MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris
MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
KZread Link:
/ holyspiritconnect
Пікірлер: 151
Nafuta maneno yote mabaya yaliyotamkwa dhidi yangu, au nimejitamkia mwenyewe. Wote walionuia dhidi ya maisha yangu. Nayafuta kwa damu ya Yesu mwana wa Mungu aliye hai. AMEN
Kwa damu ya yesu natamka baraka na urejesho kwa doa yangu,natamka baraka kwa watoto wangu na kazi yangu,nafuta maneno mabaya kwa damu ya yesu.amen
Nafuta maneno yote mabaya ninayo tamkiwa na watu wote , majirani, jumuiya, ndugu zangu,na watu wote wanao haribu ndoa yangu, afya, watoto wangu, kila nguvu za kichawi zipate kuteketea kwa jina la yesu na ndamu ya yesu ikateketeze yote yaliyosemwa kwangu.🙏
Kwa Damu ya Yesu nafuta kila maneno niliyotamkiwa au niliyotamka mwenyewe,najitamkia afya njema ustawi pamoja na familia yangu
Ameen nafuta maneno mabaya yote watu walionitamkia juu yangu au nilojitamkia mm mwenyew dhidi ya hii mimba washindwe kwa jina la yesu wanaonitamkia vibaya juu ya hii mimba yangu
Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa na Yale niliyojitamkia mwenyewe kwa jina la Yesu
Damu ya Yesu ikafute Kila maneno mabaya niliyotamkiwa kinyume na maisha yangu nafuta kwa damu ya Yesu
Kwa Damu ya Yesu Kristu nafuta kila neno baya nililojitamkia mwenyewe nikiwa katika hali yoyote kwa kujua au kutokujua au kutaamkiwa ambayo leo hii yamekuwa mwiba kwangu nayafuta kwa Damu Yesu Kristu ,,,nageuza maneno hayo kuwa baraka kwangu 🙏🙏🙏
Amen nafuta maneno yote mabaya niliotamkiwa na mtu yeyote ama mimi mwenyewe nafuta maneno yote kwa damu ya Yesu na jitamkia matamko mema
Amen Mungu akubarik zaid 🙏 najitamkia baraka katika masomo yangu, amani ktk maisha yangu, afya yangu, mafanikio na uchumi wangu, mahusiano yangu, uhai wangu na imani yangu katka jina la Yesu Kristo🙏
@nowadianice4801
Жыл бұрын
Amina mtumishi napokea maombi haya kwa jina la Yesu yakazae matunda katika kila eneo la maisha yangu barikiwe sana mtumishi
Ameen nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mwenyewe na yote niliyotamkiwa na mtu yeyote nayafuta kwa jina la YESU
@isariashoo660
Жыл бұрын
Najitamkia mema juu ya afya yangu,kazi yangu watoto wangu na kila eneo la maisha yangu
Damu ya yesu ikawe juu yangu na yote niliyotamkiwa
Amina Mtumishi naaimi nimefungiliwa maana ulipoanza maombi kwamba nifuyafuteaneno niliyotamkiwa au kujitamkia nimeguatisha ghafla nimenza kupiga miayo ya ajabu Sana, Mungu akutie nguvu uzidi kutufungua.
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen ameeen
Ninafuta kwa damu ya Yesu kristo damu ya Yesu ikanene mema IJN AMEN 🙏🙏🙏
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Kwa jina la yesu hi maombi yawe yangu Kila nguvu za ngiza sikatike kwanzia in the name of Jesus Christ amen
Amen amen 🙏🙏🙏🤲🤲 barikiwa sana kakaa
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen ameeen
Amen,nimetangaza ushindi wa Kila kitu Asante mtumish.🇰🇪barikiwa
Nafuta Kila kitu kinilichowai kutamkiwa kibaya au kujitamkia au kujiwazia au walioniwazia maneno mabaya mm na wtt wangu nayafuta kwa jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI na Damu ya YESU KRISTO itufunike in the name of JESUS 🙏🙏🙏
Kwa damu ya yesu christo nina tamuka baraka katika maicha yangu afia uzawo nina tamuka neema ya milele amani ndoa n'a mambo yote mema kwangu kwajina la yesu christo AMEN Jina la bwana libarikiwe milele
@florencedamian1497
Жыл бұрын
Maneno ya watesi nayaduta kwa Damu ya Yesu
Natamka baraka katika maisha yangu kwenye ndoa afya uchumi wokovu familia ameeen
Kila maneno mabaya aliyonitamkia latifa na mumewe na salma na mwenyenyumba nayafuta kwa jina la yesu kristo🙏
Amen , najitamkia afya irudi ,navunja maneno yaliyo tamkwa na jirani yangu kumtamkia mwanangu kiwa atakufa mungu wamgu naomba maneno haya yasikifanyike
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen ameeen
@TeresiaShirima
Жыл бұрын
Damu Yesu unitakase kwa mapito ninayopitia
Kwa damu ya yesu kristu nafuta maneno mabaya juu ya maisha yangu liwe nimetamkiwa ama nlijitamkia nafuta kwa damu ya yesu kristu 🙏
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Ahsante sana mtumiahi kwa neno lako ameen
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
@MorinZadok
Жыл бұрын
Kwa damu ya yesu nimekombolewa amina
Kwa damu ya yesu na kwa jina la yesu nafuta kila maneno mabaya niliyotamkiwa na ndugu ,,marafiki majirani zangu ,,navifuta kwa jina la yesu aliehai🙏🙏🙏🙏
Amen mutumishi wamungu
Amen nime barikiwa sana na maombi na pia nimefunguliwa
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Ninafuta Kila mata mshi kwenye maisha yangu
Ni kweli Mutumishi wa Mungu wa kati hunaona shida inakulemelewa hunanzakusema bora nifwe Basi Mungu Baba anisamehee Na ndamu ya Yesu ivute maneno yote mabaya ilitoka kinjwanyi yangu katika njina la Yesu CHRISTU Amen
Amen nafuta Sasa kwa damu ya Yesu kristo
