IMANI HII ITAKUPA USHINDI MPINGA KRISTO AKIINUKA- PR. DAVID MMBAGA

JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@HopeforAfricaTv?...

Пікірлер: 108

  • @nakundwamallya2295
    @nakundwamallya22958 ай бұрын

    Nashukuru pastor naendelea kujifunza barikiwa

  • @user-ps7fy2oj7i
    @user-ps7fy2oj7i7 ай бұрын

    Amen.nimebalikiwa na sino hili limenipa faraja Kuwait Mungu ananipenda Sana yooo Mungu nimwema Sana .ubalikiwe Sana mchungaji

  • @user-ps7fy2oj7i
    @user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын

    Amen nimebalikiwa sana kwa somo hili.mchungaji Mungu akubariki

  • @hf0376
    @hf03768 ай бұрын

    Muchugaji nabarikiwa sana na mahubiri yako naomba Mugu akupe maisha marelfu

  • @user-vs3gv9ok3t
    @user-vs3gv9ok3t8 ай бұрын

    Mchungaji naomba umwombee mama agu anaungonjwa wa ajabu umesababisha mkono ujikuje kabisa kwa imani naamini ukiungana na mimi kwa maombi Mungu atajib

  • @limbrussamson591

    @limbrussamson591

    8 ай бұрын

    Kwa kuamini tu MUNGU amekwisha mtendea utakavyo.

  • @raelsarange638

    @raelsarange638

    8 ай бұрын

    God meet the desires of your heart

  • @user-qt2pb6tr5t

    @user-qt2pb6tr5t

    8 ай бұрын

    Shukuru Kwa uponyaji wa mama amepona

  • @kabalizasekanabomarko6063

    @kabalizasekanabomarko6063

    8 ай бұрын

    Muchungaji naomba maombi kwa mtoto wa dada yangu amekufa na kumwacha mtoto muchanga sana wa wiki mbili. Ila leo hii mama yangu muzazi ameendeleya kumuleya uyo mtoto paka leo ana mwaka sasa umoja. Ila amepewa sumu na mtu asiye julikana. Pia mama yangu naye ndiye alibaki na hao watoto wote 5 na uyo umoja mudogo wa wiki ndo wote ni watoto 6. Mama pia mikono na miguu inamusumbua sana anakuwa mukushindwa kusimama mahali anaikala. Na mikono inamutetemeka sana. Ni mama wa myaka 58ans. Naomba mnikumbuke kwa maombi pia, nina imani ya kwamba wote watapona. Kwa jina la Yesu.

  • @stanleymhozi7590

    @stanleymhozi7590

    8 ай бұрын

    Pole

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb8 ай бұрын

    Amen Pastor nambarikiwa na mafundisho yko mungu akuinuee kiwango Cha juu sana

  • @DinahBishibura-ji3dv
    @DinahBishibura-ji3dv8 ай бұрын

    Pr nakupenda barikiwa sana umenifungua ability kuhu lmani ya Yesu

  • @zainamathieu6216
    @zainamathieu62162 ай бұрын

    Asante sana mchu fajo kwa neno nzuri yaku tuimiza Katika safari ya kwenda mbinguni

  • @user-rv6xv7yf8n
    @user-rv6xv7yf8n8 ай бұрын

    Mchungaji mungu akubariki kwa mafundisho yako mazuri

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi89458 ай бұрын

    Amen Amen powerful teachings asante kwa Neno

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c5 ай бұрын

    Ahsante pastor barikiwa sana

  • @marcelineshanga9811
    @marcelineshanga98117 ай бұрын

    Mungu..akupemaisha.marefu....ilitufuzwe ..sisi.wakongo..mani.tunakupenda..saaaaaaaana.muchungaji.kwakupeda. wakongo

  • @ELIZABETHMBEWE-sl7zt
    @ELIZABETHMBEWE-sl7zt8 ай бұрын

    Pastor nashukuru Kwa SoMo nzuri, nomba umuombee Helman ameathirika na bangi ni kijana wangu

