless you Pastor for this timely message, 🙏🙌.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
@JoanKoech-ps7jt8 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pastor nakuombea siku zote usidi kua na nguvu za mungu umekua mibaraka kwangu since 2021
@adarashidi81788 ай бұрын
Amen 🙏🙌🔥
@zeliageorge33118 ай бұрын
Praise the Lord, binafsi mafundisho haya yamenisogeza karibu na Mungu Sana, ubarikiwe Pastor na kwa wale wenye shida mbalimbali hakika mkiamini zote zitakwisha.
@biirajulia1085
8 ай бұрын
Blss
@biirajulia1085
8 ай бұрын
Ble
@rachelsanga74728 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji nina imani kuwa kwaneema ya Mungu niwe ndani ya Yesu nimebarikiwa sana na somo
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
@danielwafula44478 ай бұрын
Pastor may God bless you and the ministry. Kindly join me in praying and interceding on behalf of my Cousin, and elder in church, William Lumati ,who has been sick with nerve and parkinson issues that God may show him favour to restore his health. Thank you Pastor for being a blessing in my spiritual life since last year November.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
We are together in this
@user-bsarah8 ай бұрын
Barikiwa mtu wa mungu
@alicemwaka37628 ай бұрын
Emeeeen
@stephanosospeter17098 ай бұрын
Thank you Jesus
@user-qy3os3te7j8 ай бұрын
Ukweli kabisa mfia Dini ni karama. Mungu atusaidie.
@ephrasienasifiwe33938 ай бұрын
Mungu atubariki kupitia ubiri ili❤❤
@roselineombati6708 ай бұрын
Amina Amina Amina Amina
@alicenyakawa24498 ай бұрын
Thank you pastor for timely message really I was discouraged due to some circumstances but God use you to deliver a message of encouraging and make someone who stuck to rise and continue on with the journey
@ianmuema33558 ай бұрын
TO GOD BE THE GLORY
@christinendayiragije56898 ай бұрын
Amen amen ❤
@DUKEKILIMU8 ай бұрын
YESU NISAIDIE
@dubajohn25918 ай бұрын
Mchungaj nakutafta xn cjui mungu atatukutanisha wap mtumishi
@Ungwamissi8 ай бұрын
Amenn📖🙏
@JoanKoech-ps7jt8 ай бұрын
Pastor naomba maombi kwa pamoja uombee kijana wangu anatumia dawa ya kulevya
Pastor nilikua nimeokoka lakn kwa mafundisho najiona niokoke tena kwa kua nilitenda dhambi
@estermgendi6778 ай бұрын
Mchungaji hapo ni wapi nimlete mwangu mgonjwa
@vicknessngenzi61468 ай бұрын
Pastor nikiwa hapa kazini nimetoka kufanya ibada fupi naelekea kwenye chakula kuna eneo nimepita nikapata maumivu makali sana kwenye kichwa nyuma ya masikio na presha ikaanza kuwa sio sawa baada ya kwenda mbele kiasi nikarudi kawaida. wakati wa kurudi kupita pale ile hali ikanirudia tena nifanyeje? japo baada ya muda niko vizuri.
@rogzenaminja79808 ай бұрын
Mchungaji naomba umuombee mume wangu ni mgonjwa :upande wa kushoto unaisha misuli, jicho limepoteza uoni,anakakamaa. Watoto hawaeleweki:ufahamu,akili, uwezo.wanalewa, madeni, masterbation, uongo, uvivu nk Mimi ni mgonjwa Pia. Ombea hii familia mchungaji usituache.
@williamsofia7372
8 ай бұрын
Mama pole. Sana uko wapi??
@zeliageorge33118 ай бұрын
Niwe na ushuhuda japo kwa ufupi, mwaka jana tumepata muujiza wa milion 50 kwa ajili ya matibabu ya mdogo wangu ambapo kwa cc kama familia tusingeweza kumudu gharama hiyo....lakini bado tunashangaa mdogo wangu huyo bado yuko masomon na anaendelea na doz (doz yake ni ndani mwaka 1.5), anasomea utatibu, tangu ameanza kuugua anafanya vzr ktk masomo yake kuliko apo mwanzo na kwa sasa kila mgonjwa anayemhudumia anarejewa na afya watu wanampenda na hata imefikia hatua professor wake anamuamini na kumuagiza shughur mbalimbali kizuri zaidi kwa sasa kama familia hatushughuriki na karo yake, muda wake wa likizo unatosha yy kufanya kazi na kupata pesa ya kumudu kujilipia karo na mahitaji yote, kwa kweli tunaona ni utukufu wa Mungu tuu uliomfunika.
