#UNABII
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Пікірлер: 537
Hii si sawa kabisaa....sasa wewe ni mtumishi wa Mungu au Mungu mwenyewe
Nabii Mkuu nipo chini ya miguuni pako .Naomba muujiza kutoka kwako .Unifunguwe ni pate Mme wakuniowa .Nanipate kuzaa Watoto .. Naitwa Mawazo Mwamba Asante
@waytvtz2549
3 жыл бұрын
Kwanza badilisha jina hilo la mwanzo
Africa Africa Africa Africa mpaka lini ujinga utaiacha bara la Africa ..???? eti nabii mkuu...watu wanamlilia binadamu hichi ni kiwango cha juu cha ujinga....😧 Bwana Yesu wafungue watu wako macho..
Mungu na Mimi nifunguwe nimechoka na vifungo hivi nitoe na Mimi ,Mungu nimechoka kutokujuwa vifungo vilivyonifunga nitolee roho hizi nipe nguvu Tena Mungu nisimame
Mungu awape mwanga nuru yake iwaongoze mnadanganyika sana.
@noelsanga6853
3 жыл бұрын
Michezo ya kitoto hiii
@kpetres2872
3 жыл бұрын
@@noelsanga6853 ya kikubwa ipoje🤔
@hassanrashid8182
2 жыл бұрын
@@kpetres2872 😃
@marcelinkamuntu
Жыл бұрын
Kabisa hii ni Ujinga
@coastermahenge8910
Жыл бұрын
fafanua tunadanganywa kivipi???
Mungu wangu niyapi haya mungu yuko wapi jamani mungu tuokoe
Nabii mkuu ni Yesu tuu acheni kujipandisha mtashushwa hadi kuzimu
@zedianakangalawe4856
4 жыл бұрын
Umenena kweli
@andrewdiga5312
3 жыл бұрын
nikwl
Umechukua nafasi ya Mungu utahukumiwa sana. Wenzako wakiinuliwa wewe unachukia. Jehanam nndiko. Masksni Yako .Mungu Bado anakupenda kama tu utamsikilixa Roho MTAKATIFU. Ila wewe unaongozwa na nguvu za Giza ili kukitelia utukifu wa shetani. Tunakupenda tunakuomba Uyole hapo unapotumika ukamtumikie Mungu wa kweli.
Mbona huyu nabii namsikilizaga sana lakini anajitukuzaa sana kuliko MUNGU na kwa maombezi yake halitaji sana jina la MUNGU kwa nn,,Ila MUNGU atusaidie jamani 😭
Asante sana nabii mkuu kwa huduma yako nzuri nayakupendeza Mungu akuongezee maarifa
Aibu kweli GeorDavie anawasaidia Leo hii mnamtapeli kweli vibaya sana
Mungu tu ndio wakupigiwa magoti na kuombwa msamaha ,mungu wasamehe watu wako tunaishi nyakati za mwisho,mungu tufungue macho ya kiroho
@felistertsere2011
Жыл бұрын
Kabisa dear kweli kabisa mungu atusaidie 😭😭😭
mombo ya mtu bonafsi huwezi kuyaweka wazi Mungu akusaidie mtumishi,unatakiwa kumhubiri Yesu na si shida za watu angalia sana.
Asante Mungu kwa kutupa Nabii ni wakati wa kusonga mbele mwanafunzi wa chuo na Chekechea ni tofauti
@happylongino3913
4 жыл бұрын
Victoria Marco tatizo hela ya kumuona huyo nabii lakitatu changamoto
@mwlvicent5160
3 жыл бұрын
Hujielewi na wewe kumbe
@shushu8105
2 жыл бұрын
Subhan Allah nabii gani sasa nani kampa unabii ao kitabu gani katereshmiwa mnalana ninyi
@tazbernardmanda5176
3 ай бұрын
nabii wa mchongo
anatakiwa kukuomba rehema mungu ndipo wew umsameh jaman mpaka watu wanakusujudia jaman muogopen mungu😭😭
@prophetosmusa555
3 жыл бұрын
Ulitaka wasujudie mawe
@anitharoby6210
3 жыл бұрын
Ok
@athumanijuma2428
2 жыл бұрын
@@prophetosmusa555 Kuwa na busara mtumishi
Amina sana Huyo aliyepakwa mafuta ni jirani yangu kabisa kule loliondo mtaa wa keptulu kwel alikuwa na maisha magumu sana ingawa ni mtumishi mpka kwenda jela kwa maswala mbalimbali.Asante Kristo Yesu sababu umemuonekania kwa mtumishi wako
@prezdjooh3081
3 жыл бұрын
Shetani hutumia matatizo uliyonayo ni bora angeendelea kuteseka hivyo dunian ili siku akiiaga dunia apate uzima wa milele..