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa48168 ай бұрын

    Amina Amina

  • @jenestermabati4409
    @jenestermabati44098 ай бұрын

    Pr Niombee,nimekuwa mjane miaka 3 ya ndoa yangu.nimepita changamoto za kulea peke yangu bila msaada wa kifamilia bali nimeishi kwa manyanyaso kifamilia.kwa saaa kijana amekua ana miaka 20 sasa. Ombi langu tuna uhitaji wa mtaji ili kupata pesa ta kujenga nyumba ya kuishi mimi na mwanangu.Naamini Mungu atatenda maana amenuvusha pakubwa mno

  • @user-gs1ld5vd6e
    @user-gs1ld5vd6e8 ай бұрын

    Ameen, pastor nabarikiwa

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston1168 ай бұрын

    Amina 🇨🇩

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius95268 ай бұрын

    Amina barikiwa zaidi pastor hakika nimebarikiwa sana 🙏

  • @lucaspengo310
    @lucaspengo3108 ай бұрын

    Amina sana pasta

  • @vincentmalima1095
    @vincentmalima10958 ай бұрын

    Ubarikiwe pr

  • @PendoOscar
    @PendoOscar8 ай бұрын

    Mchungaji mungu akupe afya njema

  • @user-hp7eo8px2d
    @user-hp7eo8px2d8 ай бұрын

    Amina sana mchungaji

  • @leahmose1808
    @leahmose18088 ай бұрын

    Mungu akulinde mchungaji uzdi kutufundisha❤

  • @user-rp4db3pl7z
    @user-rp4db3pl7z8 ай бұрын

    Mungu tunusuru zaidi tupe imani thabiti hata ule mwisho (27/10/2023)status ya rafiki ilionyesha Picha ya papa akitangaza kuwaomba watu wote wafunge na kuomba kwaajili ya amani

  • @pascalngaya4050
    @pascalngaya40508 ай бұрын

    Ilikua iringa kilolo nn barikiwa sana.

  • @metrinenyongesa7757
    @metrinenyongesa77578 ай бұрын

    Mungu azidi kukupa hekima.maarifa , nguvu na ufahamu zaidi kutoka Kwake,,, keep on moving good gospel am blessed 🥰🥰🥰🥰

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo36378 ай бұрын

    Amina mchungaji

  • @dismasamani383
    @dismasamani3838 ай бұрын

    Ukweli kabisa, Mzee David. Vita vimeendelea saana, sehemu ya Mashariki ya DRC, tunalia

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi82116 ай бұрын

    Amen

  • @jailomhengilolo2898
    @jailomhengilolo28988 ай бұрын

    Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa neno hili,Bwana azidi kukutumia ahsante.

  • @faustermtavangu8212
    @faustermtavangu82128 ай бұрын

    Asante Mungu kwa kukutuma tunapona Roho na mwili . Barikiwa sana

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi76008 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @Gladys-iw8en
    @Gladys-iw8en8 ай бұрын

    Amen pasta

  • @user-he7cf3wp2p
    @user-he7cf3wp2p8 ай бұрын

    Nimebarikiwa sana kwa somo lako paster mungu atukuzwe kwa ajili yako

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 ай бұрын

    Amen

  • @purity134
    @purity1348 ай бұрын

    Asante sana pastor,hii iko wasi hata bibilia anasema Ole wao walio na mimba na wenye watoto wadogo

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh8 ай бұрын

    Amen Amen Amen. Asnte bwana Yesu kwajili ya ujumbe huuu wakutufungua machoo. Sifa heshima ni zako turehemu tusaidie tusijetukashindwa kufata maelekezo yako. Pastor mungu akubariki.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 ай бұрын

    Mungu atukuzwe saaana

  • @ttuphenarutto653
    @ttuphenarutto6538 ай бұрын

    Ubarikiwe mchungaji Leo nimejifunzakua Sheria ya mungu ndio kio inayomlika udhaifu wetu,naomba maombi ya uponyaji kutoka kenya

