UTACHEKA..!!! MACHALII WA R WALIVYO TIMBA KWA NABII MKUU GEORDAVIE

Ойын-сауық

Пікірлер: 399

  • @fredymponji1423
    @fredymponji142310 ай бұрын

    Hizo sifa kana kwamba ni maadili ya kuigwa, now I understand Godbless Lema. Humo ukute kuna wanaoabudu na wana njaa na shida, ila kutafuta umaarufu.

  • @idrisssaidi4530
    @idrisssaidi453010 ай бұрын

    kweli Miskiti ni Nyumba Ya Mungu uwezi kuta upuuzi kama uuwu

  • @ellgodfather282

    @ellgodfather282

    10 ай бұрын

    Roho Mtakatifu ndiyo jibu njue Yesu

  • @zeddymourice4249

    @zeddymourice4249

    10 ай бұрын

    Acha upuuzi wewe Imani ndio kila kitu hakuna Cha msikiti Wala kanisa,alafu angalia matendo yako usiyaangalie yamwingine.

  • @babydlagwen9446

    @babydlagwen9446

    10 ай бұрын

    Kanisani ni mahali pakufurahi

  • @thomasndewa4797

    @thomasndewa4797

    10 ай бұрын

    Takbirrr

  • @thomasndewa4797

    @thomasndewa4797

    10 ай бұрын

    Poleni Tanzani mumefungwa ufahamu wa kutambua fake pro

  • @happynescostat7420
    @happynescostat74209 ай бұрын

    Mchungaji uyu abarikiwe Sana,Achagui Abagui Ni mfano wa YESU!

  • @user-allan448

    @user-allan448

    2 ай бұрын

    Wewe Una akili kweli huyu unafananisha na Yesu?

  • @user-mi7yx8ew1k

    @user-mi7yx8ew1k

    11 күн бұрын

    ​@@user-allan448mpuuz uyo happy

  • @christophermakunzo4232
    @christophermakunzo423210 ай бұрын

    Hit ndiyo Injili ya wazi na kweli kuwasaidia wasio na uwezo na kuisaidia Injili. Kristo alilisha kundi kubwa la watu kwa sababu alikuwa nan uwezo wa kufanya hivyo. Napenda sana tu shida uwezo wangu mdogo....

  • @user-hg1mb1gh2i
    @user-hg1mb1gh2i10 ай бұрын

    Hats Yesu hakuja duniani Kwa ajili ya wakamilifu!

  • @user-po5nk4wd1c

    @user-po5nk4wd1c

    10 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @SamwelJoseph-yk3cw

    @SamwelJoseph-yk3cw

    6 ай бұрын

    Of course

  • @user-bt3wt6nt4z

    @user-bt3wt6nt4z

    3 ай бұрын

    Inawezekana 😂😂

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga43822 ай бұрын

    Watu wanahitaji msaada wa kiroho munashindwa kuwaongoza sara ya toba wamujue yesu

  • @KelvinMahimbo-pc2wg

    @KelvinMahimbo-pc2wg

    Ай бұрын

    Sara ya toba sio jambo la haraka kwa mtu soma vizuri

  • @rosemaryikamba5288
    @rosemaryikamba528810 ай бұрын

    Ngurumo ya Upako is unique place ambayo huwezi ipata mahali popote Especially katika makanisa hawa vijana wametengwa kabisa kwamba niwahuni hawafai hata sogelea mlango wa kanisa Ni lazma wakaribishwe wakiwa karibu ni rahisi kubadilika Big hug Sana BABA yangu NABII MKUU GEORDAVIE

  • @laurentraphael5470

    @laurentraphael5470

    10 ай бұрын

    Unique place for devil worshippers. Nonsense

  • @warakawayohana2896

    @warakawayohana2896

    10 ай бұрын

    Wamekuja kuchangamsha kanisa 😂😂😂 ndio uamsho huo maana uamsho wa Roho Mtakatifu haupo