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen ameeen
Damu ya yesu ikafute maneno ambayo nilitamukiwa au kujitamkia mm mwenyewe
Yesu wewe ni mwema kwangu
Amina 🙏🙏 ubarukiwe mtumishi, naomba namba zako tafadhali
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Namba +255652796450
Nafuta maneno yote niliyotamka au kutamkiwa mabaya yoyote nafuta kwa damu ya yesu nakuyafuta nakuw nataka kwajina la yesu ameni
mungu akubariki mtumishi
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Ameni nawe Mungu akubariki myumishi
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Barikiwa sana najitamkia mema kwa maisha yangu watoto wangu familia yangu be blessed 🙏🙏🙏🙏
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
@MorinZadok
Жыл бұрын
Amen yesu ni mlinzi na tegemeo langu nashukuru mtimishi wa mungu,mungu wa amani azidi kukulinda asante kwa maombi
Natamka nataka ya afya yangu kwa jina layesu dami ya yesu ikanene mema katika jina la yesu kristo
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Ameen ameen tunayavunjakwa jina yesu
Nafuta kila chochote nilijitamkia mwenyewe Au kutamkiiwa nayafuta kwa damu ya yesu nafuta kwa damu yesu
Amina mtumishi umetufundisha jinsi ya kuomba barikiwa sana
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Amina👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏👏👏🙏🙏🙏🙏
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Kila maneno mabaya aliyonitamkia uyu amina na nadia haji husein nisipate kazi nayafuta kwa jina la yesu kristo
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Amen naomba mungu anisamehe mahali nimekosea na anibarki kupitia madhabahu haha ninajiunganisha siku ya Leo
Ameeen Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sanaa Sanaa
Aminaa ubalikiwe mtumishi
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Ameen mungu ni mwema tusimamie tupate kz na uyu amina anilipe pesa zangu leo kwa jina la yesu
@rehemamafalo6938
Жыл бұрын
Amen Mungu aendelee kunifundisha nakunishindia afya yangu nafamilia yangu
@fatumamamu7702
Жыл бұрын
Ninafuta Kila maneno mabaya niliotamkia katika ndoa yangu ya kwamba ctadumu kwenye ndoa yangu ninafuta Kwa damu ya Yesu kristo
Amina mtumishi
Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa na niliyojitamkia mwenyewe kwa jina la YESU
Amen amen baba
Mungu azidi kukuinua mtumishi tunabarikiw sama
Kipind nakuwa niliwa kujitamkia kuwa sina uzazi mpaka leo niko kwenye ndoa nahangaika kupata mtoto kwa jina la YESU nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkiaa
God bleees me in my life
Damu ya Yesu Kristo kwenye maisha yangu na ya watoto wangu
@TeresiaShirima
Жыл бұрын
Kupitia damu ya Yesu nafuta maneno mabaya niliyotamkiwa hayatasimama Wala hayatakuwa.
Amen amen
Damu ya yesu unitakeshe katika maisha yangu
Amen
Ameni mungu akubariki mtumishi
Ameniiiiiii
Amina nashukuru kwakusikia maneno ya mungu
Ameeen Asante Yesu 🙏
Mbona Yesu asifiwe
asante baba kwamaombi ambayo unatuombea nikweri kabisa
Natamka mema kwenye maisha yang niliotamkiwa
Nafuta kila maneno mabaya kwadamu ya yesu
Amen ubarikiwe
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Amen🙏
Nafut manen yot mabay niliotamkiw na kwjn la yesu nayafut kwnzia leo
Ameen damu ya Yesu kristo inilinde
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen ameeen
Mafuta maneno niliyo jinenea mwenyewe nayafuta kwa jina la yesu kirsto
Napokea kwajina la Bwana
Amina 🙏🙏
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen ameeen
Amina Amina
Amen 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 be blessed paster 👏🏼 👏🏼 👏🏼 👏🏼
@teresawanjiko5370
Жыл бұрын
Ni kweli nabii amen
Amina
Amen and Amen
🙏🙏🙏🙏
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba nifanikiwe uzao was tumbo language na amani ilejee kaita ndoa yangu
Nafuta maneno nliyotamkiwa na baba yangu
Ameen
Amen🤲🤲🤲
Ameeeeeeen
Kama mimi ni mengi sana nilitamkiwa na watu kwa sababu wakati nlikua mdogo nilikuanga na mdomo sana.na sahi wale nilikuanga natuzi sahi Hawako walikufa. Kwangu wangekua hai ningewaomba msamaha
Amen🙏🙏🙏🙏🇱🇧🇰🇪
Kilamaneno mabaya kinyume chamaishayangu nafuta kwadamu yayesu
Balikiw san mtumishi
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Mtumishi
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Yes
Natamka damu ya yesu inafuta maneno mabaya yote
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
en
Nafuta
Amen nafuta Sasa kwa damu ya Yesu kristo
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen ameeen
Amen amen
Amen
Amen 🙏
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
Ameen
Ameen
@HolySpiritConnect
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Amina
@nawikemwasamboma5510
2 жыл бұрын
Amina mtumishi
@fauziakimath7446
Жыл бұрын
@@nawikemwasamboma5510 AAAmeniiiii
@rebeccakiloba
Жыл бұрын
Amen
Natmk mema walisema sitafanikiwa natmk mema kwa jina la yesu nitafanikiwa mpk ninunua gari kwa jina la yesu kristor
Amen amen
Amen amen