  • @Shalom2018
    @Shalom20188 ай бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @laridistrict4710
    @laridistrict47108 ай бұрын

    Bwana asifiwe ..somo hili limeguza hitanji kubwa mungu anifungue kwa magumu mbele yangu.YESU NIFICHE NDANI YAKO SINA RAFIKI MWINGINE ANINJUAYE NA KUNIPENDA KAMA WEWE.MAGUMU MBELE YANGU KWANZIA SASA NI YAKO .AHADI YA UPENDO KWANGU NAAMINI USHINDI WAKO....ROHO MTAKATIFU NA UKANJAE NDANI YANGU.........

  • @EasterEmanuel-wh9dz
    @EasterEmanuel-wh9dz7 ай бұрын

    Ameni

  • @emmanuelwambura2293
    @emmanuelwambura22938 ай бұрын

    ❤Amina kwa somo hiri ilaa tunabarikwa hapa turipo mungumu seregeti mungu akubariki uturetee mibaraka

  • @EllenMbota
    @EllenMbota8 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @calebmakori
    @calebmakori8 ай бұрын

    The law demands sinners should be punished but when a sinner repents ,Jesus forgives him /her then the law rejoices and says that's what i what. Be blessed

  • @rosegaspar4852
    @rosegaspar48528 ай бұрын

    AmenMt

  • @brothomas2708
    @brothomas27088 ай бұрын

    Pastor Mungu akuhekimishe katika ubora wake.

  • @patricktsongo4369
    @patricktsongo43698 ай бұрын

    May God bless you pastor. Patrick from DRC.

  • @zipporahmoraa6071
    @zipporahmoraa60718 ай бұрын

    Amina pst barikiwa saana niko na imani mtoto wangu atapona kwa jina la yesu ,hata kama niko mbali naye naomba Mungu amutembelee huko penye amelaswa kitandani🙏General kisii town na atarudi vyema nyumbani ili na yy afanye mtihani wa darasa na nane🙏

  • @aidaa8253
    @aidaa82538 ай бұрын

    AMEN ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @faithgakii6278
    @faithgakii62788 ай бұрын

    Asante kwa neno unifunza mengi kujua mungu zaidi mungu hazindi kukubariki siku zote

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe86768 ай бұрын

    Mjungaji barikiwa saaaaana Mungu akuneemeshe zaidi ili ututunzie imani zetu. Amen

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru90968 ай бұрын

    Wah.... ! kwa kweli hiii mafundisho ya leo umenifundisha mambo makuu mno hadi nakuta nimeshinda nikirundia imenibariki sana sana ...aki Pastor Mbaga Mungu azindi kukutumia kufundisha wengi kila saa na Ubarikiwe zaidi maana ingine ata zikua najua but kupitia kwako... Kabisa naendelea kukua kiimani tangu nikujue ...barikiwa sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @roselineombati670
    @roselineombati6708 ай бұрын

    Aki leo umenihubiri kabisa na kunitia moyo maana haijalishi wamesema nini ila inategemea Mungu amesema nini na yeye Ana uwezo na nguvu kuliko wao, nilikua na changamoto kazini hata nilifaa kuacha kazi lakini nimejifunza kuangalia na kumtumaini Mungu pia kutii sauti yake, amani imerejea moyoni baada ya kusikiza fundisho hili la leo, barikiwa mch.

  • @laurentruvugwa5514
    @laurentruvugwa55148 ай бұрын

    Mungu apewe sifa kwa kuwa tungari na watendaji kazi yake, ijapo kuwa changamoto za kisasa

  • @JoshuaPatrickManonga
    @JoshuaPatrickManonga8 ай бұрын

    Amina pr pasta ubarikiwe sana hakika nimesikia sauti ya MUNGU

  • @saumhamisi7320
    @saumhamisi73208 ай бұрын

    Ameeeeen

  • @pascal.kahwara
    @pascal.kahwara7 ай бұрын

    Mpinga kristo atainuka pale unyakuzi umesha timia. Its going to happen really first we don't have 50 years here on earth again.