Pole munatakiwa kuhubiri watu ufalme wa Mungu ulio karibu kuja
Yesu simama kwa neno lako. Likawaponye na kuwatoa katika maangamizo yao. 1Yohana 4:1
Yesu uje manabii uliosema wametuchosha ,,nabii mkuu n yesu tu🙏
Mungu wangu mtumishi we we ni mwisho ukwer nakupenda sana natamani siku nikushike ata kiatu chako tu mtumishi nakupenda
@grdcgv7ufdwdfghh633
2 жыл бұрын
🤣🤣
Msipo soma biblia wakristo mta danganywa sana kuwa muislam ni neema na nuru kubwa alhamdulillah
Duh hii level nimeiogopa
Nabii GeorDavie Nashukuru Napoleon maomb yako🙏🙏🙏🙏🙏
Oh my God ,asante kwa kuwasamehea,Mungu akubariki..watakuridhi
Tafadhali jaman tumweshim Mungu akuna BABA dunian zid ya Mungu ata wewe austail kujiinua mwombe sana Mungu akusamee
Yesu tuhurumie mwadamu amekuwa Mungu
@stevenboymunuo6091
3 жыл бұрын
Mwaka sege
@stevenboymunuo6091
3 жыл бұрын
Mh yan webaba tubu maana mungu ana kuona
God🙏🙏 have mercy on your son
Baba ni Mungu Tu
Ubarikiwe mtumishi wa bwana napokea uponyaji wako Amen
Mungu atawahukumu wala sio sisi
Yani Inasikitisha sana,Wakuabudiwa Ni Mungu na Yesu aliye hai pekee
Siku za mwisho 🔊🔊🔊
Mungu akubariki sana geordive,NABII mkuu tanzania
@inesmataiyan3192
4 жыл бұрын
Mungu ibariki mikora ya manabii?
Machozi ya Imani na furaha yananitoka eeh Mungu, ubarikiwe sana Nabii kwa kubariki waamini wa Mungu aliyetuumba🙏🙏🙏
Inaailah wainaailaih rajiwun yaan mnamsujudia binaadam jaman muogopen mungu
I love you Prophet. You are very real
A really prophet. Mungu muhifadhi
Willing to come and pray with you prophet of God,
Mmmh! Zumarid part 2!!hivi yesu angeangalia makosa yet bas hakuna ambae angeish
@bahatigodelieve5796
3 жыл бұрын
Natick up a new baby Nautica anime keys to Gina need Sumo Asana America LaFerrari Sonic OC Kia Juan Acuna Miss Ada when you're big enough yeah yeah Rojo Yahoo no not been Latina on me. I'm not going to Aquatica Gonzalo hunam samoas Ana the Frye Seneca Pizza
@bahatigodelieve5796
3 жыл бұрын
Now you throw a Bocce godelieve Now You See Me Dayton Ohio Nautica uni uni on big Nico Nishida Danielle America nah would I stand up husa Kia number what what to windy who's who el mayor now I need to know what to do while weenie well we leave now or never tattoo Nanny Kona. Deca on Moon Bay a night with Gina Lackey, Dayton Ohio so
Pasta na kupata vizuri unafanya kazi ya mungu barikiwa
Pole sana baba. Pole kabisa wanadamu Tuko vile tunadanganyiwa sana Na muovu Shetani
Nakupenda mtumishi wamungu ubalikiwe sana sana sanaaaaaaa 🙏🌹🔥🔥
Tafadhali niombee naitwa Justus omukuba Niko Kenya niombee maisha yangu yafunguliwe
