MAOMBI YA KUMFUNGUA MUME WAKO - MWL. ISAAC JAVAN
Haya ni maombi maalum kwa mwanamke aliyeolewa ambaye anapitia mambo yafuatayo:-
1. Mume wake ana mahusiano nje ya ndoa.
2. Mume wake ametelekeza familia.
3. Mume wake ametoka kwenye nafasi yake kama mume na kama baba wa familia.
Lengo la maombi haya ni kufungua vifungo vya kiroho ambavyo nyuma yake kuna mtu au watu. Mungu anapotaka kufanya jambo kwenye maisha, anatumia mtu. Shetani pia anapotaka kuharibu jambo, anatumia mtu. Kuna mtu au watu ambao shetani anawatumia kuharibu ndoa. Zipo ndoa zilizovunjika kwa sababu ya watu ambao shetani aliwatumia. Zipo familia zilizopoteza muelekeo na maono ya ki-Mungu kwa sababu kuna mtu au watu waliotumiwa na shetani kupitisha uharibifu. Ni maombi yetu ya kwamba maombi haya yafanyike msaada kwako, na Mungu aliye hai, kwa jina la YESU afanye urejesho kwenye ndoa yako.
Unapofanya maombi haya, simamia mstari huu, "Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe" [MARKO 10:9].
MUHIMU!
Usiombe maombi haya kwa mazoea! Omba kwa kumaanisha. Pata eneo lenye utulivu, paza sauti yako mbele za BWANA. Haya ni maombi ya vita, kwa hiyo omba kwa kumaanisha, usikae kimya katikati ya maombi. Hakikisha unapambana kwa ajili ya mume wako. Ukiona machozi yanatoka, usizuie, endelea. Mahali pa kukemea, kemea. Mahali pa kuamuru, amuru. Mungu anaenda kufanya kitu kikubwa kwa utukufu wa jina lake.
Mungu akubariki. Mshirikishe na mwanamke mwingine ambaye anaweza akanufaika na maombi haya.
Пікірлер: 819
MAELEKEZO BWANA YESU asifiwe. Haya maombi ni maalum kwa mwanamke aliyeolewa. Haya maombi si kwa ajili ya wachumba. Haya si maombi kwa ajili ya watu wanaoishi pamoja lakini hawajafunga ndoa. Haya ni maombi ya wanawake ambao wamefunga ndoa mbele ya madhabahu ya BWANA. Lengo la kuweka maombi haya ni kuwasaidia wanawake wanaopitia changamoto kwenye ndoa zao waweze kuomba na kumuona Mungu akiwatendea jambo. Tunashauri, jenga tabia ya kusimama wewe kama wewe kumuombea mume wako. Usijidharau. Amini ukiomba Mungu anasikia. Maono ya Channel hii ni kuwasaidia watu wafike mahali ambapo wanaweza wakajiombea wao wenyewe, na ndiyo maana tunaweka muongozo wa namna ya kuomba. Tamani kujua kuomba. Tamani kusimama wewe kama wewe mbele za BWANA kwa ajili ya ndoa yako. Tamani kuwa muombaji, kwa sababu inawezekana. Ng'ang'ana na YESU na atakujibu mwanangu.
@magdalenesyombua8085
2 жыл бұрын
Na wale ambao.wameachana na mume akaoa tena.
@festodivule6555
2 жыл бұрын
Kama unamchumba Ako ila kashikiliwa uko je haupasw kuyaomba
@festodivule6555
2 жыл бұрын
Kama ni mchumba angu ila Kuna mwanamke kamshikilia kichaw je spaswi kuomba
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
@@magdalenesyombua8085 Unaweza kuomba mwanangu
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
@@festodivule6555 haya maombi ni kwa ajili ya wanandoa mwanangu.