  • @perisbosibori2249
    @perisbosibori22498 ай бұрын

    AMEN! We've been saved by GRACE. LORD, you've given us direction, help us to follow Your commandments. LORD, give me the strength to stand firm in FAITH until You come to take us home. GOD bless you Pastor for this timely message, 🙏🙌.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 ай бұрын

    Amen

  • @JoanKoech-ps7jt
    @JoanKoech-ps7jt8 ай бұрын

    Ubarikiwe Sana pastor nakuombea siku zote usidi kua na nguvu za mungu umekua mibaraka kwangu since 2021

  • @adarashidi8178
    @adarashidi81788 ай бұрын

    Amen 🙏🙌🔥

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge33118 ай бұрын

    Praise the Lord, binafsi mafundisho haya yamenisogeza karibu na Mungu Sana, ubarikiwe Pastor na kwa wale wenye shida mbalimbali hakika mkiamini zote zitakwisha.

  • @biirajulia1085

    @biirajulia1085

    8 ай бұрын

    Blss

  • @biirajulia1085

    @biirajulia1085

    8 ай бұрын

    Ble

  • @rachelsanga7472
    @rachelsanga74728 ай бұрын

    Ubarikiwe mchungaji nina imani kuwa kwaneema ya Mungu niwe ndani ya Yesu nimebarikiwa sana na somo

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 ай бұрын

    Amen

  • @danielwafula4447
    @danielwafula44478 ай бұрын

    Pastor may God bless you and the ministry. Kindly join me in praying and interceding on behalf of my Cousin, and elder in church, William Lumati ,who has been sick with nerve and parkinson issues that God may show him favour to restore his health. Thank you Pastor for being a blessing in my spiritual life since last year November.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 ай бұрын

    We are together in this

  • @user-bsarah
    @user-bsarah8 ай бұрын

    Barikiwa mtu wa mungu

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka37628 ай бұрын

    Emeeeen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter17098 ай бұрын

    Thank you Jesus

  • @user-qy3os3te7j
    @user-qy3os3te7j8 ай бұрын

    Ukweli kabisa mfia Dini ni karama. Mungu atusaidie.

  • @ephrasienasifiwe3393
    @ephrasienasifiwe33938 ай бұрын

    Mungu atubariki kupitia ubiri ili❤❤

  • @roselineombati670
    @roselineombati6708 ай бұрын

    Amina Amina Amina Amina

  • @alicenyakawa2449
    @alicenyakawa24498 ай бұрын

    Thank you pastor for timely message really I was discouraged due to some circumstances but God use you to deliver a message of encouraging and make someone who stuck to rise and continue on with the journey

  • @ianmuema3355
    @ianmuema33558 ай бұрын

    TO GOD BE THE GLORY

  • @christinendayiragije5689
    @christinendayiragije56898 ай бұрын

    Amen amen ❤

  • @DUKEKILIMU
    @DUKEKILIMU8 ай бұрын

    YESU NISAIDIE

  • @dubajohn2591
    @dubajohn25918 ай бұрын

    Mchungaj nakutafta xn cjui mungu atatukutanisha wap mtumishi

  • @Ungwamissi
    @Ungwamissi8 ай бұрын

    Amenn📖🙏

  • @JoanKoech-ps7jt
    @JoanKoech-ps7jt8 ай бұрын

    Pastor naomba maombi kwa pamoja uombee kijana wangu anatumia dawa ya kulevya

  • @emmanuelwambura2293
    @emmanuelwambura22938 ай бұрын

    🤝🤝 tuko pamocha

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline27518 ай бұрын

    Amen!!

