HUYU NDIYE MFANYAKAZI WANGU WA KWANZA WA RADIO - GeorDavie TV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 22

  • @rmmedia3288
    @rmmedia3288Ай бұрын

    Kwakweli Baba Mimi nakushukuru sana, maono Yako ya kuanzisha radio ndiyo yaliyonifanya kumjua Mungu wako Baba, nisingewahi kufanikiwa kiasi hiki kama si N.Y.U radio kunikutanisha na Mungu wa GeorDavie, wakati wote nakushukuru Baba Kwa kutii wito huu wa Ki-Mungu! Na Mungu adumu kukutunza na kukuinua siku zote, uishi Miaka mingi mno. Asante!!

  • @prophetbashandochannel1116
    @prophetbashandochannel1116Ай бұрын

    Historia inagusa sana hii... Keep moving man of God. God bless you 😇🙏

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995Ай бұрын

    Hakika hii radio(Mtumwa mwaminifu) ndiyo imenifanya niijue Ngurumo ya Upako, Shukrani Baba kwa Maono haya🙏🙏❤

  • @talentedboys-tv1507
    @talentedboys-tv1507Ай бұрын

    Hio Redio ni hatar💥💥😅ikifika usku... hizo nondo Baba anatoaga ni hatarii .. jitege ty saa 7 hivi baba anajua kufundish haswa... ✅

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3oАй бұрын

    WA kwanza kumsalimia Nabii mkuu Dr. G. Devi 👋👋👋👋👋

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9mdАй бұрын

    Wapili mimi shalom babayangu

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973Ай бұрын

    BABA mungu akupe maisha marefu kukuona2 ni Aman ndani ya moyo Wangu

  • @tsoundonlinetv
    @tsoundonlinetvАй бұрын

    ❤❤❤More from Kenya Baba Tunakupenda sana

  • @nurumollel5988
    @nurumollel5988Ай бұрын

    Amen

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9mdАй бұрын

    Amina

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960Ай бұрын

    Hongera Sana. Radio Ifike mbali Sana Kazi Nzuri

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7chАй бұрын

    Hii redio imeniokoa ❤❤❤❤

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3oАй бұрын

    Salaamu kwako Nabii mkuu!!!!

  • @psy795
    @psy795Ай бұрын

    Amen Amen

  • @Dr.lyana2024
    @Dr.lyana202425 күн бұрын

    Kwamtu asie pitia kwenye ushilikina hawezi kujuwa nguvu yako lakini sisi tulio ishi kwenye mateso ya uchawi tunajuwa nguvu yako wewe na nguvu zamungu kweli endelea kukombowa wengine

  • @Fatma-rj7vs
    @Fatma-rj7vsАй бұрын

    ❤❤❤

  • @user-ys1yu6wj2k
    @user-ys1yu6wj2kАй бұрын

    Nabii mkuu wa zamu Oye eeee

  • @alizakayo3963
    @alizakayo3963Ай бұрын

    Amen amen amen 🧎🙏🙏🙏🙏

  • @wankenanyakigaga8494
    @wankenanyakigaga8494Ай бұрын

    Baba nakupennda

  • @godfreypaul251

    @godfreypaul251

    Ай бұрын

    Sema kweli

  • @sajienswebe5557
    @sajienswebe5557Ай бұрын

    Amen

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9mdАй бұрын

    Amina

Келесі