Mchungaji Mungu akutumie zaidi nimefanya maombi haya mida ya saa 4 maana mwanaume alikua ameNizimia cm hataki kabisa kuongea na anataka tuachane gafla tu bila Sababu ilikua jpl nikaona Hali inazidi kua mbaya ndo gafla leo KZread ndo naona maombi hayo nikaomba baada ya maombi sauti ikaniambia kimbia haraka katoe sadaka na sikua na hela nilikua na. Ela. Ya kula tu lakin ilibidi nitimue mbio kwenda kutuma. Saa hizi kapiga sm kwa upole na. Unyenyekevu .Nakushukuru Sana Mungu anaewatumia watu wake
@verenasemgen8873
11 ай бұрын
Amen
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe na kutukuzwa milele. YESU azidi kuwatetea na kulinda ndoa yenu. Amani ya YESU itawale na upendo wa kwanza urudi. Katika jina la YESU
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
@taboochendi8474
9 ай бұрын
Nasisi ambao tuko kwenye mahusiano natunafuatilia Haya maombi hatutasaidika ju hatujaoana
@agnesspaul1866
Ай бұрын
❤❤ Aminaaa
Aya ma ombi niya wana wake pekeyake Ila mimi natumiya nafasi iyi kwa ajili ya muke wangu kipenzi guilaine Tom's popote alipo damu ya yesu imufinike ilete Amani kila Léo kwenyi ndowa yetu na watoto wetu Isaac Tony Ibrahim Tony pamoja na Tatiana Tony watoto wangu wote hawa wazidi ku ishi ki MUNGU katika jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen nawa ombeya wana wake wote waliyo kuwa na ndowa Amani idumu kwenyi ndowa zawo na omba vile vile kwama binti wote ambawo hawaja olewa MUNGU Awa epusha natama za uli mwengu na awape ndowa zenyi kudumu hadi uze narudiya tena MUNGU akubariki ndowa zenyi kudumu Amen Amen Amen 🙏 bila kumu sa Abu ndugu yangu prunelle popote alipo MUNGU amu epushe naki buri natama kwa jina la YESU CHRISTU amu epushe nakila hasira kali namaneno makali kwa jina la YESU CHRISTU Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏 mtu mishi wa MUNGU Isaac Java MUNGU akubariki sana popote ulipo baba
@IsaacJavan
5 ай бұрын
Amen Mungu akubariki na akupe haja za moyo wako. Pokea sawasawa na imani yako
AMINA,NIMEANZA na wewe nimemaliza na wewe Asante Yesu akutetee,mme wangu amenikimbia na anaishi na mwanamk aliepewa taraka,asikii Wala aoni ataki kuniona Ila kwa maombi haya amerudi kwangu,
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen YESU akutendee makuu na akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu
@zabiburashid
19 күн бұрын
@@IsaacJavanhabari baba
Leo trh 28/10/2023. Nimesikiliza na kuomba pamoja na wewe Mtumishi..... Kuanzia sasa Nina amini Mumewangu amefunguliwa, sitalia tena. Mumewangu Emma ametoka ktk kifungo..... Asante yesu kwa kumkomboa Mumewangu.... ... Kwa Jina La Yesu ninaenda kuuanza mwezi 11 kwa Amani na vicheko ktk Ndoa yangu...... Kwakuwa Mungu Umekwisha Ijenga upya Ndoa yangu. Nami nakuhaidi SITOKUACHA SIKUZOTE ZA MAISHA YANGU... NITAKUSHUKURU NA KUSHUHUDIA UKUU WAKO KUPITIA NDOA YANGU.........nami pia ninawaombea wanawake wenzengu wote wakafunguliwe leo kwa jina la YESU KRISTO AMEEEEN
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen mwanangu YESU akupe amani na akutetee na kukulinda daima. Damu ya YESU inene maneno mazuri kwa ajili yako. Amen
Eeee mungu wangu narudia tena kwenye haya maombi nina imani yana nguvu sana....Eeee mungu baba asante kwa neema yako...Eeee baba narudia tena mbele zako ninamfukuza mke mwenza alie leta majonzi,machozi na vurugu kwenye ndoa yangu namfukuza naweka ukutu kati yake na mume wangu....Eee Bwana ninakuomba huu mwaka uwe wa mwisho nakataaa uke wenza kwenye ndoa yangu ameeeen
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen Amen YESU akushindie na aiponye ndoa yako kwa utukufu wa jina lake. Damu ya YESU isimame upande wako na kufanya ukombozi wa nafsi kati yako na mume wako. Amani na upendo wa kwanza urudi na YESU awalinde na kuwatunza.
@HappyJ-lr9sn
2 ай бұрын
Ameni kipenzi.