  • @mwinjilistiaristidesmeja1834

    @mwinjilistiaristidesmeja1834

    10 ай бұрын

    Kwa kweli wamekuja kuchangamsha maana limepoa sababu roho wa Mungu Hayupo, kwa hawa wanaleta roho wa dunia na watu wamechangamka kweli, vizuri mmmhh

  • @misertz9633

    @misertz9633

    10 ай бұрын

    Kumbe on baba yako waooo kazanA

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    9 ай бұрын

    Uchawi makanisani,watu ni wavivu hamsomi neno hamyajui maandiko ndo mana hamuelewi maana ya kanisa.hiyo ni shivas no 2 na bado mtakomeshwa waabudu watu mpaka siku mtakapojua kufungua bible wenyewe na kusoma na kupata ufahamu.sasa hamtaelewa but later you will understand.l pray it won't be too late.

  • @Emmanuellobelo
    @Emmanuellobelo10 ай бұрын

    Big up sana Nabii mkuu Baba GeorDevi ,hakika hii ni kazi ya mungu na kazi sahihi ya mungu sio tu kuwaita watu waliothabiti na wakamilifu kanisani ila Kanisa ni sehemu huenda wenye shida mbalimbali ili wakapate faraja ya moyo na kubadilishwa kuwa katika ukuu wa mungu

  • @desirengenerwasobanuka9015

    @desirengenerwasobanuka9015

    10 ай бұрын

    Kazi ya Mungu gani iko hapa? Nawe umekuwa mjinga kama wengine. Haya unayasoma wapi katika Biblia wewe mjinga.

  • @anatoryjames4128
    @anatoryjames41288 ай бұрын

    Hacheni kujaji sana kila mtu mungu kampa kipaji chake uyo nabii sio kwamba hajui kuwaongoza Sara ya toba bali kawasogeza kimaisha kuna watu wanjifanya ni watakatifu kumbe waovu wachenu hao vijapa wapambane na maisha yao bhana

  • @godlistenlaban9933

    @godlistenlaban9933

    7 ай бұрын

    Wakatoke kimaisha bila kutegemea Mungu.... Wasahau hilo... Hapa wamejifunga tiyari.

  • @BelckEustace-di2md
    @BelckEustace-di2md9 ай бұрын

    Linda sana moyo wako kuliko yote uyalindayo, Maana huko ndiko zitokako chemchemi za uzima. Itoshe kusema napoteza Imani ktk mienendo ya namna hii ndani ya makanisa. Ee Bwana okoa watu wako.

  • @EmmanuelTate
    @EmmanuelTate10 ай бұрын

    Mathayo 24:5 [5]Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi. For many shall come in my name, saying, I am Christ; and shall deceive many.

  • @charlesmbunda6759
    @charlesmbunda675910 ай бұрын

    Ee Bwana Yesu, nikumbuke mimi katika Ufalme wako!

  • @boazimaganga
    @boazimaganga10 ай бұрын

    Malaki 2 7 : Kwa maana yapasa midomo ya kuhani ihifadhi maarifa, tena yawapasa watu kuitafuta sheria kinywani mwake; kwa kuwa yeye ni mjumbe wa Bwana wa majeshi. 8 : Bali ninyi mmegeuka mkaiacha njia; mmewakwaza watu wengi katika sheria; mmeliharibu agano la Lawi, asema Bwana wa majeshi.

  • @user-de3vn9vv3n

    @user-de3vn9vv3n

    10 ай бұрын

    Yani Mungu wa Mbinguni asimame tuu kututetea na afungue akili zetu

  • @evanccast6228
    @evanccast62286 ай бұрын

    Amina mchungaji katisha sanaa Hadi Baba aketiye juu mahala palipo inuka kafrai sanaakafrahiii

  • @user-tc1cw6un1b
    @user-tc1cw6un1b10 ай бұрын

    That's amazing stely

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge357710 ай бұрын

    Ukiwa unasali ,Sali kwa kweli na uwe na uwakika umeokoka na jehanamu , na kuona ufalme wa mungu si kilahisi watu wanavyozani ni hata sadaka usiweke mahalo popote unanapo , lazma ujue inaenda kufanya nini