Kumbe shida ni sadaka anaempaka mtu mafuta ni Mungu tu! Sio ww hakuna nabii mkuu tofauti na Mungu ooh! Sio wewe mserha
@costvangazazaidi6208
4 жыл бұрын
Dogo Acha Upumbavu Kua na Heshima
@damianlugendo9161
4 жыл бұрын
@@costvangazazaidi6208 kwan shida nn bro niwie radhi km mekukera
@kidunudeo6597
4 жыл бұрын
Kaboa
Unyenyekevu mbele yako au mbele ya YESU kristo aliyehai
Huyo ndiye geordavie
Nawaza nafika mbari sana Asante sana Baba
"Lete sadaka inayostahili upate upako" Yesu kristo alikua anauza upako kama hawa manabii feki wa kizazi cha leo? Wakati Yesu alikua anambariki yeyote yule bila masharti yanayoegemea fedha, Ee bwana Yesu utusamehe kizazi hiki cha nyoka tunaowaza miujiza ya nguvu za giza namingine yakutengenezwa tukijua ndio kristo mwenyewe, Watu hawa wanaojiita manabii hauwasikii hata siku1 wakihubiri toba na kuacha dhambi bali wanahubiri ibada ya sadaka kila siku na kufariji watu kupata fedha na maisha mazuri ya kidunia.
@amraniissa530
4 жыл бұрын
Njema sana Mungu akutie nguvu kwa kuona haya yanayo endelea
@lizzyshoo8084
4 жыл бұрын
Ni shida sana kumwabudu mwanadamu 😬😬
@klystry1234
4 жыл бұрын
Hujaelewa
@elizabethngowi8404
2 жыл бұрын
Bro umezingumza kama vile wewe ni mkamilifu hakuna anaye weza ku judge mwengine kabla ya mungu mwenyewe tafuta kujuwa kweli usimsemee mtu (ubarikiwe)
@florianakhweso5749
2 жыл бұрын
Mwombe YESU akusamehe Kwa uovu wako kipofu na kiziwi
Dunia ina wapumbavu wengi sana,,,Ulaaniwe wewe Unaejitukuza bila kumtaja Mungu,,,yaani unapigiwa Magoti!!! ..Mungu muumbaji kama aiishivyo akupe pigo ambalo litawafundisha wengine namaanisha Mungu sio mungu
Innalilah wainailih rajiun.. Msiba mzito huu wallah
@abdallaanton5210
4 жыл бұрын
ALL AWANUSULU INSHAALLA
@festonsikamanga9437
4 жыл бұрын
Feston j sikamanga. +260978861865
@festonsikamanga9437
4 жыл бұрын
Zambians +260978861865 Kamanga
@abiboseleman1649
2 жыл бұрын
Achaneni na mambo ya dini uislam Ukristo wote hakuna jambo lá mungu tafuta kujua ukweli
Saa mchunguji unachofanya si sawa kweli nimeamini mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyee
Amen,Nabii I feel to touch your hands prophet ,natamani sana niombee nabii nami nifike Arusha
hapana hii siyo kweli ,,,shetani yupo kazini kweli hapanaaaa🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@neemamabeyo5619
3 жыл бұрын
Kabisaaa
Sasa akurehemu Mungu au Nabii? Watu mnakua Wajinga mbona? Mungu wetu hashirikiani Utukufu na mtu, hagawani Utukufu na mtu.
Nabii mkuu,glory to almighty God in heaven.Amen.................................