@HappyJ-lr9sn
2 ай бұрын
@@IsaacJavan Same to me Pastor
@moumou2856
2 ай бұрын
🙏🙏
@christinaoyye4059
2 ай бұрын
Amen yaani nimepata nguvu ya ajabu wakati naomba maombi nashukuru sana sasa nasubiri matokeo kwa damau ya yesu
Kupitia maombi haya ninaamin mume wangu atrurudi kwangu na atanipenda na atanijal mimi pamoja na mtoto amen
Msamaha ni uponyaji hakika nimemwona Mungu kwa ndoa yangu jina la Bwana Yesu libarikiwe hao maadui wameshindwa kupitia maombi haya be blessed servant of God 🙏🙏
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen Amen mwanangu. YESU azidi kukuonekania katika mambo yote. Ubarikiwe sana
Asante kwa maono maana tunapitia changamoto juu ya waume mungu wa mbinguni azidi kukutumia juu ya watu wake ubalikiwe kwa huduma hii.
@IsaacJavan
9 ай бұрын
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote. Damu ya YESU inene mema kwa ajili yako na kukushindia daima 🙏
Asifiwe yesu bishop naoba ushauri kutoka kwako kwa sababu mm nime changaniykiwa mume wangu amenisaliti na mwanamke mwengine nilivo juwa nika muliza akakubali makosa yake anasema nimsamee hata rudia tena lakini mm inaniuma sana sija mkosea bona anisaliti mm aliaza kunidarau aliacha kunijali kube alikuwa na mwanamke mwengine aki na huyo mwanamke pia amenioba msamaa aka sema atamacha mume wangu 😭😭
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Pole mwanangu kwa yote unayopitia kwenye ndoa yako. Ninaelewa umeumizwa na moyo wako umevunjika kutokana na yote yaliyotokea kwenye ndoa yako. Lakini, huu si mwisho wa ndoa yako, bado Mungu anakuwazia mema. Nakushauri, umsamehe mume wako kwa sababu ameshatubia makosa yake. Muombe Mungu akutie nguvu ya kusimama tena na kusahau yaliyopita ili muweze kusonga mbele. Lakini anza kutumia maombi kama silaha yako kuu kwa ajili ya ulinzi na ustawi wa ndoa yako. YESU anakupenda. Usiogope.
Nimebarikiwa na hayo maombi sana najua Kuna jambo mungu anaenda kutenda amen
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu. YESU akutendee kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe
Ameen Baba namuombea mme wangu aache kunywa pombe na aache kuchelewa kurudi nyumbani.kila siraha iteketee kwa jina la yesu ameeni.
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen YESU akutane na haja za moyo wako na akupe ushindi
Amen nakomboa doa yangu Kwa damu ya yesu uadui ulioko kati yangu na mume wangu u kaondoke Kwa damu ya yesu madawa aliyo lishwa ya kiuchawi ukaondoke Kwa tumbo lake katika damu ya yesu na upendo ukarije Kwa damu ya yesu
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amen. Amen. Amen. Mungu wetu ni mwaminifu. Alitenda, ametenda, anatenda na atatenda. Yeye ni yule yule jana, leo na hata milele. Shetani anaenda kuaibishwa kwa Jina la Yesu. Naamini Mungu amejibu maombi kwa jina la Yesu Kristo. Amen.
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu YESU anaweza yote. YESU anakupenda. YESU akutane na haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana kwa baraka za milele yote
Amen Natii Haya Maombi. Mapenzi yako Mungu na Yatimie Amen
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Mungu akubariki sana na kukupa ushindi kwa utukufu wa jina lake takatifu
Thanks for the good prayer, I will come soon with the testimony in Jesus mighty name Amen 🙏🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen my daughter may the power of the Holy Spirit minister to you and grant you victory in Jesus name. God bless you forever
@magrethmsaky4153
2 жыл бұрын
@@IsaacJavan amem
@magrethmsaky4153
2 жыл бұрын
Amen
Libarikiwe jina la Bwana Yesu...Ahsante kwa maombi haya.Nimeomba na nitaendelea.Ninaamini Mungu atatutendea soon kwa jina la Yesu.
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen mwanangu. Zidi kubarikiwa na BWANA YESU. Mungu akutane na haja za moyo wako na akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe sana. Amen.