  • @bonabonala5559
    @bonabonala555910 ай бұрын

    kwa haya nabii mkuu nakuerewaga ira kwa kushabikiaga ccm hua nakuchukiaaga kumpa muuaji mkuuwakoa ambae leo nimbunge kwa sasa na kumpinga lema hua sikuerewi nabii nakuonaga kama mnafiki kama gwajima au mzee wa upako lusekelo niwatumishi wa shetana au watumishi wa pesa sio mungu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila929010 ай бұрын

    Suprise nzuri sasa msali na my brothers

  • @christaeletlawe
    @christaeletlawe10 ай бұрын

    Amen Amen I mtumishi Mungu akubariki mno Naona ni Kama njia yan gu inaenda kufunguka natamani Mungu anipe kibali Mungaji huyo anisaidie Ada ya mtoto wangu naamini Mungu Ana njia nyingi

  • @user-mk2sm4pw6r

    @user-mk2sm4pw6r

    9 ай бұрын

    Kwani Huna mikono utafute pesa

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael547010 ай бұрын

    Genge la waabudu mashetani at work. Kufanikiwa bila Yesu moyoni ni sawa na kufanikiwa kwa wapumbavu hakika kutawaangamiza.

  • @sarahmshanga9224

    @sarahmshanga9224

    10 ай бұрын

    Usiseme nigenge lawaabudu mashetani kama hauna hakika, Mungu pekee ndio anamjua Kila mmoja moyoni mwake nayeye ndiye atamjibu Kila mmoja kutokana namatendo yake

  • @user-mk2sm4pw6r

    @user-mk2sm4pw6r

    9 ай бұрын

    Mungu ndiye ajuayeee tusihukumuuu

  • @evaristkobelo3936

    @evaristkobelo3936

    8 ай бұрын

    Wasaka tonge hawana mpango wa ibada

  • @oscarmbilinyi

    @oscarmbilinyi

    7 ай бұрын

    Ngoja nichore tatuu ya nabii mkuu nipate mamilioni

  • @Vj_hAnss

    @Vj_hAnss

    7 ай бұрын

    ​@@user-mk2sm4pw6r na io ndio falsafa waliyotujaza ndio tiwape nafasi ya kutufanya watakavyo.,tafakari

  • @user-kt6ub3kh1l
    @user-kt6ub3kh1l16 күн бұрын

    Mungu haziakiwi, badala ya kuwaongoza Sala ya Toba ameona hela ndo kila kitu kuliko kuwaokoa na jehanamu😢

  • @charliechikopa5414
    @charliechikopa541410 ай бұрын

    Mbn amefanya jambo lamaana tu maaana kajua wanahitaj msaada wakifedha so nibora awasaidie kwakuwa yy amejaaliwa kwan pesa si kila kitu hapa dunian hao wkiamua kubadilika wataamua kwa matakwa yao ila amewaeleza kabisa kuwa kile kizazi hakitambui

  • @fredrickmikera5998
    @fredrickmikera599810 ай бұрын

    Unajivika utikufu,Mungu alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu awesome kuniona uso wangu akawa mzima na pia kutoka 20 anasema yeye ni Mungu mwenye wivu hawezi share utukufu na mwanadamu,ila wew mtoto wa ibilisi unajiita nabii mkuu.kati yako na Yesu ni nanj nabii mkuu

