MAOMBI YA KUMFUNGUA MUME WAKO | Kufuta Matamko Ya Kuachana | MWL. ISAAC JAVAN
Katika maombi ya leo, tunaenda kufuta matamko ya kuachana. YESU akutendee jambo na kuponya ndoa yako kupitia maombi haya.
MUHIMU!
Haya ni maombi maalum kwa mwanamke aliyeolewa ambaye anapitia mambo yafuatayo:-
1. Mume wake ana mahusiano nje ya ndoa.
2. Mume wake ametelekeza familia.
3. Mume wake ametoka kwenye nafasi yake kama mume na kama baba wa familia.
Пікірлер: 227
Mtumishi wa Mungu,hii ni siku yangu ya pili tangu nikupate,na huwezijua namna unavyonisaidia.Mungu Aliyekupa hii huduma akubariki mno.Ninamshukuru Mungu sana.Asante.
Namuachanisha mume wangu na yule mwanamke aliye zaa nae kwa jina la Yesu Kristo Amen
Namuachanisha mume wangu nauyo mwanamke. Alie nae Kwa jina la yesu
Niokoe mtumishi wng ndoa yangu iko mahakamanini mwezi wa 3 sasa mume wngu hataki tusuruhishwe anataka tu anipe taraka eee mungu naomba unisaidie maana mimi sitaki taraka wala sitaki mali zake namtaka mume wngu tu eee Yesu naomba unisaidie ninarudi tena mahakani trh 21 Mungu kupitia maombi yako haya yakavunje ule mpango wa taraka ushindwe kwa jina la Yesu 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏😭😭
Mume wangu saimon bernard waachane na huyo kahaba kuanzia sasa natumia moto wa roho mtakatifu wasambaratishe sasa kwa kina la yesu kristo amina asante sana mtumishi kwa maombi haya naamini mume wangu amefunguliwa
Mume wangu amemrudia mwanamke alie ni saliti nae saii hanijali tena wala kuni call,,hana haja ya kuongea na mm tena,, ananitusi kunidarau,,mm imefikia mahali ananitamkia nife 😭😭😭,, bishop sitaki kumpoteza mume wangu,, huyo mwanamke anamtumia madarau
Barikiwa sana mchungaji maombi yako yameufanya moyo wangu kuwa na amani tena na nina imani mahusiano yetu yatasimama tena kwasababu Mungu anasababu juu ya hili😭🙏🏽
Damu ya yesu iingilie Kati ya hiyo mwanamke aliyechukua mwanaume wangu iwatenganishe katika jina is yesu kristo Amen
Naamini kupitia maombi haya mume wangu atarudi kwa kina layesu
Mchungaji Mungu anakutumia sana kila nikiomba nawewe huwa napatwa amani baada ya uzito mzito mkubwa moyoni mwangu
Nimepokea kwa imani yangu naamini leo hii mume wangu anarejea nyumbani maana neno la mungu linasema lolote mliombalo amanini mmekwisha kupokea barikiwa sana baba
Asante mtumishi naamini ndoa yangu itapona na mume wangu Emanuel atafunguka kwa damu ya yesu
Ameen ubarikiwe mtumishi naamini mume wangu amefunguliwa ktk jina la yesu
Amen nashukuru mtumishi wa Mungu Kwa maombi yako najua Mungu ni mwaminifu atajibu ubarikiwe sana
Asante sana mutumishi wa mungu Kwa maombi
Amen pastor 🙏 🙌
Naomba toba na rehema mungu naomba unisamehe pale ambapo nilitamka kuachana na mchumba wangu nina omba unisamehe ninaomba unirehemu inawezekana maneno niliyotamka ninaomba baba unisamehe ktk jina la yesu
Asante yesu kwa rehema na toba kwaniaba ya mume
Ameen namfalakanisha mume wang na wanawake wote wa njee arudi kwangu kwa jina la yesu
Amen Amen