Amen ubarikiwe naamni mume wangu atarudi kwa maombi hay miaka miwili sasa
@verenasemgen8873
7 ай бұрын
Mungu atukumbuke miaka miwili mie miezi 5 naona kama miaka
@IsaacJavan
6 ай бұрын
YESU akupe ushindi kwa utukufu wa jina lake
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Mungu akupe ushindi
Amen Mungu kwa nguvi za Mungu kwa damu ya Yesu na Moto wa Yesu namfungua Mume wangu kwenye vifungo vyote alivyokuwa amefungwa na anarejea sasa na ukuta wa damu ya YESUitatulinda mumi Yeye na mwanetu Katika jina la YESU Kristo lipitalo majina amen
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Ameeen kubwa mtumishi wa mungu alishaanikimbia na kukata mawasiliano kwa maombi haya naamini mungu amesikia na atarudi kwa jina na kwa damu ya yesu ameeen ubarikiwe Sana mtumishi
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameen barikiwa mtumishi kupitia haya maombi Mungu anaenda kinishangaza
AMEN UBARIKIWA BABA YANGU MTUMISHI ISAAC.MUNGU AMESIKIYA MAOMBI YETU 👏🤝🤝🤝✊✊✊♥️♥️♥️
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen mwanangu, Mungu akubariki kwa baraka za milele
Amina asante sana mtumishi wa Bwana Yesu. Hakika ni maombi yenye uvuvio wa Roho Mungu akubariki sana
@IsaacJavan
4 ай бұрын
Amen zidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele
Ee Mungu nakuomba umsaidie mme wangu kiuchumi ili maisha yabadilike Baba
@IsaacJavan
29 күн бұрын
Amen, YESU akupe haja ya moyo wako
Kwa jina la yesu damu ya yesu inanena mema Ameen kwajina la yesu nmefunguliwa mung n mwema naiman yeye n muweza sana
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU na uzidi kutembea kwenye ushindi
Amen amen mtumishi mim ninamaumiv makubwa mno mwanaume nimedumu naye kwenye mahusiano takilinab miaka 4 mwezi Kumi na mbili ndo alipaka aende nyumbn kufahamika kosa dogo tu kaniacha Yani kaniacha jamn nashindwa hata kulala mungu anisaidie kweli pekeangu sitaweza
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
YESU akutetee mwanangu na kukutia nguvu. Usiogope, Mungu anakuwazia mema na anayo mipango mizuri na maisha yako.
UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU NAAMINI KUPITIA MAOMBI HAYA NDOA NYINGI ZITAFUNGUKA AMEN
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu jina la BWANA YESU libarikiwe sana. Mungu akubariki, endelea kufuatilia mafundisho na maombi tunayoweka kwenye channel hii
@floramkumbo3991
2 жыл бұрын
Nina la bwana libarkiwe
Amen , Amen this was really powerful. I prayed and felt something in the spirit. God is faithful
@lilianwambui1325
Жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akutende mema mtumishi wa Mungu
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen my daughter, to JESUS be the praise and honor. May God meet you at the point of your need for His name's sake. God bless you and keep on praying till you receive it. Amen
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu ubarikiwe pia na BWANA YESU milele yote. Amen Amen
Ubarikiwe sana mchungaji kwa maombi haya ninaqmini nitapokea majibu kutoka kwa bwana juu ya mume wangu na siraha zote naamini zimevunjika kwa jina la yesu atalejea nyumban .
@IsaacJavan
3 ай бұрын
Amen Mungu akubariki na akushindie katika yote
Amen Amen.So powerful and believing that it will change my husband
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen my daughter, may Jesus change your husband and heal your marriage for His name's sake. God bless you
@winiwill
Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Asante naamini nimemfungua mme wangu Kwa jina la Yesu
Amen natii haya maombi . Mapenzi yako yatimie juu yetu amen
@IsaacJavan
4 ай бұрын
Amen YESU akutane na haja ya moyo wako kwa utukufu wa jina lake
Asante kwa maombi haya mungu akubariki Sana amen
Mchungaji mungu akubaliki sana. Aenderee kukutunza Kila wakati naamini mume wangu na Mimi ndoa yetu imerudi katika jina layesu kirstu baba yetu arie hai amen.❤❤
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe na kubarikiwa milele yote. YESU akupe amani yake na ushindi daima
Kupitia maombi hy naamini mume wangu atarud nyumbani na tutapendana Kama zamani....Amen
Namkomboa mume wangu kwa damu ya yesu nashukuru sana mtumishi wa mungu Nina Imani ndoa inarnda kuwa na amani
@IsaacJavan
3 ай бұрын
Amen Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU. Mungu akupe haja za moyo wako
@SarahAmani-he8qf
3 ай бұрын
Amina baba
Naamini kupitia mahombi haya mume wangu amefunguliwa tayari kupitia damu ya bwana wetu yesu christo Naamini nitarudi tena apa kutowa ushuuda na kumshukuru mungu wangu kwa makuu na mahajabu yenye atanitendea kupitia mahombi haya Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana na akuhongezeye siku za kuishi wewe na familia yako yote kwa ujumla Bwana yesu asifiwe sana
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu, YESU ni mwaminifu, nami ninaamini anaenda kukutendea makuu kwa utukufu wa jina lake. Mungu akubariki na akutane na haa ya moyo wako mwanangu. Amen
@kitunganochristine1346
2 жыл бұрын
@@IsaacJavan Amen
@bahatimaige6666
2 жыл бұрын
Naamini kupitia maombi haya mume wangu amefunguliwa kutoka kwa makahaba na kurudi nyumbani kuleta amani na familia yetu! Amina!
