Hizo sifa kana kwamba ni maadili ya kuigwa, now I understand Godbless Lema. Humo ukute kuna wanaoabudu na wana njaa na shida, ila kutafuta umaarufu.
@idrisssaidi453010 ай бұрын
kweli Miskiti ni Nyumba Ya Mungu uwezi kuta upuuzi kama uuwu
@ellgodfather282
10 ай бұрын
Roho Mtakatifu ndiyo jibu njue Yesu
@zeddymourice4249
10 ай бұрын
Acha upuuzi wewe Imani ndio kila kitu hakuna Cha msikiti Wala kanisa,alafu angalia matendo yako usiyaangalie yamwingine.
@babydlagwen9446
10 ай бұрын
Kanisani ni mahali pakufurahi
@thomasndewa4797
10 ай бұрын
Takbirrr
@thomasndewa4797
10 ай бұрын
Poleni Tanzani mumefungwa ufahamu wa kutambua fake pro
@happynescostat74209 ай бұрын
Mchungaji uyu abarikiwe Sana,Achagui Abagui Ni mfano wa YESU!
@user-allan448
2 ай бұрын
Wewe Una akili kweli huyu unafananisha na Yesu?
@user-mi7yx8ew1k
11 күн бұрын
@@user-allan448mpuuz uyo happy
@christophermakunzo423210 ай бұрын
Hit ndiyo Injili ya wazi na kweli kuwasaidia wasio na uwezo na kuisaidia Injili. Kristo alilisha kundi kubwa la watu kwa sababu alikuwa nan uwezo wa kufanya hivyo. Napenda sana tu shida uwezo wangu mdogo....
@user-hg1mb1gh2i10 ай бұрын
Hats Yesu hakuja duniani Kwa ajili ya wakamilifu!
@user-po5nk4wd1c
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@SamwelJoseph-yk3cw
6 ай бұрын
Of course
@user-bt3wt6nt4z
3 ай бұрын
Inawezekana 😂😂
@charlesnyanhanga43822 ай бұрын
Watu wanahitaji msaada wa kiroho munashindwa kuwaongoza sara ya toba wamujue yesu
@KelvinMahimbo-pc2wg
Ай бұрын
Sara ya toba sio jambo la haraka kwa mtu soma vizuri
@rosemaryikamba528810 ай бұрын
Ngurumo ya Upako is unique place ambayo huwezi ipata mahali popote Especially katika makanisa hawa vijana wametengwa kabisa kwamba niwahuni hawafai hata sogelea mlango wa kanisa Ni lazma wakaribishwe wakiwa karibu ni rahisi kubadilika Big hug Sana BABA yangu NABII MKUU GEORDAVIE
@laurentraphael5470
10 ай бұрын
Unique place for devil worshippers. Nonsense
@warakawayohana2896
10 ай бұрын
Wamekuja kuchangamsha kanisa 😂😂😂 ndio uamsho huo maana uamsho wa Roho Mtakatifu haupo
@mwinjilistiaristidesmeja1834
10 ай бұрын
Kwa kweli wamekuja kuchangamsha maana limepoa sababu roho wa Mungu Hayupo, kwa hawa wanaleta roho wa dunia na watu wamechangamka kweli, vizuri mmmhh
@misertz9633
10 ай бұрын
Kumbe on baba yako waooo kazanA
@olivernyange2349
9 ай бұрын
Uchawi makanisani,watu ni wavivu hamsomi neno hamyajui maandiko ndo mana hamuelewi maana ya kanisa.hiyo ni shivas no 2 na bado mtakomeshwa waabudu watu mpaka siku mtakapojua kufungua bible wenyewe na kusoma na kupata ufahamu.sasa hamtaelewa but later you will understand.l pray it won't be too late.
@Emmanuellobelo10 ай бұрын
Big up sana Nabii mkuu Baba GeorDevi ,hakika hii ni kazi ya mungu na kazi sahihi ya mungu sio tu kuwaita watu waliothabiti na wakamilifu kanisani ila Kanisa ni sehemu huenda wenye shida mbalimbali ili wakapate faraja ya moyo na kubadilishwa kuwa katika ukuu wa mungu
@desirengenerwasobanuka9015
10 ай бұрын
Kazi ya Mungu gani iko hapa? Nawe umekuwa mjinga kama wengine. Haya unayasoma wapi katika Biblia wewe mjinga.
@anatoryjames41288 ай бұрын
Hacheni kujaji sana kila mtu mungu kampa kipaji chake uyo nabii sio kwamba hajui kuwaongoza Sara ya toba bali kawasogeza kimaisha kuna watu wanjifanya ni watakatifu kumbe waovu wachenu hao vijapa wapambane na maisha yao bhana
@godlistenlaban9933
7 ай бұрын
Wakatoke kimaisha bila kutegemea Mungu.... Wasahau hilo... Hapa wamejifunga tiyari.