Dunia imeisha,,Mungu atusamehe sana
ahsante yesu
@lucyhusein4043
3 жыл бұрын
.asnte nabiii nakupenda sn
Kosa sana kuabudu mungu mtu na hiyo laana wasipokua makini itakula wengi
@zeramtedzi4115
Жыл бұрын
Kwa kweli hapo ninashindwa kujua kwamba nabii anazalisha manabii na sio kupewa nguvu na Mungu wa mbinguni kwa kweli anaabudiwa Mtu na anatoa kibali. Mungu tusaidie hapa haieleweki duuuuh
....siyajui mengi kuhusu Mungu aliyetuumba.......daaa
Waebrania 13:17nao inasema watiini wenye kuwaongoza na kuwanyenyekea kwa maana wao wanakesha kwajili ya roho zenu hivyo nabii uko vizuri sanaa nakuelewa lazima heshima uipate na naona kwa mambo makubwa unayoyafanya Watu wanazidi kuchanganyikiwa so piga kazi ya Mungu kwa maana hao wanaokoment ni wamechoka kiroho hawana nguvu ya Mungu ndo maana wao wanawaza mabaya tu waache waendelee kukoment maana inaonyesha ni jinsi gani wanavyokufuatlia so siku moja watakuelewa Mungu azidi kukujaza nguvu kubwa zaidi ya hii hata One day umfufue hata kiongozi mkubwa aliekufa kabisa ili baadae wasiseme maigizo kwako huwa ni live hakunaga maigizo
@chalesnguyaine9991
4 жыл бұрын
Waendelee kuumiza akili kwajili ako
@alisenipeter4307
4 жыл бұрын
Pamoja Sana huwezi kumzihaki.mtumishi wamungu walaniwe wote waliomtukana mtumishi
Is he God🙆♀️🙆♀️
Watu Wangu Wnaangamia kwa kukosa Maarifa,Apaswaye kusujudiwa ni Mungu tu, Soma Zaburi ya 111;1-10 Hleluya Nitamshukuru Bwana kwa Moyo wangu wote ,Barazani pa Wanyofu wa moyo na katika mkutano,Matendo ya Bwana ni Makuu,Yafikiriwa sana na Wapendezwao Nayo.Kazi yake ni heshima na Adhama,na haki yake yakaa milele,Amefanya Ukumbusho wa matendo yake ya Ajabu;Bwana ni Mwenye fadhili na Rehema,Amewapa Amchao Chakula,Atalikumbuka Agano lake milele,Amewajulisha Watu wake uwezo wa matendoyake,kwa kuwapa urithi wa Mataifa ,Matendo ya mikono yake ni kweli na Adili,Ameawapeleka Watu wake Ukombozi,Ameamuru Agano lake liwe la Milele,Jina lake ni Takatifu la kuogopwa .KUMCHA BWANA NDIYO MWANZO WA HEKIMA,Wote Wafanyayo hayo wana Akili njema,SIFA Zake zakaa milele.
@francethomas8059
2 жыл бұрын
Nikwer
@felistertsere2011
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu atupe macho ya rohoni😭😭
So sad from Kenya 😭😭😭
Amen
Nabii mkuu ni Mungu c mwanadamu ghai utamtamkiaje mwanadamu mwenzako akutumikie
Hapo ni kumsujudia binadam kuliko mungu.muombe mungu msamaha
Jamani machozi yananitoka nikiona makuu ya Mungu yakitendeka barikiwa nabii mkuu
@rosehinju7818
4 жыл бұрын
Carren Chigulu nyakati zamwisho binadamu tuna msahau mungu anasema yeye anyenyekewe yeye ila siyo mungu
@R.Dickon
4 жыл бұрын
Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; naye ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki. Mathayo 10:41
@graceeza9098
4 жыл бұрын
Naomba mwenye no za mtumoshi.
@ramakazina170
Жыл бұрын
Huu mchezo unahitaji wenye akili kubwa ila kama utakua na akili kidogo lazima uliwe
Hii ni ngurumo ya shetani si ya upako wa Mungu,tumshuhudie shetsni mubashara angalieni jamani Tanzania tuwe macho sana tumevamiwa kabisa.
@babaraka5133
4 жыл бұрын
Mmevamiwa na nini?? Tatizo watu mmeleweshwa na DINI
@omreuzex7109
4 жыл бұрын
@@babaraka5133 wa kuabudiwa ni Yesu Kristo pekee. Imeandikwa "mtawatambua kwa matunda yao". This is the devil, and you can't see it because the devil has already blindfolded your eyes. Poor you! Mtumishi wa Mungu kamwe Hachukui utukufu wa Mungu... haijalishi ni huduma gani umepewa.