Asifiwe yesu dady asante kwa maombi haya mungu akubariki sana🙏🙏🙏🙏🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU akutendee makuu
Ubarikiwe sana na bwana kwa maombi mazuri 🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
@matildaff6728
2 жыл бұрын
@@IsaacJavan Amen 🙏
@wazirichiduo52
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe kwa maombi mazuri
@wazirichiduo52
2 жыл бұрын
Naitaji kuawasiliana nawe
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
@@wazirichiduo52 Amen ubarikiwe na BWANA YESU
kupitia maombi hay naomba ndoa yangu ikawe nafurah kuanzia leo amin
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake takatifu
Mtumishi Mungu akubariki kwa maombi yako najua mine wangu atafunguliw
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen Damu ya YESU ikupambanie na kukupa ushindi
Amen 🙏,nakomboa ndoa yangu kwa damu ya yesu 🙏
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele
Nakushukulu kwa maombi yako kupitia maombi haya mme wangu anafunguka naamini anafunguka mngu akubaliki amee
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu. YESU akutane na haja ya moyo wako. Ubarikiwe sana
Asante yesu kwa ajili ya mtumishi wako nilkiuwa nimemchukia sana mume wangu kupitia haya maombi naona furaha ba upendo vinarejea hatutaachana kwa jina la Yesu
Asante Sana muchungaji naamini kupitia maombi Aya tutafanikiwa Sana na kufanya Mambo makubwa kwa jina la YESU,
Nina kila sababu ya kuku shukulu mtumish kwan umenipanujaaili wa kuikomboa nafai ya mume wangu nimefukah sana kushuliki haya naomba naomba mwenyez Mungu asinipungukie kwa kila nilichoo kiomba Ktk jina lake yesu kristu Aimen
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe milele yote. Nashukuru sana kwa yote ambayo Mungu amekufanyia. YESU azidi kukutetea na kukupigania daima. Ubarikiwe sana
Amen haya maombi yamenisaidia sana tena sana Mungu awaongezee akili na hekima zaidi
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu, zidi kubarikiwa na YESU azidi kutenda makuu kwenye maisha yako kwa utukufu wa jina la YESU. Amen Amen
Ame Amen 🙏 mchungaji mungu akubari sana nimeona ukuu wa mungu kupitia maombi aya.
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Namushukulu Mungu kwaajili yako maana nilikuwa nahangaika niombeje ili niweze kuludiana naye na tuweze kusameheana makosa yetu naomba Mungu akutunze na kuku tumia zaidi ikikupendeza naomba kuongea na wewe
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU. Mungu akushindie na damu ya YESU inene mema kwenye maombi yako.
Mchungaji huwa unanibariki sana sana na mafundisho yako. Nakufatiliaga mguu kwa mguu. Mungu akubariki sana baba.