  • @hollymore4904
    @hollymore490410 ай бұрын

    Hii Ni Churchill show..Hakuna kanisa

  • @IgnasGregory-ed1lu

    @IgnasGregory-ed1lu

    10 ай бұрын

    Kweli mkuu ✔️✔️

  • @alexisannick
    @alexisannick10 ай бұрын

    Imana iguhezagire caaane

  • @africanmitindo2160
    @africanmitindo216010 ай бұрын

    Devil at work 😢😢😢

  • @user-kf8hc5rt7k
    @user-kf8hc5rt7k8 ай бұрын

    Barikiwa nabiii

  • @fainedamwai8156
    @fainedamwai81566 ай бұрын

    ❤nakupenda buru nabii

  • @saimonmuhando
    @saimonmuhando10 ай бұрын

    Hi nikali san sio kitu chakawaida😅😅😅,duh mungu na atusaidietu mwenyewe

  • @ElishaMosses-fn1qu
    @ElishaMosses-fn1qu10 ай бұрын

    Appreciate more Honorable prophet Geor Davie

  • @myself4128

    @myself4128

    6 ай бұрын

    Aliyekuroga Alishakufa wewe kapime akili au kaombewe na Watumishi wa Mungu unahitaji deliverance!!

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es10 ай бұрын

    Amen.

  • @sergiojunior-fk2md
    @sergiojunior-fk2md10 ай бұрын

    Mungu amejibu

  • @user-um8cw6ze6f
    @user-um8cw6ze6f10 ай бұрын

    Asante 🎉

  • @EmmanuelSanare-bc7si
    @EmmanuelSanare-bc7si8 ай бұрын

    Amina🙏

  • @user-eq2nq6os7v
    @user-eq2nq6os7v10 ай бұрын

    True ❤

  • @EmmanuelWaisse-s5e
    @EmmanuelWaisse-s5e13 күн бұрын

    Watu watu jamani waache mizaha kwa lord tuache ku support mamb ya ajaabu

  • @ellymartin9343
    @ellymartin934310 ай бұрын

    Huyu mtu anachochea sana mmomonyoko wa maadiri, yeye pia ni kizazi cha ajabu sijawahi kuona wala kusikia. Mambo ya Mungu yupo mbali nayo mno.

  • @Excel-Elevation-School

    @Excel-Elevation-School

    7 ай бұрын

    Me naona hachochei soma biblia vizur mfano Hosea 3:1 uje na Majibu Nabii Mkuu anachochea nn.

  • @raymondmagere4696
    @raymondmagere469610 ай бұрын

    Kusaidia nijambo jama sana maana mungu humtumia mtu mtumishi kuja kukusaidia sasa mungu naomba nikutanishe na mtu mwenye kunishika mkono

  • @Vj_hAnss

    @Vj_hAnss

    7 ай бұрын

    😂😂😂 truly, poverty is deep

  • @sasi58582
    @sasi5858211 ай бұрын

    Awa machaliii hatariiiii😅😅😅

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle10 ай бұрын

    Shetani mkubwa hakuna kanisa hapa

  • @anesansibert2968

    @anesansibert2968

    10 ай бұрын

    Bora wew umeliona hilo

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    10 ай бұрын

    Mungu wetu ni anayegusa maisha ya wahitaji...mimi sio anayeamini kwa Kanisa hilo,lakini kuwajali na kuwakaribisha vijana kama hao ni jambo jema

  • @mwinjilistiaristidesmeja1834

    @mwinjilistiaristidesmeja1834

    10 ай бұрын

    Siku nyingine leteni na mashoga na wasagaji maana mamiss tayari mmeisha leta

  • @heritier5119

    @heritier5119

    10 ай бұрын

    ​@@mwinjilistiaristidesmeja1834 Awazuiliwi kuingia Kanisa Kanisa ni kwa ajili ya wenye dhambi

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph68257 ай бұрын

    Wakabe? Waibe? Waue? Hapana, hawa wamejiongeza katika kutafuta riziki kwa namna yao, na Mungu lazima awabless kwa namna yake, kupitia alichokifanya Geordavie hao machalii wameweka akilini kuwa hakika Mungu yupo, sasa wengine jikaririsheni maneno na mawazo yaliyojaa chuki wakati kula yenu tu ni shida. Glory to God

  • @felixsamford4168
    @felixsamford41688 ай бұрын

    Baba jo devi barikiwa sana mmi ni na shauku ipo ciku nitakuja kukuona kwa sasa nipo tanga baba hakika wewe ni mtetezi wa wengi