  • @sauud2some471
    @sauud2some4718 ай бұрын

    Ameeeeen 🙏🙌🙌

  • @LukasSoso-bn4ch
    @LukasSoso-bn4ch8 ай бұрын

    BWANA YESU KRISTO ASIFIWE KWA MKATE

  • @ImeldaJohn-uy6ig
    @ImeldaJohn-uy6ig8 ай бұрын

    Mchungaji naitwa vitalice MWESE MKAMI naomba uniombee malango Yang yapate kufunguliwa

  • @edwardpiniel9925
    @edwardpiniel99258 ай бұрын

    Niombee paster

  • @Patience763
    @Patience7638 ай бұрын

    Pastor nilikua nimeokoka lakn kwa mafundisho najiona niokoke tena kwa kua nilitenda dhambi

  • @estermgendi677
    @estermgendi6778 ай бұрын

    Mchungaji hapo ni wapi nimlete mwangu mgonjwa

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi61468 ай бұрын

    Pastor nikiwa hapa kazini nimetoka kufanya ibada fupi naelekea kwenye chakula kuna eneo nimepita nikapata maumivu makali sana kwenye kichwa nyuma ya masikio na presha ikaanza kuwa sio sawa baada ya kwenda mbele kiasi nikarudi kawaida. wakati wa kurudi kupita pale ile hali ikanirudia tena nifanyeje? japo baada ya muda niko vizuri.

  • @rogzenaminja7980
    @rogzenaminja79808 ай бұрын

    Mchungaji naomba umuombee mume wangu ni mgonjwa :upande wa kushoto unaisha misuli, jicho limepoteza uoni,anakakamaa. Watoto hawaeleweki:ufahamu,akili, uwezo.wanalewa, madeni, masterbation, uongo, uvivu nk Mimi ni mgonjwa Pia. Ombea hii familia mchungaji usituache.

  • @williamsofia7372

    @williamsofia7372

    8 ай бұрын

    Mama pole. Sana uko wapi??

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge33118 ай бұрын

    Niwe na ushuhuda japo kwa ufupi, mwaka jana tumepata muujiza wa milion 50 kwa ajili ya matibabu ya mdogo wangu ambapo kwa cc kama familia tusingeweza kumudu gharama hiyo....lakini bado tunashangaa mdogo wangu huyo bado yuko masomon na anaendelea na doz (doz yake ni ndani mwaka 1.5), anasomea utatibu, tangu ameanza kuugua anafanya vzr ktk masomo yake kuliko apo mwanzo na kwa sasa kila mgonjwa anayemhudumia anarejewa na afya watu wanampenda na hata imefikia hatua professor wake anamuamini na kumuagiza shughur mbalimbali kizuri zaidi kwa sasa kama familia hatushughuriki na karo yake, muda wake wa likizo unatosha yy kufanya kazi na kupata pesa ya kumudu kujilipia karo na mahitaji yote, kwa kweli tunaona ni utukufu wa Mungu tuu uliomfunika.

  • @williamsofia7372

    @williamsofia7372

    8 ай бұрын

    Aminaa... Asante kwa ushuuda pia.kumtegemea Mungu kunalipaa.

  • @mush337
    @mush3378 ай бұрын

    Kuna mhubiri anaitwa Francis Ndacha,yeye hutumia siku zote kusema SDA ni ya shetani Kila siku hio ndio crusade yake

  • @jenestermabati4409
    @jenestermabati44098 ай бұрын

    Pr Niombee,nimekuwa mjane miaka 3 ya ndoa yangu.nimepita changamoto za kulea peke yangu bila msaada wa kifamilia bali nimeishi kwa manyanyaso kifamilia.kwa saaa kijana amekua ana miaka 20 sasa. Ombi langu tuna uhitaji wa mtaji ili kupata pesa ta kujenga nyumba ya kuishi mimi na mwanangu.Naamini Mungu atatenda maana amenuvusha pakubwa mno

  • @williamsofia7372

    @williamsofia7372

    8 ай бұрын

    Umekwisha kupata pesa

  • @jenestermabati4409

    @jenestermabati4409

    8 ай бұрын

    @@williamsofia7372 Amina

  • @ianmuema3355
    @ianmuema33558 ай бұрын

    TO GOD BE THE GLORY

  • @toshalulinda1493
    @toshalulinda14938 ай бұрын

    Amen