@williamsofia7372
8 ай бұрын
Aminaa... Asante kwa ushuuda pia.kumtegemea Mungu kunalipaa.
@mush3378 ай бұрын
Kuna mhubiri anaitwa Francis Ndacha,yeye hutumia siku zote kusema SDA ni ya shetani Kila siku hio ndio crusade yake
@jenestermabati44098 ай бұрын
Pr Niombee,nimekuwa mjane miaka 3 ya ndoa yangu.nimepita changamoto za kulea peke yangu bila msaada wa kifamilia bali nimeishi kwa manyanyaso kifamilia.kwa saaa kijana amekua ana miaka 20 sasa. Ombi langu tuna uhitaji wa mtaji ili kupata pesa ta kujenga nyumba ya kuishi mimi na mwanangu.Naamini Mungu atatenda maana amenuvusha pakubwa mno
Пікірлер: 108
Nashukuru pastor naendelea kujifunza barikiwa
Amen.nimebalikiwa na sino hili limenipa faraja Kuwait Mungu ananipenda Sana yooo Mungu nimwema Sana .ubalikiwe Sana mchungaji
Amen nimebalikiwa sana kwa somo hili.mchungaji Mungu akubariki
Muchugaji nabarikiwa sana na mahubiri yako naomba Mugu akupe maisha marelfu
Mchungaji naomba umwombee mama agu anaungonjwa wa ajabu umesababisha mkono ujikuje kabisa kwa imani naamini ukiungana na mimi kwa maombi Mungu atajib
@limbrussamson591
8 ай бұрын
Kwa kuamini tu MUNGU amekwisha mtendea utakavyo.
@raelsarange638
8 ай бұрын
God meet the desires of your heart
@user-qt2pb6tr5t
8 ай бұрын
Shukuru Kwa uponyaji wa mama amepona
@kabalizasekanabomarko6063
8 ай бұрын
Muchungaji naomba maombi kwa mtoto wa dada yangu amekufa na kumwacha mtoto muchanga sana wa wiki mbili. Ila leo hii mama yangu muzazi ameendeleya kumuleya uyo mtoto paka leo ana mwaka sasa umoja. Ila amepewa sumu na mtu asiye julikana. Pia mama yangu naye ndiye alibaki na hao watoto wote 5 na uyo umoja mudogo wa wiki ndo wote ni watoto 6. Mama pia mikono na miguu inamusumbua sana anakuwa mukushindwa kusimama mahali anaikala. Na mikono inamutetemeka sana. Ni mama wa myaka 58ans. Naomba mnikumbuke kwa maombi pia, nina imani ya kwamba wote watapona. Kwa jina la Yesu.
@stanleymhozi7590
8 ай бұрын
Pole
Amen Pastor nambarikiwa na mafundisho yko mungu akuinuee kiwango Cha juu sana
Pr nakupenda barikiwa sana umenifungua ability kuhu lmani ya Yesu
Asante sana mchu fajo kwa neno nzuri yaku tuimiza Katika safari ya kwenda mbinguni
Mchungaji mungu akubariki kwa mafundisho yako mazuri
Amen Amen powerful teachings asante kwa Neno
Ahsante pastor barikiwa sana
Mungu..akupemaisha.marefu....ilitufuzwe ..sisi.wakongo..mani.tunakupenda..saaaaaaaana.muchungaji.kwakupeda. wakongo
Pastor nashukuru Kwa SoMo nzuri, nomba umuombee Helman ameathirika na bangi ni kijana wangu
Amina Amina
Pr Niombee,nimekuwa mjane miaka 3 ya ndoa yangu.nimepita changamoto za kulea peke yangu bila msaada wa kifamilia bali nimeishi kwa manyanyaso kifamilia.kwa saaa kijana amekua ana miaka 20 sasa. Ombi langu tuna uhitaji wa mtaji ili kupata pesa ta kujenga nyumba ya kuishi mimi na mwanangu.Naamini Mungu atatenda maana amenuvusha pakubwa mno
Ameen, pastor nabarikiwa
Amina 🇨🇩
Amina barikiwa zaidi pastor hakika nimebarikiwa sana 🙏
Amina sana pasta
Ubarikiwe pr
Mchungaji mungu akupe afya njema
Amina sana mchungaji
Mungu akulinde mchungaji uzdi kutufundisha❤
Mungu tunusuru zaidi tupe imani thabiti hata ule mwisho (27/10/2023)status ya rafiki ilionyesha Picha ya papa akitangaza kuwaomba watu wote wafunge na kuomba kwaajili ya amani
Ilikua iringa kilolo nn barikiwa sana.