@BelckEustace-di2md9 ай бұрын
Linda sana moyo wako kuliko yote uyalindayo, Maana huko ndiko zitokako chemchemi za uzima. Itoshe kusema napoteza Imani ktk mienendo ya namna hii ndani ya makanisa. Ee Bwana okoa watu wako.
@EmmanuelTate10 ай бұрын
Mathayo 24:5 [5]Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi. For many shall come in my name, saying, I am Christ; and shall deceive many.
@charlesmbunda675910 ай бұрын
Ee Bwana Yesu, nikumbuke mimi katika Ufalme wako!
@boazimaganga10 ай бұрын
Malaki 2 7 : Kwa maana yapasa midomo ya kuhani ihifadhi maarifa, tena yawapasa watu kuitafuta sheria kinywani mwake; kwa kuwa yeye ni mjumbe wa Bwana wa majeshi. 8 : Bali ninyi mmegeuka mkaiacha njia; mmewakwaza watu wengi katika sheria; mmeliharibu agano la Lawi, asema Bwana wa majeshi.
@user-de3vn9vv3n
10 ай бұрын
Yani Mungu wa Mbinguni asimame tuu kututetea na afungue akili zetu
@evanccast62286 ай бұрын
Amina mchungaji katisha sanaa Hadi Baba aketiye juu mahala palipo inuka kafrai sanaakafrahiii
@user-tc1cw6un1b10 ай бұрын
That's amazing stely
@ngombegeorge357710 ай бұрын
Ukiwa unasali ,Sali kwa kweli na uwe na uwakika umeokoka na jehanamu , na kuona ufalme wa mungu si kilahisi watu wanavyozani ni hata sadaka usiweke mahalo popote unanapo , lazma ujue inaenda kufanya nini
@bonabonala555910 ай бұрын
kwa haya nabii mkuu nakuerewaga ira kwa kushabikiaga ccm hua nakuchukiaaga kumpa muuaji mkuuwakoa ambae leo nimbunge kwa sasa na kumpinga lema hua sikuerewi nabii nakuonaga kama mnafiki kama gwajima au mzee wa upako lusekelo niwatumishi wa shetana au watumishi wa pesa sio mungu
@venitarugemalila929010 ай бұрын
Suprise nzuri sasa msali na my brothers
@christaeletlawe10 ай бұрын
Amen Amen I mtumishi Mungu akubariki mno Naona ni Kama njia yan gu inaenda kufunguka natamani Mungu anipe kibali Mungaji huyo anisaidie Ada ya mtoto wangu naamini Mungu Ana njia nyingi
@user-mk2sm4pw6r
9 ай бұрын
Kwani Huna mikono utafute pesa
@laurentraphael547010 ай бұрын
Genge la waabudu mashetani at work. Kufanikiwa bila Yesu moyoni ni sawa na kufanikiwa kwa wapumbavu hakika kutawaangamiza.
@sarahmshanga9224
10 ай бұрын
Usiseme nigenge lawaabudu mashetani kama hauna hakika, Mungu pekee ndio anamjua Kila mmoja moyoni mwake nayeye ndiye atamjibu Kila mmoja kutokana namatendo yake
@user-mk2sm4pw6r
9 ай бұрын
Mungu ndiye ajuayeee tusihukumuuu
@evaristkobelo3936
8 ай бұрын
Wasaka tonge hawana mpango wa ibada
@oscarmbilinyi
7 ай бұрын
Ngoja nichore tatuu ya nabii mkuu nipate mamilioni
@Vj_hAnss
7 ай бұрын
@@user-mk2sm4pw6r na io ndio falsafa waliyotujaza ndio tiwape nafasi ya kutufanya watakavyo.,tafakari
@user-kt6ub3kh1l16 күн бұрын
Mungu haziakiwi, badala ya kuwaongoza Sala ya Toba ameona hela ndo kila kitu kuliko kuwaokoa na jehanamu😢
@charliechikopa541410 ай бұрын
Mbn amefanya jambo lamaana tu maaana kajua wanahitaj msaada wakifedha so nibora awasaidie kwakuwa yy amejaaliwa kwan pesa si kila kitu hapa dunian hao wkiamua kubadilika wataamua kwa matakwa yao ila amewaeleza kabisa kuwa kile kizazi hakitambui
@fredrickmikera599810 ай бұрын
Unajivika utikufu,Mungu alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu awesome kuniona uso wangu akawa mzima na pia kutoka 20 anasema yeye ni Mungu mwenye wivu hawezi share utukufu na mwanadamu,ila wew mtoto wa ibilisi unajiita nabii mkuu.kati yako na Yesu ni nanj nabii mkuu
@hollymore490410 ай бұрын
Hii Ni Churchill show..Hakuna kanisa
@IgnasGregory-ed1lu
10 ай бұрын
Kweli mkuu ✔️✔️
@alexisannick10 ай бұрын
Imana iguhezagire caaane
@africanmitindo216010 ай бұрын
Devil at work 😢😢😢
@user-kf8hc5rt7k8 ай бұрын
Barikiwa nabiii
@fainedamwai81566 ай бұрын
❤nakupenda buru nabii
@saimonmuhando10 ай бұрын
Hi nikali san sio kitu chakawaida😅😅😅,duh mungu na atusaidietu mwenyewe
@ElishaMosses-fn1qu10 ай бұрын
Appreciate more Honorable prophet Geor Davie
@myself4128
6 ай бұрын
Aliyekuroga Alishakufa wewe kapime akili au kaombewe na Watumishi wa Mungu unahitaji deliverance!!
