PART 2-IMANI HII ITAKUPA USHINDI MPINGA KRISTO AKIINUKA - PR. DAVID MMBAGA
JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@HopeforAfricaTv?si=kT3BRCfCh2-xGBXl
JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@HopeforAfricaTv?si=kT3BRCfCh2-xGBXl
Пікірлер: 30
Tangu nilipoanza kufatilia mahubiri Yako,nimekua kiroho,ninaimani Sana na yesu!ninapokutana na changamoto Sina hofu kama nilivyokuwa zamani.namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na wewe,ubarikiwe na upewe afya Ili kupitia neno /ujumbe unaotoa watu wazdi kumuona Yesu,na kumtegemea Mungu.
Amen. lakini umeniaja na njaa ya kujua zaidi kitabu cha zabuli 51
Namshukuru Mungu sana kwa kwa mafundisho yako. Ezekiel Marw a Niko Kenya.
Amina ubarikiwe Kwa somo
Ubarikiwe mpaka washangae
Amina MUNGU tubariki
Amen
Mungu akupaliki umenifusa mengi mashani mwangu
Amen Amen Mchungaji Mmbaga yaani nimejifuza mengi kwa kukufutilia.Mungu akubariki sana .
Ameen Mungu atusaidie tujue Ile kweli kabisa 🙏🙏🙏
Amina pastor kwa neno lenye kukuza kiroho. Nashukuru Mungu kukupa uwezo mkubwa sana wa kuweza kutafsiri neno lake kama lilivyoandikwa.Azidi kukujalia Amen
waiting
Thanks
Amina barikiwa mtumishi wa mfalme kwa neno la uzima, Bwana azidi kukutumia ahsante.
Asante Mungu kwa mtumishi wako huyu anaetupa neno lako. Mbariki sana.
Asante mchungaji, kwakunifariji, maana hatiya ya dhambi ilijaa ndani yangu. Nitaangaliya yesu tu.
Amina,bila Yesu,hatuwesi,sisi ni matawi na Mungu ni mzabi,mathayo 15:5
Ee Mwenyew MUNGU tutie nguv nyakati hz za pambano
🙏
Barikiwa.sana.
Barikiwa Sana pr
Amen❤❤❤
We waiting for you pastor
Mchungaji tunaomba namba tuwe tunatoa sadaka sisi tulioko mbali
Na sisi wa online how do we send ours?
❤❤❤❤❤❤
1)Unifutie Makosa yangu 2)unioshe uovu wangu 3) unitakase dhambi zangu maana nimejua mimi makosa yangu na dhambi yangu iih mbele yangu
Amen
Amen
@cizatelesphore
8 ай бұрын
mchungaji ubarikiwe kwasomo kamahii ,Pia mungu atupe nguvu tubaki ndani Yake sikuzote hata ajapo mokozi