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen Mungu akubariki sana kwa kufuatilia mafundisho tunayoweka kupitia Channel hii. Mungu akutane na haja za moyo wako na BWANA akupiganie na kukushindia katika mambo yako yote
Amen, nimepokea kwa jina la yesu kristo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@IsaacJavan
4 ай бұрын
Amen Amen ubarikiwe sana
Damu ya yesu mfunguwe mume wangu na pepo la uzizi leo hii anafunguliwa kwa jina la yesu
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen mwanangu, YESU akutendee makuu kwenye ndoa yako
Roho unavyo wafunguwa wengine nami pia unigusi napokea kufunguliwa kwa jina la Yesu Amen 🙏
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Mungu naomba umfungue mume wangu apate kazi na riziki za kutosha uwafungue mabosi zake wote waweze kumpatia kazi
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake
Amen mtumishi tumebarikiwa🙏
Namsamehe mume wangu Mara Saba sabini na shetana Hana mamlaka na ndoa yangu in Jesus name
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
@lugresiamamy5674
Жыл бұрын
@@IsaacJavan Amen
@christinayohana585
Жыл бұрын
Damu ya yesu ikanene mema ndoa yangu ikawe kama mwanzo
@IsaacJavan
Жыл бұрын
@@christinayohana585 Amen mwanangu, YESU akushindie
Mtumishi ubzrikiwa sana kwa maombi haya naombanukupigie
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
@verenasemgen8873
10 ай бұрын
Amen mtumishi
Amen namkomboa mume wangu aliyeniwekea chuki kwa kusikiliza maneno ya watu
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen YESU akupe ushindi
Bwana yesu asifie mungu naomba umufungulie mme wangu mungu nisaidie
@IsaacJavan
5 ай бұрын
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Asante sana Mtumishi wa Mungu nahisi nilikuwa na mzigo mzito sana lakini nimeutua
@IsaacJavan
5 ай бұрын
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amen God do miracles I trust in you
Kupitia maombi haya MUNGU utaleta amani na furaha ktk ndoa yangu. Amina
@IsaacJavan
3 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU akushindie
Ni josphine luhunga pastor ubarikiwe sana haya maombi ni moto niko na imani kupitia haya maombi mume wangu atarudi
@IsaacJavan
3 ай бұрын
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina la YESU
Barikiwa barikiwa katika jina la mungu
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen 🙏.. Asante kwà maombi Mazur ubarikiwe na tumebarukiwa Sana
Ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana niombee sana
@IsaacJavan
4 ай бұрын
Amen YESU akushindie kwa utukufu wa jina lake takatifu
Amina mume wangu maombi haya yakufungue wewe ni hekalu la bwana 1 kor 3:16
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen YESU akuonekanie na kukushindia kwenye ndoa yako. Amani na upendo wa kwanza urudi kwenye ndoa yako. Damu ya YESU ikushindie. Ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Bwana asifiwe 🙏🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen BWANA YESU asifiwe
Namuomba mungu amfungue mme wangu asibadilike badilike
Mungu akubariki mno mtumishi wake kupitia maombi haya na uona mkono wa mungu🙏🙏🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
@angelymahenge9276
2 жыл бұрын
Amina🙏🙏🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
@@angelymahenge9276 Amen mwanangu
Mungu akubaliki baba naendele kukutia nguvu AMINA❤️🤲
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu, zidi kubarikiwa na BWANA YESU milele
Naamini Mungu atatenda muujiza juu ya Mahusiano yangu yalio kufa yanaenda kulejeshwa sasa na kuwa ndoa Takatifu
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Navunjangome zinazonifalakanisha na mume wangu nilazihalibu kwa jina la Yesu Amen
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen YESU akupe ushindi mkuu
Ubarikiwe Sanna kwamaombi yako yenyengu nakunipa ujasili naamin yesu atajib amina
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU
Amina namwomba Mungu mume wangu aache kunywa pombe
@IsaacJavan
3 ай бұрын
Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake
Amina mtumishi hakika bwana anajibu maombi ubarikiwe mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen Amen jina la YESU lisifiwe na kutukuzwa sana. Ubarikiwe mwanangu
Asante yesu kwakumfunguwa mume wangu ameni 🙏🙏🙏🙏👏👏👏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu, sifa na utukufu kwa YESU. Ubarikiwe sana
Amee ubalikiwe kpitia maombi yako kuanzia sasa mme wangu atafunguliwa mngu akubaliki sana amee🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu, YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake
Amina mtumishi barikiwa sana naamini kupitia haya maombi mungu atatenda atamfungua mume wangu huu ni mwaka wa nne amenikimbia hataki mawasiliano na mimi hata kuniona hataki
@christinamasero6967
10 ай бұрын
Kwajina la yesu namfungua Mmewangu Ili niweze kupata kibari kwake nitendee
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen Amen YESU anaweza yote na anaenda kukushindia kwa utukufu wa jina lake takatifu. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen YESU akutane na haja ya moyo wako na akutendee sawasawa na uaminifu wake. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen mungu akubarik past maana kusema ukweli kupitia maombi haya ndoa yangu imepone mungu akuweke mika elf na aendelee kukupa maarf il tuendele kupna amn
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu, ubarikiwe sana, na BWANA YESU azidi kukutendea makuu kwa utukufu wa jina lake
Bwana yesu asifiwe nipo kwenye maombi yakumkomboa mume wa mtoto wangu haika na mume wake inossenti nimevutiwa na haya maombi mungu akubariki ameeni
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu, YESU akutane na haja ya moyo wako na akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake. Ubarikiwe na BWANA YESU milele
Asante mtumishii 🙏🙏🙏
@IsaacJavan
4 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Wow, Mume wangu, na mtumishi wa MUNGU.. endelea kuwa baraka kwa wengi.. nakuombea baba..