@ebenezermachange-zp4es10 ай бұрын
Amen.
@sergiojunior-fk2md10 ай бұрын
Mungu amejibu
@user-um8cw6ze6f10 ай бұрын
Asante 🎉
@EmmanuelSanare-bc7si8 ай бұрын
Amina🙏
@user-eq2nq6os7v10 ай бұрын
True ❤
@EmmanuelWaisse-s5e13 күн бұрын
Watu watu jamani waache mizaha kwa lord tuache ku support mamb ya ajaabu
@ellymartin934310 ай бұрын
Huyu mtu anachochea sana mmomonyoko wa maadiri, yeye pia ni kizazi cha ajabu sijawahi kuona wala kusikia. Mambo ya Mungu yupo mbali nayo mno.
@Excel-Elevation-School
7 ай бұрын
Me naona hachochei soma biblia vizur mfano Hosea 3:1 uje na Majibu Nabii Mkuu anachochea nn.
@raymondmagere469610 ай бұрын
Kusaidia nijambo jama sana maana mungu humtumia mtu mtumishi kuja kukusaidia sasa mungu naomba nikutanishe na mtu mwenye kunishika mkono
@Vj_hAnss
7 ай бұрын
😂😂😂 truly, poverty is deep
@sasi5858211 ай бұрын
Awa machaliii hatariiiii😅😅😅
@nelsonnyamle10 ай бұрын
Shetani mkubwa hakuna kanisa hapa
@anesansibert2968
10 ай бұрын
Bora wew umeliona hilo
@josephlorri431
10 ай бұрын
Mungu wetu ni anayegusa maisha ya wahitaji...mimi sio anayeamini kwa Kanisa hilo,lakini kuwajali na kuwakaribisha vijana kama hao ni jambo jema
@mwinjilistiaristidesmeja1834
10 ай бұрын
Siku nyingine leteni na mashoga na wasagaji maana mamiss tayari mmeisha leta
@heritier5119
10 ай бұрын
@@mwinjilistiaristidesmeja1834 Awazuiliwi kuingia Kanisa Kanisa ni kwa ajili ya wenye dhambi
@jamesjoseph68257 ай бұрын
Wakabe? Waibe? Waue? Hapana, hawa wamejiongeza katika kutafuta riziki kwa namna yao, na Mungu lazima awabless kwa namna yake, kupitia alichokifanya Geordavie hao machalii wameweka akilini kuwa hakika Mungu yupo, sasa wengine jikaririsheni maneno na mawazo yaliyojaa chuki wakati kula yenu tu ni shida. Glory to God
@felixsamford41688 ай бұрын
Baba jo devi barikiwa sana mmi ni na shauku ipo ciku nitakuja kukuona kwa sasa nipo tanga baba hakika wewe ni mtetezi wa wengi
@GraceCelestin-ln3dpАй бұрын
Kwani nyinyi hamuone ? Tupo katika siku za hatari, yesu hukaribu
@user-qo9dg4xk6j7 ай бұрын
Nimejikuta nalia😢kwafuraha mungu anawatow watu waishi kwaajili ywwengine
@barakakiwangaog10 ай бұрын
Noma
@immasoi38410 ай бұрын
Kemea mapepo yawatoke. Sio kuwapa hela ambazo hazitawasaidia kwa ufahamu walio nao.
@HildaAkili-wt3sd
10 ай бұрын
Akiba haiozi
@IsaacMahenge-mi4jz
10 ай бұрын
😅huyo kukemea pepo sidhani kama anaweza fanya ivo ila kugawagawa vijicent hiyo ndo fani yake
@elizabethswai777710 ай бұрын
Ipo cku,moja hiyo NEMA ya miracle money itanipata mil 100,mtumwa WA Jehova,nataka na mm niwe na canta langu na coaster yangu kama super woman,I trust in God,lv u nabii
@hellenkerubo45079 ай бұрын
Ameeeeeen 🙏🙏
@amanihare218 ай бұрын
Hapa niuongo mtupu! Hakuna Mungu ndani yake!! 👉Hivi🤭🤭!!