Mungu azidi kukupa hekima.maarifa , nguvu na ufahamu zaidi kutoka Kwake,,, keep on moving good gospel am blessed 🥰🥰🥰🥰
Amina mchungaji
Ukweli kabisa, Mzee David. Vita vimeendelea saana, sehemu ya Mashariki ya DRC, tunalia
Amen
Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa neno hili,Bwana azidi kukutumia ahsante.
Asante Mungu kwa kukutuma tunapona Roho na mwili . Barikiwa sana
Amen 🙏
Amen pasta
Nimebarikiwa sana kwa somo lako paster mungu atukuzwe kwa ajili yako
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
Asante sana pastor,hii iko wasi hata bibilia anasema Ole wao walio na mimba na wenye watoto wadogo
Amen Amen Amen. Asnte bwana Yesu kwajili ya ujumbe huuu wakutufungua machoo. Sifa heshima ni zako turehemu tusaidie tusijetukashindwa kufata maelekezo yako. Pastor mungu akubariki.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Mungu atukuzwe saaana
Ubarikiwe mchungaji Leo nimejifunzakua Sheria ya mungu ndio kio inayomlika udhaifu wetu,naomba maombi ya uponyaji kutoka kenya
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Bwana asifiwe ..somo hili limeguza hitanji kubwa mungu anifungue kwa magumu mbele yangu.YESU NIFICHE NDANI YAKO SINA RAFIKI MWINGINE ANINJUAYE NA KUNIPENDA KAMA WEWE.MAGUMU MBELE YANGU KWANZIA SASA NI YAKO .AHADI YA UPENDO KWANGU NAAMINI USHINDI WAKO....ROHO MTAKATIFU NA UKANJAE NDANI YANGU.........
Ameni
❤Amina kwa somo hiri ilaa tunabarikwa hapa turipo mungumu seregeti mungu akubariki uturetee mibaraka
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
The law demands sinners should be punished but when a sinner repents ,Jesus forgives him /her then the law rejoices and says that's what i what. Be blessed
AmenMt
Pastor Mungu akuhekimishe katika ubora wake.
May God bless you pastor. Patrick from DRC.
Amina pst barikiwa saana niko na imani mtoto wangu atapona kwa jina la yesu ,hata kama niko mbali naye naomba Mungu amutembelee huko penye amelaswa kitandani🙏General kisii town na atarudi vyema nyumbani ili na yy afanye mtihani wa darasa na nane🙏
AMEN ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asante kwa neno unifunza mengi kujua mungu zaidi mungu hazindi kukubariki siku zote
Mjungaji barikiwa saaaaana Mungu akuneemeshe zaidi ili ututunzie imani zetu. Amen
Wah.... ! kwa kweli hiii mafundisho ya leo umenifundisha mambo makuu mno hadi nakuta nimeshinda nikirundia imenibariki sana sana ...aki Pastor Mbaga Mungu azindi kukutumia kufundisha wengi kila saa na Ubarikiwe zaidi maana ingine ata zikua najua but kupitia kwako... Kabisa naendelea kukua kiimani tangu nikujue ...barikiwa sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Aki leo umenihubiri kabisa na kunitia moyo maana haijalishi wamesema nini ila inategemea Mungu amesema nini na yeye Ana uwezo na nguvu kuliko wao, nilikua na changamoto kazini hata nilifaa kuacha kazi lakini nimejifunza kuangalia na kumtumaini Mungu pia kutii sauti yake, amani imerejea moyoni baada ya kusikiza fundisho hili la leo, barikiwa mch.
Mungu apewe sifa kwa kuwa tungari na watendaji kazi yake, ijapo kuwa changamoto za kisasa
Amina pr pasta ubarikiwe sana hakika nimesikia sauti ya MUNGU
Ameeeeen
Mpinga kristo atainuka pale unyakuzi umesha timia. Its going to happen really first we don't have 50 years here on earth again.
AMEN! We've been saved by GRACE. LORD, you've given us direction, help us to follow Your commandments. LORD, give me the strength to stand firm in FAITH until You come to take us home. GOD bless you Pastor for this timely message, 🙏🙌.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
Ubarikiwe Sana pastor nakuombea siku zote usidi kua na nguvu za mungu umekua mibaraka kwangu since 2021
Amen 🙏🙌🔥
Praise the Lord, binafsi mafundisho haya yamenisogeza karibu na Mungu Sana, ubarikiwe Pastor na kwa wale wenye shida mbalimbali hakika mkiamini zote zitakwisha.