  • @GraceCelestin-ln3dp
    @GraceCelestin-ln3dpАй бұрын

    Kwani nyinyi hamuone ? Tupo katika siku za hatari, yesu hukaribu

  • @user-qo9dg4xk6j
    @user-qo9dg4xk6j7 ай бұрын

    Nimejikuta nalia😢kwafuraha mungu anawatow watu waishi kwaajili ywwengine

  • @barakakiwangaog
    @barakakiwangaog10 ай бұрын

    Noma

  • @immasoi384
    @immasoi38410 ай бұрын

    Kemea mapepo yawatoke. Sio kuwapa hela ambazo hazitawasaidia kwa ufahamu walio nao.

  • @HildaAkili-wt3sd

    @HildaAkili-wt3sd

    10 ай бұрын

    Akiba haiozi

  • @IsaacMahenge-mi4jz

    @IsaacMahenge-mi4jz

    10 ай бұрын

    😅huyo kukemea pepo sidhani kama anaweza fanya ivo ila kugawagawa vijicent hiyo ndo fani yake

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai777710 ай бұрын

    Ipo cku,moja hiyo NEMA ya miracle money itanipata mil 100,mtumwa WA Jehova,nataka na mm niwe na canta langu na coaster yangu kama super woman,I trust in God,lv u nabii

  • @hellenkerubo4507
    @hellenkerubo45079 ай бұрын

    Ameeeeeen 🙏🙏

  • @amanihare21
    @amanihare218 ай бұрын

    Hapa niuongo mtupu! Hakuna Mungu ndani yake!! 👉Hivi🤭🤭!!

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa55669 ай бұрын

    Hili kanisa sikuwahi kulisikia wala kuliona kipindi cha Yesu. Shetani amevuruga vichwa vya watu

  • @barakaomari8899
    @barakaomari889910 ай бұрын

    Allaah awahurumie sana , Alihamdulilahi tobe born as Muslim, huwezi kuta upuuzi kama huu msikitini

  • @victorianganyagwa2467

    @victorianganyagwa2467

    9 ай бұрын

    CYO wkrist wote wanafanya hvy hilo ni dhehebu Tu Roman Catholic Aglican KKT uez kukut km hvy Hao waliokuja n kujiita manabii nd wanaouchafua Ukrto kw kujfich ktk ukrito

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029

    @jeniphermyingajeniphermyin8029

    9 ай бұрын

    Siyo makanisa yote lkn

  • @jeniphermyingajeniphermyin8029

    @jeniphermyingajeniphermyin8029

    9 ай бұрын

    Hawezi kukosea mmoja alafu wakaitwa wakrito wote wakp hivyo hapana,niwao tu

  • @user-bt3wt6nt4z

    @user-bt3wt6nt4z

    3 ай бұрын

    Umesikia kuwa nyie waislam mmekamilika?😮😮

  • @erickbenjamini8154
    @erickbenjamini815410 ай бұрын

    Nabii Mkuu hao vijana Mungu kawaleta kwako waokolewe waombee Toba baba

  • @HalunaSilwamba-gd6cn

    @HalunaSilwamba-gd6cn

    10 ай бұрын

    namba za nabii mkuu naomba nisaidie nashida

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene2303110 ай бұрын

    god have mercy of this churchu we are on the end time

  • @amanijampion3045

    @amanijampion3045

    10 ай бұрын

    And you should remember God has got no definition

  • @user-um8cw6ze6f
    @user-um8cw6ze6f10 ай бұрын

    Asante

  • @AbdullaSeifKhamis-se9sc
    @AbdullaSeifKhamis-se9scАй бұрын

    Amakweli hii dini Ya Pesa tu 😂😂 mwenye macho haambiwi tazama

  • @user-js5io7sf5f
    @user-js5io7sf5f8 ай бұрын

    Ama kweli hii sio sawa

  • @piliangel
    @piliangel10 ай бұрын

    🎉🎉🎉

  • @lucasmabuli4786
    @lucasmabuli47865 ай бұрын

    😢😢😢😢Inauma saana tuombe sana MUNGU atufumbue macho

  • @CindyKatila-fc5zw
    @CindyKatila-fc5zw10 ай бұрын

    Ameeeen

  • @EliaMwashibanda
    @EliaMwashibanda8 ай бұрын

    Kanisani ni mahali pa matengenezo nikama gereji mwache Bwana atengeneze watu wake