@josephmusagasa55669 ай бұрын
Hili kanisa sikuwahi kulisikia wala kuliona kipindi cha Yesu. Shetani amevuruga vichwa vya watu
@barakaomari889910 ай бұрын
Allaah awahurumie sana , Alihamdulilahi tobe born as Muslim, huwezi kuta upuuzi kama huu msikitini
@victorianganyagwa2467
9 ай бұрын
CYO wkrist wote wanafanya hvy hilo ni dhehebu Tu Roman Catholic Aglican KKT uez kukut km hvy Hao waliokuja n kujiita manabii nd wanaouchafua Ukrto kw kujfich ktk ukrito
@jeniphermyingajeniphermyin8029
9 ай бұрын
Siyo makanisa yote lkn
@jeniphermyingajeniphermyin8029
9 ай бұрын
Hawezi kukosea mmoja alafu wakaitwa wakrito wote wakp hivyo hapana,niwao tu
@user-bt3wt6nt4z
3 ай бұрын
Umesikia kuwa nyie waislam mmekamilika?😮😮
@erickbenjamini815410 ай бұрын
Nabii Mkuu hao vijana Mungu kawaleta kwako waokolewe waombee Toba baba
@HalunaSilwamba-gd6cn
10 ай бұрын
namba za nabii mkuu naomba nisaidie nashida
@Farajahelene2303110 ай бұрын
god have mercy of this churchu we are on the end time
@amanijampion3045
10 ай бұрын
And you should remember God has got no definition
@user-um8cw6ze6f10 ай бұрын
Asante
@AbdullaSeifKhamis-se9scАй бұрын
Amakweli hii dini Ya Pesa tu 😂😂 mwenye macho haambiwi tazama
@user-js5io7sf5f8 ай бұрын
Ama kweli hii sio sawa
@piliangel10 ай бұрын
🎉🎉🎉
@lucasmabuli47865 ай бұрын
😢😢😢😢Inauma saana tuombe sana MUNGU atufumbue macho
@CindyKatila-fc5zw10 ай бұрын
Ameeeen
@EliaMwashibanda8 ай бұрын
Kanisani ni mahali pa matengenezo nikama gereji mwache Bwana atengeneze watu wake
@DeboraNgura10 ай бұрын
Huyo mwenye kofia nyekundu anapepea kma mwenyeji😂😂
Mmmhh ngoja ninyamaze.😭😭😭Dunia imefika hapa vioja tunvyoviona leo na bado
@chadotv257burundi99 ай бұрын
Nakupenda sana nabi mkuu
@AmosiKameleNdabagiliye
7 ай бұрын
Hivi wewe unamjua nabii mkuu,au humjui,ama kweli ni nyakati za mwisho.
@benjaminkiwandaimbise498510 ай бұрын
Kifupi tu ni Yesu yupo karibu sana😔
@ikabako2454
10 ай бұрын
Yesu ni muongo sana. Hajawahi kuwepo na wala hatarudi
@zawadijuma96818 ай бұрын
Wamepata ya bangi😮
@user-xw9wo7nh6c2 ай бұрын
Chuga moja kila chuma icho makonda hapa kz hipo ndugu yng😅😅😅😅😅
@user-ec4br4pd3o
Ай бұрын
😂😂😂
@loner_wolf9 ай бұрын
Mchungaji angekuwa na imani ya mungu kweli kweli na mcha mungu wa dhati kutoka moyoni mwake hakika hao vijana angewapa mawaidha na wangewaidhika na kuwa waumini wa kweli , lkn amewapa pesa na kuwaombea tu waendelee ktk uendawazimu wao .
@EmatashiTashi
8 ай бұрын
Uwezi kuzuia kipaji Cha mtu
@user-bo3nt4ji2c10 ай бұрын
Khaaaa nimecheka paka bas😅😅😅😅
@EsterShirima-vr7cv2 ай бұрын
Uhakika nimekukubali nabii
@user-zu7jd2uq8k4 ай бұрын
Love you my dady
@DuniaDjuma-ff9rl10 ай бұрын
Dahhh😢😢
@simbawateranga70208 ай бұрын
Hapa inatukuzwa hela utapeli
@eliyahango427810 ай бұрын
Hii Ni Safi ,hawataacha kuja tena😂😂😂
@elizabethjakobo27910 ай бұрын
MUNGU akuzidishie uwezo baba
@joh11310 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa
@millicentanyango526
10 ай бұрын
Kabisa
@ladislausmoris9638
10 ай бұрын
Tunakula laana hapo hamna imani fumbuen macho wana wa mungu tunaelekea jehanam
@ladislausmoris9638
10 ай бұрын
Wagonjwa makaisani, yatima, wagane na majeruhi kibao wamekosa msaada wanateseka leo unadapoti majizi kweli
@KelvinDickson-cd6tr5 ай бұрын
Aiseeeeeee🎉
@HumphreyNyamoga29 күн бұрын
Jaman mpaka kanisan
@stanslausmteme84552 ай бұрын
Country hilo
@myself41286 ай бұрын
baba Tumeona Ufalme wako😂😂😂 hii ni Misukule Inamuabudu Jamaa bila Kujua! hapo hakuna Atakayepona!malango ya Kuzimu
@marianajoseph189210 ай бұрын
Tunabarikiwa kwa kusikia
@EzekieliSMasaiMoleli10 ай бұрын
❤❤
@christopherwalalaze2 ай бұрын
Amen
@beatriceotieno-rg8om5 ай бұрын
Ushindwe kataka jina la yesu
@vincentauxerbius755410 ай бұрын