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mama ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Ubarikiwe mtumishi wamunga napokea na Mume wanga naamini amefungukaAmen.
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu, YESU akuonekanie na akupe ushindi na amani kwenye ndoa yako
Amena. Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amina! Asante Yesu Mungu umetenda
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote
Amen and amen zipasuke kwa Jina la yesu
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen Amen YESU akushindie
Ameeeni ubarikiwe mutumishi nahitaji ndoa yangu ifunguliwe kuanzia sasa
@IsaacJavan
4 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU. Nakuombea ushindi
Asante Yesu naona Sasa nimekuwa mwepesi ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ameeni nakomboa ndoa yangu Kwa damu ya yesu
@IsaacJavan
10 ай бұрын
Amen Amen damu ya YESU ikushindie
Ameni naamini mume wangu amefunguliwa kwa jina la yesu
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Amen Amen YESU azidi kukuonekania na kukushindia katika yote
Mungu a kubariki nimeskia kufunguliwa kwa mume wangu na kuinuliwa. yesu krisito apewe sifa
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe. Ubarikiwe na uzidi kutembea kwenye ushindi daima
Amen napokea kwa damu ya Yesu
Asante yesu kwa maombi ya ukombozi wa mume wangu rashidi mahenge
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen 🙏 hii Niko na chakamoto napitia mangumu sana juu ya mumw qangu
@IsaacJavan
Жыл бұрын
Pole mwanangu kwa yote unayopitia kwenye ndoa yako. Nakuombea ushindi. Endelea kufanya maombi haya na YESU atakufungua na kukupa amani kwenye ndoa yako. Ubarikiwe sana na BWANA YESU
@serahnthamba2097
Жыл бұрын
@@IsaacJavan Amen najua nitakuwa mshidi
@IsaacJavan
Жыл бұрын
@@serahnthamba2097 Amen Amen hallelujah
Amen...Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen ubarikiwe pia na BWANA YESU milele yote
Amina mtumishi ubarikiwe mno Asante kwa maombi haya🙏🙏🙏
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU milele
Asante yesu kwa ajili ya kunikutanish navmchumba wangu aliyeniblock ila atanitafuta tu kupitia maonbi haya mchungaji ubarikiwe sana baba ntakuw nakufatilia baba ubarikiwe popote ulipo
@IsaacJavan
3 ай бұрын
Amen ubarikiwe na BWANA YESU. Mungu akupe haja ya moyo wako sawasawa na mapenzi yake na uaminifu wake
Eemunguwangu naomba damyayesu ikanenemema juuya ndoayangu ,ikafute uchawiwote aliotekwa mumewangu ikamfungue mumewangu ikamuachanishe nauzinzi kilamitego aliyotegewa yakichawi naitawanya kwanjiasaba kwadamyayesu yenye thamani natangaza furaha, jamani, upendo naushikiano kwandoayangu ktk jinalayesu ameen
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen Amen YESU akupe ushindi mkuu kwa utukufu wa jina lake takatifu
Ameen Mtu wa Mungu nami napokea leo ushindi huu
@IsaacJavan
6 ай бұрын
Amen Amen YESU akutendee makuu kwa utukufu wa jina lake
Amen ubarikiwe mtumushi naamin mume wang atardi
@IsaacJavan
2 жыл бұрын
Amen mwanangu. YESU akushindie na aiponye ndoa yako kwa utukufu wa jina lake