PART 2-IMANI HII ITAKUPA USHINDI MPINGA KRISTO AKIINUKA - PR. DAVID MMBAGA

JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@HopeforAfricaTv?si=kT3BRCfCh2-xGBXl

Пікірлер: 30

  • @queensusany8078
    @queensusany80788 ай бұрын

    Tangu nilipoanza kufatilia mahubiri Yako,nimekua kiroho,ninaimani Sana na yesu!ninapokutana na changamoto Sina hofu kama nilivyokuwa zamani.namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na wewe,ubarikiwe na upewe afya Ili kupitia neno /ujumbe unaotoa watu wazdi kumuona Yesu,na kumtegemea Mungu.

  • @calebmakori
    @calebmakori8 ай бұрын

    Amen. lakini umeniaja na njaa ya kujua zaidi kitabu cha zabuli 51

  • @user-in4wi7ej7i
    @user-in4wi7ej7i6 ай бұрын

    Namshukuru Mungu sana kwa kwa mafundisho yako. Ezekiel Marw a Niko Kenya.

  • @MildredShinali
    @MildredShinali8 ай бұрын

    Amina ubarikiwe Kwa somo

  • @luckmanhuxtler8306
    @luckmanhuxtler83068 ай бұрын

    Ubarikiwe mpaka washangae

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n8 ай бұрын

    Amina MUNGU tubariki

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo30528 ай бұрын

    Amen

  • @vanishMekubo
    @vanishMekubo7 ай бұрын

    Mungu akupaliki umenifusa mengi mashani mwangu

  • @Kerubo262
    @Kerubo2628 ай бұрын

    Amen Amen Mchungaji Mmbaga yaani nimejifuza mengi kwa kukufutilia.Mungu akubariki sana .

  • @sauud2some471
    @sauud2some4718 ай бұрын

    Ameen Mungu atusaidie tujue Ile kweli kabisa 🙏🙏🙏

  • @preciousngofira1479
    @preciousngofira14798 ай бұрын

    Amina pastor kwa neno lenye kukuza kiroho. Nashukuru Mungu kukupa uwezo mkubwa sana wa kuweza kutafsiri neno lake kama lilivyoandikwa.Azidi kukujalia Amen

  • @mariahaloyce5190
    @mariahaloyce51908 ай бұрын

    waiting

  • @kemuntorahab4649
    @kemuntorahab46498 ай бұрын

    Thanks

  • @jailomhengilolo2898
    @jailomhengilolo28988 ай бұрын

    Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa neno la uzima, Bwana azidi kukutumia ahsante.

  • @raheljose9524
    @raheljose95248 ай бұрын

    Asante Mungu kwa mtumishi wako huyu anaetupa neno lako. Mbariki sana.

  • @esperancekahindo7476
    @esperancekahindo74768 ай бұрын

    Asante mchungaji, kwakunifariji, maana hatiya ya dhambi ilijaa ndani yangu. Nitaangaliya yesu tu.

  • @eunicenasimiyu4256
    @eunicenasimiyu42568 ай бұрын

    Amina,bila Yesu,hatuwesi,sisi ni matawi na Mungu ni mzabi,mathayo 15:5

  • @user-mw8jb3ld7o
    @user-mw8jb3ld7o8 ай бұрын

    Ee Mwenyew MUNGU tutie nguv nyakati hz za pambano

  • @AlexJoseph-ss9nj
    @AlexJoseph-ss9njАй бұрын

    🙏

  • @virginiav4595
    @virginiav45958 ай бұрын

    Barikiwa.sana.

  • @emmanueliman7408
    @emmanueliman74088 ай бұрын

    Barikiwa Sana pr

  • @naturelle1097
    @naturelle10978 ай бұрын

    Amen❤❤❤

  • @JacklineMoti
    @JacklineMoti8 ай бұрын

    We waiting for you pastor

  • @user-tx6nz4up5h
    @user-tx6nz4up5h7 ай бұрын

    Mchungaji tunaomba namba tuwe tunatoa sadaka sisi tulioko mbali

  • @marthanyarosa3968
    @marthanyarosa39688 ай бұрын

    Na sisi wa online how do we send ours?

  • @Briansimiyu254
    @Briansimiyu2548 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @pjsite2390
    @pjsite23908 ай бұрын

    1)Unifutie Makosa yangu 2)unioshe uovu wangu 3) unitakase dhambi zangu maana nimejua mimi makosa yangu na dhambi yangu iih mbele yangu

  • @purity134
    @purity1348 ай бұрын

    Amen

  • @josykogei7647
    @josykogei76478 ай бұрын

    Amen

  • @cizatelesphore

    @cizatelesphore

    8 ай бұрын

    mchungaji ubarikiwe kwasomo kamahii ,Pia mungu atupe nguvu tubaki ndani Yake sikuzote hata ajapo mokozi