@biirajulia1085
8 ай бұрын
Blss
@biirajulia1085
8 ай бұрын
Ble
Ubarikiwe mchungaji nina imani kuwa kwaneema ya Mungu niwe ndani ya Yesu nimebarikiwa sana na somo
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Amen
Pastor may God bless you and the ministry. Kindly join me in praying and interceding on behalf of my Cousin, and elder in church, William Lumati ,who has been sick with nerve and parkinson issues that God may show him favour to restore his health. Thank you Pastor for being a blessing in my spiritual life since last year November.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
We are together in this
Barikiwa mtu wa mungu
Emeeeen
Thank you Jesus
Ukweli kabisa mfia Dini ni karama. Mungu atusaidie.
Mungu atubariki kupitia ubiri ili❤❤
Amina Amina Amina Amina
Thank you pastor for timely message really I was discouraged due to some circumstances but God use you to deliver a message of encouraging and make someone who stuck to rise and continue on with the journey
TO GOD BE THE GLORY
Amen amen ❤
YESU NISAIDIE
Mchungaj nakutafta xn cjui mungu atatukutanisha wap mtumishi
Amenn📖🙏
Pastor naomba maombi kwa pamoja uombee kijana wangu anatumia dawa ya kulevya
🤝🤝 tuko pamocha
Amen!!
Ameeeeen 🙏🙌🙌
BWANA YESU KRISTO ASIFIWE KWA MKATE
Mchungaji naitwa vitalice MWESE MKAMI naomba uniombee malango Yang yapate kufunguliwa
Niombee paster
Pastor nilikua nimeokoka lakn kwa mafundisho najiona niokoke tena kwa kua nilitenda dhambi
Mchungaji hapo ni wapi nimlete mwangu mgonjwa
Pastor nikiwa hapa kazini nimetoka kufanya ibada fupi naelekea kwenye chakula kuna eneo nimepita nikapata maumivu makali sana kwenye kichwa nyuma ya masikio na presha ikaanza kuwa sio sawa baada ya kwenda mbele kiasi nikarudi kawaida. wakati wa kurudi kupita pale ile hali ikanirudia tena nifanyeje? japo baada ya muda niko vizuri.
Mchungaji naomba umuombee mume wangu ni mgonjwa :upande wa kushoto unaisha misuli, jicho limepoteza uoni,anakakamaa. Watoto hawaeleweki:ufahamu,akili, uwezo.wanalewa, madeni, masterbation, uongo, uvivu nk Mimi ni mgonjwa Pia. Ombea hii familia mchungaji usituache.
@williamsofia7372
8 ай бұрын
Mama pole. Sana uko wapi??
Niwe na ushuhuda japo kwa ufupi, mwaka jana tumepata muujiza wa milion 50 kwa ajili ya matibabu ya mdogo wangu ambapo kwa cc kama familia tusingeweza kumudu gharama hiyo....lakini bado tunashangaa mdogo wangu huyo bado yuko masomon na anaendelea na doz (doz yake ni ndani mwaka 1.5), anasomea utatibu, tangu ameanza kuugua anafanya vzr ktk masomo yake kuliko apo mwanzo na kwa sasa kila mgonjwa anayemhudumia anarejewa na afya watu wanampenda na hata imefikia hatua professor wake anamuamini na kumuagiza shughur mbalimbali kizuri zaidi kwa sasa kama familia hatushughuriki na karo yake, muda wake wa likizo unatosha yy kufanya kazi na kupata pesa ya kumudu kujilipia karo na mahitaji yote, kwa kweli tunaona ni utukufu wa Mungu tuu uliomfunika.
@williamsofia7372
8 ай бұрын
Aminaa... Asante kwa ushuuda pia.kumtegemea Mungu kunalipaa.
Kuna mhubiri anaitwa Francis Ndacha,yeye hutumia siku zote kusema SDA ni ya shetani Kila siku hio ndio crusade yake
Pr Niombee,nimekuwa mjane miaka 3 ya ndoa yangu.nimepita changamoto za kulea peke yangu bila msaada wa kifamilia bali nimeishi kwa manyanyaso kifamilia.kwa saaa kijana amekua ana miaka 20 sasa. Ombi langu tuna uhitaji wa mtaji ili kupata pesa ta kujenga nyumba ya kuishi mimi na mwanangu.Naamini Mungu atatenda maana amenuvusha pakubwa mno
@williamsofia7372
8 ай бұрын
Umekwisha kupata pesa
@jenestermabati4409
8 ай бұрын
@@williamsofia7372 Amina
TO GOD BE THE GLORY
Amen