Kuna namna mungu huwatoa watu kwenye giza😅😅😅 be blessed prophet
@KifmboKifimbo-qh2ze9 ай бұрын
Mungu waongoze man tunajuwa kam Hujuw unacho kifanya
@hamadmohamedy6 ай бұрын
Hatar kanisa limekuwa 😂😂😂😂 rege imbaaaaa ooo imbaaa yellloooo imbaaaa
@richardedwin593310 ай бұрын
Noma kwa kweli
@janethedward463110 ай бұрын
Mimi naona kafanya jambo la msingi tu maisha magumu ajara akuna sasa jamani km mtumishi wa MUNGU kaguswa lazima atoe kutoa ni moyo na si utajiri wchungaji wangapi wapo Tanzani ata kusaidia watu akuna binafsi Mtumishi wa MUNGU mimi nakuombea MUNGU akupe Maisha marefu yenye Amani na Upendo km moyo wako ulivo na unavo toa akuzidishie mara 💯
@FrankMkome-df9bnАй бұрын
mchungaji ubarikiwe
@paulkidula166310 ай бұрын
🤣🤣🤣😂😂chugga kama chugga
@olivernyange234910 ай бұрын
Ukiingia deep sana utaonea waafrica huruma,kigezo cha dini mmmmmh
@jacklineiman81319 ай бұрын
Hakuna kuwahubiria kuokoka watoke huko waliko umeacha kondoo warudi vile walivyokuja kweli ee Mungu wangu hawajaokokaa
@rehemaakyoo6 ай бұрын
Hata yesu alikuja ulimwenguni kwa kile kilichopotea nasio kile kilichokamilifu
@Levimico5 ай бұрын
Nyie pokea tu ipo siku mtamwona mwenye mapembe mawili akiwakalibisha kuzimu munaandikwa kuzimu hakuna cha mungu hapo 5:09
Пікірлер: 399
Hizo sifa kana kwamba ni maadili ya kuigwa, now I understand Godbless Lema. Humo ukute kuna wanaoabudu na wana njaa na shida, ila kutafuta umaarufu.
kweli Miskiti ni Nyumba Ya Mungu uwezi kuta upuuzi kama uuwu
@ellgodfather282
10 ай бұрын
Roho Mtakatifu ndiyo jibu njue Yesu
@zeddymourice4249
10 ай бұрын
Acha upuuzi wewe Imani ndio kila kitu hakuna Cha msikiti Wala kanisa,alafu angalia matendo yako usiyaangalie yamwingine.
@babydlagwen9446
10 ай бұрын
Kanisani ni mahali pakufurahi
@thomasndewa4797
10 ай бұрын
Takbirrr
@thomasndewa4797
10 ай бұрын
Poleni Tanzani mumefungwa ufahamu wa kutambua fake pro
Mchungaji uyu abarikiwe Sana,Achagui Abagui Ni mfano wa YESU!
@user-allan448
2 ай бұрын
Wewe Una akili kweli huyu unafananisha na Yesu?
@user-mi7yx8ew1k
11 күн бұрын
@@user-allan448mpuuz uyo happy
Hit ndiyo Injili ya wazi na kweli kuwasaidia wasio na uwezo na kuisaidia Injili. Kristo alilisha kundi kubwa la watu kwa sababu alikuwa nan uwezo wa kufanya hivyo. Napenda sana tu shida uwezo wangu mdogo....
Hats Yesu hakuja duniani Kwa ajili ya wakamilifu!
@user-po5nk4wd1c
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@SamwelJoseph-yk3cw
6 ай бұрын
Of course
@user-bt3wt6nt4z
3 ай бұрын
Inawezekana 😂😂
Watu wanahitaji msaada wa kiroho munashindwa kuwaongoza sara ya toba wamujue yesu
@KelvinMahimbo-pc2wg
Ай бұрын
Sara ya toba sio jambo la haraka kwa mtu soma vizuri
Ngurumo ya Upako is unique place ambayo huwezi ipata mahali popote Especially katika makanisa hawa vijana wametengwa kabisa kwamba niwahuni hawafai hata sogelea mlango wa kanisa Ni lazma wakaribishwe wakiwa karibu ni rahisi kubadilika Big hug Sana BABA yangu NABII MKUU GEORDAVIE
@laurentraphael5470
10 ай бұрын
Unique place for devil worshippers. Nonsense
@warakawayohana2896
10 ай бұрын
Wamekuja kuchangamsha kanisa 😂😂😂 ndio uamsho huo maana uamsho wa Roho Mtakatifu haupo
@mwinjilistiaristidesmeja1834
10 ай бұрын
Kwa kweli wamekuja kuchangamsha maana limepoa sababu roho wa Mungu Hayupo, kwa hawa wanaleta roho wa dunia na watu wamechangamka kweli, vizuri mmmhh
@misertz9633
10 ай бұрын
Kumbe on baba yako waooo kazanA
@olivernyange2349
9 ай бұрын
Uchawi makanisani,watu ni wavivu hamsomi neno hamyajui maandiko ndo mana hamuelewi maana ya kanisa.hiyo ni shivas no 2 na bado mtakomeshwa waabudu watu mpaka siku mtakapojua kufungua bible wenyewe na kusoma na kupata ufahamu.sasa hamtaelewa but later you will understand.l pray it won't be too late.