  • @DeboraNgura
    @DeboraNgura10 ай бұрын

    Huyo mwenye kofia nyekundu anapepea kma mwenyeji😂😂

  • @user-ry9yw6mn4x
    @user-ry9yw6mn4x3 ай бұрын

    Aminaaaaa❤

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11409 ай бұрын

    FAIDAN KANISANI WAPI,,,HAO WASHAJICHUKULIA CHAO WANASEPA

  • @pendokatonge3926
    @pendokatonge39267 ай бұрын

    Mmmhh ngoja ninyamaze.😭😭😭Dunia imefika hapa vioja tunvyoviona leo na bado

  • @chadotv257burundi9
    @chadotv257burundi99 ай бұрын

    Nakupenda sana nabi mkuu

  • @AmosiKameleNdabagiliye

    @AmosiKameleNdabagiliye

    7 ай бұрын

    Hivi wewe unamjua nabii mkuu,au humjui,ama kweli ni nyakati za mwisho.

  • @benjaminkiwandaimbise4985
    @benjaminkiwandaimbise498510 ай бұрын

    Kifupi tu ni Yesu yupo karibu sana😔

  • @ikabako2454

    @ikabako2454

    10 ай бұрын

    Yesu ni muongo sana. Hajawahi kuwepo na wala hatarudi

  • @zawadijuma9681
    @zawadijuma96818 ай бұрын

    Wamepata ya bangi😮

  • @user-xw9wo7nh6c
    @user-xw9wo7nh6c2 ай бұрын

    Chuga moja kila chuma icho makonda hapa kz hipo ndugu yng😅😅😅😅😅

  • @user-ec4br4pd3o

    @user-ec4br4pd3o

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @loner_wolf
    @loner_wolf9 ай бұрын

    Mchungaji angekuwa na imani ya mungu kweli kweli na mcha mungu wa dhati kutoka moyoni mwake hakika hao vijana angewapa mawaidha na wangewaidhika na kuwa waumini wa kweli , lkn amewapa pesa na kuwaombea tu waendelee ktk uendawazimu wao .

  • @EmatashiTashi

    @EmatashiTashi

    8 ай бұрын

    Uwezi kuzuia kipaji Cha mtu

  • @user-bo3nt4ji2c
    @user-bo3nt4ji2c10 ай бұрын

    Khaaaa nimecheka paka bas😅😅😅😅

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv2 ай бұрын

    Uhakika nimekukubali nabii

  • @user-zu7jd2uq8k
    @user-zu7jd2uq8k4 ай бұрын

    Love you my dady

  • @DuniaDjuma-ff9rl
    @DuniaDjuma-ff9rl10 ай бұрын

    Dahhh😢😢

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga70208 ай бұрын

    Hapa inatukuzwa hela utapeli

  • @eliyahango4278
    @eliyahango427810 ай бұрын

    Hii Ni Safi ,hawataacha kuja tena😂😂😂

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo27910 ай бұрын

    MUNGU akuzidishie uwezo baba

  • @joh113
    @joh11310 ай бұрын

    Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa

  • @millicentanyango526

    @millicentanyango526

    10 ай бұрын

    Kabisa

  • @ladislausmoris9638

    @ladislausmoris9638

    10 ай бұрын

    Tunakula laana hapo hamna imani fumbuen macho wana wa mungu tunaelekea jehanam

  • @ladislausmoris9638

    @ladislausmoris9638

    10 ай бұрын

    Wagonjwa makaisani, yatima, wagane na majeruhi kibao wamekosa msaada wanateseka leo unadapoti majizi kweli

