NABII MKUU AELEZA USHIRIKIANO NA CHANGAMOTO KATIKA UJENZI WA BARABARA YA MILIONI 100 - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 30
Moyo wako ni wa kipekee sana, na Mungu ameamua kukutumia wew ili mataifa kwa mataifa wamjue Mungu alie hai siku zote. Tunakushukuru kwa namna unavyoigusa jamii bila kubagua😍😍😍
Baba moyo wako huduma yako nashindwa kuielezea Mungu Alie luhusa uwepo aendelee kukutunza binafsi nakupenda Sana baba natamani siku moja nikuone
Ubarikiwe Sana Baba yangu Nabii Mkuu GeorDavie Kazi Yako ni wagipeke Sana mnoo kwa kizazi hiki
Congratulations cna Kwa MOYO ulionao good work ,Man of God inuliwa na Bwana zaidi ❤
Amen wewe ni mchaguliwa wa mwenyezi MUNGU .
Glory to God and thanks God for give us this Greater Man of God
Tumpate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake,Asante sana Baba yangu wa Kiroho kwa kutujali 🙏🙏
Got is with Foreve Fathe GeorDavie we love you ever Ameen
Baba Nabii mkuu nimekuangalia moyo wako unavyoongea...nimeshindwa kuwaza niseje ila...wewe ni wakipekee sana...you work in accordance to the God's Kingdom standards. Amen.
Nakukubali sana Mungu atakulipa
Amen sana nabii mkuu geodavie god will rewards to you the same you have done
Hongera Sana MKUU haya yawafikie na watumishi wengine wakumbuke hata hapo mtaani kwao ubarikiwe sana
Baba wetu niwakipeke kabisa hata kama mimi nimurundi naishi Burundi matendo yababa nimazuli kabisaa
Amen
Amina
💖💖🙌💖💖ik prijs u jezus❤halleluja❤amen zegen uit belgie😊
Baba Nabii GeorDavie mungu hakutunze
amen mungu akubariki
Amina nimekuelewa baba
POWERFULLY DAD 🔥🔥
mungu akubariki sana
Asante BABA
Iyo IPO sw Dady 🙏
Natamani nikuone kwenye channel yako
Nikuone live
Baba hakuna kama wewe hata miisho ya Dunia hii
Nabii mkuu huna hikima sana
Tumpe maua yake nabii mkuu, kutoa ni moyo
Jamani nisaidieni mbona Channel yake Mheshimiwa ya TV Siipati sasa hapo Azam hayupo hewani? Anapatikana wapi?
Good job bro follow back ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