Big up sana Nabii mkuu Baba GeorDevi ,hakika hii ni kazi ya mungu na kazi sahihi ya mungu sio tu kuwaita watu waliothabiti na wakamilifu kanisani ila Kanisa ni sehemu huenda wenye shida mbalimbali ili wakapate faraja ya moyo na kubadilishwa kuwa katika ukuu wa mungu
@desirengenerwasobanuka9015
10 ай бұрын
Kazi ya Mungu gani iko hapa? Nawe umekuwa mjinga kama wengine. Haya unayasoma wapi katika Biblia wewe mjinga.
Hacheni kujaji sana kila mtu mungu kampa kipaji chake uyo nabii sio kwamba hajui kuwaongoza Sara ya toba bali kawasogeza kimaisha kuna watu wanjifanya ni watakatifu kumbe waovu wachenu hao vijapa wapambane na maisha yao bhana
@godlistenlaban9933
7 ай бұрын
Wakatoke kimaisha bila kutegemea Mungu.... Wasahau hilo... Hapa wamejifunga tiyari.
Linda sana moyo wako kuliko yote uyalindayo, Maana huko ndiko zitokako chemchemi za uzima. Itoshe kusema napoteza Imani ktk mienendo ya namna hii ndani ya makanisa. Ee Bwana okoa watu wako.
Mathayo 24:5 [5]Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi. For many shall come in my name, saying, I am Christ; and shall deceive many.
Ee Bwana Yesu, nikumbuke mimi katika Ufalme wako!
Malaki 2 7 : Kwa maana yapasa midomo ya kuhani ihifadhi maarifa, tena yawapasa watu kuitafuta sheria kinywani mwake; kwa kuwa yeye ni mjumbe wa Bwana wa majeshi. 8 : Bali ninyi mmegeuka mkaiacha njia; mmewakwaza watu wengi katika sheria; mmeliharibu agano la Lawi, asema Bwana wa majeshi.
@user-de3vn9vv3n
10 ай бұрын
Yani Mungu wa Mbinguni asimame tuu kututetea na afungue akili zetu
Amina mchungaji katisha sanaa Hadi Baba aketiye juu mahala palipo inuka kafrai sanaakafrahiii
That's amazing stely
Ukiwa unasali ,Sali kwa kweli na uwe na uwakika umeokoka na jehanamu , na kuona ufalme wa mungu si kilahisi watu wanavyozani ni hata sadaka usiweke mahalo popote unanapo , lazma ujue inaenda kufanya nini
kwa haya nabii mkuu nakuerewaga ira kwa kushabikiaga ccm hua nakuchukiaaga kumpa muuaji mkuuwakoa ambae leo nimbunge kwa sasa na kumpinga lema hua sikuerewi nabii nakuonaga kama mnafiki kama gwajima au mzee wa upako lusekelo niwatumishi wa shetana au watumishi wa pesa sio mungu
Suprise nzuri sasa msali na my brothers
Amen Amen I mtumishi Mungu akubariki mno Naona ni Kama njia yan gu inaenda kufunguka natamani Mungu anipe kibali Mungaji huyo anisaidie Ada ya mtoto wangu naamini Mungu Ana njia nyingi
@user-mk2sm4pw6r
9 ай бұрын
Kwani Huna mikono utafute pesa
Genge la waabudu mashetani at work. Kufanikiwa bila Yesu moyoni ni sawa na kufanikiwa kwa wapumbavu hakika kutawaangamiza.
@sarahmshanga9224
10 ай бұрын
Usiseme nigenge lawaabudu mashetani kama hauna hakika, Mungu pekee ndio anamjua Kila mmoja moyoni mwake nayeye ndiye atamjibu Kila mmoja kutokana namatendo yake
@user-mk2sm4pw6r
9 ай бұрын
Mungu ndiye ajuayeee tusihukumuuu
@evaristkobelo3936
8 ай бұрын
Wasaka tonge hawana mpango wa ibada
@oscarmbilinyi
7 ай бұрын
Ngoja nichore tatuu ya nabii mkuu nipate mamilioni
@Vj_hAnss
7 ай бұрын
@@user-mk2sm4pw6r na io ndio falsafa waliyotujaza ndio tiwape nafasi ya kutufanya watakavyo.,tafakari
Mungu haziakiwi, badala ya kuwaongoza Sala ya Toba ameona hela ndo kila kitu kuliko kuwaokoa na jehanamu😢
Mbn amefanya jambo lamaana tu maaana kajua wanahitaj msaada wakifedha so nibora awasaidie kwakuwa yy amejaaliwa kwan pesa si kila kitu hapa dunian hao wkiamua kubadilika wataamua kwa matakwa yao ila amewaeleza kabisa kuwa kile kizazi hakitambui
Unajivika utikufu,Mungu alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu awesome kuniona uso wangu akawa mzima na pia kutoka 20 anasema yeye ni Mungu mwenye wivu hawezi share utukufu na mwanadamu,ila wew mtoto wa ibilisi unajiita nabii mkuu.kati yako na Yesu ni nanj nabii mkuu
Hii Ni Churchill show..Hakuna kanisa
@IgnasGregory-ed1lu
10 ай бұрын
Kweli mkuu ✔️✔️
Imana iguhezagire caaane
Devil at work 😢😢😢
Barikiwa nabiii
❤nakupenda buru nabii
Hi nikali san sio kitu chakawaida😅😅😅,duh mungu na atusaidietu mwenyewe
Appreciate more Honorable prophet Geor Davie
@myself4128
6 ай бұрын
Aliyekuroga Alishakufa wewe kapime akili au kaombewe na Watumishi wa Mungu unahitaji deliverance!!