  • @KelvinDickson-cd6tr
    @KelvinDickson-cd6tr5 ай бұрын

    Aiseeeeeee🎉

  • @HumphreyNyamoga
    @HumphreyNyamoga29 күн бұрын

    Jaman mpaka kanisan

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 ай бұрын

    Country hilo

  • @myself4128
    @myself41286 ай бұрын

    baba Tumeona Ufalme wako😂😂😂 hii ni Misukule Inamuabudu Jamaa bila Kujua! hapo hakuna Atakayepona!malango ya Kuzimu

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph189210 ай бұрын

    Tunabarikiwa kwa kusikia

  • @EzekieliSMasaiMoleli
    @EzekieliSMasaiMoleli10 ай бұрын

    ❤❤

  • @christopherwalalaze
    @christopherwalalaze2 ай бұрын

    Amen

  • @beatriceotieno-rg8om
    @beatriceotieno-rg8om5 ай бұрын

    Ushindwe kataka jina la yesu

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius755410 ай бұрын

    Kuna namna mungu huwatoa watu kwenye giza😅😅😅 be blessed prophet

  • @KifmboKifimbo-qh2ze
    @KifmboKifimbo-qh2ze9 ай бұрын

    Mungu waongoze man tunajuwa kam Hujuw unacho kifanya

  • @hamadmohamedy
    @hamadmohamedy6 ай бұрын

    Hatar kanisa limekuwa 😂😂😂😂 rege imbaaaaa ooo imbaaa yellloooo imbaaaa

  • @richardedwin5933
    @richardedwin593310 ай бұрын

    Noma kwa kweli

  • @janethedward4631
    @janethedward463110 ай бұрын

    Mimi naona kafanya jambo la msingi tu maisha magumu ajara akuna sasa jamani km mtumishi wa MUNGU kaguswa lazima atoe kutoa ni moyo na si utajiri wchungaji wangapi wapo Tanzani ata kusaidia watu akuna binafsi Mtumishi wa MUNGU mimi nakuombea MUNGU akupe Maisha marefu yenye Amani na Upendo km moyo wako ulivo na unavo toa akuzidishie mara 💯

  • @FrankMkome-df9bn
    @FrankMkome-df9bnАй бұрын

    mchungaji ubarikiwe

  • @paulkidula1663
    @paulkidula166310 ай бұрын

    🤣🤣🤣😂😂chugga kama chugga

  • @olivernyange2349
    @olivernyange234910 ай бұрын

    Ukiingia deep sana utaonea waafrica huruma,kigezo cha dini mmmmmh

  • @jacklineiman8131
    @jacklineiman81319 ай бұрын

    Hakuna kuwahubiria kuokoka watoke huko waliko umeacha kondoo warudi vile walivyokuja kweli ee Mungu wangu hawajaokokaa

  • @rehemaakyoo
    @rehemaakyoo6 ай бұрын

    Hata yesu alikuja ulimwenguni kwa kile kilichopotea nasio kile kilichokamilifu

  • @Levimico
    @Levimico5 ай бұрын

    Nyie pokea tu ipo siku mtamwona mwenye mapembe mawili akiwakalibisha kuzimu munaandikwa kuzimu hakuna cha mungu hapo 5:09

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula222710 ай бұрын

    Sio wampokee Yesu kristo awafanya hai

  • @nellymarylucas
    @nellymarylucas10 ай бұрын

    Mungu awape mafanikio mema chugas boy

  • @NeemaSanga-qo2cn

    @NeemaSanga-qo2cn

    10 ай бұрын

    Nikwer

  • @nellymarylucas

    @nellymarylucas

    10 ай бұрын

    Aaamin

  • @leekaijage6815
    @leekaijage681510 ай бұрын

    Hii imeenda

  • @LidiyMtanga-ki9xd
    @LidiyMtanga-ki9xd10 ай бұрын

    🥰🥰🥰🥰🥰🌍🌍

Келесі