HUYU NDIYE MFANYAKAZI WANGU WA KWANZA WA RADIO - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 22
Kwakweli Baba Mimi nakushukuru sana, maono Yako ya kuanzisha radio ndiyo yaliyonifanya kumjua Mungu wako Baba, nisingewahi kufanikiwa kiasi hiki kama si N.Y.U radio kunikutanisha na Mungu wa GeorDavie, wakati wote nakushukuru Baba Kwa kutii wito huu wa Ki-Mungu! Na Mungu adumu kukutunza na kukuinua siku zote, uishi Miaka mingi mno. Asante!!
Historia inagusa sana hii... Keep moving man of God. God bless you 😇🙏
Hakika hii radio(Mtumwa mwaminifu) ndiyo imenifanya niijue Ngurumo ya Upako, Shukrani Baba kwa Maono haya🙏🙏❤
Hio Redio ni hatar💥💥😅ikifika usku... hizo nondo Baba anatoaga ni hatarii .. jitege ty saa 7 hivi baba anajua kufundish haswa... ✅
WA kwanza kumsalimia Nabii mkuu Dr. G. Devi 👋👋👋👋👋
Wapili mimi shalom babayangu
BABA mungu akupe maisha marefu kukuona2 ni Aman ndani ya moyo Wangu
❤❤❤More from Kenya Baba Tunakupenda sana
Amen
Amina
Hongera Sana. Radio Ifike mbali Sana Kazi Nzuri
Hii redio imeniokoa ❤❤❤❤
Salaamu kwako Nabii mkuu!!!!
Amen Amen
Kwamtu asie pitia kwenye ushilikina hawezi kujuwa nguvu yako lakini sisi tulio ishi kwenye mateso ya uchawi tunajuwa nguvu yako wewe na nguvu zamungu kweli endelea kukombowa wengine
❤❤❤
Nabii mkuu wa zamu Oye eeee
Amen amen amen 🧎🙏🙏🙏🙏
Baba nakupennda
@godfreypaul251
Ай бұрын
Sema kweli
Amen
Amina