@micamathew6433
4 жыл бұрын
Huyu mtu anayejiita nabii mkuu hatumii jina la Yesu Kristo. Anatumia jina lake. Sasa angalieni sana msiingie ktk kanisa hilo. Yaan kiufupi hapa shetani anafanya miujiza.
@katherinesubira2724
4 жыл бұрын
Unaumwa wewe
@micamathew6433
4 жыл бұрын
@@katherinesubira2724 anayeumwa ni ww dear! Kwasababu hujui!!
Hallelujah Jesus Christ
Baba kwa kweli ubarikiwe wewe ni zawadi yetu
Sema kwa tamaa
Loh!!!! Mungu wangu
Tobaaaaa mwanamke
Asante mungu
Wokovu u katika YESU KRISTO Pekee, tuwe makin shetan yupo kazin
@kidunudeo6597
4 жыл бұрын
Na bii ni mungu pekee sio yeye
@anitharoby6210
3 жыл бұрын
Ok
I started following recently n I'm happy to see that u r spiritually enlightened.honour in the spiritual realm is a way of receiving anoiting from those who are above us.the law of Honour works
Amina
Haki wewe ninabii.mungu akuongoze uzidi kutoa watu gizani.neema ya mungu iwejuu yako
Mungu akubariki sana
Hallelujah
Nakupenda Sana nabii mkuu.nihite nipate mafuta yako tu
Baba mungu akubariki milele
Hahahhahahaa Yaani nimebaki nachekaa kwakweli DINI HIZI 🔥🔥🔥🔥🔥 YESU TUFUNGUE MAARIFA
@jacksonmushi3595
4 жыл бұрын
Manbii wauogo ndoawajamani mamashuuda wauongo
@anitharoby6210
3 жыл бұрын
Imeandikwa wakuitwa baba in mungu tu
Ameeni wanyishee baba
Sijazaliwa kukumu Mungu ndiye mwenye kukumu'yule ni wa Mungu abaki kuwa wa Mungu yule ni wa shetani abaki kuwa wa shetani.
I received
Yesu alibariki bure
Savi sana
Inatisha mtu anajiita nabii mkuu halafu hao waumini hawastuki tatizo hawasomi maandiko. Na hawa wanaojiita mitume na manabii wanatumia upenyo Wa hali ngumu wadanganya watu kuwa watapata mafanikio wakishakuteka akili unachkua hata kidogo ulicho nacho unampa. Wanaita . SADAKA. Shida Iko.
Hapo sijakusoma nais unajua vizuli bibilia naunaitumia vibaya Mungu naakukanye kwajina la Yesu
Jaman mnapotea sana mtafuten yesu ndiyo mwenye majibu yamaisha yenu
dah kazi ipo we achakuwapoteza wanadamu
Hongera NABII mkuu
Amen nabii hallelujah
Wewe mzee ni Freemason Mim ni Muslim nimejalibu Kukufuatilia sana na izi uduma zako maana aujamzungumzia Kabisa nabii issa aleysalam Namaanisha nabi Issa yesu Yani unaogopa kabisa kumtaja
@merynjau5614
4 жыл бұрын
Kumbe na wewe umeonae yn we acha tu
Mimi hapa sina maoni kwa huduma. Lakini si huyo mtoto amejionea makuu jamaani. Baba anaguruma kama radi na kugaagaa huku, mama analia na kudhingiria huko. Maajabu' Aisee
YESU pekee ndo nabii jmn muogope MUNGU
@eliyasmunene6659
4 жыл бұрын
Eeeeeeeeeeeee
Wah Jesus have mercy here wah Have never see this in my life sure This is more than darkness
@stevek8318
4 жыл бұрын
Shida uliyoiona haha ni ipi?
@vailethtitus6462
4 жыл бұрын
Just believe in Jesus and everything will work out for you
Mmhh!!!!!! Mazito haya, mie sitaki huu upuuzi
@mariamumariamutvsubscribe792
3 жыл бұрын
Eee!!
Nitakutii siku zote za maisha yangu??dah mambo kweli