Amen.
Mungu amejibu
Asante 🎉
Amina🙏
True ❤
Watu watu jamani waache mizaha kwa lord tuache ku support mamb ya ajaabu
Huyu mtu anachochea sana mmomonyoko wa maadiri, yeye pia ni kizazi cha ajabu sijawahi kuona wala kusikia. Mambo ya Mungu yupo mbali nayo mno.
@Excel-Elevation-School
7 ай бұрын
Me naona hachochei soma biblia vizur mfano Hosea 3:1 uje na Majibu Nabii Mkuu anachochea nn.
Kusaidia nijambo jama sana maana mungu humtumia mtu mtumishi kuja kukusaidia sasa mungu naomba nikutanishe na mtu mwenye kunishika mkono
@Vj_hAnss
7 ай бұрын
😂😂😂 truly, poverty is deep
Awa machaliii hatariiiii😅😅😅
Shetani mkubwa hakuna kanisa hapa
@anesansibert2968
10 ай бұрын
Bora wew umeliona hilo
@josephlorri431
10 ай бұрын
Mungu wetu ni anayegusa maisha ya wahitaji...mimi sio anayeamini kwa Kanisa hilo,lakini kuwajali na kuwakaribisha vijana kama hao ni jambo jema
@mwinjilistiaristidesmeja1834
10 ай бұрын
Siku nyingine leteni na mashoga na wasagaji maana mamiss tayari mmeisha leta
@heritier5119
10 ай бұрын
@@mwinjilistiaristidesmeja1834 Awazuiliwi kuingia Kanisa Kanisa ni kwa ajili ya wenye dhambi
Wakabe? Waibe? Waue? Hapana, hawa wamejiongeza katika kutafuta riziki kwa namna yao, na Mungu lazima awabless kwa namna yake, kupitia alichokifanya Geordavie hao machalii wameweka akilini kuwa hakika Mungu yupo, sasa wengine jikaririsheni maneno na mawazo yaliyojaa chuki wakati kula yenu tu ni shida. Glory to God
Baba jo devi barikiwa sana mmi ni na shauku ipo ciku nitakuja kukuona kwa sasa nipo tanga baba hakika wewe ni mtetezi wa wengi
Kwani nyinyi hamuone ? Tupo katika siku za hatari, yesu hukaribu
Nimejikuta nalia😢kwafuraha mungu anawatow watu waishi kwaajili ywwengine
Noma
Kemea mapepo yawatoke. Sio kuwapa hela ambazo hazitawasaidia kwa ufahamu walio nao.
@HildaAkili-wt3sd
10 ай бұрын
Akiba haiozi
@IsaacMahenge-mi4jz
10 ай бұрын
😅huyo kukemea pepo sidhani kama anaweza fanya ivo ila kugawagawa vijicent hiyo ndo fani yake
Ipo cku,moja hiyo NEMA ya miracle money itanipata mil 100,mtumwa WA Jehova,nataka na mm niwe na canta langu na coaster yangu kama super woman,I trust in God,lv u nabii
Ameeeeeen 🙏🙏
Hapa niuongo mtupu! Hakuna Mungu ndani yake!! 👉Hivi🤭🤭!!
Hili kanisa sikuwahi kulisikia wala kuliona kipindi cha Yesu. Shetani amevuruga vichwa vya watu
Allaah awahurumie sana , Alihamdulilahi tobe born as Muslim, huwezi kuta upuuzi kama huu msikitini
@victorianganyagwa2467
9 ай бұрын
CYO wkrist wote wanafanya hvy hilo ni dhehebu Tu Roman Catholic Aglican KKT uez kukut km hvy Hao waliokuja n kujiita manabii nd wanaouchafua Ukrto kw kujfich ktk ukrito
@jeniphermyingajeniphermyin8029
9 ай бұрын
Siyo makanisa yote lkn
@jeniphermyingajeniphermyin8029
9 ай бұрын
Hawezi kukosea mmoja alafu wakaitwa wakrito wote wakp hivyo hapana,niwao tu
@user-bt3wt6nt4z
3 ай бұрын
Umesikia kuwa nyie waislam mmekamilika?😮😮
Nabii Mkuu hao vijana Mungu kawaleta kwako waokolewe waombee Toba baba
@HalunaSilwamba-gd6cn
10 ай бұрын
namba za nabii mkuu naomba nisaidie nashida
god have mercy of this churchu we are on the end time
@amanijampion3045
10 ай бұрын
And you should remember God has got no definition
Asante
Amakweli hii dini Ya Pesa tu 😂😂 mwenye macho haambiwi tazama
Ama kweli hii sio sawa
🎉🎉🎉
😢😢😢😢Inauma saana tuombe sana MUNGU atufumbue macho
Ameeeen
Kanisani ni mahali pa matengenezo nikama gereji mwache Bwana atengeneze watu wake
Huyo mwenye kofia nyekundu anapepea kma mwenyeji😂😂
Aminaaaaa❤
FAIDAN KANISANI WAPI,,,HAO WASHAJICHUKULIA CHAO WANASEPA
Mmmhh ngoja ninyamaze.😭😭😭Dunia imefika hapa vioja tunvyoviona leo na bado
Nakupenda sana nabi mkuu
@AmosiKameleNdabagiliye
7 ай бұрын
Hivi wewe unamjua nabii mkuu,au humjui,ama kweli ni nyakati za mwisho.
Kifupi tu ni Yesu yupo karibu sana😔
@ikabako2454
10 ай бұрын
Yesu ni muongo sana. Hajawahi kuwepo na wala hatarudi
Wamepata ya bangi😮
Chuga moja kila chuma icho makonda hapa kz hipo ndugu yng😅😅😅😅😅
@user-ec4br4pd3o
Ай бұрын
😂😂😂
Mchungaji angekuwa na imani ya mungu kweli kweli na mcha mungu wa dhati kutoka moyoni mwake hakika hao vijana angewapa mawaidha na wangewaidhika na kuwa waumini wa kweli , lkn amewapa pesa na kuwaombea tu waendelee ktk uendawazimu wao .
@EmatashiTashi
8 ай бұрын
Uwezi kuzuia kipaji Cha mtu
Khaaaa nimecheka paka bas😅😅😅😅
Uhakika nimekukubali nabii
Love you my dady
Dahhh😢😢
Hapa inatukuzwa hela utapeli
Hii Ni Safi ,hawataacha kuja tena😂😂😂
MUNGU akuzidishie uwezo baba
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa
@millicentanyango526
10 ай бұрын
Kabisa
@ladislausmoris9638
10 ай бұрын
Tunakula laana hapo hamna imani fumbuen macho wana wa mungu tunaelekea jehanam
@ladislausmoris9638
10 ай бұрын
Wagonjwa makaisani, yatima, wagane na majeruhi kibao wamekosa msaada wanateseka leo unadapoti majizi kweli
Aiseeeeeee🎉
Jaman mpaka kanisan
Country hilo
baba Tumeona Ufalme wako😂😂😂 hii ni Misukule Inamuabudu Jamaa bila Kujua! hapo hakuna Atakayepona!malango ya Kuzimu
Tunabarikiwa kwa kusikia
❤❤
Amen
Ushindwe kataka jina la yesu
Kuna namna mungu huwatoa watu kwenye giza😅😅😅 be blessed prophet
Mungu waongoze man tunajuwa kam Hujuw unacho kifanya
Hatar kanisa limekuwa 😂😂😂😂 rege imbaaaaa ooo imbaaa yellloooo imbaaaa
Noma kwa kweli
Mimi naona kafanya jambo la msingi tu maisha magumu ajara akuna sasa jamani km mtumishi wa MUNGU kaguswa lazima atoe kutoa ni moyo na si utajiri wchungaji wangapi wapo Tanzani ata kusaidia watu akuna binafsi Mtumishi wa MUNGU mimi nakuombea MUNGU akupe Maisha marefu yenye Amani na Upendo km moyo wako ulivo na unavo toa akuzidishie mara 💯
mchungaji ubarikiwe
🤣🤣🤣😂😂chugga kama chugga
Ukiingia deep sana utaonea waafrica huruma,kigezo cha dini mmmmmh
Hakuna kuwahubiria kuokoka watoke huko waliko umeacha kondoo warudi vile walivyokuja kweli ee Mungu wangu hawajaokokaa
Hata yesu alikuja ulimwenguni kwa kile kilichopotea nasio kile kilichokamilifu
Nyie pokea tu ipo siku mtamwona mwenye mapembe mawili akiwakalibisha kuzimu munaandikwa kuzimu hakuna cha mungu hapo 5:09
Sio wampokee Yesu kristo awafanya hai
Mungu awape mafanikio mema chugas boy
@NeemaSanga-qo2cn
10 ай бұрын
Nikwer
@nellymarylucas
10 ай бұрын
Aaamin
Hii imeenda
🥰🥰🥰🥰🥰🌍🌍